Hongera sana Lilian Mungu akutunze aasnte kwa kkufanyika kuwa baraka katika maisha yetu.Natamani kukuina siku moja.Unanibariki Sana mpendwa
@rayahnaz1622 жыл бұрын
I LOVE YO LILIAN MWASHA MY ROLE MODEL WA TANZANIA
@nicolenabintu25092 жыл бұрын
Da Liliane ni mrembo pia intelligence 🥰👏🏾
@floramlowe70782 жыл бұрын
Awapi alilolipanga mungu mwanadamu hawezi kulijua unakuta mwingine walikutana pasipo mpango mungu wakaleteana shida kila mtu anahaki ya kwenda kuanza maisha mpya .
@nolimittvonline6822
2 жыл бұрын
Nikweli kabisaa
@rehemakajabu13172 жыл бұрын
NAKUPENDA SANA DADA LILIAN UMEKUWA BARAKA SANA KWANGU,NAKUFATILIA SANA
@Nicholas120619742 жыл бұрын
Am glad someone is talking about our boys,it has been my dream
@namelockmaasailady80022 жыл бұрын
Nice interview jmn,Asante dada lilian na suzi pia
@josephchuwa12852 жыл бұрын
Lilian usijalaumu kwa kuolewa hukukosea na hakuna mwanaume anayestahili kuwa single Huo ni uoga wa maamuzi ukiamua pambania maamuzi yako as long as uko sahihi màana mlishadivorce what next don't be hard on yourself Na kwa wengine out there msiogope ukweli na uongo upe muda
@lydiathomas2905 Жыл бұрын
Girl i love you, Lilian Mwasha i see my self in you. We don't have to be selfish as women. God bless you.
@sheckycobb52402 жыл бұрын
Lilian Sasa ukisema uogope watu wanaowatazama na ujikute unaumia Sana utajijaza tuuu??? Tafakari kumhusu Osinachi mydear.... But km uko na Furaha na hukwaziki ni sawa
@Kidotii2 жыл бұрын
I love you Lilian!
@mwanrique2 жыл бұрын
I love you Suzette, keep doing you!
@suzanakesmil2 жыл бұрын
Nakupenda dada mwasha
@ayshahussen74522 жыл бұрын
Nakupenda sana dada Lillian
@judythasiko86482 жыл бұрын
Love this woman ❤️
@beatrice3671 Жыл бұрын
She's touched my heart ❤ natamani kukuona one time lily
@tinamon79132 жыл бұрын
Huyo Dada unaemuhoji nampenda ananiponyaga sana maneno yake.
@leahchalresi56322 жыл бұрын
Nakupenda sana dada liliani
@mundelejudith39402 жыл бұрын
Nakupenda sana dada
@hellenmawere92842 жыл бұрын
Mungu atusaidie daLilly.. usijihukumu tuu, furahia familia yako mpenzi. 🥰🥰🥰
@fridakaishaza1032 Жыл бұрын
Much love ❤️
@rosemsemwa2226 Жыл бұрын
Kiukweli nampenda da Lily na sauti yake😘
@vailetheanyambilile9749 Жыл бұрын
Duuuh Hongera Sana mtumushi liliani mwasha
@happinesskitali1642 жыл бұрын
Mm nampenda sana Lilian
@AggiesVine Жыл бұрын
I'm taking quite a liking to this lady Lilian Mwasha. Great points.
@magrethbenson6724
Жыл бұрын
Kwanini usiseme kiswahili tu au kiingereza ti
@ubongosahihiАй бұрын
Aleluya 🧎🏾♀️🙇🏽♀️👏🏾
@christinamwakibolwa30002 жыл бұрын
Lilian unaponya Moyo na nafsi yangu
@chosentv742 Жыл бұрын
Waooo I love the host🥰
@bintisayuni66342 жыл бұрын
Real
@joycekimario4542 Жыл бұрын
Nimependa sana ujumbe
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Mwanamke ndio sababu ya kumkandamiza mwanamke. Kwn huyu kaka ni mtoto kuibiwa na wengi wanaosema hizi kauli ni wanawake wenzetu. I wonder why? Tukubali upo wakati mapenzi yakiisha kati ya wawili waachwe wakatafute maisha mengine. Kwnn si mwanamke katiba mwanamke wa watu? Tuache kujikandamiza Lili nakupenda sana dada
@gimbanantavyo5217 Жыл бұрын
You are such an amazing lady, receive a bunch of love.
@carolmugwongo5949
Жыл бұрын
¹1
@ashurajengela39262 жыл бұрын
Hapana akitokea naolewa tu aiseee kila mtu na bahati yake siwezi acha bahati yangu kisa alishawahi kuoa labda Mungu ndio njia aliyo mpangia apite ili akutane namm
@lucyemichael78142 жыл бұрын
👏🏼
@yusrasalum2 жыл бұрын
Kweli tena unaitwa baby 🤣🤣 namuelewa huyu dada 😍
@priscaphedrick5970 Жыл бұрын
Nakupenda dada wewe Lilian yaani hatasijielewi kabisa nakupenda tu
@saidaramadhan20992 жыл бұрын
Ukiamini mwenyewe inatosha ukisibili watu utakesha
@asifiwekitunga4655
Жыл бұрын
Yes unatakiwa kujismamia mwenyewe
@jacklinemwita41732 жыл бұрын
Hiyo Hofu ikutoke kwa jina la Yesu
@bestcakes7098
2 жыл бұрын
Amina
@samiakikwete17622 жыл бұрын
Kwani wakiristo wanaachana?
@zuhuraally41462 жыл бұрын
Nakupenda sana dada mwasha
@Bestssy2 жыл бұрын
Jaman nipate no yke
@rahma6189 Жыл бұрын
Dada lili nakupenda ila kwanini unachanganya na kingeresa
@hassankongolilo84082 ай бұрын
dada lili punguza misifa punguza uperfect
@josephmihayo62364 ай бұрын
Kwanini asiitwe Lilian Luvanda?
@tunsumegideonmwamboneke9639 Жыл бұрын
“hakuna kitu mume wangu atafanya kinifanye nimuache “ haya maneno sio sahihi kwa mwanamke kusema mbele ya hadhara. Its a reason why wanawake wengi wanakufa kwa kuuwawa na waume zao. Ni sababu tu hauna kitu cha kukufanya uondoke, real?!
@esthermwambene6975
Жыл бұрын
Lakini kama umemsikiliza vzr kasema mwanamke usikae kwende ndo ya mateso kupigwa nk so pengine hayo yote yeye hayapitiii
@vickydan28692 жыл бұрын
Me hata nilikua cjui kama luvanda alikua kaoaga nalili alikua kaolewaga
@jareengeorge54782 жыл бұрын
Nawapenda Sana Hawa wadada jamani.
@verasikawa6382
Жыл бұрын
Animekupenda sana kwa hekima yako Liliani mungu akubariki pamoja na uzao wako.
@irenechobaliko9599 Жыл бұрын
Your story could be different, but most men will lie that it’s not working and blame the woman or say we processing a divorce & blah blah blah, yet he is just a womaniser 😢😢😢. Ladies be careful
@florencebudoya38142 жыл бұрын
Halafu Isack alimwambia mwanae Essau na si Yakobo. Sema Rebecca akamwambia Jacob jinsi Isack anavyowish kumbariki mwanae wa kwanza kutoka" Mind you that Jacob na Essau walikuwa mapacha "Yacob akajiwahi na akafanya yaliyotakiwa kufanywa na Essau. Jacob akajifanya Essau na akapata baraka. Essau alivyokuja it was too late baraka zilikuwa zimeenda kwa Jacob.Ingawa huko mbeleni baada ya Jacob kwenda kwa mjomba wake na kuoa Leah na Rahel na mpaka kuzaa na vijakazi wake,alirudi na kumuomba msamaha Essau.
@iddaadams7351 Жыл бұрын
Lilian kama Lilian.......
@nolimittvonline68222 жыл бұрын
Mimi mwenyewe yamenikuta !
@mariasixmund79642 жыл бұрын
Best interview
@aoman5214 Жыл бұрын
Umeongea ukweli kabisa wanawake wa siku hizi hawana hofu ya Mungu wakina Christina shusho wanaachika na kuacha watoto wao kisha makanisa jaman hmmm
@jackmacha6057
Жыл бұрын
Kwan shusho alishaachika
@esterpaul3146
Жыл бұрын
@@jackmacha6057 ndio
@veeJesus
Жыл бұрын
Kuongea ya shusho ni rahis ila hujui chochote kuhusu ndoa ya shusho Alafu aliekuambia kuwa na hofu ya Mungu ni kukaa kwenye ndoa??
@evangelistmcsarahmvungi3626 Жыл бұрын
Wewe ni mrembo na unaponya wengi
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Mhhh kumbe walewale tuu kkk
@ndugutv5417 Жыл бұрын
Giza unaliogopa alafu roho Mtakatifu Humwogopi? Hivi vitu sielewagi
@bikozikomo9496 Жыл бұрын
Anajionanga mtakatifu huyu dada,
@zeinababdi47572 жыл бұрын
Wabongo wananishangaza sana, are you really doing boy child because you want to shine and make money or you are really passionate about that cause...it is all about you and your family just using poor children from acutely poor background
@sharewithhope1229
2 жыл бұрын
It takes caurage kufanya hicho anavhokufanya kama ingekuwa rahisi kila mtu angefanya ,it's time tuwapigie makofi wengine pale wanapojaribu kufanya kwa ajiri ya wengine huku na sisi tukijitafuta tufanye nn na vile Mungu ametubariki navyo
@lydiathomas2905
Жыл бұрын
Don't judge if you have no evidence, this is why people afreid doing good things. Be positive my dear it will do you good, trust me.
If the first marriage didn't work,second ,third , won't work,there is this spirit called, spirit of divorce that is tormenting people.read ?malachi 2:13 kuendelea,the wife/husband of your youth. 😭
@nolimittvonline68222 жыл бұрын
Na komaa ata waseme nimechukua ! Walipeana taraka miaka 2 nimeingia kwenye mausiano hyo naambiwa Mimi nimeiba mmewamtu
@yukundapeter8200
2 жыл бұрын
Olewa mwaya dada! Km lipaka limeachika,mume aache Kuoa? Uliiba alikuwa ni gunia?endelea kuishi na mumeo,Mapaka yackusumbue.
@nolimittvonline6822
2 жыл бұрын
@@yukundapeter8200 umeonaeee yani kwenye dunia hii ukitaka kufurahisha watu utachelewa
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Hakuna mume wa MTU endelea my
@nolimittvonline6822
2 жыл бұрын
@@jescajulius8023 nasonga mbele my
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
@@nolimittvonline6822 haya mpenzi
@malkiarosemuhando33102 жыл бұрын
Khaaà Yakobo tena??? Sio isaka aliyemwambia Esau aende nyikani akawinde mnyama, amfanyie chakula kizuri ili apate kula AMBARIKI,
@magrethmollel1078
2 жыл бұрын
Ni yakobo ndugu siyo Isaka
@williammweta5539
2 жыл бұрын
Ni yakobo dada
@winfridagama5832
2 жыл бұрын
Isaka alikuwa nawatoto wawili Isau na Yakobo aka yakubuu
@florencebudoya3814
2 жыл бұрын
Isack alimwambia Esau,ila Rebecca ndo akamwambia Jacob afanye hivyo ajifanye yeye ndo Yacob
@esthermalamsha2847
2 жыл бұрын
Ni Isaka sio Yakobo, Yakobo ni pacha wa Esau & Isaka ni baba yao...
Пікірлер: 96
Hongera sana Lilian Mungu akutunze aasnte kwa kkufanyika kuwa baraka katika maisha yetu.Natamani kukuina siku moja.Unanibariki Sana mpendwa
I LOVE YO LILIAN MWASHA MY ROLE MODEL WA TANZANIA
Da Liliane ni mrembo pia intelligence 🥰👏🏾
Awapi alilolipanga mungu mwanadamu hawezi kulijua unakuta mwingine walikutana pasipo mpango mungu wakaleteana shida kila mtu anahaki ya kwenda kuanza maisha mpya .
@nolimittvonline6822
2 жыл бұрын
Nikweli kabisaa
NAKUPENDA SANA DADA LILIAN UMEKUWA BARAKA SANA KWANGU,NAKUFATILIA SANA
Am glad someone is talking about our boys,it has been my dream
Nice interview jmn,Asante dada lilian na suzi pia
Lilian usijalaumu kwa kuolewa hukukosea na hakuna mwanaume anayestahili kuwa single Huo ni uoga wa maamuzi ukiamua pambania maamuzi yako as long as uko sahihi màana mlishadivorce what next don't be hard on yourself Na kwa wengine out there msiogope ukweli na uongo upe muda
Girl i love you, Lilian Mwasha i see my self in you. We don't have to be selfish as women. God bless you.
Lilian Sasa ukisema uogope watu wanaowatazama na ujikute unaumia Sana utajijaza tuuu??? Tafakari kumhusu Osinachi mydear.... But km uko na Furaha na hukwaziki ni sawa
I love you Lilian!
I love you Suzette, keep doing you!
Nakupenda dada mwasha
Nakupenda sana dada Lillian
Love this woman ❤️
She's touched my heart ❤ natamani kukuona one time lily
Huyo Dada unaemuhoji nampenda ananiponyaga sana maneno yake.
Nakupenda sana dada liliani
Nakupenda sana dada
Mungu atusaidie daLilly.. usijihukumu tuu, furahia familia yako mpenzi. 🥰🥰🥰
Much love ❤️
Kiukweli nampenda da Lily na sauti yake😘
Duuuh Hongera Sana mtumushi liliani mwasha
Mm nampenda sana Lilian
I'm taking quite a liking to this lady Lilian Mwasha. Great points.
@magrethbenson6724
Жыл бұрын
Kwanini usiseme kiswahili tu au kiingereza ti
Aleluya 🧎🏾♀️🙇🏽♀️👏🏾
Lilian unaponya Moyo na nafsi yangu
Waooo I love the host🥰
Real
Nimependa sana ujumbe
Mwanamke ndio sababu ya kumkandamiza mwanamke. Kwn huyu kaka ni mtoto kuibiwa na wengi wanaosema hizi kauli ni wanawake wenzetu. I wonder why? Tukubali upo wakati mapenzi yakiisha kati ya wawili waachwe wakatafute maisha mengine. Kwnn si mwanamke katiba mwanamke wa watu? Tuache kujikandamiza Lili nakupenda sana dada
You are such an amazing lady, receive a bunch of love.
@carolmugwongo5949
Жыл бұрын
¹1
Hapana akitokea naolewa tu aiseee kila mtu na bahati yake siwezi acha bahati yangu kisa alishawahi kuoa labda Mungu ndio njia aliyo mpangia apite ili akutane namm
👏🏼
Kweli tena unaitwa baby 🤣🤣 namuelewa huyu dada 😍
Nakupenda dada wewe Lilian yaani hatasijielewi kabisa nakupenda tu
Ukiamini mwenyewe inatosha ukisibili watu utakesha
@asifiwekitunga4655
Жыл бұрын
Yes unatakiwa kujismamia mwenyewe
Hiyo Hofu ikutoke kwa jina la Yesu
@bestcakes7098
2 жыл бұрын
Amina
Kwani wakiristo wanaachana?
Nakupenda sana dada mwasha
Jaman nipate no yke
Dada lili nakupenda ila kwanini unachanganya na kingeresa
dada lili punguza misifa punguza uperfect
Kwanini asiitwe Lilian Luvanda?
“hakuna kitu mume wangu atafanya kinifanye nimuache “ haya maneno sio sahihi kwa mwanamke kusema mbele ya hadhara. Its a reason why wanawake wengi wanakufa kwa kuuwawa na waume zao. Ni sababu tu hauna kitu cha kukufanya uondoke, real?!
@esthermwambene6975
Жыл бұрын
Lakini kama umemsikiliza vzr kasema mwanamke usikae kwende ndo ya mateso kupigwa nk so pengine hayo yote yeye hayapitiii
Me hata nilikua cjui kama luvanda alikua kaoaga nalili alikua kaolewaga
Nawapenda Sana Hawa wadada jamani.
@verasikawa6382
Жыл бұрын
Animekupenda sana kwa hekima yako Liliani mungu akubariki pamoja na uzao wako.
Your story could be different, but most men will lie that it’s not working and blame the woman or say we processing a divorce & blah blah blah, yet he is just a womaniser 😢😢😢. Ladies be careful
Halafu Isack alimwambia mwanae Essau na si Yakobo. Sema Rebecca akamwambia Jacob jinsi Isack anavyowish kumbariki mwanae wa kwanza kutoka" Mind you that Jacob na Essau walikuwa mapacha "Yacob akajiwahi na akafanya yaliyotakiwa kufanywa na Essau. Jacob akajifanya Essau na akapata baraka. Essau alivyokuja it was too late baraka zilikuwa zimeenda kwa Jacob.Ingawa huko mbeleni baada ya Jacob kwenda kwa mjomba wake na kuoa Leah na Rahel na mpaka kuzaa na vijakazi wake,alirudi na kumuomba msamaha Essau.
Lilian kama Lilian.......
Mimi mwenyewe yamenikuta !
Best interview
Umeongea ukweli kabisa wanawake wa siku hizi hawana hofu ya Mungu wakina Christina shusho wanaachika na kuacha watoto wao kisha makanisa jaman hmmm
@jackmacha6057
Жыл бұрын
Kwan shusho alishaachika
@esterpaul3146
Жыл бұрын
@@jackmacha6057 ndio
@veeJesus
Жыл бұрын
Kuongea ya shusho ni rahis ila hujui chochote kuhusu ndoa ya shusho Alafu aliekuambia kuwa na hofu ya Mungu ni kukaa kwenye ndoa??
Wewe ni mrembo na unaponya wengi
Mhhh kumbe walewale tuu kkk
Giza unaliogopa alafu roho Mtakatifu Humwogopi? Hivi vitu sielewagi
Anajionanga mtakatifu huyu dada,
Wabongo wananishangaza sana, are you really doing boy child because you want to shine and make money or you are really passionate about that cause...it is all about you and your family just using poor children from acutely poor background
@sharewithhope1229
2 жыл бұрын
It takes caurage kufanya hicho anavhokufanya kama ingekuwa rahisi kila mtu angefanya ,it's time tuwapigie makofi wengine pale wanapojaribu kufanya kwa ajiri ya wengine huku na sisi tukijitafuta tufanye nn na vile Mungu ametubariki navyo
@lydiathomas2905
Жыл бұрын
Don't judge if you have no evidence, this is why people afreid doing good things. Be positive my dear it will do you good, trust me.
@tukuswigaikasu5227
Жыл бұрын
Acha makasiliko jamani..
Kingereza cha nn 😏😏
Dada jifunike
#TUNAMWAMINI KARIBUNI KUITAZAMA kzread.info/dash/bejne/jJyNj7Zxp86adNI.html
If the first marriage didn't work,second ,third , won't work,there is this spirit called, spirit of divorce that is tormenting people.read ?malachi 2:13 kuendelea,the wife/husband of your youth. 😭
Na komaa ata waseme nimechukua ! Walipeana taraka miaka 2 nimeingia kwenye mausiano hyo naambiwa Mimi nimeiba mmewamtu
@yukundapeter8200
2 жыл бұрын
Olewa mwaya dada! Km lipaka limeachika,mume aache Kuoa? Uliiba alikuwa ni gunia?endelea kuishi na mumeo,Mapaka yackusumbue.
@nolimittvonline6822
2 жыл бұрын
@@yukundapeter8200 umeonaeee yani kwenye dunia hii ukitaka kufurahisha watu utachelewa
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Hakuna mume wa MTU endelea my
@nolimittvonline6822
2 жыл бұрын
@@jescajulius8023 nasonga mbele my
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
@@nolimittvonline6822 haya mpenzi
Khaaà Yakobo tena??? Sio isaka aliyemwambia Esau aende nyikani akawinde mnyama, amfanyie chakula kizuri ili apate kula AMBARIKI,
@magrethmollel1078
2 жыл бұрын
Ni yakobo ndugu siyo Isaka
@williammweta5539
2 жыл бұрын
Ni yakobo dada
@winfridagama5832
2 жыл бұрын
Isaka alikuwa nawatoto wawili Isau na Yakobo aka yakubuu
@florencebudoya3814
2 жыл бұрын
Isack alimwambia Esau,ila Rebecca ndo akamwambia Jacob afanye hivyo ajifanye yeye ndo Yacob
@esthermalamsha2847
2 жыл бұрын
Ni Isaka sio Yakobo, Yakobo ni pacha wa Esau & Isaka ni baba yao...
Learn to cover your legs PLEASE
Nakupenda sana lilian