Binti Yangu | Tafadhali Kila Msichana Anapaswa Kutazama Hii | A Swahiliwood Bongo Movie

Фильм және анимация

This Swahili Bongo movie is about a young girl who is being forced by her father to getmarried to someone she doesnt want.
A Swahili Bongo movie starring; Fadhili Msisiri, Bi Nono, Mariam Kassim
Movie title - Binti Yangu
Aforevo ID -
#bongomovies #swahilimovies #mozambiquehere

Пікірлер: 85

  • @MeswalehShaban-mg5kk
    @MeswalehShaban-mg5kk11 ай бұрын

    Kweli tui la kwanz la pili maji...mashallah tabarak Allah ❤..funzo zuri sna ..Mungu awajalie nyote mlioshirik ktik hii filamu ❤..nawapend bure nyote..

  • @rehemabakari7425

    @rehemabakari7425

    10 ай бұрын

    Mwanakulitaka mwanakulitafuta

  • @mpagikhatib3684
    @mpagikhatib368411 ай бұрын

    Masha Allah hizi ndio mishozo inayo takia kwenye Jamie nimeipenda Sana imenifundisha mengi

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le11 ай бұрын

    Yaan binti unakataa kuolewa halaf nje unazini, binti unahiari ubebe mimba nje kulko kuolewa tunakosea sana sisi mabinti😢😢😢😢wanaume washenz kwel kwel mm ndo mana sina imani nao wallah

  • @sumayyahally3199
    @sumayyahally319911 ай бұрын

    Nimejifunza nimependa fundisho zuri mashaallah 🎉

  • @EpimackChami

    @EpimackChami

    8 ай бұрын

    Broo Kama mtu akutak jikatae

  • @salumuramadhaneddi2388
    @salumuramadhaneddi2388Ай бұрын

    Shadia &Amina umezicheza mnooooh

  • @appsplay4324
    @appsplay432411 ай бұрын

    Movie nzuri ❤❤❤from Kenya 😊

  • @ZainabuSalim-vn5gp
    @ZainabuSalim-vn5gp10 ай бұрын

    Mashallah may God bless you but dunia yafunza has

  • @maryd1538
    @maryd153811 ай бұрын

    Mashallah movie nzur san nimeipend❤❤💥

  • @shabanmaulana8594
    @shabanmaulana859411 ай бұрын

    Haya mambo ya tokea kweli kabisa, watoto wakike wanasubuliwa sana katika ujana ,unakata kheri unafata sharii, wapo wengi Duniani wengine umalizikia kufa kwa kutoa mimba.mitihani kweli.

  • @xxpolicexx6781

    @xxpolicexx6781

    9 ай бұрын

    Mungu atulindie watoto wetu Ameen

  • @andrew0502
    @andrew050210 ай бұрын

    Huyu dada aliyeigiza kama Amina anajua sana na Kuna movie ingine ameenda kama Shadia duu nampenda sana ila namhurumia yeye wanaume anaowapenda wanakujaga kumuumiza tu mwishoni,,

  • @Dama-sd4qk

    @Dama-sd4qk

    5 ай бұрын

    Mambo

  • @salumuramadhaneddi2388

    @salumuramadhaneddi2388

    Ай бұрын

    Movie ya shadia ata mm nimeipenda mnooooh

  • @user-up7uo8dw7o

    @user-up7uo8dw7o

    Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-fearless7kulth0um
    @user-fearless7kulth0um9 ай бұрын

    Stori nzuri mashallah😊lakini kuna makosa mengi yamejitokeza mfano, stori imejikita katika mwez Wa ramadhan na kisha muhisika mwingine miezi ya kujifungua imekaribia na kijana Rashid alimchumbia amina ndani ya mwezi❤huohuo.. Kuweni makini msiigize kimazoea ili muonekane Ndio maana soko la sanaa linapolomoka yote kwa sababu yenu mnaojiona mnajua kuigiza mkijitizama kwenye vioo na kumbe hamna kitu😂

  • @user-yx6zq9bp1s
    @user-yx6zq9bp1s9 ай бұрын

    Mashaallah movie nzr Ina mafunzo

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti9 ай бұрын

    Masha Allah inamafunzo mazur♥️♥️🙏

  • @lydiahayieta5611
    @lydiahayieta56119 ай бұрын

    Video nzuri ❤nimeipenda

  • @mwanamisikadongo8596
    @mwanamisikadongo85969 ай бұрын

    Mafundisho mazuru sana asanteni Sana Kwa kazi njema ❤❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪👏

  • @MariaFilibert-wf3om
    @MariaFilibert-wf3om11 ай бұрын

    Duuuuuuuh kweli imenifunza leo

  • @xxpolicexx6781

    @xxpolicexx6781

    9 ай бұрын

    Ikufunze 2 hahaha

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein678411 ай бұрын

    Baba Aminah MashaAllaah mtu an dini yake na laiti wazee wetu wangelifuwa hivi ingelikuwa ni khery

  • @xxpolicexx6781

    @xxpolicexx6781

    9 ай бұрын

    Wengine 2 wengine wana dining zao

  • @user-jj4id8vq2d
    @user-jj4id8vq2d6 ай бұрын

    Nimejifunza kitu asante saana baba Amina👏🏿

  • @Dama-sd4qk
    @Dama-sd4qk5 ай бұрын

    MashaAIIa h hizin diomishozo inayotakwenye jami enimeipe nda sana imenifundishamengi

  • @ManirambonaElie-wf1eg
    @ManirambonaElie-wf1eg11 ай бұрын

    Mimi nataka kumujuwa huyo mzee mabuya

  • @OmaryAthumani-ii3kc
    @OmaryAthumani-ii3kcАй бұрын

    Mungu awakuze na awalinde watunzi wahii filam

  • @mariamkassimu5040
    @mariamkassimu504011 ай бұрын

    MashaAllah move zuri kwa wtoto waki lsilamu ❤❤❤❤❤❤❤

  • @Cheboiywo2020

    @Cheboiywo2020

    11 ай бұрын

    ..na wa kikritu😢

  • @SeleMsami-ws5ch
    @SeleMsami-ws5ch4 ай бұрын

    Ana kazi nzuri sana dada 🎉tumpe mauwa yake❤❤💯🥀

  • @nassiryahya
    @nassiryahya11 ай бұрын

    Huuu sijui ni uislam wa aina gani jaman

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    11 ай бұрын

    Kwa nn

  • @rajabuahamadi6188

    @rajabuahamadi6188

    10 ай бұрын

    Waoooooh amaizing, that is what we need

  • @siramira9412

    @siramira9412

    10 ай бұрын

    Mtihan mkubw saan

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f11 ай бұрын

    Mm namfagilia sana mzee msisili

  • @WardaYusuph-hz5yl
    @WardaYusuph-hz5yl11 ай бұрын

    Duh yalio mkuta Aminatujiazali na wasicha na wengine tulio baki

  • @user-hf6hl7ky5o
    @user-hf6hl7ky5o6 ай бұрын

    kwa kweli naipenda tena na mi penda sijui uyu ni mtoto wa wapi siyo mtoto wa uyu baba apana kwa sababu hana masikyo

  • @ZawiyaAdamu
    @ZawiyaAdamu5 ай бұрын

    Mashaallaah nakupenda sana we dada

  • @user-hy9pp5rp9i
    @user-hy9pp5rp9i11 ай бұрын

    Mama amina kafana na mama ana wa jua kali

  • @saidahmed9688
    @saidahmed968811 ай бұрын

    good movie

  • @JayJay-po3xt
    @JayJay-po3xt11 ай бұрын

    Maasha Allah

  • @user-pn5tu6vs5o
    @user-pn5tu6vs5o9 ай бұрын

    Good movie

  • @user-yn7wk4re9z
    @user-yn7wk4re9z3 ай бұрын

    Wewe mwezangu amina choz huna jitahid ukilia tuoneshe machoz

  • @user-kl3cw9sl2z
    @user-kl3cw9sl2z9 ай бұрын

    Histtoria nzuri na ina mafundisho mazuri

  • @GriffinNgala
    @GriffinNgala11 ай бұрын

    Woow it has a very good moral values

  • @user-gl9dm1ex4q
    @user-gl9dm1ex4q8 ай бұрын

    Nzuri Sana❤❤❤❤❤

  • @sadakashushu5747
    @sadakashushu57478 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @alimohd3788
    @alimohd378810 ай бұрын

    Duuuu ! Mtihani

  • @user-ls8xd2ji4m
    @user-ls8xd2ji4m2 ай бұрын

    Okay mini natoka mayanja milo

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula70809 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y9 ай бұрын

    LOOK EVERYTHING IS GONE WRONG 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd205211 ай бұрын

    Mashaalah❤💖

  • @shaharhashim2529
    @shaharhashim25295 ай бұрын

    Mov ya maadili ya kujifunza

  • @aminatosha4631
    @aminatosha463111 ай бұрын

    Mbona Amina baba

  • @user-kl3cw9sl2z
    @user-kl3cw9sl2z9 ай бұрын

    Huyu mzee anajua kuekti kweli kweli apewe soda nitalipa

  • @DorkasVisent
    @DorkasVisent2 ай бұрын

    😂😂😂😂mwali anamambo ya kinini😂😂😂emu lundia apoooo

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni22908 ай бұрын

    Asie sikia la mkuu! Uvunjika guu

  • @user-hx3gl7kd8d
    @user-hx3gl7kd8d11 ай бұрын

    Hapanikweli Ina Bamba sanatu,

  • @user-ez6lv7di5n
    @user-ez6lv7di5n9 ай бұрын

    Ongela San baba

  • @user-hx3gl7kd8d
    @user-hx3gl7kd8d11 ай бұрын

    Baba Amina moto kuoteambali😂

  • @aishaadamu6881
    @aishaadamu688110 ай бұрын

    Shukurani kwanasah nzuri tu kiukweli nimejifunza kitu

  • @alimohd3788

    @alimohd3788

    10 ай бұрын

    Umejifuza nn kwenye mchezo huu

  • @bintyusuf5
    @bintyusuf511 ай бұрын

    Next

  • @alimohd3788
    @alimohd378810 ай бұрын

    Mhh

  • @hafsanizeyimana8178
    @hafsanizeyimana81789 ай бұрын

    Huyu mama shida haoni kama mtoto anakosa kila saa msameh

  • @user-ez6lv7di5n
    @user-ez6lv7di5n9 ай бұрын

    Shulman bab wengine waige hili

  • @frankmasala8002
    @frankmasala80023 ай бұрын

    Sitaki natak msisiri bwan

  • @frankmasala8002
    @frankmasala80023 ай бұрын

    Sio kwa jocho hilo

  • @ManirambonaElie-wf1eg
    @ManirambonaElie-wf1eg11 ай бұрын

    Nataka kupata namba ya huyo aliyeigiza kama mtoto wa mabuya

  • @fatmafatu1128

    @fatmafatu1128

    11 ай бұрын

    Ili?

  • @user-jx8nl1pp9e
    @user-jx8nl1pp9e11 ай бұрын

  • @TumainiMoggah-ge5zt
    @TumainiMoggah-ge5zt8 ай бұрын

    Mhm ila yombo sio kwa vituko ivo😂😂😂😂

  • @bakarbakarali-cw3gc
    @bakarbakarali-cw3gc11 ай бұрын

    Tui lakwanza lapili maji

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid235610 ай бұрын

    😂😂 kimemuramba amina

  • @nassiryahya
    @nassiryahya11 ай бұрын

    Ivi watu wamekosa mafunzo kwenye gur,an hata huuu mchezo ndio wenye mafuzo kweli

  • @chingaa918
    @chingaa91810 ай бұрын

    ptp

  • @salumuramadhaneddi2388

    @salumuramadhaneddi2388

    Ай бұрын

    Asalaam alaykum Binti Naomba namb zako

  • @mishymadamspeaker1256
    @mishymadamspeaker125610 ай бұрын

    Mambo ya kumlazimu binti kuolewa na mtu ambae hampendi yalipitwa na wakati

  • @aminamloka7545

    @aminamloka7545

    Ай бұрын

    Sawa lkn Jambo la kukataa kuolewa Kisha ukazini Hilo ndo lnaenda na wakati!!??? Tujitahd kufanya maamuzi yetu kwa ajiri ya Allah tuache tuyapendayo kwaajiri ya Allah na na tufanye mambo kwa ajiri ya allah Ila makosa yapo kufanya Toba ndo muhm

  • @omanyaladismas3882

    @omanyaladismas3882

    2 күн бұрын

  • @omanyaladismas3882

    @omanyaladismas3882

    2 күн бұрын

    I❤ the movie 😂

  • @HalimaHalima-rw5os
    @HalimaHalima-rw5os11 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @comedian1168

    @comedian1168

    10 ай бұрын

    Hi

Келесі