EXCLUSIVE: MSIKITI ALIYOUJENGA MBWANA SAMATTA NA KUKABIDHI KWA WAISLAMU VIKINDU NDIO HUU

Пікірлер: 528

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py4 ай бұрын

    Tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri mola akulipe na akujengee msikiti peponi inshaallah.

  • @user-bn8zj6hs6q

    @user-bn8zj6hs6q

    4 ай бұрын

    MaashaAllah

  • @hassanrashid9436

    @hassanrashid9436

    4 ай бұрын

    aaamin

  • @khamisroro4589

    @khamisroro4589

    4 ай бұрын

    Allah humma Amin yaarrabbi waiyakum 🤲

  • @donvanpierre4369
    @donvanpierre43694 ай бұрын

    mzee hongera sana kwa kuwa ulikuwa na uwezo wa kumwambia ajenge nyumba ya kumuingizia kipato ila ukamuelewa mwanao ... Mungu akusimamie

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana80844 ай бұрын

    Hapo Samatta umeweka record milele mimi ni Mkristo ila nimekubali hii kazi ya kuweka mahali pazuri pa kumuabudia Mwenyezi MUNGU utakumbukwa vizazi na vizazi

  • @PhyinaElias-mu4wf

    @PhyinaElias-mu4wf

    4 ай бұрын

    Kabisa

  • @ShadrackNdunguru-ir4cp

    @ShadrackNdunguru-ir4cp

    4 ай бұрын

    Umeulizwa dini Yako au shobo tu...khaaa

  • @user-zs4qz4wm2n

    @user-zs4qz4wm2n

    4 ай бұрын

    ​@@ShadrackNdunguru-ir4cpacha upuuzi kashoboka nini sasa?

  • @najmasalim-rg6ow

    @najmasalim-rg6ow

    4 ай бұрын

    Sanaa haswa Kwa ss waislam wallahi namuonea wiv Yan swadak yeny kuendelea mpk kiama

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    4 ай бұрын

    ​@@ShadrackNdunguru-ir4cphee mbona mkaliii

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak66704 ай бұрын

    MashaAllah tabarak Allah. Shuqran Samatta mungu akulipe jazza njema kama ulivyo tujengea msikiti na ww cku ya kiama mungu akupe qasiri lako peponi. Umetukongo nyoyoo zetu waislamu. Vijana mashuuri na wenye uweze tuige Kwa Samatta. Proud of you Mbwana Samatta.

  • @abdalahsaid9909

    @abdalahsaid9909

    4 ай бұрын

    Wallah moja ya ndoto yangu kubwa hii IN SHA ALLAH

  • @hassanrashid9436

    @hassanrashid9436

    4 ай бұрын

    MashaAllah Allah amlipe kila lakheri

  • @faustamarussu5546
    @faustamarussu55464 ай бұрын

    Allah akujaaliye afya njema na akuzidishie zaidi ya kile ulichotoa Kwa ajili ya Allah

  • @user-yk8em1bh8g
    @user-yk8em1bh8g4 ай бұрын

    MAASHAAALLAH MUNGU azd kukuongezea ulpotoa na akupe Hatma njema 🤲🤲🤲

  • @hildamakundi281
    @hildamakundi2814 ай бұрын

    Samata Mbwana hongera Sana Kwa kujenga nyumba ya kumwabudu Mwenyezi Mungu. Mungu akubariki Sana.

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds4 ай бұрын

    Asante sana samatta kwa kazi nzuri ya mungu mzee pia tunakushukuru kwa hekma na busara zako maana wanasiasa hawachelewi kudandia gari kwa nyuma

  • @mudasina6968
    @mudasina69684 ай бұрын

    Barak Allah figh Mbwana Allah akulipe heri nyingi hapa duniani na Kesho Akhera uipate Pepo yake ya Firdaus Allahumma Amiin

  • @issarachide1474

    @issarachide1474

    4 ай бұрын

    Masha allah, yaa allah hakuzidishiye

  • @salamasefu5494
    @salamasefu54944 ай бұрын

    Mashaallah ALLAH YABAREEQ. DAMU ZA MWILI ZIMENISISIMUKA KWA FURAHA.ALLH KUKUONGOZA KWENYE KHERI.HONGERA SANA

  • @iswlahiking
    @iswlahiking4 ай бұрын

    Mashaallah Hakika umefanya jambo kubwa na la kuigwa ndg yetu mbwana ally Samata Allah akulipe kheri nyingi na Baraka Allah azidi kukufungulia kila lakheri na akulinde na kila lashari hongera sana

  • @jamaliibrahim6254
    @jamaliibrahim62544 ай бұрын

    Masha Allah, Mola amjaaliye kila la kheri ndugu yetu samatta Mbwana

  • @Saidiamiri-lp8lw
    @Saidiamiri-lp8lw4 ай бұрын

    Mashallah,dah zakah yenye kudumu Allah akupe kila kheri

  • @user-ue5ek3vu6w

    @user-ue5ek3vu6w

    4 ай бұрын

    Swadaqatujaalia ,Yan sadaka yenye kudumu yenye kuendelea sio zaka hii

  • @nicksonthomas5429
    @nicksonthomas54294 ай бұрын

    Huu ni mfano bora sana na ndio maana halisi ya kipato halali, kwa hilo Mungu hawezi kumwacha kamwe

  • @user-df2pq1vy1p
    @user-df2pq1vy1p4 ай бұрын

    Mungu akuzidishie kaka ulipotoa🙏🙏🙏

  • @ibrahimsalim7247
    @ibrahimsalim72474 ай бұрын

    Hongera mbwana samatta mungu akuzidishie umeingia kwny list ya watu maarufu baada ya kiba na mondi kujenga mskiti mashallah

  • @maftahmusa9513

    @maftahmusa9513

    4 ай бұрын

    Kiba na mondi huenda wasinufaike na huo ujenzi wao wa msikiti kufuatana na asili ya kazi yao na vipato vyao ni machukizo mbele ya Allah na pia hawasali kwa sababu kazi zao na sala haviendani huwezi kua mpiga mziki ukawa mtu wa msikitini never kwa hiyo labda waache shughuli ya miziki na watubu kweli. Ila Samata atafaidika kwa juhudi yake

  • @stonetown578
    @stonetown5784 ай бұрын

    Masha'Allah TabarakaAllah, Allah akuzidishie imaan katika kufanya mambo ya kheri

  • @omargargaar5611
    @omargargaar56114 ай бұрын

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah amuhifadhi na family

  • @fathiyaalrawahi6382
    @fathiyaalrawahi63824 ай бұрын

    TabarakAllahu jambo zuri lakheri ameshajiwekea akiba ya usoni Mashaallah msikiti mzuri sans

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da874 ай бұрын

    Ma sha allah Ma sha allah Ma sha allah

  • @alibinali_
    @alibinali_4 ай бұрын

    Masha'Allah Jazakallah Khairan Ramadan Kareem Wa Saum Maqbul 🤲🏽

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo87044 ай бұрын

    Hongera sana kwa Mbwana Samatta Mungu akujalie baraka zaidi

  • @staanstaan8722
    @staanstaan87224 ай бұрын

    Mashaallah Mungu akufanyie wepes katika maisha yako

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi93144 ай бұрын

    MashaAllah mwenyezi mungu amjaalie kilalakher

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j4 ай бұрын

    ALHAMDULILLAH MAA SHAA ALLAH 💞 🙏

  • @user-pt5nq8up8z
    @user-pt5nq8up8z4 ай бұрын

    Mashallah allah akufanyie wepesi ktk kazi zako

  • @suleimankhalid8465
    @suleimankhalid84654 ай бұрын

    Masha Allah ❤ Masha Allah , Allah azidi kukubariki na kukufungulia riziki zaid

  • @ghalibzahir4944
    @ghalibzahir49444 ай бұрын

    MashaAllah Allah akulipe kheir Pia hongera sana bro MashaAllah

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt4 ай бұрын

    Mashallah. Jazakha llah kher. Kila kheri familia ya samata

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti4 ай бұрын

    Mungu akubariki zaidi, umefanya jambo jema sana.

  • @user-nx5be3ju3b
    @user-nx5be3ju3b4 ай бұрын

    Safi sana Mungu akubariki sana Mzee Samata Mungu amekubariki mtoto mwema Mungu ambariki kijana wako uhai mlefu na afya njema azidi kupaa kimaendeleo🙏🤲

  • @kassimmohammed834
    @kassimmohammed8344 ай бұрын

    Mashallah pepo unayo bro Allah na Sisi atupe. Uwezo tujenge mskiti insha'Allah

  • @Mwinyi77
    @Mwinyi774 ай бұрын

    Mashallah! Allah amjaze kheri brother Mbwana

  • @Saidiamiri-lp8lw
    @Saidiamiri-lp8lw4 ай бұрын

    Natamani siku moja na mmi nilitekeleze hili dah namuonea gere maana si kwa miswawabu hiyo uwe na amani basi inshallah.

  • @AmoIslamicTv

    @AmoIslamicTv

    4 ай бұрын

    Allah atakuongoza pia Inshaallahu

  • @saeedabdullahsaeed3182

    @saeedabdullahsaeed3182

    4 ай бұрын

    Mashaalh mungu amjaalie

  • @Saidiamiri-lp8lw

    @Saidiamiri-lp8lw

    4 ай бұрын

    @@AmoIslamicTv amiin

  • @AbuuAslam-

    @AbuuAslam-

    4 ай бұрын

    Kikubwa ni Ihlas tu Mana a'mali bila Ihlas ndo hamna kitu ila kama ni Kwa Ihlas Alhamdulillah Allah Atuongoze

  • @Saidiamiri-lp8lw

    @Saidiamiri-lp8lw

    4 ай бұрын

    @@AbuuAslam- Allah atamlipa kwa nia yake!

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverino4 ай бұрын

    Ubarikiwe sana Mbwana Samatta, Mungu akuzidishie kwa kujenga yumba ya ibada, umejenga kimya kimya bila hata kuita media

  • @aminaamina3972
    @aminaamina39724 ай бұрын

    Mashallah mashallah mashallah na yeye mungu Amujengee nyumba peponi inshallah

  • @AmoIslamicTv
    @AmoIslamicTv4 ай бұрын

    ALLAH azidi kukupa Muongozo ulio Mwema inshaallahu Taala

  • @salumkarama1306
    @salumkarama13064 ай бұрын

    Mbwana Ally Samata popa Mashallah Allah akupe shufaa duniani mpaka Ahera

  • @wemakalama6458
    @wemakalama64584 ай бұрын

    JazakaAllahu khyran .

  • @user-kg6cm3dl4q
    @user-kg6cm3dl4q4 ай бұрын

    Allah akulipe kila kheri na akupe badali kaka yetu mungu akujengee nyumba peponi. Aameeeen

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d4 ай бұрын

    MashaAllah MashaAllah Mwenyeez Mungu amlipe kheri hapa dunian na kesho akhera

  • @swalehmohamed3034
    @swalehmohamed30344 ай бұрын

    Mashaa Allah ..Allah ibaarik..na sisi Allah atujaalie tuje kuekeza kwake kama hivi In sha Allah

  • @abdulshebe5689
    @abdulshebe56894 ай бұрын

    Allahu barik mungu akuzishie duniani na akhera

  • @user-uk2ev1ln3y
    @user-uk2ev1ln3y4 ай бұрын

    Ma sha Allah tabarak rahman alhamdulillah

  • @munamuna4621
    @munamuna46214 ай бұрын

    MASHAA ALLAH ❤❤❤

  • @user-qz7xl1xj7v
    @user-qz7xl1xj7v4 ай бұрын

    Maashallah hakika ni mfano wa kuigwa

  • @a.856
    @a.8564 ай бұрын

    Jazakallah khayran

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek4 ай бұрын

    Alhamdulillahi,Rabbi amjaze heri Duniani/Akhera Mbwana Samatta kwa kuikumbuka KESHO YAKE,M'Mungu awahifadhi wazazi wake wawili kwa kizazi chema,Aamin !

  • @bashiromary6528
    @bashiromary65284 ай бұрын

    Masha Allah. Jazzakha llah kher

  • @salumjuma3152
    @salumjuma31524 ай бұрын

    Mash allah Allah amruzuku zaidi na zaidi na zaidi

  • @maulidkiluluwale2190
    @maulidkiluluwale21904 ай бұрын

    Maa Shaa Allah, kazi nzuri sana. Hiyo ndiyo swadaqa yenye kuendelea. Illa nashauri hilo jina lingebadilishwa. Badala ya kuita jina linalinasibisna na mtu, linge chaguliwa jina jingine tu. Hiyo ingekuwa bora zaidi kwake.

  • @Official83640

    @Official83640

    4 ай бұрын

    Kawaambie na ile misikiti ya Kkoo yenye majina yao wafute kuna Mtoro, Indrisa, Manyema na mingine tele usimpangie mtu aliyegharamia pesa zake nn aandike Samatta ndy jina la ukoo wao afanyeje asiliendeleze

  • @maulidkiluluwale2190

    @maulidkiluluwale2190

    4 ай бұрын

    @@Official83640 Elewa neno "ushauri". Sijampangia mtu.

  • @asiaikhallah1697
    @asiaikhallah16974 ай бұрын

    Ma sha Allah barakAllah

  • @HusseinKarumna
    @HusseinKarumna4 ай бұрын

    Mashaallaah Mungu akubariki ww na familia yako

  • @maulidkiluluwale2190
    @maulidkiluluwale21904 ай бұрын

    Maa Shaa Allah. Hiyo ndiyo swadaqa yenye kuendelea. Allah akulipe kheri nyingi. Illa, nashauri jina lingebadilishwa. Badala ya kuita masjid Samata waite jina jingine tu lisilonasibiana na yeye mjengaji. Hiyo itakuwa kheri zaidi kwake.

  • @khamisroro4589
    @khamisroro45894 ай бұрын

    Mashallah tabarakallah Rahman Jazakallahul kheri 🤲

  • @user-xb9ju9qu8m

    @user-xb9ju9qu8m

    3 ай бұрын

    Bro ❤

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani43764 ай бұрын

    Maa Shaa Allah! Allah Akuzidishie zaid,kaka. Amiin!

  • @mwantumjaff1602
    @mwantumjaff16024 ай бұрын

    Allah ampe mbwana maisha yenye aman Duniani mpaka akhera, sio kila mwenye pesa anawez kukumbuka hili wengne wanadhamin watu wanatembea uchi Kwny majukwaa,,,Allah akulipe kaka angu

  • @yusufyusuf-br5qk
    @yusufyusuf-br5qk4 ай бұрын

    MaAshllh allah amuhifadh na azidi kumfungulia

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah31404 ай бұрын

    Maa Shaa Allah...Allah azidi kukuongoza kaka mbwana

  • @mohamedjuma1960
    @mohamedjuma19604 ай бұрын

    MaashaAllah jazakaAllah khair

  • @rashidimohamedi5188
    @rashidimohamedi51884 ай бұрын

    Allah atupe baraka na azid kutupa Imani kamaa Hii

  • @hamadmasoud6386
    @hamadmasoud63864 ай бұрын

    Mashalla mashallah mashallah kila jambo jema hufanywa na watu wema Allah akuzidishie imani yakumjua mungu zaidi

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar4 ай бұрын

    Mashaallah' Mashaallah' Mashaallah' Jazakallahu Kheir 🤲🤲🤲🤲

  • @benobeno7297
    @benobeno72974 ай бұрын

    Allah akbar mashallah hongera samatta mungu akuzidishe upate zaid na zaid na kumkumbuka allah hii ni aaccount kubwa mbele ya mwezi Mungu

  • @user-cz1pb6zn3h
    @user-cz1pb6zn3h4 ай бұрын

    Masha Allah....Allah Akbar.. Mabrouk ... Mabrouk Kijana wetu.

  • @zainabtumba1186
    @zainabtumba11864 ай бұрын

    🇹🇿/🇺🇲Baaraqa Allah. Shukran za Allah na Zetu Wajaaa zikufikie. FANTASTIC!!! Allah ukufungamanie Zaidiii Mbwana Samata na ukooo pia kwa Sadaka Jariiya ya Mema yako Duniani na Aheraaaa. Jazaak kheri waajazak Allahu wa Karim Alhamdullah Rabiil Alamin. AMEEN🙏👍💖

  • @HarunaKashushu
    @HarunaKashushu4 ай бұрын

    Jazakallah kheir yah almukhtaram samatta

  • @user-nx5be3ju3b
    @user-nx5be3ju3b4 ай бұрын

    Safi sana umenifurahisha sana mzee wangu kwa kusema ukweli iyo tabia ipo sana kwenye misikiti mingi kupiga siasa misikitini inaboa sana nakukubali sana mzee

  • @yaasirjuma3580
    @yaasirjuma35804 ай бұрын

    Jazakallah kher

  • @AbdulhafidhSaleh
    @AbdulhafidhSaleh4 ай бұрын

    Allah amzidishie kila la kheri ktk uhai wake na ampe mwisho mwema na akamlipe pepo akhera kwa rehma zake 😊

  • @maryamtan682
    @maryamtan6824 ай бұрын

    Hkk mwenyezi mungu akubariki kwa moyo wako.

  • @swaumuugata4166
    @swaumuugata41664 ай бұрын

    Manshaalah hongera sana kaka ang utaukuta ujira wako kwa allah 💋

  • @arafajabir3194
    @arafajabir31944 ай бұрын

    Mashaallah Mashaallah Allah Ambariki🎉

  • @user-rw2mm1jk6o
    @user-rw2mm1jk6o4 ай бұрын

    Iyo ni kheri Allah kamtunukia mja wake mashaallah Allah kamuongoza kuwekeza kwaajili ya akhera yake

  • @user-dt9st1ko1f
    @user-dt9st1ko1f4 ай бұрын

    Mashallah ❤ Allah akuzidishie zaidy ,🙏🙏

  • @user-jx2jl8ii2w
    @user-jx2jl8ii2w4 ай бұрын

    Mashaallah msikiti ni mkubwa Allah amfanyie wepec samatta kwenye kazi yake ya miguu

  • @ramadhaninassor
    @ramadhaninassor4 ай бұрын

    Allah amfanyie wepesi ktk katoika kazi zake inshallah,

  • @AbubakarHabibu-hp2ku
    @AbubakarHabibu-hp2ku4 ай бұрын

    Mungu akupe maisha marefu kila laher samat

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay59744 ай бұрын

    Mashallah mashallah mungu aendelee kufungulia azidi kujenga nyumba ya ibada

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un4 ай бұрын

    Am from Zanzibar lkn kwa hilo Allah akubarik na akujaalie riziki nyingi na zaid God bless you samatta

  • @Official83640
    @Official836404 ай бұрын

    Maa'shaallah Maa'shaallah Maa'shaallah Allah amekuwekea fungu lako kesho Akhera ❤❤❤❤

  • @husseinkombo779
    @husseinkombo7794 ай бұрын

    Maashallah Jazakalla khair na Mungu atakulipa zaidi ya hicho inshaallah

  • @TausiKaseko
    @TausiKaseko4 ай бұрын

    ManshAllah, Mwenyezi Mungu akupe pepo Inshallah

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai70064 ай бұрын

    Hongera kwake🎉, mwenyezi Mungu akujalie haja ya moyo wako daima,

  • @RamlahNassoro
    @RamlahNassoro4 ай бұрын

    Maa shaa Allaah Samata Allaah akujaalie killa la kher na akukinge na killa sharri

  • @woah.africa99
    @woah.africa994 ай бұрын

    Mashallah mmungu amzidishe mana hiyo ndio pekee itakusaidia

  • @user-fn7qm5kh6m
    @user-fn7qm5kh6m4 ай бұрын

    Mashallaah samata tunaomba. Utujengee na madrasa ya wtt inshaallah alhamdurirah ❤❤❤ mana vianzi hatuna. Madrasa ya watt

  • @user-ms7lx2jt2r
    @user-ms7lx2jt2r4 ай бұрын

    Mungu amsimamie kaka etu na ampe maisha marefu

  • @zakayoraymond1699
    @zakayoraymond16994 ай бұрын

    Mashaallah mungu ampe maisha malefu na amjaalie mwisho mwema Inshaallah ❤

  • @shafikakrabi8490
    @shafikakrabi84904 ай бұрын

    Mashaalah tabaraka llah mungu awafunguliye kila la kheri na baraka na rizki nyingi. Kila mwenye kuusalia msikiti huu bwana Ali samata na baba yake wataandikiwa thawabu zao amin. Tunawaonbea vijana wetu wapate Moyo mkubwa kama mabwana Ali samata amin.

  • @samiaahmad6182
    @samiaahmad61824 ай бұрын

    Ma Shaa Allah husbinn Allah waneemal wakeel....Allah Akbar

  • @SalhaHayuma
    @SalhaHayuma4 ай бұрын

    Mashallah, Allah akulipe.

  • @AminaRashid-wl8fe
    @AminaRashid-wl8fe4 ай бұрын

    Allah akufanyie wepesi azidishe kipatochako mungu akupe maisha marefu samata 🕌🕌🙏🙏

  • @kijonalusay
    @kijonalusay4 ай бұрын

    Ma Shaa Allah

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk4 ай бұрын

    Ma Shaa Allah mungu atakulipa striker wa mpira

  • @user-vs6dc8yp9f
    @user-vs6dc8yp9f4 ай бұрын

    Mungu akujarie 🙏🙏 katika kazi yako ya soka

  • @iktharsalum7440
    @iktharsalum74404 ай бұрын

    Hongera sana Allah atujalie nasisi atupe uwezo tufanye zaid ya hili tuifikishe mbali zaid dini yetu❤

  • @abdullahabdul9246
    @abdullahabdul92464 ай бұрын

    Alhamdulilah mwenyezi mungu amjalie

  • @hassanally5014
    @hassanally50144 ай бұрын

    Allah amzidishie kheli nyingi na mafanikio kwenye maisha yake

  • @nth3512
    @nth35124 ай бұрын

    MASHA ALLAH, km mlikula mbuzi pasina ya kuita media kwakweli ni kweli mlidhamilia kujenga msikiti na sio umaarufu

Келесі