Lulu: Mimba / Sitaki TENA / Hamisa Mobeto / Nam-BLOCK! / Utoto Utoto!
Ойын-сауық
EXCLUSIVE INTERVIEW na #Lulu kwenye #ThePlaylist na #LilOmmy ameongea mengi kuhusu MAISHA yake ya GEREZANI, Maisha yake ya Sasa, Mimba ya Majay, Kumchukulia Mwanaume Hamisa Mobeto, Kilichobadilika katika maisha yake, Pete ya uchumba na Ndoa! Pamoja na kampeni yake ya #SaveMyValentine kusaidia watoto wenye uhitaji.
Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!
Пікірлер: 338
Lulu wangu ananywele nzuri hakuna atakaekufikia kwa msanii yeyote maana hawawezi kutoka bila mek up bila nywele za gharama love you lulu❤❤❤
Huwa nafurahi sana napomuona Lulu, Wolper, Uwoya na wengine wanapoitamka INSHAA ALLAH kwa vizuri na kwa dhati...huwa nafurahi sana... ALLAH atuongoze sote na atusamehe Madhambi yetu. ALLAHUMA AMIIN
Ee Mungu wa mbinguni naomba mbariki huyu binti popote aingiapo na atokapo, agusacho kikawe baraka kwa utukufu wa jina lako, kama uishivyo Mungu damu ya mwanao Yesu kristo imkinge na kila mtego ambao adui adui ameuandaa kwa ajil yake, katika jina la Yesu Amen. Nakupenda sana mdogo wang
@vivianmahoo8611
5 жыл бұрын
Amina
@mariyaal5366
5 жыл бұрын
Amen
@esthermeggy8769
5 жыл бұрын
Amina
@agnesstewartstambuli609
5 жыл бұрын
Amen
@honestwills3103
5 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupa hekima
I never know if LULU is this matured
Lulu ni mdogo sana ila akili nyingi Mungu aendelee kukubariki dear
@mariamusefu1035
4 жыл бұрын
Maisha yaawa watu bwana mpaka kero uzungu mungi ov
Daah Majizo amepata mwanamke jomon Lulu unajiewa sana 😘😘
@greatthinker370
5 жыл бұрын
Kwahy Wew Mumeo Kapata Hasara ?😊😊
@agneskadzo6105
5 жыл бұрын
L love you my sweet sister.. keep it up yeah
You are so intelligent Girl, May our Almighty God keep you shinning. I can see something inside you, trust in God.
I admire more Lulu, she is very intelligent young girl, very focused. Bless her.
hiv kuna mxanii anaweza kwenda kwenye media kuhojiwa akawa kma Lulu kuanzia nywele kasuka za kawaida tu no makeup yaan natural hiv yupo kweli? nakupenda ww dada yaan,,, Mungu akucmamie tu kwa kweli kwa kila jambo
@elizapanga9532
5 жыл бұрын
Hakuna
@advocatekarama4917
5 жыл бұрын
Phyina Jonathan jokate mwegelo ana jitahid kuw natural pia
@priscaremmanuel1374
4 жыл бұрын
Phyina Jonathan jokate
@Dianamoses254
Жыл бұрын
Daaah, napenda huyu dada ,,kwa ukwel,she is so smart in answering questions and natural from hair to body🇰🇪🇰🇪,🥰🥰🥰🥰
Nisiposema kitu kuhusu hii interview ntakosea...” Nimejifunza kitu kwako naenda Save kwa diary na kuiapply.🤝🤝 Kuna kitu Mungu ameweka ndani yako.Utafika Mamy keep praying 🙏
@mwaminimwedipando2378
3 жыл бұрын
Nakupenda sana Lulu uko vizuri
waooo Lulu jamani anajielewa adi sio poa 😍😍 interview tamu kama yote huwezi kuchoka kuiangalia kwa kweli amekua 😍😍
huyu dada lulu anatema madini sana tangu nafatilia interview zake. big up kwake
@josephinemecky9278
5 жыл бұрын
Big up girl
@sadasaid4408
5 жыл бұрын
Hahaaa mlekwa umenichekesha lulu anayema madini yah
@matildafeisal8480
5 жыл бұрын
Love u lulu
Nimekupenda siku hizi uko NATURAL KILA KITU 😘😘😘mwanamke kujiamini.
Lulu jamani,mbona nakupenda ivi
Of ol tz actress,she is young but anajielewa zaidi...
@orestamchiro6305
5 жыл бұрын
Upo vizur sana
Lulu mdogo kiumri ila Akili inekomaaa. Nakupenda Lulu
Chaga girl always never disappoint!!!!!!
@vemamawole2228
5 жыл бұрын
Haswaaaa
@lucious5320
2 жыл бұрын
Kabisaa
That's my girl, she never disappoint me. love ya baby sis.
@dorinerenatus4221
Жыл бұрын
Always en ur September queen darlin🥰🤗
Nimekuelewa sana lulu.hakika umenifunfisha kitu ,Mungu akuongeze zaid na zaidi
Yes hekima ni fungu bora.
Waaaat, this gal is very intelligent. Upstairs yuko clean. Love u.
mdgo sana bt mwnye akili jamani. lv u lulu .
Jamani lulu unaongea kwa umakini sana nakupendaaa
Wait upp!!!! Lil ommy I can say you are THE BEST host I know so far! So much brainy stuff, one hell of hospitality. BOY! KEEP IT UPPP😘😘😘
Nanukuu #Hazina kuu ya mtu ni WATU# /...Peace of Mind...Hekima!#, aisee LuLu umenidatisha, umeni inspire vilivyo. You have grownup. I like you so so so much. Kizazi sana
She's so wise in answering questions
Kwan kumpenda lulu shi ngapi? Nakupenda mpendwa
@luckypification
5 жыл бұрын
Mungu azd kukulinda
@alliancemugisha273
5 жыл бұрын
I feel you kabisa
@nineemasanga7310
5 жыл бұрын
Bure weee
@stellashirima676
5 жыл бұрын
Bure tuuu nampend
@losoinvestments9002
5 жыл бұрын
Jamani Lulu nakupenda sana....you are so mature girl😘😘I am inspired
So smart...i love u lulu..
I love this girl. I see myself in her. Very wise.
Love Lulu Una ujasiri Sana ,,love u from Kenya
Smart my girl keep going
Huyu apa kipenzi chetu sisi hapa lululovers tunacomment wapi
you just inspired me peace of mind indeed
Mashallah your very smart Lady
she is very smart ijust love her😍
Ulivyosema ni kweli wakati mwingine unahitaji watu sio Mali or umaarufu I have been praying for you Elizabeth vyenye ulifungwa sikujui lakini iliniuma ka mwanadamu .I'm happy u came out strong may God bless u
Maneno yako ni yakujifunza na kuyafanyia kazi ❤️❤️💯💯mungu akubariki sana
More big up to you mrs Majizo It just happen to love you unconditionaly
Lulu your so smart God bless you girl
I love you lulu.. Beauty with brain
I just love You soooooo much my sweetest sister I love you a English I love hiyo misemo You are a very smart and a strong woman nakuombea sana Kila na heri greetings from Qatar here
Hongera dada lulu kenyans twakupenda na napenda sana muvies zako . Zidi kuwa na akili yiyo hio na mungu atakutangulia kwa kila jambo.
Heee mungu yani uyu mtoto sijuwi kwa nn namu pendaga 😍😍😍😘😘😘❤❤❤
Lulu nimependa kila kitu maneno ata style yako upo normal naumependeza sana love
Very matured ❤
Jaman m nampenda san lulu anajibu maswal yake smart
matangazo ni mengi sana loh! Ila interview ni nzur na nimeipenda.
Lulu your so clever and very smart
I appreciate u sana sis.Lulu❤❤
Nakupenda lulu Allah akujaliye ufunge ndowa na mchumba wako
Lulu nakupenda unajielewa sana ua strong woman yan
LOVE LOVE LOVE LOVE LULU
For fast time lulu nimeskia intervew yako mpaka mwisho nimetokea kukulenda mashallah umetulia mtoto
Yu are really smart 👍 I luv ❤️😘 yur lifestyle lulu keep it up.
So intelligent girl!
Lulu your so smart,
LULU I LOVE YOU DADA UBARIKIWE KWA KWELI
I love you dear coz unajielewa sana unawazidi hata watu wazima akili majizo umepata mke Mungu awajaalie maisha marefu na mema
Hongera, nimeipenda akili imekomaa vizuri,
Hongera yako dada interview yako haiishi hamu
beuty with brain😊😍.... i appriciate
pongezi kwako Lulu upo vizuri ndoa haitangazwi nimekukubali
Nimeipenda sana hii interview, Lulu nakupenda bure Katika suala la hekima ninekuelewa zaidk
Nimekupenda buree...
Nice Interview:Grown Lesson More~
safi saana kwa kweli nimejifunza kitu kikubwa sana toka kwako lulu
Nakupenda Sanaa lulu uoo vizur kiakili na hekima pia penda sanaa
Team misa gonga like twende sawia
Lulu sasa umekua naona akili yko nikubwaaa sana
@christinewomanoffaith5479
5 жыл бұрын
Yes hakuwa hivi,aliyoyapitia yamemsaidia kumbadirisha! Na ni vizuri
@aishahassan8354
4 жыл бұрын
kwel
mashallah mashallah Lulu yko strong sana
Big up lulu mommy.. u ar wise lulu..doo manake nakupendaga...
Love you xixter lulu mungu akuongezeee kwa kila Jambo akuepushe na mabaya yoteeee
be always secret for secret thing luv uu more may the Almighty God keep you true and up
Lil Ommy ur best representer cjui hayo madini unayotoa wapi vitu unavyotoaga ni konki ukoseagi kiboya boya
Kasuka zake Kilimanjaro ya buku mbili na kapendeza aseee mzuri mzur tuu
Lulu umekuwa kweli ongera sana
@salmabangababo659
5 жыл бұрын
upoo vizurii dada hadi rahaa
Jamani nakupenda❤️. Hamisa fuata tabua za mwenzako Aki.
unajib maswal mpaka msikilizaj anaona raha
Your so interesting and open sister big up
jaman lulu mdogo wangu waoooo! nazipenda sana muvi zako
Mashaallah mungu akuzidisheye
I appreciate lulu hundred percent all of them ur the best pretty with brain very matured. @I got da something which is training me in this life....😍✔🔥🍏
@estahnyoni1313
5 жыл бұрын
Azza Mahamdu
Duh! Uko vizuri lulu hongera sana interview safi majibu safi so wait nije nikuvalishe Pete ya uchumba
@bimaisarankamia4153
5 жыл бұрын
Yapili jmn
@salomemushi1331
5 жыл бұрын
Mrs majizo huyo
@princemirah3572
5 жыл бұрын
@@salomemushi1331 kwani kuiba si kupo na ameshakubali, wewe salome unapinga hilo?
@athumanseph8201
5 жыл бұрын
nakapenda haka katoto jamani
So intelligent girl keep it up
Interview bora ya mwaka
Watching 2022 lulu 🔥
I love u soumach my dear napenda mtu kama ww unajitambua uko vizur sana my love wangu
I love you lulu
nakupenda sana Lulu
Love you Lulu
mchaga mchaga2 jamani wengi huwa wanajielewa
She is very smart
Iulu nimekupenda Sana umemzidi mwanaume mzima daimond ataakilala namwanamke anataka kila mtu ajue mtu mzima kiba alitoakadi nakufunga ndoa
MIONGONI MWA WATU WANGU WA NGUVU WE LULU NI NAMBA MOJA. NAKUPENDA SANA LULU
Nimekupenda yo smart
Masha Allah lulu nakupenda
Ww yani Mungu aendelee kukupa yote utakayo, mwanamke ni kichwa una akili ku zidi hata wanamke wengi, niko fan wako sana 👌 wengine wana ji vunia uzuri lakina hawana akili, you're the best 💖💖💖
Una akili sana Lulu nimeipenda hii interview 👏👏👏
Love you lulu
Mungu akuongoze na kukulinda