'Kamanda wa TAKUKURU mchukue huyu' - Waziri Mkuu Majaliwa

#EATV

Пікірлер: 74

  • @kassimukipingu5343
    @kassimukipingu53433 жыл бұрын

    Kazi iendelee gonga like twende sawa na waziri mkuu

  • @jameschali6023
    @jameschali60233 жыл бұрын

    Jamani naomba tumuite huyu mheshimiwa Jpm au mnasemaje wadau

  • @esterjema2932

    @esterjema2932

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisaa

  • @nyamangaking6608
    @nyamangaking66083 жыл бұрын

    Asante brother mheshimiwa kazi unaifanya, unatutia sana moyo,mzee wetu,hongera kwa kazi yako

  • @angelsylvester4795
    @angelsylvester47953 жыл бұрын

    Maombi yetu watanzania wazalendo tuelekeze kwa waziri mkuu wetu huyu ndio mungu katuachia faraja baada ya jpm kusimamia pesa za serikali nakuyaumbua majizi kumbe ndio maana leo yanamiliki majumba miladi mbalimbali na mitoto yao kusoma ulaya sababu ya pesa za walipa kodi wanyonge Mungu akutunze baba majaliwa tunakutegemea sana🙏🙏🙏

  • @rahabuahimas7410
    @rahabuahimas7410 Жыл бұрын

    Isantakwa Kaz nzuri MUNGU akulinde 👏 Sana.🤝

  • @reubenbegashe2372
    @reubenbegashe23724 жыл бұрын

    Waziri Mkuu Ongera Sana, Hao watu wapo wengi Sana huku wilayani wamejaa. Wanajifanya wataalamu kumbe ni majambazi wakubwa, wanapenda kutukuzwa kama miungu. Kazi yao nikunyanyasa mafundi Tu. Lakini nimarafiki wakubwa wa masaplaya wakati mwingine wanaenda madukani wenyewe kununua vifaa wanaacha kamati ilioteuliwa

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Жыл бұрын

    Hongera sana Mhe Waziri Mkuu unatupa faraja sana

  • @issazakaria863
    @issazakaria8633 жыл бұрын

    Nimeipenda hii kauli "KAMANDA WA PCCB CHUKUA HUYU" safi sana Waziri Mkuu wetu

  • @issaidrisamusa8437
    @issaidrisamusa84373 жыл бұрын

    Habari njema Sana , ndio usimamizi WA Mali ya Umma huu

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Жыл бұрын

    kwakweli mweshimiwa waziri mkuu unaturejeshea matumaini makubwa na kupata faraja kubwa.mana tunajua tunae mtetezi.asante mungu

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim76453 жыл бұрын

    U r a man. Ndicho chuma hicho watanzania mhula ujao musidanganywe. Magufuli aliwaachia. Mwacheni mama amalize mda wake kwa salama.

  • @florakaaya4559
    @florakaaya45593 жыл бұрын

    Tunakuombea Majaliwa wetu komesha wadonozi. 🙏

  • @shabanismaily5777
    @shabanismaily57774 жыл бұрын

    Kamanda PCCB mchukue huyo!!! Heshima kwako Pm.

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana33533 жыл бұрын

    Salamu za Uzalendo zifike kwa Waziri Mkuu nawasimamia Mali za UMA woteeee kazi inaendelea🇹🇿

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious4 жыл бұрын

    Safiiiii sanaaaa mkuuu nimependa hiyooo linapandisha kigugumizi kwa kodi ya Wananchi mpaka atoe hizo pesa Ndiyo tumwache

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    3 жыл бұрын

    Chapa kazi tu MHE magufuli wewe tumbua tu baba wewe ndiyo magufuli watu walikuwa wanaanza kupiga kelele sana kuwa kazi zimeanza kulala tumbua tu

  • @professamuddy5407
    @professamuddy54073 жыл бұрын

    Wezi hao weka ndani. Mwizi ndio mtu wa kwanza kurudisha maendeleo nyumaa. Safi sana majaliwa! Tuko pamoja.

  • @charleskizo6698
    @charleskizo66983 жыл бұрын

    Pongezi nyingi sana kwa Waziri Mkuu. Unafaa kuwa rais 2025

  • @ramadhanmafuruka351
    @ramadhanmafuruka3513 жыл бұрын

    Daaaah hadi raha nimeipenda hiyo wanaanza upigaji huo wanaitumia kauli ya kwamba acha kazi iendelee

  • @benatusrupili9521
    @benatusrupili95213 жыл бұрын

    Rais ni wewee 25

  • @issaidrisamusa8437

    @issaidrisamusa8437

    3 жыл бұрын

    Duuh , kwayo awamu ya sita ni half time au

  • @evflorasoledad1437

    @evflorasoledad1437

    3 жыл бұрын

    @@issaidrisamusa8437 huyo mama anamalizia awamu ya tano aondoke kabisa.

  • @benjaminilunga8826
    @benjaminilunga88263 жыл бұрын

    Baba wazi mkuu kamajaluwa tunakutegemea na raisi wetu mpendwa mama yetu Samia H S

  • @fabianmagwaza4760
    @fabianmagwaza47603 жыл бұрын

    Hofu ya Mungu anayo anayekumbk kifo. Watz weng tunalia ajra mshahar wa lak3 kwa mwez hatupat. MTU anachukua ela ambayo ata penshen yko haitafikia. Hakika Mungu ataadhb utakfr hamtakufa. Watu wanalala njaa mnajlipa ivo?? Hakika watu wabnafs

  • @hoseaseif6602
    @hoseaseif6602 Жыл бұрын

    Saffi sana baba majaliwa kwakazi nzuri sana ninaimanikubwa nawewe katika nchi hii

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja17623 жыл бұрын

    Umeniunganisha na anko magi,💯

  • @radhiambwana3353

    @radhiambwana3353

    3 жыл бұрын

    Hahahaha kdg tunapata Amani Salam kwa waziri Mkuu🇹🇿

  • @davidivedasto1844
    @davidivedasto18443 жыл бұрын

    Big up PM pamoja sana tumbua majibu kazi iendelee...👍👍👍👍

  • @phillipolaizer20
    @phillipolaizer203 жыл бұрын

    We are proud of u our primminister ata uyu mama atumuelewi kwakwwli

  • @GHOST-gc8ju
    @GHOST-gc8ju4 жыл бұрын

    Kuna mambo yanatia kinyaa sana sijui kwanini watanzania tunakuwa na roho mbaya kiasi hiki

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 Жыл бұрын

    the guy is innocent, alikuwa anaelezea kila kitu as leader you have to listen, you are very smart but listening is good idea

  • @vitalresspeter7295
    @vitalresspeter72953 жыл бұрын

    wanamwita Mh....... kasimu majaliwa mtoto wa kusini mkoa wa Lindi kusini usio mjua utamchulia poa wana kusini wanakihita chuma cha reli hata mimi binafsi naungana na wana kusini ukisema Jembe uja koseah baba Yetu kasimu piga kazi simamia aki za watanzania baba Axante

  • @japhetkatunziofficiallydon9587
    @japhetkatunziofficiallydon95873 жыл бұрын

    Safi sana majaliwa uondo uzalendo Piga kazi

  • @rubenijhonisamelo5796
    @rubenijhonisamelo57963 жыл бұрын

    Tunataka uwe rais

  • @annangaiza8701
    @annangaiza8701 Жыл бұрын

    Asante Sana mheshimiwa

  • @nemeskimbe376
    @nemeskimbe376 Жыл бұрын

    Hivi mkuu wa mkoa wilaya Taukuru hawaoni mpaka aje waxiri mkuu awamrishe kuwakamata hao jamaa nchi ya hovyo kweli hii

  • @partonmosha8433
    @partonmosha84333 жыл бұрын

    Mm ni Mpinzani Damu, ila nakuelewa sana PM, nikuombe tu usiwe sehemu ya ccm asilia, Bora kujiuzulu kama wataendeleza mfumo mbaya ktk kulinda Kodi za watz, ILI TUKUCHAGUE BAADAE.

  • @josiahlugwisha6273
    @josiahlugwisha62733 жыл бұрын

    Hongera sana mweshimiwa kwa kazi nzuli.

  • @alfoncewiliam6680
    @alfoncewiliam66803 жыл бұрын

    Safi sana baba

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu8662 жыл бұрын

    Waziri Mkuu Safi Sana wewe Ni Muwajibikaji hasa

  • @kissakamwanga8365
    @kissakamwanga83653 жыл бұрын

    Mimisiuzagi vitasa msijekwangu🙄🙄🙄

  • @ramadhanmafuruka351

    @ramadhanmafuruka351

    3 жыл бұрын

    Daaaah pole mkuu wamekuponza

  • @mohamedally24
    @mohamedally24 Жыл бұрын

    God bless you for your work

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Жыл бұрын

    Wewe ni zaidi magufuri umenifanya nicheke kama bwege waziri mkuu.we kweli mkuu no mistake

  • @janekichonge4957
    @janekichonge49573 жыл бұрын

    Tuna imani na wewe majaliwa pigania wanyonge fatal nyayo

  • @patrickmlowe9748
    @patrickmlowe97483 жыл бұрын

    Huyu ndie mzalendo wetu alie baki jamani

  • @CitybeiGroup
    @CitybeiGroup4 жыл бұрын

    Mmmh, Kumbe bora Hata Magufuli

  • @matitutvonline4184
    @matitutvonline41843 жыл бұрын

    Hata serikali ijayo bado utafaa kuwa unafaa kuwa nafasi hiyo

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi40823 жыл бұрын

    AHSANTE Mh.Majaliwa. " "Kazi iendelee ".

  • @hellenhartley4316
    @hellenhartley43163 жыл бұрын

    Umebaki pekeyako usichoke 2025 inahusu

  • @mambohaji5379

    @mambohaji5379

    3 жыл бұрын

    Kamua wote janjajanja mkuu

  • @muhamadikakatu5706
    @muhamadikakatu57063 жыл бұрын

    Jembeee baba majaliwaweee fanyakazi

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 Жыл бұрын

    kamanda PCCB,mchukue huyu,simple tu😂

  • @ramlazuber6038
    @ramlazuber60383 жыл бұрын

    Kwa mwendo huuuuu wataelewaaa TUUU.

  • @mariamlucas6922
    @mariamlucas6922 Жыл бұрын

    Piga kazi baba utuokoe

  • @wolfuganasenga8062
    @wolfuganasenga80622 жыл бұрын

    Hapo sasa watanzania tunataka nini jamani jembe hilo

  • @seifkassim4579
    @seifkassim45793 жыл бұрын

    Jani naombeni kuulia.kwanini sehem anaekuwa kasim majaliwa barakoa azionekani.sehem anaekuwa mama samia barakoa kama zote hii imekaaje?

  • @florakaaya4559
    @florakaaya45593 жыл бұрын

    Wanyonge hata Ukijenga Choo Unipe manispaa. Lkn Hao wanakula Billion kila wiki.tunakuombea sanaa Baba.ulinzi wa Malaika Wema wakuzunguke

  • @manchalijob9600
    @manchalijob96003 жыл бұрын

    Tumain rangu ripo kwako waziri mkuu

  • @georgemallya4311
    @georgemallya43114 жыл бұрын

    Pambana bosi wangu

  • @ackenkubetta9541
    @ackenkubetta95414 жыл бұрын

    Duh Pm hataki utani

  • @dickngimba4333
    @dickngimba4333 Жыл бұрын

    hapo mh: upo kazin walisema kichaka wakawa wanajarb kuwachezea funga wote mbona wanao iba kuku wanafungwa afu taifishen Mali zao wamejihonga tukisema maisha magumu bado tunaona wezetu wananepa kumbe wanapiga mkuu kaza mwendo mungu atakulinda kiongoz wetu

  • @bagamoyoetv6371
    @bagamoyoetv6371 Жыл бұрын

    KAaim

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 жыл бұрын

    Waziri gani achukuliwe mbona sielewi

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Жыл бұрын

    😄😄😄

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe89303 жыл бұрын

    Naa...naaa...

  • @nangukidasu8040
    @nangukidasu80403 жыл бұрын

    Kumbe jamaa wanapiga pesa Sana.

  • @gidiondaanajuadaudy1164
    @gidiondaanajuadaudy11643 жыл бұрын

    Madiru mick

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti86383 жыл бұрын

    Tumbua

  • @alfoncewiliam6680
    @alfoncewiliam66803 жыл бұрын

    Tufute machozi mkuu

  • @matesojoseph7817
    @matesojoseph78173 жыл бұрын

    Safj

  • @jumakilewa7265
    @jumakilewa72653 жыл бұрын

    Watumishi hawana uzalendo waende jeshini miezi mitatu vinginevyo mchwa hawaishi! !!!!

  • @aliabdalaaliabdala7326

    @aliabdalaaliabdala7326

    3 жыл бұрын

    Baba waooo pigakazi

Келесі