WATOTO 7 WALIA MBELE YA JENEZA WAKIMUAGA BABA YAO ALIYEUAWA NA MAMA YAO MOSHI.

Пікірлер: 361

  • @dynachriss5126
    @dynachriss5126Ай бұрын

    Mungu aendelee kutupa uvumilivu tu kwa kweli kama ingekuwa kila mume au mwanaume anayetuchiti stahili yake ni kuuwawa basi wanaume wangebaki wachache sana na wanawake weng tungekuwa jela na watoto wengi wangeendelea kuwa machokoraa ila kwa hekima na uvumilivu anaozidi kutujalia mungu sisi tunadunda kwa kulea vyema watoto wetu na wanaume wakiendelea kuambulia magonjwa na mwisho umauti usio na nuru machoni pa mungu✍️asee mungu endelea kunijaza hekima na uvumilivu katika maisha haya yanayoumiza ni mengi ila isinifanye nikachukua hatua aliyochukua. Mwanamke mwenzetu📌

  • @rosebigupandallthebestmosi5135

    @rosebigupandallthebestmosi5135

    Ай бұрын

    😢😢😢😳😳😳

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking24Ай бұрын

    Uwiiiii watoto bado wadogo.Shetani ashindwe na alaaniwe.Jamani tumtafute Mungu ndio njia pekee ya kumshinda shetani.Hii kali jamani

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508Ай бұрын

    Omba yasikukute jmn.Sipatii picha jinsi familiya yamwanamke aliefanya tukio wnaumia kiasi Gani.Mama yke nahyu muuaji anaumiaje jmn.Kweli shetani alaaniwe sana.

  • @itanzaniaAS

    @itanzaniaAS

    Ай бұрын

    Wana wakati mgumu. Alafu watoto baba kauwawa mama anafungwa maisha au miaka 30

  • @TeophilBuilding

    @TeophilBuilding

    Ай бұрын

    Kam walishirik maan unaonekan haufikilii zaid

  • @athumanfuko199

    @athumanfuko199

    Ай бұрын

    @@itanzaniaAS hilo ndo tatizo linapoanza

  • @arafamohamed2819

    @arafamohamed2819

    Ай бұрын

    Mungu awape amani

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mbАй бұрын

    Unafiki hautaisha dunia hii. Huo wasifu siyo wa kwake. Anaheshimu watu gani kama kashindwa kuheshimu mke na watoto wake? Eti mcha Mungu! Uzinzi ni ucha Mungu? Acheni kutupotosha

  • @LydiaIsangi

    @LydiaIsangi

    Ай бұрын

    Alikuwa mkewe,shida yenu ni kufuata wazungu,

  • @juditholotu7249

    @juditholotu7249

    Ай бұрын

    Si ndo hapo Sasa unafki mtupu

  • @nassercurtis9579

    @nassercurtis9579

    Ай бұрын

    Mkewe kwa imani ipi, yeye ni mkristo tena mroma kanisa la kiroma hata padre haruhusiwi tu kuoa wala watawa hawaruhusiwi kuolewa ila waumini ukioa au kuolewa haitambuliki ndo myengine, shida ni vile tunaficha maovu ya wanaotangulia mbele za haki au wanaotangulizwa kabla ya mipango ya Mungu, tunapaswa tu kusema ukweli sababu ya marehemu kufa ni alichomwa na kisu na mke wake kwa wivu wa mapenzi hivyo nasi tujifunze kuwa waaminifu kwenye ndoa zetu kuepuka haya yasitokee watu wangekuwa waoga na vifo kama hivi vitapungua sana, hata mtu akifa kwa HIV iwekwe wazi tu kusaidia wengine kuwa wacha Mungu na kuepuka ngono zembe, mtu amekufa kwa ugonjwa wa moyo figo au kisukari zisemwe sababu za kifo chake kuwa chanzo ni unywaji wa pombe na kutofuata ushauri wa kitabibu ​hii itasaidia kuzingatia afya na kupunguza vileo usasa na kufanya mazoezi kuzingatia afya.@@LydiaIsangi

  • @user-tk5yy6vj3b

    @user-tk5yy6vj3b

    Ай бұрын

    Me nashangaa hii dunia ipoje

  • @shoseminja7107

    @shoseminja7107

    17 күн бұрын

    Usihuku

  • @desderymakoi6595
    @desderymakoi6595Ай бұрын

    Kimsingi Kukaa Kwenye Dhehebu Au Kanisani Lakini Huna Chapa Ya Kristo Ni Kujilisha Upepo...YESU ANAOKOA WAPENDWA

  • @BarbaraPatience-qt9cc

    @BarbaraPatience-qt9cc

    Ай бұрын

    Unauhakika hukuona msalaba Kwa hii kanisa katoliki??? Wewe unaona kweli!!!!

  • @neemamwakasape1630

    @neemamwakasape1630

    Ай бұрын

    Sahihi kabisa, wokovu binafsi na mahusihano yako Mungu binafsi. Ni muhimu zaidi kuliko kanisa au dhehebu

  • @karibunyumbani3824

    @karibunyumbani3824

    Ай бұрын

    ​@@BarbaraPatience-qt9ccsicho alichomaanisha ndugu kuwepo msalaba kanisani sio ndio kua na YESU moyoni

  • @RoseMayige-gn9qb

    @RoseMayige-gn9qb

    Ай бұрын

    Msalaba siyo ishara ya kua watu wanaosali hapo wameamua kumpokea Yesu Kristo awe Bwana na Mwokozi wao.​@BarbaraPatience-qt9cc

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    Ай бұрын

    @@BarbaraPatience-qt9cc catholic sio sehemu salama katika wokovu kamili wa Yesu Kristo ,naomba nisishambuliwe nimeongea kutoka moyoni

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773Ай бұрын

    Poleni Sana watoto wazuri Mungu awape nguvu na subira

  • @MonicaSimon-wr2qj
    @MonicaSimon-wr2qjАй бұрын

    Jamani tuache kupotoshana eti anamcha Mungu jamani

  • @user-nq3lf7hs4q
    @user-nq3lf7hs4qАй бұрын

    Wanawake tuwe werevu kama nyoka siku zote tukishazaa tuangalie watoto wetu na tuwache kuangalia hawa wanaume jmn ona sasa mama huyu ameacha watoto wake wazuri na dhambi za huyu baba alizokua anafanya za kuzini anazibeba huyu mwanamke zote jmn inauma binafsi nimejifunza mengi kwenye jambo hili

  • @TeophilBuilding

    @TeophilBuilding

    Ай бұрын

    Kuma la mama ako unatombw akili mkundu ww

  • @ElizabethMkini

    @ElizabethMkini

    Ай бұрын

    Kila mtu atabeba dhambi zake...

  • @BossmumGesase
    @BossmumGesaseАй бұрын

    Uwiii nawaza hao watoto tu mama alikosa hekima angalia hao watoto 7uwiii Yesu awatetee

  • @christinakomba689
    @christinakomba689Ай бұрын

    Kama mmetofautiana bora mwachane kuliko kutoa uhai wa mwenzio hata kama angezaa na watu kumi siwezi kuuwa 😢😢😢

  • @user-zx5wu5ql7h

    @user-zx5wu5ql7h

    Ай бұрын

    Anae ua siyo wewe nihasila zako Kaa kimyaa yakukute kwanza ndo tutajua

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    Ай бұрын

    @@user-zx5wu5ql7h wew inaonekakana una roho lauuji kama huyu alieua, umekazania et yasikukute kwani huku umejuaje maisha yetu ? Yametukuta Sana Tena Sana, asilimia chache ya wanawake ambao hawajakutwa na haya mambo ya mchepuko, qq😥😥😥mtu unatendwa mpaka unajiuliza hivi nimekosea Nini mpaka iwe hivi lakini hata siku moja huwezi kuwaza kuua hata kidogo.. eti hayajakukuta! Kuna mwanamke ambaye sio muhanga wa kuoneshewa michepuko??

  • @GraceRoman-xw7xm

    @GraceRoman-xw7xm

    Ай бұрын

    Nyieee hizo n hasira n shetani anapitia hapo hapo unazani hata yy huyo mwanamke baada ya hapo nahic amejutia na hakutegemea

  • @christinakomba689

    @christinakomba689

    Ай бұрын

    @@user-zx5wu5ql7h yashanikuta dada niliondokaaa,kuepusha hayo,sasa unazani kaweza kufanya hivi?kauwa mume,yy yuko jela watoto wanabaki na nani?

  • @ambrosiajengo4153

    @ambrosiajengo4153

    Ай бұрын

    ​@@GraceRoman-xw7xmi

  • @user-ug4dg3zh1w
    @user-ug4dg3zh1wАй бұрын

    Mtu meshafikia utuuzima sio km ni binti wtt sita inamana ndoa unaweza ikawa inamiaka 10 ss chaajabu nikipi kufanya wtt wadhalilike mimi ata angetembea nyumba ya pili mazali niko kwangu pesa yakula anatoa uduma za wtt anawapa naende ata akimaliza mtaa mzima atajijua mwenyewe

  • @TheresiaAndrea-hv9dg

    @TheresiaAndrea-hv9dg

    Ай бұрын

    Huyu mama ni zaidi ya Rusfeli. Hata hakuweza kufikiria watoto jamani 😭😭😭

  • @emmyomary9640

    @emmyomary9640

    Ай бұрын

    Hakufikilia watoto wake alifikilia mapenzi hivi kweli nina watoto sita naenda kugombania mapenzi niache wanangu waangaike hahahahah wee tembea tu hata na dadaaako wala sishtuki

  • @LydiaIsangi

    @LydiaIsangi

    Ай бұрын

    Kwanza haikuwa busara kumfuatilia mume,na pia wanawake kinachowauma sana Wala sio mapenzi ni Mali,

  • @juditholotu7249

    @juditholotu7249

    Ай бұрын

    Kama hayajakukuta unaweza kuongea kirahisi

  • @verombwambo3703
    @verombwambo3703Ай бұрын

    Dah watoto wadogo sijui wamezoea kuwaona wazazi muda wote Sasa wanaanza maisha ya uyatima 😢😢😢😢😢 uwiiiiiiii Mungu tujalie subra yarab na nyie makahaba mnaongilia nyumba za wanandoa na kujisahau ndio mjifunze hapa hii dhambi haiwaacha salama

  • @jasmineeomary2041

    @jasmineeomary2041

    Ай бұрын

    Kwani huyo alikua kahaba au mke unamwitaje mwanamke mwenzio kahaba wakati katongozwa kama ww ulivyotongozwa?

  • @a2core-wn2wk

    @a2core-wn2wk

    Ай бұрын

    Huyo mwanaume na yy ni kahaba kaenda kwa kahaba mwenzake ndo kifo kikamfika na weye unaesema mwenzako kahaba ww pia ni kahaba tafakari kwanza ndo uongee

  • @user-um9gg8gc5d

    @user-um9gg8gc5d

    Ай бұрын

    Kwani huyo kahaba ndio kamtuma amuue huyo mume sema nyie watu wamoshi mnajikuta cjuwi mpo nchi gani ya kigaidi hamna shetani ni ujinga alonao angemuacha angepungiwa nini

  • @user-tt1nm9xs4n

    @user-tt1nm9xs4n

    Ай бұрын

    Eti mchamungu

  • @Njeriii536

    @Njeriii536

    Ай бұрын

    ​@@jasmineeomary2041mke walifunga ndoa? Huyo nikahaba kama kahaba wengine

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144Ай бұрын

    Pole sana juma raibu kwa kumpoteza rafiki. Poleni sana, nimeumia sana. Jamani mkishindwana ni bora muachane kwa amani kuliko kutoana uhai Mungu hapendi

  • @RusiTembo

    @RusiTembo

    Ай бұрын

    Mnaachana vp akati inatakiwa kifo ndy kiwatenganishe 😭😭

  • @smartonlinetv5144

    @smartonlinetv5144

    Ай бұрын

    @@RusiTembo 🥺🥺🥺🥺

  • @paskaziasholla7471

    @paskaziasholla7471

    Ай бұрын

    Tumsamehe huyu mama jamani hakujua kama ataua

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vzАй бұрын

    Mashaaalah vitoto vzuri, ya rabbi sitri watoto

  • @praygodlivingstone
    @praygodlivingstoneАй бұрын

    Inauma sana ila yote tuzidi omba Mungu. @milardayo asante sana kwa taarifa iliyotengeneza mizania ya habari

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623Ай бұрын

    DAMU YA YESU KRISTO IWAFUNIKE watoto hawa

  • @shamiramsoke1365

    @shamiramsoke1365

    Ай бұрын

    AMINA

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6tsАй бұрын

    Hakuna malaika duniani, tukisema kila mwenye mwanamke nje auwawe...nusu ya wanaume kama sio robo tatu watauwawa. Mungu atusaidie sana , atupe mioyo ya subira, na atupe wanawake uvumilivu.

  • @sarahgaula2220

    @sarahgaula2220

    Ай бұрын

    Wanaume nao.wakubali kubadilika unamzalisha mtu watoto 6 halafu unamuona Mzee unatafuta mwingine. Upuuzi

  • @suzandonadi1400

    @suzandonadi1400

    Ай бұрын

    Mda mwingine anakua ni shetani tu kikubwa ni kumuomba Mungu

  • @user-yp5mu3yc9y
    @user-yp5mu3yc9yАй бұрын

    Jamani huyu mama amejenga picha gani kwa watoto wake,na Jamii na tanzania kwa ujumla 😢😢

  • @ElizabethMkini

    @ElizabethMkini

    Ай бұрын

    Msimlaumu huyo mamaa angalieni chanzo...hapo kaacha fundisho mshahara wa dhambi ni mauti...angetulia kwa mkewe na kujenga mqili wa Kristo yasingemkuta yote haya...

  • @MagdalenaMatiko

    @MagdalenaMatiko

    Ай бұрын

    Alishindwa tu kustahimili maumivu ya wivu,shetani alimzidi nguvu

  • @user-fc4vl8zi4r

    @user-fc4vl8zi4r

    Ай бұрын

    @@ElizabethMkinimhh hata kama huwezi uuwa ikiwa unahofu sisi tunafanyiwa mangapi unauachia mungu na ukishindwa muachane

  • @ElizabethMkini

    @ElizabethMkini

    Ай бұрын

    @@user-fc4vl8zi4r Ndiyo maana nikasema mapokeo tofauti hatuko sawa...yeye hapo alipofikia ndo ilikuwa mwisho wake...

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    Ай бұрын

    Hata yeye anajutia saana

  • @user-ug4dg3zh1w
    @user-ug4dg3zh1wАй бұрын

    Kuna kinaulazima gani mpk utatilie mwanaume wtt wadogo watapata shida kwa wivu wa kijinga mtu nyumba mmejenga nasio km umetolewa akaletwa mchepuko upo ndani kwako shida niyanini anawacha wtt wanakuwa na simanzi hata hawa wtt awatoishi kwa raha na familia ya baba yao watakuwa na msimango sn roho yangu imeniima jamani

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950Ай бұрын

    Huyo Beatrice Kwayu atakuwa ni kutoka Machame. Ogopa sana mwanamke wa kiparestina.

  • @machakuroger7068

    @machakuroger7068

    Ай бұрын

    Kina kwayu sio wa machame

  • @marysawe9356

    @marysawe9356

    Ай бұрын

    Mshenzi kweli wewe ni mmachame yupi uliona kauwa mume au ni stori tu za kipuuz huko mtaan kwenu hyu ni mkibosho piwa uache kudhihaki kabila za watu kenge wewe

  • @lindaabraham5365

    @lindaabraham5365

    Ай бұрын

    Wamachame hawaui kizembe angeumwa tumbo 😂 au kifua. Mnatafuta mali kwa nguvu then mtu anaenda kuzitawanya kwa wanawake wengine. Haya akakipumzishe sasa kwa amani

  • @susanraphael5894
    @susanraphael5894Ай бұрын

    Sasa umemuua mwanaume wewe jela maisha watoto hawa wadogo ivi walelewe bila wazazi jamani mama mungu akusameee bure inauma sana😂😂😂

  • @StellaMwasha

    @StellaMwasha

    Ай бұрын

    Saa nyingine ni hasira tuu yawezekana Wala hajakusudia Mungu amrehemu Kwa wivu huu

  • @naomicharles5444

    @naomicharles5444

    Ай бұрын

    Na nikuhakikishie kwamba huko aliko ajutiii lolote na ukiona ivo alikua kashafik steji ya mwisho ya Sina cha kupoteza😂😂😂mwanamke akifik hii steji Ata aue nchi nzima atakua Okey kabiss

  • @OliverKavishe-hy3zg
    @OliverKavishe-hy3zgАй бұрын

    Muwe waaminifu kuepuka haya,na ukijua mwenzio siyo muaminifu mshtakie Mungu mbona atafanya

  • @annamussa185
    @annamussa185Ай бұрын

    Ndo muache ukahaba pesa kidogo tayari unaenda kutafuta Kuma nyingine,haya ngoja akapumzishe bolo lake limemponza

  • @olivastephano2900

    @olivastephano2900

    Ай бұрын

    Wanaume wasipo badilika watakufa wengi

  • @tatujuma-ny5nm

    @tatujuma-ny5nm

    Ай бұрын

    Yaani mi mungu aniguse tu dkk zote maana mme wangu mimi anayoyafanya jamani,leo tumeanza kuitwa wa wapangaji wa mtu na tulikua na jumba letu la kifahari chanika huku,yote Kuma tu hizo zimesababisha kuuza nyumba na maisha kuyumba kiasi hiki.

  • @evelynisaac8767

    @evelynisaac8767

    Ай бұрын

    Bora umesema kweli wanaume wengiiiii wanauwa wake zao wangapi huwa wanakuja kutetea familia wanaona ni kawaida Leo mwanamke kauwa anaonekana hana akili wanawake tuache unafiki

  • @ubongosahihi

    @ubongosahihi

    Ай бұрын

    Mwenyezi Mungu Awatetee Wanandoa Wote Duniani, Wamama Chonde Kazana na Sala na Maombi ili Moyo Uushinde Katika Hizi Zambi za Uzinzi na Mengi Ya Kutisha Eee Mwenyezi Mungu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 🧎🏾‍♀️🤲🏾👏🏾🙏🏿

  • @ChugaKazi

    @ChugaKazi

    Ай бұрын

    Sio akapumzike tu akifika uko afe tena nyoko mmoja

  • @HafsaKondo
    @HafsaKondoАй бұрын

    Poleni sana watoto. Mwenyezi mungu awatie nguvu. Marehemu apumzike kwa amani. Hatujui ulipitia nini kwenye ndoa yako mpaka ukaamua kutafuta mke mwingine. Ndoa zina siri kubwa kuziombea tu

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562Ай бұрын

    Daaaha bora ameacha mabinti watawatunza wadogo zao wanaume acheni kucheat jamani na Mungu awasafishe mabinti Hawa wasifuate damu ya mama Yao

  • @dafrosamsonge2007
    @dafrosamsonge2007Ай бұрын

    Kuna umuhimu wa kutulia wanaume lakin pia wanawake tuwe busy na kuacha Mungu awanyooshe kwa kuamua yeye

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8nАй бұрын

    Jmn tuwe makini sana ona watoto.wanavyopitia magumu bado wadogo wengine jmn

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Ай бұрын

    😭

  • @siaammo1104

    @siaammo1104

    Ай бұрын

    Ndo wanaume wajifunze ubaya wa kuwa namichepuko

  • @emmanuelanthony3496
    @emmanuelanthony3496Ай бұрын

    Baba kafariki Mama kifungo cha Maisha Watoto yatima

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2tАй бұрын

    Wanawake tunajua tunapitia magumu sanaa lkn tuombe hekma kwa Mungu kabla ya masmuzi km haya ya kuumiza familia,,,ona wstoto wanavyolia😢😢😢😢😢na nyie wanawake wa nje kuweni ns hruma na ndoa za watu mungu anawaona jmn mkiganda familia za wstu mmeganda dah,naishiwa maneno

  • @mariamfritsi4943

    @mariamfritsi4943

    Ай бұрын

    Kweli kabisa.

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174Ай бұрын

    Ukiwa na hela shida ukikosa shida kwani hii dunia inatakaje?

  • @jeangodelo5349
    @jeangodelo5349Ай бұрын

    Duuuh...poleni sana watoto Mungu pekee atajua namna ya kuwapigania hawezi kuwaacha yy ni baba wa yatima..kweli hasira hasara naamini kabisa Beatrice hukujua kama utamuua mumeo ona sasa unaacha wanao unakwenda kuanza maisha mengine kabisa ambayo hukuwahi kuyaota pole sana

  • @neemamassawe3029
    @neemamassawe3029Ай бұрын

    Sijui hawa watoto wanawaza nini hapo walipo,Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi jamani daaah.

  • @paterinishayo-ef4sx
    @paterinishayo-ef4sxАй бұрын

    Hivi huo wivu wa kiasi hicho unatokea wap mpka kumtoa mumeo uhai bila kujali kitakukuta nn na kwann umfuatilie mwanaume na bodaboda kila kona afu umebeba kitu chenye ncha kali ina maana alidhamiria kumuua kwahiyo bora wakose wote roho mbaya sana hii

  • @FunnyJumpingSpider-bz9dr

    @FunnyJumpingSpider-bz9dr

    Ай бұрын

    We wanawake tunakumbana na mazito sana ndani ya ndoa zetu tuyasikie tu Kwa wenzetu lakini tuombe mungu yasitukute.

  • @emmyomary9640

    @emmyomary9640

    Ай бұрын

    @@FunnyJumpingSpider-bz9dr watu wote wanapitia magumu ila wana tulia kwa sababu ya watoto ona hapo mama hayupo baba hayupo mimi mwanangu ni bora sana kuliko mwanaume wewe

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlonyАй бұрын

    m,bunge kaelezea ukwel watumishi wa sasa wanaombea kuusu miujiza yakpata pesa wamesahau kuimiza upendo upendo umehamia kwenye pesa na vitu

  • @fadhili-n2s
    @fadhili-n2sАй бұрын

    Daaah hii dunia sijui ata tunaelekea wap

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338Ай бұрын

    Poleni sana, maisha bila baba Mungu awasaidie

  • @paterinishayo-ef4sx

    @paterinishayo-ef4sx

    Ай бұрын

    Na bila mama pia

  • @user-zs4qz4wm2n

    @user-zs4qz4wm2n

    Ай бұрын

    ​@@paterinishayo-ef4sxyes maana mama ni jela watoto wanabaki peke yao😢

  • @Malaikakisseto
    @Malaikakisseto18 күн бұрын

    Wanawake wengine wapumbavu,sasa unauwa mume wako ili iweje sasa watoto wake watalelewa na nani baba kaburini na mama atafungwa. Wanawake wenzangu tuache ukatili na akili mbovu acheni ujinga ona watoto umewavuruga.poleni sana watoto.

  • @user-ug4dg3zh1w
    @user-ug4dg3zh1wАй бұрын

    Tufike wakati tujue tu akuna mwaume anerifhika japo sio wt ss unapoishi nae kaa kwaajili ya familia yk umeona umeshindwa basi kajivue kanisani engekuwa nisisi waislamu wamwambia nimeshindwa na km ataki kukuacha pia waenda jivua bakwata yote yanini haya kuwacha wtt wadhalllike wallah nimeumia sn simfikiri bb wala mama nawaonea uruma hawa wtt changamoto watazo kutana nazo Allah awafanyie wepesi

  • @StanleyMolla
    @StanleyMollaАй бұрын

    Anyway naomba niwe tofauti tuu..mguu wangu mmoja na nusu upo upande wa mwanamke,iyo nusu naiweka upande wa mwanaume..embu imagine umezalishwa watoto 7 mwili umekushuka shukii na ukute mda unazalishwa na mishono yako mlikuwa bega kwa bega na mwanaume kuchuma mali..leo kazipata ,mwanamke mwili umejaa makovu mara 7 , ndo anaona bora akajilie vinono na wengine ..aloooo iyo ishu hata shetani anakaaga pembeni,,kabla hawajamfunga uyo mama wajaribu pia kumcheki afya ya akili huenda hata hakuwa sawa kiakili

  • @asteriashios1852

    @asteriashios1852

    Ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisaАй бұрын

    Hasira ni hasara ningejua inakuja mwishoni majuto ni mjukuu mwishowe uja kinyume watoto wanaumia kukosa wazazi wote kabla ya kutenda nyatupasa tufikilie mapenzi ni ya kupita tu kikubwa kuomba Mungu sana ona sasa.watoto wanatuliza ata watu tunao angalia mtandaoni 😢😢😢

  • @DevothaErnest
    @DevothaErnestАй бұрын

    Daaaah pumzika Kwa amaniiii boss 🥲🥲

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769Ай бұрын

    Tusipokuwa na maarifa tutateseka sana kunawatu wapo kuaribu maisha ya wengine umechochea ugonvi wanandoa wameuwana wewe unapata mwanaume mwingine mwanao analelewa watoto wamwenzio wanateseka inatia hasira sana

  • @maryjoseph926
    @maryjoseph926Ай бұрын

    Ooh jmn polen saan watoto wazuri Mungu awalinde na kuwasimamia msilipize kisasi ambacho mama amekifanya kisiwafanye kuwa wakatili

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlonyАй бұрын

    pole kwao jmn mwenyenz mungu awatie nguvu miyoyon mwao

  • @missp-dv6qd
    @missp-dv6qdАй бұрын

    Haya ni matokeo ya kuumizana na mtu kukuona mpumbavu na mjinga flani hivi unauliza vitu unajibiwa shombo ila pamoja na yote uamuzi mama aliochukua mgumu ameacha watoto ni kama yatima. Ukiona umepata mchepuko mrembo muache mkeo mtagombana utamuumiza lakini ukweli mapema unakuacha huru. Mwanaume kapenda uzinzi mpaka umemuaa

  • @user-fz1ph3cn4s

    @user-fz1ph3cn4s

    Ай бұрын

    Ukiona mumeomkapata mchepuko huwezinjuvumilia nenda mahakamani nuachane lakini dinkumuua. Sasa watoto wamebaki.peke yao.

  • @ElizabethMkini

    @ElizabethMkini

    Ай бұрын

    Tatizo umalaya kaka zetu hawa liziki ndo hapo...mshahara wa dhambi ni mauti...na hapo ukute katika kupigana na kujitetea bahati mbaya kikamchoma...unadhani huyo mama alitaka kumuua mumewe?! hapana...

  • @aishamakala8045
    @aishamakala8045Ай бұрын

    Mwenyezi mungu awatie nguvv watoto

  • @mesiamatheo2230
    @mesiamatheo2230Ай бұрын

    Mama alishindwa kuitawala hasira...ona Sasa...pole Kwa familia...

  • @khadijaamur6032
    @khadijaamur6032Ай бұрын

    Wamefanana na baba yao jamaniii. Hii tamaa ya mali zinatupeleka pabaya wanawake

  • @user-oz1pp1ck2m

    @user-oz1pp1ck2m

    Ай бұрын

    Sana copy

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86Ай бұрын

    Watoto hapo hawana baba wala mama, ndoa sio kitu cha kuforce kama mtu hakutaki move on na maisha yako

  • @lindaabraham5365
    @lindaabraham5365Ай бұрын

    Ongeeni na watoto wenu, ndugu, wakileta wanawake wengine wakanyeni sio kufurahia. Haya ndiyo madhara ya zinaa. Umemchoka mke wako mwache nenda kaoe mwingine. Wanaume kama hamwezi kuwa na mwanamke mmoja si muishi peke yenu mfanye ufuska mkiwa free? Pole Beatrice

  • @IreneBwire-ww3zk
    @IreneBwire-ww3zkАй бұрын

    Poleni wafiwa mungu awape ujasiri , Lakini tuache kutoa hukumu hp duniani ,mkumbuke kwa mungu hakuna SIRI HASA DHAMBI YA KUZINI,utasali sn na majitoleo mengi Lakini mungu akiamua kufunua tabia yk ijulikane ndio hivyo Mtaongea yote na sheria mtumie lakini mtoa kibari cha uhai / pumzi ni mungu mwenyewe anaelewa sitahiki ya kila mwanadamu

  • @ezrommussamusssa2540
    @ezrommussamusssa2540Ай бұрын

    Hii ndo 50% to 50% wanayoitaka wanawake

  • @charlottegichogo
    @charlottegichogoАй бұрын

    Hiii ndo maan halis ya tutagawan majengo ya serikal

  • @YasintaJacob
    @YasintaJacobАй бұрын

    Polen jamn Mungu awatie nguvu

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852Ай бұрын

    Wanawake tunapitia magumu sana hasa wake wa ndoa wanaishi kwa mateso sana hivi uko mstari wa mbele kanisani na shirika la moyo wa yesu alafu hata kutulia hutulii si laana hiyo saa ingine mungu anaruhusu tatinzo kwa tabia zako mbaya dini yake hairuhusu poleni sana nachojua ni shetani tuu iko ck atatoka akalee wtt wake mama ni mama tuu hata angekuwa kichaa mtakujakuniambia

  • @aishahamisi5854
    @aishahamisi5854Ай бұрын

    Kuna wakat ukiwa na family usimfatilie sana mwanaume ona 😢😢sasa watt wamebak yatma ghafla

  • @janifajani8875
    @janifajani8875Ай бұрын

    Watt wamefanana na baba yao adi bas

  • @aishalobullu76
    @aishalobullu76Ай бұрын

    sijui ni macho yangu ndio mabovu au sielewi hapo naona watt watano wakiume wa tatu wakike wawili na wosia unasema wakike watano wakiume wawili

  • @vero57
    @vero57Ай бұрын

    Wewe mama ona watoto wako wanavyo onekana!!! Kwanini lakini???

  • @DativaMbowe

    @DativaMbowe

    Ай бұрын

    😭😭😭

  • @user-gc2bk4rq9k
    @user-gc2bk4rq9kАй бұрын

    Huyu Mama kakosa Hekima ya Tuu .ukishajua ana mke mwingine kuwa busy na watoto wako na kujitoa kanisana utapata maarifa na Hekima...tuu

  • @MagdalenaMatiko
    @MagdalenaMatikoАй бұрын

    Nikiwazaga huu ujinga namwambia shetani pita mbali watoto wangu nitamwachia nani

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222Ай бұрын

    Watoto wamebaki yatima dahhh😢

  • @nwntz
    @nwntzАй бұрын

    Usiendeshwe na hisia nig , mama kabaki na watoto kaua mzizi, kaua mwanzilish wa familia, kaua kichwa, kaua kila ndoto ya familia damn.

  • @busandashanyangi6742
    @busandashanyangi6742Ай бұрын

    Watoto wameachwa wadogo jamani!?! Ukatili una madhara

  • @AnethWambura
    @AnethWamburaАй бұрын

    Jamani wanawake ss ndo chanzo cha mifarakano katka ndoa nying za waty...unajua kbsa mty ana mume kwann uingilie lakn m namlaani b mdogoo laana imfike maisha yake yoteee yy ndo chanzo cha mwanamke mwenzake kuwa gerezani

  • @sharewithhope1229
    @sharewithhope1229Ай бұрын

    Yesu pekee ndiye mfariji wa kweli , Kila mtu anamwitaji Yesu kwenye maisha yake

  • @HappysangaHappy
    @HappysangaHappyАй бұрын

    Wameliza watoto jmn daah niwadogo maisha ya bila baba wala mama nimagumu sana hasira hasara

  • @juditholotu7249
    @juditholotu7249Ай бұрын

    Wanaume wengi wamesababishia wake zao kupata tatizo la afya ya akili

  • @SophiaMbuya-zt8mw
    @SophiaMbuya-zt8mwАй бұрын

    Pole sana catherine

  • @user-bx5wz7bo5l
    @user-bx5wz7bo5lАй бұрын

    Poleni Watoto maana ndoo tumeachiwa mzizi mzito wa dhambi ya kurithi tujitahidi isitokee kwetu. Wazazi wameshindwa kuaminiana basi

  • @WiniRasirasi
    @WiniRasirasi28 күн бұрын

    Amina

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lxАй бұрын

    Wanawake wa Moshi Mimi nawaogopa sana maana matukiyo kwenu yamekuwa mengi sana mala kuuwa wazazi Kisa Mali mala muuwe wame zenu namengineyo mengi njiee TU duuuu

  • @TimaMohammed-pn9eh
    @TimaMohammed-pn9ehАй бұрын

    Pole ni sanamipago ya mungu

  • @stanleyamlima2085
    @stanleyamlima2085Ай бұрын

    Wanawake wanaroho mbayaaaaaaaaaaaaa.....!!!!!

  • @AnethWambura
    @AnethWamburaАй бұрын

    Tutafutien mke mdogo chanzo cha kifo cha huyu baba

  • @user-ti8ym7bm8p
    @user-ti8ym7bm8pАй бұрын

    Huruma kwa watoto hawa wadogo kuishi bla wazazi huyo mama najua atafungwa miaka mingi 😭😭😭😭

  • @Ibrahimkidee
    @IbrahimkideeАй бұрын

    Polen saaana Najua ngum lakn Haina jins

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936Ай бұрын

    Nyie shabikia mnajua maumivu nyiyni ya mapenz mnahangaika kutafuta pesa kwa bidii mkishafanikiwa mwenzako anaenda kutawanya pesa kwa wanawake wengine unazan yeye ana moyo wa chuma japo angetumia busara tu na hyo mwanaume akakipumzishe kwa amani sasa hicho kinanii chake.

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421Ай бұрын

    Unakuwa unajisikiaje watu wanalia na wewe ndo muuaji, ila shetani anamipango ya uchonganishi sana.

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9zАй бұрын

    Bibilia inasema shahara wa dhambi ni mauti,alicho kifanya Huyo mama mshahara wake ni mauti.Hakuna cha upendo hapo.Upendo husitiri wingi wa dhambi na wivu ni dhambi.

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471Ай бұрын

    MUNGU awatie nguvu 😭😭 jamani awape utayari wa kupokea jambo hili zito na lenye majonzi

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vzАй бұрын

    Kawaida wanawake w kichaga kua waume zao,akiwa na Hella,hilo halina shaka n kawaida, yao,mlo oa wachaga tujipange,

  • @annammary5593

    @annammary5593

    Ай бұрын

    Si kweli, huyo kaua kwa sababu ya wivu wa mapenzi

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058Ай бұрын

    Kama yule mke wa muuza madini aliachiwa huru hata huyu ataachiwa tena serekali yetu bado sana marehemu hana haki Mungu awatunze tu 'mpendane😭😭😭🙏

  • @vero57
    @vero57Ай бұрын

    Poleni sana watoto wa marehemu,

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Ай бұрын

    Poleni watoto

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mbАй бұрын

    Sioni shada la mchepuko. Na mchepuko hauna cha kupoteza maana kaachiwa bonge la nyumba na ma biashara. Aliyepoteza ni huyo mwenye mume wake na watoto😢

  • @RuthRobert-pz5jb
    @RuthRobert-pz5jbАй бұрын

    😮

  • @malelamalela1362
    @malelamalela1362Ай бұрын

    Inauma sana

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491Ай бұрын

    Polen sn jamani

  • @annammary5593
    @annammary5593Ай бұрын

    Mi natamani hizi taratibu za kanisa kusema hakuna cha kutenganisha ndoa zaidi ya kifo matokeo yake ndo haya... Hawa huenda walishakuwa na migogoro muda mrefu ila kwa sababu ya ndoa ndo matokeo hayo. Watu wameshashindwa ila wanaishi tu kwa sababu ya ndoa. Sheria za ndoa zilegeze mashart

  • @baddestgames2784
    @baddestgames2784Ай бұрын

    Kwaiyo watoto watakuwa wanasema mama alimuua baba 😢 Na waombee wapate akili na mwongozo wafanikiwe katka maisha maana kuna lawama zitakua juu ya mama yao

  • @musampanda3643
    @musampanda3643Ай бұрын

    Ila wanawake wa kichaga bhn nilitakaga kuoa nikaairisha

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2nАй бұрын

    Shetani kitu mbaya sana ona kamshawishi mke kaua mume tafsiri yake mke anaenda jela....watoto wanabaki wapweke😢

  • @GloryMwacha-fw4qb
    @GloryMwacha-fw4qbАй бұрын

    James pole sana kwa msiba

  • @husnasaeed6353
    @husnasaeed6353Ай бұрын

    Daaah Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @lydiamsheri4095

    @lydiamsheri4095

    Ай бұрын

    Mungu ameruhusu jambo lake tushukuru tuu.Wanadamu tunankeraaaaaaa sio siri

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vzАй бұрын

    Hio c mipango ya Mungu una tuharibia siku,umetumwa nn yan mtu aue w useme mipango y Allah,eb huko ww,

  • @user-lw5we3jy6o
    @user-lw5we3jy6oАй бұрын

    Mungu awatie nguvuu

  • @rozasamwel2023
    @rozasamwel2023Ай бұрын

    Ni huzun yenye fundisho😢

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222Ай бұрын

    So sad😢😢😢😢😢

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179Ай бұрын

    Baba amekufa mam jel watoto wanabaki yatima 😢😢 jamai hiz ndoa naz sasa ni vifungo

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    Ай бұрын

    Watoto watateseka maana,Mali huwa zinasababisha watoto kunyanyasika

  • @GloryMwacha-fw4qb
    @GloryMwacha-fw4qbАй бұрын

    Polen 😢sana watoto jaman tumuogope mungu kwa kweli

Келесі