"HUYU NDIYE MKUU WA USALAMA TANZANIA, WALA SIMFICHI" - JPM

"HUYU NDIYE MKUU WA USALAMA TANZANIA, WALA SIMFICHI" - JPM
RAIS Dkt John Magufuli, leo Juni 11, amezindua jengo la makao makuu ya jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Dodoma..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 108

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael81582 жыл бұрын

    Speech zenye hamasa ya kuskiliza even today zinamake sense..RIP Mkuu wetu

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    25 күн бұрын

    Kumchagua mwanajeshi mangerez wapi na wapi..!

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud47413 жыл бұрын

    Daah 😥 Yani Kama bado siamin ila ndyo mipango ya Mungu 🙏

  • @myself4128
    @myself41283 жыл бұрын

    Aliyemuua Mzee wetu Mungu Atamahughulikia tu damu yake haitokwenda bure

  • @lukagulagekidehele5788
    @lukagulagekidehele57883 жыл бұрын

    Hongera mdogo wangu Athuman Diwani ulikuwa mtendaji mzuri msimamia haki ulipokuwa OCD Ifakara kabla hujaniacha ukaends Mbeya, Shinyanga, Mbeya tena, Mkurugenzi makosa ya jinai, katibu tawala TAKUKURU na leo juu juu juu zaidi

  • @daviesoscar1603

    @daviesoscar1603

    Жыл бұрын

    Amina

  • @margitmargitt5935
    @margitmargitt59353 жыл бұрын

    CONGRATULATIONS makufuri💪💪💪

  • @sniper93999
    @sniper939993 жыл бұрын

    J.P.M rest in peace 😭😭😭😭

  • @sniper93999

    @sniper93999

    3 жыл бұрын

    Inaumaaaa😭😭😭😭😭😭

  • @moriscollins4494
    @moriscollins44944 жыл бұрын

    Hii ni nchi yetu hivyo kila mtu ni mlinzi wa hii nchi yetu.....Mungu simama nasi

  • @chanangwatv3011
    @chanangwatv30113 жыл бұрын

    Mh. haangalii vyeti bali utendaji kazi, kila la kheri BABA

  • @beatricmmpantaleo3420
    @beatricmmpantaleo34203 жыл бұрын

    Mheshimiwa anaakili nyingi xn ambayo c ya shule tu bali ya kuzaliwa pia kwa sababu Mambo mengi anafanya kwa kutumia akili na sio nguvu......mungu akubariki daima

  • @gastordominic410
    @gastordominic4104 жыл бұрын

    Nimekuelewa mkuu kinachomata ni kuwa kichwani una kitu gani

  • @felistamaembe4895
    @felistamaembe48953 жыл бұрын

    Tafuta namna ya kumaliza majeraha ya uchaguzi kupunguza mgawanyiko wa Watanzania. Hata ukipita mitaani Tanzani hatuko pamoja na hii ni hatari sana kwa usalama wa Taifa letu.

  • @heridadia9634
    @heridadia96343 жыл бұрын

    HOtuba zako ni mwangaza kwtu rip our hero

  • @safarimallya4536
    @safarimallya45364 жыл бұрын

    Namuona Keisha

  • @piusmsekwa8502
    @piusmsekwa85023 жыл бұрын

    Much respect to him

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima62104 жыл бұрын

    Safi sana.

  • @anthonyasahani5270
    @anthonyasahani52704 жыл бұрын

    Yes boss

  • @hamisikalulumbe6857
    @hamisikalulumbe68574 жыл бұрын

    Mbona kama Keisha kwa mbali

  • @kuchukuchu4856
    @kuchukuchu48564 жыл бұрын

    Ongera sana Ris wetu wew ni muwazi sana kwakila kitu

  • @carteq
    @carteq4 жыл бұрын

    Support!!!!

  • @mwanahamisimanglepa418
    @mwanahamisimanglepa4182 жыл бұрын

    Dady i miss you

  • @jamesasholiyo5012
    @jamesasholiyo50123 жыл бұрын

    Sawa Baba Mungu u pamoja na we

  • @kanukanute1514
    @kanukanute15144 жыл бұрын

    Tunakuunga mkono muheshimiwa ktk majukumu yako muheshimiwa diwani Hassumani

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir93073 жыл бұрын

    Naipenda sana secta ya usalama wa Taifa. Muheshimiwa kama kuna uwezekano wa kupatiwa hiyo nafasi nami naiomba in shaa Allah.

  • @chachamwita6535
    @chachamwita65354 жыл бұрын

    Apa kazi ipo

  • @abuumfaki8445
    @abuumfaki84453 жыл бұрын

    Wazii iyoo

  • @morandraymond8602
    @morandraymond86024 жыл бұрын

    Nimependa nataka tuchape kazi kama wachina umetisha ila zawadi peke kwako ni kuongezewa muda tu na sinyingine

  • @adammlonganile7921
    @adammlonganile79213 жыл бұрын

    Sufuri

  • @georgekimboka6218
    @georgekimboka62184 жыл бұрын

    Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu akubariki sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91413 жыл бұрын

    Tunakupenda muheshimiwa..

  • @makusanyanungnungu1123
    @makusanyanungnungu11233 жыл бұрын

    Kazi inaendelea

  • @obugobaraka141
    @obugobaraka1414 жыл бұрын

    Iko vzri but bashindwa kuelewa kwani ili uweze kusimamia kitengo nyeti ni kazima uwe umepitia jeshi .kwaio ajira yoyete ya usimamizi lazima uwe unepitia jeshi!?kwaio sisi ambao hatuna uwwzo Wa kufika huko na tumesoma anagalau hizo kazi hazituusu tutabaki wasafisha viatu huku chini ,kila MTU anaweza kusimamia kitengo chochote aijalishi wew ni haskari cha muhimu ni uhaminifu tu,au sio wote nchi ni yetu

  • @user-kg3cr9gg1h
    @user-kg3cr9gg1h2 ай бұрын

    Uncleee

  • @rambomachimu4286
    @rambomachimu42863 жыл бұрын

    Ongera.mkuu.wausalama.chpakazi

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud36703 жыл бұрын

    Mkuu wa mambo yale tuliofanyiwa Znz. .

  • @tumamapishi2184
    @tumamapishi21844 жыл бұрын

    Nimependa mkuu wa tiss ana heshma kubwa duuu sijawahi kuona

  • @abdulkadirizuberi6432
    @abdulkadirizuberi64324 жыл бұрын

    Tundu lissu

  • @hajjighanji5667

    @hajjighanji5667

    3 жыл бұрын

    MFUATA UBELGIJI

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei29274 жыл бұрын

    Je

  • @asteriambwei3349

    @asteriambwei3349

    3 жыл бұрын

    Ndiyo wasiojulikana

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru18224 жыл бұрын

    Safi raisi wetu

  • @upendohalisi80
    @upendohalisi804 жыл бұрын

    Nami naomba ukuu usaidizi wa Tis jamani, mkuu unapitia comment, zetu vijana.

  • @ramadhanmatinya7053

    @ramadhanmatinya7053

    3 жыл бұрын

    Haahaahah safari ni ndefu kdg mpaka kufika hapo

  • @wilsonwafulachebokati4933
    @wilsonwafulachebokati49333 жыл бұрын

    Keisha wacha nyege

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Жыл бұрын

    Nyota hii tutaitafuta wameipoteza majasusi ili wale Bata,eemungu tusaidie

  • @scholafelix8739
    @scholafelix87393 жыл бұрын

    Magufuli anatupenda watanzania anaviongozi wazulisana ilatu ukibolonga hunachako sisi wanyonge tunampenda kwasababu msema kweli laisi tunakupenda sana by SCOLA 0756538430

  • @ommimg2467
    @ommimg24673 жыл бұрын

    MH. NAKUOMBA NIPATIE NAFASI YA USALAMA WA TAIFA DAH NAIPENDA SANA NA NALIPENDA SANA TAIFA LANGU TZ

  • @kuchimillionaire6683

    @kuchimillionaire6683

    3 жыл бұрын

    Unajua utzkachofanyiwa pale utkapotoa siri?

  • @ramadhanmatinya7053

    @ramadhanmatinya7053

    3 жыл бұрын

    @@kuchimillionaire6683 hahhahhahhaaha

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    Жыл бұрын

    ​@@kuchimillionaire6683 😅😅mm nahuu umbea wangu dooooo

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu25814 жыл бұрын

    N

  • @faridamikindo4524
    @faridamikindo45243 жыл бұрын

    Uyu anaetafsiri ujinga apo ni nani ??anaharibu maneno yanayo ongea rais. Msitafsiri msochokijua please 🙏🙏

  • @kayealey1097
    @kayealey10974 жыл бұрын

    0:13 03:23 0:33

  • @Amneamne-qi2du

    @Amneamne-qi2du

    4 жыл бұрын

    Safi sana Mhe Rais wetu

  • @omaryhaji1664

    @omaryhaji1664

    3 жыл бұрын

    Nimekusoma boss

  • @daviesoscar1603
    @daviesoscar1603 Жыл бұрын

    Hotuba inashawishi kusikiliza tena na tena

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma45703 жыл бұрын

    Unaweka jamaa zako ili akulinde tu ndio maana unawaweka kila pahala

  • @issabilali3539
    @issabilali3539 Жыл бұрын

    Binadamu ni vìumbe wa ajabu sana, huyo Kikwete kapata nini kumuuwa Magufuli?

  • @jamesmapenzi1319
    @jamesmapenzi13193 жыл бұрын

    Nani anatafsiri huu utopolo? Lugha haieleweki

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto82314 жыл бұрын

    Sioni sababu ya kutobadili mfumo,presidential terms to be 20years instead of 10years now, ni rahisi sana kupata bora RAIS ktk miaka 100 Lkn ni vigumu sana kupata RAIS bora ktk miaka 100.

  • @elizabethmabula101

    @elizabethmabula101

    4 жыл бұрын

    Bora tu awe. Tumechoka kuona sura mpya bila maendeleo

  • @SampleKiller99

    @SampleKiller99

    4 жыл бұрын

    It's not easy work! The issue of constitutional matters.

  • @mussamwamoto8231

    @mussamwamoto8231

    4 жыл бұрын

    ni kama vile kubadilishana terms zisizo na maendeleo,sura mpya na kujaza majina tu,tunaitaji kiongozi bora na sio bora viongozi.constitution can be changed or amended, its possible.

  • @othmanalsherem7313

    @othmanalsherem7313

    4 жыл бұрын

    Huyo Binadamu anaweza kufa muda wowote na akaja mtu mwingine asiyefaa akaitumia vibaya katiba, au ulitaka akifa rais huyu katiba irudishwe kama zaman?

  • @mussamwamoto8231

    @mussamwamoto8231

    4 жыл бұрын

    PUTIN alikuwa waziri mwenye nguvu na mad wake ulipokwisha walikubadiliana kwa maslahi ya taifa awe rais mwenye madaraka ,na akapata urais na yupo hai,kifo hakiepukiki si kwa mzee wala kijana.

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka75333 жыл бұрын

    Msitafishe kama kasha kuwa mzee

  • @Visionmaker70
    @Visionmaker703 жыл бұрын

    Raisi mchapa kazi nampenda sana Na ukali wake pia kazi yake

  • @goalpost6753
    @goalpost67533 жыл бұрын

    Police aende JW

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser76344 жыл бұрын

    Mhe Rais dhamira njema uliyo nayo dhidi ya Tanzania, Mungu atakusaidia uikamilishe. Mungu akulinde Mhe Raisi.

  • @sharifunyengedi6322
    @sharifunyengedi63224 жыл бұрын

    Watanzania hakuna zawadi au fadhila tunayoweza kukuliZaidi Ya Kukuongezea Muda Tu Wa Kukaa Madarakani. Mungu atusaidie tulifanikishe hili

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho32124 жыл бұрын

    Yan apo tyu kashaangalia wa2 wote fasta ni hatareee

  • @jumannemlacha7318
    @jumannemlacha73183 жыл бұрын

    Taifa letu tulijenge,twende mbele Tanzania.

  • @MwalimuPeter
    @MwalimuPeter3 ай бұрын

    Mmhhhhh

  • @adammwita3150
    @adammwita31504 жыл бұрын

    👍

  • @billgussy6099
    @billgussy60993 жыл бұрын

    Kama hizo ndo sifa za wana usalama kwamba kila mtu anaweza yaan mradi tu ajue mguu pande mguu sawa basi ndo maana uhuni umeongezeka kwenye vyombo vyetu.

  • @valeriananziku3561
    @valeriananziku35614 жыл бұрын

    Wengine waletwe kwenye kilimo watu wavivu kulima

  • @bashirsalimin4948

    @bashirsalimin4948

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @johaally669

    @johaally669

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @aishajuma7739

    @aishajuma7739

    3 жыл бұрын

    😂😂

  • @ibrahimrajabu8722
    @ibrahimrajabu87224 жыл бұрын

    Hahaha

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser76343 жыл бұрын

    JPM nitaendelea kukukubali tu hata ukistaafu. Dhamira yako njema kwa TZ na uadilifu katika utendaji kazi vitakufanya uheshimike zaidi hata ukistaafu utaacha historia ambayo haitakuwa rahisi kuja kuvunjwa na mtu yeyote. Shkamoo Mhe Dr JPM, Raisi wangu, Raisi wa Watanzania na Amirijeshi Mkuu wa majeshi yetu yote TZ.

  • @aroonmuchunguzi3442
    @aroonmuchunguzi34424 жыл бұрын

    Huyu jamaa wa usalama mbona hapigi salute

  • @allymuhammad325

    @allymuhammad325

    4 жыл бұрын

    Kavaa kiraia, hapigi saluti yakuinua mkono, anakakamaa tu

  • @adelatusiadolph8911

    @adelatusiadolph8911

    4 жыл бұрын

    Hana uniform ya jeshi.

  • @emmanuelchizenga1572

    @emmanuelchizenga1572

    4 жыл бұрын

    Huyo ni kitu ingine kabisa

  • @babylonyNgwembe
    @babylonyNgwembe4 жыл бұрын

    Unatakiwa utumie akili sana kumwelewa mh magufuli haswa anapo mtambulisha mkuu wa usalama Tz..it means at all GVT instutions or directory it is available to work with TIS without identify hm/her so you should be carefully

  • @ramadhanmatinya7053

    @ramadhanmatinya7053

    3 жыл бұрын

    Hiyo system iko tangu zaman sana ndugu tena yeye kaharibu kdg kumtambulisha yaan ukirudi miaka 10 nyuma ilikuwa ngumu sana kumjua kwa sura mkuu wa usalama

  • @nuruelymollel707
    @nuruelymollel7074 жыл бұрын

    Kumbe huyo ndio diwani,

  • @geraldgodsontv7982

    @geraldgodsontv7982

    4 жыл бұрын

    Kigogo huwa anamchambua sana😂😂

  • @shaibukaskas9594
    @shaibukaskas95944 жыл бұрын

    Pongez nyingi kwko mh rais ww ni jembe....

  • @margitmargitt5935

    @margitmargitt5935

    3 жыл бұрын

    Ati ni jembe😃😃😃

  • @abelsimon9994
    @abelsimon99943 жыл бұрын

    Sifa mmmmh haya jmn

  • @issaali5434
    @issaali54343 жыл бұрын

    Kuficha ni hapa Tanzania tu,nchi zilizo na democrasia na transparency, viongozi wa usalama wa nchi wote wanatambilka wazi kabisa

  • @ramadhanmatinya7053

    @ramadhanmatinya7053

    3 жыл бұрын

    Kasema hao viongozi wa juu wa usalama huwa hawafichwi jaman khaaa

  • @frankassey5971
    @frankassey59714 жыл бұрын

    mbona kikwete akikuwa hasimamishi watu ivo yaan kama imekuwa headmaster na mwanafunz sasa wababa na familia zao

  • @martinkipenya4592

    @martinkipenya4592

    4 жыл бұрын

    Kila mtu na utawala wake

  • @rashidyshabanishewedy145

    @rashidyshabanishewedy145

    4 жыл бұрын

    @@martinkipenya4592 Ni kweli kila zama na kitabu chake japo kuna misingi yake ktk hiyo kauli... Watu wa usalama ktk Nchi hii sio wa kuwatajataja mbele ya hadhala za watu. Hata ktk miiko ya kazi zao haziruhusiwi...

  • @saudatendega8250

    @saudatendega8250

    4 жыл бұрын

    Hahahahaha nimecheka kwa sauti yani ndio hivyo rais tumempata

  • @beberurafiki3534
    @beberurafiki35343 жыл бұрын

    Ni bora hao unaowatambulisha wao ndio wangekuwa marais lakini c ww. kisa kukariri majina ya bara bara ndio ukafika hapo, tz bn!

  • @allexchriss5425
    @allexchriss54254 жыл бұрын

    Mkuu wa usalama wa taifa nimemuona naanza kupita mbali

  • @michaelndilima6210

    @michaelndilima6210

    4 жыл бұрын

    Basis Wewe kuna kitu moyoni mwako ,

  • @karimmkejina980

    @karimmkejina980

    4 жыл бұрын

    una majanga nn?

Келесі