Barnaba feat Yammi - Nibusu (Lyrics Video)
Музыка
Music Video by Barnaba featuring he one and only Yammi, This is big. (NiBusu) is a sweet sound created by an amazing team. We all know that this was long awaited and it didn’t disappoint. The best Tanzanian vocalist Barnaba along with the beautiful and talented artist from ‘The African Princess Label’ Yammi, has been long overdue. This song is for the lovers and for the ones who can’t keep their hands off eachother.. The two excelling artists have put their work together to create this masterpiece and this is only the beginning of them. Special thanks to Barnaba’s english songwriter who has also written ‘All I Need’ and also been a part of production Rinaaldn for helping this masterpiece come to life, along with the one and only Majorkizy in producing. Video shot Directed by Wayan.
Get it now "NiBusu":ziiki.media/Nibusu-Barnaba
Stream/Download:linktr.ee/barnabaclassic
Listen to Barnaba on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/barnabaclassic
Apple Music: / barnaba
Boomplay: www.boomplay.com/share/artist...
Spotify: open.spotify.com/artist/3ICwB...
Deezer: www.deezer.com/en/artist/5244406
Catch Up With Barnaba on Social Media:
Instagram : / barnabaclassic
Facebook: / barnabaofficial
Twitter: / barnabaclassic
Catch Up With Yammi on Social Media:
Instagram: / yammitz
Twitter: / yammi_tz
TikTok: / officialyammi
Facebook: / itsyammitz
KZread: / @yammitz
+For More Information Booking Yammi:
Contact:yammymanagement@gmail.com
+For More Information Booking Barnaba:
Contact:Barnabamanagement@gmail.com
Digital Distribution by Ziiki Media (PTY)
©2024 Barnaba.All rights reserved.
#Barnaba #Yammi #Nibusu
Пікірлер: 1 000
Yamm she has evil melody asie huyu dem niaatari sana bado sijaona mwenye saut kama yake she is de best 🇿🇦kama unamkubali yammi zaid like hapa
@salmakilili6144
Ай бұрын
Meanza kongo sasa
@ramadhaniharuna5441
Ай бұрын
humjui Rubby wewe.
@jumabunzari8378
Ай бұрын
Sema kila dem na nafac yake,kuna maua sama anaimba yule mtt,rubby,zuchu wote hao kiboko,,,❤❤❤❤
@aisharajimbo6784
Ай бұрын
Yap mwambie Rubby ndio mpango mzima@@ramadhaniharuna5441
@julianrajabu5472
Ай бұрын
F
Hio english imenyooka. Wata wa Kenya gonga like ukisonga
@belindagiliard8977
Ай бұрын
English ya wakenya wanaongea na accent kama wanaongea kilugha.
@deogratiusyudatadei5658
Ай бұрын
@@belindagiliard8977ukitaka kujua English ni lugha yakawaida Sana njooo kuishi hapa uganda unakuta kichaa anakufokea kwa English 🤣🤣🤣🤣🤣
@user-zs4qz4wm2n
Ай бұрын
@@deogratiusyudatadei5658😂😂😂😂😂😂😂
@user-no3hu6vt1r
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂@@deogratiusyudatadei5658
@aminata3702
Ай бұрын
Wakenya English sio lugha yenu kuwaambia watu kama wanajua au hawajui.Acheni usenge
Dadeq jamaaa umeiwezea hatariii🎉🎉🎉🎉🎉,,,, like hapa kam umeipenda video hiii
@hkwood6601
Ай бұрын
KUW∆ NGUVU J∆PO M∆GUMU kzread.info/dash/bejne/a5p-0bp-eNCWfZM.htmlfeature=shared
Daaah hii collabo imetisha sana, Barnaba sis mashabiki zako hujatuangusha, tunaomba mtoe chuma Kingine cha moto kama hikiii 🎉, kama unakubaliana na mim gonga like tukisonga 😮
Sema Barnaba unajua kuimba kinomaaaaa,wew fundiiii, usiwe unaweka gepu kak situnapend ladha hizi
Walio elewa hii video ina tahadhal like, wimbo wa mahaba lakin yapo kwa mbaliiiiii tahadhal imefuatwa🎉🎉🎉🎉
@AnnamlawaMlawa
Ай бұрын
Mbona tahadhali nimecheka😂😂
@MapepeMengi
Ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/aGqF05iLmtunmqw.htmlsi=R31i56idKbO29Oe1❤
@ARONPaul-bz3ws
Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣apo ungrmkuta diamond au harmonize ungefurahi angeshikilia kiuno na madoidoo kibao
@khadijakhatibu5270
Ай бұрын
Nakwambia vdeo imepoa anaogopewa mama mwenye kimbo zake mjini 😂😂
@mwanashaali1109
9 күн бұрын
Na Ile Colabo waliyoimba Na Mbosso Kuna thadhali wapii hapo waliyofanya na wamemshare yammy
Kwako nmezamav penzi nipatie maziima,,,jeuri Sina haki nitafia madina❤🎉...from IG....anybody else????
Sijawahipo kupenda nyimbo ya Barnaba kama nilivoipenda nyimbo hii. Yammy pia umetisha sana, saaaana.
Nilisema napita mwisho nimezama nipeni like 10
Nyimbo imetulia kusema kweli maupendo kutoka Kenya 🥰🥰🥰🥰🥰
@gashammodern9929
Ай бұрын
safii
@pascalkissima161
Ай бұрын
Karibu Tz 🇹🇿
Wanaowuangalia huu wimbo then kuvuta sura ya mamkwe wa Barnabas mgonge like.
Dah,kumbe goma ndo lilikuwa kali namna hii,,,,au ndo vipi sema mamkwe mpaka kaifanyia Kiki ndo izidi kutrendi,,,barnaba na yammi wameufanyia haki wimbo huu,hongereni Sana.
@MapepeMengi
Ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/aGqF05iLmtunmqw.htmlsi=R31i56idKbO29Oe1❤
Moto Wallah...... Wapi likes zao jamani.. All the way from 254 🇰🇪.. I salute you for you guys
Wanao sema yammi amependezana n kaka yetu b naomba like twende sambamba
Huyo ndo mwalimu wa music 🎉🎉 hajawah kosea 🔥🔥🔥
Yatakiwa hii Ngoma iwe trending no. 1 Kila kitu kipo sawa yake.... Slaps better than a slap from an African mum, 🇰🇪🇰🇪
Yammi namwona mbali sana kama akifocus kwenye kazi ni zaidi hata ya boss wake kwa talent 🌹🌹🌹🌹🌹
@auntiemylee3157
Ай бұрын
🎉🎉🎉
Mwenye ako nami kwa huu Wimbo mtamu anipe like ❤
Yammi anakitendea haki kitu chako ukimshirikisha,Yammi nyimbo zote alizoshirikishwa basi kazitendea haki,na ana sauti nzuri ya kubembeleza.
Hiii ni Ya moto Kwa kweli jamani like japo 5 please
Oooooooh wasanii hawajui Ngereza Asante Barnaba umenikomeshea majirani 🤣✌️🙏🏼
Yammi ndo msanii ambaye saiv atakuja kumfunika zuchu sio poa yammi katisha sana🙌🙌🙌
Ngoma imeweza Saaana❤❤❤❤…barnaba kingereza na swahili zote umeua ❤❤❤❤yammy pia kazi swafi
Watu wangu wa Qatar, Saudi Oman, Dubai nawanangu wa Canada hebu gongeni like
@user-gv1ty3bt7v
Ай бұрын
San t
@Mayra574
Ай бұрын
Oman ❤❤❤❤❤❤ is on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@fatmaathumani7116
Ай бұрын
Oman❤❤❤❤ba
@nelsonlamecki3404
Ай бұрын
Mimi nipo USA 🇺🇸 ila mimi ni mtanzania
@nelsonlamecki3404
Ай бұрын
Mungu ibariki wasanii wa Tanzania wote ❤❤❤
Naniii kaelewaa hapaaa Yammy......yammy njoo bby❤❤❤❤
Nakwambiya mama mukwe kapata yake yamoto kweli yammi unatupa haki yetu kweli ❤❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Class kama class ogopa sana
Sisi wakenya tunasema icho kingereza kimeenda shule,, approved 🔥🔥🔥
Hii nyimbo ni moto🔥🔥ila umezua kizaazaa jaman🤔 mmeweza❤❤❤❤
my national anthem everyday i have to play this more than 10 times a day
Ngoma kali ❤️ Barnaba umejuw ku flow kizungu Safi sana 🎉🎉🎉
Imekaa njema sana @ Yammi unaweza mama👏🤝
Yammi ww mutoto nibara napenda sauti yako❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇸🇦👌👌💯💯
Yaani hongera umewaza na dada yemi...piga kazi waache wapige kelele ❤❤🎉
One of the ALL TIME GREATS BRO WW NI DUNIA NYINGNE MOJA KATI YA ARTISTS AMBAO WAKITOA MAWE UWAGA HAWABOI TOKA NIKO SHULE YA MSINGI NAKULA NGOMA ZAKO FANYA SIKU MOJA UNIBLESS ATA LI PICHA LIMOJA NA WW NIWEKE MAGETONI KWNG MZEE YOU'VE BEEN INSPIRING LOT'S OF US STAY BLESSED ALWAYS
Wow sure huu wimbo ni 🔥 🔥
Una flow kizungu Safi Sana broo bip up 🎉🎉🎉❤
@MapepeMengi
Ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/aGqF05iLmtunmqw.htmlsi=R31i56idKbO29Oe1❤
Dah,alafu pesa ikishaingia upendo Kwa family, barnaba yupo kazini jmn mama mkwe😊,bonge la ngoma ✨🔥
Aaaaah umekill hii verse❤❤🔥🔥
Kaka unajua sana, Dada yammy nae anajua sana. jaman da! tunawapenda sana mashabiki zenu
@MapepeMengi
Ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/aGqF05iLmtunmqw.htmlsi=R31i56idKbO29Oe1❤
Big Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮❤❤
@hkwood6601
Ай бұрын
KUW∆ NGUVU J∆PO M∆GUMU kzread.info/dash/bejne/a5p-0bp-eNCWfZM.htmlfeature=shared
Tisha sana B classic
Wau hii song imewezaaaaa💥💥💥💯💯💯💯
So hot...love it from 🇰🇪... Huyu yammi kama hana mme mwambie aje huku kwetu nipo❤🤩🤩
@edyteemba1918
Ай бұрын
Wewe unataka uanze kumpaka tope mtoto wa watu na ndio kwanza kaanza kuimba hebu uko
Team flat yummy oooh yec vyakuiba havinogii🎉🎉🎉🎉🎉
Ujawahi niangusha Barnabas ❤
🎉🎉 imeweza banaa Barna❤❤
Hongera sana ngoma ni Kali sanaaaaaaa🎉
Kenya achieni like ya yagaaaa❤❤
Nyimbo nzur sana hongereni♥️♥️
Barnaba hapa umeuwa hio sautii ya mtoto mzurii ni hapo iko 👌
God,blessing Tanzania 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 😍 ✨️ 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖
Nyimbo tamu haswasaaa ♥️ yammi
Big Song 🎉❤❤❤Nimeikubari Ngoma Yako Barnaba
Ngoma ni fireeeeeee, had imeunguza ndoa
Weee....Mamamkwe acha tikisa kiberiti Wimbo mtamu huu ka ......naniliyuu....🇧🇪🇧🇪🇧🇪
Bongeeeeeee langoma iseee sopowa hongera my bro jamani tuifanye ifike ontrending
Weee hapo kidhungu imeweza nice and soothing song
Barnaba, narudia tena Barnaba, hakika huu wimbo ni mzuri sana aisee.Hongereni sana.
🔥🔥🔥🔥 mamkwe Bado hajasema yaan mpaka aseme
Kwasababu ujawahi kuwa na skendo,hii si mashabiki tumekuruhusu ,uyo mkwe mwambie atulize genye🤒🤒🤒🤒🔥🔥🔥
@salmamlokela1987
Ай бұрын
😂😂😂😂atulize mdomo wake kama beseni siooo asubiri kula
@hezronjoseph405
Ай бұрын
@@salmamlokela1987 😂😂😂😂ndoshida yakua na wakwe vijana😂😂😂
Barnaba hajawahi kukosea❤❤🔥🔥🔥
First verse mopao is hot..my fav kizungu mwake kabisa beats flow zote noma .my always favorite..love from mombasa kenya
Best since day 1
Mashallaha mwenyezi akulinnde mdogo wetu kiboko yao
Mtaalam amekutana na mtaalam anayekuja hapo hakika n kazi nzuri sana... Mashairi yamekaa penyewe... Vya kuibaiba nimeshindwa...
Kaliiiiii mkaliii 🔥 🔥
Wangapi wana sema banaba akienda piga magoti mkwe wake atakua mume suruwale tena bwege
Nyimbo katigisha mitandao adi ndoa jameni hii iko🔥🔥🔥
Bendera Chuma mlingoti Chuma vilevile, hii collabo fire 🔥🔥🔥🔥🔥
Nyimbo katingisha adi ndoa hili😂❤❤
@cyracyra384
Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@hkwood6601
Ай бұрын
KUW∆ NGUVU J∆PO M∆GUMU kzread.info/dash/bejne/a5p-0bp-eNCWfZM.htmlfeature=shared
@saidichilyenga2847
Ай бұрын
Kk ile kaka jambo limeingia mjini
Unyama
Br unauwezo mkubwa sana ...jah bless ...kizungu Kikali big up your self
Hiyo kizungu inavyo tamba🔥🔥🔥🔥🔥hadi utamu
Akikosa c ndano yangu 😅😅 from Nairobi Kenya 🇰🇪 alf rdia video iwe town town
Kazi nzuri Sana,yamm nakukubali,kulikuwa akuna haja ya madram yote yenyewe tu inaenda wimbo powa
Can't get enough of this song 🔥🔥🔥 💕💕💕💕💕
Wimbo bora wa mwaka 2024 barnaba umepiga fresh sana 🔥🔥🔥 verse ya 1 🔥🔥🔥🙌 Hata yummy but ninependa Verse ya kwanza
This is is good melody… on repeat 🔥🔥
🔥🔥🔥🔥
Daaar sikujua kama ngoma kali kias hichi huyu yammy yuko vizur baraaaaaa
Wimbledon uko pow sana big up Barnaba
Mwandishi wa Nawaza by Diamond platinumz huyu 😂💯🔥🔥🔥
Waooh! Good Music ❤🎹 congratulations
Hinyimbo itatutowa roho🎉ina mameno mazuri sana❤❤
Hatar sana ,na akikosa hyo kitu halali
Wa kwanza like zaidi
Nifire 🔥 nibusu❤
Shabiki ako tangu nko form four.. 2014 sauti yako n nzur barnaba.. Keep it up ad mama angu Anakupenda.. Naitwa witness
Ngoma kali sana" ndoa nyingi zitatumia hii ngoma wakati Barnaba imetaka kumvunjia ndoa yake
mi nimepapenda sana sanaa hapo kwa talk to me boy woii 😊😊🙌❤ saund yake taammm kama pipi😋
Watu wapo kazini mama mkewe povu linamtoka Alimwambia Amuozeshe mwanae mwana mziki ni nani
@mfalmekaitaba2425
Ай бұрын
Mdogo wangu zile ni kiki za kupush wimbo,hakuna ugomvi pale
@fathimamct232
Ай бұрын
Ok Shukran Kwa Taarifa mama huyoo mama k mishipa ya shingo ilivyomtoka SI ya kitoto nikaona Huyu Ndugu nae mboni haya mambo hayamuhusu Jamani kimbe na Ty yupo kwenue comedy yake
@Chiunda-eh8lt
28 күн бұрын
😂Wewew
Nomaaa 🙌🙌🙌🔥🔥🔥
Unyama mpewe maua🎉
Haka kadada kanajua aiseee afu kana sauti nzuri❤❤❤❤
Nyie nyimbo nzuri balaaaaaaaaa
Barnaba ft Yamm 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mmekutana wakli wa vocal
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤🎉
Barnaba umefunikwa sanaaaaa