Mbona Feisal , Bangala, Mayele waliondoka na Young ipo
@mishlay816412 күн бұрын
Mimi nawaambia ninyi mmeshindwa kuchambua kweli leo ,nyee sindiyo mlikuwa mnasema Chama anawasumbua simba ,
@Medicalstevo95th12 күн бұрын
👑 crown media for life
@xfamefatetv
12 күн бұрын
Mchumba mpya ni mbaya kwa X wake. Tulia kwenye ndoa wewe😂
@godfrey392612 күн бұрын
Exactly, hawa wana hasira Yanga haijafanya kitu ingawaje wanakaribia kumpoteza mungu wao, Aziz Ki aliyesajiliwa South Africa. Wamemuokota Chama wakifikiri ndio atakayechukua namba ya Aziz Ki lakini sidhani kama mzee anaweza kuwa na kasi kama ya Aziz. Badala ya kusajili wachezaji, wanasubiri Simba iache..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jamessanga6768
12 күн бұрын
Ngoja league zianze 😅😅
@OnesmoMwacha-wp4bo12 күн бұрын
Mwaka huu mtatapika tochi nyie machawa..mambo ni Crown media.
@raymondlaurent4167
12 күн бұрын
Hatimae wee ndiye mwenye unafanya bangi ionekane aifai 😂😂😂
@user-zd1zc8dr1f
12 күн бұрын
Umefuata nn sasa
@sevelintino618112 күн бұрын
Vichwa maji nyie wahuni mtupu
@magrethmalobola547012 күн бұрын
Huyu Oscar bhana sasa wachezaji hawapo tayari kuitumikia team kama Inonga wa nini sasa
@gotfriedmwesiga423412 күн бұрын
Wahuni tu hawa mnakula hela za bure😂
@Lameckmichael-h2m12 күн бұрын
Waondoke wote kwanza inonga chama walikua wahujum watimu.
@nashirkamugisha942512 күн бұрын
Chama angelibaki angelicheza number ya Nani? Inoga alikuwa anatuchomesha
@mdachijembe961112 күн бұрын
Kwahiyo mnataka tuendelee na maduka ata kama yanatutia hasara
@romanambelle635612 күн бұрын
Waongo roho inawauma mnashabikia wsaliti. Serious kawe nyumbani kwako acha ujinga mnahongwa hongwa ili mshabikie ujinga. Akija Messi utasema Chama ni zaidi yake
@phakundigervas13609 күн бұрын
Wauze tena tufungwe 5!
@wilfredlucas-nf6yo9 күн бұрын
Nyie si mlisema Chama aondoke Simba
@user-wi9og8om4b10 күн бұрын
Nyinyi kachambueni mchele tu ligi si ita anza, niwaone tena mtakavyo jikanyaga kuchambua
@asteriashios185212 күн бұрын
Simba na inonga japo walikuwa wanzuri lakini walishachoka kubaki Simba ukichoka pia hufanyi vinzuri ni vema ukabadilisha wakaone upepo mwingine ndo maana Simba haikuwangangania si vyuma vingine vipo?
@user-xm5xg1tt6d12 күн бұрын
Chama inonga manula waliuza mechi mpaka manula akafungua duka leo mnawatetea wabaki wasaliti tunataka simba mpya safisha wote
@RasoulBadowewe12 күн бұрын
Nyie ndo wanafiki cana mala inonga hawafai
@GODFREYMBOGE12 күн бұрын
Hii mada mmechambua kitoto! Mlitaka Chama na Inonga wafie Simba! Chama aliondoka Simba na Team ikaendelea alirud acha aende
@bestman818212 күн бұрын
Subiri Crown media iwanyooshe mpate kuheshimu professional za watu endeleeni kujaza chawa studioni na kuwaita wachambuz
@joackimumalya713812 күн бұрын
Wezi wale subirini muone shoo ya vijana
@GibsonNtamamilo12 күн бұрын
Simba wako serious ndio maana Chsma na Inonga wameachwa. Huko AFCON DRC walitandikwa.
@jdanny49712 күн бұрын
Yani watangazaji a Tanzania hovyo sana
@nashirkamugisha942512 күн бұрын
Kw3nda nje ya nchi inakuuma! Kwani umeombwa mchango😂
@raymondlaurent416712 күн бұрын
Kitulizeni hapahapa wasafi kila kitu iko
@kasimuhamidu846712 күн бұрын
Wewe Cha Nan babu
@user-wi9bp4uo4j12 күн бұрын
Mtasema yote Hadi mtapike
@chamyluna803012 күн бұрын
Swali Moja tu la kujiuliza aliyemleta chama na inonga ni nani kisha wanashindwaje kuleta zaidi yao
@mwikamwika485112 күн бұрын
Edo ni mnafiki kuliko wachambuzi wote hapa TZ.
@raymondlaurent416712 күн бұрын
Sasa wew mtu ya crown media na unakuja comment wasafi ii ndo unafikiri yaani nyie ni WANAFIKI mnasikiliza wasafi na mnajifanya mnapenda crown 😅😅😅
@omaryngumbe60312 күн бұрын
Wakati wapo walikua wanasema waondoke Now wameondok wanasema wasingeruhusiw kuondoka #waandishi wa habari ni kama wanasiasa
@wilfredlucas-nf6yo
9 күн бұрын
Kabisa 😂😂😂
@wizzy20012 күн бұрын
ndio maana crown tv inapamba.moto yan
@josiacharles277812 күн бұрын
Sasa nyie naisi kumbe mlikua amuangalii mechi za Simba inonga baada ya kutoka afkon hakua tena na mpango wakucheza Simba.
@PerfectGirl-dj7zq12 күн бұрын
Huu uchambuzi sio mnazingua kwasababu walishaondoka watu Kama kina okwi,mafisango nk il Simba bado ikaendelea kufanya vizuri
@user-uw5oh5yy5m12 күн бұрын
Sasa hivi Crowm Media ndio habari za mjini😊
@shabaniiddy494212 күн бұрын
Mnaongea km mmekata vichwa ama kweli rizki ni ngumu mpaka hamjitambui
@user-ds4jq6bw5f12 күн бұрын
Bado sana nimapema
@fadhiliabasi658512 күн бұрын
Madikio yangu hayaburudiki kuwasikia
@hidayajuma79469 күн бұрын
Hawa wachambuzi kaziyenu kuchambua mziki tarabu nasiompila
@romanambelle635612 күн бұрын
Hovyoooooo mmeshalipwa
@kasimuhamidu846712 күн бұрын
Hao wazee
@SNAKETV2012 күн бұрын
Nyie ndo mnatuletea majonzi jamani acheni waende@
@antonymodestus287212 күн бұрын
Mavi mavi tu chukua dole la kati
@GibsonNtamamilo12 күн бұрын
Mchezo ni wachezaji 11 tu ndani wengine wanakaa nje.
@saidrajabu63512 күн бұрын
Vibalaka fc mambo yapo crown
@charleskuyeko440012 күн бұрын
Edo, Chama amechukua nafasi ya nani kule yanga? Oscar uliwauliza Simba kwanini wanatoka nje? Kama hujawauliza huna sababu ya kuwasemea. Mipango ya ndani ya Simba wanaijua wao. Acheni kupiga ramli. Ninachowashangaa Wachambuzi; mnataka kutuaminisha kwamba ninyi mnajua kila kitu na mna akili kuliko Viongozi wa Simba mnayoikosoa sana. Ningewaona wa maana sana kama mngekuwa mnapata opinions za upande mnaoukosoa kabla ya kukosoa. Lakini kila siku mnakurupuka kulaumu kitu msichokijua kwa vile hamhakiki kabla. Otherwise kazi yenu ni nzuri. Hamko biased kama wachambuzi uchwara wengi nikitoa mfano wa Salamba na Kessy. Mpaka wanakera kwa ujinga wao.
@moizjohnston384112 күн бұрын
Hahahaha hakuna wachambuzi hapa hawa wote ni vichwa maji tu
@IbrahimuMussa-xb7lm12 күн бұрын
Acheni ushabiki washenzi nyie
@emilegentil953812 күн бұрын
Crown media for life
@xfamefatetv
12 күн бұрын
Fureshi
@dannydannizo809912 күн бұрын
Tatizo mbachambua mpira kwa mihemko hamna professionalism kabisa ... yaani mnaongea hisia.. Badilikeni...sioni uchambuzi apa
@user-ej8pc7kl8z12 күн бұрын
Hawa Jamaa wababaishaji
@user-vb8ki3jo9t12 күн бұрын
Wachezaji wapo tuuu wewe inonga nani wachezaji wenye malingo hapana
@emmanuelnkinda392410 күн бұрын
waoovyo ninyi
@user-xm5xg1tt6d12 күн бұрын
Mlisema simba ina wachezaji wazee chama mzee inonga mzee na wengine hivyo wanatakiwa vijana sasa wameleta vijana mnakosoa mbona hamna jema nyie
@user-st8hd9iq4o12 күн бұрын
MAHIRA WAKUBWA MBANA WAKINA MAYELE WALIONDOKA ULITAKA WABAKI WAFANYE NN MAYELE NA BANGALA HALAFU CHAMA NA INONGA BORA NI WAKINA NANI ?? MBWA NYIE
@GeorgeSikazwe-mm7nn12 күн бұрын
Wapuuz wachambuz chm alikuwep kaondok achen ujinga ninyi..wanaondok kina benzema madrid...kumbe ni wa mchongo ninyi
@user-hu4el2rx2u12 күн бұрын
Ki Aziz hayupo wataenda wapi
@KiyaanSalim-ih9qo12 күн бұрын
Hakuna watangazi waovyo kama Hawa
@MjMohammed-nt6fq12 күн бұрын
Yaan edo always yupo negative😂😂
@madolinmeshakey986412 күн бұрын
TUMERUHUSU WAENDE WAHUJUMU TIMU
@bestman818212 күн бұрын
Hatuhitaji ku replace mtu, tunahitaji watu wa kuisaidia Simba kufika mbali. Chama Chama Chama kila siku kwani alizaliwa kufia Simba? Kwani kabla ya Chama Simba iliacha kucheza? Simba imekosa kombe misimu mitatu na huyo Chama akiwemo kikosini mbona hakuzuia hilo lisitokee?
@rebecamemu9899
12 күн бұрын
Point bro
@amosmchele251812 күн бұрын
Kaeni hivyo hivyo
@IbraMwakipesile12 күн бұрын
Kaeni kwa kutuliaaa
@sanurymkangala367912 күн бұрын
Nyie kweli ni chawa amna mchambuz apo
@ozuabrahamu807912 күн бұрын
Hebu chambuen ki mpira Zaid sio mapenz flan hv nyie ndo mlikuw mnamponda chama Kwa uwezo wake Kwa sasa na tabia za inonga saiv cjui mnaongea nn
@bedomgwalupogo265212 күн бұрын
Kweli Oscar ni kichaaa wa fikra au unapenda kikii mnoo au unatumika kwenye fikra zakooo... lkn ni mawazo yako huru... SWALI; muhimu kuna nini mpaka wote giant wanachiwaa waondoke
@emilegentil953812 күн бұрын
Mbona camera ni mbovu sana😅
@isackmkobe-qf7tc11 күн бұрын
Nothing
@ebbychipa801012 күн бұрын
Nyie mnanosema crown ndio habar ya mjin sasa uku mmefuata nn co kama shobobzinawaponza
@EdwinAmbakisye-li4zq12 күн бұрын
Mhuni nimhuni tu wanaongea nini hao
@Nasbu-tb6cs12 күн бұрын
Mmedumaa nyie crown oyeeeee
@mashipeter481912 күн бұрын
Tuache na Simba yetu. Wewe si shabiki wa Yanga??. Waache waende. Wakijifunza wasipojifunza ni wao. Mmeanza kuiogopa Simba. 😂😂😂
@user-qo5it1uc9m12 күн бұрын
Hamna kitu hapa wasafi
@user-uj5wg9mm2t
12 күн бұрын
Ovyo kbaaa
@wetemjini881812 күн бұрын
Majichwa mabaya
@Mra_brandvevo12 күн бұрын
Kama hamuna contents muache uchambuzi
@isacksamuel550312 күн бұрын
Ooh, si ndo mlisema inabidi waondoke au
@aptiitv2376
12 күн бұрын
Hao wapuuzi wanatumika tu
@bestman818212 күн бұрын
👑 👑 👑 👑 👑 ❤❤❤😅
@flova702212 күн бұрын
Yangga Hana kikosi cha final. Hivi kuwa na watu wengi ndio kufika final . Mnaijua raja nyie
@frankhoffa8356
12 күн бұрын
Aise wewe kichwa kigumu weh!
@flova7022
12 күн бұрын
@@frankhoffa8356 ongea kimpira usibwabwaje kamma mgambo waa soko.. raja na Ahly utamtoa nani
@user-ch3pb6rc7z12 күн бұрын
Ila bongo bwana
@user-xm5xg1tt6d12 күн бұрын
Nyie wa crown fatilieni crown msg za nn huku
@selemancokker4994
12 күн бұрын
Naamini awajielewi kabisa wa2wache usafini kwe2 bhana
@user-cp2do9pd5k12 күн бұрын
Pumbuvu kweli nyie acheni unafkiiiiiii nyie
@JeffFerdinand12 күн бұрын
Ivi nyie wapumbavu matako ya bibi zenu kama mnaingiaga kipindi mkiwa mnalewa au mnavuta bangi leo mnatwambia simba wangembakisha chama na inonga nyuma mnasema simba iachane na chama acheni usenge mbwa nyie
@user-yi7jj8rp5q12 күн бұрын
Acheni uchawa
@relaxtube136212 күн бұрын
Ni kweli Chama na Inonga walikuwa wachezaji wazuri lakini walikuwa wameshapoteza hamu kucheza Simba hivyo hata wangebaki isingekuwa manufaa kwa Simba. Inonga ilionekana wazi baada ya kijivunja mechi ya pili dhidi ya Yanga na Chama alishajiona mfalme Simba, alianza kusumbua kwanzia mwanzoni mwa msimu iliopita..alikataa kwenda pre season na wenzie.
@relaxtube1362
12 күн бұрын
Its not the end of world kwa Simba. Walishapita wengine na Simba ilibaki..kawaida sana
@maryamnofli2109
12 күн бұрын
@@relaxtube1362 Umesema. Kweli. Ndg. SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤
@relaxtube1362
12 күн бұрын
@@maryamnofli2109 👊👊
@princejosephat831612 күн бұрын
Nyie mkalale tu
@SalmaChamy-tg4bo12 күн бұрын
Hamna jema haswaa waswahili wa kibara mlipiga kelele sana wachezaji wazee leo wamesajiliwa vijana tumefanya makosa kuwaacha tushike lipi? Mbona vigeu geu nyinyi! Au mlitaka bado tubaki na wasaliti tuendelee kuteseka ndio lengo lenu? Sifikirii kama hamtumiki nyinyi
@aptiitv2376
12 күн бұрын
Hao wapuuzi wanatumika tu
@saidhussein677112 күн бұрын
Wachambuzi uchwara
@user-wi9bp4uo4j12 күн бұрын
Osika wewe kenge tu
@amosmchele251812 күн бұрын
Nyoko mpeleke kariua kwenu mshamba wewe
@simongrayser578412 күн бұрын
Hawa wasenge sio wa kuwasikiliza, kutwa kazi yao ni kuwakandia simba. IDIOTS
@wizzy20012 күн бұрын
Ila niseme nini nyiee wachambuzi.ni wajinga hamna kitu apo tengenezen timu yenu na nyieee
@user-ys4zk3hx4f12 күн бұрын
𝙉𝙮𝙞𝙚 𝙢𝙖𝙠𝙪𝙢𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖 𝙨𝙞𝙣𝙙𝙤 𝙢𝙡𝙞𝙨𝙚𝙢𝙖 𝙘𝙝𝙖𝙢𝙖 𝙖𝙩𝙤𝙠𝙚
@daudjacob212311 күн бұрын
Yaan hawa jamaa hawaeleweki wazee wa stor za kahawa leo chama mzuri simba kesho mbaya mueleweke
@user-xm5xg1tt6d12 күн бұрын
Chama inonga manula waliuza mechi mpaka manula akafungua duka leo mnawatetea wabaki wasaliti tunataka simba mpya safisha wote
@user-uj5wg9mm2t12 күн бұрын
Wanafk wakubwa nyie,,chama ni Nan mbk asiondoke??mwanzo mlisema Simba ifanye maamuzi magumu kumuacha chama atawasumbua leo mmebadil maneno tuelewe lipi??Kuma zenu tuachieni team yetu
Пікірлер: 113
Mbona Feisal , Bangala, Mayele waliondoka na Young ipo
Mimi nawaambia ninyi mmeshindwa kuchambua kweli leo ,nyee sindiyo mlikuwa mnasema Chama anawasumbua simba ,
👑 crown media for life
@xfamefatetv
12 күн бұрын
Mchumba mpya ni mbaya kwa X wake. Tulia kwenye ndoa wewe😂
Exactly, hawa wana hasira Yanga haijafanya kitu ingawaje wanakaribia kumpoteza mungu wao, Aziz Ki aliyesajiliwa South Africa. Wamemuokota Chama wakifikiri ndio atakayechukua namba ya Aziz Ki lakini sidhani kama mzee anaweza kuwa na kasi kama ya Aziz. Badala ya kusajili wachezaji, wanasubiri Simba iache..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jamessanga6768
12 күн бұрын
Ngoja league zianze 😅😅
Mwaka huu mtatapika tochi nyie machawa..mambo ni Crown media.
@raymondlaurent4167
12 күн бұрын
Hatimae wee ndiye mwenye unafanya bangi ionekane aifai 😂😂😂
@user-zd1zc8dr1f
12 күн бұрын
Umefuata nn sasa
Vichwa maji nyie wahuni mtupu
Huyu Oscar bhana sasa wachezaji hawapo tayari kuitumikia team kama Inonga wa nini sasa
Wahuni tu hawa mnakula hela za bure😂
Waondoke wote kwanza inonga chama walikua wahujum watimu.
Chama angelibaki angelicheza number ya Nani? Inoga alikuwa anatuchomesha
Kwahiyo mnataka tuendelee na maduka ata kama yanatutia hasara
Waongo roho inawauma mnashabikia wsaliti. Serious kawe nyumbani kwako acha ujinga mnahongwa hongwa ili mshabikie ujinga. Akija Messi utasema Chama ni zaidi yake
Wauze tena tufungwe 5!
Nyie si mlisema Chama aondoke Simba
Nyinyi kachambueni mchele tu ligi si ita anza, niwaone tena mtakavyo jikanyaga kuchambua
Simba na inonga japo walikuwa wanzuri lakini walishachoka kubaki Simba ukichoka pia hufanyi vinzuri ni vema ukabadilisha wakaone upepo mwingine ndo maana Simba haikuwangangania si vyuma vingine vipo?
Chama inonga manula waliuza mechi mpaka manula akafungua duka leo mnawatetea wabaki wasaliti tunataka simba mpya safisha wote
Nyie ndo wanafiki cana mala inonga hawafai
Hii mada mmechambua kitoto! Mlitaka Chama na Inonga wafie Simba! Chama aliondoka Simba na Team ikaendelea alirud acha aende
Subiri Crown media iwanyooshe mpate kuheshimu professional za watu endeleeni kujaza chawa studioni na kuwaita wachambuz
Wezi wale subirini muone shoo ya vijana
Simba wako serious ndio maana Chsma na Inonga wameachwa. Huko AFCON DRC walitandikwa.
Yani watangazaji a Tanzania hovyo sana
Kw3nda nje ya nchi inakuuma! Kwani umeombwa mchango😂
Kitulizeni hapahapa wasafi kila kitu iko
Wewe Cha Nan babu
Mtasema yote Hadi mtapike
Swali Moja tu la kujiuliza aliyemleta chama na inonga ni nani kisha wanashindwaje kuleta zaidi yao
Edo ni mnafiki kuliko wachambuzi wote hapa TZ.
Sasa wew mtu ya crown media na unakuja comment wasafi ii ndo unafikiri yaani nyie ni WANAFIKI mnasikiliza wasafi na mnajifanya mnapenda crown 😅😅😅
Wakati wapo walikua wanasema waondoke Now wameondok wanasema wasingeruhusiw kuondoka #waandishi wa habari ni kama wanasiasa
@wilfredlucas-nf6yo
9 күн бұрын
Kabisa 😂😂😂
ndio maana crown tv inapamba.moto yan
Sasa nyie naisi kumbe mlikua amuangalii mechi za Simba inonga baada ya kutoka afkon hakua tena na mpango wakucheza Simba.
Huu uchambuzi sio mnazingua kwasababu walishaondoka watu Kama kina okwi,mafisango nk il Simba bado ikaendelea kufanya vizuri
Sasa hivi Crowm Media ndio habari za mjini😊
Mnaongea km mmekata vichwa ama kweli rizki ni ngumu mpaka hamjitambui
Bado sana nimapema
Madikio yangu hayaburudiki kuwasikia
Hawa wachambuzi kaziyenu kuchambua mziki tarabu nasiompila
Hovyoooooo mmeshalipwa
Hao wazee
Nyie ndo mnatuletea majonzi jamani acheni waende@
Mavi mavi tu chukua dole la kati
Mchezo ni wachezaji 11 tu ndani wengine wanakaa nje.
Vibalaka fc mambo yapo crown
Edo, Chama amechukua nafasi ya nani kule yanga? Oscar uliwauliza Simba kwanini wanatoka nje? Kama hujawauliza huna sababu ya kuwasemea. Mipango ya ndani ya Simba wanaijua wao. Acheni kupiga ramli. Ninachowashangaa Wachambuzi; mnataka kutuaminisha kwamba ninyi mnajua kila kitu na mna akili kuliko Viongozi wa Simba mnayoikosoa sana. Ningewaona wa maana sana kama mngekuwa mnapata opinions za upande mnaoukosoa kabla ya kukosoa. Lakini kila siku mnakurupuka kulaumu kitu msichokijua kwa vile hamhakiki kabla. Otherwise kazi yenu ni nzuri. Hamko biased kama wachambuzi uchwara wengi nikitoa mfano wa Salamba na Kessy. Mpaka wanakera kwa ujinga wao.
Hahahaha hakuna wachambuzi hapa hawa wote ni vichwa maji tu
Acheni ushabiki washenzi nyie
Crown media for life
@xfamefatetv
12 күн бұрын
Fureshi
Tatizo mbachambua mpira kwa mihemko hamna professionalism kabisa ... yaani mnaongea hisia.. Badilikeni...sioni uchambuzi apa
Hawa Jamaa wababaishaji
Wachezaji wapo tuuu wewe inonga nani wachezaji wenye malingo hapana
waoovyo ninyi
Mlisema simba ina wachezaji wazee chama mzee inonga mzee na wengine hivyo wanatakiwa vijana sasa wameleta vijana mnakosoa mbona hamna jema nyie
MAHIRA WAKUBWA MBANA WAKINA MAYELE WALIONDOKA ULITAKA WABAKI WAFANYE NN MAYELE NA BANGALA HALAFU CHAMA NA INONGA BORA NI WAKINA NANI ?? MBWA NYIE
Wapuuz wachambuz chm alikuwep kaondok achen ujinga ninyi..wanaondok kina benzema madrid...kumbe ni wa mchongo ninyi
Ki Aziz hayupo wataenda wapi
Hakuna watangazi waovyo kama Hawa
Yaan edo always yupo negative😂😂
TUMERUHUSU WAENDE WAHUJUMU TIMU
Hatuhitaji ku replace mtu, tunahitaji watu wa kuisaidia Simba kufika mbali. Chama Chama Chama kila siku kwani alizaliwa kufia Simba? Kwani kabla ya Chama Simba iliacha kucheza? Simba imekosa kombe misimu mitatu na huyo Chama akiwemo kikosini mbona hakuzuia hilo lisitokee?
@rebecamemu9899
12 күн бұрын
Point bro
Kaeni hivyo hivyo
Kaeni kwa kutuliaaa
Nyie kweli ni chawa amna mchambuz apo
Hebu chambuen ki mpira Zaid sio mapenz flan hv nyie ndo mlikuw mnamponda chama Kwa uwezo wake Kwa sasa na tabia za inonga saiv cjui mnaongea nn
Kweli Oscar ni kichaaa wa fikra au unapenda kikii mnoo au unatumika kwenye fikra zakooo... lkn ni mawazo yako huru... SWALI; muhimu kuna nini mpaka wote giant wanachiwaa waondoke
Mbona camera ni mbovu sana😅
Nothing
Nyie mnanosema crown ndio habar ya mjin sasa uku mmefuata nn co kama shobobzinawaponza
Mhuni nimhuni tu wanaongea nini hao
Mmedumaa nyie crown oyeeeee
Tuache na Simba yetu. Wewe si shabiki wa Yanga??. Waache waende. Wakijifunza wasipojifunza ni wao. Mmeanza kuiogopa Simba. 😂😂😂
Hamna kitu hapa wasafi
@user-uj5wg9mm2t
12 күн бұрын
Ovyo kbaaa
Majichwa mabaya
Kama hamuna contents muache uchambuzi
Ooh, si ndo mlisema inabidi waondoke au
@aptiitv2376
12 күн бұрын
Hao wapuuzi wanatumika tu
👑 👑 👑 👑 👑 ❤❤❤😅
Yangga Hana kikosi cha final. Hivi kuwa na watu wengi ndio kufika final . Mnaijua raja nyie
@frankhoffa8356
12 күн бұрын
Aise wewe kichwa kigumu weh!
@flova7022
12 күн бұрын
@@frankhoffa8356 ongea kimpira usibwabwaje kamma mgambo waa soko.. raja na Ahly utamtoa nani
Ila bongo bwana
Nyie wa crown fatilieni crown msg za nn huku
@selemancokker4994
12 күн бұрын
Naamini awajielewi kabisa wa2wache usafini kwe2 bhana
Pumbuvu kweli nyie acheni unafkiiiiiii nyie
Ivi nyie wapumbavu matako ya bibi zenu kama mnaingiaga kipindi mkiwa mnalewa au mnavuta bangi leo mnatwambia simba wangembakisha chama na inonga nyuma mnasema simba iachane na chama acheni usenge mbwa nyie
Acheni uchawa
Ni kweli Chama na Inonga walikuwa wachezaji wazuri lakini walikuwa wameshapoteza hamu kucheza Simba hivyo hata wangebaki isingekuwa manufaa kwa Simba. Inonga ilionekana wazi baada ya kijivunja mechi ya pili dhidi ya Yanga na Chama alishajiona mfalme Simba, alianza kusumbua kwanzia mwanzoni mwa msimu iliopita..alikataa kwenda pre season na wenzie.
@relaxtube1362
12 күн бұрын
Its not the end of world kwa Simba. Walishapita wengine na Simba ilibaki..kawaida sana
@maryamnofli2109
12 күн бұрын
@@relaxtube1362 Umesema. Kweli. Ndg. SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤
@relaxtube1362
12 күн бұрын
@@maryamnofli2109 👊👊
Nyie mkalale tu
Hamna jema haswaa waswahili wa kibara mlipiga kelele sana wachezaji wazee leo wamesajiliwa vijana tumefanya makosa kuwaacha tushike lipi? Mbona vigeu geu nyinyi! Au mlitaka bado tubaki na wasaliti tuendelee kuteseka ndio lengo lenu? Sifikirii kama hamtumiki nyinyi
@aptiitv2376
12 күн бұрын
Hao wapuuzi wanatumika tu
Wachambuzi uchwara
Osika wewe kenge tu
Nyoko mpeleke kariua kwenu mshamba wewe
Hawa wasenge sio wa kuwasikiliza, kutwa kazi yao ni kuwakandia simba. IDIOTS
Ila niseme nini nyiee wachambuzi.ni wajinga hamna kitu apo tengenezen timu yenu na nyieee
𝙉𝙮𝙞𝙚 𝙢𝙖𝙠𝙪𝙢𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖 𝙨𝙞𝙣𝙙𝙤 𝙢𝙡𝙞𝙨𝙚𝙢𝙖 𝙘𝙝𝙖𝙢𝙖 𝙖𝙩𝙤𝙠𝙚
Yaan hawa jamaa hawaeleweki wazee wa stor za kahawa leo chama mzuri simba kesho mbaya mueleweke
Chama inonga manula waliuza mechi mpaka manula akafungua duka leo mnawatetea wabaki wasaliti tunataka simba mpya safisha wote
Wanafk wakubwa nyie,,chama ni Nan mbk asiondoke??mwanzo mlisema Simba ifanye maamuzi magumu kumuacha chama atawasumbua leo mmebadil maneno tuelewe lipi??Kuma zenu tuachieni team yetu