🔞ZIJUE SILAHA za KUMDHIBITI MWANAUME, DKT MWAKA AFICHUA ANACHOFANYIWA na MKEWE | KATIKATI ya KOKO❤️
🔞ZIJUE SILAHA za KUMDHIBITI MWANAUME, DKT MWAKA AFICHUA ANACHOFANYIWA na MKEWE | KATIKATI ya KOKO❤️
(KWA WAKUBWA TU)
KWENYE KATIKATI ya KOKO na Mama JJ mgeni ni Dkt Mwaka ambaye ametupitisha kwenye maisha ya mahusiano na ndoa huku akiwapa ushauri kwa wale waliopo ndani ya ndoa...
#dkmwaka #jjmwaka #mamajj #katikatiyakoko #ndoa #mapenzi #somo
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: kzread.info/head/PL22mc2rU91vDNQjLA5ikELAOcJp5XrakD
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: kzread.info/head/PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 145
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@universitylink
Жыл бұрын
Ukiolewa na mzungu pia unatakiwa kujua culture yao, point ni kuwa different cultures and how to protect your marriage nafikiri hapo wanakusudia swahili culture and protection of marriage
@nurunshimirimana2463
Жыл бұрын
mmmmmmmmm
Dr. Mwaka kitichake mbinguni atakaa karibu na Matayo. Namuelewa SANA HUYU MWAMBA
💕❤️👍👍 mashallah tabarakallah Mwenyezi Mungu awazidishie kutufunza
Jamani kuna walio soma waka juwa hayo mambo msemayo na kuna wengine hata akifanyiwa yote ya duniani hajuwi thamani ya mwanamke sasa mkisema mwanamke ndio sababu ya waume zao kuchepuka hata kidogo alirzoea kunusa kila upande hawezi tulia na wengine wameweka pombe na marafiki mbele utalaumu mwanamke hembu acheni. Kuna wanake wanateseka sana tena sana wanaume msijitetee mkafanya wanawake wapumbavu heti sababu. nimume ndio UNAHAKI ya kila kitu je huyo mwanamke haitaji hayo mnayosema jamani 🤔🤔🤔🤔🤔💔💔💔
@ilovejesus9303
Жыл бұрын
Hiyo ni pointi sana. Siku zote wanafundisha mwanamke tu kumfurahisha mwanaume, je vipi kuusu mwanaume kumfundisha mwanamke? Yaani wananiboa sana. Wapo wamama/ wadada wanateseka sana kwenye ndoa au mahusiano na ukiwaangalia wamekamilika kila mahala. Uhuni ni tabia tu ya mtu aise
@noorbazaar9063
Жыл бұрын
Tatizo kubwa ni malezi yenye maadili yametoweka ktk familia nyingi. Watoto wengi wanajilea wenyewe badala ya kulelewa na wazazi wao!!!
@faridamohamed3561
Жыл бұрын
Alhamdulillah nimekutana na hii comment
@noorbazaar9063
Жыл бұрын
@@faridamohamed3561 pole sana dada mtangulize Mola wako atakuvusha salama.
@julianaharrison4356
Жыл бұрын
Kweli kabisa dear wangu Mimi wangu na pombe na marafiki ndugu zake walimsema mpaka wakachoka kuna matabia mabovu ya watu
Jaman nimejifunza kitu hapo namuomba mungu anipatie mume bora ili nimfanyae hayo yote nilio jifunza hayo
@pericykiko6198
Жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akupatie mume bora
Doctor mwaka umenifraisha atari😅 hongera sn ubarikiwe🙏🏻♥️♥️
Mama jj kwa maswali,ni hataree❤️❤️
Namuelwa sana Dokta Mwaka
Mashaallah kabisaa👏👏
Mashallha
Dr nakuelewa sana
Shikamoo doctor mwaka,acha tu uitwe doctor
mashallah mungu awape nguvu zakuendelea kutufunza
Waoooo kabisa
Swadakta Dr. Mwaka. Hapo kwa vkuku na maana yake
Asalaam alaikum waramatrlh wabarakatu mama jeijei samahani mama mimi ningeomba hicho kipindi muda ungezeke jamani maan nikipindi muhimu saana mama tafadhali kwa heshima
@elizabethtibenda7324
Жыл бұрын
Yan tunafunzwa vizur sana
Akyamungu mnatufunza sana wengine hatujafanyiwa kparty, mpaka tumaambiwa hatuko romantic asante kweli.
@faridamohamed3561
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@tausimussa6553
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Nimewakubali sana
Kwakweli mungu awabariki saana nimejifunza kitu
Wengine tumeolewa ila hatujui kaz ya hivyo vitu sababu tumekuta maadili yamepotea kama kile chungu kule nyuma
Acheni unafiki wanaume wote wanapenda kufanyiwa mazuri lakini wao awayafanyi,
@simonballu1124
Жыл бұрын
hilo ndo linawafanya tuwazalishe na kuwaacha unataka kushindana na mume sio? basi baki kwenu shindana na baba yako mzazi au kajipangaishe kachumba ule usimbe na kudanga.
@marysdiosa8764
Жыл бұрын
@@simonballu1124 kwa mfano, nyie ndo wanaume mnaoamin kwamba ukimzalisha mwanamke ndo umemuweza kumbe mtu anaweza kuliko wewe kulea, yan hatutisiki na dunia ya jana sio ya leo, muache uone kama wanaojua hawatamchukua, tena ukimuacha halalamik chochote wala hakuuliz wala kukuulizia kwa ndugu yako hata mmoja
Dr mwenyw kaachika kwani hay maujuzi ulikua hutumii au ulikua humfundishi mkeo mpk mmeachana
Hata sisi wanawake tunatamani kufurahishwa jamani. sio nyie tu mnawaharibu hawa watoto wakiume kuweni wasawa. mtume alifurahisha wakeze ndio akafurahishwa
@mamananga2849
Жыл бұрын
Kwakweli
@hadiadaoman1981
Жыл бұрын
Kwa kweli maana wanaume wanapenda wao tu tuwafanyie ila twafanya na hawatufurahish
@paulinewangila3899
Жыл бұрын
Farida hapo sawa
@BMboss108
Жыл бұрын
Kweli
Nawapenda
@hadijageorge2863
Жыл бұрын
Mmmmmmmmmmmmmmmmmm/h
Mm hiki kipindi huwa nakipenda chafunzo sana
Mara hakuna mwanaume wa peke yako ….. mara tuwatulize wabaki njia kuu tu sasa kipi ni kipi sasa
@mamananga2849
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@rhodachristopher4398
Жыл бұрын
Kweli dada
@saumukijabala233
Жыл бұрын
Sijui itakuje😅🤣🤣
Nikweli
😂😂😂😂😂😂😂😂yaaan nimekuwa nacheka hapo kwenye leta mkono🙌🙌
hatali sana wanawake wengi wamezaliwa iv kalbun ndiyo tatizo wengi tulio nao umu majumba watoto wa mia ya 2000 2003 na 2004 na 2005 changamoto ndiyo iyo
@shakila3982
Жыл бұрын
Mnapenda kufanyiwa jema wakati hata wewe ulishindwa kumfanyia jema, huyu mwaka si alikuwa akisifia wake zake sana na kufundisha wanaume jinsi ya kumtunza mwanamke, sasa kaachwa anajitia kufundisha wanawake kisa kuachwa.
@mrszogi4475
Жыл бұрын
@@shakila3982 kaachwa na mke wake yupi
@frorenceetoile3016
Жыл бұрын
@@mrszogi4475nashangaa ilo jipya sijalisikia atwambie ameachwa na mkewe yupi ?
Mambo mazito 😍😍
Mwakaa live long
Dr mwaka yupo hapo kumbe kwake ndoa ipo I c u
@neemayatosha1618
Жыл бұрын
🤣🤣 watu wa mitandaoni wanatuongopeaga sana aisee.......
Sasa mbona muna acana inakuwaje
Nafurah San kupata mafunzo km haya na ninapenda mno wngne mjifunze🥰
👍
Ndoa ikiwa na amani ,nafraha yote yanawezekana,Km moyo unavunyongo,chuki,hasra na hyo mume hata achepke huumii roho...Nafsi zishachoka.
Naelimikasana
Yani Mimi nilipopanga tupo na mada wakazi, mke mwenyewe mama wa nyumbani lakini maji ya kuoga naenda bomba mwenyewe, na nguo pia nanyoosha mwenyewe
Mmm
Huyo Dr mwaka alit uonyesha yuko na wake zake wamevaa hizo nguo zakulalia na akasema analala nao wote kitanda ki moja jee ndivyo aliv yofundwa na yeye na hapo anakataa nguo zakulalia mbo na wake zake wanaz ivaa
Nawapata. Swali ni kua kwa nn na wanaume wasifundishwe namna ya kuishi na wake zao? 2: wa kwangu tumeoana miaka 15: Sasa. Na tumefanikiwakupata watoto 2. Jinsia tofauti. Lkn sasaivi ananiambia ondoka nioe mke mwenye uzazi endelevu
@chulitolove6648
Жыл бұрын
Heee aiseee ...this is too much Kwa kweli ,pole Sana bwana...ila huo ni ukatili mkubwa kwako na Kwa watoto pia Yani kama kweli hujamfanyia ubaya wwt na watoto umemzalia ,hapana kamloge uyo mxiuuew asitutanie apa
🤩🤩💋💋🙏
Dokta mwaka namkubali sana
Ktk mambo ya ndoa na hasa faragha kuna madhaifu kote kote kwa mume na hata mke,wako baadhi yao wanamapungufu mengi aidha ya makusudi na yapo ya mtu kutokufahamu!lkn kama nyote mwapendana Automatically hivi vitu vinakuja vyenyewe Sio vyakufundishwa kufanyiana!kila mtu apenda kufanyiwa mazuri na mke au mume wake!ndoa na tendo lake nila watu wawili na nyote mwategemeana!Ukiona mmoja hayuko tayari kumfanyia mwenzie basi kuna ulakini"hapo hakuna kusema eti mke analazimika zaidi kumfanyia mume,ila tumefundishwa mume ndo muhimili,nawaume tena wakisikia hivyo basi wao ndo wakitegemea kufanyiwa zaidi'kingine baadhi ya wanawake wanaolewa ili kupata hifadhi tu basi!hataki kumfanyia chochote mume,nimeona sana tu hii, mume atafanya awezavyo kwa mke lkn mke hata hajui ni muda gani wa kuingia kindani na mumewe, saa yote juu ya TV na simu tu'mume akiingia akitoka mke hajui,hana hata moja analojua lakumfanyia mumewe, yeye kula kulala kwa muda apendao yeye,hajui hata wajibu wake kama mke ktk Ndoa yake!ila apate kula vizuri, kuvaa vizu, kwenda ma holiday na kujifaharisha kwa watu nje,na hata akiambiwa ili ajirejebishe huwa hawataki kujua,haya yapo sana watu tujue kabla ya kuingia ktk Ndoa, kuwa ndoa niya wawili na tunahitajiana na kutegemeana ktk kila kitu,siya mke au mume tufanyiane hakuna hii ni wewe mke na hii ni wewe mume
@masturasudi7394
Жыл бұрын
Uko vizuri 🤝
SILAHA ZA MAANGAMIZI ( WMD) WEAPON MUST DESTRACTION MUULIZE RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI GEORGE BUSH
Why in Tanzania women are treated like slaves? Mke achemshe maji ya kuoga wakati Kuna maji ya moto bafuni...this is crazy
@simonballu1124
Жыл бұрын
your a primitive grade one, you born from Africa you need to live like white people fucking are you pumbu. chemsha maji kenge wewe lasivyo baki kuwa msimbe.
@tinamahega9848
Жыл бұрын
Naungana na wewe katka hili,ni zaidi ya upuuzi,mwanaume mwanaume majanaume yenyewe makunguru tu
@mamananga2849
Жыл бұрын
Mwanamme kila kitu ufanyie yeye kama mtumwa wake
@zenakhalfan1427
Жыл бұрын
I’m telling you it’s absolutely crazy so sad
@mzungumwinyiashs9244
Жыл бұрын
@@tinamahega9848 🤣🤣🤣🤣🤣
Nlishafanya hyo ya kumkaribisha mume tulale na bado akaja kunitoa chumban kwang kulala na mwanamke mwngne😭
@mariammganga5061
Жыл бұрын
Sister waache tu waongeee,,, hawajui tunayopitia
@janechaula2870
7 ай бұрын
Pole mwaya hawabebeki wanaume
Kwani si nasikia huyo kabakiwa na mke mmoja je? Ni vipi? Kuna matatizo gani? Au nyenzo pungufu?
@sanchchalles3769
Жыл бұрын
😄😄😄😄🤔
Mambo pambeee😂😂😂
dr mwaka eti vikambakamba hahahahahha
Ndugu zangu zamani wazazi wetu walikuwa wanatumia fagio hizo kwasababu kulikuwa hakuna za kusimama na kiafya kupinda mgongo kwa mara nyingi kiafya sio vizuri unatakiwa uutunze uti wa mgongo sasa
Wewee majiranii tupo,🤓🤓
Sasa mapenzi umesema nisiku 99 Sasa hata tufanye nini siitakuwa tunajisumbuwa
@hajihassan5433
8 ай бұрын
Hukuelewa siku 99 ni za bila kujiongeza. Kinachodumisha mapenzi ni utachoongeza sio ulichokutwa nacho. 99 ni ulichokutwanacho.
kipindi kizur sana kinafundisha
Siku hizi watu ni watoto Wa mjini
Muulizaji ni zero huyo doctor mwaka ni nzuri kwa kuuliza na huelezea ila muulizaji zero tena zero tena mpikeni uzuri vipindi vinaangaliwa kila kona ya dunia
@neemasawe7016
Жыл бұрын
Ulipendelea aulizeje? Nadhani anajistara kuuliza (tafsida)..ndomana unaona anajin'gatan'gata..na hawezi kumaliza yote.!
Msituchoshe apa kwa wanaume gani sasaivi wa kujisumbua kama ivyo.
@tinamahega9848
Жыл бұрын
😂😂🤣
Mwanaume kaumbiwa kutamani hio nikujishosha tuu
Eeh mm wangu nilivaa hivyo vinguo vya kulalia aliikata kata na akaitupa akasema mtu akiolewa ukubali kulala uchi
@olenihappy109
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂Pole
@bintabuu2068
Жыл бұрын
🤣🤣
@tato8979
Жыл бұрын
🤣🤣
@myunaniniahmad6463
Жыл бұрын
😁😁😁😁
@rozina2161
Жыл бұрын
😁😁😁😁
Thobaah utamu wa ndoa ndio huo
What is the point of listening to this person who is severely abusing his wife!
Hata ufanye nn ataenda tuu
Dr maneno yako yako juu ya mstari. Kuna manawake tushakaa nao miaka 20 lakini bado wanahitaji jando na unyago. Kwani unamnunulia hizo silaha za maangamizi lakini hawajui kuzitumia na wakati mwengine unamwambia azitumia lakini mpaka mugombane kuyavaa
@user-rw6tu9wn3m
Жыл бұрын
Dr unaongea ukweli kabisa lkn siwote wataupojea ipasavyo na mara nyingi ukweli huwa unaumiza sana ndio kawaida ya wanandamu lkn usichike kuelimisha watu kwa hata mungu wmenyewe hawe kunuamini
Fanya yote mwanaume si ndugu yako, atatoka.
@naimakaguo3773
Жыл бұрын
Tena wanyamaaaaaa! Nlijitahd yote na bado akamleta mwanamke na mm kulazwa chumba Cha house girl
@nasra7257
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🙏🙏🙏
@Joyce-qf5px
8 ай бұрын
😅😅😅Tena Hawa wanaume wa Karne hizi. Bila kuwa na wanawake watano Kwa uchache Bado hajaww mwanaume
Majirani hukuu🤣🤣
Acheni mambo ya kijinga, kwani lazima Hao vijana waone na waswahili? Dunia imesonga, this is unnecessary
@simonballu1124
Жыл бұрын
kula usimbe wako salama ukipata mume wa kukuweka ndani njoo unitie vidole huna adabu kula usimbe salama,
@zeinababdi4757
Жыл бұрын
Simon ballu, sorry darling I am happily married for many years, I don't live in Tanzania where women are married to be slaves🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@masturasudi7394
Жыл бұрын
Kazi unayo
Vikuku ndo vitu gani?
@masturasudi7394
Жыл бұрын
Vibata
@janechaula2870
7 ай бұрын
Cheni za miguuni
Mbona ana oa oa ovyo
@masturasudi7394
Жыл бұрын
Dini inaruhusu
Hhhhhhhhh vikamba kamba jmn
Acheni unafiki, nyote hapo mnawafanyakazi wa kufagia, get out of here.
@mamananga2849
Жыл бұрын
Kabisa 😂😂😂😂
Lakini ndoa yako imesha kufa
@masturasudi7394
Жыл бұрын
Haijarisha,
Tuvione izo silaha za maangamizi zote tupate kununua mtupe na kazi zavyo