"Wee Ni MCHUNGAJI FEKI" MWAMBIGIJA AMWAGA MAOVU YA MCHUNGAJI MSIGWA CHADEMA // CCM WAMEKUPA HELA
Жүктеу.....
Пікірлер: 25
@rucaserasto81543 күн бұрын
we ni mtu wa mana sana hongela baba
@davidchiduo2194 күн бұрын
Safi Mungu Ni Mwema Wakati Wote
@rebekakulwa61594 күн бұрын
Fisiyemu mnanunua watu wa chadema hamtaweza chadema ni baba lao
@ELIASMWAKIBETEСағат бұрын
Joni nakuelewaga sana kamanda
@usembiphonedar56323 күн бұрын
Asante mzee wa Upako Mwambigija kwa maelezo yako mazuri kuhusu huyo mchungaji Feki aliyeolewa huko ccm! Kwa vile mnajua mbinu kubwa ya ccm kwa sasa kuharibu na kuungua nguvu ya upinzani ni kuwanunua viongozi wa chadema! Msikubali kununuliwa na ccm! Hata wewe mzee wetu tunaekuamini sana usije kukengeuka kufanya usaliti kama hao wengine wnao olewa kwenda ccm! Asante tuendelee kusonga mbele na harakati za kuikomboa Nchi yetu Tanganyika kutoka mikono ya hawa manyang'au mafisadi ya ccm! Uchaguzi huu2024/2025 tuikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi.
@emmanuelymganga57372 күн бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@emmanuelymganga57372 күн бұрын
😂😂😂😂 bigger up CHADEMA big brain
@EmmanuelKuzenza3 күн бұрын
Tundulissu aliona atoboe siri kabla maasi hayajatokea.
@isayamwashibanda58193 күн бұрын
😂😂😂😂 kweli mchungaji mpigadili
@nakalikyumile32342 күн бұрын
Atazunguka nchi nzima ipi?aje mbeya aone
@YassinAbdiMassawe3 күн бұрын
Tafuta kauli Ile yamsukuma. Mwaka mmoja uliopita. Anajuwa kilichokuwa kinaendelea
@GeraldNyasembe-q2d2 күн бұрын
Kwa maelezo ya mpuuuumbavuuuu msgwa hana hoja hata maneno yake ni yakuunga unga2 Yani AYANA njia makamanda tukaze safari bado ni ndefu siyo kwamba mafara kama msigwa wameisha wapo Cha maana nikuamini misingi na farisafa ya chama makamanda piiiiiiiiiii pooooooooosssss
@AmosChoroga4 күн бұрын
Yes
@EzekielChalomhola4 күн бұрын
Mwambigija umenifurahisha sana
@desiderihugo57043 күн бұрын
Huyo afike salama huko alikokwenda . Msaliti mkubwa. Azunguke dunia nzima.
@Eliaskasanya-hm5yk4 күн бұрын
Mbona wana CCM wakihamia kwenu hakuna anayelalamika? Ktk siasa hakuna uadui wa kudumu wala urafiki wa kudumu
@user-gx9jr5le2f4 күн бұрын
Mnaumia sana
@hamissnjumba3024 күн бұрын
HAYO MAOVU NI BAADA YA KUONDOKA TU, ETI KUWENI FREE
@knight6757
4 күн бұрын
Na huyo alieondoka je....si pia atoa maovu baada ya kitumikia chama miaka 20...au? 🐍
@erestizacharia4758
4 күн бұрын
Acha uboya wewe.
@barakakevela2454 күн бұрын
MBONA UNAMSEMA SANA ROHO INAKUUMA HATA WEWE TOKA HUKO HIYO NI SACCOS YA MBOWE CHAMA GANI MIAKA 20 MWENYEKITI MMOJA CHAMA CHA FAMILIA
@adeltuszakumuha9618
4 күн бұрын
Hata miaka 30 haikuhusu. Uchawa wako peleka huko.
@melinamkenge8790
4 күн бұрын
Kinakuuma ninikuwa miaka 20 uchaguzi unafanyika wanamchagua tena shida yako nini
@usembiphonedar5632
3 күн бұрын
Mbowe Hata akikaa miaka 50 kwenye uenyekiti wa chama ni sawa kwa sababu uchaguzi ukifika wanachama wanamchagua wenyewe, wewe unawashwawashwa nini! Hovyoooo kabisa huna hoja ya maana kwa hilo! Ulitaka wamchague nani sasa wewe au mmko!
@willsonFarasa
3 күн бұрын
Wembona huion ccm miaka sitin mbona hujawashauli waachie wengine mkundu wewe
Пікірлер: 25
we ni mtu wa mana sana hongela baba
Safi Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Fisiyemu mnanunua watu wa chadema hamtaweza chadema ni baba lao
Joni nakuelewaga sana kamanda
Asante mzee wa Upako Mwambigija kwa maelezo yako mazuri kuhusu huyo mchungaji Feki aliyeolewa huko ccm! Kwa vile mnajua mbinu kubwa ya ccm kwa sasa kuharibu na kuungua nguvu ya upinzani ni kuwanunua viongozi wa chadema! Msikubali kununuliwa na ccm! Hata wewe mzee wetu tunaekuamini sana usije kukengeuka kufanya usaliti kama hao wengine wnao olewa kwenda ccm! Asante tuendelee kusonga mbele na harakati za kuikomboa Nchi yetu Tanganyika kutoka mikono ya hawa manyang'au mafisadi ya ccm! Uchaguzi huu2024/2025 tuikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
😂😂😂😂 bigger up CHADEMA big brain
Tundulissu aliona atoboe siri kabla maasi hayajatokea.
😂😂😂😂 kweli mchungaji mpigadili
Atazunguka nchi nzima ipi?aje mbeya aone
Tafuta kauli Ile yamsukuma. Mwaka mmoja uliopita. Anajuwa kilichokuwa kinaendelea
Kwa maelezo ya mpuuuumbavuuuu msgwa hana hoja hata maneno yake ni yakuunga unga2 Yani AYANA njia makamanda tukaze safari bado ni ndefu siyo kwamba mafara kama msigwa wameisha wapo Cha maana nikuamini misingi na farisafa ya chama makamanda piiiiiiiiiii pooooooooosssss
Yes
Mwambigija umenifurahisha sana
Huyo afike salama huko alikokwenda . Msaliti mkubwa. Azunguke dunia nzima.
Mbona wana CCM wakihamia kwenu hakuna anayelalamika? Ktk siasa hakuna uadui wa kudumu wala urafiki wa kudumu
Mnaumia sana
HAYO MAOVU NI BAADA YA KUONDOKA TU, ETI KUWENI FREE
@knight6757
4 күн бұрын
Na huyo alieondoka je....si pia atoa maovu baada ya kitumikia chama miaka 20...au? 🐍
@erestizacharia4758
4 күн бұрын
Acha uboya wewe.
MBONA UNAMSEMA SANA ROHO INAKUUMA HATA WEWE TOKA HUKO HIYO NI SACCOS YA MBOWE CHAMA GANI MIAKA 20 MWENYEKITI MMOJA CHAMA CHA FAMILIA
@adeltuszakumuha9618
4 күн бұрын
Hata miaka 30 haikuhusu. Uchawa wako peleka huko.
@melinamkenge8790
4 күн бұрын
Kinakuuma ninikuwa miaka 20 uchaguzi unafanyika wanamchagua tena shida yako nini
@usembiphonedar5632
3 күн бұрын
Mbowe Hata akikaa miaka 50 kwenye uenyekiti wa chama ni sawa kwa sababu uchaguzi ukifika wanachama wanamchagua wenyewe, wewe unawashwawashwa nini! Hovyoooo kabisa huna hoja ya maana kwa hilo! Ulitaka wamchague nani sasa wewe au mmko!
@willsonFarasa
3 күн бұрын
Wembona huion ccm miaka sitin mbona hujawashauli waachie wengine mkundu wewe