Unaweza kupenda mitandao lkn sio maisha yako ya ndoa kuyaweka mtandaoni na unachofanya unampa sababu yakuwa na wanawake wengine.
@user-qh8kl9mu5w
Ай бұрын
Hana akili, ukiolewa na msanii lzm ujiandae kisaikolojia
@winniesimon850
Ай бұрын
Weeee dada ni mshamba to the maximum. Eti tukapeana space. Akishika kiuno ndo kula yako tulia bandika makope yako. Kwanza Huna uzuri wowote. Upo kama jini
@winniesimon850
Ай бұрын
Tumbo limekuvunjia ndoa hahahaha
@user-zq2be4xr1oАй бұрын
Wewe mwanamke haujaolewa ju yakudum kwenye ndowa labda ulikuwa na Malengo yako fulani umeyatimiza unajisepa , ninafurahi kuona umeamuwa mwenyewe kumuacha barnaba kimtizamo wangu mimi mungu anampenda barnaba, sababu ungekuwa kikwazo maishani mwanamke
@uwezawamungumkuu.amaniafrikaАй бұрын
Barnaba Kushukuru Mungu wako kwa yote. Endelea na kazi na maisha yako . Amen.
@kassimchuo5290Ай бұрын
Toto la mama kimbo hiloooo pendeza sanaaaaa like mother like daughter ❤️❤️❤️
@BIENVENUMUHINDOLULIVIROАй бұрын
Mnapo owa muwe munaangaliya ni mwanamke gani anafaa kwenye ndoa siyo mwanamke anaye jihisi kama nimzuri zaidi ,natena awe mtu ambaye anauvumilivu napia mama mkwe kama hawa hawafai
@ScolaMussa-il4fsАй бұрын
Achakutaja wasanii wengine pambana na ndoa Yako Raya itakugharim
@user-st1zs1ng2xАй бұрын
Makiki ya kipuuzi.. Kwani hukujua unaendakuolewa na msanii?? Na wasanii wa bongo kama tujuavyo uchi ndo unawatambulisha
@farahanafarer7588Ай бұрын
Utani utani utajikuta huna ndoa kabisaa
@issazalala4907Ай бұрын
Pcha lina anza raya mwenyewe yupo uchi matiti nnje lakini analia mumewe kashika kiuno ngoja ni 😂🤣🤣 tusome dini ili tupate muongozo
@svt3
Ай бұрын
Halafu alipo olewa alifahamu vizuri kazi ya mme ni usanii na kuwashika shika wanawake iko ndanii ya usanii
@caesar7745
Ай бұрын
Hawa wanawake bure kabisa. Wanaume tutengeze hela
@zakiangumbe6739
Ай бұрын
Aaah raya mwenyewe by hat na Barnabas hawaendani. Ila pale kwenye kiuno kamependeza .shikamoo 🍠
@BintiHamisi-lh3xx
Ай бұрын
Nlitaka nseme lkn asante umetangulia 😂😂
@MwamvuaKing
Ай бұрын
Umeonaeeee.
@SUNDAYMRGAMINGTZАй бұрын
Kumbe kwenye maisha unaweza kuowa mwanamke mkubwa kabisa.... Lakn akili ndogo...
@Hussein-gx4qu
Ай бұрын
kwani we ulikuwa hujui wanawake akili zao ni ndogo sana yaani ni fupi
@ConfusedAlien-xk3sh
Ай бұрын
@@Hussein-gx4qu😂😂😂siyo wote mimi King,ang,anizi
@user-gj2mm3ko8m
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Kweli
@BintiHamisi-lh3xx
Ай бұрын
Aaaweeeee😂😂 izi za mtandaoni noma sana
@ZenaMsumagilo
Ай бұрын
Malaya huyu kwani hakujua anayemuoa ni msanii na hii ni ni sehemu ya kazi yake. Bas na aende ataoa mke mwengine mwenye kujitambua.
@user-ye7hg5pn7xАй бұрын
Barnaba kazi unayo duh kuacha Tena usanii, mbona mwanamke huyo akirudi Tena timbwili,kisa usanii,,,🤣🤣Sasa alivyo kuoa hukujua kama msanii,mh mh
@mwanaibrahim2444Ай бұрын
hunahaya wewe dada mbonawewe upo uchi na hajawai kukataza kuvaa ivo
@rehematawalani733
Ай бұрын
Mwenyewe kajiona kavaa😂😂😂😂😂
@mhabimina4023Ай бұрын
Raya she knows how she is ,don’t let anyone disrespect u 👌
@suzanfabian9099
Ай бұрын
Mh!! ungecomment kwa kiswahili tu😅😢
@mj.tv.forpeople992Ай бұрын
Pumbavu hujui kazi ya mume wako
@janengowi-lt9guАй бұрын
Tatizo hapo Mama amekuwa mtu wa katikati ndoa ikishakuwa na mtu Kati kwisha habari
@jukaelyelisha6311Ай бұрын
Mi naona huyu Dada hana hekima maana huwezi mwanika mme wako hivyo duh kazi kweli
@elizabethdamas-zp9xlАй бұрын
Jmn Raya rudi kwa mumeo wew ndo tunakujua ni mke halali icho kitu sidhan kama ni cha muhimu sn had umuache mumeo kazi yako ni kumuombea ndo mana Mungu amesema mke amuombee mumewe sas muombee mumewe na sala zako ndo zitamuepusha na hayo mambo yte dia na pia iyo ni kaz yke kma unavyojua wasanii msameeh thn muombee sana usimruhusu shetan aiseh afu ukimuacha mumeo unampa artym uyo manzi mwngn jiamin ww ndo mama lao rudi kwa mumeo
@aromaofzanzibarАй бұрын
Nilitaka kuuliza hizi music video na photo shoot si zinakuwa controlled na ma producers wanavyo plan na nguo kuna stylist au vipi
@sabihasalim942
Ай бұрын
Niliona Interview ya Barnaba ya wasafi ameulizwa similar question akasema Yammi ndio amechaguwa hilo vazi😮
@sabihasalim942
Ай бұрын
Hata kama ni kazi but kuna limit... Amem Disrespect his wife wake .🥺
@user-bc3lh5ss6cАй бұрын
Raya hakuna wa peke yako dunia nzima shaurilo😂😂😂
@awatifalghanim1106Ай бұрын
Mashaallah umependeza…
@KissaMwaifwaniАй бұрын
Kazi anayo Barnaba pole aliyekutuma kubadili dini Kwa ajili ya familia hiyo ukitaka ndoa Uache mziki
@godlistenobed9299Ай бұрын
Nimekupenda da raya ❤❤
@user-vj1ek5us4rАй бұрын
Huy muislam kweli kuowa sharia
@Farajahelene23031Ай бұрын
I love you rahya you're a good women
@aromaofzanzibarАй бұрын
Wazungu wanasema don’t make permanent decisions on a temporary situation. Hiyo ni kazi na imeshakwisha Barnaba hajasema kama anamahusiano lakini ukuzidi kumsema sema utafukuza akatafute mapenzi na Amani kwengine.
@fathiyahmuzney7367
Ай бұрын
Haswaa wajina umeongea we muache aendelee kuvimba kichwa kujikuta ana mmudu sana barnaba
@azirajuma553
Ай бұрын
Ushauri mzuri sana dada,anatakiwa atulie kwa sababu mumewe alikuwa kazini.
@salamamamashenge5493Ай бұрын
@Chris Favors Kaka unajua kazi lako kikukweli unajua Kukuliza you deserves the Flowers 💐
@Mileyb.Ай бұрын
She's vry honest coz she love tht guy indeed
@mohammadoman8963Ай бұрын
Sio mume wa mtu huyo bado ananafasi 3 bado
@magrethdaniel8441Ай бұрын
Mmmmh we umepambana na barnaba wapi jamani barnaba alifanikiwa miaka ya nyuma Sana
@matanohassan9667Ай бұрын
BARNABA MTU SAFI UTAJUA FAIDA YAKE UKIONDOKA MWENGINE AKIINGIA NDIO BC
@SHAZIRINGOMAАй бұрын
Balinaba huyo mke hakufai maana hata mwenyewe yupo uchi
@CafeJohn-jz8riАй бұрын
Kazi kazi
@fetychina3969Ай бұрын
Ume mbadirisha dini barnaba alafu unamuacha Mungu anakuona na umekosea sana kaa utafakari
@PendoPeter-rr4jkАй бұрын
Sasa ache Kila kitu mtakula hiyo ndoa,ww mdada kitu huji mwanaume anaweza kuwa smart kwenye macho Yako lkn ni msaliti balaa, njia pekee ya kulinda ndoa yk ni maombi, cyo mtandao shetani haogopi maneno yk bali unampa nguvu ,jifunze kubadilika unaongea sana hd unakosa radha
Ha haha., Barnaba hapa alijichanganya sana. Hawaendani hata kdogo na huyu sura nzito🤣🤣
@omarzinga7046Ай бұрын
Huyu heri angeolewa na baba levo kila siku angeombwa samahani😂😂😂
@user-wp2dc3dr3w
Ай бұрын
Ama mwijaku😂😂😂😂😂
@omarzinga7046
Ай бұрын
@@user-wp2dc3dr3w hapo umepatia
@ziddyziddy2524
Ай бұрын
😅😅😅@@user-wp2dc3dr3w
@yukundapeter8200
Ай бұрын
Omary tafadhali mbavu xangu.
@ashminaabdulla8946
Ай бұрын
Mmmh kweli haya a😂😂😂😂😂😂
@kassimchuo5290Ай бұрын
Upo sahihi sanaaa da rayya penda sanaaaaaa and u looks so beautiful ma dear .....unahaki ya kuongea unavyoweza mama (mtu chake)cha halali kinauma mamaaa
@angelsblackboard8008Ай бұрын
Kama kale kajamaa kamechomoa hii betri, Mungu anakapenda.
@merinankullua5874Ай бұрын
Mmmmh ,umembadili dini inayoruhusu ndoa za wake wengi
@faustinaurio3703Ай бұрын
Mama mtu analalama chupi, Raya kiuno 😂kazi kweli kweli 😂
@pesaspy_tv
Ай бұрын
😂😂😂😂mshenga oa mwanamke mwingine ni balaaa
@MwamvuaKing
Ай бұрын
Hahahahaha
@MCHINA99Ай бұрын
Yani watu mnafunga ndoa halafu mnahachana kisa picha ?
@patrickmukundichalamila3038
Ай бұрын
Afu hela wanazochangiwa ndo hua zinaniuma😢 bora wakasaidie wagonjwa ma hospitilan
@gasparmpoma3860
Ай бұрын
Kweli kuna matatizo ya wagonjwa wa akili ndugu yangu amini
@MaiKasimu-xf4fz
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 yaaan mpka wanatutisha masingle
@BintiHamisi-lh3xx
Ай бұрын
@@MaiKasimu-xf4fz😂😂😂usiogope izi nza mastaa
@aromaofzanzibar
Ай бұрын
Brother wako yupo right ndoa sio mitandaoni. Anajisifu kumsema mume akiingia na kutoka ndani ya nyumba mume atachoka atafuta amani nje
@KhadijaMohammed-gw2xoАй бұрын
Mekaup iyo ana uzur wowote
@user-dq1lm2be2uАй бұрын
Barnaba mboni mzuri na bado kijana tafuta anaye hitaji ndoa na siyo mtandao
@user-mo3wn6cc7hАй бұрын
Ni kweli Barnaba hakua wa design hiyo jamani hata mm nmeshangaa😊
@MsAggie5
Ай бұрын
Ame ji update 😂😂😂😂😂 Wanaume shikamooni 😂😂 Hao ndo wanaume, matukio lazima. Akae Kwa kutulia
@eliuskamwelwe1018Ай бұрын
Sema yammy mzuri sana ,huyu dada ana sura personal sana😅😅 cjui barnaba anateseka na nn
@MwamvuaKing
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-dq1lm2be2u
Ай бұрын
Tena wanaendana sana na yammy😂😂
@MohamedMkota
Ай бұрын
hawa ndowalimwengu wanakugeuka dakika😅😅
@AsiaAbasi-fg9gu
Ай бұрын
Sasa umeambiwa kinachoishi ni sura
@user-nk4oq4ek9yАй бұрын
Karembo kweli mmpaka sauti jmn
@rogerabdallah439
Ай бұрын
Ushaanza umalaya
@user-nk4oq4ek9y
Ай бұрын
@@rogerabdallah439 sasa kama ni mrembo nisiseme kweli
@rogerabdallah439
Ай бұрын
@@user-nk4oq4ek9y aya 4 u
@aminakipande5645
Ай бұрын
@@rogerabdallah439😂😂😂 kumekucha
@winniesimon850
Ай бұрын
Sio mzuri ni makeup
@user-gb5pe1qj2h27 күн бұрын
Mke mwenye kuijua din awez kuanika ndoa yake kwenye jamii alafu unatak stala wakati mwenyew unastar mke wamtu ayo nimavaz yakujianika mitandaon muongopen mungu
@Maria-dg6ikАй бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@hanifaally4694Ай бұрын
Toa ndoa mtandaoni dada Lol
@kassimchuo5290Ай бұрын
Toa cheche mama usiogope rayya beiby a..k.a boss lady toto la kitangaa hilooo❤❤❤
@mohammadoman8963Ай бұрын
Mpeni mtu nasaha msimtukane ili arudi kwenye ndoa yake
@hawababy120Ай бұрын
Tukia ile nikazi kwahio humuamini mme wako!!!unaitaji canceling wee dada.
@frankngoloka2589Ай бұрын
Achika uwone mziki wa nje uko,uraiani wakopaji kibao hadi utaikumbuka ndoa
@@MwamvuaKinghalafu aombewe msamaha insta inahusu nini ??
@mamawamireille4872Ай бұрын
Barnaba pole mkewako na mama mkwewako wote niwamoto nihatari
@neemambotola1139Ай бұрын
Anaongea vizuri ...hana papara
@YasintaMpandujiАй бұрын
Watanzania mlio wengi mko mbelembele kushadadia mabaya na maumivu ya watu, Mungu awaadhibu
@jtheophil5499Ай бұрын
Kiki ya wimbo nimekaaa pale.
@user-gj2mm3ko8mАй бұрын
Sasa Raya unaganda Mic NDIO imekua mboro ama?I love Barnaba so much,I cried when he married, Mwache nimuchukue Mimi ❤❤❤❤🇰🇪 hao rafiki za mumeo sasa Diamond kamwaribu Barnaba😂😂😂tulia Mjinga wewe Na Wivu WA teenager, Wewe WA kwanza kurudi kwenu?😂😂😂Utarudi kwa mumeo au waache wenye uvumilivu.
@chainbre275Ай бұрын
Ila pete hajavua hiyo inamaana bado yupo kwa ndoa😂😂
@user-xc7qj7ze7mАй бұрын
Mnaita watumichi wa mungu kufunga ndoa kumbe mna mitangazo yenu ya biashala
@rehematawalani733Ай бұрын
Nenda salama mama tunakutakia maisha mema
@user-ix5uo6ks7jАй бұрын
Huyu dada amekasirika kweli 😂😂aliyekua
@ilakozasembumende1975Ай бұрын
Kisoda
@justinendizeye714Ай бұрын
Kijana wawatu mumemutharau sana,
@MJ-rr6dyАй бұрын
huyu si ndiyo alisema haachwi? au nilisikia vibaya
@taseleli9181
Ай бұрын
Ndo huyo huyo
@jut1161Ай бұрын
Sasa unaolewa na mwanamuziki alafu akimshika mtu kiuno unaomba talaka. Kama alikua anataka mtu safi ambaye hana mambo mengi si angetafuta ustadhi
@florakimaro-vw7qj
Ай бұрын
Ni kweli kabisa kwani alikuwa ajui ni msani kumshika tu kiuno je angelala naye mjinga huyu ajielewi
@sisifaty9183Ай бұрын
Alikuwa anataka kutoka mjinga utajuta .kwani nyumba .maduka nini huoni mafuriko yanavyo kuja uliza Dubai matajiri wako huko mtoto kama kunasababu zingine hapo sawa
@user-is2pj2vq3rАй бұрын
Ndoa za kuombana Msamaha instagram 😂😂
@MaiKasimu-xf4fz
Ай бұрын
😂😂😂😂mtihani
@taseleli9181
Ай бұрын
Yaaani shida tupu mpaka Instagram ndo nini
@roseb8052Ай бұрын
We Mama ninani I mean what if I love you
@joycelaura4611Ай бұрын
maisha ya mtandaoni ndo hayoooo
@awatifalghanim1106Ай бұрын
Tanzania Mko nyuma sana kwenye biashara. Ikiwa kuna maduka mengi ya nguo ndio huwezi kufungua??? Fungua Duka la nguo na ulete nguo nzuri tuu utapata wateja.
@Zuu673Ай бұрын
Kisoda kweli kiki bado inaendelea
@MaryamMoshiАй бұрын
Mmmmhhh yetu macho
@user-sp2hu8lb1cАй бұрын
❤❤❤wakwanza kuona
@JudithKigalu-ue3inАй бұрын
Wewe dada unajivuna, ule ni mwanaume auwezi kumupangia mambo. Auwezi dumu kwenye ndoa kwa ayo maneno umezungumuza atari
@justinendizeye714Ай бұрын
Sasa unajichanganya kwa maneno, naskitika kwa kaka Yeti barnaba
@pesaspy_tvАй бұрын
Sns na crown 👑 fm wana kamera kali sana
@christinamwangoc4779Ай бұрын
Ki kweli mnatulazimisha sanaa kuwasikiliza
@rehematawalani733Ай бұрын
Alienda kuangalia mkato wa chumba😂😂
@zena6203Ай бұрын
Wekumaaaaaaaaaaaa kweliiiiii
@halimambaga61Ай бұрын
Kwan huyo Barnaba alikukuta Bikrame 😢😢
@RandB_ChannelАй бұрын
Ivi huyu Raya anajielewa kweli? Kwani kuna sababu kubwa apo inaweza sababisha kuacha ndoa yako? Barnaba amutizame vizuri iko saha alikuwa amesha kuwa nakengine kabwana toka pale umesha tuchosha pumbavu we . Barnaba huyu dada atakusumbuwa sana ukiangaliya jinsi anavyo ongeya ataona hapa unahasara
@rehematawalani733Ай бұрын
Huyu haiwezi ndoa alifikiri ndo a lele mama haaaaa😂
@GraceMalley-ly2xnАй бұрын
Ila Raya lazima amsamehe Barnaba na pia vaeni Variety stile fupi sawa lkn acheni kuvaa matako wazi hatupendi, tunaomba zipite chini ya makalio mstalii wa makalio hatutaki kuona.
Jamani watu wanaenda na wakati barnaba anatafuta maisha ya kibiashara ,huyu kwani ni kabila Gani? Watu wanachuma mali na wanaachwa, wee mwana hakuna mume wa mnyama 😊😊
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Barnaba akaoe mkristo mwenzie Mama mkwe mswahili sana anasema kama chiriku
@ngambikomsu64Ай бұрын
Yaani unaulizwa vitu gani umetengeneza na Barnaba, unajibu nyumba, mali lakini sijakusikia ukitaka mtoto. Yaani katika vyote unamsahau mtoto. Harariiiiiii
Пікірлер: 383
Unaweza kupenda mitandao lkn sio maisha yako ya ndoa kuyaweka mtandaoni na unachofanya unampa sababu yakuwa na wanawake wengine.
@user-qh8kl9mu5w
Ай бұрын
Hana akili, ukiolewa na msanii lzm ujiandae kisaikolojia
@winniesimon850
Ай бұрын
Weeee dada ni mshamba to the maximum. Eti tukapeana space. Akishika kiuno ndo kula yako tulia bandika makope yako. Kwanza Huna uzuri wowote. Upo kama jini
@winniesimon850
Ай бұрын
Tumbo limekuvunjia ndoa hahahaha
Wewe mwanamke haujaolewa ju yakudum kwenye ndowa labda ulikuwa na Malengo yako fulani umeyatimiza unajisepa , ninafurahi kuona umeamuwa mwenyewe kumuacha barnaba kimtizamo wangu mimi mungu anampenda barnaba, sababu ungekuwa kikwazo maishani mwanamke
Barnaba Kushukuru Mungu wako kwa yote. Endelea na kazi na maisha yako . Amen.
Toto la mama kimbo hiloooo pendeza sanaaaaa like mother like daughter ❤️❤️❤️
Mnapo owa muwe munaangaliya ni mwanamke gani anafaa kwenye ndoa siyo mwanamke anaye jihisi kama nimzuri zaidi ,natena awe mtu ambaye anauvumilivu napia mama mkwe kama hawa hawafai
Achakutaja wasanii wengine pambana na ndoa Yako Raya itakugharim
Makiki ya kipuuzi.. Kwani hukujua unaendakuolewa na msanii?? Na wasanii wa bongo kama tujuavyo uchi ndo unawatambulisha
Utani utani utajikuta huna ndoa kabisaa
Pcha lina anza raya mwenyewe yupo uchi matiti nnje lakini analia mumewe kashika kiuno ngoja ni 😂🤣🤣 tusome dini ili tupate muongozo
@svt3
Ай бұрын
Halafu alipo olewa alifahamu vizuri kazi ya mme ni usanii na kuwashika shika wanawake iko ndanii ya usanii
@caesar7745
Ай бұрын
Hawa wanawake bure kabisa. Wanaume tutengeze hela
@zakiangumbe6739
Ай бұрын
Aaah raya mwenyewe by hat na Barnabas hawaendani. Ila pale kwenye kiuno kamependeza .shikamoo 🍠
@BintiHamisi-lh3xx
Ай бұрын
Nlitaka nseme lkn asante umetangulia 😂😂
@MwamvuaKing
Ай бұрын
Umeonaeeee.
Kumbe kwenye maisha unaweza kuowa mwanamke mkubwa kabisa.... Lakn akili ndogo...
@Hussein-gx4qu
Ай бұрын
kwani we ulikuwa hujui wanawake akili zao ni ndogo sana yaani ni fupi
@ConfusedAlien-xk3sh
Ай бұрын
@@Hussein-gx4qu😂😂😂siyo wote mimi King,ang,anizi
@user-gj2mm3ko8m
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Kweli
@BintiHamisi-lh3xx
Ай бұрын
Aaaweeeee😂😂 izi za mtandaoni noma sana
@ZenaMsumagilo
Ай бұрын
Malaya huyu kwani hakujua anayemuoa ni msanii na hii ni ni sehemu ya kazi yake. Bas na aende ataoa mke mwengine mwenye kujitambua.
Barnaba kazi unayo duh kuacha Tena usanii, mbona mwanamke huyo akirudi Tena timbwili,kisa usanii,,,🤣🤣Sasa alivyo kuoa hukujua kama msanii,mh mh
hunahaya wewe dada mbonawewe upo uchi na hajawai kukataza kuvaa ivo
@rehematawalani733
Ай бұрын
Mwenyewe kajiona kavaa😂😂😂😂😂
Raya she knows how she is ,don’t let anyone disrespect u 👌
@suzanfabian9099
Ай бұрын
Mh!! ungecomment kwa kiswahili tu😅😢
Pumbavu hujui kazi ya mume wako
Tatizo hapo Mama amekuwa mtu wa katikati ndoa ikishakuwa na mtu Kati kwisha habari
Mi naona huyu Dada hana hekima maana huwezi mwanika mme wako hivyo duh kazi kweli
Jmn Raya rudi kwa mumeo wew ndo tunakujua ni mke halali icho kitu sidhan kama ni cha muhimu sn had umuache mumeo kazi yako ni kumuombea ndo mana Mungu amesema mke amuombee mumewe sas muombee mumewe na sala zako ndo zitamuepusha na hayo mambo yte dia na pia iyo ni kaz yke kma unavyojua wasanii msameeh thn muombee sana usimruhusu shetan aiseh afu ukimuacha mumeo unampa artym uyo manzi mwngn jiamin ww ndo mama lao rudi kwa mumeo
Nilitaka kuuliza hizi music video na photo shoot si zinakuwa controlled na ma producers wanavyo plan na nguo kuna stylist au vipi
@sabihasalim942
Ай бұрын
Niliona Interview ya Barnaba ya wasafi ameulizwa similar question akasema Yammi ndio amechaguwa hilo vazi😮
@sabihasalim942
Ай бұрын
Hata kama ni kazi but kuna limit... Amem Disrespect his wife wake .🥺
Raya hakuna wa peke yako dunia nzima shaurilo😂😂😂
Mashaallah umependeza…
Kazi anayo Barnaba pole aliyekutuma kubadili dini Kwa ajili ya familia hiyo ukitaka ndoa Uache mziki
Nimekupenda da raya ❤❤
Huy muislam kweli kuowa sharia
I love you rahya you're a good women
Wazungu wanasema don’t make permanent decisions on a temporary situation. Hiyo ni kazi na imeshakwisha Barnaba hajasema kama anamahusiano lakini ukuzidi kumsema sema utafukuza akatafute mapenzi na Amani kwengine.
@fathiyahmuzney7367
Ай бұрын
Haswaa wajina umeongea we muache aendelee kuvimba kichwa kujikuta ana mmudu sana barnaba
@azirajuma553
Ай бұрын
Ushauri mzuri sana dada,anatakiwa atulie kwa sababu mumewe alikuwa kazini.
@Chris Favors Kaka unajua kazi lako kikukweli unajua Kukuliza you deserves the Flowers 💐
She's vry honest coz she love tht guy indeed
Sio mume wa mtu huyo bado ananafasi 3 bado
Mmmmh we umepambana na barnaba wapi jamani barnaba alifanikiwa miaka ya nyuma Sana
BARNABA MTU SAFI UTAJUA FAIDA YAKE UKIONDOKA MWENGINE AKIINGIA NDIO BC
Balinaba huyo mke hakufai maana hata mwenyewe yupo uchi
Kazi kazi
Ume mbadirisha dini barnaba alafu unamuacha Mungu anakuona na umekosea sana kaa utafakari
Sasa ache Kila kitu mtakula hiyo ndoa,ww mdada kitu huji mwanaume anaweza kuwa smart kwenye macho Yako lkn ni msaliti balaa, njia pekee ya kulinda ndoa yk ni maombi, cyo mtandao shetani haogopi maneno yk bali unampa nguvu ,jifunze kubadilika unaongea sana hd unakosa radha
@user-gj2mm3ko8m
Ай бұрын
😁😁😁😁😁
@ZenaMsumagilo
Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅 kweli anakosa radha
❤❤
Nasubiri mrejesho' " Hatimae Barnaba aomba msamaha" 😂😂😂
Huyu mwanamke ni muislamu jina tu. Dawa yake ni kuoa mke wa pili tu.
Umependeza sana mamii
@shamlimah5682
Ай бұрын
Tell her to show u her really face not makeup
@ashminaabdulla8946
Ай бұрын
Mm iyo Lipstick 💄 hataree😂😂❤❤❤
Kwahiyo unataka ummiliki😂😂😂😂
Mbona hupendi kujistir Raya maungo wazi kichwa wazi si swa dini hairuhusu na Tatoo kwa juu🤔
Ujafunzwa Dada rudi tena kwasomo
upuuzi huo kufuta picha ndo ukweli wa maisha ya ndoa mtu anaweza futa na akaendelea na tabia yake
@yukundapeter8200
Ай бұрын
Ni kweli Joy! Kufuta sio 7babu.2meona wengi mno.
@winniesimon850
Ай бұрын
Barnaba hoyeeeeeee, njoo huku sina tumbo.
Mmmmh barnaba hapa aliyumba,,ndombaka kubadili dini,,kweli ukipenda huoni
My blood chris 🔥🔥🔥
Ha haha., Barnaba hapa alijichanganya sana. Hawaendani hata kdogo na huyu sura nzito🤣🤣
Huyu heri angeolewa na baba levo kila siku angeombwa samahani😂😂😂
@user-wp2dc3dr3w
Ай бұрын
Ama mwijaku😂😂😂😂😂
@omarzinga7046
Ай бұрын
@@user-wp2dc3dr3w hapo umepatia
@ziddyziddy2524
Ай бұрын
😅😅😅@@user-wp2dc3dr3w
@yukundapeter8200
Ай бұрын
Omary tafadhali mbavu xangu.
@ashminaabdulla8946
Ай бұрын
Mmmh kweli haya a😂😂😂😂😂😂
Upo sahihi sanaaa da rayya penda sanaaaaaa and u looks so beautiful ma dear .....unahaki ya kuongea unavyoweza mama (mtu chake)cha halali kinauma mamaaa
Kama kale kajamaa kamechomoa hii betri, Mungu anakapenda.
Mmmmh ,umembadili dini inayoruhusu ndoa za wake wengi
Mama mtu analalama chupi, Raya kiuno 😂kazi kweli kweli 😂
@pesaspy_tv
Ай бұрын
😂😂😂😂mshenga oa mwanamke mwingine ni balaaa
@MwamvuaKing
Ай бұрын
Hahahahaha
Yani watu mnafunga ndoa halafu mnahachana kisa picha ?
@patrickmukundichalamila3038
Ай бұрын
Afu hela wanazochangiwa ndo hua zinaniuma😢 bora wakasaidie wagonjwa ma hospitilan
@gasparmpoma3860
Ай бұрын
Kweli kuna matatizo ya wagonjwa wa akili ndugu yangu amini
@MaiKasimu-xf4fz
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 yaaan mpka wanatutisha masingle
@BintiHamisi-lh3xx
Ай бұрын
@@MaiKasimu-xf4fz😂😂😂usiogope izi nza mastaa
@aromaofzanzibar
Ай бұрын
Brother wako yupo right ndoa sio mitandaoni. Anajisifu kumsema mume akiingia na kutoka ndani ya nyumba mume atachoka atafuta amani nje
Mekaup iyo ana uzur wowote
Barnaba mboni mzuri na bado kijana tafuta anaye hitaji ndoa na siyo mtandao
Ni kweli Barnaba hakua wa design hiyo jamani hata mm nmeshangaa😊
@MsAggie5
Ай бұрын
Ame ji update 😂😂😂😂😂 Wanaume shikamooni 😂😂 Hao ndo wanaume, matukio lazima. Akae Kwa kutulia
Sema yammy mzuri sana ,huyu dada ana sura personal sana😅😅 cjui barnaba anateseka na nn
@MwamvuaKing
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-dq1lm2be2u
Ай бұрын
Tena wanaendana sana na yammy😂😂
@MohamedMkota
Ай бұрын
hawa ndowalimwengu wanakugeuka dakika😅😅
@AsiaAbasi-fg9gu
Ай бұрын
Sasa umeambiwa kinachoishi ni sura
Karembo kweli mmpaka sauti jmn
@rogerabdallah439
Ай бұрын
Ushaanza umalaya
@user-nk4oq4ek9y
Ай бұрын
@@rogerabdallah439 sasa kama ni mrembo nisiseme kweli
@rogerabdallah439
Ай бұрын
@@user-nk4oq4ek9y aya 4 u
@aminakipande5645
Ай бұрын
@@rogerabdallah439😂😂😂 kumekucha
@winniesimon850
Ай бұрын
Sio mzuri ni makeup
Mke mwenye kuijua din awez kuanika ndoa yake kwenye jamii alafu unatak stala wakati mwenyew unastar mke wamtu ayo nimavaz yakujianika mitandaon muongopen mungu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Toa ndoa mtandaoni dada Lol
Toa cheche mama usiogope rayya beiby a..k.a boss lady toto la kitangaa hilooo❤❤❤
Mpeni mtu nasaha msimtukane ili arudi kwenye ndoa yake
Tukia ile nikazi kwahio humuamini mme wako!!!unaitaji canceling wee dada.
Achika uwone mziki wa nje uko,uraiani wakopaji kibao hadi utaikumbuka ndoa
@BintiHamisi-lh3xx
Ай бұрын
Amuache adakwe chapuuuu
@MwamvuaKing
Ай бұрын
Yaaani huyu hana lolote.km yy mwanamke haswaaa anajiamini aseme hataki ndoa sio oooooh niombwe msamaha
@taseleli9181
Ай бұрын
@@MwamvuaKinghalafu aombewe msamaha insta inahusu nini ??
Barnaba pole mkewako na mama mkwewako wote niwamoto nihatari
Anaongea vizuri ...hana papara
Watanzania mlio wengi mko mbelembele kushadadia mabaya na maumivu ya watu, Mungu awaadhibu
Kiki ya wimbo nimekaaa pale.
Sasa Raya unaganda Mic NDIO imekua mboro ama?I love Barnaba so much,I cried when he married, Mwache nimuchukue Mimi ❤❤❤❤🇰🇪 hao rafiki za mumeo sasa Diamond kamwaribu Barnaba😂😂😂tulia Mjinga wewe Na Wivu WA teenager, Wewe WA kwanza kurudi kwenu?😂😂😂Utarudi kwa mumeo au waache wenye uvumilivu.
Ila pete hajavua hiyo inamaana bado yupo kwa ndoa😂😂
Mnaita watumichi wa mungu kufunga ndoa kumbe mna mitangazo yenu ya biashala
Nenda salama mama tunakutakia maisha mema
Huyu dada amekasirika kweli 😂😂aliyekua
Kisoda
Kijana wawatu mumemutharau sana,
huyu si ndiyo alisema haachwi? au nilisikia vibaya
@taseleli9181
Ай бұрын
Ndo huyo huyo
Sasa unaolewa na mwanamuziki alafu akimshika mtu kiuno unaomba talaka. Kama alikua anataka mtu safi ambaye hana mambo mengi si angetafuta ustadhi
@florakimaro-vw7qj
Ай бұрын
Ni kweli kabisa kwani alikuwa ajui ni msani kumshika tu kiuno je angelala naye mjinga huyu ajielewi
Alikuwa anataka kutoka mjinga utajuta .kwani nyumba .maduka nini huoni mafuriko yanavyo kuja uliza Dubai matajiri wako huko mtoto kama kunasababu zingine hapo sawa
Ndoa za kuombana Msamaha instagram 😂😂
@MaiKasimu-xf4fz
Ай бұрын
😂😂😂😂mtihani
@taseleli9181
Ай бұрын
Yaaani shida tupu mpaka Instagram ndo nini
We Mama ninani I mean what if I love you
maisha ya mtandaoni ndo hayoooo
Tanzania Mko nyuma sana kwenye biashara. Ikiwa kuna maduka mengi ya nguo ndio huwezi kufungua??? Fungua Duka la nguo na ulete nguo nzuri tuu utapata wateja.
Kisoda kweli kiki bado inaendelea
Mmmmhhh yetu macho
❤❤❤wakwanza kuona
Wewe dada unajivuna, ule ni mwanaume auwezi kumupangia mambo. Auwezi dumu kwenye ndoa kwa ayo maneno umezungumuza atari
Sasa unajichanganya kwa maneno, naskitika kwa kaka Yeti barnaba
Sns na crown 👑 fm wana kamera kali sana
Ki kweli mnatulazimisha sanaa kuwasikiliza
Alienda kuangalia mkato wa chumba😂😂
Wekumaaaaaaaaaaaa kweliiiiii
Kwan huyo Barnaba alikukuta Bikrame 😢😢
Ivi huyu Raya anajielewa kweli? Kwani kuna sababu kubwa apo inaweza sababisha kuacha ndoa yako? Barnaba amutizame vizuri iko saha alikuwa amesha kuwa nakengine kabwana toka pale umesha tuchosha pumbavu we . Barnaba huyu dada atakusumbuwa sana ukiangaliya jinsi anavyo ongeya ataona hapa unahasara
Huyu haiwezi ndoa alifikiri ndo a lele mama haaaaa😂
Ila Raya lazima amsamehe Barnaba na pia vaeni Variety stile fupi sawa lkn acheni kuvaa matako wazi hatupendi, tunaomba zipite chini ya makalio mstalii wa makalio hatutaki kuona.
Alienda kutingisha liberties atiiii kakuta kimeunguaaa
Mpuuzi kwel huyu dada
Ila raya😅😅😅😅😅
Jamani watu wanaenda na wakati barnaba anatafuta maisha ya kibiashara ,huyu kwani ni kabila Gani? Watu wanachuma mali na wanaachwa, wee mwana hakuna mume wa mnyama 😊😊
Barnaba akaoe mkristo mwenzie Mama mkwe mswahili sana anasema kama chiriku
Yaani unaulizwa vitu gani umetengeneza na Barnaba, unajibu nyumba, mali lakini sijakusikia ukitaka mtoto. Yaani katika vyote unamsahau mtoto. Harariiiiiii