ZEMBWELA ASUSIA MAHOJIANO NA MFANYAKAZI WA DP WORLD - "ACHANENI NA MIMI"
Ойын-сауық
ZEMBWELA ASUSIA MAHOJIANO NA MFANYAKAZI WA DP WORLD - "ACHANENI NA MIMI"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 147
Wasafi acha upuuzi sisi hatuhoji utendaji kazi wala hatuhoji miundombinu no tunahoji mkataba mashariti yasitubane mda ueleweke tujue kipato tutakachokipata
Hawa jamaa cjui wamepewa rushwa Maana wanasifia kitu ambacho hawakijui
Nani ame notice wafanyakazi wengi wa DP world nikutoka Tanzania Zanzibar?
Kitenge acha kujichafua katika jambo hili, watanzania hatuna wasiwasi na uwezo wao. Tatizo mikataba yao. Kama mnajua basi ongeleeni kitaalamu kuhusu mikataba. Wewe kitenge unajua mambo kuliko tibaijuka? Acha zako mchumia tumbo wewe hufikilii kesho ya watoto wako wala wajukuu
Mtu kama maulidi kitenge anajulukana tu kwamba yy ni popote penye hela ndo anasimama huyu jamaa ipo siku atauza utu wake kwasabab ya hela na wanatakiwa wajuwe kuwa wanchi hawana shida na mwekezaji shida ni mkataba ambayo ni kinyonyaji
Nimekubali watanzania wako tayari kuuwa wenzao kwa ajili ya njaa yao, kwa ajili ya tumbo lao. Mpaka sasa naamini mkataba huo utapita na akina kitenge wataendesha v8
Hawa Kama wamepelekwa kufanya propaganda hivi!!! Mbona wanatumia nguvu sana kutuaminisha bandari haijauzwa🤣🤣🤣…Wanafikiri watanzania hawajui kutambua UNAFKI nini🤣🤣
Safi Sana Namkubali sana Mama Samia Suluhu Hassan Piga kazi Mama Huu Uwekezaji wa bandari Ni Muhim Sana kwa Nchi ya taifa
Shida sio vifaa shida ni mikataba acheni ushabiki wakutuangamiza
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Nchi ya ajabu sana hii watu wameuliza vipengele vya mkataba hawajazungumzia uwezo au uwekezaji shida nchii hii kila mtu chawa
@wekezauchumi7440
Жыл бұрын
@@fahadfaraj6474Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna
kuweni naaibu watanzania tunajielewa kuliko hayo maigizo mlioagizwa kutufanyia
@bakariomari8758
Жыл бұрын
Acha ushamba hakuna maigizo kijana hafidhi tupo nae hapa dubai kampuni hiyo hiyo ya bandari yeye ni foreman wa meli na mm nidereva ndani ya bandari. Tatizo vichwa vya, watz wengi hamna kitu.
@williammsungu2033
Жыл бұрын
@@bakariomari8758acha umaku ww
@mangeoff3935
Жыл бұрын
@@bakariomari8758😂😂😂 heri wewe mwenye akili unae ramba makalio ya wageni na kutukana jamii yako kondoo wewe
@bakariomari8758
Жыл бұрын
@@mangeoff3935 ww unaelewa nini kuhusu mikataba ya inchi kila kitu mnapinga tatizo empty minded always makes, noises. Ndio mtabaki nyuma tu kama matako
@bakariomari8758
Жыл бұрын
@@williammsungu2033 tatizo u ppl cant think bussiness wise y coz ur brains hav nothing bt yanga n simba maku ww
Hovyooooo! Kinachosemwa kingine nanyi mnahoji kingine, hakuna anayepinga utendaji wao au technologies zao tunataka tuelewe mkataba unasemaje? Vitu kama ukomo n.k.
@jambo3751
Жыл бұрын
Mkataba sio?! Kwani mlipopiga makelele mlikuwa mshauona huo mkataba. Ulioletwa bungeni sio mkataba lakini kelele zenu za wanasiasa uchwara za kupotosha wananchi zilikuwa kubwaa!! Imeisha hiyoo. Hatuwezi kuacha jambo kubwa lenye tija kwa Taifa letu kwa kusikiliza porojo za wanasiasa uchwara. Wanasiasa walewale Kama kweli Wana uchungu kwa Taifa letu mbona lilipokuja swala la USHOGA la Ndoa ya jinsia moja walikuwa wakijikanyaga na kubabaisha walipokuwa wakiulizwa maswali na waandishi wa habari kuhusu jambo lile. Waliogopa nini!
@jumaadremane7756
Жыл бұрын
Bado amna mkataba bro. First of all, we've to get the relationship in this area (in particularly). Then, will follow the contract. It's very early to talk about the contract.
@MsAggie5
Жыл бұрын
@@jumaadremane7756 well tunajua hamna mkataba lakini hicho kilicho sainiwa sijui unakiitaje bado kina utata tunataka tujue hicho kilicho sainiwa hakiko Sawa yaani hakieleweki vzr! Yale ambayo tunayoyaona yana utata yarekebishwe.
Acheni kutumika kuweni wazalendo
@wadhhasuleiman2621
Жыл бұрын
Wapuuz hao wanaongea utendaj KAZI wakati watu wanahoji nikataba huyo mshkaji kuli Tu Hana taaluma yyte
Ongera hii inchi inatakiwa tubinafsishe au Kila kitu nchi ata police wanatumwa kukusanya pesa hii SI sawa kabisa.
Ng'ombe zimepelekwa marishoni Sasa zinajambaa tu😅😅
Duh haya majamaa ukizubaa yanakuuza live
Kwahiyo hawa MBWA WAME TUMWA ILI KUTOLEWA USHAMBA😂
@AjiaMohamed-rt5pb
Жыл бұрын
Kivipi uyo kitenge kila siku yupo usa
Zembwela kama Zembwela 😂😂😂😂😂😂😂😂
c wamesema wataongeza ajira?jamaa anasema jioneeni wenyewe kweupeee
Nilisema kuwa kigezo cha kuajiliwa kwenye hii kampuni ni dini ubaguzi wa kidini
Huyu Kima wamempata wapi, "Pure Imposter" Nani kawalipia hiyo safari, malengo yake nini?
Hao jamaa wanatumika balaaa
Ila hawa wa zee ni waswahili sana 😂😂
Tatizo sio ilo au na nyie mmekula ganji!! Pumbavu zennyu
Zembwela mmekaaa nao weh na nan mnona mnatushilikisha kinguvu
Hovyo sana
Je Technolojia yao ndicho kiini cha Tatizo ? Tatizo Mkataba wapendwa!!!!
@wekezauchumi7440
Жыл бұрын
Mlizoea kupitisha mizigo bure...
@bakariomari8758
Жыл бұрын
Wewe hadi sasa, unafaidika nini na hiyo bandari na huo mkataba utakufaidisha nini dah watz. Kaka ww pambana na maisha yako serikali ikiamua nani atapinga tafuta life acha kuumiza kichwa na serikali. Ohooo
Afu mkiliangalia linaloelezea ni li shenzi la Zanzibar. Sikieni linavyoongea kushomboshombo
Kumbe ndio kati ya hawa walio hongwa...🤣🤣🤣🤣
Ovyoo!!
@alliymohamedalliy6524
Жыл бұрын
😂
mshalamba asali
Kenge hizi
WaHAINI TU!
Wazee wakanisa wanataka kudumaza nchi
Tanesco, shirika la maji, ndege airport na vingine wapewe vyote vyote serikari ibakize mambo ya utawara Bora aisee serikari inauza umeme wakikosa ela wanasema ongeza bei ya unit wapi na wapi hii nchi inakula wananchi wake na wanao liwa awataki wasiliwe 😂😂😂😂😂
Wame fata pesa tu hawa jamaa BANDARI ndio imesha uzwa Waarabu wapo mbioni kuja kutuibia
Suala la ajira na kuendelea Kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi Hilo halina mjadala Jadilini mambo ya mikataba yanayogusa wasomi
Zembwela babu hahaah😅😂 unahatari
Kweli hela za kupewa zinakuza uzwazwa! Ccm inakula ubongo wa kila mpenda fedha🤣🤣🤣
Acha ujinga wenu wa kitoto tunajielewa hatutaki,mbona hata mwalimu huko nyuma aliwahi kukataa wakati wazumgu wanataka kuchimba madini akawambia wenye nayo watakuja kuuliza nitashindwa kujibu.
@hamzaabdallah8637
Жыл бұрын
Acheni udini na Ukabira. Kila kiongozi na dira yake
Wasaliti wakubwa nyieee
Haya yote unaongea hawataki kukubali lkn tutabadilisha mwekezi kutoka Canada 🇨🇦 watakubali
Shida iliyopo sio ubora,ufanisi,teknologia au uzoefu.,shida ni mkataba wenyewe umekaa kinyonyaji serilali rekebisheni vifungu vibovu mviondoe kisha msaini mkataba na sio kututumia watu wakututamanisha na mkataba mbovu.
@wekezauchumi7440
Жыл бұрын
Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna
@mangeoff3935
Жыл бұрын
@@wekezauchumi7440😂😂😂😂 huyu jamaa hamna shule kabisaa mzazi wako alikula hasara kabisa
Njaa mbaya
Nyinyi acheni ushamba Yani ata afanani na mfanya kazi wa eneo analolionyesha kwanza anatetemeka. Kuongea Yani mnazidi kubugi mmarekani lini akajua kunakutoa lushwa ata kuongea achanganyi na kimomboa kama wezake Yani huyo ata lugha ajui mnachekesha sanàaa😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂
Aya wauzieni bandari.mikundu yenu
Duh nomakweli
Nawapenda wasaf tv
wapewe hata vituo vya polis vyote inchi hii niyaajabu sana,
😅😅😅😅😅😅😅😅😅nyiye nyiye mna vituko
Hakuna kitu kibaya kufanya mzaha ktk mambo ya msingi kama haya.mwalim nyerere mungu akulaze pema peponi.naikumbuka hotuba yako ulisema kwa nini msitungoje tufe ?
Muangalie vzr jamaa kushoto Kwa maulid
Nilishasemagga Wasafi ni Hovyo kabisa. Labda Sports tu ndo wanajua. Vingine vyoooteeee ni hivyo hovyo HOVYO kabisa
@bigjizee4130
Жыл бұрын
Doooh
Nahic vpengele vya mkataba lazima viwe vgumu mana muekezaji anawasiwasi na siasa ya wabongo, hapo hela nyingi mno imewekwa
Msikose kuulizia ukomo wa mkataba acheni kubwabwaja okey
😊😊😊
Kuweni wadharendo
Mbwaaa....hao
Wote njaa kwanza onyesheni vyeti vyenu vya uadishi wa habari . Kanjanja tu.
Halafu waandishi wa tz !!! Eti mpoki, zembwela, zungu, ndio maana Mh.Ndungai ukiwa unataka kuripoti taarifa zs bunge degree wote wamehamia tv online ndio vijiwe vyao hakuna taarifa za habari ila rusha roho ,masham sham. Upuuzi mtupu
Hawa Dp World wapewe mpaka viwanja vya ndege. Kwa ufupi hawa Waarabu Wapewe nchi kabisa. ....
Ivi nyie mnaakali kwel kwaiyo mna piga promo ya kuuza laslimalizetu
Wananchi tunaomba tupige kura iwe mitandaoni iwe mtaani hatukotayari kuendelea kuona tunanyang'anywa tonge mdomoni.
Machawa kama chawa
Tanzania kwaza
Mhh???!!! Jamani daa.
Kwani hizo double......zinauzwa mbinguni?
Zembwela amemaanisha nini kusema, "Mwambie muuza Bucha,anapokata mifupa kwa shoka anatarajia mie nile nyama kwa meno!?"?
Kama nyie mmepata mgao basi tuuze nchi kila mtu afe na chake
Nyie ni maku wote
Kwa hiyo ajira hakuna hapo
Hawa jamaa wa wasafi wanataka kupotosha au kuchepusha uelekeo wa hoja zinazoulizwa. Vipengele vya kimkataba. TUNAJUA KITENGE HUWA UNATUMIWA NA SERIKALI
@wekezauchumi7440
Жыл бұрын
Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna
@domycossan1395
Жыл бұрын
@@wekezauchumi7440 hakuna mwananchi au wananchi wanaoweza kupiga uwekezaji serikali ikiamua, sababu ya mkataba huo kuletwa bungeni ni wananchi wakubaliane kwa serikali kutafsiri au kuelewesha mikataba ikoje maana mikataba mingi imekuwa haina maslahi mapana ya kitaifa. Sidhani kama watu wote waliokosoa mkataba wana nia mbaya au hawajui umuhimu wa vipengele vinavyoleta ukakasi. Sasa hawa Wasafi wanachotuaminisha sio tunachotaka.
Mtaliwa nyie
JAMANI KWANI BANDARI YETU,IKIKAA HIVYOHIVYO ITAOZA?SIO SAWA KAMA MADINITUU?KWANINI TUNALAZIMISHA,VITU AMBAVYO,HAVINA MSAADA,KWA WATANZANIA.ITAFIKIA HATUWA,HAWA VIONGOZI,TUTAKUJA,TUGAWANE MAJENGO ACHA WATUUZI E HII NCHI,ALAFU MUTAONA WATANZANIA WATAKAVYO WAFANYA.
Wee kitenge wacha kujitoa ufahamu..mimi nilikuwa nakuheshimu kimbe huelewi kingereza...Aibu umeshindwa kufafanua vipengere vya mkataba...shame on you..
Mavinyie
Acha uongo mzee bandari kubwa ipo Mombasa Kenya. Kwanini nnadanganya watanzania wakati asilimia 80% mnafaulisha mzigo Mombasa. Bandari yetu haina uwezo wa kufunga Meli yenye Contena 6000. Tutaishia hivi hivi kuziona meli zenye Contena 600.
@wekezauchumi7440
Жыл бұрын
Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna
@bakariomari8758
Жыл бұрын
Hapo hakuna bandari ya tz ilotajwa kijana kaongelea bandari za, dubai kaka. Mm nafanya nae huyo kijana namm nimkenya. Huyu nikarani wa meli na mm tag driver tupo waswahili kibao. Wakenya mlizingua na, siasa ndio wakaenda tz
Kumbe safari yenu ya dubai ni ya kimkakati
@wekezauchumi7440
Жыл бұрын
Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna
@TamuzaKale
Жыл бұрын
@@wekezauchumi7440 Hao wajomba wakija mzee RUSHWA pale bandarini kwisha habari yake. Kuna watu watakufa njaa kwa janjanja!
Mifala hiii
Dp inawafanyakazi zaidi ya elfu kumi jebel Ali port Kutokuwaona watu inatokana na utaratibu wakuepusha ajali zisizo za lazima Kila meli inapangiwa zaidi ya watu 24 kama wahudumu Mfano lasher 16 Foreman wanne Makarani 4 Na wanao opereti crane 8 Hiyo ni Kwa operation ya crane 4
Walivyo wapumbavu wanahisi sisi tuna wasiwasi na uwezo wa DPW, tatizo ni mikataba ya kitekaji!
@simonmalegesi414
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Tunajua rengo lenu . Ivi kwanini hamtaki Yale tunayo taka Ni mkataba wakifeli makubaliano wawe tayari kuvunjwa mkataba na wapewe mda wakifanya vizuri walinwuu mkataba Ila Sio tuingie mikataba tukiwa tumefungwa kitambaa usoni tunajua hakuna mwekezaji asie na faida duniani msitudanganye kwa pambio hii na nchi
@wekezauchumi7440
Жыл бұрын
Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna
@jamesrichard1084
Жыл бұрын
@@wekezauchumi7440 ujielewi ata maskini, chawa
MKATANGAZIE HATA MBINGUNI,NI GHARAMA ZENU,SI TUNATAKA HABARI TU ITANGAZWE VIZURI.
Zembwela umesbtsha hauna akil nilijuwa una akili kumbe chawa chz njaa mbaya kwel tambua Watanzania wana akili mbwa wewe
Tunajua mmetumwa! Lakini ikiwa ninyi, au waliowatuma au hata Shetani anayekusudia mabaya kwa nchi yetu,hamtafanikiwa kupeleka urithi wetu kwa wanyonyaji in Jesus name.
@wekezauchumi7440
Жыл бұрын
Toa point acha maneno
@wekezauchumi7440
Жыл бұрын
Mlizoea kupitisha mizigo bure na kwa kujuana...lipa
hawa jamaa ka ni wazenji au
@abrahmanifarouckissa5662
Жыл бұрын
yes
Hapa kinacho ongelewa si ufanisi,ni masharti ya mkataba
Mambo mazuri, swali langu 1 tu. Hapo mnasema huoni mtu, sasa hizo ajira kwa wa TZ zitatoka wapi? Naomba kuelimishwa.
@edsonnelson4464
Жыл бұрын
Kumbe na wewe una jicho la tatu, kama ni vyombo tu na mitambo ndiyo inafanya kazi hao wafanyakazi watabaki na kazi ipi namwwekezaji anataka super profit
@HusseinRj
Жыл бұрын
Ndio Dunia inapokwenda huko, Bora iwe hivyo2 coz watu wakiwa wengi jau2
@Ali-nl2du
Жыл бұрын
@@HusseinRj Nakubali kuwa efficiency inahitaji matumizi ya automation. Lakini inawezekana kuwa kwa upande mwengine zikatokea ajira zinazohitaji human labour.
😅
Nchi ina watu wajinga sana, ivi hawa ndio wanasheria wa serikali yetu, mbona tunafeli sana jamani. Wekeni mwanasheria atoe maelezo ya mkataba huo. Mna promoti ujinga kama huo. Tuna mtaka mwana sheria wa serikali aeleze hapo kuhusu mkataba
Tunazungumzia mambo yaliomo kwenye mkataba sio ufanisi wa kazi zao.mbona mnapotoshaa....
😂
Hii danganya toto hadi lini Tanzania lakini?,kwa hiyo kwa akili yenu mna taka tuamini hii bandari itajengwa bongo?😂😂😂 mjue mnapo lipwa bora mle mnyamaze sisi sio wajinga kiivyo kuleni hela za waarabu iko siku huu uthamni mlio pewa Leo mta ujutia na hizo hela za hongo mlizo pewa kwenye bahasha alafu nili tamani awepo mtanzania hata mmoja kutoka mtwara au shinyanga kumbe wapemba wote sio kwa ubaguzi Ila hapa tumepigwa
@wekezauchumi7440
Жыл бұрын
Kaka mnaopinga wengi wenu hamjui na kama mnajua basi ni wale mnaoitumia bandari yetu kwa manufaa yenu...tunasema vitu vya bure kwa bandar yetu hakuna
@williammsungu2033
Жыл бұрын
@@wekezauchumi7440we nawe umetumwa kujibu kila comment ya mtu? Ovyo.
@mangeoff3935
Жыл бұрын
@@wekezauchumi7440 ukubwa wa ubongo wako unapimwa na ukubwa wa kauli unazo zitamka mbele za watu hii sio agenda ya mtu mmoja kupata manufaa bali ni agenda ya watu wote kupata faida,Je unajua mkataba huu una isha lini au una toa faida gani kama gawio kwenye nchi yako?,Ama haujui ushuru na faida zinazo toka bandarini ndizo hujenga miundo mbinu na kukusaidia wewe kupata huduma bora?,ndugu yangu jitahidi sana kuelewa point iko wapi usiwe bendera wewe ni mtu mzima na akili timamu naamini mzazi wako ada yake hakutupa kukulipia wewe alitaka siku moja uwe mtu wa maana kwenye jamii sio kukomenti nonsense kama hivi
@mangeoff3935
Жыл бұрын
@@williammsungu2033 usi mlaumu sana huyu ndugu pengine ni mtu mzima tu na sio mtu mzima mwenye akili timamu pia na wasiwasi na level ya shule na hata jamii anayo tokea kwa anae jua hii agenda ilivyo na inako elekea hawezi comment utoto kama huu alio fanya
Vibarua waende wapo? Kama mashine ndio zinafanya kazi watanzania kazi hamna..tegemeeni majambazi wengi😢
@AjiaMohamed-rt5pb
Жыл бұрын
Teknolejia imekuwa waende wakalime
😅😅😅😅
🙉🙉🙉🙉🙉🙉
Hao ndio waandishi waliohongwa hawafai hata kidogo, wamehongwa. Na hilijambo tutatoana ngeu
Ujinga wawatu wajinga nimmojatu, waohuamini umaarufu ndio akili ama umaarufu unaweza kuwa naushawishi hata katika upumbavu, watanzania waleo sio washamba kabisa ila ushamba una washamba bado upo kwawa shamba wenye mawazo yakizamani kuamini eti ukiwa maafu unaweza kuwa shawishi watu hatakama jambo nila kipimbavu hizozama zimesha pita watanzania waleo sio wajuzi wana akili timamu kwahiyo kuwalaghai siorahisi
NAKUBALI MAMA SAMIAA UNAUPIGA MWINGI ACHANA NA MANENO YA WATANGANYIKA HAOOO
@godlovemasamakibatandu2092
Жыл бұрын
Ndio wenye nchi. Zanzibar ni kama wilaya tu kwa tanganyika
@ikopwdjh694
11 ай бұрын
Wazanzibar wote pumbavu zenu
Aisee mie awa jamaa tukiacha ofu za wanasheria wetu awa wanatufaa ila SI kwa bandali zote hapana mbili sawa au 3 pia kwa swala la muda miaka 50 sawa
Majinga