Hamisa Mobetto: aeleza YOTE Kumroga DIAMOND / SAUTI ni ZANGU / Hajielewi / Tumeachana.
Ойын-сауық
Hii ni EXCLUSIVE INTERVIEW ya Hamisa MOBETTO kwenye The Playlist, Elezea ISHU YOTE kama ilivyo kuhusu Kumroga Diamond, Kupigwa na Mama Diamond mpaka Wigo kuvuka, Kuhusu WEMA, ZARI na kila kitu. na hii mara ya Kwanza Hamisa ameongea hayo, Tazama hapa.
#HamisaMobetto #Uchawi #DiamondPlatnumz
#ThePlaylist
Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!
Пікірлер: 873
Chama cha wasoma comments KZread tujuaneni jamani hiishow nikali ganga like
@chabycarpoza2998
5 жыл бұрын
Nipo hapa
@jessicaedwards9172
5 жыл бұрын
Amiri Ramadhan hahahhaha yani ni mwendo wa kushangaa tuuuu
@salamamohammed5446
3 жыл бұрын
T
@fettyliclous_flovour_tz9489
Жыл бұрын
😅😅😅
Gonga like kama umekaona kakofia ka liliomy😂😂
Mama dee much love from OMAN,nakupendanga sana
Nimekupenda bure we mwanamke, you are super honest, and smart brain ata ommy amekubali banaaaaaaaaaa amekwambia anajua you are smart, unajielewa kabisa, FOCUS baby girl FOCUS i love the new you kabisa and you will go far bila hii familia walah
@beatricekamengekamenge5543
5 жыл бұрын
Hayo nimaisha yao kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe so tuwaachie wao
@fatumaally3266
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂nyoooo umefunguka Leo ila vizuri missa hukuwa naniambaya
@fatumaally3266
5 жыл бұрын
Day anatapa tapa
@christinawillson6185
5 жыл бұрын
Umeongea vyema Sana dada
Love her or hate her she's going places!!
Nani kati yetu hana mistakes in life?? Lets stop judging this woman she went through hell. Its ok to do MISTAKES and learn from it. IM NOT YOUR FAN BUT I HONESTLY LIKE YOU MORE AFTER WATCHING THIS INTERVIEW TODAY. KEEP MOVING
@SHININGFILMTV
5 жыл бұрын
Kweli dada Hahaha muje msubscribe na channel yangu jamani ina mengi ya motooo
@fredicahnkaebwa4745
5 жыл бұрын
Mariam Yusuph shida yake anapenda kiki Sana kupitia kwenye migongo ya wengine.imagine nine years without producing with the man u love then Akisha pata wakumzaria then okashoboka kwa kutaka kiki. No not good at all.she really messed up
@fredicahnkaebwa4745
5 жыл бұрын
Kwanini humtafuta mume wako.unashoboka tu na wanaume wa watu. Giheshimu plse na acha kutembeya na waume za watu
@fredicahnkaebwa4745
5 жыл бұрын
Yani hamisa in short Bado ana mambo ya kitoto.siku hizi wanawake wanaroga wanaume kwa mapenzi sio kwa uchawi. Acha ujinga dada. Usifurahie kwa vile watu wanakusifiya.that thing if I were u I wouldn't accept coz its so barbaric for our generation
@Biancaaa12345
2 жыл бұрын
Hamisa ♥❤ Mobetto was very young 21yrs when she got a baby from that witch family. Zari found Hamisa already dating diamond Zari immediately got pregnant but diamond never left the young girl Hamisa Mobetto.
I love you Misa no matter what maisha mapito tu
@Thisisgrace979
5 жыл бұрын
Lashy Mreal I love her too
😀😂😂 kweli hiyo story inafurahisha.
That is what I wanted from you Misa ...kuanzia hapo umejitambua kuacha kumg"ang'ania ..wakat hupendw. Bas pga Kaz ..mungu abarki
@hananmustafa6430
5 жыл бұрын
I love hamisa Sana Mm timyako Sana my love wangu Mm na family yangu ww nikiyo achana nahuyo diamond leya mtoto wako mama
@saumuhassan6365
5 жыл бұрын
@@hananmustafa6430 Yani unishindi mimi
Love you my much misa❤❤❤❤ from Dubai
I Love you beyond words.. Hamisa keep that faith you will go far... Umeanza vizuri freedom is the best.. Thing. Go mamaa.....
The good thing with you is .... you speak the truth and believe me you......This only makes you a Hero. You are truly Madam Hero.
#Mobetto nakupenda sana 💋😘😍😍 Umefanya la maana ku move, nimekupenda bure, Allah atakusimamia kwa kila hatua, utapata Mwanaume mwenye khery na wewe asije kukuuwa bure cute wetu, nakupenda sana 💋😘😍😍 sana my love 💋😘😍😍💕 Jinsi ulivyo funguka ishu zote yani nimezidi kukupenda, Tambweeeee nifikishie huu ujumbe kwa #Mobetto mwambie namkubali sana 💕💋😘😍😍
@saadahamza3856
5 жыл бұрын
Acha kumshirikisha allah ktk jambo lisilo mpendeza. Allah hajataka tuharibiane mielekeo yetu. Hii n dhambi yake anailipa akiwa hapahapa dunia. Ww n mwanamke, what if lingekukuta kama lililomkuta zari. Je ungemsifia mwanamke aliyeharibu future ya watoto wako. And ukimsikiliza vizur aling'ang'ania kwa mondi kwa ajili ya kuolewa, na ndo 7bu akabeba mimba. Nandomana anaamua kuachana nae coz alilotàka hapat zaid ya kuambulia kudharirishwa
@salimakanik2805
5 жыл бұрын
My upo uwa nakumiss
@saumuhassan6365
5 жыл бұрын
@@salimakanik2805 nipo sana tu my dear
@cailamom145
Жыл бұрын
Larkin
@cailamom145
Жыл бұрын
Haikua sababu yakuyasema hayo yote mama we umevulugwa au ahaa makubwaa
I love you Hamisa.... May Allah Protect you n ur children ...stay happy we have ur back❤
hamisa kweli ww huna hata aibu mond unampenda sema tu voice zako zimekuhaibisha Dada yetu hahahaha pambana na hali yako
Yan mnajifnya hamumpendi misaah af interview!!! Yake mmekimbilia KZread kuangalia ndio kumpenda kwenyewe huko
Just move on with your Life Mama dee
I like this new confident Hamisha, big up girl
That's the way to go girl.sky is the limit. You destined for greatness
I love this beautiful lady and anajua what she needs for life woow
U R strong woman. This man and his mother have put you through so much. Your priority should be your kids. If he wants to be part of his son’s life, he should learn to respect you as well as guarantee his son’s protection.
MY FIRST TIME TO LISTEN HAMISA INTERVIEW ..VERY BIG MIND MADAM..HAKI AKILI YAKO KUBWA SANA MZAZI MWENZAKO..BIG UP MAMA
From Kenya Congo❤❤❤
@mymunamymuna4807
5 жыл бұрын
Wema nyumbu tu, wivu wamsumbua
@solangekubota9487
5 жыл бұрын
Congo unani shangaza
LilOmmy kizazi zaid much love 😍
Hamisa u r a true woman haki unani inspire sana Allah akufanyie wepesi kwa kila jambo
Hamisa you’re an intelligent woman tangu siku nyingi. We love you!
Umepitia mengi pole hamisa
@marrysimon5987
5 жыл бұрын
Amisa nakupend
Hamissa mobetto ❤❤❤
@HamisaMobetto such a lovely intelligent lady! Bado mami unakomaa, mistakes na changamoto zimo but above all *#OwningUp* earns you even more respect. Now go, keep winning!! #ATeamlessKenyan #SupportingAfrican #TeamAfricanQueens
Amissa NICE mama Mungu yuko na nawe inshaa Allah 😍😍😍😍❤ from UK
"Kuna wanaume wengi wanapenda kulogwa ! 😀" nimefurah sana hiyo kauli.
Hapo kwa mganga sijui ustadh hamisa hujielewi achana na dai utadhalilika mpaka lini
umeongea point kpnz nd maan nakulove 👏👏👏
Very smart very active madam God bless u much
Huyo mama yko ndy bodyguard Wako ujue anakualibu Sana madam KARABA
Love u hamisa never give up god is always with u swt
So smart mobeto that's why I love you Misa
wew fanya ututolee ngoma ingine acha na mondi atakuzeesha 😂😂😂
hamisa❤❤❤
Yaan kama unamkubali hamisa mobeto acha wivu gonga like yako please
Tambeeeee yaan unavyomuuliza.maswal hata kama hataki kujibu lazima utajibu tu bila kujijua
Bado wampenda dai.kudhalilishwa kote huko.waulizwa uko tayari kuzaa na dai.waanza fikiria.na ndoa kama huitaki usingeenda kwa mganga
Even if it could have been me i would do the same thing to someone that I love, love you boo hamisamobetto 😍😍😍
From UAE Umeongea vizuri sana Hamisa angalia maisha yako sasa
Aisee nimecheka sana kumbe kweli ulitaka umroge? Dah mtegemee mungu Hamisa bhana achana na ushirikina
@hadijashabani6233
5 жыл бұрын
Zahoor Zozo tofautisha kuroga na kuomba dua fala ww
@sish7012
5 жыл бұрын
@@hadijashabani6233 ww kweli ujui kitu wapi kuliko sema tumia duwa kumloga mtu Mungu kaluhusu niambie namm nijue kwenye kitabu gani tena atete zinaa akuomba siku zote aje kuomba juzi ww achahutani nadini
@zahoorzozo2241
5 жыл бұрын
Hadija Shabani fala babako boya wewe eti duwa wkt mwenyewe amekili
@tinivanny7562
5 жыл бұрын
@@sish7012 wacha ujinga wewe wapi alisema anaamba dua ili amroge
@sish7012
5 жыл бұрын
@@tinivanny7562 sikiliza voice kwa makini alafu kiswahili ujui kuandika sijui mwezetu wawapi
I love you Hamisa,kam wewe team Hamisa like 👍👍👍👍Wema mnafiki sana yule dada 😏😏😏
@hopefully7090
8 ай бұрын
Huyo hamisa wenu aliwahi kuishi kwa wema na kubwa nguo zake huku akimwita dada nyuma ya pazia analala na dai unafiki wa wema umetoka wapi?
nampenda saaana Hamisa keep on moving...mwaya maisha yana changamoto nyingiii
Jipe raha mwenyewe @Hamisa mobetto, u r such a strong woman
She is damn smart ..i like this girl
Diamond atapata tabu sana maishani mwake asipoangalia vizuri maisha yake ya mahusiano. Ni kama laana ya Zari inamsumbua tuuuuuu
@mussamussamussa8444
5 жыл бұрын
N zari pia laana ya mumewe Ivan umelisahau Hilo mtu una mume na watt wakubwa unaenda kwa mvulana play boy je hiyo sio laana?
@moniacris4352
5 жыл бұрын
Kwan zari n nan mungu
Jinga sana hamissa😃😃😃 Much love kwako mama Dee ❤❤❤❤❤
Hakuna zaidi ya Allah..Doh mambo ya uchawi sio nzuri
Nakupenda sana hamissa mpaka naumwa ila mungu yupo naweye atakusaidiya muombe sana
@zulugeneral5563
5 жыл бұрын
mchawi
@tatuomar4164
5 жыл бұрын
+Can you with me nampenda ivo ivo nauwachawi wake ata hawe kinyamba nyamba tampenda tu
Hamisa alikuwa na tamaa, haswa tamaa ya maisha. Na hii n dhambi ambayo inamla hapahapa duniani. Kwa nn anaamua ku giveup kirahisi ivyo akat mwanzo alishndwa kuji control adi ameharibu future ya tifa na nillan. Sasa anayarudia maneno ya zari eti mtu haeleweki. Anasahau yy ndo alisababisha adi wenzie wanaachana. Sijui anachoka nn, yy apambane coz ndo alikua anayataka
She is very strong this girl not like others
Ila huyu Dada ni Madam Hero indeed ,with all that bado ana smile ! Yaan mrogee tu huyoo Dai!
Usiende tena kufanya dua Hamisa bana unatuangusha timu yk ukishinwa uje twende kanisani tukafanye maombi mpnz we lov uuuu
Nakupenda sana hamisa honestly unadeserve kupendwa na Kila mwenye akili timamu
this women is so Dope familia ya dai Utajiri na umaarufu unawalevya wasionee watu maana Mungu atawageuka siku
Mm pia n muislam, kazi ya shehe n kukuombea dua tu na sio kusikiliza kisa chako then ndo akuombee. Mwenye kusikiliza shida na kutibu accordingly n mgaganga. Aache uongo bhana yy alienda kwa mganga. Anatakiwa ajue tu ridhiki hupangwa na mungu, aache ku force maisha. If yes no body can say no, but ukiradhimisha ata mungu atakupa No, No, No until u die
U are great mom mobeto
Team missaaaaaa penda ww mpk basi like it if you love hamissa
Hamisa ni mkweli ni wanawake wachache sana kama uyu
@Hedva255
5 жыл бұрын
Ni kweli mwaya
@asiakadendula4244
5 жыл бұрын
Sidhani kama kuna mwanamke atafurahia malaya kuja kulala kwenye kitanda chake,
@asiakadendula4244
5 жыл бұрын
Naukweli gani mchawi tu huyu
@cestlaviecestlavie4606
5 жыл бұрын
@@asiakadendula4244 , kwani ka olewa hapa kwa Mondi ?
Ww Hodari misa..afu nimekupenda ju ww ni muwazi😍😍😍😍love yha
@jancybimetv2856
5 жыл бұрын
😚
This was a very great interview. Hamisa is a very beautiful woman inside out. She intelligent and here she was candid and articulate.
Mdogo wangu nakuombea kwa Mungu Akusaidie kumsahau Diamond, hakika nimeona bado unampenda sn kutokana na maelezo yako. Umeshaumia sio mara moja na sio kidogo kwa ajili yake huyo mwanaume. Inaonekana ankutamani tu na sio kukupenda ila ww ndo unampenda sn. Mungu Akikiujalia kuleta amani na upendo uwe naye ni sawa, ila usilazimishe mpendwa wangu maana utaumia zaidi. Naona km vile akili yako ina amini huwezi kuishi bila Diamond au labda unadhani kuwa ww ni bora kuliko wanawake wote kwenye macho na moyo wa huyo mtu. Nimeongea kisaikoljia zaidi. Trust me, ni Mungu tu ndiye ambaye huwezi kuishi bila Yeye Muumba. Mwamini Mungu utaishi salama na kwa amani tele. Usimfikirie tena huyo mtu. Ila km unadhani liko tumaini la ww kuwa nae tena huyo mtu sawa nisikivunje moyo, trust your heart and your instincts tofauti na hapo just forget it na utakuwa na amani na furaha tele. Take it from me honey. Nakuhurumia sn.
Pole sana..always God is good.. Utapata tuu
Never Give Up @hamisa mabetto 💪💪
Like u misa
hahaha asante madam hero interview imefanya watu waka wish ety respect haha respect wakat ukamwita mama Mtoto wako kima
Love you missa 😍😍
kama umeona gauni linamsumbua gonga like
Nakupenda misa hadi naumwa😍
@Hedva255
5 жыл бұрын
Pole baby wangu hahahahaa
@imakulatatitus2469
5 жыл бұрын
P
Hhh ety unasaligi i like it.... Power of Woman
Lil Ommy The Best Presenter In Town
@mohadangote813
5 жыл бұрын
In east africa bro
@wambosunshine5600
5 жыл бұрын
Right
Hio hadithi ya shekhe ama sijui usthadh haieleweki hataa... Umechanganya sana dada
@Sasha-xl9th
5 жыл бұрын
Yani nashkuru umeliona hilo.... Very stupid
@victoriamulwa1354
5 жыл бұрын
Sana i wish i can interview her. Ntapata vizuri shes lying
@Hedva255
5 жыл бұрын
Hata mimi amenichanganya hahahahaa
@tinivanny7562
5 жыл бұрын
kwa akili zako unataka aanzie kwa mpangilio ili uelewe zaidi ? Mfate ukaonane naye uso kwa uso akuelezee utakavyo wewe
Mbona uliposti picha za uchi kama unaheshima kwenda kuleeeeee
Dah Mondi hajui kinachoendelea....... sasa Misa akiamua kushea izo voicemail za ndugu wa Mondi inakuaje....noma kweli #MadamHERO stay strong
Kumbe weee n.muoga misa🔥nakupenda mom
Umependeza my best ilove you so much
Nakupenda hamisa ❤❤❤
Subhahanallah yaani unamshikisha mwenyezi mungu alafu unakuwa proud
umeshindwa ulimwaribia sana mwenzio zari sasa yamekurudia ndo dawa zilivyo wewe ulimchukia zari mwongooooooo,ndo mwisho Wa dawaaaaaaa
I knew you meant good babe but they never understood you. The strongest person for your age.
Nimetokea kukupenda hamisa umeongea ukwer lv you so much ❤️
acha yakukute tu shoga ulizani umemkomoa zari kumbe umepatikana unaona sifa chuchunge ulizani umemkomoa zari mwanamke fisadi we we kwenye arobain ya nillan mpaka unatunza kumbe na ulikuwa na mingo zako yakukute tu shoga
Nakupenda ww dada ❤❤💋
@yvonne4244
5 жыл бұрын
Ndio sasa ukome kujilashimisha Kwa wanaume wasio kuwa na time na wewe ,,wewe na mamako nyote wachawi
@rheanmutimanwa3471
5 жыл бұрын
الyvonne ال una nyege ww
Hamisa umesahau kumwambia mganga nataka nimzidi diamond kimziki.
@solangekubota9487
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😁😁😁
@laureenonika
5 жыл бұрын
😂😂😭😂😂😂😂
@joharmusa3290
5 жыл бұрын
Hahahaha
@sabrinasuleiman1621
5 жыл бұрын
Hamil Musa 😂😂😂😂😂😂😂😂
@bimzungufumba7037
5 жыл бұрын
Tatizo ww watumia ndumba hupendwi hawezi kuwa upande wako hayo ndio matokeo ya mapenzi ya kishirikina dawa zikiisha mapenzi kwishehy😂😂😂
Ila wewe kama sio download usinge kuwa wajulikana hivyo ulitaka sana kupata mtoto na diamond kwa sababu wewe mjanja sana
U very gd
yani bora Leo umeeleza vizur yote jmn nimependa san
Et ustadh sas waganga c ndo zenu kujiita maustadh yaan cwapendi washrkina hat kdgo yaan mzry lkn chawi hilooo
Misaaaaa😍
Much love hamisa Kizazi sanaa
Yani kwene yes or no bado unatamani kuzaa nadai jmn dada ving'ang'anizi wewe ukiachwa achika wewe kwani dai ndokaku bikiri jamani
Love you! Pambana Mama u'll reach there.
Hivi kitendo cha Dai kumwita mtto wa Hamisa side kid, kwani mtto wake yupi ni main kid?! Au alikuwa anamanisha nini kusema side kid?!
@Joliezidane
5 жыл бұрын
Hapo sasa wote ni side kids
@asiakadendula4244
5 жыл бұрын
Nee and tee is main
@vanessanyanda4148
5 жыл бұрын
@@asiakadendula4244 kwahyo ikatokea Dai ameoa leo, Nee&Tee watabaki kuwa main kid?!
@vanessanyanda4148
5 жыл бұрын
@@asiakadendula4244 Au na wao wataingia kwenye kundi la side kids?!?
@elzearselestine5000
5 жыл бұрын
wote side kids wale
I love you babeee huwez kumfurahisha kila mja kwenye hi dunia so usiumize kichwa kwa watu wanao jifanya wao ni kama malaika hawawez kosea wanajua kuhukum wao kma Mungu vile
Love you so much misaaaa
Sasa umekuwa michaaa kama KWELIII umemuv down kwaaa chibuu ayaa mama Pambanaa mamyy utasongaaaa mamyyy