ZEMBWELA ASUSIA MAHOJIANO NA MFANYAKAZI WA DP WORLD - "ACHANENI NA MIMI"

Ойын-сауық

ZEMBWELA ASUSIA MAHOJIANO NA MFANYAKAZI WA DP WORLD - "ACHANENI NA MIMI"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 147

  • @jurakijuraki8870
    @jurakijuraki8870 Жыл бұрын

    Wasafi acha upuuzi sisi hatuhoji utendaji kazi wala hatuhoji miundombinu no tunahoji mkataba mashariti yasitubane mda ueleweke tujue kipato tutakachokipata

  • @wilsonmahundi6816
    @wilsonmahundi6816 Жыл бұрын

    Hawa jamaa cjui wamepewa rushwa Maana wanasifia kitu ambacho hawakijui

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 Жыл бұрын

    Nani ame notice wafanyakazi wengi wa DP world nikutoka Tanzania Zanzibar?

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi Жыл бұрын

    Kitenge acha kujichafua katika jambo hili, watanzania hatuna wasiwasi na uwezo wao. Tatizo mikataba yao. Kama mnajua basi ongeleeni kitaalamu kuhusu mikataba. Wewe kitenge unajua mambo kuliko tibaijuka? Acha zako mchumia tumbo wewe hufikilii kesho ya watoto wako wala wajukuu

  • @emanuelproty3444
    @emanuelproty3444 Жыл бұрын

    Mtu kama maulidi kitenge anajulukana tu kwamba yy ni popote penye hela ndo anasimama huyu jamaa ipo siku atauza utu wake kwasabab ya hela na wanatakiwa wajuwe kuwa wanchi hawana shida na mwekezaji shida ni mkataba ambayo ni kinyonyaji

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi Жыл бұрын

    Nimekubali watanzania wako tayari kuuwa wenzao kwa ajili ya njaa yao, kwa ajili ya tumbo lao. Mpaka sasa naamini mkataba huo utapita na akina kitenge wataendesha v8

  • @Zenny89
    @Zenny89 Жыл бұрын

    Hawa Kama wamepelekwa kufanya propaganda hivi!!! Mbona wanatumia nguvu sana kutuaminisha bandari haijauzwa🤣🤣🤣…Wanafikiri watanzania hawajui kutambua UNAFKI nini🤣🤣

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo442711 ай бұрын

    Safi Sana Namkubali sana Mama Samia Suluhu Hassan Piga kazi Mama Huu Uwekezaji wa bandari Ni Muhim Sana kwa Nchi ya taifa

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Жыл бұрын

    Shida sio vifaa shida ni mikataba acheni ushabiki wakutuangamiza

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Nchi ya ajabu sana hii watu wameuliza vipengele vya mkataba hawajazungumzia uwezo au uwekezaji shida nchii hii kila mtu chawa

  • @wekezauchumi7440

    @wekezauchumi7440

    Жыл бұрын

    ​@@fahadfaraj6474Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna

  • @fredlusambo2452
    @fredlusambo2452 Жыл бұрын

    kuweni naaibu watanzania tunajielewa kuliko hayo maigizo mlioagizwa kutufanyia

  • @bakariomari8758

    @bakariomari8758

    Жыл бұрын

    Acha ushamba hakuna maigizo kijana hafidhi tupo nae hapa dubai kampuni hiyo hiyo ya bandari yeye ni foreman wa meli na mm nidereva ndani ya bandari. Tatizo vichwa vya, watz wengi hamna kitu.

  • @williammsungu2033

    @williammsungu2033

    Жыл бұрын

    ​@@bakariomari8758acha umaku ww

  • @mangeoff3935

    @mangeoff3935

    Жыл бұрын

    ​@@bakariomari8758😂😂😂 heri wewe mwenye akili unae ramba makalio ya wageni na kutukana jamii yako kondoo wewe

  • @bakariomari8758

    @bakariomari8758

    Жыл бұрын

    @@mangeoff3935 ww unaelewa nini kuhusu mikataba ya inchi kila kitu mnapinga tatizo empty minded always makes, noises. Ndio mtabaki nyuma tu kama matako

  • @bakariomari8758

    @bakariomari8758

    Жыл бұрын

    @@williammsungu2033 tatizo u ppl cant think bussiness wise y coz ur brains hav nothing bt yanga n simba maku ww

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 Жыл бұрын

    Hovyooooo! Kinachosemwa kingine nanyi mnahoji kingine, hakuna anayepinga utendaji wao au technologies zao tunataka tuelewe mkataba unasemaje? Vitu kama ukomo n.k.

  • @jambo3751

    @jambo3751

    Жыл бұрын

    Mkataba sio?! Kwani mlipopiga makelele mlikuwa mshauona huo mkataba. Ulioletwa bungeni sio mkataba lakini kelele zenu za wanasiasa uchwara za kupotosha wananchi zilikuwa kubwaa!! Imeisha hiyoo. Hatuwezi kuacha jambo kubwa lenye tija kwa Taifa letu kwa kusikiliza porojo za wanasiasa uchwara. Wanasiasa walewale Kama kweli Wana uchungu kwa Taifa letu mbona lilipokuja swala la USHOGA la Ndoa ya jinsia moja walikuwa wakijikanyaga na kubabaisha walipokuwa wakiulizwa maswali na waandishi wa habari kuhusu jambo lile. Waliogopa nini!

  • @jumaadremane7756

    @jumaadremane7756

    Жыл бұрын

    Bado amna mkataba bro. First of all, we've to get the relationship in this area (in particularly). Then, will follow the contract. It's very early to talk about the contract.

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Жыл бұрын

    @@jumaadremane7756 well tunajua hamna mkataba lakini hicho kilicho sainiwa sijui unakiitaje bado kina utata tunataka tujue hicho kilicho sainiwa hakiko Sawa yaani hakieleweki vzr! Yale ambayo tunayoyaona yana utata yarekebishwe.

  • @timothbenard8213
    @timothbenard8213 Жыл бұрын

    Acheni kutumika kuweni wazalendo

  • @wadhhasuleiman2621

    @wadhhasuleiman2621

    Жыл бұрын

    Wapuuz hao wanaongea utendaj KAZI wakati watu wanahoji nikataba huyo mshkaji kuli Tu Hana taaluma yyte

  • @elishazacharia1204
    @elishazacharia1204 Жыл бұрын

    Ongera hii inchi inatakiwa tubinafsishe au Kila kitu nchi ata police wanatumwa kukusanya pesa hii SI sawa kabisa.

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Жыл бұрын

    Ng'ombe zimepelekwa marishoni Sasa zinajambaa tu😅😅

  • @johnmpemba3057
    @johnmpemba3057 Жыл бұрын

    Duh haya majamaa ukizubaa yanakuuza live

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Kwahiyo hawa MBWA WAME TUMWA ILI KUTOLEWA USHAMBA😂

  • @AjiaMohamed-rt5pb

    @AjiaMohamed-rt5pb

    Жыл бұрын

    Kivipi uyo kitenge kila siku yupo usa

  • @delphinnkoma5757
    @delphinnkoma5757 Жыл бұрын

    Zembwela kama Zembwela 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 Жыл бұрын

    c wamesema wataongeza ajira?jamaa anasema jioneeni wenyewe kweupeee

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Жыл бұрын

    Nilisema kuwa kigezo cha kuajiliwa kwenye hii kampuni ni dini ubaguzi wa kidini

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu10 ай бұрын

    Huyu Kima wamempata wapi, "Pure Imposter" Nani kawalipia hiyo safari, malengo yake nini?

  • @wilsonmahundi6816
    @wilsonmahundi6816 Жыл бұрын

    Hao jamaa wanatumika balaaa

  • @Mweya-87
    @Mweya-87 Жыл бұрын

    Ila hawa wa zee ni waswahili sana 😂😂

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 Жыл бұрын

    Tatizo sio ilo au na nyie mmekula ganji!! Pumbavu zennyu

  • @barakakhemedi1250
    @barakakhemedi1250 Жыл бұрын

    Zembwela mmekaaa nao weh na nan mnona mnatushilikisha kinguvu

  • @brianmukuyu6539
    @brianmukuyu6539 Жыл бұрын

    Hovyo sana

  • @nosigwebuya5537
    @nosigwebuya5537 Жыл бұрын

    Je Technolojia yao ndicho kiini cha Tatizo ? Tatizo Mkataba wapendwa!!!!

  • @wekezauchumi7440

    @wekezauchumi7440

    Жыл бұрын

    Mlizoea kupitisha mizigo bure...

  • @bakariomari8758

    @bakariomari8758

    Жыл бұрын

    Wewe hadi sasa, unafaidika nini na hiyo bandari na huo mkataba utakufaidisha nini dah watz. Kaka ww pambana na maisha yako serikali ikiamua nani atapinga tafuta life acha kuumiza kichwa na serikali. Ohooo

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd Жыл бұрын

    Afu mkiliangalia linaloelezea ni li shenzi la Zanzibar. Sikieni linavyoongea kushomboshombo

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 Жыл бұрын

    Kumbe ndio kati ya hawa walio hongwa...🤣🤣🤣🤣

  • @MajiTakaMaji
    @MajiTakaMaji Жыл бұрын

    Ovyoo!!

  • @alliymohamedalliy6524

    @alliymohamedalliy6524

    Жыл бұрын

    😂

  • @gopromo777
    @gopromo777 Жыл бұрын

    mshalamba asali

  • @diseaseescaper
    @diseaseescaper Жыл бұрын

    Kenge hizi

  • @lovsply
    @lovsply Жыл бұрын

    WaHAINI TU!

  • @mohdali2408
    @mohdali2408 Жыл бұрын

    Wazee wakanisa wanataka kudumaza nchi

  • @elishazacharia1204
    @elishazacharia1204 Жыл бұрын

    Tanesco, shirika la maji, ndege airport na vingine wapewe vyote vyote serikari ibakize mambo ya utawara Bora aisee serikari inauza umeme wakikosa ela wanasema ongeza bei ya unit wapi na wapi hii nchi inakula wananchi wake na wanao liwa awataki wasiliwe 😂😂😂😂😂

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Wame fata pesa tu hawa jamaa BANDARI ndio imesha uzwa Waarabu wapo mbioni kuja kutuibia

  • @bakarimussa8561
    @bakarimussa8561 Жыл бұрын

    Suala la ajira na kuendelea Kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi Hilo halina mjadala Jadilini mambo ya mikataba yanayogusa wasomi

  • @stevemayala2739
    @stevemayala2739 Жыл бұрын

    Zembwela babu hahaah😅😂 unahatari

  • @orestsanga6294
    @orestsanga629411 ай бұрын

    Kweli hela za kupewa zinakuza uzwazwa! Ccm inakula ubongo wa kila mpenda fedha🤣🤣🤣

  • @stephenmwakipesile7893
    @stephenmwakipesile7893 Жыл бұрын

    Acha ujinga wenu wa kitoto tunajielewa hatutaki,mbona hata mwalimu huko nyuma aliwahi kukataa wakati wazumgu wanataka kuchimba madini akawambia wenye nayo watakuja kuuliza nitashindwa kujibu.

  • @hamzaabdallah8637

    @hamzaabdallah8637

    Жыл бұрын

    Acheni udini na Ukabira. Kila kiongozi na dira yake

  • @stephenmwakipesile7893
    @stephenmwakipesile7893 Жыл бұрын

    Wasaliti wakubwa nyieee

  • @froma3732
    @froma3732 Жыл бұрын

    Haya yote unaongea hawataki kukubali lkn tutabadilisha mwekezi kutoka Canada 🇨🇦 watakubali

  • @asiliyetuonlinetv5063
    @asiliyetuonlinetv5063 Жыл бұрын

    Shida iliyopo sio ubora,ufanisi,teknologia au uzoefu.,shida ni mkataba wenyewe umekaa kinyonyaji serilali rekebisheni vifungu vibovu mviondoe kisha msaini mkataba na sio kututumia watu wakututamanisha na mkataba mbovu.

  • @wekezauchumi7440

    @wekezauchumi7440

    Жыл бұрын

    Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna

  • @mangeoff3935

    @mangeoff3935

    Жыл бұрын

    ​@@wekezauchumi7440😂😂😂😂 huyu jamaa hamna shule kabisaa mzazi wako alikula hasara kabisa

  • @user-kx5ht4ov6o
    @user-kx5ht4ov6o Жыл бұрын

    Njaa mbaya

  • @halima2286
    @halima228611 ай бұрын

    Nyinyi acheni ushamba Yani ata afanani na mfanya kazi wa eneo analolionyesha kwanza anatetemeka. Kuongea Yani mnazidi kubugi mmarekani lini akajua kunakutoa lushwa ata kuongea achanganyi na kimomboa kama wezake Yani huyo ata lugha ajui mnachekesha sanàaa😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂

  • @mdalamgir-gu9hu
    @mdalamgir-gu9hu Жыл бұрын

    Aya wauzieni bandari.mikundu yenu

  • @hassankaka
    @hassankaka Жыл бұрын

    Duh nomakweli

  • @rukaiyaramadhani4879
    @rukaiyaramadhani4879 Жыл бұрын

    Nawapenda wasaf tv

  • @gervaswilliam4781
    @gervaswilliam478111 ай бұрын

    wapewe hata vituo vya polis vyote inchi hii niyaajabu sana,

  • @mbelyterry1584
    @mbelyterry1584 Жыл бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅nyiye nyiye mna vituko

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin792911 ай бұрын

    Hakuna kitu kibaya kufanya mzaha ktk mambo ya msingi kama haya.mwalim nyerere mungu akulaze pema peponi.naikumbuka hotuba yako ulisema kwa nini msitungoje tufe ?

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp11 ай бұрын

    Muangalie vzr jamaa kushoto Kwa maulid

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd Жыл бұрын

    Nilishasemagga Wasafi ni Hovyo kabisa. Labda Sports tu ndo wanajua. Vingine vyoooteeee ni hivyo hovyo HOVYO kabisa

  • @bigjizee4130

    @bigjizee4130

    Жыл бұрын

    Doooh

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Жыл бұрын

    Nahic vpengele vya mkataba lazima viwe vgumu mana muekezaji anawasiwasi na siasa ya wabongo, hapo hela nyingi mno imewekwa

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso242411 ай бұрын

    Msikose kuulizia ukomo wa mkataba acheni kubwabwaja okey

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana795711 ай бұрын

    😊😊😊

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i Жыл бұрын

    Kuweni wadharendo

  • @simonkenne6892
    @simonkenne689211 ай бұрын

    Mbwaaa....hao

  • @abdallahabdu8194
    @abdallahabdu819411 ай бұрын

    Wote njaa kwanza onyesheni vyeti vyenu vya uadishi wa habari . Kanjanja tu.

  • @abdallahabdu8194
    @abdallahabdu819411 ай бұрын

    Halafu waandishi wa tz !!! Eti mpoki, zembwela, zungu, ndio maana Mh.Ndungai ukiwa unataka kuripoti taarifa zs bunge degree wote wamehamia tv online ndio vijiwe vyao hakuna taarifa za habari ila rusha roho ,masham sham. Upuuzi mtupu

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 Жыл бұрын

    Hawa Dp World wapewe mpaka viwanja vya ndege. Kwa ufupi hawa Waarabu Wapewe nchi kabisa. ....

  • @user-ti6yq7bq1d
    @user-ti6yq7bq1d Жыл бұрын

    Ivi nyie mnaakali kwel kwaiyo mna piga promo ya kuuza laslimalizetu

  • @kitomariKitomari-ge9pr
    @kitomariKitomari-ge9pr11 ай бұрын

    Wananchi tunaomba tupige kura iwe mitandaoni iwe mtaani hatukotayari kuendelea kuona tunanyang'anywa tonge mdomoni.

  • @luhindakanige2987
    @luhindakanige298711 ай бұрын

    Machawa kama chawa

  • @aminielmosses687
    @aminielmosses68711 ай бұрын

    Tanzania kwaza

  • @edwardmakonge3371
    @edwardmakonge337111 ай бұрын

    Mhh???!!! Jamani daa.

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Жыл бұрын

    Kwani hizo double......zinauzwa mbinguni?

  • @mwijumawerema1229
    @mwijumawerema1229 Жыл бұрын

    Zembwela amemaanisha nini kusema, "Mwambie muuza Bucha,anapokata mifupa kwa shoka anatarajia mie nile nyama kwa meno!?"?

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle11 ай бұрын

    Kama nyie mmepata mgao basi tuuze nchi kila mtu afe na chake

  • @hafidhisaidi6550
    @hafidhisaidi655011 ай бұрын

    Nyie ni maku wote

  • @brayanmichael6009
    @brayanmichael600911 ай бұрын

    Kwa hiyo ajira hakuna hapo

  • @domycossan1395
    @domycossan1395 Жыл бұрын

    Hawa jamaa wa wasafi wanataka kupotosha au kuchepusha uelekeo wa hoja zinazoulizwa. Vipengele vya kimkataba. TUNAJUA KITENGE HUWA UNATUMIWA NA SERIKALI

  • @wekezauchumi7440

    @wekezauchumi7440

    Жыл бұрын

    Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna

  • @domycossan1395

    @domycossan1395

    Жыл бұрын

    @@wekezauchumi7440 hakuna mwananchi au wananchi wanaoweza kupiga uwekezaji serikali ikiamua, sababu ya mkataba huo kuletwa bungeni ni wananchi wakubaliane kwa serikali kutafsiri au kuelewesha mikataba ikoje maana mikataba mingi imekuwa haina maslahi mapana ya kitaifa. Sidhani kama watu wote waliokosoa mkataba wana nia mbaya au hawajui umuhimu wa vipengele vinavyoleta ukakasi. Sasa hawa Wasafi wanachotuaminisha sio tunachotaka.

  • @ernestfelix8596
    @ernestfelix8596 Жыл бұрын

    Mtaliwa nyie

  • @simonntani7079
    @simonntani7079 Жыл бұрын

    JAMANI KWANI BANDARI YETU,IKIKAA HIVYOHIVYO ITAOZA?SIO SAWA KAMA MADINITUU?KWANINI TUNALAZIMISHA,VITU AMBAVYO,HAVINA MSAADA,KWA WATANZANIA.ITAFIKIA HATUWA,HAWA VIONGOZI,TUTAKUJA,TUGAWANE MAJENGO ACHA WATUUZI E HII NCHI,ALAFU MUTAONA WATANZANIA WATAKAVYO WAFANYA.

  • @rehemashabhay8946
    @rehemashabhay8946 Жыл бұрын

    Wee kitenge wacha kujitoa ufahamu..mimi nilikuwa nakuheshimu kimbe huelewi kingereza...Aibu umeshindwa kufafanua vipengere vya mkataba...shame on you..

  • @GeophreyMsomba
    @GeophreyMsomba11 ай бұрын

    Mavinyie

  • @salehnassor3114
    @salehnassor3114 Жыл бұрын

    Acha uongo mzee bandari kubwa ipo Mombasa Kenya. Kwanini nnadanganya watanzania wakati asilimia 80% mnafaulisha mzigo Mombasa. Bandari yetu haina uwezo wa kufunga Meli yenye Contena 6000. Tutaishia hivi hivi kuziona meli zenye Contena 600.

  • @wekezauchumi7440

    @wekezauchumi7440

    Жыл бұрын

    Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna

  • @bakariomari8758

    @bakariomari8758

    Жыл бұрын

    Hapo hakuna bandari ya tz ilotajwa kijana kaongelea bandari za, dubai kaka. Mm nafanya nae huyo kijana namm nimkenya. Huyu nikarani wa meli na mm tag driver tupo waswahili kibao. Wakenya mlizingua na, siasa ndio wakaenda tz

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 Жыл бұрын

    Kumbe safari yenu ya dubai ni ya kimkakati

  • @wekezauchumi7440

    @wekezauchumi7440

    Жыл бұрын

    Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    Жыл бұрын

    @@wekezauchumi7440 Hao wajomba wakija mzee RUSHWA pale bandarini kwisha habari yake. Kuna watu watakufa njaa kwa janjanja!

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi219511 ай бұрын

    Mifala hiii

  • @bakarimussa8561
    @bakarimussa8561 Жыл бұрын

    Dp inawafanyakazi zaidi ya elfu kumi jebel Ali port Kutokuwaona watu inatokana na utaratibu wakuepusha ajali zisizo za lazima Kila meli inapangiwa zaidi ya watu 24 kama wahudumu Mfano lasher 16 Foreman wanne Makarani 4 Na wanao opereti crane 8 Hiyo ni Kwa operation ya crane 4

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 Жыл бұрын

    Walivyo wapumbavu wanahisi sisi tuna wasiwasi na uwezo wa DPW, tatizo ni mikataba ya kitekaji!

  • @simonmalegesi414

    @simonmalegesi414

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @osiahmwakasala1646
    @osiahmwakasala1646 Жыл бұрын

    Tunajua rengo lenu . Ivi kwanini hamtaki Yale tunayo taka Ni mkataba wakifeli makubaliano wawe tayari kuvunjwa mkataba na wapewe mda wakifanya vizuri walinwuu mkataba Ila Sio tuingie mikataba tukiwa tumefungwa kitambaa usoni tunajua hakuna mwekezaji asie na faida duniani msitudanganye kwa pambio hii na nchi

  • @wekezauchumi7440

    @wekezauchumi7440

    Жыл бұрын

    Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna

  • @jamesrichard1084

    @jamesrichard1084

    Жыл бұрын

    @@wekezauchumi7440 ujielewi ata maskini, chawa

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Жыл бұрын

    MKATANGAZIE HATA MBINGUNI,NI GHARAMA ZENU,SI TUNATAKA HABARI TU ITANGAZWE VIZURI.

  • @user-zj1ep6hn4p
    @user-zj1ep6hn4p11 ай бұрын

    Zembwela umesbtsha hauna akil nilijuwa una akili kumbe chawa chz njaa mbaya kwel tambua Watanzania wana akili mbwa wewe

  • @gaudencemihungo4348
    @gaudencemihungo4348 Жыл бұрын

    Tunajua mmetumwa! Lakini ikiwa ninyi, au waliowatuma au hata Shetani anayekusudia mabaya kwa nchi yetu,hamtafanikiwa kupeleka urithi wetu kwa wanyonyaji in Jesus name.

  • @wekezauchumi7440

    @wekezauchumi7440

    Жыл бұрын

    Toa point acha maneno

  • @wekezauchumi7440

    @wekezauchumi7440

    Жыл бұрын

    Mlizoea kupitisha mizigo bure na kwa kujuana...lipa

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 Жыл бұрын

    hawa jamaa ka ni wazenji au

  • @abrahmanifarouckissa5662

    @abrahmanifarouckissa5662

    Жыл бұрын

    yes

  • @jorammasunu7040
    @jorammasunu7040 Жыл бұрын

    Hapa kinacho ongelewa si ufanisi,ni masharti ya mkataba

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Жыл бұрын

    Mambo mazuri, swali langu 1 tu. Hapo mnasema huoni mtu, sasa hizo ajira kwa wa TZ zitatoka wapi? Naomba kuelimishwa.

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    Жыл бұрын

    Kumbe na wewe una jicho la tatu, kama ni vyombo tu na mitambo ndiyo inafanya kazi hao wafanyakazi watabaki na kazi ipi namwwekezaji anataka super profit

  • @HusseinRj

    @HusseinRj

    Жыл бұрын

    Ndio Dunia inapokwenda huko, Bora iwe hivyo2 coz watu wakiwa wengi jau2

  • @Ali-nl2du

    @Ali-nl2du

    Жыл бұрын

    @@HusseinRj Nakubali kuwa efficiency inahitaji matumizi ya automation. Lakini inawezekana kuwa kwa upande mwengine zikatokea ajira zinazohitaji human labour.

  • @hudumayarohomtakatifu
    @hudumayarohomtakatifu Жыл бұрын

    😅

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi Жыл бұрын

    Nchi ina watu wajinga sana, ivi hawa ndio wanasheria wa serikali yetu, mbona tunafeli sana jamani. Wekeni mwanasheria atoe maelezo ya mkataba huo. Mna promoti ujinga kama huo. Tuna mtaka mwana sheria wa serikali aeleze hapo kuhusu mkataba

  • @stephenmwakipesile7893
    @stephenmwakipesile7893 Жыл бұрын

    Tunazungumzia mambo yaliomo kwenye mkataba sio ufanisi wa kazi zao.mbona mnapotoshaa....

  • @selemanimshauri1244
    @selemanimshauri1244 Жыл бұрын

    😂

  • @mangeoff3935
    @mangeoff3935 Жыл бұрын

    Hii danganya toto hadi lini Tanzania lakini?,kwa hiyo kwa akili yenu mna taka tuamini hii bandari itajengwa bongo?😂😂😂 mjue mnapo lipwa bora mle mnyamaze sisi sio wajinga kiivyo kuleni hela za waarabu iko siku huu uthamni mlio pewa Leo mta ujutia na hizo hela za hongo mlizo pewa kwenye bahasha alafu nili tamani awepo mtanzania hata mmoja kutoka mtwara au shinyanga kumbe wapemba wote sio kwa ubaguzi Ila hapa tumepigwa

  • @wekezauchumi7440

    @wekezauchumi7440

    Жыл бұрын

    Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna

  • @williammsungu2033

    @williammsungu2033

    Жыл бұрын

    ​@@wekezauchumi7440we nawe umetumwa kujibu kila comment ya mtu? Ovyo.

  • @mangeoff3935

    @mangeoff3935

    Жыл бұрын

    @@wekezauchumi7440 ukubwa wa ubongo wako unapimwa na ukubwa wa kauli unazo zitamka mbele za watu hii sio agenda ya mtu mmoja kupata manufaa bali ni agenda ya watu wote kupata faida,Je unajua mkataba huu una isha lini au una toa faida gani kama gawio kwenye nchi yako?,Ama haujui ushuru na faida zinazo toka bandarini ndizo hujenga miundo mbinu na kukusaidia wewe kupata huduma bora?,ndugu yangu jitahidi sana kuelewa point iko wapi usiwe bendera wewe ni mtu mzima na akili timamu naamini mzazi wako ada yake hakutupa kukulipia wewe alitaka siku moja uwe mtu wa maana kwenye jamii sio kukomenti nonsense kama hivi

  • @mangeoff3935

    @mangeoff3935

    Жыл бұрын

    @@williammsungu2033 usi mlaumu sana huyu ndugu pengine ni mtu mzima tu na sio mtu mzima mwenye akili timamu pia na wasiwasi na level ya shule na hata jamii anayo tokea kwa anae jua hii agenda ilivyo na inako elekea hawezi comment utoto kama huu alio fanya

  • @ChristinaMonyi-tl8sc
    @ChristinaMonyi-tl8sc Жыл бұрын

    Vibarua waende wapo? Kama mashine ndio zinafanya kazi watanzania kazi hamna..tegemeeni majambazi wengi😢

  • @AjiaMohamed-rt5pb

    @AjiaMohamed-rt5pb

    Жыл бұрын

    Teknolejia imekuwa waende wakalime

  • @hamzamoshi8275
    @hamzamoshi8275 Жыл бұрын

    😅😅😅😅

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 Жыл бұрын

    🙉🙉🙉🙉🙉🙉

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi Жыл бұрын

    Hao ndio waandishi waliohongwa hawafai hata kidogo, wamehongwa. Na hilijambo tutatoana ngeu

  • @aloycekomba
    @aloycekomba11 ай бұрын

    Ujinga wawatu wajinga nimmojatu, waohuamini umaarufu ndio akili ama umaarufu unaweza kuwa naushawishi hata katika upumbavu, watanzania waleo sio washamba kabisa ila ushamba una washamba bado upo kwawa shamba wenye mawazo yakizamani kuamini eti ukiwa maafu unaweza kuwa shawishi watu hatakama jambo nila kipimbavu hizozama zimesha pita watanzania waleo sio wajuzi wana akili timamu kwahiyo kuwalaghai siorahisi

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 Жыл бұрын

    NAKUBALI MAMA SAMIAA UNAUPIGA MWINGI ACHANA NA MANENO YA WATANGANYIKA HAOOO

  • @godlovemasamakibatandu2092

    @godlovemasamakibatandu2092

    Жыл бұрын

    Ndio wenye nchi. Zanzibar ni kama wilaya tu kwa tanganyika

  • @ikopwdjh694

    @ikopwdjh694

    11 ай бұрын

    Wazanzibar wote pumbavu zenu

  • @elishazacharia1204
    @elishazacharia1204 Жыл бұрын

    Aisee mie awa jamaa tukiacha ofu za wanasheria wetu awa wanatufaa ila SI kwa bandali zote hapana mbili sawa au 3 pia kwa swala la muda miaka 50 sawa

  • @semeninyerere996
    @semeninyerere996 Жыл бұрын

    Majinga

Келесі