Raya: Mimi na Barnaba hakuna ndoa tena, nimeamua kurudi kwetu nimeshindwa na sitaki, amenikosea sana

Ойын-сауық

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 383

  • @lilyanmongi1075
    @lilyanmongi1075Ай бұрын

    Unaweza kupenda mitandao lkn sio maisha yako ya ndoa kuyaweka mtandaoni na unachofanya unampa sababu yakuwa na wanawake wengine.

  • @user-qh8kl9mu5w

    @user-qh8kl9mu5w

    Ай бұрын

    Hana akili, ukiolewa na msanii lzm ujiandae kisaikolojia

  • @winniesimon850

    @winniesimon850

    Ай бұрын

    Weeee dada ni mshamba to the maximum. Eti tukapeana space. Akishika kiuno ndo kula yako tulia bandika makope yako. Kwanza Huna uzuri wowote. Upo kama jini

  • @winniesimon850

    @winniesimon850

    Ай бұрын

    Tumbo limekuvunjia ndoa hahahaha

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1oАй бұрын

    Wewe mwanamke haujaolewa ju yakudum kwenye ndowa labda ulikuwa na Malengo yako fulani umeyatimiza unajisepa , ninafurahi kuona umeamuwa mwenyewe kumuacha barnaba kimtizamo wangu mimi mungu anampenda barnaba, sababu ungekuwa kikwazo maishani mwanamke

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrikaАй бұрын

    Barnaba Kushukuru Mungu wako kwa yote. Endelea na kazi na maisha yako . Amen.

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290Ай бұрын

    Toto la mama kimbo hiloooo pendeza sanaaaaa like mother like daughter ❤️❤️❤️

  • @BIENVENUMUHINDOLULIVIRO
    @BIENVENUMUHINDOLULIVIROАй бұрын

    Mnapo owa muwe munaangaliya ni mwanamke gani anafaa kwenye ndoa siyo mwanamke anaye jihisi kama nimzuri zaidi ,natena awe mtu ambaye anauvumilivu napia mama mkwe kama hawa hawafai

  • @ScolaMussa-il4fs
    @ScolaMussa-il4fsАй бұрын

    Achakutaja wasanii wengine pambana na ndoa Yako Raya itakugharim

  • @user-st1zs1ng2x
    @user-st1zs1ng2xАй бұрын

    Makiki ya kipuuzi.. Kwani hukujua unaendakuolewa na msanii?? Na wasanii wa bongo kama tujuavyo uchi ndo unawatambulisha

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588Ай бұрын

    Utani utani utajikuta huna ndoa kabisaa

  • @issazalala4907
    @issazalala4907Ай бұрын

    Pcha lina anza raya mwenyewe yupo uchi matiti nnje lakini analia mumewe kashika kiuno ngoja ni 😂🤣🤣 tusome dini ili tupate muongozo

  • @svt3

    @svt3

    Ай бұрын

    Halafu alipo olewa alifahamu vizuri kazi ya mme ni usanii na kuwashika shika wanawake iko ndanii ya usanii

  • @caesar7745

    @caesar7745

    Ай бұрын

    Hawa wanawake bure kabisa. Wanaume tutengeze hela

  • @zakiangumbe6739

    @zakiangumbe6739

    Ай бұрын

    Aaah raya mwenyewe by hat na Barnabas hawaendani. Ila pale kwenye kiuno kamependeza .shikamoo 🍠

  • @BintiHamisi-lh3xx

    @BintiHamisi-lh3xx

    Ай бұрын

    Nlitaka nseme lkn asante umetangulia 😂😂

  • @MwamvuaKing

    @MwamvuaKing

    Ай бұрын

    Umeonaeeee.

  • @SUNDAYMRGAMINGTZ
    @SUNDAYMRGAMINGTZАй бұрын

    Kumbe kwenye maisha unaweza kuowa mwanamke mkubwa kabisa.... Lakn akili ndogo...

  • @Hussein-gx4qu

    @Hussein-gx4qu

    Ай бұрын

    kwani we ulikuwa hujui wanawake akili zao ni ndogo sana yaani ni fupi

  • @ConfusedAlien-xk3sh

    @ConfusedAlien-xk3sh

    Ай бұрын

    ​@@Hussein-gx4qu😂😂😂siyo wote mimi King,ang,anizi

  • @user-gj2mm3ko8m

    @user-gj2mm3ko8m

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂Kweli

  • @BintiHamisi-lh3xx

    @BintiHamisi-lh3xx

    Ай бұрын

    Aaaweeeee😂😂 izi za mtandaoni noma sana

  • @ZenaMsumagilo

    @ZenaMsumagilo

    Ай бұрын

    Malaya huyu kwani hakujua anayemuoa ni msanii na hii ni ni sehemu ya kazi yake. Bas na aende ataoa mke mwengine mwenye kujitambua.

  • @user-ye7hg5pn7x
    @user-ye7hg5pn7xАй бұрын

    Barnaba kazi unayo duh kuacha Tena usanii, mbona mwanamke huyo akirudi Tena timbwili,kisa usanii,,,🤣🤣Sasa alivyo kuoa hukujua kama msanii,mh mh

  • @mwanaibrahim2444
    @mwanaibrahim2444Ай бұрын

    hunahaya wewe dada mbonawewe upo uchi na hajawai kukataza kuvaa ivo

  • @rehematawalani733

    @rehematawalani733

    Ай бұрын

    Mwenyewe kajiona kavaa😂😂😂😂😂

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023Ай бұрын

    Raya she knows how she is ,don’t let anyone disrespect u 👌

  • @suzanfabian9099

    @suzanfabian9099

    Ай бұрын

    Mh!! ungecomment kwa kiswahili tu😅😢

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992Ай бұрын

    Pumbavu hujui kazi ya mume wako

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9guАй бұрын

    Tatizo hapo Mama amekuwa mtu wa katikati ndoa ikishakuwa na mtu Kati kwisha habari

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311Ай бұрын

    Mi naona huyu Dada hana hekima maana huwezi mwanika mme wako hivyo duh kazi kweli

  • @elizabethdamas-zp9xl
    @elizabethdamas-zp9xlАй бұрын

    Jmn Raya rudi kwa mumeo wew ndo tunakujua ni mke halali icho kitu sidhan kama ni cha muhimu sn had umuache mumeo kazi yako ni kumuombea ndo mana Mungu amesema mke amuombee mumewe sas muombee mumewe na sala zako ndo zitamuepusha na hayo mambo yte dia na pia iyo ni kaz yke kma unavyojua wasanii msameeh thn muombee sana usimruhusu shetan aiseh afu ukimuacha mumeo unampa artym uyo manzi mwngn jiamin ww ndo mama lao rudi kwa mumeo

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibarАй бұрын

    Nilitaka kuuliza hizi music video na photo shoot si zinakuwa controlled na ma producers wanavyo plan na nguo kuna stylist au vipi

  • @sabihasalim942

    @sabihasalim942

    Ай бұрын

    Niliona Interview ya Barnaba ya wasafi ameulizwa similar question akasema Yammi ndio amechaguwa hilo vazi😮

  • @sabihasalim942

    @sabihasalim942

    Ай бұрын

    Hata kama ni kazi but kuna limit... Amem Disrespect his wife wake .🥺

  • @user-bc3lh5ss6c
    @user-bc3lh5ss6cАй бұрын

    Raya hakuna wa peke yako dunia nzima shaurilo😂😂😂

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106Ай бұрын

    Mashaallah umependeza…

  • @KissaMwaifwani
    @KissaMwaifwaniАй бұрын

    Kazi anayo Barnaba pole aliyekutuma kubadili dini Kwa ajili ya familia hiyo ukitaka ndoa Uache mziki

  • @godlistenobed9299
    @godlistenobed9299Ай бұрын

    Nimekupenda da raya ❤❤

  • @user-vj1ek5us4r
    @user-vj1ek5us4rАй бұрын

    Huy muislam kweli kuowa sharia

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031Ай бұрын

    I love you rahya you're a good women

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibarАй бұрын

    Wazungu wanasema don’t make permanent decisions on a temporary situation. Hiyo ni kazi na imeshakwisha Barnaba hajasema kama anamahusiano lakini ukuzidi kumsema sema utafukuza akatafute mapenzi na Amani kwengine.

  • @fathiyahmuzney7367

    @fathiyahmuzney7367

    Ай бұрын

    Haswaa wajina umeongea we muache aendelee kuvimba kichwa kujikuta ana mmudu sana barnaba

  • @azirajuma553

    @azirajuma553

    Ай бұрын

    Ushauri mzuri sana dada,anatakiwa atulie kwa sababu mumewe alikuwa kazini.

  • @salamamamashenge5493
    @salamamamashenge5493Ай бұрын

    @Chris Favors Kaka unajua kazi lako kikukweli unajua Kukuliza you deserves the Flowers 💐

  • @Mileyb.
    @Mileyb.Ай бұрын

    She's vry honest coz she love tht guy indeed

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963Ай бұрын

    Sio mume wa mtu huyo bado ananafasi 3 bado

  • @magrethdaniel8441
    @magrethdaniel8441Ай бұрын

    Mmmmh we umepambana na barnaba wapi jamani barnaba alifanikiwa miaka ya nyuma Sana

  • @matanohassan9667
    @matanohassan9667Ай бұрын

    BARNABA MTU SAFI UTAJUA FAIDA YAKE UKIONDOKA MWENGINE AKIINGIA NDIO BC

  • @SHAZIRINGOMA
    @SHAZIRINGOMAАй бұрын

    Balinaba huyo mke hakufai maana hata mwenyewe yupo uchi

  • @CafeJohn-jz8ri
    @CafeJohn-jz8riАй бұрын

    Kazi kazi

  • @fetychina3969
    @fetychina3969Ай бұрын

    Ume mbadirisha dini barnaba alafu unamuacha Mungu anakuona na umekosea sana kaa utafakari

  • @PendoPeter-rr4jk
    @PendoPeter-rr4jkАй бұрын

    Sasa ache Kila kitu mtakula hiyo ndoa,ww mdada kitu huji mwanaume anaweza kuwa smart kwenye macho Yako lkn ni msaliti balaa, njia pekee ya kulinda ndoa yk ni maombi, cyo mtandao shetani haogopi maneno yk bali unampa nguvu ,jifunze kubadilika unaongea sana hd unakosa radha

  • @user-gj2mm3ko8m

    @user-gj2mm3ko8m

    Ай бұрын

    😁😁😁😁😁

  • @ZenaMsumagilo

    @ZenaMsumagilo

    Ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅 kweli anakosa radha

  • @cantonamaster9001
    @cantonamaster9001Ай бұрын

    ❤❤

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNautharАй бұрын

    Nasubiri mrejesho' " Hatimae Barnaba aomba msamaha" 😂😂😂

  • @mrabdulhamid4269
    @mrabdulhamid4269Ай бұрын

    Huyu mwanamke ni muislamu jina tu. Dawa yake ni kuoa mke wa pili tu.

  • @fatumapilyimo8784
    @fatumapilyimo8784Ай бұрын

    Umependeza sana mamii

  • @shamlimah5682

    @shamlimah5682

    Ай бұрын

    Tell her to show u her really face not makeup

  • @ashminaabdulla8946

    @ashminaabdulla8946

    Ай бұрын

    Mm iyo Lipstick 💄 hataree😂😂❤❤❤

  • @salama1113
    @salama1113Ай бұрын

    Kwahiyo unataka ummiliki😂😂😂😂

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vjАй бұрын

    Mbona hupendi kujistir Raya maungo wazi kichwa wazi si swa dini hairuhusu na Tatoo kwa juu🤔

  • @AshaMohamedi-re4yy
    @AshaMohamedi-re4yyАй бұрын

    Ujafunzwa Dada rudi tena kwasomo

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611Ай бұрын

    upuuzi huo kufuta picha ndo ukweli wa maisha ya ndoa mtu anaweza futa na akaendelea na tabia yake

  • @yukundapeter8200

    @yukundapeter8200

    Ай бұрын

    Ni kweli Joy! Kufuta sio 7babu.2meona wengi mno.

  • @winniesimon850

    @winniesimon850

    Ай бұрын

    Barnaba hoyeeeeeee, njoo huku sina tumbo.

  • @binkomhesi9019
    @binkomhesi9019Ай бұрын

    Mmmmh barnaba hapa aliyumba,,ndombaka kubadili dini,,kweli ukipenda huoni

  • @martinclassic7595
    @martinclassic7595Ай бұрын

    My blood chris 🔥🔥🔥

  • @mkemiabenzn7811
    @mkemiabenzn7811Ай бұрын

    Ha haha., Barnaba hapa alijichanganya sana. Hawaendani hata kdogo na huyu sura nzito🤣🤣

  • @omarzinga7046
    @omarzinga7046Ай бұрын

    Huyu heri angeolewa na baba levo kila siku angeombwa samahani😂😂😂

  • @user-wp2dc3dr3w

    @user-wp2dc3dr3w

    Ай бұрын

    Ama mwijaku😂😂😂😂😂

  • @omarzinga7046

    @omarzinga7046

    Ай бұрын

    @@user-wp2dc3dr3w hapo umepatia

  • @ziddyziddy2524

    @ziddyziddy2524

    Ай бұрын

    😅😅😅​@@user-wp2dc3dr3w

  • @yukundapeter8200

    @yukundapeter8200

    Ай бұрын

    Omary tafadhali mbavu xangu.

  • @ashminaabdulla8946

    @ashminaabdulla8946

    Ай бұрын

    Mmmh kweli haya a😂😂😂😂😂😂

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290Ай бұрын

    Upo sahihi sanaaa da rayya penda sanaaaaaa and u looks so beautiful ma dear .....unahaki ya kuongea unavyoweza mama (mtu chake)cha halali kinauma mamaaa

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008Ай бұрын

    Kama kale kajamaa kamechomoa hii betri, Mungu anakapenda.

  • @merinankullua5874
    @merinankullua5874Ай бұрын

    Mmmmh ,umembadili dini inayoruhusu ndoa za wake wengi

  • @faustinaurio3703
    @faustinaurio3703Ай бұрын

    Mama mtu analalama chupi, Raya kiuno 😂kazi kweli kweli 😂

  • @pesaspy_tv

    @pesaspy_tv

    Ай бұрын

    😂😂😂😂mshenga oa mwanamke mwingine ni balaaa

  • @MwamvuaKing

    @MwamvuaKing

    Ай бұрын

    Hahahahaha

  • @MCHINA99
    @MCHINA99Ай бұрын

    Yani watu mnafunga ndoa halafu mnahachana kisa picha ?

  • @patrickmukundichalamila3038

    @patrickmukundichalamila3038

    Ай бұрын

    Afu hela wanazochangiwa ndo hua zinaniuma😢 bora wakasaidie wagonjwa ma hospitilan

  • @gasparmpoma3860

    @gasparmpoma3860

    Ай бұрын

    Kweli kuna matatizo ya wagonjwa wa akili ndugu yangu amini

  • @MaiKasimu-xf4fz

    @MaiKasimu-xf4fz

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂 yaaan mpka wanatutisha masingle

  • @BintiHamisi-lh3xx

    @BintiHamisi-lh3xx

    Ай бұрын

    ​@@MaiKasimu-xf4fz😂😂😂usiogope izi nza mastaa

  • @aromaofzanzibar

    @aromaofzanzibar

    Ай бұрын

    Brother wako yupo right ndoa sio mitandaoni. Anajisifu kumsema mume akiingia na kutoka ndani ya nyumba mume atachoka atafuta amani nje

  • @KhadijaMohammed-gw2xo
    @KhadijaMohammed-gw2xoАй бұрын

    Mekaup iyo ana uzur wowote

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2uАй бұрын

    Barnaba mboni mzuri na bado kijana tafuta anaye hitaji ndoa na siyo mtandao

  • @user-mo3wn6cc7h
    @user-mo3wn6cc7hАй бұрын

    Ni kweli Barnaba hakua wa design hiyo jamani hata mm nmeshangaa😊

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Ame ji update 😂😂😂😂😂 Wanaume shikamooni 😂😂 Hao ndo wanaume, matukio lazima. Akae Kwa kutulia

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018Ай бұрын

    Sema yammy mzuri sana ,huyu dada ana sura personal sana😅😅 cjui barnaba anateseka na nn

  • @MwamvuaKing

    @MwamvuaKing

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-dq1lm2be2u

    @user-dq1lm2be2u

    Ай бұрын

    Tena wanaendana sana na yammy😂😂

  • @MohamedMkota

    @MohamedMkota

    Ай бұрын

    hawa ndowalimwengu wanakugeuka dakika😅😅

  • @AsiaAbasi-fg9gu

    @AsiaAbasi-fg9gu

    Ай бұрын

    Sasa umeambiwa kinachoishi ni sura

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9yАй бұрын

    Karembo kweli mmpaka sauti jmn

  • @rogerabdallah439

    @rogerabdallah439

    Ай бұрын

    Ushaanza umalaya

  • @user-nk4oq4ek9y

    @user-nk4oq4ek9y

    Ай бұрын

    @@rogerabdallah439 sasa kama ni mrembo nisiseme kweli

  • @rogerabdallah439

    @rogerabdallah439

    Ай бұрын

    @@user-nk4oq4ek9y aya 4 u

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    Ай бұрын

    @@rogerabdallah439😂😂😂 kumekucha

  • @winniesimon850

    @winniesimon850

    Ай бұрын

    Sio mzuri ni makeup

  • @user-gb5pe1qj2h
    @user-gb5pe1qj2h27 күн бұрын

    Mke mwenye kuijua din awez kuanika ndoa yake kwenye jamii alafu unatak stala wakati mwenyew unastar mke wamtu ayo nimavaz yakujianika mitandaon muongopen mungu

  • @Maria-dg6ik
    @Maria-dg6ikАй бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hanifaally4694
    @hanifaally4694Ай бұрын

    Toa ndoa mtandaoni dada Lol

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290Ай бұрын

    Toa cheche mama usiogope rayya beiby a..k.a boss lady toto la kitangaa hilooo❤❤❤

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963Ай бұрын

    Mpeni mtu nasaha msimtukane ili arudi kwenye ndoa yake

  • @hawababy120
    @hawababy120Ай бұрын

    Tukia ile nikazi kwahio humuamini mme wako!!!unaitaji canceling wee dada.

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589Ай бұрын

    Achika uwone mziki wa nje uko,uraiani wakopaji kibao hadi utaikumbuka ndoa

  • @BintiHamisi-lh3xx

    @BintiHamisi-lh3xx

    Ай бұрын

    Amuache adakwe chapuuuu

  • @MwamvuaKing

    @MwamvuaKing

    Ай бұрын

    Yaaani huyu hana lolote.km yy mwanamke haswaaa anajiamini aseme hataki ndoa sio oooooh niombwe msamaha

  • @taseleli9181

    @taseleli9181

    Ай бұрын

    ​@@MwamvuaKinghalafu aombewe msamaha insta inahusu nini ??

  • @mamawamireille4872
    @mamawamireille4872Ай бұрын

    Barnaba pole mkewako na mama mkwewako wote niwamoto nihatari

  • @neemambotola1139
    @neemambotola1139Ай бұрын

    Anaongea vizuri ...hana papara

  • @YasintaMpanduji
    @YasintaMpandujiАй бұрын

    Watanzania mlio wengi mko mbelembele kushadadia mabaya na maumivu ya watu, Mungu awaadhibu

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499Ай бұрын

    Kiki ya wimbo nimekaaa pale.

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8mАй бұрын

    Sasa Raya unaganda Mic NDIO imekua mboro ama?I love Barnaba so much,I cried when he married, Mwache nimuchukue Mimi ❤❤❤❤🇰🇪 hao rafiki za mumeo sasa Diamond kamwaribu Barnaba😂😂😂tulia Mjinga wewe Na Wivu WA teenager, Wewe WA kwanza kurudi kwenu?😂😂😂Utarudi kwa mumeo au waache wenye uvumilivu.

  • @chainbre275
    @chainbre275Ай бұрын

    Ila pete hajavua hiyo inamaana bado yupo kwa ndoa😂😂

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7mАй бұрын

    Mnaita watumichi wa mungu kufunga ndoa kumbe mna mitangazo yenu ya biashala

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733Ай бұрын

    Nenda salama mama tunakutakia maisha mema

  • @user-ix5uo6ks7j
    @user-ix5uo6ks7jАй бұрын

    Huyu dada amekasirika kweli 😂😂aliyekua

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975Ай бұрын

    Kisoda

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714Ай бұрын

    Kijana wawatu mumemutharau sana,

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dyАй бұрын

    huyu si ndiyo alisema haachwi? au nilisikia vibaya

  • @taseleli9181

    @taseleli9181

    Ай бұрын

    Ndo huyo huyo

  • @jut1161
    @jut1161Ай бұрын

    Sasa unaolewa na mwanamuziki alafu akimshika mtu kiuno unaomba talaka. Kama alikua anataka mtu safi ambaye hana mambo mengi si angetafuta ustadhi

  • @florakimaro-vw7qj

    @florakimaro-vw7qj

    Ай бұрын

    Ni kweli kabisa kwani alikuwa ajui ni msani kumshika tu kiuno je angelala naye mjinga huyu ajielewi

  • @sisifaty9183
    @sisifaty9183Ай бұрын

    Alikuwa anataka kutoka mjinga utajuta .kwani nyumba .maduka nini huoni mafuriko yanavyo kuja uliza Dubai matajiri wako huko mtoto kama kunasababu zingine hapo sawa

  • @user-is2pj2vq3r
    @user-is2pj2vq3rАй бұрын

    Ndoa za kuombana Msamaha instagram 😂😂

  • @MaiKasimu-xf4fz

    @MaiKasimu-xf4fz

    Ай бұрын

    😂😂😂😂mtihani

  • @taseleli9181

    @taseleli9181

    Ай бұрын

    Yaaani shida tupu mpaka Instagram ndo nini

  • @roseb8052
    @roseb8052Ай бұрын

    We Mama ninani I mean what if I love you

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611Ай бұрын

    maisha ya mtandaoni ndo hayoooo

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106Ай бұрын

    Tanzania Mko nyuma sana kwenye biashara. Ikiwa kuna maduka mengi ya nguo ndio huwezi kufungua??? Fungua Duka la nguo na ulete nguo nzuri tuu utapata wateja.

  • @Zuu673
    @Zuu673Ай бұрын

    Kisoda kweli kiki bado inaendelea

  • @MaryamMoshi
    @MaryamMoshiАй бұрын

    Mmmmhhh yetu macho

  • @user-sp2hu8lb1c
    @user-sp2hu8lb1cАй бұрын

    ❤❤❤wakwanza kuona

  • @JudithKigalu-ue3in
    @JudithKigalu-ue3inАй бұрын

    Wewe dada unajivuna, ule ni mwanaume auwezi kumupangia mambo. Auwezi dumu kwenye ndoa kwa ayo maneno umezungumuza atari

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714Ай бұрын

    Sasa unajichanganya kwa maneno, naskitika kwa kaka Yeti barnaba

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tvАй бұрын

    Sns na crown 👑 fm wana kamera kali sana

  • @christinamwangoc4779
    @christinamwangoc4779Ай бұрын

    Ki kweli mnatulazimisha sanaa kuwasikiliza

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733Ай бұрын

    Alienda kuangalia mkato wa chumba😂😂

  • @zena6203
    @zena6203Ай бұрын

    Wekumaaaaaaaaaaaa kweliiiiii

  • @halimambaga61
    @halimambaga61Ай бұрын

    Kwan huyo Barnaba alikukuta Bikrame 😢😢

  • @RandB_Channel
    @RandB_ChannelАй бұрын

    Ivi huyu Raya anajielewa kweli? Kwani kuna sababu kubwa apo inaweza sababisha kuacha ndoa yako? Barnaba amutizame vizuri iko saha alikuwa amesha kuwa nakengine kabwana toka pale umesha tuchosha pumbavu we . Barnaba huyu dada atakusumbuwa sana ukiangaliya jinsi anavyo ongeya ataona hapa unahasara

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733Ай бұрын

    Huyu haiwezi ndoa alifikiri ndo a lele mama haaaaa😂

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xnАй бұрын

    Ila Raya lazima amsamehe Barnaba na pia vaeni Variety stile fupi sawa lkn acheni kuvaa matako wazi hatupendi, tunaomba zipite chini ya makalio mstalii wa makalio hatutaki kuona.

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733Ай бұрын

    Alienda kutingisha liberties atiiii kakuta kimeunguaaa

  • @paulino2725
    @paulino2725Ай бұрын

    Mpuuzi kwel huyu dada

  • @JumaNyoni-ob2wz
    @JumaNyoni-ob2wzАй бұрын

    Ila raya😅😅😅😅😅

  • @user-gv2un4jl3m
    @user-gv2un4jl3mАй бұрын

    Jamani watu wanaenda na wakati barnaba anatafuta maisha ya kibiashara ,huyu kwani ni kabila Gani? Watu wanachuma mali na wanaachwa, wee mwana hakuna mume wa mnyama 😊😊

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438Ай бұрын

    Barnaba akaoe mkristo mwenzie Mama mkwe mswahili sana anasema kama chiriku

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64Ай бұрын

    Yaani unaulizwa vitu gani umetengeneza na Barnaba, unajibu nyumba, mali lakini sijakusikia ukitaka mtoto. Yaani katika vyote unamsahau mtoto. Harariiiiiii

Келесі