MAPYA YAIBUKA NYUMBANI MUME ALIYEUAWA NA MKE MOSHI "ALIMJENGEA MKE MDOGO FAMILIA HATUJUI"

Пікірлер: 520

  • @annarosegodfreymuro1194
    @annarosegodfreymuro11942 ай бұрын

    Mwanamke mwenzangu ukiona ndoa yako haina amani mwachie Mungu, chagua wanao, hakikisha wanapata elimu na malezi bora, jipende, jithamini, jipe raha, naamini utakuwa na amani sana ktk haya maisha. Mwanaume akikengeuka ni Mungu tu peke yake anaweza akambadirisha, hata upige kelele unajiumiza, hakikisha unapambana na kulea wanao mengine mwachie Mungu. Inasikitisha kuwaacha watoto yatima na kupoteza mwelekeo hasa ktk dunia hii ya sasa, Mungu tusaidie wanawake

  • @FaridaMahami-zw1mv

    @FaridaMahami-zw1mv

    Ай бұрын

    Umenena yaliyo kweliiii

  • @user-gg5db8ux4u

    @user-gg5db8ux4u

    Ай бұрын

    Aamin

  • @nesielias9493
    @nesielias94932 ай бұрын

    Unazaa na mwanaume watoto 6 unamuuwa kwajiri ya bi mdogo watoto wanakuwa yatima kwajiri hasira za kipumbavu😭

  • @kanankirannko6174

    @kanankirannko6174

    2 ай бұрын

    Na bado unaenda jela duh hapana akiamua ahamie huko kabisa

  • @betyjoseph6812

    @betyjoseph6812

    2 ай бұрын

    Sahiv anajuta,, hasira hasara

  • @csato9415

    @csato9415

    2 ай бұрын

    ​@@betyjoseph6812 Ndio hivyo ukiwa na hasira usifanye MAAMUZI na ukiwa na furaha USIAHIDI.

  • @valeriamtenga3384

    @valeriamtenga3384

    2 ай бұрын

    Ningewaza watoto wote 6 hapana aise Afu watoto wanavyomweka busy mwanamke, Aende tu, wengi tu tumeumizwa na mapenzi na tumeanza a , kwa kusema unazaliwa Uchi na utakufa Uchi Kisasi kikizidi moyo wa mwanadamu lazima alipize! Tujitaidi kusoma neno na kuomba, dunia ina maumivu mengi sana

  • @twiseghekisilu8845

    @twiseghekisilu8845

    2 ай бұрын

    Mpumbavu Sana huyu mama!watoto sita bado una wivu wakijinga hivyo!nyoko zake huyu dada

  • @ACHP-o20
    @ACHP-o202 ай бұрын

    Haya miungu ya duniani najua uyu mwanamke hakupanga kumuuwa mume wake jumbo povu tu limemuangukia ila maumivu ya kusalitiwa anayajua Mungu mama wa watu na kwenda jehanamu ndogo leba mara sita bado kiumbe cha Mungu kikatafuta mwingine na tisa kumi kamjengea kimada yamkinii mwanamke uyo alilala njaa alipokuwa anatafuta na uyo mwanaume leo kimtu kinakuja kumenya tu kwa kuondoa ukakasi eti mke mdogo toka lini wakristo wakaoa wake wawili binadamu tuache unafiki hao mashemeji,mawifi na wanaona mke kakosea sana ingefika kwao wangefanya ukatili mara tano ya hivyo

  • @DM.2200

    @DM.2200

    2 ай бұрын

    Upo sawa kabsa yani iweje mtu eti aje kula kirahisi na mwenzake anapigwa jua lautosi kwenye biashara zake kila siku ata wasimlaumu huyo mke mkubwa stress kamletea mume wake na zimemmaliza yy

  • @valeriamtenga3384

    @valeriamtenga3384

    2 ай бұрын

    So alivyoua imempa nn zaidi ya kutesa uzao wake? Hiyo ni hukumu ya kibinadanu

  • @jamesjoseph6825

    @jamesjoseph6825

    2 ай бұрын

    Roho mbaya na wivu, hata kama alilala njaa ndo uende kuua? Kwani upo nyumbani tena mjengo mkubwa hivyo huli? Hulali? Shida ni nini mpk ukaue kisa eti umemkuta kwa mke mdogo? Hapo angekua mwanaume ndo kaua sidhani kama haya maneno ungeyaongea. Angeua mwanaume hapo ungesema kama umemchoka mwache wala hilo neno maumivu ya kusalitiwa usingeliweka, all in all haijalishi nini kimekutokea kwenye maisha kwanza kaa chini umshirikishe Mungu

  • @ubuntubantu2404

    @ubuntubantu2404

    2 ай бұрын

    @rosetemba una nyota ya mauwaji dada yangu, ikemee

  • @jescarwegoshola1754

    @jescarwegoshola1754

    2 ай бұрын

    Umeonae

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza25552 ай бұрын

    Trust me mtu Wakulaumiwa ni aliyeingilia ndoa ya watu 😢😢sababu angetulia na amuache mume wa watu yote haya yasingetokea.Ndoa na iheshimiwe na watu wote

  • @GloryMariki-ng6gf

    @GloryMariki-ng6gf

    2 ай бұрын

    Wakulaumiwa ni huyo mwanaume mwenyewe... kwanini hakutunza agano la ndoa aliloliweka kwa mkewe?? Asingemtongoza huyo mchepuko wangeingiaje kwenye mahusiano

  • @gracegeorge4848

    @gracegeorge4848

    2 ай бұрын

    Kakojoe ulale hakunaga mume wa mtuuuu.ndo maana mwanaume ndo anaetoa mahari na si mwanamke

  • @merygodfrey3709

    @merygodfrey3709

    2 ай бұрын

    Soo kusema wanawake wa kichaga.Watu wangapi wameuwawa bila hatia na wake zao au waume zao?WW umeona ni wachaga tuu.Acheni Zenu Shetani yupo kazini na hofu ya Mungu ikikutoka lolote waweza fanya. 2. Mambo ya ndani kwa wanandoa ni siri kubwa sana hakuna wa kumlaumu wala kuhukumiwa.

  • @PeninaJonh

    @PeninaJonh

    Ай бұрын

    Hakika umenena vyema

  • @sarahfuraha875

    @sarahfuraha875

    Ай бұрын

    ​@@gracegeorge4848Kwan huyo unayesema hakuna mume wa mtu anapokuwa anaapa kanisani ulisikia anasema atakuwa mume wa wake wengi? Nyie michepuko ndo mnasemaga hakuna mume wa mtu. Jitengeneze ufae kuitwa mke wa mtu dada..

  • @asteriashios1852
    @asteriashios18522 ай бұрын

    Kwa wakristo hakuna mke mdogo ni hawara au mchepuko na Kuna Siri kubwa hapo hiyo ndo shida ya kutotulia na mke wa ndoa inauma mume unamzalia watoto 6 na Bado anachepuka u Malaya siyo mnzuri

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    @ikulunimahalipatakatifu7642

    2 ай бұрын

    nazani si vizuri kuukumu kwa sababu maisha ya ndoa wanajua waliomo, wanawake mna mambo mengi tena ya mauzi sana wanaume uwa wanaamua kuwa kimya na kuendelea na maisha mengine..,

  • @EmmettOnike

    @EmmettOnike

    2 ай бұрын

    Mmh watu mnapenda kuhukumu Sasa akichepuka unamuua.una watoto wako sita unaua mtu Sasa unaenda jela wanao wanalelewa na nan?kabla ya kutenda fikiria kwanza

  • @NuruJara

    @NuruJara

    2 ай бұрын

    Jamani mm leo michepuko wa mume wangu amenipigia akanieleza kila kitu hata audio zipo amemkodishia sijui nifanyeje naumwa na moyo nko na miaka kumi sija wai kumcheat natetemeka sijui nifanyeje nk Kenya naomba msaada wenu yy hataki kukubali makosa

  • @Allybinamour

    @Allybinamour

    2 ай бұрын

    mume kakuzalia watoto 6 anachepuka hio ndo inauma lakini mwanamke kumuua mumewe hio haiumi sio?

  • @anunalamin6472

    @anunalamin6472

    2 ай бұрын

    ​@@NuruJarakimya usimuulize la heri wala shari ukimya ni jibu Tosha

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft2 ай бұрын

    Mtuhumiwa Ali mpenda sana mumewe jmn, ukiona mwanamke kakuzalia watoto wote hao ni kweli alikupenda kwa dhati na ndio mana ilimuuma sana kuona mwanaume kama ni watoto nimekupa lkn bado hawakutoshi unaenda kuongeza wengine unahamisha mapenzi kwa wanao wakubwa unapeleka kwa mchepuko hii inaumiza sana kwa ambae hajawah penda na akatendewa hivi anaweza ona ni mwanamke mkatili lkn hii ipo na inatokea sana tu mungu atuepushe kwa kweli

  • @mustafamsati9599

    @mustafamsati9599

    2 ай бұрын

    Hapana mtuhumiwa anaipendasana pesa hataki mtu mwengine hao ndio wanaoamini kuongeza mke ni kuzini wakati hilojambo lilianza tangia enzi za manabii

  • @mustafamsati9599

    @mustafamsati9599

    2 ай бұрын

    Hapana mtuhumiwa anaipendasana pesa hataki mtu mwengine hao ndio wanaoamini kuongeza mke ni kuzini wakati hilojambo lilianza tangia enzi za manabii

  • @EddahBure-te7ft

    @EddahBure-te7ft

    2 ай бұрын

    Nakupinga asilimia zote kwa mana manabii hakufanya sifa kama mnavyofanya nyie kwa sasa, kwanza mke hadi kufika kupatwa hasira kiasi hiko ni wazi mume hakukushirikisha kama anaoa imagine amemjengea hata familia yake haijui afu umfwatilie ukute mambo kama hayo jazba lazima ikukute tuu,, kama unge mwambia mkeo ukweli sizan kama angefanya hayo mwanamke anapenda kubembelezwa tu japo ukweli unauma lkn ingefika mda akazoea wangap tunawaona wapo mitara na wala hawajal mnakerekwa nyinyi majiran lkn wao wala hawastuki ni swala la mwanaume kua na busara tu lkn nyinyi mnafanya sifa sifa na kumkomoa mwanamke hapo ndo mnakosea, ww ukitaka kujua huyo alifanya hasira tu utaona ni kwann kakamatwa kama alipanga kumuua tu kwaajili ya mali si angeanza kupanga mipango yake mapema angehamisha watoto hata nje ya nchi na yeye akafanya tukio then akatoweka nani angempata ? Lkn ye kabak hapo hapo ni hasira tu na huwezi elewa hadi yakukute ko tuliopitia tunaelewa 👍​@@mustafamsati9599

  • @nasramohamedi4095

    @nasramohamedi4095

    2 ай бұрын

    Kwa ujinga huu czai tenaaa! Unamzalia mwanaume watoto lukuki then fadhila zake kwako ni usaliti😢😢😢 nimesema czai Tena akichepuka na achepuke tu😏😏

  • @EddahBure-te7ft

    @EddahBure-te7ft

    2 ай бұрын

    @@nasramohamedi4095 😂 na mm hivyo hivyo nimesema sizai tena namuangalia tuu wala sjamwambia 😏

  • @hawaa341
    @hawaa3412 ай бұрын

    Hata mkificha lakini kidini Yule sio bi mdogo mchepuko tu mke mmoja tu

  • @user-ln8fy8yj5x

    @user-ln8fy8yj5x

    2 ай бұрын

    Kidini kuua ni sawa? Mbona kama una Judge upande mmoja

  • @g_forcemusician4242

    @g_forcemusician4242

    2 ай бұрын

    Kwahiyo amefaidi nini

  • @aminakasim1198

    @aminakasim1198

    2 ай бұрын

    Mmmmmmh😊

  • @user-ln8fy8yj5x

    @user-ln8fy8yj5x

    2 ай бұрын

    @@g_forcemusician4242 Swali zuri sana. Mume kafa, yeye anaenda jela kifungo cha maisha. Watoto wanakosa vyote.

  • @ElizabethMkini

    @ElizabethMkini

    2 ай бұрын

    ​Hajafaidi chochote...kaka zetu muache umalaya...chanzo hapo ni mume angetulia na mke wake yangetoka wapi yote haya?!inasikitisha watoto wanakuwa kwa wakati mgumu.kila mtu anauwezo tofauti wa ku control hasira...so mtulia period.​@@g_forcemusician4242

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn76452 ай бұрын

    Dah Adui yupo kazini.

  • @ubongosahihi
    @ubongosahihiАй бұрын

    Siyo lazima mtu ajue kama alimjengea au la Wanawake wengi tu wanajengewa hata pasipo kumzalia mradi alimpenda. Na pia inategemea mwanaume anapitia changamoto zipi huko kwa mke wa ndoa au huwa tu ni tabia za wanaume Fulani tuwaombee Wanaume wote Pumzika kwa Amani Baba wa Familia 👏🏾

  • @ShomaryShomary-j9d

    @ShomaryShomary-j9d

    Ай бұрын

    hiyo mama nayey ajiuwe tyuu mana sioni sababu ya kuishi

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin75212 ай бұрын

    This what we call power of love

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel56622 ай бұрын

    Mjengo upo vzr

  • @Njeriii536

    @Njeriii536

    2 ай бұрын

    Sana alafu kusafi sana

  • @fatumaissa2624
    @fatumaissa26242 ай бұрын

    Mwenyezi mungu amulaze mahari pema pepono

  • @superwomanmwenyeheri.1367
    @superwomanmwenyeheri.1367Ай бұрын

    Kama aliweza kubeba kisu mpaka eneo la tukio, kaona kabisa huyu ni mume wangu, na bado kamchoma kimoja tu kikamtoa roho,alidhamiria hakika na alitenda kwa ujasiri na nguvu zote. Hii ni dhahiri kuwa hata huko ndani hakua mtu mzuri, alipenda kumtawala mume, Na si ajabu mume kavumilia mengi kashindwa ndipo akajiongeza. Hebu imagen mke ana drive prado mume rav4, Kweli alikua ampendi? Mke mwema ni yule anaeona changamoto kwenye ndoa yake zinazidi anaamua kukimbilia kwa Mungu na Mungu huwa hamuachi mke wa namna hii. Nimewaona wengi na Mungu huwatetea. Sijawahi olewa lakn mmmmmh...hii.

  • @GetrudyGt
    @GetrudyGt2 ай бұрын

    Mwanaume anakuwekea mazingira mazuri Ivo bado unamuuwa si umuache Aende Mimi hata akiamia ili mradi watoto wanasoma ,awalali njaa na maisha yanaenda ohiiiii aende tu na njululu yake ohiiiii

  • @mwanaidimussa

    @mwanaidimussa

    2 ай бұрын

    Yaaan mtu akisha kjengeaa, uhakika wakula upo kwa dniaaaaa hiiii muacheeeee tu aeende akitakaaa kwenda

  • @israelkisaila8401

    @israelkisaila8401

    2 ай бұрын

    Shida sasa atakuletea magonjwa,wengi huwa wanaogopa hivyo,maana mbali na huyo bibi mdogo,kesho ataenda kwa mwingine,sasa mtu unakuta ndo Ana watoto 6,halafu anapatia magonjwa ukubwani,ndo Inawauma.

  • @maprotv1

    @maprotv1

    2 ай бұрын

    @@israelkisaila8401 unaogopa magonjwa kwa kumuua mtu?

  • @neemamtangi4818

    @neemamtangi4818

    2 ай бұрын

    Yaan dada angu nikama upo moyoni mwangu me umenijengea nyumba nzur hivyo hata watoto weletu me nitalea jmn kuna watu hawana bahati😢

  • @ummySheikh72

    @ummySheikh72

    2 ай бұрын

    Rahisi tu kusema hivyo labda uwe hujampenda umefata pesa itakuwa rahisi. Mume anauma weee! Acha ya sikukute unaweza kufanya kama hivyo au zaidi wao wanatuuw kila siku! Kwa hisia tu sikwambii umeona mazingira! Kafia kwa mchepuko aibu saana kakuzalia wtt 6 bado hajaridhika

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b2 ай бұрын

    Wakiristu mnajidanganya mke moja mungu arivyotoa mandiko howeni wake zaid ya moja arijua wanaume hamridhiki na mke moja na amuwezi tamaha mnazo nyingi na nguvu,,,na pya mke uriehaza nae maisha hacheni zarau ukiowa mke mdgo

  • @AnneHarold

    @AnneHarold

    2 ай бұрын

    arivyotoa howeni arijua amuwezi tamaha pya uriehaza hacheni zarau ukiowa 🤐🙄😎

  • @shamilashabani4288

    @shamilashabani4288

    2 ай бұрын

    ​@@AnneHarold😂😂😂😂😂

  • @blessedaggie9159

    @blessedaggie9159

    Ай бұрын

    Kuandika kwenyewe hujui pyeee

  • @cosmaskulaya5297
    @cosmaskulaya52972 ай бұрын

    Hawa wake za matajiri hapa moshi hawajafundwa wala kufuzwa, wana mavikoba yao wanachaguana eti wake za mabosi kwenye mavikao yao wanakunywa mapombe na kufundishana upuuzi usiofaa mbele ya jamii yeyote. Vitambi vyao huwezi kuvibeba

  • @salhawaziri1668

    @salhawaziri1668

    2 ай бұрын

    Hahahah tuacheeee watoto wa moshi

  • @roynessmanji6292

    @roynessmanji6292

    2 ай бұрын

    Km hapewi Pesa zinaishia kwa michepuko kwann asijiongeze na vikoba

  • @aminakasim1198

    @aminakasim1198

    2 ай бұрын

    Mmmmmmmmmmmmmmh

  • @user-tw4nf6bv8b

    @user-tw4nf6bv8b

    2 ай бұрын

    Hili ndio jibu wamempambisha mwenzao kwa kumjaza roho ya wivu na ushetani Asimame mke mmoja tu atoe ushuhuda mumewake Ana mwanamke mmoja tu Ujinga roho mbaya maana marehemu amezaa naye pia huo mpango wa kando ndo maana pia amejengea kwa ajili ya mtoto wake Lkn maneno ya mashosti yakumjaza shoga yao haya kikowapi sasa

  • @ShukranMwakyambo
    @ShukranMwakyambo2 ай бұрын

    Mashemeji nyinyi.unasema humfahamu alafu unasema uliongea na shemeji.alafu Malehemu ana watoto saba na kwa b mdogo mmoja.ndugu wa mume pepo mtalisikia tu.

  • @nasramohamedi4095

    @nasramohamedi4095

    2 ай бұрын

    Yaan ndugu wa mume ni nyokoo

  • @unknownbutterfly6310

    @unknownbutterfly6310

    2 ай бұрын

    Kuna yule aliimba wimbo kua mashemeji wote wapigwe mawe.... Yaani, ni wanafiki kinoma😂😂

  • @ahz6907

    @ahz6907

    2 ай бұрын

    Nadhani Alisema hakuwa akimfahamu.itakuwa baada ya tukio ndio kamfahamu.

  • @eve762

    @eve762

    2 ай бұрын

    Wanamjua wanazimuga tu,maneno yake kwa mtu aliesoma Cuba anamuelewa vzr tu

  • @ShukranMwakyambo

    @ShukranMwakyambo

    2 ай бұрын

    @@eve762 kweri kabisa

  • @leokamil6284
    @leokamil62842 ай бұрын

    R.I.P poleni sana wafiwa. Sasa mmeachia watoto mateso na ndugu ndio watajinufaisha na mlivyoviacha hasira hasara. Msiseme Mke wa pili nyinyi ndugu maana Mkristo ataoje Mke ndani ya ndoa. Semeni hawara yake huyo. Pia inaonyesha nyinyi ndugu hamumpendi Mke wa kwanza kwa matamshi yenu

  • @faithlutainulwa3832
    @faithlutainulwa3832Ай бұрын

    Looh! Mungu wape watu roho ya uvumilivu. R.I.P Baba.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo62632 ай бұрын

    Huyu mwanamkehajamuua mme wake kwa bahati mbaya, bali alikusudia na kudhamiria kutenda uovu. Umbali na muda aliyotumia kumfuata huku akiwa na silaha ungemtosha kutafakari upya uovu aliyodhamiria kuutenda na kughairi kwa kuishinda hasira. Kwa vyovyote haya ni mauaji ya kudhamiria (murder case) na si mauaji bila kukusudia yaani (man slaughter).

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee2 ай бұрын

    Wakristo hatujidanganyi ni agizo mme mmoja mke mmoja. Mungu amempa mwanadamu free will aamue atakavyo ingawa Mungu keshatoa mwongozo. Hata wenye wake wengi nao wanachangamoto zao.

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb2 ай бұрын

    True. BBL is rampant in Nigeria. Here in TZ it is not heard frequently. And those who do it must be very rich coz she has to travel abroad for the surgery. I also think most Tanzanian girls are well shaped so no need of bbl.

  • @privasara3971
    @privasara39712 ай бұрын

    Naona wanawake wengi wanacomment eti wangewekwa kwenye nyumba kama hiyo wangetulia,hayo ni mawazo ya kimasikini sana,mnajuake kama mwanamke ndo alkuwa na kipato kikubwa zaidi ya mume?na sio rahis kuaacha vitu kirahisi hvyo esply kama kuna pesa tayari,watu hawalali kuzitafuta hizo pesa so akikumbuka hekaheka alizopitia ndo matokeo yake yanakuwa hayo,sisuport kuua mtu ila mnahukumu sana

  • @nixonjohnson4908

    @nixonjohnson4908

    2 ай бұрын

    Na mdogo naye kajengewa na mkubwa... huyu anajiweza bhana

  • @japhetpeter4095

    @japhetpeter4095

    Ай бұрын

    usihukumu ucje ukahukumiwa aliekudanganya Kuna mwanaume mwenye make Mmoja ni nani

  • @JacklineMnganya

    @JacklineMnganya

    Ай бұрын

    Kama unaona kero mumeo kawa na nyumba ndogo Cha kumuuwa mtoto wawatu Nini? Chepuka na wewe au kama unajiina mpambanaji huwezi kupokea kaa pemben. Mimi kama tunapata mahitaji nikumwombea afya njema apambane wote tupate haki sawa. Wanawake tupendane tuaeche wivu usio na maslai ona Sasa anakosa vyote

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro51742 ай бұрын

    Kama alikuwa na uwezo wa kumiliki wake wawili kulikuwa na shida gani?mbona wenzetu wanaoa wake 4 na heshima inakuwepo tu?

  • @MWANAIDIRULIMBIYE

    @MWANAIDIRULIMBIYE

    2 ай бұрын

    Yaan acha tu maana mwanaume hata uwe pekee yako lazima tu awe na mwanamke wa nje wanaume huwa hawaridhiki jamani wanawake wenzangu afu mkumbuke ki ukweli wanawake tupo wengi wanaume wachache afu kwani akienda huko kwa mwanamke wake wakitombana anaiacha huko c anarudi nayo na wewe unaitumiaa wee haikondi haipungui haiishi ladha ya nini kuacha watoto mahatima lakini mweee😢😢😢😢

  • @aminakasim1198

    @aminakasim1198

    2 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ Sofia congretchulation mama total them,

  • @aminakasim1198

    @aminakasim1198

    2 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ Sofia congretchulation mama total them,

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi92262 ай бұрын

    Pole mke maumivu ni makubwa pole sana kusalitiwa kusikie tu

  • @AsteriaValerian

    @AsteriaValerian

    Ай бұрын

    Kisu haki yake 2mechoka kusalitiwa

  • @fadhilajamal217
    @fadhilajamal2172 ай бұрын

    😢😢😢mjengo wa maana kabisa maisha mazuri sasa unamuuwa nn

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o2 ай бұрын

    Alhamdulilah kwa kuniruzuku kuwa mwislam haki sisi wanawake wa ki.islam hatuna mbaya mume anaoa na maisha yanaendelea binafsi mimi nipo kwenye ndoa ya wake wa 3 na bado nafasi 1 jimbo lipo wazi na tuna Amani hakuna kuchoma visu

  • @svt3

    @svt3

    2 ай бұрын

    Ila hapo hampendani, unafiki, wivu, kuangaliana kijicho, kusemana vibaya🤔🤔🤫🤫 maisha gani hayo ni umadkini na akili za kimaskini ndio zina wafanya muvumilie hata waislam matajiri kama Dangoote, Mo de...... wanawake mmoja mmoja ila hawa waislam makapuku ndio wanakimbilia kuweka wanawake zaidi ya mmoja

  • @mgesizablon790
    @mgesizablon7902 ай бұрын

    Nikweli inauma sana kusalitiwa lakini vyema tujitahidi kuzuia hasira zetu ona sasa watoto wanakosa malezi ya baba kwa sababu ya hasira ya mama.

  • @jeangodelo5349
    @jeangodelo53492 ай бұрын

    Duuuh😢😢😢 shetani shindwa kabisa mjumba wote huo unaumiliki,biashara gari vyote hivyo unavyo ungemuacha hata ahamie hukox2 duuu..😢 pole sana

  • @upendombise8113

    @upendombise8113

    Ай бұрын

    Unajua sisi wanawake tuko hivi tukiwa atuna haya maisha tunasema tunaona ni raisi lakini kweli ni kwamba tukipata nyumba nzuri gari nzuri watoto wakasoma shule nzuri hela ipo tunaitaji upendo Sasa unatamani mume awe wako tu muwe sawa ndo matokeo yake hayo

  • @user-hw7kz8rv2c
    @user-hw7kz8rv2c2 ай бұрын

    Poleni wanafamilia

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija2 ай бұрын

    Hasira hasara tujaribu kudhibiti hasira zetu maana huu ni mtihani

  • @angelchuwa3668

    @angelchuwa3668

    2 ай бұрын

    Hasira hasara kwakweli.. na utajiri wote huo bado unahangaika hivyo mpk kuua jmn

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila84012 ай бұрын

    Haya mwenyewe niliwaza hivyo,yani watoto TU jamani😢

  • @chrismkama4889
    @chrismkama48892 ай бұрын

    Brother God naomba namba zako kuna ishu nataka tuongee muhimu tafadhali

  • @neemamwakasape1630
    @neemamwakasape16302 ай бұрын

    Mungu tunaomba mwisho mwema

  • @rizikisam6481
    @rizikisam64812 ай бұрын

    Baba amekufa mama yupo jela watoto wamekosa wazazi wote na hao watoto sijui kama kuna kitu utawambia wamsamehe mama yao

  • @OsiGaddy
    @OsiGaddy2 ай бұрын

    Mungu atusaidie 2

  • @victoriadenis1694
    @victoriadenis16942 ай бұрын

    Mume anauma hapa huwez judge mwanamke peke yake huwez jua huyo mwanaume tofauti na hyo kumcheat labda alkua anampa manyanyaso mengine yakuathiri psychology yake jaman manyanyaso sio lazima upgwe watu wana mahela ila wanaishi maisha ya taabu sana.

  • @kelvinmmassy348

    @kelvinmmassy348

    2 ай бұрын

    Mume anauma lakini ndo ifikie hatua ya kutoa uhai wake

  • @valeriamtenga3384

    @valeriamtenga3384

    2 ай бұрын

    Mbona wetu wamechukuliwa mazima na michepuko hata hatujui wako wapi tena, bora huyo alikua anarudi home kwake! So tukiua inatupa suluhu kweli? Andiko linasema: mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote.....sasa tunapoupa moyo kazi ya kumpenda mwanadamu kuliko Mungu, ni tatizo! Lazima utaumia sana, swala la kumove on ni ligumu lkn ni la muda tuuu, Hatujazaliwa na kitu, tukubali kupoteza vitu/ watu ikiwa ni gharama ya kuanza upya

  • @ElizabethKiria

    @ElizabethKiria

    2 ай бұрын

    Nasikia hawara alikuwa anamtusi mke mkubwa ,

  • @summanelson5523

    @summanelson5523

    Ай бұрын

    Tatio kubwa hapa ni kuua! Tumeambiwa " usiue". Hakuna sababu yeyote inayohalallisha kutoa roho ya mwenzio! Sasa atafungwa pengine maisha. Amepata nini? Dhambi ya mtu inakufanya na wewe utende dhambi!!! Llah hasha!

  • @fetyalmas698

    @fetyalmas698

    Ай бұрын

    Kweli kbs

  • @queenmollel6739
    @queenmollel67392 ай бұрын

    Poleni sanaaa tena sanaaa

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x2 ай бұрын

    Yani ningemuacha aende tu kwa mazingira ya nyumba hii halooo atajiju mm napambana na watoto na kuremba nyumba na biashara

  • @RittaBryson-co4vp

    @RittaBryson-co4vp

    2 ай бұрын

    Hivi wewe....umetafuta nae from zero saivi mna vingi Ivo uache TU akagawe jasho lako kwa mchepuko!! Hufikirii sawa na wala sijasema kuua ni sawa.

  • @VumiDavid-lo1cl
    @VumiDavid-lo1cl2 ай бұрын

    Kuzaa na mwanamke mwingine ndo kuamua kumuua mkaka wa watu baba wa watoto wako jamani samehe saba mala sabini.

  • @RittaBryson-co4vp

    @RittaBryson-co4vp

    2 ай бұрын

    Unajuaje kama ni kuzaa TU...hakuna na heshima huyo

  • @user-wc3hn4kt1x
    @user-wc3hn4kt1xАй бұрын

    Hilo li Mwanamke litakuwa liMACHAME. Hakuna Mwanamke wa Kichaga anayeua zaidi ya MMACHAME. Wanaume tukae mbalii na Wamachame..

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha70612 ай бұрын

    Kaacha nyumba nzuri anaenda jela dah na watoto😢 hiv watakua na maumivu kiasi gani

  • @user-xd4lu1xl6c

    @user-xd4lu1xl6c

    2 ай бұрын

    We acha hizo huyo atatoka tu mbona ngoja msiba wishes.kwn yule kijana aliemuuwa mm ake mfanya biashala wa madini na kumtumbukiza kwny Chamba ya choo hapo kwny mjengo wake mbona katoka na kesi imeisha!

  • @user-xd4lu1xl6c

    @user-xd4lu1xl6c

    2 ай бұрын

    Na yule bilinear msuya naye mke si alimmaliza tena na wifi akauwa mbona katoka kainekana hana hatia,kwa huyu atatoka mn ukichunguza zaidi huyo mume ana makosa sn,

  • @jovanafidelis2802

    @jovanafidelis2802

    2 ай бұрын

    Unahisi ana makosa kustahili hii hukumu?​@@user-xd4lu1xl6c

  • @Zaynab-ny6gr

    @Zaynab-ny6gr

    Ай бұрын

    ​@@user-xd4lu1xl6cana makosa gani mume asihudumie mtt wake?? Yy mbona ana maisha mazuri wanaume kuchepuka kawaida km tukisema tuwauwe tutabaki wanawake watupu ni upungufu wa fikra tuu

  • @MaryamAlli-is1jg
    @MaryamAlli-is1jg2 ай бұрын

    Ilivyotangazwa mwanzo ni hawara na sio mke wa ndoa wanaficha ukweli tu

  • @user-ln8fy8yj5x

    @user-ln8fy8yj5x

    2 ай бұрын

    Nikwambie ukweli? Mama anaenda jela kifungo cha maisha. Mume amekufa Watoto wanakosa baba na Mama. Biashara zao zipo hatiani kufa pia, maisha yanaweza kuwa magumu sana kwa watoto. Huo ndio UKWELI. Hilo la mke ama hawara ni IMANI tu.

  • @AnnaAnthony-is9wj

    @AnnaAnthony-is9wj

    2 ай бұрын

    P

  • @user-eb4nq5du2q

    @user-eb4nq5du2q

    2 ай бұрын

    ​@@user-ln8fy8yj5xkabisa lazima life ibadilikeee

  • @ahz6907

    @ahz6907

    2 ай бұрын

    Kiserikali huyo ni mke kabisa na ana haki zake hata kurithi mali za marehemu.😂

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769Ай бұрын

    hasira hasara ona sasa umepata faida gani, hata kama inaumiza lakini umepata nini kutoa uhai wa mwenzako? yaani uliangalia wivu wako tuu hata hukuwaangalia watoto kumkosa baba yao kweli na vipi kuhusu ndugu zake ambao walikuwa wakimtegemea. MUNGU AKUSAMEHE.

  • @vibetz9991
    @vibetz99912 ай бұрын

    Nyumba nzuri sana

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray2772 ай бұрын

    Dah

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam99602 ай бұрын

    Wake wadogo/michepuko,Wanakuwaga na wivu mnooooo,kwa waume ambao wamewakuta tayari wana miji yao na ni roho mbaya komeshaaaaa.Wanaume wajifunze kutulia na mke mmoja hata kama ni kisirani badirisha chumba.

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vnАй бұрын

    Marehemu kafa akifanya umalaya😅😅😅😅 afe tuuu umalaya tuuu

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael79352 ай бұрын

    Amma kweli hasira hasara mhuuu

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel66792 ай бұрын

    Mungu atusaidie jamani, kweli unaishia jela unaacha watoto wako kwa sababu ya mtoto wa Mama Mkwe? hapana kwa kweli mimi nina kwangu na watoto wanasoma ningekula niendelee kunenepeana kama nguruwe niwakuze wanangu, sasa unaua mwanaume watoto wateseke wenyewe kweli?

  • @heriethsamwel7190
    @heriethsamwel71902 ай бұрын

    Hata kam alikuwa anamfahamu awezi sema 😮

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende19752 ай бұрын

    Kwa shemeji .kwa mke mdogo😢😢😢😢 ndugu wamume jamani😢😢😢😢 pole kaka kwa kuawawa pole mama kwakumuua mpenzi wako wa ujanani na kuacha watoto peke yao😢😢😢😢

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    2 ай бұрын

    Ndugu wa huyo Marehemu wabaya sana watamuitaje hawana wa ndugu yao ati mke mdogo?.Marehemu kaoa Kanisa Kidini ndoa ya mke mmoja, hajamuacha iweje waseme mke mdogo hawajitambui. Inaonyesha wazi pamoja na mke mkubwa kuwazalia watoto 6 lakini hawapendi .wanabariki mchepuko mfuata mali za ndugu yao .

  • @aminakasim1198

    @aminakasim1198

    2 ай бұрын

    She is really wife because she's have a baby with husband, in this world not have a man who can stay with one wife, I am sorry ladies,😂😂😂😂😂😂, man can take a for ladies, ladies,

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    2 ай бұрын

    @@aminakasim1198 Kuwa na mtoto sio kusema ndio mke wake. Huyo ni hawara tu mchepuko kwa jina lingine. Angetaka kuhalalisha awe mke angevunja ndoa ya kanisani ya mke mmoja, kisha akaoa mke huyo anaemtaka .Lakini kwa uoga wa kujua akivunja ndoa watagawana mali akaona aendelee kuchepuka huku akimuudhi labda na kumnyanyasa mke wake kisaikolojia. Mungu ampumzishe kwa Amani poleni wafiwa na watoto.

  • @ElizabethMkini

    @ElizabethMkini

    2 ай бұрын

    ​@@aminakasim1198 A big fat nooooo!I disagree with you...out there they are plenty of good hubbies...so don't generalized...Don't give these cheaters "air time" ...They have to respect matrimonial vows and the notion of the sanctity of the marriage at the first place...that concubine is not a wife😮

  • @ilakozasembumende1975

    @ilakozasembumende1975

    2 ай бұрын

    @@ElizabethMkini kabisaa kua ni dhambi kubwa .lakini uzinzi pia ni dhambi kubwa sana. So kwa kilichofanyika wote wa talipia ubaya walio fanyiana . Japo kumtoa mtu uhai ni hukumu mbaya sana na ni jambo baya sana. Ila kusikia mume wako ulie zaanae anakimada na amekijengea na amezaa nae kabisaa ni jambo ambalo bila nguvu ya mungu kuvumilia ni ngumu sana jambo lakwanza linalo kuja nikuua katika usariti masikini. So huyo dada mimi namuonea huruma sana sana natamani atoke gerezani aweze kulea watato wake nikama ameua bila kukusudia jamani . Tuliona kesi ya lulu na kanumba lulu aliua ila aliua bila kukusudia so ata dhamana huyu dada anaweza kupata tuu na kesi aka hukumiwa miaka miwili akarudi kulea watoto wake

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter82002 ай бұрын

    Chepuko jipange,utafukuxwa kwa nyumba km jambaxi sugu,hao hao wakijichanganya eti mke mdogo,mchepuko una nux kutembea na m2 then afe.

  • @mwasitigervas2624
    @mwasitigervas26242 ай бұрын

    Nyumba nzuri hivyo nahangaika na mke mwenzangu natulia nakula tu hata maua ,,maamuzi magumu ,,pumzika kwa amani marehemu🙏

  • @marthadaniel4904

    @marthadaniel4904

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂unakula mpak maua jmn mm nasom comment na kuangalia mazingira ya nyumba😂😂 kila mtu atakuf na kifo chak

  • @Mbarukuhawa

    @Mbarukuhawa

    2 ай бұрын

    Mke anaolewa na mtu sio nyumba.

  • @mrsdeborahurio

    @mrsdeborahurio

    2 ай бұрын

    Una akili km yangu!

  • @victorsolomon-ze8uw
    @victorsolomon-ze8uw2 ай бұрын

    Moyo wa mtu ni kichaka, unaweza kufikiri amemuua mumewe kwa wivu kumbe mtu alishapiga mahesabu ya kumiliki hiyo mijengo na biashara na kimada ametumika kama kigezo tu cha kumuangamiza mwenzake,siamini kama kweli hakumjua huyo kimada siku zote hizo.Anajua atafungwa lkn atatoka mapema tu.Na wanawake wa kaskazini ndio zao hizo,mapovu ruksa.

  • @user-km1do5lq7c

    @user-km1do5lq7c

    Ай бұрын

    Ukweli kabisa kaka.mimi ninavyo jua serikali ya Tanzania Sheria ni ya munyonge.kwanza hiyo kesi itatupiliwa mbali.huyo mwanamke muwaji atawachiliwa pesa itatumika.hakuna Shahid atandikisha report kwa police ya Tanzania kua aliona tukio likifanyika.watakao muzaidia huyo muwaji mwanamke ni mashemeji lakini inauma kweli poleni

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki97582 ай бұрын

    Wanawake wengine wapuziii sana unaua Cha moto atakiona hapa Dunia alikuwa halali njaa ni kiherehere chake mwanamke Moja hudumaza akili watoto wanajuwa wanasikia uliuwa baba yaoo laana kajitengezeaa

  • @luluzegema5782
    @luluzegema5782Ай бұрын

    Yan mimi atembee ata na chizi atajua mwenyewe simfanyi chochote Kwanza nimemkuta ukubwan tu anayemjua ni mama yake Mimi nitawapenda wanangu yatosha🙏😭😭

  • @neemajerome7981

    @neemajerome7981

    Ай бұрын

    Labda uwe huna mapenzi nae unajua moyo ni kitu cha ajabu sanaa and utaruhusu hayo yatokee mwisho wa siku unakuletea maradhi wewe umekaa zako tu nyumban umetulia

  • @NellyFrancis-nn3qb
    @NellyFrancis-nn3qbАй бұрын

    Mmh jamani mungu akupe mioyo mikunjufu

  • @user-bl4sy5ei1k
    @user-bl4sy5ei1k2 ай бұрын

    Haya ndio madhara ya kupata mpaka kuvimbiwa kuna watu hawatakiwi kuwa matajiri kabisa. Yaanu mtu hela inampelekesha mpaka mke anamuua. Hapo mke anaenda jela na yeye kashaondoka mali wanachukua ndugu kiulaini.

  • @sarahgaula2220

    @sarahgaula2220

    2 ай бұрын

    Yaani mabibi wadogo wanapenda penye hela

  • @rebbywealth9869
    @rebbywealth98692 ай бұрын

    Ndo ya kikristo haina mke mdogo.... huyo mwingine ni hawara, tumieni kiswahili vizuri

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i2 ай бұрын

    Wanawake wa Kichaga .... hata bure sitaki.

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola17542 ай бұрын

    Hii nikukosa hofu ya Mungu.

  • @AnethWambura
    @AnethWamburaАй бұрын

    Wanaume wote waone ujumbe huuu.....mwingne kosa la kuchepuka mwingne la mauaji kwann lakn

  • @michaelkamunyu567
    @michaelkamunyu5672 ай бұрын

    Wanawake wakichaga ndo walivo ni masingle maza weng wanasbria tu mzee andae kila kitu baada ya hapo wanamkwida shenz kabsa

  • @user-xd4lu1xl6c

    @user-xd4lu1xl6c

    2 ай бұрын

    Kwn hao wanaume wote wanaowauwa wanawake na kuwanjicha ni wachaga?kila siku mauwaji saizi wanawake tuna asila sn

  • @DM.2200

    @DM.2200

    2 ай бұрын

    Una uhakika uyo mam ni mchaga au unaongea tu ujinga pia wanawake wamechoshwa saiv mpaka mt anakuzalia watoto sit bado thaman huioni we si utakua balaa😢😢

  • @user-db2hi8jn3e

    @user-db2hi8jn3e

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @judyngowi391

    @judyngowi391

    2 ай бұрын

    Koma kabisa nyau wewe

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa2 ай бұрын

    Afadhali kamuua mumewe ingependeza na yeye anyongwe wakapendane ukouko milele

  • @imeldamacha1320
    @imeldamacha13202 ай бұрын

    Daaahh😢

  • @user-np2tk1jy1t
    @user-np2tk1jy1t2 ай бұрын

    Dada anaacha mji mzuri ivo anaenda kukaa jela shetani ananguvu sana😭😭

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy25 күн бұрын

    Hyo ni sadaka imetolewa hamjui tu hiz mali tzamen tu hyo ni sababu tu huyu mungu achezew

  • @user-lz5it9yn4q
    @user-lz5it9yn4q2 ай бұрын

    Una watoto6, una gari na nyumba nzuri t haf unajipeleka jera kipuuz hivyo!!!! Mwehu kwel

  • @AnameryGadius
    @AnameryGadiusАй бұрын

    🎉

  • @pmp-255
    @pmp-2552 ай бұрын

    Pumzika msele ....why asizikwe kibosho-uri jamani?

  • @user-ih9ou6bx2n
    @user-ih9ou6bx2n2 ай бұрын

    Mwanamke umejengewa nyumba nzuri bado unamuua mwanaume du

  • @givenessdavid3743

    @givenessdavid3743

    2 ай бұрын

    Mapenzi ni mapenzi na nyumba ni nyumba

  • @user-xd4lu1xl6c

    @user-xd4lu1xl6c

    2 ай бұрын

    Unajuaje km mwanaume amejenga mwanamme peke ake?huenda mwanamke alitoka mbali mpka hapo walipofikia leo hii mtu anazaa nje ya ndoa ht familia haijui km ana mchepuko ht mimi nauwa

  • @SuzanRowland

    @SuzanRowland

    2 ай бұрын

    Kwao hawana nyumba?watoto sita alfu pimbi analeta stress ndani

  • @DM.2200

    @DM.2200

    2 ай бұрын

    ​@@user-xd4lu1xl6c Haswaaa asilimia kubwa hapo wametoka mbali em fikiria watoto sita na pia sio kwamba mama alikua hafanyi kaz walikua wanatafta wote af mwingin anakuja kula kirais tu aweeee patachimbika labda ka una moyo wa chuma

  • @judyngowi391

    @judyngowi391

    2 ай бұрын

    Hata kama angezaa watoto 10 hakutakiwa kuua mwezie

  • @consomatogaudence136
    @consomatogaudence1362 ай бұрын

    Kuna siri kubwa nyuma ya pazia huenda huyu mama amtumika kama chanzo ila huenda cy yeye maana kwa harakaharaka cy akili zake

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c2 ай бұрын

    Yani apo ndugu mnaficha uyo sio mke mdogo ni kimada cha uyo baba

  • @MaryamAlli-is1jg

    @MaryamAlli-is1jg

    2 ай бұрын

    Ilivyotangazwa mwanzo ni hawara na sio mke wa ndoa

  • @beatricepallangyo2821

    @beatricepallangyo2821

    2 ай бұрын

    Kwani Wakristo tuna wake wawili? Zaidi ya mmoja ni kimada siyo mke Kikristo

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    2 ай бұрын

    Wanaonyesha hawampendi mke wa ndugu yao ndio maana wanabariki uzinzi

  • @tanzaniaafrica7019

    @tanzaniaafrica7019

    2 ай бұрын

    Sasa apo ata kama ungekua wew ndugu yako amesha uwawa na uyo mwanamke uraonyesha upendo vimada walikuwepo toka enzi za mababu na wataendelea kuwepo sasa kapata faida gani unaacha watoto wako wateseke kwa sababu ya hasira zosizo na faida ​@@leokamil6284

  • @aminakasim1198

    @aminakasim1198

    2 ай бұрын

    Ladies ladies let me tell you, in this world aman can't sit, with one wife, forgot about Christian, religion,,

  • @neemajerome7981
    @neemajerome7981Ай бұрын

    Wanawake sisi tunapitia Mengi sanaa wanaume huwa hawaridhiki hata ufanye nin

  • @user-nz8hl2rh6k
    @user-nz8hl2rh6k2 ай бұрын

    Yaan me kwa nyumba hiyo nicngemfatilia mume wangu kama anajal familia naish nyumba nzur nishindwe kujiifurahisha na wanangu

  • @annamartine6669
    @annamartine66692 ай бұрын

    Kwa marehem pazur❤❤

  • @LesingoBaraka
    @LesingoBaraka2 ай бұрын

    Wachagaa tena mambo ya kawaida

  • @EngleUria-jx4kn
    @EngleUria-jx4kn2 ай бұрын

    Duuuuuh c kwa mjengo huo jmn unamuua mume watt wanabaki yatima kwaajili ya hawara.

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel56622 ай бұрын

    Mapenz yanauma omba usisalitiwe🤐

  • @hellendaniel3809

    @hellendaniel3809

    2 ай бұрын

    Kwani amekuwa wakwanza kusalitiwa duniani? Ujinga tu unaua mume kisa wivu.

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5w2 ай бұрын

    DU!WANAWAKE WAMEPEWA VICHWA TUTA MALIZWA NA WANAWAKE WAMEKUA WABABE!😂,

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lxАй бұрын

    Wanawake wa Moshi Mimi nawaogopa sana maana matukiyo kwenu yamekuwa mengi sana mala kuuwa wazazi Kisa Mali mala muuwe wame zenu namengineyo mengi njiee TU duuuu

  • @naomicharles5444
    @naomicharles54442 ай бұрын

    Mwanamke akifikia hapo jua kwanza ajutiii uamuzi wake, pili hana cha kupotez

  • @summanelson5523
    @summanelson5523Ай бұрын

    Loh masikini! Sasa mke kafanya nini? Na yeye kajiua kabisa. Hana Maisha tena!

  • @chimamilion
    @chimamilion2 ай бұрын

    Yn mimi niwekwe kwenye mjengo huo bdo tu nifanye ujinga aiweee mi ningemwacha aende loh sema shetani nae apunguze usenge ss ni nn iki jmn

  • @Polyn.123
    @Polyn.1232 ай бұрын

    Watoto Sita ,,yani unatoka mbali na mwezio alafu mkufanikiwa anaaza usaliti wa ali yajuu ,,

  • @mymuhnabdallahshaban7763
    @mymuhnabdallahshaban77632 ай бұрын

    Ten mwanamme kajeng nyumb nzur t mke mkubw alikuwa na Maisha mazur jumba la kifahari na gari juu umenunuliwa na kutembelea bs angefikiria watoto wake kwanza kabla ya kufany tukio saiv watoto wataish mazingira magumu San sababu baba kafa mama ndo atahukumiwa jela maisha ina maan mali za marehem watashikilia ndug watoto hawatapata kufaid mali za baba yao maan ndug pia Hapo hizo mali na biashara wanazitolea macho 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @ElizabethMkini

    @ElizabethMkini

    2 ай бұрын

    Jamani hajafata nyumba...kikubwa usi mjudge hujui alikuwa anapitia nini...

  • @estherkimario7940

    @estherkimario7940

    2 ай бұрын

    ​@@ElizabethMkinisasa apata faida gan kaendeshwa na hasira za kijinga hajafikiria kuna njia nyingi za kufanya mume atulie kusalitiwa kawaida kwa mahusiano ya sasa sasa hao wtt watateseka kwa ujinga

  • @ElizabethMkini

    @ElizabethMkini

    2 ай бұрын

    @@estherkimario7940 Faida hapati kaa ukijua kila mtu anapokea jambo tofauti...ni kumuombea tu hata huko alipo analia na kuomboleza...yote ni kazi ya shetani na mume angetulia yasingetokea haya yote...

  • @salcle9702
    @salcle97022 ай бұрын

    Mama prado baba R4 kweli kina mama wa kichaga kiboko😢

  • @palokuthereza2555

    @palokuthereza2555

    2 ай бұрын

    Sasa Prado lazima adrive mume 😅

  • @estherkimario7940

    @estherkimario7940

    2 ай бұрын

    Halafu bdo u naua hivi kwel huyu mama mbona katil na huo mjumba na mazingira sasa me hata nisingejali nazingatia maokoto mahusiano ya sasa kusalitiwa kawaida huyu bdo mshamba watt watateseka hao maana hawajui shida sasa cjui apata faida gan

  • @neemahezron486
    @neemahezron486Ай бұрын

    Watoto wanapitia mengi baba amekufa mama jera

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut2 ай бұрын

    Umemuwa kwa wivu wa kipuzi.jee watt wko watalelewa nanani?ww pia utakuwa jela maishaa?😢😢😢

  • @fetyalmas698
    @fetyalmas698Ай бұрын

    Mmmh adui yupo kazini😢

  • @CarolinaMwagala
    @CarolinaMwagalaАй бұрын

    Huyo mama ni mjinga sana jamani

  • @faithlutainulwa3832
    @faithlutainulwa3832Ай бұрын

    Toba Kwa ajili ya hiyo laana ya kumwaga damu, ni muhimu.

  • @marcosnjau1630
    @marcosnjau16302 ай бұрын

    Innah lilah wainnah ,illah RAAIJUN🤲🕯

  • @BobLuck-fv5ef
    @BobLuck-fv5ef2 ай бұрын

    Mimi nimwachwa na mume akaoa mke mwingine ,na aliondoka na kila kitu nikaachiwa watoto,nimelaani sana huyu mama muuaji kujichanganya

  • @cydrahope5251
    @cydrahope52512 ай бұрын

    So sad

  • @HappysangaHappy
    @HappysangaHappyАй бұрын

    Daah imenitoa machozi mm

  • @user-nb5vb3qf3w
    @user-nb5vb3qf3w2 ай бұрын

    maua jamani

  • @eunicemaganga4350
    @eunicemaganga43502 ай бұрын

    Jamani hiyo kanda mbona matukio ni mengi muludieni Mungu

  • @user-fp8ml9rb5v

    @user-fp8ml9rb5v

    2 ай бұрын

    Oiii mungu tusaidiee uku ni kwetu lakin pamenishinda tabia

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516Ай бұрын

    wanaume tulieni na wake zen u,mnaleta shida kwenye familia,utakuta wameanza kwa kulala chini,analeta uhuni,dah, aisee,mhhhh inauma,

Келесі