QUEENMASANJA AFUNGUKA KUICHUKIA NDOA NA DR MWAKA/SINA MAHUSIANO/NATONGOZWA/KUIMBA NA ZUCHU/HARMONIZE

Ойын-сауық

Tumepiga Story na Queen Masanja

Пікірлер: 124

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy10 ай бұрын

    Some how Queen anafanana na Zari the boss lady!

  • @gabbyhenrgy1157

    @gabbyhenrgy1157

    10 ай бұрын

    Sanaaaaaaa

  • @user-zt3et5kl5m

    @user-zt3et5kl5m

    10 ай бұрын

    Wanafanan kabisaa ila hutu dada kamzidi zari kwa uzuri asee

  • @Kakwasi

    @Kakwasi

    9 ай бұрын

    Halafu yeye ni mnatural kila mahali

  • @rahmaoman470
    @rahmaoman47010 ай бұрын

    Uyu dada anajielew sana Allah akujaliy kweny kaz zko na akutunze 🥰🥰

  • @kamanapomo7029

    @kamanapomo7029

    10 ай бұрын

    Anajielew nn? hakuna checho te hapo, huyo kunamtu nyuma yake ukitaka kujua hilo sikiliza majib anayo yatoa kuhusu ndoa akitoka kwa mwaka kwa sababu tayar alijua anapo elekea

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty10 ай бұрын

    Nampendaga huyu Dada Ni Queen kweli kam jina lake yuko very classy feminine yan huwa nawmanglia sana anatufundisha waweza kuvaa classy na ukapendeza mzuri bila kuonesha sana

  • @anisanassoro5246
    @anisanassoro524610 ай бұрын

    Inshallah mungu amsaidie huyo dada mie Huwa nampenda sana mungu amuongoze apate mume mwema nikiwa kama mzazi mungu akubariki kipenzi

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale246310 ай бұрын

    Wewe mzuri sana mwaka alikua mnyanyasaji uyo

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m10 ай бұрын

    Queen NAKUPENDA SANA. ULIPITIA MAGUMU❤❤SASA UNA LIFE YKO MUNGU AKUONGOZE. UR SO BEAUTIFUL

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia928410 ай бұрын

    Mama safi 🎉

  • @CalisternongiHaule-vk6ch
    @CalisternongiHaule-vk6ch10 ай бұрын

    Kunabaadhi ya watu ukiachana nao katika maisha milango lazima ifunguke

  • @user-nd8gg4ig7m

    @user-nd8gg4ig7m

    10 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤natamani nikupe zawadi umenigusa mno

  • @iddymohammed1890

    @iddymohammed1890

    10 ай бұрын

    milango ipi mzeee?? unadhani ni yeye hapo au unadanganya watu waachane na sehem sahihi walizopo waige kutoka kwemye ndoa waje warande mitaan... huyo ni mtu mzima saiv kutangaza mapensi mapaja nje haina maana na huo sio uhuru.. msikilize vizur yeye mwenyew anachoongea usipoteshe watu.. NDOA ni kitu cha heshima sana subiri uoe au uwe na mtoto aolewe then itokee aachike ndo utajua vzr pia kama huna cha kusema kaa kimy ni bora zaid kwako anasema hafikirii tena ndoa ila ana mahusiano ya kawaida, je wewe ungependa mwanao awe kweny ndoa au mahusiano ya kawaida?? SHIRIKISHA AKILI KABLA HUJANYANYUA ULIMI WAKO UKAJIFANYA UNA INSPIRE SANA

  • @matridamwandambo9656

    @matridamwandambo9656

    10 ай бұрын

    Kabisa mm nilikuwa na mpenz toka niachane nae 😊😊❤❤❤walah na enjoh

  • @monicaissah5662

    @monicaissah5662

    10 ай бұрын

    ​@@iddymohammed1890mmmh ayo simaoni yake

  • @malak-lz6kx

    @malak-lz6kx

    10 ай бұрын

    ​@@iddymohammed1890umeongea maneno mazito sna ila madada wa uko wnawaza uhuru wa kujitofikiria kuna kesho yke ndio hao

  • @MatildsChami
    @MatildsChami10 ай бұрын

    Kwakweli nakukubali sana na najifunza kupitia wew sana natamani nipate mawasiliano yako Mungu akulinde daima

  • @marryeliasmarryelias9289
    @marryeliasmarryelias92898 ай бұрын

    Nakupenda dear sister queen ❤❤

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout611629 күн бұрын

    Mungu akulinde malkia wang uish sana

  • @salimnassor3212
    @salimnassor321210 ай бұрын

    what a germ huyu ni mwanamke ukisikia anavyojibu na alivyo muonekano kitabia anastahili heshima nimempenda sana

  • @omanqqwe4061
    @omanqqwe406126 күн бұрын

    Nakupenda sana dada

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce232110 ай бұрын

    Huyo mtangazaji hana adabu,mbona anamusogelea huyo dada kishenzi hivyo?Na hayo maswali yake mengi ovyo ovyo tuu.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha83879 ай бұрын

    Uyooo NIII original ❤🎉🎉

  • @ashamonamachicha8653
    @ashamonamachicha865310 ай бұрын

    Allah akulinde na kila unachopamba

  • @Kakwasi
    @Kakwasi9 ай бұрын

    Very beautiful mama

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha83879 ай бұрын

    Mimi nampendaaa yaaaan sisemiii NI mkweri. SANA.❤❤❤❤

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha83879 ай бұрын

    Nyie WAACHENI USHAMBAAA. WASWAHILII WAKUBWA. UYO BINTI SIO MZEEE LOOOO NA NGUO AU MAVAZI AYANA UZEEEEE. SIO MKUBWA NA SIO MZEEEE DUUUU WABONGOOOOO

  • @user-ex6kk5jb4y
    @user-ex6kk5jb4y8 ай бұрын

    Love😂 U so much my dear unatia moyo sana ww dada ujui tu

  • @kombakomba7922
    @kombakomba792210 ай бұрын

    Una damu ya nguo,in short unapendeza Sana.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha83879 ай бұрын

    Mzuri SANAAAA Jamani khaaaa

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt10 ай бұрын

    Wow mom🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd10 ай бұрын

    Hivi kwelii hata kama amekuzidi umri una ubavu wa kumkata? Ni hatarii sana huyo

  • @jojotz1210
    @jojotz121010 ай бұрын

    ❤❤❤🎉🎉🎉😊

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza394010 ай бұрын

    ❤🔥

  • @happynescostat7420
    @happynescostat74209 ай бұрын

    Ongera dada!

  • @Kakwasi
    @Kakwasi9 ай бұрын

    WAOH WAOH.

  • @JeniferMassawe-lu3de
    @JeniferMassawe-lu3de10 ай бұрын

    Mzuri sana

  • @Judy-dy4zt

    @Judy-dy4zt

    10 ай бұрын

    Sana wanaume wanatuchakaza ingawa sio wote

  • @rudiaeliakim2172
    @rudiaeliakim217210 ай бұрын

    🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @user-zn3un8gs3d
    @user-zn3un8gs3d10 ай бұрын

    Dada naomba mawasiliano nataka kununua nguo unazitangaza nipo huku Iringa

  • @lindahjoseph8360
    @lindahjoseph836010 ай бұрын

    You look like mama tiffah

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago287610 ай бұрын

    Dr mwaka alimpuuzia mwanamke mwenye hekma na akili

  • @fedhandunga5935
    @fedhandunga593510 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @issazalala4907
    @issazalala490710 ай бұрын

    Umri ukienda isia zina pungua yupo Sawa

  • @marryeliasmarryelias9289
    @marryeliasmarryelias92898 ай бұрын

    Mungu akutunze wewe na wanao

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza394010 ай бұрын

    Piga kazi dada uachane na ndoa kwa sasa

  • @user-ix9rn5yh4l
    @user-ix9rn5yh4l2 ай бұрын

    hakuna zaidi ya ushabiki wa kidini

  • @MohonoMwita
    @MohonoMwita8 ай бұрын

    Unatafuta kiki lakini huna jipya kama umeachana na mwaka kwanini bado unamoongelea mitandaoni huna akiri ila punguza maneno kwenye mitandao

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat16510 ай бұрын

    Roja anajarb kutupa ndoano

  • @jacklineanthony5191
    @jacklineanthony51919 ай бұрын

    Napenda majibu yako

  • @nassirsalim6679
    @nassirsalim667910 ай бұрын

    Ila dada mgumu kukubali uyu mm pia mmoja wapo narusha msg sana 😅😅😅

  • @bahiyaseleman5838

    @bahiyaseleman5838

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii10 ай бұрын

    Abaya zipo hadi za 30000 kwani.lazima za pesa ndefu mbona sie tunavaa na hatujachujika😅😅

  • @munirahassan5969

    @munirahassan5969

    10 ай бұрын

    Mnunulie

  • @rithadonatus8110

    @rithadonatus8110

    10 ай бұрын

    Wapi na Mimi nikanunuwe mpendwa

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii

    @KhadijaAbdallah-kn3ii

    10 ай бұрын

    @@rithadonatus8110 zanzibar

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii

    @KhadijaAbdallah-kn3ii

    10 ай бұрын

    @@munirahassan5969 kwani mwanzo.alipokua akivaa nilimnunulia mm?

  • @mimikimanga3126

    @mimikimanga3126

    10 ай бұрын

    Endeleeni kuvaa shida iko wapi kwani ye akivaa akitakacho we na familia yako pia vaeni hizo abaya

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya10 ай бұрын

    Na picha ya hamo na zuchu imekukaje, harafu watangazaji wa mutanzania Ni mpenzi tu kuriko aanze na Swari la maana anaanza na mpenzi😂😂😂😂😂

  • @farida4595

    @farida4595

    10 ай бұрын

    Mm nlipoona picha ya hamo ndio nmekuja kumbe hkuna kinachoendlea

  • @happypetro2948
    @happypetro294810 ай бұрын

    Kama dokta mwaka anammezea mate hapo

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd10 ай бұрын

    Afu ni lika la zar uyu ila zar kujikana sasa

  • @MwandigaRuhobe-fm3it
    @MwandigaRuhobe-fm3it10 ай бұрын

    Unaumbile la kapendeza bala

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim77598 ай бұрын

    Ulikua unataka kuvua stara tu sio?? Uko huru sasa uhuru wa kishetwan

  • @JafariAbdallah-ot9gp
    @JafariAbdallah-ot9gp10 ай бұрын

    Dunia imechukua chake hapo

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii10 ай бұрын

    Huyu mwanamke ame change sana masikini roho yake alikuwa mtu mwenye kujistiri asaivi amekuwa upande wa shetani

  • @munirahassan5969

    @munirahassan5969

    10 ай бұрын

    Mkiritu uyu dada.

  • @zayanazayana5353

    @zayanazayana5353

    10 ай бұрын

    Ni Wanaume Wajinga Wanasababisha hayo Mwanamke Anakubali Kusilimu Anakufata kwnye Dini yko Anakuzalia Watoto Jicho lke linakuangalia ww vp Aishi Matokeo yke Mwanamme wnyw Bilisi hana hata kimoja anachokift kwny Dini yke wl hana Mapenzi Wengi Wanard kwny Dini zao na Watoto wao kw sbb ya Ufisadi Wanaukuta

  • @happymarwa4517

    @happymarwa4517

    10 ай бұрын

    Utashangaa wewe unaingia motoni yeye peponi

  • @wardamohamood

    @wardamohamood

    10 ай бұрын

    Mungu mtu

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    10 ай бұрын

    Mbona sioni ziwa hapo wala mguu wala uchi mbona kavaa kieshima sana mwenzio anafanya kazi watoto wapate kula

  • @florencemeza6540
    @florencemeza654010 ай бұрын

    Wasukuma wazuri jamani

  • @user-uo6bo3ph6g

    @user-uo6bo3ph6g

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂hujawaona wengne ww,mdomo koma😝

  • @florencemeza6540

    @florencemeza6540

    10 ай бұрын

    @@user-uo6bo3ph6g huwajui wasukuma

  • @suzanlucas9493

    @suzanlucas9493

    10 ай бұрын

    Tuko wazur mno

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro558810 ай бұрын

    Dr mwaka kaachia chombo kizuri alikua mshauri wa ndoa yule

  • @user-us8gy5pz6w
    @user-us8gy5pz6w10 ай бұрын

    Jamani mdada mzuri Mashallah alikuwa akivaa hijabu mwenyewe alipokuwa na Dr sasa kavua Mungu ajaalie wasuluhishe waendelee kuwa pamoja rudianeni jamani

  • @kazkaz1943

    @kazkaz1943

    10 ай бұрын

    Hata alipokua na dr mwaka alikua havai hijabu muda wote alikua anavaa akienda kwenye interviews ila muda mwingi alikua anavaa kichwa waz n jeans michaniko

  • @scholamodestus9386

    @scholamodestus9386

    10 ай бұрын

    Ulikuwa humfatilii wewe wakati anaishi SA... Alikuwa anavaa vinjunga kinyamwez nouma

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    10 ай бұрын

    Warudiane ili iweje

  • @happinesshezron6633

    @happinesshezron6633

    10 ай бұрын

    Mwache aishi maisha yake ya furaha.

  • @anisanassoro5246

    @anisanassoro5246

    10 ай бұрын

    Anatafuta mabwanaaa huyo Hana lolote kaishiwa na umri huo Hana aibu!!!!

  • @ahmedbashash3672
    @ahmedbashash36729 ай бұрын

    Umalaya tu ndio uzeeni

  • @Kakwasi

    @Kakwasi

    9 ай бұрын

    Ni mzuri ni mrembo. Tena huyu sio muislamu tena

  • @shaaden-
    @shaaden-10 ай бұрын

    Ila dada usirudi kuva vile vinguo vifupi miguu yako hairuhusu😢

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    10 ай бұрын

    Mbona anapendeza sana

  • @khadijajuma6271

    @khadijajuma6271

    10 ай бұрын

    Anapendeza mnoo acha makasiriko t

  • @winnerlucas5924

    @winnerlucas5924

    10 ай бұрын

    Miguu yake haipendezi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 weeeeeeeeee

  • @shaaden-

    @shaaden-

    10 ай бұрын

    @@khadijajuma6271 acheni kumdanganya

  • @Kakwasi

    @Kakwasi

    9 ай бұрын

    Miguu kapewa na Mungu. Unataka aombe ingine wapi. Ukona miguu ya kumpa

  • @anisanassoro5246
    @anisanassoro524610 ай бұрын

    Hana lolote....

  • @abdulrahmanhussein8719

    @abdulrahmanhussein8719

    10 ай бұрын

    Wewe unalo?

  • @wardamohamood

    @wardamohamood

    10 ай бұрын

    Kama wew tu

  • @winnerlucas5924

    @winnerlucas5924

    10 ай бұрын

    Nyoooooo

  • @anisanassoro5246
    @anisanassoro524610 ай бұрын

    Namuonea huruma sna maskini Sasa amekua anajinadi mwili wake mpka no ya simu anatoa hakika amepotea mungu amuongoze alikua amestirika kwa mwkaa umri wake umeenda anajinadi huyo Hana lolote hata kama mzuri sio sawa anachokifanya ni uchafu mtupu!!!!anatafuta wanaume wenye pesa Hana lolote huyo....

  • @queenmollel6739

    @queenmollel6739

    10 ай бұрын

    Wewe nawe makasiriko tuuu, amesitirika wakati alikuwa ananyanyasika wewe kama umezoea mateso sio wote wanataka ,

  • @queenmollel6739

    @queenmollel6739

    10 ай бұрын

    Unamuonea huruma wewe kama nani, unadhani anatangaza biashara za sh mbili, za mamilioni acha ujinga maisha ni mtandao funguka

  • @glory.patrickkitigwa4564

    @glory.patrickkitigwa4564

    10 ай бұрын

    Vipi huwa mnadanga nae mbona unamzungumzia as if unamjua sana😅

  • @glotysadiki3425

    @glotysadiki3425

    10 ай бұрын

    Acha makasiliko ww ndouna lolote

  • @wardamohamood

    @wardamohamood

    10 ай бұрын

    Nenda wew basi uko kwa mwaka mbona mnapenda kuingilia maisha ya watu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza654010 ай бұрын

    Mwaka alikuzeesha nahisi umeondoka na nyota yako maana siku hizi hasikiki

  • @antybabybintrashid2333

    @antybabybintrashid2333

    10 ай бұрын

    Ata post Sion skuhizi😂

  • @florangido202

    @florangido202

    10 ай бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    10 ай бұрын

    Hataki tu malumbano baba wa watu kaamua kukaa kimya huo ndo uungwana...hongera Dr. Mwaka kwa kukaa kimya...

  • @HappyMakoga

    @HappyMakoga

    10 ай бұрын

    Queen bado kijana hana utuuzima jamani bado sana nyie mnajua mtu mzima nyie

Келесі