WAZEE WA MINYAMA WATINGA DP WORLD KUFUKUNYUA TUSIYOYAJUA, WAWAWEKA KIKAANGONI WAFANYAKAZI WAKE
Ойын-сауық
WAZEE WA MINYAMA WATINGA DP WORLD KUFUKUNYUA TUSIYOYAJUA, WAWAWEKA KIKAANGONI WAFANYAKAZI WAKE
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 50
Mnajitahd sana kupotosha. Watu/wanannchi hawaoji utendaji wa DP-world au sio kwamba hawataki uwekezaji. Tatzo ni vipengere vilivyopo kwenye mkataba
Mimi naogopa sana,siamini Ninachokiona, kumbukeni Kuna watoto wenu na ndugu zenu
Dah! Kutoka kuchekesha kwenye bar za manzese hadi kufafanua mambo nyeti kabisa ya kimikataba ya nchi......mh basi sawa
@ilakozasembumende1975
Жыл бұрын
😭😭😭😭 ni huzuni mno mno😭😭😭😭😭
Wala rushwa
Taarabu haijawahi kuleta ujumbe zaidi ya burudani na majungu, endeleeni kula upepo yote ni batili
@alliymohamedalliy6524
Жыл бұрын
😂😂😂
MKATABA HATUUTAKI NA NYIEHAPO SEMENI MEEENGI ILA MKATABA HATUUTAKI
Mmekaa kimipasho zaidi na sio professional wise.
Asante sana Wasafi kwa kutuelimisha kuhusu DP world tunataka ubora wa kazi kwenye Port yetu Tanzania...👍👍👍
@bakarimussa6402
Жыл бұрын
💗💗💗💗
Yan mtapanda ndege nyingi sana yan mnaulizwa ckio mnaonyesha meno tatizo ni mkataba waovyo
Justification za kijinga kabisa kama wapo Nchi nyingi ndio tuingie nao mkataba mbovu? Hao walio kwenye madini wapo nchi chache? selfish minds zinapewa mic inakera sana.
Mmeenda kishabiki make mmeshazoea kila Kitu ni ushabiki,hii ni issue serious mnaleta utani utani
@AlexKing-yg2cc
Жыл бұрын
Halafu wanahoji watu walio na masirahi na DP world. Wanatarajia waiseme vibaya kampuni wanayofanyia kazi?
@sadanishabani3321
Жыл бұрын
@@AlexKing-yg2cc hawa wajinga sana ,kwanza sijui kama hata mkataba wameuelewa hawa ,make ndo kelele zetu ,..issue sio kwamba dp world ,ina container ngapi au meli ngapi?
Wasafi punguzeni dili kuweni wazalendo sio kuangalia matumbo yenu nakuwaaminisha watu uongo hii inchi niyetu nasisi hututaki mwalabu aje awekeze nchini kwetu
Ndo mana waandishi wanaenda wasaf😂😂
Issue. Vipengele vilivyomo kwenye mkatabaaa humoo hatutakii hatutakiiiiiiii,
😂😂😂😂😂 Ndiyo maana waandishi wanaenda Wasafi. Hivi Wasafi mmeamua kutuletea Comedy kwenye Masuala nyeti? Naomba msituhamishie mjadala
Kama hamna hoja Bora mnyamaze,
Sound back inasikika kuliko nyie
Nyie niwasaliti kwasababu yavijisenti mulivopewa sisi hatukotayali kwalolote wapumbavu nyie
Toeni beat
Wanachi Hamtuelimishi Kurusha Matangazo Tunataka Wabunge Waje Na Mikataba Hio Vijijini Tuijadili Then Wabunge Kama Wa Wakilishi Wa Hoja Zetu Wapeleke Hoja Kwa Mama.
Mabeat mengi sauti ndogo Editor alikuwa kabanwa mavi ?
Toeni hio beat
Nadhani.mjui.waTanzania.wanatakakujuamkatABA.SIO.UFANISI.KULAIYO.RUSHWA.ITAWATOKEAPUANI
Muogopeni. Mungu nyie..Hii issue ni ya kitaifa zaidi acheni upambe.Wala hamshawishi..😏
Nani kati ya hao ni Mataram wa sheria za kimataifa za kibiashara, mbona nguvu nyingi inatumika kuhusu hill swala, who paid for your trip, who paid for your stay, who organized your appointment. Hatuna wasiwasi na uwezo DPW tatizo liko kwenye vifungu via mkataba Tuelewesheni vifungu kwenye mkataba acheni kusifia vitu
Wasaliti wa nchi, siku moja mtalipa haya mnayofanya....dunia duara.
@wisekingtony6370
Жыл бұрын
Akina Yuda, washapewa chao wamesalit nchi, siku moja itabidi waseme nani alikuwa anawatuma na walipewa kiasi gani
Mnataka kufananisha kimiundo mbinu dubai na tz ni tatizo hilo na huo uandishi wa habari mnao peana peana bila hata ya kuwa na professional hiyo ni tatizo kubwa sana mpo kimzaa mzaa tu kwenye mambo serious 😂😂😂😂😂
Waheshimiwa naomba kuuliza... Tutapa faida gani tukiwapa DP world Bandari? Na pili kuna hasara zozote kufanya hivyo.
Chawa ovyooo
Mhamie hukohuko msirudi kampeni ni kubwa lakini mmeferi
Nyie muwe na muda wa kusikiliza hao wenyeji wenu sasa nyie ndio waongeaji kazi ipo kweli kweli
Kitenge Kichwa Kikubwa Hakina Akil
Waandishi wa Habari wa ovyo! Sijui hata walisomea wapi uandishi wa Habari na utangazaji!!
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Sijakuelewa kweni wanatangazaji watanzani wote c sawa?
Microphone sasaa
Swali la Father Charles Kitima mpaka leo Waziri Mbarawa hajalijibu kwamba, kwanini ni sahihi, jina lake, na wadhifa wake ndivyo vinavyoonekana kwenye mkataba? Vipi upande wa pili kuthibitisha ni serekali ya Dubai? Kwanini kauli ya Waziri Mkuu, na waziri Mbarawa zipishane juu ya upatikanaji wa DPworld?
AWA jamaa wabongo ndio wanakuja fanya kazi huku
Hawa hapa chini ndy wazalendo wa kweli wana uchungu na nchi yao. Mmoja alikwenda DP world kzread.info/dash/bejne/mKSGyql-ddHVqNo.html Mwingine mwana CCM kzread.info/dash/bejne/gaN9yttwcqjYnLQ.html
mmetoa boko na nna wa unsubscribe
Akili zenu sio kwamba ninyingi kujua kila kitu wazee sisitupo pamoja nawatumishi wamungu maana ndowalio baki kuwa watetezi wataifa letu nyie ni wajinga tu njaa ndozinawafanya mseme ivo kwani kuna kitugani mnakijua kuusu iyo sekita au mnaongea tu
Hawa Kama wamepelekwa kufanya propaganda hivi!!! Mbona wanatumia nguvu sana kutuaminisha bandari haijauzwa🤣🤣🤣…Wanafikiri watanzania hawajui kutambua UNAFKI nini🤣🤣
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Acha iuzwe atuna faida nayo
@iddywazir9396
Жыл бұрын
babu mpka ww