MY LIFE FULL MOVIE
Фильм және анимация
#Bhailam#clamvevo #Rahel#Gumbo#
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: www.youtube.com/@ComedyPlustz...
Like Ukurasa wetu wa Facebook : profile.php?...
Пікірлер: 233
Jamani munaompenda Bailamu kama mimi mnipe japo like 10
@user-is1nd7xh3o
7 ай бұрын
Chukuaaaa👍👍👍👍
@JosephatStansalaus-fq4ln
6 ай бұрын
Hongera sana kaka bailamu Kwa Kaz zako nzuri
@JosephatStansalaus-fq4ln
6 ай бұрын
👍👍👍👍
Bailam unaweza sana ila kwenye hii Ngoma umeonesha uwezo zaidi baba kundi lenu halina mnyonge nawapa hongera Kaz nzuri
Naombeni like hata 5 ❤❤❤❤❤😊
Mwamba huyu hapa king Simba bhailam hii imeenda kweli kweli 😢😢😢😢😢
Bailam wewe ni noma kabisa una nikumbusha kanumba nakupenda sana
Huyo kaka anasauti nzuri hvo sikutegemea
Félicitations bhailamu unaweza yani kila rôle unaipatiya ongera sana 🎉
Bhailam watesa mwenzio maskini poleni mtu nakaka❤❤
Nimeshindwa kuzuia machozi😢., mapenzi yanaweza yakambadilsha mtu kweli😮😮😮
Bailam anapenda sana kulia jaman Hadi kamasi😅😅
😂😂😂😂😂😂😮I feel the pain of big brother 😢😢so sad
Bhailam unapendwa kutoka kenya❤❤❤
Bailam anafanya vizuli bongo movie yasasa❤❤🙏🙏
Wapendwa naombeni like 2😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii miamba n noma Bailam mm naona ndo Kanumba haswa, angalia uhusika, serious, comedy n.k
Bro ngoma nzuri rekebisha sauti ipo chini sana
Aseeee wanangu hiii kitu ni moto 🎉 mmefanya kitu ambacho ni moto .
It's so heart touching💔....Haina tafauti yoyote na maisha niliyo nayo....nimekua kwa nguvu za mola na jitihada za single mother😥
@kuchiafricancinema
6 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dYuDx9uKdqrAgNY.html
Bailam nimipenda sana 🇲🇿🇲🇿 my life.. minha vida
Kazi safi sana👍👍
Clam jaman midomo italemaaa ndg yangu
Congratulations bhailam❤❤❤❤
Félicitations encore les cinéastes 👍👍👍
@kuchiafricancinema
6 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dYuDx9uKdqrAgNY.html
Kweli kafa 😮😮😮😮duu mm nitasema babayake ndochazo
That woman should have joined forces with bailam, watengeneze mzee😂😂😂
Bhailam kwangu ni king 👑 kwangu namukubali sana kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Bailam umecheza Sana hongereni na wapenda nyote ❤❤❤❤❤❤❤
Bhailam Lion 🦁 Voicee
it is nice movie bhailam you are te great
Wazazi wapate fundisho mmeowa sana wanyabi
Congratulations bhailam
😂😂😂😂😂😂😂mm ningehama mji mana sikwausumbufuu hu na huyu bhailam
Eti .it was very nice...amekuwa kalamu
@Nimriysbabe984
7 ай бұрын
Kumbe na ww umeskia hiyo kizungu 😹😹😹🙌
@bosslady1286
7 ай бұрын
Nimecheka kwa sauti🤣🤣🤣🤣🤣😅😅
Kazi nzuri brother, daah Sema ungeirefusha kidogo tuona recho atakavyoreact baada ya kupata taarifa za msiba.
@ArafaMussah
5 ай бұрын
Ni kweli pamoja na baba yake vipi angelijutia
Mimi sichaguliwi mtu jamani mwandawazimu nimempenda mwenyewe khaaa wazazi wabadilike jamani
Wazee jitahidn izo sijui soundtrack/ background voice ziwe soft kusikiza night na nge ngeee inaogopesha ...content is super ...nimepeielewa
Hii move imenifanya nimelia sana kaka yake bailamu kaniliza sana
Bhailam kiukwl nakupenda sana gisiii unavyo igiza😂
😂😂Eti anajifanya AWILO LONGOMBA😂😂😂😂 nimependa hiyo from🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@nancyg8664
7 ай бұрын
😆😆😆😆
Nic movie sinema nzuri sn kabis kabis
Bhailam ❤❤
Tuleteyenai ukewenza tumaliziye jamani
Bhailam unafanana sana na stivin kanumba
Gumbo kata hizo nywele utapendeza sana
Mikazo ziiro 😂😂
Jaman najua nimechlwa IL naomb nsem nmelia San n sjui Kwann
Yaani hii imeenda sanaaa
safi sana umetisha
Bhailam nichida kwl kwl😂😂😂😂😂😂😂anachekesha mnook
King simba ❤❤❤❤❤
Safi ❤
Hii mobie inafaa kua na likes 1M, na comments mob sana ❤❤
@kuchiafricancinema
6 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dYuDx9uKdqrAgNY.html
Bailam hii movie umeipiga vizuri sana na hata huyo mwanamke kaigiza vizuri mno pia hata huyo brother ako kaigiza more than other
Bhai lum you genius mamem🤏👨🏫✌
Gumbo na bahlam ndugu wenye kupendana
Movie ilikuwa nzr sana mmekosea ki2 kimoja2 mwisho baba hajashuhudia mtoto wake kuwa kafariki ili ajutie maamuzi yake pili ilitakiwa na yule dada aliemwambia kuwa ckupendi nae ashuhudie kuwa jamaa kafa kwa ajili yake jamani mbona movie za Kanumba zilikuwa na mwisho mzuri hivi nyie vijana we2 wa sasa ubunifu wenu umeishia wp mnatuboa sana kiukweli
@isaackkipkirui7385
7 ай бұрын
Fanya yako uweke mwisho nzuri
#MAONI TU IANDALIWE PART 2. ILI ILETE TASWIRA KWA MZEE NA MCHUMBA WAKE PIA ITAKAA POA ZAID
Bhailam anajua kuigiz kbx
Kaz nzuri bhailam
Movie nzuri ya huzuni😢😢😢😢😢
Oiii bailam hizi sound effects zipo juu Sanaa next movie embu balance vizury
Una mke bailam
Bailamu jina Kali kulingana na kazi zake .😂😂😂😂
Mashallah nice ❤❤❤❤❤❤❤
Aki nimelia
Huyo mwanake ana upuzi sana yani unatetewa kisha unajidai eti n mme wako basi ukifaa kufa tu bwana bahilam god job
Mapenzi yanatesa sana😢😢😢
Duh mbona huyu Mzee yuwamuonesha unyonge huyu kaka wa Bailam 😂😂😂😂 movie smart ya mafunzo wako wazazi wa style hyo😢😢😢
@mwanahamisisadiki4892
3 ай бұрын
Tena wako sana😢
Movie kali but title name mmekosea Movie ya kiswahili title ingekuwa swahili big up brother umeuwa
Wewe hatari kwl
Hongera kaka nakuoenda xaana kwa movie zako na usiriasi wa kuigiza big up
We bhailam wata kuuuwa wewe😂😂😂😂
Mwisho wa mapenz nini kiupande wa mwanamke na upande wa baba
Nice anakaz nzur san bhailam jamn
Bailam unaweza br...
Nakukubal bairamu kinomaaaa
Kaka hii movie imecheza Kwa hisia Kali sana nimependa imenigusa kwani Kuna wakati nilipitiwa kama huo nililazwa miezi sita, kaka unajua
Kitu Iko sawa kabisa keep it up again kama hii Tena ❤
🎉🎉🎉🎉imeweza funzo kwa wazazi
Bonge la movie funzo kwa wazaz
Bhailam wamtesa kakako jamen 😢😢😢
Bhailam pokea 🎉🎉🎉 yako
Nice
Jmn hii ni kali yaan naangalia kuazia mwanzo wa movies nmelia adi mwisho ba
The real definition of Bhailam
Brother for brother
Miwanawake mengine mishamba kwely yan inaznguw axa yan inaxaidiwa inaleta zakuleta kama ni mm nalipiga yeye na mume wake.
Bhalam🎉🎉🎉🎉🎉
Thank you brother God bless very more and more
Mnatuliza jaman e😭
mapenzi hayo daaa
The new mkude simba. Good work
Hii imeenda mzee
Bhailam we ninoma ongera sana
😁😁😁😁😁🤣Bala noma 🇧🇮
Next ❤❤❤❤❤
Namuonea huluma mkubwa wake bailm matusi anatukanwa kama analelewa na baba wa kambo uuum.
Brother bairam inatosha Sana kaka
😂bailam 😂 nikanumba mpya
Big up sana