"HUYU NDIYE MKUU WA USALAMA TANZANIA, WALA SIMFICHI" - JPM
"HUYU NDIYE MKUU WA USALAMA TANZANIA, WALA SIMFICHI" - JPM
RAIS Dkt John Magufuli, leo Juni 11, amezindua jengo la makao makuu ya jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Dodoma..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 108
Speech zenye hamasa ya kuskiliza even today zinamake sense..RIP Mkuu wetu
@hassanmfaume4522
25 күн бұрын
Kumchagua mwanajeshi mangerez wapi na wapi..!
Daah 😥 Yani Kama bado siamin ila ndyo mipango ya Mungu 🙏
Aliyemuua Mzee wetu Mungu Atamahughulikia tu damu yake haitokwenda bure
Hongera mdogo wangu Athuman Diwani ulikuwa mtendaji mzuri msimamia haki ulipokuwa OCD Ifakara kabla hujaniacha ukaends Mbeya, Shinyanga, Mbeya tena, Mkurugenzi makosa ya jinai, katibu tawala TAKUKURU na leo juu juu juu zaidi
@daviesoscar1603
Жыл бұрын
Amina
CONGRATULATIONS makufuri💪💪💪
J.P.M rest in peace 😭😭😭😭
@sniper93999
3 жыл бұрын
Inaumaaaa😭😭😭😭😭😭
Hii ni nchi yetu hivyo kila mtu ni mlinzi wa hii nchi yetu.....Mungu simama nasi
Mh. haangalii vyeti bali utendaji kazi, kila la kheri BABA
Mheshimiwa anaakili nyingi xn ambayo c ya shule tu bali ya kuzaliwa pia kwa sababu Mambo mengi anafanya kwa kutumia akili na sio nguvu......mungu akubariki daima
Nimekuelewa mkuu kinachomata ni kuwa kichwani una kitu gani
Tafuta namna ya kumaliza majeraha ya uchaguzi kupunguza mgawanyiko wa Watanzania. Hata ukipita mitaani Tanzani hatuko pamoja na hii ni hatari sana kwa usalama wa Taifa letu.
HOtuba zako ni mwangaza kwtu rip our hero
Namuona Keisha
Much respect to him
Safi sana.
Yes boss
Mbona kama Keisha kwa mbali
Ongera sana Ris wetu wew ni muwazi sana kwakila kitu
Support!!!!
Dady i miss you
Sawa Baba Mungu u pamoja na we
Tunakuunga mkono muheshimiwa ktk majukumu yako muheshimiwa diwani Hassumani
Naipenda sana secta ya usalama wa Taifa. Muheshimiwa kama kuna uwezekano wa kupatiwa hiyo nafasi nami naiomba in shaa Allah.
Apa kazi ipo
Wazii iyoo
Nimependa nataka tuchape kazi kama wachina umetisha ila zawadi peke kwako ni kuongezewa muda tu na sinyingine
Sufuri
Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu akubariki sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana
Tunakupenda muheshimiwa..
Kazi inaendelea
Iko vzri but bashindwa kuelewa kwani ili uweze kusimamia kitengo nyeti ni kazima uwe umepitia jeshi .kwaio ajira yoyete ya usimamizi lazima uwe unepitia jeshi!?kwaio sisi ambao hatuna uwwzo Wa kufika huko na tumesoma anagalau hizo kazi hazituusu tutabaki wasafisha viatu huku chini ,kila MTU anaweza kusimamia kitengo chochote aijalishi wew ni haskari cha muhimu ni uhaminifu tu,au sio wote nchi ni yetu
Uncleee
Ongera.mkuu.wausalama.chpakazi
Mkuu wa mambo yale tuliofanyiwa Znz. .
Nimependa mkuu wa tiss ana heshma kubwa duuu sijawahi kuona
Tundu lissu
@hajjighanji5667
3 жыл бұрын
MFUATA UBELGIJI
Je
@asteriambwei3349
3 жыл бұрын
Ndiyo wasiojulikana
Safi raisi wetu
Nami naomba ukuu usaidizi wa Tis jamani, mkuu unapitia comment, zetu vijana.
@ramadhanmatinya7053
3 жыл бұрын
Haahaahah safari ni ndefu kdg mpaka kufika hapo
Keisha wacha nyege
Nyota hii tutaitafuta wameipoteza majasusi ili wale Bata,eemungu tusaidie
Magufuli anatupenda watanzania anaviongozi wazulisana ilatu ukibolonga hunachako sisi wanyonge tunampenda kwasababu msema kweli laisi tunakupenda sana by SCOLA 0756538430
MH. NAKUOMBA NIPATIE NAFASI YA USALAMA WA TAIFA DAH NAIPENDA SANA NA NALIPENDA SANA TAIFA LANGU TZ
@kuchimillionaire6683
3 жыл бұрын
Unajua utzkachofanyiwa pale utkapotoa siri?
@ramadhanmatinya7053
3 жыл бұрын
@@kuchimillionaire6683 hahhahhahhaaha
@salmaalimusa6809
Жыл бұрын
@@kuchimillionaire6683 😅😅mm nahuu umbea wangu dooooo
N
Uyu anaetafsiri ujinga apo ni nani ??anaharibu maneno yanayo ongea rais. Msitafsiri msochokijua please 🙏🙏
0:13 03:23 0:33
@Amneamne-qi2du
4 жыл бұрын
Safi sana Mhe Rais wetu
@omaryhaji1664
3 жыл бұрын
Nimekusoma boss
Hotuba inashawishi kusikiliza tena na tena
Unaweka jamaa zako ili akulinde tu ndio maana unawaweka kila pahala
Binadamu ni vìumbe wa ajabu sana, huyo Kikwete kapata nini kumuuwa Magufuli?
Nani anatafsiri huu utopolo? Lugha haieleweki
Sioni sababu ya kutobadili mfumo,presidential terms to be 20years instead of 10years now, ni rahisi sana kupata bora RAIS ktk miaka 100 Lkn ni vigumu sana kupata RAIS bora ktk miaka 100.
@elizabethmabula101
4 жыл бұрын
Bora tu awe. Tumechoka kuona sura mpya bila maendeleo
@SampleKiller99
4 жыл бұрын
It's not easy work! The issue of constitutional matters.
@mussamwamoto8231
4 жыл бұрын
ni kama vile kubadilishana terms zisizo na maendeleo,sura mpya na kujaza majina tu,tunaitaji kiongozi bora na sio bora viongozi.constitution can be changed or amended, its possible.
@othmanalsherem7313
4 жыл бұрын
Huyo Binadamu anaweza kufa muda wowote na akaja mtu mwingine asiyefaa akaitumia vibaya katiba, au ulitaka akifa rais huyu katiba irudishwe kama zaman?
@mussamwamoto8231
4 жыл бұрын
PUTIN alikuwa waziri mwenye nguvu na mad wake ulipokwisha walikubadiliana kwa maslahi ya taifa awe rais mwenye madaraka ,na akapata urais na yupo hai,kifo hakiepukiki si kwa mzee wala kijana.
Msitafishe kama kasha kuwa mzee
Raisi mchapa kazi nampenda sana Na ukali wake pia kazi yake
Police aende JW
Mhe Rais dhamira njema uliyo nayo dhidi ya Tanzania, Mungu atakusaidia uikamilishe. Mungu akulinde Mhe Raisi.
Watanzania hakuna zawadi au fadhila tunayoweza kukuliZaidi Ya Kukuongezea Muda Tu Wa Kukaa Madarakani. Mungu atusaidie tulifanikishe hili
Yan apo tyu kashaangalia wa2 wote fasta ni hatareee
Taifa letu tulijenge,twende mbele Tanzania.
Mmhhhhh
👍
Kama hizo ndo sifa za wana usalama kwamba kila mtu anaweza yaan mradi tu ajue mguu pande mguu sawa basi ndo maana uhuni umeongezeka kwenye vyombo vyetu.
Wengine waletwe kwenye kilimo watu wavivu kulima
@bashirsalimin4948
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@johaally669
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@aishajuma7739
3 жыл бұрын
😂😂
Hahaha
JPM nitaendelea kukukubali tu hata ukistaafu. Dhamira yako njema kwa TZ na uadilifu katika utendaji kazi vitakufanya uheshimike zaidi hata ukistaafu utaacha historia ambayo haitakuwa rahisi kuja kuvunjwa na mtu yeyote. Shkamoo Mhe Dr JPM, Raisi wangu, Raisi wa Watanzania na Amirijeshi Mkuu wa majeshi yetu yote TZ.
Huyu jamaa wa usalama mbona hapigi salute
@allymuhammad325
4 жыл бұрын
Kavaa kiraia, hapigi saluti yakuinua mkono, anakakamaa tu
@adelatusiadolph8911
4 жыл бұрын
Hana uniform ya jeshi.
@emmanuelchizenga1572
4 жыл бұрын
Huyo ni kitu ingine kabisa
Unatakiwa utumie akili sana kumwelewa mh magufuli haswa anapo mtambulisha mkuu wa usalama Tz..it means at all GVT instutions or directory it is available to work with TIS without identify hm/her so you should be carefully
@ramadhanmatinya7053
3 жыл бұрын
Hiyo system iko tangu zaman sana ndugu tena yeye kaharibu kdg kumtambulisha yaan ukirudi miaka 10 nyuma ilikuwa ngumu sana kumjua kwa sura mkuu wa usalama
Kumbe huyo ndio diwani,
@geraldgodsontv7982
4 жыл бұрын
Kigogo huwa anamchambua sana😂😂
Pongez nyingi kwko mh rais ww ni jembe....
@margitmargitt5935
3 жыл бұрын
Ati ni jembe😃😃😃
Sifa mmmmh haya jmn
Kuficha ni hapa Tanzania tu,nchi zilizo na democrasia na transparency, viongozi wa usalama wa nchi wote wanatambilka wazi kabisa
@ramadhanmatinya7053
3 жыл бұрын
Kasema hao viongozi wa juu wa usalama huwa hawafichwi jaman khaaa
mbona kikwete akikuwa hasimamishi watu ivo yaan kama imekuwa headmaster na mwanafunz sasa wababa na familia zao
@martinkipenya4592
4 жыл бұрын
Kila mtu na utawala wake
@rashidyshabanishewedy145
4 жыл бұрын
@@martinkipenya4592 Ni kweli kila zama na kitabu chake japo kuna misingi yake ktk hiyo kauli... Watu wa usalama ktk Nchi hii sio wa kuwatajataja mbele ya hadhala za watu. Hata ktk miiko ya kazi zao haziruhusiwi...
@saudatendega8250
4 жыл бұрын
Hahahahaha nimecheka kwa sauti yani ndio hivyo rais tumempata
Ni bora hao unaowatambulisha wao ndio wangekuwa marais lakini c ww. kisa kukariri majina ya bara bara ndio ukafika hapo, tz bn!
Mkuu wa usalama wa taifa nimemuona naanza kupita mbali
@michaelndilima6210
4 жыл бұрын
Basis Wewe kuna kitu moyoni mwako ,
@karimmkejina980
4 жыл бұрын
una majanga nn?