PART 1: BAHATI BUKUKU ATAJA SIFA ZA MWANAUME ANAYEKUPENDA NA ASIYEKUPENDA | HARD TALK..
Ойын-сауық
PART 1: BAHATI BUKUKU ATAJA SIFA ZA MWANAUME ANAYEKUPENDA NA ASIYEKUPENDA | HARD TALK..
HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na mwimbaji wa injili, Bahati Bukuku, kwenye kipindi cha Hard Talk..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 301
can't get tired listening to this women of God, woow... More love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️
Love you Bahati bukuku from Nairobi Kenya
Nakupenda sana Dada yangu Bahati Bukuku, nyimbo zako zote ni nzuri, na una sauti nzuri Sana! Mungu akubariki sana! na akujalie maisha marefu yenye neema na baraka tele
Mafundisho mazuri mama Bahati may God bless you more and more kutoka Kenya
Dada mimi nakupenda bure vile ulivyo na kuombea maisha marefu 🙏🙏
You are my favorite, my sister Bukuku you are always my mentor woman of God. Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu wangu nampenda saaana Bahati bukuku asante saaana Liliane Mwasha
Higher IQ by GOD wisdom Mama BAHATI i love you so much, this is the best interview ever by advice and wisdom...
Nakupenda bahati ulinifanya nipende Mungu Kwa wimbo wa Estar.
@mamakamwana362
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana dada bahati kwa mafundisho mazuri
Much love for both of you..very mature women full of wisdom
Hakika dada bahati umenena " urafiki una viwango" Exactly 👍✍🏿
@estareliya5818
Жыл бұрын
Yani uko sawa
@jetitahkarimi
Жыл бұрын
Nakupenda sana dadangu natamani unishike mkono nitoe nyimbo zangu
Sasa ninyi nyote mbona mnasauti nzur jmn nawapenda nyote 🥰🥰🥰🥰♥️♥️♥️♥️
Nakupenda sana dada bahati natamani siku moja nikushike hata mkono unanitia moyo sana
Mimi ni ni Lilian jebiwott from Eldoret Kenya nasikiliza wimbo zako sana hii Niko Saudi niobee mama najuwa baba nanny mwaitekeasante Kwa maombi zenu ndani ya Kristo.
Nakupenda Mama yangu bahati bukuku❤️❤️❤️ na nakupenda mama yangu Lilian.. Mungu wa mbinguni awatunze.🙏🙏🙏
@nsengumuremyisylvester4950
Жыл бұрын
amen
Powerful wisdom
Amen dada Bahati kwa mafundisho yako
Bahati ameeleza kabisa jinsi Lilian yuko. She's a special child. Nilianza kuangalia hiki kipindi hivi karibuni na nina penda ninacho kiona na kusikia. I love this special show with a passion. Mungu aendelee kukuongezea hekima dada Mwasha.
i love this woman of God... much love from Kenya
Amen 🙏 Neema ipo Asante Sanaa bahati bukuku
Asante sana watumishi was mungu maneno yenu inanigusa moyoni😭😭🇨🇩
Asante Sana watumishi wa Mungu, dada Bahati ubarikiwe, mtu anayekupenda atakulinda🤚
@philipoboazngete4829
Жыл бұрын
Mbarikiwe sana wapendwa nimefurahi hii hapa hela kaongeze libwata
Wow leta huyu mwanadada mara na mara tena. Mafunzo yake ni mazuri sana 😍🙏
Mungu tu akubariki dadayangu bahati bukuku nakupenda sana ila naamini tu sikumoja nitakuona ubarikiwe na Bwana.
Amen !! Watumishi wa Mungu!! Mnayonena ni kweli
Haya maongezi ya Leo Kuna watu wenye ufahamu mdogo watasema Bahati Bukuku hayuko rohoni ila Mimi nimekuelewa Sana hasa hapo kwenye kulindana na kuteteana kwa wanandoa
@mariamramadhani3860
Жыл бұрын
Na sauti ya dada bahati kama mshikaji fulani hivi
@RaelAngela
Ай бұрын
❤umenijenga mimi pia ni mtumishi wa mungu sipendwi na watu ni nini Huwa kinaendelea pale
🥰🥰🥰 Da Lily tuletee Christina Shusho
Wau l love this your a woman of God
Dada bahati nakupenda sana
❤❤❤Bahat unaimba dada❤❤wimbo wako. unapojaribiwa usitende dhambi❤❤❤❤❤❤❤❤
Nabarikiwa sna&nyimbo za huyu dada Bahat Bukuku nikiwa&mawazo,uchungu majonz huwa napenda kuckiliza nyimbo zke
@sarahomary3615
Жыл бұрын
Kabisa yani nyimbo zake zinabariki mno mimi hizi interview narudia rudia maana nikiwa na mawazo tuu huaga nakuja kumsikiliza bahati bukuku moyo unarudi sawa
kiukweli mama Bahati nyimbo zako zinanifulahisha sana.sauti yako basi kila akusikilizae lazima aipend🙏🙏mungu azid kukubaliki sana.
@lucyb2609
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana dada bahati
Can't be tired of u guys.God bless you
Nashukuru sana mafundisho mazuri nikiwa 🇰🇪
Mm kama ndugu yangu hawongeyi na wew hata mm siwongeyi na wew kabisa 💯💯💯💯💯💯💯💯💯🤲🤝🙏
Ni kweli kabisa atakuwa kakuchoka.Nimependa
Ubarikiwe mtumushi wangu Mungu ulicho kisema ni kweli Adui warafiki yangu ni Adui yangu
Powerful women of God🙏🙏
Much love from Mombasa Kenya ❤️ mamangu Bahati.. we love you very very much
@katanajohn9163
Жыл бұрын
Mama nyimbo zako zimenbariki ba kunifundisha mungu akueke mahali ulipojichagulia😭😩 kutoka kenya
Nice one, really a hard talk. Bravoo
Nyimbo zako nisababu mimi kutafuta mungu hadi sasa.Barikiwa sana kutoka 254.
Asante Dada bahati nimejifunza kitu hapo nashukuru sanaaa mungu akutunze🙏
I needed this .. aki am really blessed
Nimeumizwa pia.. Nimepokea isee Nina stori kubwa juu ya maisha yngu
Mungu hakika anao watu anaojivunia nanyi ni miongoni mwao
Bahati Bukuku what you have said all about sis Lilian mwasha ,she deserve it🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
I love this woman
You both r blessed ooh my God.
Limbwata.akaboresha....Gumzo tamu. Kweli lenye mafunzo.... Love you mtumish Bahati.. From Mombasa...Kenya
Nashukuru sana kwa mafundisho muhimu na yakupendeza na karibuni sana Mombasa
Nakupeda sana bi bahati Kwa mawaitha yako mema huwa yananijenga sana,,Kutoka Kenya
Amina wadada wamama wazur tunarabikiwa mno
Cjawah kukuchoka bahati❤️❤️❤️mungu amekuwekea karama ya ajabu🥂
Yes kweli kabisa
Huyu Dada kwani kila kitu a naongea kwa ndimi? Bahati is wise I love her
Mafundisho haya ni 🔥🔥🔥
Bahati bukuku you are so clever be blessed
Barikiwa pastor Bahati Bukuku 🌹🌹
Mafundisho mazur saana dada yangu Nimekuelewa Ahsante Mungu akuzidishie
Mungu akubaliki Mama Bahati.
Barikiwa sana mamaangu nakupenda sana oh!🙏🙏🙏🇨🇩
Asante San
Mashaallah mafundisho mazuri
Admired u all dearly sisters; najifunza vingi sana kwenu
Mubarikiwe sana watumishi wa mungu nimelewa sana mafudisho yenu
AMEN AMEN AMEN
Dada bahati nimejua juzi juzi tu kumbe mdogo wangu ata kama ni mwaka mmoja nampitia bado ni mdogo wangu, ila nampenda adi basi nyimbo zake karibu zote nimeziloard kwanza wimbo unao nibamba zaidi ni ule (lazima usamehe) wapili ni (Mungu hana mshauri), duuu hizi nyimbo mbili aseee😌😌😌😌
Umeongea kweli da Bahati ,tatizo wanaume wengi hawana kauli
Ameen imenijenga sana iyo ya hasira uwa Mungu anakutaka iache....na iyo ya aduhi ni mtu wako wa karibu kweli
Nabarikiwa na mwandishi anapo nena kwa lunga!!!
Ndah nimebarikiwa Sana jaman
Amina
Mama bahati nashukuru kwa mafundisho mazuri....kutoka kenya
Bahati bado watanzania tunakuitaji, cjawah kukuona Ila nna ndoto za kukuona bahati bukuku
Kweli kabisa mungu anachojari kikubwa kutushepe ili tumfanane nae. This is true
Sema kweli Dadaangu. Semaaaaa
Thanks Names good words 😍🥰🥰🥰🥰🥰
Nyimbo zako n nzuri sana na mafunzo nkiongezea sauti tamu mungu akuzidishie
This was for me.😇🙏
Mungu akubariki Dada bahat nakupenda sana
Awesome 💕
Maashallah asanteni sana kwa haya maongezi mungu awabariki kila lakheli yaarabi ameen 🙏🙏🙏
I love u dada mwasha jamani❤️
I'm getting some knowledge from these talk here in Qatar
Daaaah Dada Bahati💞💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Asante sana
Love you Bahati,,
❤❤ powerful words ubarikiwe sana
Naupenda sana ushauri wako dada bahati bukuku
Last part so interesting,,😀
Dada lilian mungu akubaliki pia nakupenda pia
Wow nice 👏 👌...nasubiria part 2
Congratulations ak umenipigisha hatua nyengine dada mungu akubariki ungekuwa wa maana sana
Nashukuru sana dadaangu mzuri nmejifunza kitu kutoka kwako
Nakupenda dada bahati kwa moyo wangu wote.
U love her so much even it makes me comment before I see the show
Nakupenda Sana lily jmn❤️❤️❤️
Watumishi niliowahi kuwasikia wakihojiwa na wakajibu kwa ufahamu na maarifa ya juu baadhi ni hawa - josephat gwajima ( ufufuo na uzima) - bahati bukuku - christopher mwakasege( huduma ya mana) - Dionis mtalemwa( ECG) - TD jakes
@cmaxfrans4654
Жыл бұрын
kweli,kuna mwengine Josephat Mwingira wa Efatha nae kichwa.
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Mtalemwa mmm
@trophywilson7211
Жыл бұрын
@@cmaxfrans4654 Josephat Mwigira kuna sehemu anatumia mabavu
@frolaibrahim1257
Жыл бұрын
Umemsahau na Rozi mhando.
@presseg.6362
Жыл бұрын
Kweli
Love u sister bahati,,,,,,ila mazagazaga ya yezebeli hayo yatakutupia jehanum ata kama umehudumia watu wengi
Napenda sauti ya bahati 🤩🤩
@nsengumuremyisylvester4950
Жыл бұрын
sana saaanaaa!!!sauti yake ilinifanya awe muimbaji wa kwanza niliempenda sana.
@millymilly7244
Жыл бұрын
@@nsengumuremyisylvester4950 umeona eeeh Yani dada sauti alibarikiwa na mungu aisee!!