#EXCLUSIVE
#EXCLUSIVE:LULU AVUNJA UKIMYA - "NIMETUA MZIGO wa MAMA KANUMBA, MSALABA NILIOUBEBA NITAUBEBA HADI KUFA"...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 292
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@HabimanaAbdaul
10 ай бұрын
0aaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0l0aaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaa
@HabimanaAbdaul
10 ай бұрын
L0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal0aaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaa0a0a9a0aa0aaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaal9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa90aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaa9aaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@HabimanaAbdaul
10 ай бұрын
L0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@lizzybeth6344
10 ай бұрын
Mweee mdogo angu wa shule lulu na mtaani kwetu tabata mungu akubariki dada ako wa shule nilikuwa nakuetetea kishule shule mtaani,,kwako mimi apa jina la shule dada ako bwasile wajina wako elizabeth,,baunsa wako kishule shule,,,
@lizzybeth6344
10 ай бұрын
Lulu dada ako apa,,mimi apa bwasile apa mi kishule,,kishule shule,,,tabata chumba kimoja mimi pia nilikuepo mamy,,,,nilikuwa nakusindikiza hadi kanisani baby wangu kipindi unasomoea ,,,izi moments uwezi kuzisahau mdogo angu global please,,,nikiiimuita tu kimemeta ndo jina nalopenda kumuitta ilo jina la ukoo uwa namuita mimi tu,,tokea shule,...
This girl is very wise, I love the way she answers and expresses herself. Big up Lulu.
Lulu nakupenda jmn huna baya na mtu, ni mtu unaejiheshm sana Mungu akupe maisha marefu 💞
Kwa hili la mama Kanumba umezidi kudhihirisha kuwa wewe ni mnyenyekevu wa viwango vya juu. Mungu azidi kukubariki.
Nimekupenda Lulu uko na hekima sana Mungu azidi kukulinda na kukuinua zaidi katika kazi zako.
Mtoto huyu kichwani yupo vizuri mnoo sana awee lulu umenyookaaa❤
Hongera sana kwa kujua huyu mama anaumia sometimes ila hii imetokana tu! Na lulu kuzaa umeelewa uchungu wa mwana
That is Liz That is my lulu, anaeangalia baraka zaidi ya mapito. Nakupenda sana mdogo wangu. Mungu aendelee kutunza hekima yako.
Lulu wewe ni mzuri naturally. Huhitaji makope ya kubandika na makucha ya kichawi. Utukufu kwa Mungu Baba
Nakupenda sana Lulu. Nakuombea udumu ktk ndoa yako. Nimefurahi kuckia unaheshimu ndoa yako. From Oman 🇴🇲🇹🇿
Majizo umeoa mwanamke na nusu hongera sana
@MsAggie5
10 ай бұрын
I hope na yeye analijua hilo (majizo) na Anam take care vzr mkewe
Bonge la interview mdogo wangu upo vzr nimeipenda zaidi na nimejifunza mengi kutoka kwenye maneno Yako ntazidi kuishi umo HONGERA SANA
nakupenda bure lulu una busara sana na hekima mungu alinde ndoa yako mwishi miaka mingi ❤❤
Lulu ni mrembo ,beauty with brain..Well done mama G👏🏾👏🏾👏🏾@Imelda unatupa mambo mazuri sana kila kukicha…Kazi safi sana👏🏾👏🏾👏🏾🫡
Lulu ni mwanamke na nusu Mungu akubariki
Lulu nakukubali sana una busara mnoo!! Na majibu yale yako nayapendaga pia sanaa Mungu akubariki sana huna baya na mtu!!! Hongera pia kwa mama mzaa na mlea chema!
Kuzaa ndo zawadi pekee tuliyo jaliwa na Mwenyezi MUNGU. Namaanisha USIJUTIHI KUZAA.hata wa 3 tunasema KARIBU
@jeanneandfrancislifestyle1518
10 ай бұрын
True watoto ni Baraka🙏🏾
Lulu uko vizur sana,sikujua kama wewe ni mama mzur, na unajua kujieleza na una busara Mungu akujaalie.lov uu
Masikini hd ametoa machozi alipokumbuka alipotoka dah nimejisikia kulia maana wengi tumepitia haso za kuhangaika hd kwenye mama ntilie Allah atupe nguvu ktk maisha yetu na sie tukae chini tuje kusimulia watoto wetu
Lulu kichwan zipo kamili ana akili nyingi ❤maashallah ♥️ ♥ 😊
Nakupenda Sana Sana my mdogo ..mzuri wa Sura na akili....mungu .akutunze unamfano wa kujifunza Vingi..❤
Mashallah nakupenda sana Lulu from kenya yaani umezungumza kama watu 100 ❤
Lulu nakupenda sana unajielewa mnooo❤
Rafiki wa Mimi hongera sana mungu azidi kukupa ujasiri,upendo Mkuu na busara na hekima teletele hakuna jipya chini ya jua.mungu akubariki.
Mungu akubariki sana lulu yan katika wasanii wew ndo huwa nakuelewa
That is Liz That is my lulu, anaeangalia baraka zaidi ya mapito. Nakuoenda sana mdogo wangu. Mungu aendelee kutunza hekima yako.
Asante sana lulu Kwa maneno Yako uliyomjibu uyo dada
@emilyondari4796
10 ай бұрын
Am à aà
Mungu aendelee kukumininia baraka mrembo wetu unastahili furaha mami❤❤❤❤
Nakupenda bureeeee mdogo wangu Mungu azidi kukutunza....unakitu kizuri sana ndani yako....
Ni kweli nakufaham sana Lulu tukiwa wote Tabata karibu na mambo sasa Hotel ❤😊
Da imelda I love your interviews you’re professional
Mungu ambariki mwanamke aliekuzaa big up mdogo wangu
Lulu so cute❤ alafu anajiamini saana na Ana visio!! very Wise!!
Nakupenda sana dada. Ubarikiwe na Mungu dada lulu
Huyu Binti Ana Akili Kubwa sana Na Ana IMANI SANA SANA ❤
@rehemasandube5390
10 ай бұрын
Mtazamo wako sawa na mimi kima2azo kuhusu lulu nampenda sn huyu bint
She has matured so much love it 😌😊
Mungu ni mwema kila wakati 🙏🙏
Big brain and beautiful woman
Mungu akutangulie lulu nimependa ulivyo jibu maswali na majibu
Yani lulu nakupenda sana ❤❤❤❤
Nakupenda sana lulu my role model ❤
Lulu nakupendaa bureeee❤❤❤❤
Mungu akubariki da lulu.
Hongera sana Kwa kujitambuwa kipenziii❤
LuLu umependeza sana ongera sana mungu awabariki unajuwa kuongeya ❤
Beauty with brains , Lulu ni mmoja wa mastar ambao wanajuwa kujibu maswali kwa akili sana
Kwa kuongezea alicho kisema lulu,,,Kuna aina ya wanawake ambao wakijifungua mahips hua na muonekano tofauti,yaani hupanuka na ukawa na shape nzuri kushinda ya mwanzo,,,,ni siwe mnafiki hata mm nimmoja wao,,,na pia Kuna wengine wakijifungua huzidi kupoteza kabisa,,,,,,,
Iulu nakupenda sanakipenzi
Maisha ni safar ndefu. Don't look back, go ahead. Be bless
Umekuwa mdogo wangu ulicho ulizwa na ulichokuwa unajibu sahihi kabisa yani umekuwa mama mwenye akiri kubwa
Kila jambo jema hutoka Kwa mungu hongera xana lulu jaman. Yaliyopita c ndwele kilichobaki kuishi Kwa aman dunian.
Mi sisemi kitu maana unajua nakupenda ❤❤ lulu
❤❤❤smart girl with good brain🙏
Lulu uko vizuri sana ❤❤❤
Uuum lulu nilikuwa nime mu miss kweli,hongela kwa kupata Baraka kutoka kwa mungu❤
Lulu is just a masterpiece
Nakupenda umetulia Sana unamajibu manzr unajitambua God bless you
Lulu ❤you're so smart in everything ❤
Msanii pekee anaejiheshimu pamoja na monalisa pia.
lulu akili kubwas ❤❤
Big up Lulu nime inspire sana exclusive interview yako.
Uyumu dada LULU nampendaka saana sana kbsa
Nakupenda sana lulu mungu azidi kukubariki 🥰🇰🇪
Ila lulu mzuri sana
Kweli kabisa hujaweka mikope ya mbuzi na mikucha ya mbwa mwitu hongera sana.
Da imelda nakupenda mwayaaa ulivo mungu akupe maisha marefu
❤❤❤❤❤ Elizabeth
Lulu jamanii kukupenda tu mdogo wangu❤❤❤❤❤❤🎉
Kwa changamoto za kimaisha alizopitia huyu binti akiwa mdogo sanaaaa kiasi awe makini zaidi!
@rachelmgoba
10 ай бұрын
Lulu nakupenda en I realy mean it ,I feel so sad when I feel your situation with mom kanumba and be strong forever lulu wangu 😭
Nakupendaaa sana lulu wangu❤❤❤❤❤❤
Imelda wewe ni mtangazaji mzuri
Uko vizuri kwenye mahojiano una akili ndio maana majizo aliona loti kqajo alikukubali akakuoa hongera sana bint I love you❤
Uko vizuri sana
Hongera sana lulu mungu akutunze
You are a very wise woman nimekupenda lulu ❤❤❤❤💚🖤
Safi sn LuLu wetu hakika wewe ni wa mfano mzuri kwa Jamii mm nakuelewa sn mdogo wngu ❤❤❤❤❤❤❤!❤!
Lulu mungu akulinde wewe na family yako
Elizabeth Lulu Michael i love you 😍 🔥🔥🔥
Lulu ❤❤❤❤
Mashallah, hongera sana kipenzi
Love you my Lulu❤❤❤❤🥰🥰🥰❤❤❤❤
Lulu huongei km unaongea tu, unaongea unajielewa unachokiongea, we ni bright. Nimependa
Hii hata mimi na mke wangu ilitikea mpk wakawa kama mapacha ila ina raha yake❤
Great
Sema uchumi mzuri pia unachangia 😂😂😂😂
Maneno mazuri sana nimejifunza❤
Interview nzuri sana, Na nacho kifikilia ndomaana umekaa ndani ya ndoa Hongera sana, Na Majizo naesi mtu wa kujikweza
@MsAggie5
10 ай бұрын
Kweli hata mumewe sio WA kujikwaza
Hongera sana, kweli u.ekua na una akili yingi umekua mama na mke kwelikweli, ni mfano wa kuigwa na wasanii wengine❤
Mashaallah binto anaheshima hadi raha
Amina
Hongera lulu, wajina wangu.tumezaliwa siku moja
@user-sv2lz9ro5f
8 ай бұрын
Me also 🎉❤
Kajala uwe unapata na viushauri Kwa Lulu ama uige kidogo kidogo
@EsherMacha
10 ай бұрын
😅😅😅😅
@tracyglory9804
10 ай бұрын
,🤣🤣
Lulu nakupenda Sana. Mungu ukulindie na akukuzie watoto wako
I love you so much bby❤mdogo lakin akili nyingi sana unajibu kwa kutumia knowledge hukurupuki hongera sanaa
Lulu mungu akubariki ila umkumbuke mama kanumba panapo wezekana
@catherinekiwipa9271
10 ай бұрын
Amkumbuke kwa kipi mbona ameshafanya hayo maisha unayoyawaza we Ni maisha ya mvunja kikombe yaan kilichotokea Ni Mungu aliruhusu sio Lulu aliruhusu
Nakupenda lulu ❤❤❤
Hongera sana Lulu uko vizuri
❤ Nakupendasan nigeweza .kukuwanawuwezo ningekuwoa
Anajua sana kujibu maswali ❤
Nakupenda sana lulu walahi