Navy Kenzo: DIAMOND lazima AHESHIMU / Haya ni MAISHA Tu!
Ойын-сауық
Navy Kenzo waongelea kuhusu kuondoka kwa Seline, Rosa Ree, Wildad na madai ya kuwabania, Watangaza NDOA na mipango yao.
Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com
Пікірлер: 199
Kama unawakubali navy kenzo kama ninavyowakubali mimi acha ubishi gonga like yako hapa
@alexrichardmgonela539
6 жыл бұрын
Huyu aika anaongea sana kuliko mumewe bhana...
@smokergang1549
6 жыл бұрын
Gud god bless us for the us work..
Ukute wanaosema Aika anaongea wao ndo machuchunge😂bongo bhana..keep t up Aikaaaaaaaaaaaa❤
Dic guys are dope, nah drama👏👏
God bless you Aika na Nareel
I love the way they @navykenzo are so humbled. #BlessedUp
They should learn to talk one at a time 😒😒😒😒. Also wait for OMMY to finish the question 😕
Wewe lil ommy ni mzee wa kizazi sana big up :)
Ebwana ommy nakukubali sana mzazi
Hawa walidislike 36 achen roho mbaya manina mzigo wa tambwe auna kufeli...iko perfect mamaeee
mashkaji napenda kuwafatilia sana makin sana i like their relationship long
kizazi sana mzee mbaba lilly ommy
Aika is so hyper omg😁😁
wow these two are partners in crime.. hahahaha. literally. they can flip any thing into their favor. ahahahaahah. you guys are good. may God bless you.
Shoo yakizazi Sana yakibabe God akubari Sana
Dada haiba ya mwanamke sio kuongea km chiriku ivyo especially mbele ya wanaume..jibu ulichoulizwa maelezo atatoa mmeo..nyee agwe mwana 😅
Kazi kazi
Kawaida hii ukikosa mume wa kuongea sana utapata bibi wa kuongea sana kama Aika
Aika ongea mama mungu amekupa mdomo wa kuongea😊😊
@aishaelias6826
6 жыл бұрын
Bariki Karoli 😂🤣🤣🤣🤣
love you navy kenzo
aika banaaaa.khaaa mpe muda na nahreel aongeee unazingua banaaa...😀😀😀
Yani ivo .. mnavo jichukulia kma wasanii ndio peke enu hahaaaaaa ... wakati kuna SIMBA kasmama na watoto wake .. alafu ananguruma mda anaotaka ila si kwa kiki za watu ... ni wasanii wazuri sana ila sio ndo nyinyi tu apana wapo wengi sana na wote tunawasikiliza na wanajua na ao mnao wataja atari sana .. kwaio jiaribuni kujielewa kma sio nyinyi tu ...
love sana mnajua navyo wakubari
kizazi sana mzee baba
I love you *Aika n Nahreel*
🔥🔥🔥
Nice couple congrants you guys
My favourite group 💯✅
Ndoa no ndoa tu unacho takiwa kuacha kuzini sio usubili hadi ushangaze haika mungu sio mjomba ako
Yani nyinyi nawapenda sana amna Sikendo munapendana sana ongereni
@teilencedevard9431
6 жыл бұрын
kizaz sana
Ukiskiza vzur interview nzma mwanzo had mwisho AIKA ameongea maneno 863982 Ukilinganisha na nahreel 3891__😂😂😂 yan aika anadakia point za mumewe had kero 😂😂🏃🏃🏃
@emanuelsolomoni7003
6 жыл бұрын
Sele Clever Prince TZ hahaha true am realized that
@princewawaziguatz1563
6 жыл бұрын
Emanuel Solomoni 👊👊👊
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Sele Clever Prince TZ 😂😂😂 Exactly
@babalois7240
6 жыл бұрын
Hahaaaaa 100%
@jemedary6271
6 жыл бұрын
Sele Clever Prince TZ hahah
Nice.
The Mvp safi.xana
Nawakubali sana
huyu dada nasikia hata kwenye rebo ana mdomo sana
dah kweli bhna,, aika unaongea kama mzalamu unakaba mpk penati yan
mnamoyo wa ajabu sana mnawatoa wasanii alafu mnaacha bila kuwadai upendo wa ajabu wasanii wapo wa kari lakn atar awapat nafas kama hiyo love nyny
nakuelewaga Sana bro
lov you guyz
aika is very smart
Nakubali
namtakufa kwa pressure hihihihiiiii fanyeni kazi acheni wivu , mtasema sana lakini simba anazidi kupaa ata mkimchukia bongo nchi nyingine watamsapoti.
#AIKA ww n boya bana,, unaongea ovyo ovyo aseee... Anaongea mmeo ila ww unadakia dakia tuu...
Maji lazima yatajwe tu
Interview ya familia duuh 😳🤓😂kumbe ndio hivo hahaa the next time watakuja na dogo wao nae atataka aongee
Duuh aika anaongea mpaka sio poa!😂😂😂😂 Nah mpaka huruma mana akianza tu kuongea bidada huyooo 😂😂😂😀 mara yeeah mmmh kaaah 😀😀😀
Aika unaongea sana, we ukiongea NAHREL anakuwa kimya ila we too much kama umekunywa maji ya chooni
kizazi sana
Swali na jibu linalomuhusu Diampnd liko dakika ya ngapi?
Duuuuh
Mondiiii kila kona mondiiiii interviw hazimuhusu lakin lazma atajwe tuuu
@officialmeznah974
6 жыл бұрын
manSHYNE, mond n maji bwana kama hutayaoga utayanywa tuuu😂😂😂
@mohamedsadiki9846
6 жыл бұрын
manSHYNE kuna watu km hawamtaji diamond awalati kula
@officialmeznah974
6 жыл бұрын
Mohamed Sadiki 😂😂😂
@davidgaruc8330
6 жыл бұрын
Babako nn?
@jemedary6271
6 жыл бұрын
manSHYNE lazima
Simba huwa anaunguruma popote pale,,,! Kama si porin bas hata barabaran🔥🔥🔥
Nawapenda kinoma ❤️❤️❤️❤️
@KirangaHouston
6 жыл бұрын
Zawadi Ndikumana nikweli
@ombenikihwani5954
6 жыл бұрын
Zawadi Ndikumana Gud
Wewe dada mwache mchumba wako aongee una mnyang'anya kopo katika ya hajaaa looooh Humpi nafasi naye azungumzee
Nawapendaaaa san haw watu
nawakubali
#kizazisana
Naipenda hii couple jamani
kizazi snaaaaa
Eeeeeh Aika jamani breath kiasi,Navy kenzo aongeee duh
nakubal snaaa tambweeeee
Mie simpendagi mwanamke mwongeaji sana sijui kwann jmn
@vickymwaipaja4416
6 жыл бұрын
romwaldo amsi yaan mwanamke anaboa aisee khaaa
@romwaldoamsi2783
6 жыл бұрын
Vicky Mwaipaja simpend kwa kweli inaonekan mwanaume wake atamfanya anavyotaka
mm nili bonyeza naku watch kwasababu niliona jina la #simba tu
Aika omba uwe na Roho ya kiasi haumpi mumeo nafas yan lazma uingilie kati y???
@fatinajuma7414
5 жыл бұрын
Mume mwenyewe akiulizwa swali anajinyea nyea, ndio mke anaona amsaidie
ndio
One day..naweza fany na niny kaz if god blessed mi nawakubalii xana..bless bro tambwee ...
Lilommmy
mmmh aika sio kwa kidomo hcho mama
haaaaa wanajua
Naikubali hii Couple
Tambweeeeeeeeeee
Aika ana ongea kinoma duu hampi nafas mshikaji kujibu
@onikajulius9335
6 жыл бұрын
ben branco yaan
dah aika😀😀😀😀😀😀😀😀ana motor
I'm sure it's Vanessa mdee who pushed Navy kenzo
Nawapenda awa watu jamanii
semaaa woyooooo kama unamkubal tambweeee
huyu demu sio anaongea sana hadi kero
HUYU HAIKA ANAONEKANA ANAONGEA SANAA , NDANI YA NYUMA KUNA MAELEWANO KWELI , MAANA MUDAWOTE. ANAONGEA YEYE2 .
#Wcb ndo heshima ya mjini
Hiki kipindi kimenikela hili lidada linaongea kama kasuku Ebi Kenzo tuta kuita uje mwenyewe tena mana hatu kuelewa😀😀😞
Nawapenda na ww ngonga like apo chini, kama wakubaliana na mm
aikaa anaeza kua sabab ya wasanii kuondoka mbona anaongea sana.....hata bwana ake akiongea yeye kimbele mbele....kudakiaa..
mnanifundisha,vingi
Duuuh we dada mbona unaongea sana
Daaah! Mkali unayumba sana kwenye title zako. Wasanii pekee wanatosha kutufanya tuview interview zako. Siyo lazima utuundie title.
kwa mdomo huo bax utakuwa unabania kwel wasanii una kidomo xna ckujuaga b4
@marrysimon5987
6 жыл бұрын
Mpo vizur jmn nawapend
AIKA unaongea sana
hahahaha huyu mwanamke ni chiriku jamani
Taaaaaambweeeee
majiiii
AIKA unazingua san! Mbona unaongea San wew
Mkiitaji tutazame vdio zeny muwe nawek #Diamondplatnumz hivo hivo maaana njo mtambo wakuuzia habari anaebisha 👎🏼
Teh Teh Teh mwanaume vitendo sio maneno
daaaah dem linaongea hadi kelo kila swali linadakia
@benbenjamin3015
5 жыл бұрын
Hamady Lemunje 😀😀😀😀😀😀😀mimwenyewe kidogo nivunje simu
Mpo vizur Sanaa
AIKA ndo msemaji wa Nahreel?…😁😁😁
Huyu mama anakalia huyun jamaa
lilommy nakubal uwezo wako akuna kama ww
simbaaa
aika na nareel nawapenda sana et aika anaongea sana mbona kawaida tu,alafu style zenu za kizungu,watanzania acheni wivu fyuuuuuu
Aika u should know when to talk and when not to talk...aisee kuna maswali mengine mwachie mwenzio ajibu..au ungekuja tu mwenyew kwenye interview