🔞ZIJUE SILAHA za KUMDHIBITI MWANAUME, DKT MWAKA AFICHUA ANACHOFANYIWA na MKEWE | KATIKATI ya KOKO❤️

🔞ZIJUE SILAHA za KUMDHIBITI MWANAUME, DKT MWAKA AFICHUA ANACHOFANYIWA na MKEWE | KATIKATI ya KOKO❤️
(KWA WAKUBWA TU)
KWENYE KATIKATI ya KOKO na Mama JJ mgeni ni Dkt Mwaka ambaye ametupitisha kwenye maisha ya mahusiano na ndoa huku akiwapa ushauri kwa wale waliopo ndani ya ndoa...
#dkmwaka #jjmwaka #mamajj #katikatiyakoko #ndoa #mapenzi #somo
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: kzread.info/head/PL22mc2rU91vDNQjLA5ikELAOcJp5XrakD
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: kzread.info/head/PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 145

  • @globaltv_online
    @globaltv_online Жыл бұрын

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @universitylink

    @universitylink

    Жыл бұрын

    Ukiolewa na mzungu pia unatakiwa kujua culture yao, point ni kuwa different cultures and how to protect your marriage nafikiri hapo wanakusudia swahili culture and protection of marriage

  • @nurunshimirimana2463

    @nurunshimirimana2463

    Жыл бұрын

    mmmmmmmmm

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 Жыл бұрын

    Dr. Mwaka kitichake mbinguni atakaa karibu na Matayo. Namuelewa SANA HUYU MWAMBA

  • @adijahmdosi5863
    @adijahmdosi5863 Жыл бұрын

    💕❤️👍👍 mashallah tabarakallah Mwenyezi Mungu awazidishie kutufunza

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Жыл бұрын

    Jamani kuna walio soma waka juwa hayo mambo msemayo na kuna wengine hata akifanyiwa yote ya duniani hajuwi thamani ya mwanamke sasa mkisema mwanamke ndio sababu ya waume zao kuchepuka hata kidogo alirzoea kunusa kila upande hawezi tulia na wengine wameweka pombe na marafiki mbele utalaumu mwanamke hembu acheni. Kuna wanake wanateseka sana tena sana wanaume msijitetee mkafanya wanawake wapumbavu heti sababu. nimume ndio UNAHAKI ya kila kitu je huyo mwanamke haitaji hayo mnayosema jamani 🤔🤔🤔🤔🤔💔💔💔

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    Жыл бұрын

    Hiyo ni pointi sana. Siku zote wanafundisha mwanamke tu kumfurahisha mwanaume, je vipi kuusu mwanaume kumfundisha mwanamke? Yaani wananiboa sana. Wapo wamama/ wadada wanateseka sana kwenye ndoa au mahusiano na ukiwaangalia wamekamilika kila mahala. Uhuni ni tabia tu ya mtu aise

  • @noorbazaar9063

    @noorbazaar9063

    Жыл бұрын

    Tatizo kubwa ni malezi yenye maadili yametoweka ktk familia nyingi. Watoto wengi wanajilea wenyewe badala ya kulelewa na wazazi wao!!!

  • @faridamohamed3561

    @faridamohamed3561

    Жыл бұрын

    Alhamdulillah nimekutana na hii comment

  • @noorbazaar9063

    @noorbazaar9063

    Жыл бұрын

    @@faridamohamed3561 pole sana dada mtangulize Mola wako atakuvusha salama.

  • @julianaharrison4356

    @julianaharrison4356

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa dear wangu Mimi wangu na pombe na marafiki ndugu zake walimsema mpaka wakachoka kuna matabia mabovu ya watu

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Жыл бұрын

    Jaman nimejifunza kitu hapo namuomba mungu anipatie mume bora ili nimfanyae hayo yote nilio jifunza hayo

  • @pericykiko6198

    @pericykiko6198

    Жыл бұрын

    Mungu wa mbinguni akupatie mume bora

  • @nairatomar9389
    @nairatomar9389 Жыл бұрын

    Doctor mwaka umenifraisha atari😅 hongera sn ubarikiwe🙏🏻♥️♥️

  • @ackimackim6053
    @ackimackim6053 Жыл бұрын

    Mama jj kwa maswali,ni hataree❤️❤️

  • @faizahalmmm6896
    @faizahalmmm6896 Жыл бұрын

    Namuelwa sana Dokta Mwaka

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Жыл бұрын

    Mashaallah kabisaa👏👏

  • @zainabmussa7461
    @zainabmussa7461 Жыл бұрын

    Mashallha

  • @redsonsimkoko600
    @redsonsimkoko600 Жыл бұрын

    Dr nakuelewa sana

  • @mwamvitasaidi2630
    @mwamvitasaidi2630 Жыл бұрын

    Shikamoo doctor mwaka,acha tu uitwe doctor

  • @omarimohammedmwazuia7304
    @omarimohammedmwazuia730411 ай бұрын

    mashallah mungu awape nguvu zakuendelea kutufunza

  • @omanlovemirbat7572
    @omanlovemirbat7572 Жыл бұрын

    Waoooo kabisa

  • @ashachimweri2622
    @ashachimweri2622 Жыл бұрын

    Swadakta Dr. Mwaka. Hapo kwa vkuku na maana yake

  • @niemand6964
    @niemand6964 Жыл бұрын

    Asalaam alaikum waramatrlh wabarakatu mama jeijei samahani mama mimi ningeomba hicho kipindi muda ungezeke jamani maan nikipindi muhimu saana mama tafadhali kwa heshima

  • @elizabethtibenda7324

    @elizabethtibenda7324

    Жыл бұрын

    Yan tunafunzwa vizur sana

  • @elizabethtibenda7324
    @elizabethtibenda7324 Жыл бұрын

    Akyamungu mnatufunza sana wengine hatujafanyiwa kparty, mpaka tumaambiwa hatuko romantic asante kweli.

  • @faridamohamed3561

    @faridamohamed3561

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @tausimussa6553

    @tausimussa6553

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @universitylink
    @universitylink Жыл бұрын

    Nimewakubali sana

  • @KezaZawadi
    @KezaZawadi11 ай бұрын

    Kwakweli mungu awabariki saana nimejifunza kitu

  • @Alinyambere-tu4dy
    @Alinyambere-tu4dy Жыл бұрын

    Wengine tumeolewa ila hatujui kaz ya hivyo vitu sababu tumekuta maadili yamepotea kama kile chungu kule nyuma

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Жыл бұрын

    Acheni unafiki wanaume wote wanapenda kufanyiwa mazuri lakini wao awayafanyi,

  • @simonballu1124

    @simonballu1124

    Жыл бұрын

    hilo ndo linawafanya tuwazalishe na kuwaacha unataka kushindana na mume sio? basi baki kwenu shindana na baba yako mzazi au kajipangaishe kachumba ule usimbe na kudanga.

  • @marysdiosa8764

    @marysdiosa8764

    Жыл бұрын

    @@simonballu1124 kwa mfano, nyie ndo wanaume mnaoamin kwamba ukimzalisha mwanamke ndo umemuweza kumbe mtu anaweza kuliko wewe kulea, yan hatutisiki na dunia ya jana sio ya leo, muache uone kama wanaojua hawatamchukua, tena ukimuacha halalamik chochote wala hakuuliz wala kukuulizia kwa ndugu yako hata mmoja

  • @brendazayumba235
    @brendazayumba2356 ай бұрын

    Dr mwenyw kaachika kwani hay maujuzi ulikua hutumii au ulikua humfundishi mkeo mpk mmeachana

  • @faridamohamed3561
    @faridamohamed3561 Жыл бұрын

    Hata sisi wanawake tunatamani kufurahishwa jamani. sio nyie tu mnawaharibu hawa watoto wakiume kuweni wasawa. mtume alifurahisha wakeze ndio akafurahishwa

  • @mamananga2849

    @mamananga2849

    Жыл бұрын

    Kwakweli

  • @hadiadaoman1981

    @hadiadaoman1981

    Жыл бұрын

    Kwa kweli maana wanaume wanapenda wao tu tuwafanyie ila twafanya na hawatufurahish

  • @paulinewangila3899

    @paulinewangila3899

    Жыл бұрын

    Farida hapo sawa

  • @BMboss108

    @BMboss108

    Жыл бұрын

    Kweli

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Жыл бұрын

    Nawapenda

  • @hadijageorge2863

    @hadijageorge2863

    Жыл бұрын

    Mmmmmmmmmmmmmmmmmm/h

  • @rozina2161
    @rozina2161 Жыл бұрын

    Mm hiki kipindi huwa nakipenda chafunzo sana

  • @julmag1175
    @julmag1175 Жыл бұрын

    Mara hakuna mwanaume wa peke yako ….. mara tuwatulize wabaki njia kuu tu sasa kipi ni kipi sasa

  • @mamananga2849

    @mamananga2849

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rhodachristopher4398

    @rhodachristopher4398

    Жыл бұрын

    Kweli dada

  • @saumukijabala233

    @saumukijabala233

    Жыл бұрын

    Sijui itakuje😅🤣🤣

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Жыл бұрын

    Nikweli

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂yaaan nimekuwa nacheka hapo kwenye leta mkono🙌🙌

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Жыл бұрын

    hatali sana wanawake wengi wamezaliwa iv kalbun ndiyo tatizo wengi tulio nao umu majumba watoto wa mia ya 2000 2003 na 2004 na 2005 changamoto ndiyo iyo

  • @shakila3982

    @shakila3982

    Жыл бұрын

    Mnapenda kufanyiwa jema wakati hata wewe ulishindwa kumfanyia jema, huyu mwaka si alikuwa akisifia wake zake sana na kufundisha wanaume jinsi ya kumtunza mwanamke, sasa kaachwa anajitia kufundisha wanawake kisa kuachwa.

  • @mrszogi4475

    @mrszogi4475

    Жыл бұрын

    @@shakila3982 kaachwa na mke wake yupi

  • @frorenceetoile3016

    @frorenceetoile3016

    Жыл бұрын

    @@mrszogi4475nashangaa ilo jipya sijalisikia atwambie ameachwa na mkewe yupi ?

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Mambo mazito 😍😍

  • @HawaShaban-fx6il
    @HawaShaban-fx6il3 ай бұрын

    Mwakaa live long

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Жыл бұрын

    Dr mwaka yupo hapo kumbe kwake ndoa ipo I c u

  • @neemayatosha1618

    @neemayatosha1618

    Жыл бұрын

    🤣🤣 watu wa mitandaoni wanatuongopeaga sana aisee.......

  • @zaharahussain5734
    @zaharahussain5734 Жыл бұрын

    Sasa mbona muna acana inakuwaje

  • @ayshermrisho8523
    @ayshermrisho8523 Жыл бұрын

    Nafurah San kupata mafunzo km haya na ninapenda mno wngne mjifunze🥰

  • @user-bi1lk5ch9f
    @user-bi1lk5ch9f7 ай бұрын

    👍

  • @nasra7257
    @nasra7257 Жыл бұрын

    Ndoa ikiwa na amani ,nafraha yote yanawezekana,Km moyo unavunyongo,chuki,hasra na hyo mume hata achepke huumii roho...Nafsi zishachoka.

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Жыл бұрын

    Naelimikasana

  • @user-jm8tr2ex4m
    @user-jm8tr2ex4m6 ай бұрын

    Yani Mimi nilipopanga tupo na mada wakazi, mke mwenyewe mama wa nyumbani lakini maji ya kuoga naenda bomba mwenyewe, na nguo pia nanyoosha mwenyewe

  • @khalfuumasoud3850
    @khalfuumasoud3850 Жыл бұрын

    Mmm

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu6 ай бұрын

    Huyo Dr mwaka alit uonyesha yuko na wake zake wamevaa hizo nguo zakulalia na akasema analala nao wote kitanda ki moja jee ndivyo aliv yofundwa na yeye na hapo anakataa nguo zakulalia mbo na wake zake wanaz ivaa

  • @sharonmbasha228
    @sharonmbasha228 Жыл бұрын

    Nawapata. Swali ni kua kwa nn na wanaume wasifundishwe namna ya kuishi na wake zao? 2: wa kwangu tumeoana miaka 15: Sasa. Na tumefanikiwakupata watoto 2. Jinsia tofauti. Lkn sasaivi ananiambia ondoka nioe mke mwenye uzazi endelevu

  • @chulitolove6648

    @chulitolove6648

    Жыл бұрын

    Heee aiseee ...this is too much Kwa kweli ,pole Sana bwana...ila huo ni ukatili mkubwa kwako na Kwa watoto pia Yani kama kweli hujamfanyia ubaya wwt na watoto umemzalia ,hapana kamloge uyo mxiuuew asitutanie apa

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Жыл бұрын

    🤩🤩💋💋🙏

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 Жыл бұрын

    Dokta mwaka namkubali sana

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Жыл бұрын

    Ktk mambo ya ndoa na hasa faragha kuna madhaifu kote kote kwa mume na hata mke,wako baadhi yao wanamapungufu mengi aidha ya makusudi na yapo ya mtu kutokufahamu!lkn kama nyote mwapendana Automatically hivi vitu vinakuja vyenyewe Sio vyakufundishwa kufanyiana!kila mtu apenda kufanyiwa mazuri na mke au mume wake!ndoa na tendo lake nila watu wawili na nyote mwategemeana!Ukiona mmoja hayuko tayari kumfanyia mwenzie basi kuna ulakini"hapo hakuna kusema eti mke analazimika zaidi kumfanyia mume,ila tumefundishwa mume ndo muhimili,nawaume tena wakisikia hivyo basi wao ndo wakitegemea kufanyiwa zaidi'kingine baadhi ya wanawake wanaolewa ili kupata hifadhi tu basi!hataki kumfanyia chochote mume,nimeona sana tu hii, mume atafanya awezavyo kwa mke lkn mke hata hajui ni muda gani wa kuingia kindani na mumewe, saa yote juu ya TV na simu tu'mume akiingia akitoka mke hajui,hana hata moja analojua lakumfanyia mumewe, yeye kula kulala kwa muda apendao yeye,hajui hata wajibu wake kama mke ktk Ndoa yake!ila apate kula vizuri, kuvaa vizu, kwenda ma holiday na kujifaharisha kwa watu nje,na hata akiambiwa ili ajirejebishe huwa hawataki kujua,haya yapo sana watu tujue kabla ya kuingia ktk Ndoa, kuwa ndoa niya wawili na tunahitajiana na kutegemeana ktk kila kitu,siya mke au mume tufanyiane hakuna hii ni wewe mke na hii ni wewe mume

  • @masturasudi7394

    @masturasudi7394

    Жыл бұрын

    Uko vizuri 🤝

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n2 ай бұрын

    SILAHA ZA MAANGAMIZI ( WMD) WEAPON MUST DESTRACTION MUULIZE RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI GEORGE BUSH

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Жыл бұрын

    Why in Tanzania women are treated like slaves? Mke achemshe maji ya kuoga wakati Kuna maji ya moto bafuni...this is crazy

  • @simonballu1124

    @simonballu1124

    Жыл бұрын

    your a primitive grade one, you born from Africa you need to live like white people fucking are you pumbu. chemsha maji kenge wewe lasivyo baki kuwa msimbe.

  • @tinamahega9848

    @tinamahega9848

    Жыл бұрын

    Naungana na wewe katka hili,ni zaidi ya upuuzi,mwanaume mwanaume majanaume yenyewe makunguru tu

  • @mamananga2849

    @mamananga2849

    Жыл бұрын

    Mwanamme kila kitu ufanyie yeye kama mtumwa wake

  • @zenakhalfan1427

    @zenakhalfan1427

    Жыл бұрын

    I’m telling you it’s absolutely crazy so sad

  • @mzungumwinyiashs9244

    @mzungumwinyiashs9244

    Жыл бұрын

    @@tinamahega9848 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @naimakaguo3773
    @naimakaguo3773 Жыл бұрын

    Nlishafanya hyo ya kumkaribisha mume tulale na bado akaja kunitoa chumban kwang kulala na mwanamke mwngne😭

  • @mariammganga5061

    @mariammganga5061

    Жыл бұрын

    Sister waache tu waongeee,,, hawajui tunayopitia

  • @janechaula2870

    @janechaula2870

    7 ай бұрын

    Pole mwaya hawabebeki wanaume

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 Жыл бұрын

    Kwani si nasikia huyo kabakiwa na mke mmoja je? Ni vipi? Kuna matatizo gani? Au nyenzo pungufu?

  • @sanchchalles3769

    @sanchchalles3769

    Жыл бұрын

    😄😄😄😄🤔

  • @fora2009
    @fora20094 ай бұрын

    Mambo pambeee😂😂😂

  • @HusnaIdrisa
    @HusnaIdrisa6 ай бұрын

    dr mwaka eti vikambakamba hahahahahha

  • @zenakhalfan1427
    @zenakhalfan1427 Жыл бұрын

    Ndugu zangu zamani wazazi wetu walikuwa wanatumia fagio hizo kwasababu kulikuwa hakuna za kusimama na kiafya kupinda mgongo kwa mara nyingi kiafya sio vizuri unatakiwa uutunze uti wa mgongo sasa

  • @user-uw6fu4iu2i
    @user-uw6fu4iu2i4 ай бұрын

    Wewee majiranii tupo,🤓🤓

  • @khalfuumasoud3850
    @khalfuumasoud3850 Жыл бұрын

    Sasa mapenzi umesema nisiku 99 Sasa hata tufanye nini siitakuwa tunajisumbuwa

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    8 ай бұрын

    Hukuelewa siku 99 ni za bila kujiongeza. Kinachodumisha mapenzi ni utachoongeza sio ulichokutwa nacho. 99 ni ulichokutwanacho.

  • @castoriarogatus3675
    @castoriarogatus36754 ай бұрын

    kipindi kizur sana kinafundisha

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Жыл бұрын

    Siku hizi watu ni watoto Wa mjini

  • @TheEmmy015
    @TheEmmy015 Жыл бұрын

    Muulizaji ni zero huyo doctor mwaka ni nzuri kwa kuuliza na huelezea ila muulizaji zero tena zero tena mpikeni uzuri vipindi vinaangaliwa kila kona ya dunia

  • @neemasawe7016

    @neemasawe7016

    Жыл бұрын

    Ulipendelea aulizeje? Nadhani anajistara kuuliza (tafsida)..ndomana unaona anajin'gatan'gata..na hawezi kumaliza yote.!

  • @laymashabani832
    @laymashabani832 Жыл бұрын

    Msituchoshe apa kwa wanaume gani sasaivi wa kujisumbua kama ivyo.

  • @tinamahega9848

    @tinamahega9848

    Жыл бұрын

    😂😂🤣

  • @rehemagunda1033
    @rehemagunda103310 ай бұрын

    Mwanaume kaumbiwa kutamani hio nikujishosha tuu

  • @rozina2161
    @rozina2161 Жыл бұрын

    Eeh mm wangu nilivaa hivyo vinguo vya kulalia aliikata kata na akaitupa akasema mtu akiolewa ukubali kulala uchi

  • @olenihappy109

    @olenihappy109

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂Pole

  • @bintabuu2068

    @bintabuu2068

    Жыл бұрын

    🤣🤣

  • @tato8979

    @tato8979

    Жыл бұрын

    🤣🤣

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    Жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @rozina2161

    @rozina2161

    Жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @khamissmpweke-ms1sl
    @khamissmpweke-ms1sl11 ай бұрын

    Thobaah utamu wa ndoa ndio huo

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 Жыл бұрын

    What is the point of listening to this person who is severely abusing his wife!

  • @rehemagunda1033
    @rehemagunda103310 ай бұрын

    Hata ufanye nn ataenda tuu

  • @abdulrahimsalim5333
    @abdulrahimsalim5333 Жыл бұрын

    Dr maneno yako yako juu ya mstari. Kuna manawake tushakaa nao miaka 20 lakini bado wanahitaji jando na unyago. Kwani unamnunulia hizo silaha za maangamizi lakini hawajui kuzitumia na wakati mwengine unamwambia azitumia lakini mpaka mugombane kuyavaa

  • @user-rw6tu9wn3m

    @user-rw6tu9wn3m

    Жыл бұрын

    Dr unaongea ukweli kabisa lkn siwote wataupojea ipasavyo na mara nyingi ukweli huwa unaumiza sana ndio kawaida ya wanandamu lkn usichike kuelimisha watu kwa hata mungu wmenyewe hawe kunuamini

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Жыл бұрын

    Fanya yote mwanaume si ndugu yako, atatoka.

  • @naimakaguo3773

    @naimakaguo3773

    Жыл бұрын

    Tena wanyamaaaaaa! Nlijitahd yote na bado akamleta mwanamke na mm kulazwa chumba Cha house girl

  • @nasra7257

    @nasra7257

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🙏🙏🙏

  • @Joyce-qf5px

    @Joyce-qf5px

    8 ай бұрын

    😅😅😅Tena Hawa wanaume wa Karne hizi. Bila kuwa na wanawake watano Kwa uchache Bado hajaww mwanaume

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani36097 ай бұрын

    Majirani hukuu🤣🤣

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Жыл бұрын

    Acheni mambo ya kijinga, kwani lazima Hao vijana waone na waswahili? Dunia imesonga, this is unnecessary

  • @simonballu1124

    @simonballu1124

    Жыл бұрын

    kula usimbe wako salama ukipata mume wa kukuweka ndani njoo unitie vidole huna adabu kula usimbe salama,

  • @zeinababdi4757

    @zeinababdi4757

    Жыл бұрын

    Simon ballu, sorry darling I am happily married for many years, I don't live in Tanzania where women are married to be slaves🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @masturasudi7394

    @masturasudi7394

    Жыл бұрын

    Kazi unayo

  • @froladeo2304
    @froladeo2304 Жыл бұрын

    Vikuku ndo vitu gani?

  • @masturasudi7394

    @masturasudi7394

    Жыл бұрын

    Vibata

  • @janechaula2870

    @janechaula2870

    7 ай бұрын

    Cheni za miguuni

  • @julmag1175
    @julmag1175 Жыл бұрын

    Mbona ana oa oa ovyo

  • @masturasudi7394

    @masturasudi7394

    Жыл бұрын

    Dini inaruhusu

  • @mackaally9246
    @mackaally9246 Жыл бұрын

    Hhhhhhhhh vikamba kamba jmn

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Жыл бұрын

    Acheni unafiki, nyote hapo mnawafanyakazi wa kufagia, get out of here.

  • @mamananga2849

    @mamananga2849

    Жыл бұрын

    Kabisa 😂😂😂😂

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Жыл бұрын

    Lakini ndoa yako imesha kufa

  • @masturasudi7394

    @masturasudi7394

    Жыл бұрын

    Haijarisha,

  • @Alinyambere-tu4dy
    @Alinyambere-tu4dy Жыл бұрын

    Tuvione izo silaha za maangamizi zote tupate kununua mtupe na kazi zavyo

Келесі