EXCLUSIVE: LEO LULU AVISHWA PETE NA MAJIZO CHEKI FULL VIDEO MACHOZI YALIVYOMTOKA
Ойын-сауық
LEO LULU AVISHWA PETE NA MAJIZO CHEKI MACHOZI YALIVYOMTOKA
Kupitia Cheni TV msanii wa filamu ELIZABETH MICHEAL LULU Amepewa suprise ya kuvishwa pete na mpenzi wake MAJIZO live.. cheki hii Exclusive
Пікірлер: 1 100
Nairudia Tena Baada ya hawa kupata watoto wawili,wakiume na Wa kike.. Mama GG Mrs MJ
Kama umerudia tena hii video baada ya ndoa ya lulu tujuane😃😃😃😃
@malaikamushi4973
3 жыл бұрын
Nipooooo
@beautyibrahim8428
3 жыл бұрын
😂😂😂Kjikumbusha muhimu
@khamisbwile4183
3 жыл бұрын
😂
@denisndeti8566
11 ай бұрын
Vipi tena Kwan hawako pmja
@Rogathe-Rogathe
8 ай бұрын
😂😂😂😂
Hongera sana lulu, Mwenyezi Mungu akutangulie na akulinde kwenye safari ndoa yako😘😘
@zakialikenji5169
5 жыл бұрын
Sidi Mtawali 🙏 nimefurah sana jmn
Hongera sana Lulu kwa kuvalishwa pete na mtarajiwa wako Mumeo Majizo.Aliona wengi wasichana ila kakuchagua wewe uwe mke wake mwema. Mungu awabariki ktk maisha yenu.
@flomul4100
5 жыл бұрын
It
@benniealphonce436
5 жыл бұрын
Hongera sana Dada yangu mpendwa Lulu
Congrats Lulu, you deserved this, am really happy for you darling. Have a blessed start once again.
Unafaa kuwa mke lulu na majizoo hongera
@gracetweve8485
5 жыл бұрын
Majizo kamtuliza sana lulu hakana skendo siku.hiz kapo kimya
@neemamakundi2287
5 жыл бұрын
Hongera saaaana lulu. Mungu akutangulie kwa kila hatua.
Am so happy for you guys majizo and Lulu kweli nimefrahi mnoo juu yako Lulu Mungu awatangulie muishi kwa amani na upendo narudia nimefrahi mnoo
hongera sana lulu umepitia mengi hila plz utulie my dy
@jescajulius8023
5 жыл бұрын
Delvina Ndossy ,tena atulie kwel na ajifunge mkanda
@hanifabana116
5 жыл бұрын
hongera sana my sister mungu akuongoze na akupe vizaz boora
@phoenessbernard6288
5 жыл бұрын
HV nan anaongea nyuma ya video saut mbaya Ka yangu. Ananiharbia saut.
@mashakimaro3890
5 жыл бұрын
Mungu akubariki
Those who dislike these video never get proposed you've gut dirty hearts that can't be washed with soap I'm happy for lulu much love from Kenya Nairobi
@keziahmyself4296
5 жыл бұрын
Morhy Mataga waaa that English is not from kenya though😂😂😂😂congratulations lulu
@lucywamucii3217
5 жыл бұрын
Miss Melanin 😂😂😂am Kenyan too but most pple from coast aren't used to English but there is no problem if you av got the meaning and understanding
@marlenemanyonga8684
5 жыл бұрын
Wow congratulations
@saidabdalla8522
5 жыл бұрын
ajali ya mv nyerere
@omarinondo8831
5 жыл бұрын
imepeee
Hongera my dear mm pia nalia kwa furaha😢mungu awajalie amani n upendo n maskizano daima Amiin
@rhodachristopher4228
5 жыл бұрын
Mungu akusaidie lulu mama
@lyina1699
5 жыл бұрын
yaani hata mimi nimetokwa na machozi
@hananmustafa6430
5 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Mashaallah hungera mama
@kibibingao569
5 жыл бұрын
Ameen
@mankamushi3738
5 жыл бұрын
Jomoni hujanishinda mm nimefrahi kutoka moyon
i want to thank Mr.Makonda who is very supportative and Majizzo!!i really respect u so much,u have a strong heart,love and really amazing,if it was other men,would have not waited for LULU!!and u MJIZZO u did wait for her,God will bless u!!!whatever luck!!will come on your hands surprisingly!amen!!HAVE A HAPPY ENGAGEMENT
Hongera sanaa dada lulu...hio ni changamoto umetupea na sisi wasichana wenzio...zaidi mungu awatangulie katika safari yenu.
from what you went through .to get a man who will always stand with you it's not easy .thank God for the happiness of lulu .thanks so much majizo for being there for lulu .congratulation to you .I can't wait for your official marriage
@wardaidrisa9105
5 жыл бұрын
Joan Mbabazi
honger sana luluuuu mungu awabariki maisha yenu yoteeee na pia big up san dokter cheni we ni mtuuu wa pekee sana kwa luluu huwa humuachi nyuma kabisa mungu akubariki sana
@mozahchibaba7539
5 жыл бұрын
Hongera mdogo wangu, umefanya jambo la heshima,umepitia mengi sn,lkn bado mkono wa mungu ukawa juu yk,,hongera sn nazidi kukuombea
hongera baby lulu MUNGU akupe maisha marefu afute kila kumbu kumb yyte iliyowahi kukuumiza love youu
Hongera sana dada yetu lulu nakuomba utunze eshima yako ili uweze kua mke bora na udumu katika ndoa yako
God bless you Lulu and Majizo....live long dears💑💑💑💑
@jackilinimaige137
5 жыл бұрын
Clair Kip B
Hongera lulu..niko na imani ata mimi ipo siku nitavalishwa
@patricelutz7239
5 жыл бұрын
Lulu nakuomɓea mema
Lulu your blessed 🙌 😇 I'm here 2023 ..I love you Ellizabeth Michael
Mungu akubarki na azd kuwabarki safari yenu ya maisha Hongera sana majizo kwa upendo wako kwa lulu
Yaani naandika nafuta kwa jinsi nlivyo na furaha iliyotoka mbinguni ooooh Lord .....
@jackleenmandary2632
5 жыл бұрын
Hongera lulu
@najmalavalavajuma2004
5 жыл бұрын
Safi sana hongera mumgu awafanyie wepec safari yenu
@yoramtango5379
5 жыл бұрын
hongera sana lulu
@enockkaniki7488
5 жыл бұрын
Raha
@missney4436
5 жыл бұрын
Amen
Hongera Sana lulu mungu yuko na wewe atakushindia Ktk maisha yako, mungu wetu achelewi Wala awai but anajibu kwa wakati na huu ni wakati wako💖👍
@mwanaidmluke6398
5 жыл бұрын
Hongera lulu
@ulimwengu5599
5 жыл бұрын
Mungu huwa hajib hivyo acha umama!
I can see true love. Hongera sana na nina tumaini Elizabeth utatulia mdogo wangu achana na yaliyo pita wale watoto hao kwa mapenzi yako yote na uitunze familia yako all the best 🙏
Nimekuja baada ya harusi 😍😍😍😍😘😘
maajabu kbs lulu ni msani wakwanza kavishwa peter bila kuzini na kila mtu love you Lulu 😁😁😁wema alikuwa akishinda anatangaza ndowa ila Lulu amekaa kimya sasa anafanyikiwa kbs anavishwa pete angali mudogo siyokama wengine wasani 😘
@yasintaswahasni4747
5 жыл бұрын
Eti bira kuzini unauwakika gani kama ajazin na majizo unazani wameanza leo au acha kumsakama wema
@subrynerysegerow1323
5 жыл бұрын
فهد الحربي bila kuzin?😆
@briebella3895
5 жыл бұрын
@@yasintaswahasni4747 amemaanisha kuzini na watu wengi congratulations Lulu😍
@husnauthman7609
5 жыл бұрын
Kuzn .??ww unaropoka tu hawakuzn walikotoka????
@mwajumahamisi6738
5 жыл бұрын
فهد الحربي nampenda sana lulu isna uadui nae ila weqe wanuaje kama haajazini? Au kuzini n kuzaa kabla ya ndoa
Sina cha kusema kwa jinsi nilivyofurahii........dear lulu ukawe mfano kwa mastaa wenzako
Mungu akufungulie mema katika yajayo maishaini lulu . Your very special person and we always wish you well .mungu ni mwema siku zote
I cried tears of happiness for her....congratulation lulu. God bless both of you and also those boys. Won't God do it!
Hongera my dear lulu 😍😘
Yani lulu wangu nimefurahi adi nauzunika mungu akujaliye kwenye ndow yako mashabiki wako tunakupenda sana bb
Hongera sana lulu mwenyezi mungu awazidishie upendo na furaha.....Amen
Hongera sana lulu..mwenyenzi mungu awajalie maisha marefu na ndoa yenyu idumu cku zote muwe na furaha awajalie na watoto wa aina yote ndani ya nyumba muishi kushuhudia baraka za mungu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Lulu wanifanya nilie kwa furaha
@devothadaud7537
5 жыл бұрын
m mwenyew nmelia ndugu
@gracekaniki789
5 жыл бұрын
Hongera lulu mdgo wangu
@lilianchristopher2587
5 жыл бұрын
Madam Keni Saleko m
@jamesnkilijiwa2489
5 жыл бұрын
Mou
Nani amekata kitungu huku 😭😭😭😭😭😭woow Lulu God time is always the best am happy for you darling
Wooooooow #Lulu umenifurahisha Sana kipenzi changu, hata mimi nimetoa Chozi kipenzi Mungu awape maisha marefu yenye baraka tele. 💞💞💞💞💞
Nimejikuta machozi yananitoka.... hua napenda sana kuona this gal ana furaha always..... I love you guys and wish you happiness and joy.
You deserve to be happy congratulations, God bless you and your new family
Waoooo, congratz sana Lulu
@Superman--un9xz
5 жыл бұрын
Hongera sana kwao
Waooo! Hongera sana lulu nimefurai hadi chozi limenitoka Mungu awalinde awape maisha yenye furaha upendo na amani katika maisha yenu
wooh hongera sana dalulu hakika mungu ni mwema nifulaha isiyo kuwa na mwesho.❤❤❤❤
Mvumilivu ula mbivu Ongera sana lulu Sweetheart wa Majizo
Hivi Hawa walio disliked hii video wanaelewa maana ya DISLIKE kweli???? au ndo tunabonyeza popote tuu??
@agathasogora7694
5 жыл бұрын
Subira Chuttar hata mm naona hawaelew maana yake wanabonyezaa tuu kwa kweli
@Aselitha84
5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@charitymnyazi2633
5 жыл бұрын
Computer error
Hongera sana bidada mungu akupe maisha mema pamoja na mwenza wako pls siku ya ndoa iwe live jamni tupo mbali na Tz
Lulu Mshikilie kisawa sawa Coz kuna Vampire 😁😁😁😁😁
@yshamwilima3301
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂mungu anakuzooom
@cleopatraefatha3859
5 жыл бұрын
Momo Doha....na vampire wa kwanza ni Hamisa mchawi
@Jolly_Jollyk
5 жыл бұрын
Nikwer yule yule 😬😬😬😬😬
@marymarwa8428
5 жыл бұрын
Momo Doha 😀😀😀jinga wee
@momodoha6042
5 жыл бұрын
@@marymarwa8428 😁😁😁😁😁Sawaa tu
mungu awa bariki nyote wawili mumepitia mengi
i'am happy for u LULU Michaels,together with our prayers the ones that need u managed to pray until u got out of evil hands of falls accusation,be always strong,and serve GOD every day.
Nimekusaidia kufurahi lulu hongera sana sanaaa ukawe mama bora na Mungu atazid kufungua milango ya baraka USIMSAHAU MUNGU ALOKUPITISHA KTK MAMBO MAGUMU ULOPITIA
All the best🎊🎉🎊🎉✨✨✨😘😍😍❤❤🎁👏👏🎁🎁🎁
@elisetemba7813
5 жыл бұрын
Linda Amiani congraturation my best
hh crip nimeiangalia toka saa tano mbak saiv saa sabaa daaah Majizo ni mwanaume kat ya wanaume chini ya jua ,, oooh lord give me a men likee Majay 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@kahuyasuleiman8879
5 жыл бұрын
Pls a man not a men
@glorykapenja9473
5 жыл бұрын
Mungu akupe hitaji la moyo wako
@ulimwengu5599
5 жыл бұрын
Why ni mwanaume kati ya wanaume!?What special about him!?
@lizb2012
5 жыл бұрын
Jamani muongee tu kiswahili, mnatia aibu. Mnatuchosha na kutupa kizunguzungu 😰😵. Kuongea kiingereza haina maana wewe ni bora zaidi. Ni lugha tu kama kiswahili au lugha nyingine yoyote. Badilisheni fikira. Pendeni vya nyumbani jamani.
Am happy for you kipenziiii ,,,mungu akuongoze kwa kila hatua upigayo
Hongereni Sana wapenzi wangu,,,lulu umewazidi wote hyo nichaguolako.mtunze akutunze,,,safi sana.
Hongera Lulu mungu akuongoze katika safari yako ila nakuomba usiache kuigiza
@magdalenaaloyce4294
5 жыл бұрын
ASHURA HAJI hongera lulu
@mariammariam2475
5 жыл бұрын
hakika asiache sanaa
Hamisa mobetto hali taabani leo wenzako waolewa wewe wang'ang'ani master kina diamond😁😁😁😁😁 utazalishwa mpaka Maku ilegeee iyoo ...
@pendomwanamkuu
5 жыл бұрын
Hahahahaha yomiiiiiii
@laymapeace4538
5 жыл бұрын
hahaha umenichekesha wewe
@maryammarym4437
5 жыл бұрын
Momo Doha dini tofauti mbona majizo
@beuntflyhusnakasy9320
5 жыл бұрын
Asa hamisa anahusiana na nin hp kwa lulu mwachen mtot wawatu kila mara kumtaja tuh
@majaliwagessler4443
5 жыл бұрын
Momo Doha ,sasa hamisa amekujaje hapa ? Kwani ameanza yeye kuachwa Aah mbona mwamwandama mtoto wawatu ebu mwacheni
Waooooh lulu hongera sana mungu awapigania awape haja ya moyo wenu
Hongera sana my love LULU mungu awasimamie daima mweze kamilisha malengo yenu mlojiwekea😍😍😍
Wengine walienda kuwa Ganga .eti waolewe haaaaaa ongera sana lulu .kuna mtu atapata tabu shikiliya sana
Hongera sana lulu
@elieereka8744
5 жыл бұрын
Ni kiki hizo au ni ukweli ?????
@redme2622
3 жыл бұрын
Mimi niko burundi nakupenda sana
Hakika Mungu anajua namna ya kumfuta mtu machozi Lulu pamoja nakupitia matazo mengi ambayo yalikufanya ukaona kama umetengwa na jamii lakn Mungu amepa furaha ya milele.Hongera sana LULU Mungu awacmamie mfikie lengo
Wow this far is God,beautiful gal lulu,glory be to God,for your happiness. I love it.
Yaan majizo katulia sana cjui hamisa kilichomfanya aende kule cjui ni nn.hongera lulu wote mmekutana mmetulia.
@zureamandai1654
5 жыл бұрын
Eva Masinde ujue tamaa ndio zinatupoza amisa tamaake ndio ameangukia pua sngejua angevumilia2 kwa uyu, anavozalilika sasa anajuta
Ongera mamy Mungu akutangulie mbele
@lidialichad2719
5 жыл бұрын
ongera my
Hongera sana LULU kwakuweza kupata Mme,nakuombea kwa mungu udum kwenye ndoa maisha yako yote
Masha'allah adi uchungu allah akulinde vijuso vya binadamu na vikwazo katika maisha yako kila la kheri@Lulu
Hatimae yametimia hongera saba lulu kwa hatua ulofkia
Umepitia mengi sana mazito mungu akubariki
@yusuphkamandu103
5 жыл бұрын
All the best lv
I'm very happy to your employer, and congratulations 🎆 Elizabeth and Majizo, Mungu awatangulie katika safari yenu mpya na kushinda majaribu zaidi ya ayo mliyopitia. Nawapenda sana
Mungu humbariki MTU tuu kwa kuutazama moyo wake hongera Lulu Mungu kakuheshimu sana zaidi ya yote kakupa watoto wazuri...sana...God bless you so very much...
Wow hongereni sana Mwenyezmungu awajalie kila la kheri, machozi yafuraha yamenitoka
Kiukweli nimelia co kwa surprise hii jaman lulu hakika mungu atakufanyia wepesi endapo ukimtumikia
Hongera sana Elizabeth Michael, Mungu akupe furahs na Amani ktk ndoa yako.
who is cutting onions here ?awwwwww congratulations mummy.Wish you all the best.
Hogera sana. Lulu mungu awabaliki pamoja na majizo.
@MonikaMonika-xd4zk
5 жыл бұрын
Tinya Anosiatha
@habibamaguru2722
5 жыл бұрын
Hongera sana Lulu mungu ni mwema
Lulu mungu ayibaliki ndia yako muyishi kwa amani na upendo
@metmatayo850
5 жыл бұрын
hongera sana my dear mungu akutangulie ktk safari yako ya maisha.
Such a great thing! This is wonderful. God bless your union
hongera majizo kwa uvumilivu wote ktk kipindi chote alichopitia lulu mungu akupe furaha ya ndoa mnayoitalajia pia mpate family bora.
Awasome, very amaizing, congrats Lulu and Making😍😍😍😍
Makonda unatuaribia shuhuri haya na hilo litisheti la simba wapi hapo taifa
@jenifermsua6362
5 жыл бұрын
Ongera sanaaaa my dear lulu mwaaaa nakupenda sana momii mungu awajalie maisha marefu
@marynon6033
5 жыл бұрын
Wema doktar Michael hahahahahaha
@madinakipingu4252
5 жыл бұрын
Wema doktar Michael 🏃🏃🏃🏃🏃😂😂😂😂
@annajoseph9959
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😆
@africanchild4525
5 жыл бұрын
mie niliona hiyo tishet kabla ya yote nikasema kulikoni kuvaa jezi kwenye shughuri kama hiyo. haha
Haya mimi yng macho na masikio, tusubir kwenye maisha ya ndoa.tutaona mengi sana
Hongera lulu,,hata hivyo hunaga maskendo mbali na ile ya marehemu...na tulikuja kufahamu baada ya maut kumfika...na IMANI utakuwa mke bora na mama bora pia ..ktk kila gumu ulilopitia MUNGU alikuwa anakuandalia mlango wa kutokea..."HONGERA SANAAA""
Mmepitia mambo mengi sana yan jamn halali kwa mlipofikia
Na wewe Dr Cheni Mungu atakubarikia kwa kuipa faraja familia ya Mama Lulu katika vipindi vigumu walivyopitia, Hakika Mungu ni Mwema.
Hongera Lulu. Mkuu wa mkoa unavaa jezi ya sportpesa kwenye sherehe.
Awww that was so sweet i am happy for you Lulu
Jmn ad nimelia nawapnda lulu na majiz mngu awatngulie kila lakhr
@sarahleonard6400
5 жыл бұрын
Berinho Desmile amen
👏👏👏👏👌✌🌹😘lulu the best, sooo pretty woman, God bless you,winner.from 225, ivory coast.
@neemalabani91
5 жыл бұрын
Georgette Tiemele ongera sana lulu
Hongera sana chimami wangu mungu awaongoze ktk hatua inayofuata
I seriously cried 😂😂😂she didn't see this coming 😂😂😂😂🌹🌹🌹hongera
@bizaymohd2255
5 жыл бұрын
War
@jingeermussa8967
5 жыл бұрын
Kila kit kinapangwa namungu kwann mnapenda kmuongelea hamisa jmn amewakosea nn kwan kuzalishwa kulianza nayey hamisa usiogpe simama kama mwanamke mbon uyo zari kuzalishwa nawangap ila amuongei
Mungu mkubwa
@zureamandai1654
5 жыл бұрын
kwana wototo hao babayao majizo ? mi nilikua sifaam nikizan anae mmoja2 yule alozaa na amisa
Waaooh Hongera lulu Hamisa hoi
Hongera my Angel Lulu Mwenyezimungu akulinde na mtarajiwa wako ili mtimize malengo yenu. Amina
Mmhhh,unadai kuwa lulu kavishwa pete bila kuzn unachekesha,, huyo mtoto kaanza hizo mishe tangu akiwa na miaka chini ya kumi na nane,,unamkumbuka kanumba ,ally kiba na wengne wengi?,
@esterpromy3183
5 жыл бұрын
😁😁😁😁 kashavurugwa sana huyo
@upendorobert7298
5 жыл бұрын
shangaa na ww, kuna mijitu kwa kusifia hata ujinga haijambo, MTU anaweza pakaa kinyesi usoni, lakini kwa kujipendekeza, akasema kapakaa foundation grade one, Haaaa, ukilaza mwingine, duuuh,!!
@janedaudi8190
5 жыл бұрын
Moses Nghogwa acheni wivu
@esterpromy3183
5 жыл бұрын
@@janedaudi8190 kwan hajavurugwa huyo na kina kanumba kilikuwa kidogo afu mtu anasema et cyo mzinzi
@noreenjohn8798
5 жыл бұрын
Kila mtu ana past yake mkeo mwenyewe au mumeo alikuwa wa mtu so let it be
umenitoa machoz mnooo lulu ww ni mwanamke mama hakuna marefu yasiyo na nchaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@linahbaby9462
5 жыл бұрын
ongera sana mdogo wangu nakupenda ila jifunge mkanda ndoa ni misukosuko ila usikate tamaa mshukulu mungu kwa kila jambo
Hongera lulu nakupendaga Sana ww mtt
Oooooh my good walina nimejikuta nalia😢😢😢 pamoja nawe kwa furaha hongera sana mdogo Eliza umepitia mengi ktk maisha yako acha MUNGU akupe furaha ya moyo wako
Congratulations lizy God is good.be strong
@angelsama7305
5 жыл бұрын
Elizabeth
Kwani ana watto wagapi pls swali?
@faumash831
5 жыл бұрын
3boys one girl fantasy wa hamisa mobetto
@jackiemawido5052
5 жыл бұрын
.2 boys one of those boys is lulus bro
@gracedelence9163
5 жыл бұрын
@@jackiemawido5052 Thanks But where is they're mothers pls swali tena coz I know he has child with amisa I never new he has big boys like that 😘😘😘
@janeawuor9468
5 жыл бұрын
Waaah lulu ana mtihani ila siku hizi mbona ni mambo ya kawaids tu familia zawa blended yaani wapata baba ans watoto wengi... Vilevile mama pia
@tumainmrisho85
5 жыл бұрын
0
Nimefurahi sana Nampenda Sana Lulu ni Iron woman anastahili heshima namna hiyo. Hongera Sana Lulu na pia Hongera kwa Majizzo ni mwanaume Haswa unaejua nini maana ya wawili. Kila la kheri Siku ya harusi Nialikeni.Mungu Awabariki awaondolee husda za waja na viumbe visivyoonekana.
Hongera Elizabeth Michael, Nimeishi kungoja hii siku. Much love from +254
IMENI KUMBUSHA NILIVYO EKWA IN-GAG YANGU RAHA KAMA YOTE ALL THE BEST LULU.
Khongera dada lulu ...nikutakie kila lakheri n mafanikio mbele yako my...na mungu akucimamie.😍lulu love you.