Prof. ANNA TIBAIJUKA ACHARUKA/ WATU WANAINGILIA UTENDAJI/BANDARI/ DP WORLD/ MKATABA UREKEBISHWE
Ойын-сауық
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 1 100
Haya sasa Nani anakataa WAHAYA wasipewe nchi. 🙏🙏 Bibi yangu Anna Tibaijuka Mungu akupe maisha marefu.
@yusuphngamela5611
10 ай бұрын
Apewe nchi hata kufafanua anashindwa kufafanua
@OmmyJames-xn7ji
10 ай бұрын
Kibibi kijizi kilpewa rushwa pesa ESCROW KIKASEMA HIYO NI PESA YA MBOGA 16 billion Tsh na MAASKOFU WA TEC
Haya ndio matunda ya Nyerere. Elimu, uelewa, kujiamini, ukweli, na uimara wa dhati ya moyo kusimamia lile unaloliamini bila uwoga/unafiki… Kudos Mama Tibaijuka! Umeingia kwenye Historia pekee ktk hili na mengine uliyoyafanya kulitumikia Taifa letu.
@othumanomari1589
Жыл бұрын
Very good my mother ❣️🇹🇿
@juliussilvestar8988
Жыл бұрын
Mwanache bunge lingebidi liwe na wabunge wa aina hii.Tatzo reasoning yetu imekuwa ndogo sanaaaaa.Mama tibaijuka hawa ndio real thinkers watu wametumikia taifa na kimataifa pia alikuwa director wa UN habitat kwa kuteuliwa na katibu mkuu koffi annan.Watu ambao IQ zao ni kubwa they think further
@eliudntabusi9712
10 ай бұрын
@@juliussilvestar8988 .
Hii nchi kuna watu wanaakili sana, prof tibaijuka upewe maua Yako mama shikamoo sana
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Saaana aiseee
@MsAggie5
Жыл бұрын
😂
@damianmstambi848
Жыл бұрын
Inchi inaogonzwa na wajinga wenye akiri wamekaaa kuwa watazamaji ,ndo ccm hawataki kuweka watu wenye Quality wanatuwekea watu wenye history ya kuwa makalani we nned watu wenye brain bana siyo wapaka poda. Sasa angalieni mda wa kusoma akaelewa mkataba atatoa wapi wakati kusoma kwenyewe kaishia kuwa kalani
@samirazuberi186
Жыл бұрын
Lakni cha ajabu watu kama hawa ndio wanaogwa vita na haishii hapo mwisho hata kuuliwa wanauliwa hapo ndipo pakushangaza
"Maneno hayasifiwi kwa wingi wake bali kwa uzito wake" - Prof. Tibaijuka 2023
@johnvianey4220
Жыл бұрын
Hapo kwenye goverment taxation kwa nini vijana wanaojiajiri wasipewe tax holiday kwa muda fulani ?
@andrew29468
Жыл бұрын
naiona elimu halisi hapa
Huyo Ndio mama halisi wa nchi yetu Tanzania 🇹🇿 ❤🤲🏽❤
@kingmichael1234
11 ай бұрын
Ameen 🤲🏽
Huyu ndio professor..OG..anazungumza vitu vinaeleweka wala hatumii nguvu..blessings..
Hongera sn,,, hakika umetoa Elimu kubwa Mnoo kuhusiana na Taifa na huo Mkataba kwa Ujumla...Mm binafsi nimekuelewa Vizuri Mnoo kwa undani sn,, Mwenyezi Mungu akubariki sn Prof. Anna Tibaijuka 🙏🙏👏👏👏👏
You are an Angel mama Mungu aendelee kukutumia. Uishi maisha marefu mama yetu. Keep up on raising your voice for our country. God bless you
@KassimAlly-xp4dz
Жыл бұрын
Do u really know that woman na alichokifanya kwenye hii nchi guys acheni siasa
@pasiensiabel7278
Жыл бұрын
@@KassimAlly-xp4dz vp wew binafsi umefanya kipi cha maana kwenye hili taifa
MZEE MWENZANGU UMENIFURAHISHA SANA. TATIZO HAWA WATOTO TUNAOWATETEA HAWAJITAMBUI . NCHI TUNAYOYATAKA WAIRITHI HAWAJUI JINSI YA KUILINDA. HIVI WAANDISHI HAWA WANAOGOPA KITUO CHAO KUFUNGIWA? (Herufi kubwa hapa ni kusisitiza)
Mama Tibaijuka..wewe ni almasi ya nchi yetu.Mungu Akutunze❤❤
❤ "Bandari ni roho la uchumi wetu. Maneno hayasifiwi kwa wingi wake bali kwa uzito wake "....mie nime mnukuu prof. Tubaijuka
Mungu akuzidishie miaka na afya njema, na awanyakue wote walio na Nia ovu juu ya nchi yetu
Eeeeh Mungu ahsante kwa ajili ya maisha ya mama Anna Tibaijuka.
Professor Tibaijuka deserves the presidency, at least her words show the way...
Mama yetu mungu akuzidishie maisha zaidi tunakuombea waambie halo wajuwe
Uyu mama kichwa Sana eeeeeh, nimemuelewe, Sana kwa kilicho andikwa ni shida mama, huu mkataba wa ovyo shida wengi wanawaza kula umeongea Jambo la nchi Asante Sana.
Very intelligent one women from Bukoba well sayed
Ni kweli mama mkataba hiyo ni madharau sana kwa nchi yetu na raisi wetu
Asante Mama Anna Tibaijuka usiogope kuwa mkweli Sisi tutaunga mkono unachokizungumza na hiyo ndo Maana ya Elimu, Ubarikiwe
@chingaboy1149
Жыл бұрын
Ana anaukweli gani wakusema mwizi tu huyu kakosa masilahi elimu gani alonayo punda huyu mzigo tu kwajamii
@mudrikramadhani32
Жыл бұрын
@@chingaboy1149 we unaakili kweli !!!
@ZionTZ09
Жыл бұрын
@@chingaboy1149 we mbumbumbu unakipi cha kumkosoa profesa.....
@sebastianmwantuge5597
Жыл бұрын
Wewe ni kichaa
@chingaboy1149
Жыл бұрын
@@ZionTZ09 frofesa or profusa kasaidia nni zaidi ya wizi kwendraaaaa huko mtwanwa wakifikra wew
I love this prof,the way she articulate things,it's so impressive.
Professional conversation much respect to professor 👌
she deserve to be a role model 💪🤏🧠
@user-rr5wj3il6b
Жыл бұрын
mama unatosha saidia Tanzania inamalizwa
@user-rr5wj3il6b
Жыл бұрын
unatosha saidia nimekuelewa Rais awafukuze wanamuza mama
@edwardpeter8569
Жыл бұрын
Hawa ndionwa kuwafanya kuwa Washburn wa Rais
@tumusiimeomukama3151
Жыл бұрын
Tz ni vigumu Sana mtu mwenye akili kubwa kufanya kazi vizuri maana Kuna, wivu, fitina, kuangaliana unatoka wapi? Wakigundua unafanya vizuri kuwazidi wanapanga mbinu ya kukuangusha. Bora abaki mstaafu awe huru kutoa maoni bila hofu. Mchawi wa Afrika ni Muafrika mwenyewe.
@saturinimushi4746
Жыл бұрын
Nawaomba Viongozi wa C C M tumieni Hazina yenu hiyo Muitoe Bandari Yetu na Bahari Yetu kwenye Mikono ya Mkataba Wenye Mashaka yakutuingiza kwenye Majanga. Kama Ushauri wa Prof. Anna Tibaijuka aliyewahi kufanya Kazi UN- HABITAT huko Duniani Kimataifa hautozingatiwa Nadhani Tutakuwa Tumelogwa. Tutakuwa Tumechawiwa. Bishop Gwajima Fanya Maombi ya Kurudisha Bandari Yetu Imechukuliwa Msukule. Akili za Baadhi ya......zimelogwa na Chai ya Marashi huko Jangwa la Dubai. Rudisha Akili ya Viongozi Kwa Mamlaka ya Jina la Yesu Kristo wa Nazareti Aliye Hai.
Mungu akubariki mama Anna Tibaijuka 🎉❤
Uishi miaka Mingi Prof Tibaijuka !! Mama Nakupa Maua yako 🎉
Well said Prof Tibaijuka Be blessed🙏🏼🙏🏼
Huyu ndiye professor na ana hofu ya Mungu ubarikiwe professor
Mungu akutunze prof hakika sichoki kukuskiliza
Kweli bibi mungu akulinde sana
Mwenyezi Mungu amzidishie miaka mingi zaidi tuzidi kufaidi elimu yake. Hakika huyu ni professor haswaaa
Congrats Prof Tabaijuka... Napenda uadilifu wake pia🇹🇿🇹🇿✔✔.
@shamisahmed4806
Жыл бұрын
Uadilifu haupimwi kwa maneno wala kwa muonekano wa mtu bali uadilifu unapimwa kwa matendo ya mtu...!
Prof apewe maua 🌹🌹🌹🌹yake kichwa kimoja zaidi ya wabunge 300
@johnycavishe5207
Жыл бұрын
S ndyoo kwishaaaaaa
@dainessgaspar6042
Жыл бұрын
Hivi hawa wabunge wanaopiga makofi tu bungeni kupitisha utumbo huo IQ zao zinaakili kweli???
Asante sana prof tibaijuka umeongea vizuri sana tena kwa uzoefu na kwa mifano wale wanaojitaidi kupinga wakupinge na watoe sababu zenye mashiko kama hizo Kiukweli kabisa hakuna sababu ya kutumia nguvu sana kama wanatulazimisha walazimishe lakini hatuwezi kufikili kama wao
Tunaomba interview nyingine na huyu mama..🇹🇿🇹🇿🤞❤️anajua vitu
Mungu akubariki Mama yetu umeongea kwa niaba ya Nchi Nzima. Mama Samia anamengi ya kujifunza kwako
Safi sana mama Tibainyuka kwa kuwa mkweli na kuweka itikadi pembeni. Na umefafanua ili watu wa kawaida waelewe. Ni watu kutokuelewa maana ya maneno. Na kuwa ruhusa akina Msukuma Bungeni wa sio na elimu kuuchakachua bila wa kuelewa kwanza sababu ya lugha na wakati a hoja na kuongelea ni kama kumpa Mtoto awe raisi wa nchi. Hivi wana ccm wasomi wote, maraisi wastaafu wamekaa kimya inamaanisha nini? Huyu muuliza maswali kijana, maswali ya kijinga sana bila uelewa kabisa. Na vijana hawa hawaelewi kabisa. Mtanzania ukaombe okay Dubai kuhusu nchi yako unajua wa Sawa tu. Swali kwa vijana, wewe Unami I’m a ruhusa jirani yako mwanaume kuhusu mambo yako ya Ndani si umekuwa bwege? Tibainyuka kakuuliza je unajipenda? Hawa vijana hawana uelewa kabisa.
@michaelfrenkline3429
Жыл бұрын
Inawezekana anaelewa Ila kauliza ili yeye na wengine waelewe zaidi
God bless mama, prof Tibaijuka 🤝🏆
Mama wewe ndo Prophesor Mungu akupe maisha marefu Sana.
I will become a Prof like her siku Mojo. Am so much inspired kwa kweli..
@demicratia4071
Жыл бұрын
Do it faster like the mkataba
Yani Oscar kweli unalinganisha mkataba wa FEISAL na Azam na Mkataba Bandari 😂😂😂. Halafu eti unasimea PhD? Utakuwa Dr. Wa hovyo Sana 😂😂😂
@johnycavishe5207
Жыл бұрын
Wasomi wa tz bd Sana ata raia wa kawaida awez kbal mkataba wa ovyo wa bila kikomo Yan miaka buku kwel nononooooo
Barikiwa Sana mama Tibaijuka Wagambage muno❤
Nimumuelewa sana prof Anna Mungu ambariki
Very conscious prof Anna Tibaijuka👏👏👏👏👏👏
Jamani naomba Mama apewe muda na Watanzania wengi wamsikie!! Naomba sana!!
@kennethbenjamin275
Жыл бұрын
Syo kwa waandishi hao
@bibieismaily5761
Жыл бұрын
Ndiyo, Media nyingi zikutane naye ili elimu iwafikie watanzania wengi....iv mbona baadhi ya watu hawana uzalendo jamani?
@kennethbenjamin275
Жыл бұрын
@@bibieismaily5761 media zipo hizo zenye waandishi watangazaji wanaojua kungamua na kuuliza maswali,proffesionalism imevamiwa sahv
Sasa huyu ndio proffesor. Big up Mama Tibaijuka ❤
Tibaijuka Anna kwenye Ubora wake. Mungu akutunze mpendwa wetu.
Masuala ya nchi mnatuletea issue za Mpira. Inaonyesha Uwezo mdogo wa waandishi. Well done prof. Well said
@brigittamlanga2946
Жыл бұрын
Yani hao hapo studio ni bogas sijawahi ona, wana leta mpira kwenye Issue ya maana hivyo shame on you ppl.
Asante mama umeonesha uzazi wako kwa taifa letu na mungu akubariki
Mama ana hakiri sana mungu amjalie umri na maisha mrefu Tanzania tunahitaji viongozi wenye hakiri na busara kama awa❤
@adeodatuskakorozya9064
Жыл бұрын
We nawe hakiri ndo nini sasa! 🤷♀
@williammgaza9284
Жыл бұрын
Halex sio Hakiri ni Akili ..bwana Alex 😂😂
@elizzywhyte5496
Жыл бұрын
Hakiri ndio nini sasa na wewe
Mama nimekupenda sana. Umetema madini. Hujamungunya maneno.
@kwisa4899
Жыл бұрын
kawaida yake
Yes, my sister Prof!
Tibaijuka ur are real prof, very good mamaaaa
+255🇹🇿🇹🇿Genious tibaijuka❤
Waandishi leo mmeniangusha ,hamuwezi kumuingilia prof anaongea, mie nimechukia mnavyomshambulia sana! Hebu muwe mnaspare maswali walau mnamtafutia interview ya masaa sita ! This is professor please respect her
@leokamil6284
Жыл бұрын
Hawana upeo
@MelvinSony
Жыл бұрын
yani ni kama anahojiwa na watoto wa chekechea!
@petermsangi2701
Жыл бұрын
Hawana upeo kabisa, huoni wanaingiza maswala ya mpira kwenye issue nyeti..Soo sad
@Leeeeeeee-96
Жыл бұрын
Asali ndugu
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Amka usingizini ndugu yangu hamna kitu hapo uprofesa chini ya mitaara ya MKOLONI 😂😂😂
eddo na Oscar acheni ujinga kabisa mama anaongea kwa points nyie mnaleta kubalance kwa serikali acheni hizo
@leokamil6284
Жыл бұрын
Kujipendekeza ndio sifa yetu
@anickashasha
Жыл бұрын
Wanahabari walilambishwa asali.
@bibieismaily5761
Жыл бұрын
Wanahabari kazi Yao no kuchokoza na wamechokoza haswa, ww ungepataje?
Tanzania kwisha habari yetu. Asante Mama kwa ufafanuzi mzuri. 😢😢😢 Chochote kile kitakacho fanyika Tz lazima tutoe taarifa. Maana Tz ilisha pewa Waarabu iwe yao milele
🥀🌻🏵️🌼Maua yako professor
Kweli kabisa Professor Tibaijuka. Mh Raisi wetu alikuwa anafanya kazi yake vizuri sana ila mkataba bubu huu sijui ni nani alimshauri akakubali kuingia kwenye hii shida maana Watu wengi hatuafiki ni wachache wakiwemo wabunge tunaowachagua watusaidie lakini wanatuangusha jamani ni lazima watu wakubali mrejesho wa watu wengi kuwa watu hawataki labda kama Nchi ni ya Wa bunge tu. Shukran sana Prof Tiba MMUNGU akupe afya rizk na umri mrefu.
@ibrahimshilinde6129
Жыл бұрын
Hela hizi,mnashangaa nizambogamboga tuu,wpo watu Wana mapesa Bwana,naanzanje kumpongeza huyu na kwalipi?.
@user-rp2so8bg2j
Жыл бұрын
Anaongea kwa maslahi ya nchi kwanini asipongezwe Acha chuki binafsi kama hujui kitu kaa kimya
@wilbertmombo9834
Жыл бұрын
@@ibrahimshilinde6129 Watz ni watu wa kusahau kirahisi hata Joka la Makengeza akijitokeza hapa kuongelea suala la DP watampa Maua kama yote
@wilbertmombo9834
Жыл бұрын
@@user-rp2so8bg2j@osiahlwinga915 Unajua kwamba huyu bibi alipokea billion kadhaa Toka kwa washirika wake kina Rugemalila na Sethi Singasinga wakati wa lile sakata la Richmond/Escrow na kuita hizo billion ni visent vya mboga
@renatusmatungwa2508
Жыл бұрын
@@wilbertmombo9834 kwahiyo mtu akituhumiwa hapaswi kutoa maoni kuhusu nchi yake.?uthibitisho wa kwamba alipewa pesa haupo ndo maana walishindwa kumpeleka mahakamani hafu istoshe ishu ya Escrow waliohusika ni wengi kwanini huyo mama tu ndo anayeandamwa.?
This Prof. is Patriotic and Realistic!
@jitukorofi9517
Жыл бұрын
Alivotafuta billion za escrow na kusema ni hela ya mboga alikua patriotic?
@brightergermanus2163
Жыл бұрын
HONGERA SAANA. MAMA ANNA DIBAJUKA TUNAKUHITAJI MWAKA 2025 KUTOKANA NA TAALUMA YAKO, ELIMU YAKO NA HOFU YA MUNGU ILIYOPO NDANI YAKO PROFESA ANNA
@brightergermanus2163
Жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SAANA PROFESA ANNA
@sheilamaziku5980
Жыл бұрын
@@jitukorofi9517alafu leo hii za bandari anaona zinauma
mungu akubariki pro.. Anna Tibaijuka Heshima kubwa kwako🙏🙏🙏
Mama uko vizir mungu akutangulie na kauli yako iwe namashiko 🙏😘🇹🇿
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Mama akihitaji kiben10 nipo hapa kijana wa hovyo,bado anadai kabisa na uzuri wake nataka anileee
ASANTE sana Proffesor kwa Elimu kwa Sisi watu wa chini Raslimali za nchi ni za wananchi Hazina utikadi Ni zetu wote
@vedastusngaiza5960
Жыл бұрын
Hawa waandishi nap ni poor
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
@@vedastusngaiza5960 wote vilaza
Meamini akili za wandishi wa habari wetu ni hamna kitu😢😢😢😢😢😢😢 pole snaa hii nchi inawatu wa hovyo sanaa
@Cath844
Жыл бұрын
😂😂😂
@kennethbenjamin275
Жыл бұрын
Alafu ndiyo wanajiita waandishi
@atanacyzacharia3092
Жыл бұрын
Inasikitisha sana uchawa kujipendekeza ndio kumezaAa watu wa aina hii watu hawaamini taaluma hawaelewi madhara ya mikataba ya hovyo hivi unaambiwa uhuru wako unaenda kumkabidhi mwarabu na bado umeshupaza shingo
@danielkembo2177
Жыл бұрын
Ni wasenge wanauliza maswal ya kipuuzi,, issue serious kama hii unaingiza story za mpira fala kabisa
@williammziray3813
Жыл бұрын
😅 we have none.. kina kikeke ndio watu
Huyo Ndiye Profesa Tibaijuka mwenye uwezo.mzuri sana Kweli maoni yake yaangaliwe na kutekelezwa
Kweli nimekubali. Nchi hii kuna hazina. Big up Kajumulo.Mungu akulinde.
@KassimAlly-xp4dz
Жыл бұрын
Una uhakika hazina uyo mangapi ameyafanya kipindi chake rasimali ngapi ameshiriki kuuza fisadi uyo
@tumusiimeomukama3151
Жыл бұрын
Alisema mnao jua aliyo yafanya mjitokeze myaseme na muonyeshe vidio sio hayo ya kuediti mnaweka pc yake huku mnasoma.
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Nyie ongeeni tu ila mimi mama nimemkubali bado ni pisi halafu nimesikia yupo single dah.mimi kama kijana wa hovyo naona mama utelezi bado anao najitolea anilee
Nawashukuru wasafi kutuletea profesa ametuongezea maarifa kuhusu huu mkataba.
@adelinelyaruu3036
Жыл бұрын
Partnership inabidi iwe 60 kwa TZ and 40 kwa Dubai. Tayari TZ imewekeza sana kwenye Ports zetu.
Mama uko safi sana. Nyumba yako halafu uombe ruhusa kuifagia? Utumwa unarudi kwa mlango wa nyuma. Samia mama na rais wetu, sauti ya wengi in sauti ya Mungu. Mniwie radhi," Hii ni laana kwa kuyapuuza ya baba wa Taifa na Yale ya JPM." Uhuru bila mipaka hats visiwa watu wanauza tu. Tusiporudi kwenye njia sahihi, kama she he mmoja alivyosema tumlilie Mungu, hays yatatumaliza. Tibaijuka mama asante sanaaa
congratulation sana Professor Anna Tibaijuka.....umeongea kama mzalendo mwenye uchungu na nchi yake umeona mbali kwa faida ya vizazi vijazo big up mama
Asante Dada yangu Umeongea vizuri sana .Gombea Urais 2025 tutakupa kura za ndiyo.
Mama Anna Kajumlo kweli una madini kichwani,tema 2 Asante xn
Umeeleweka sana mama profesa wetu. Wazee kama nyie ndiyo tunu ya taifa hili. Nimekusamehe kwa habari ya escrow hasa ile sentensi yako ya “hela ya mboga” iliyotukwaza sana. Kwa uzalendo ulioonesha leo tunaamini tuko pamoja sasa. 👍
Bongo nawasikiliza maprofessa wawili Tibaijuka na Kabudi🎉🔥🔥🔥
Well Noted well said..Thank You Prof. Waandishi Mnaitaji Elimu.
Leo watangazaji mmenizihilishia kuwa uwezoo wenu ni mdogo sana yaaan mdogo mnoo
@kyaro5945
Жыл бұрын
Hawajui lugha. mikataba imepigwa kizungu. pia watu hawajausoma mkataba
Muleba tukovizur.mama kashusha point nzur
@dicksonwanyama1689
Жыл бұрын
Kabisa boss
Professor your so wise nimekuelewa sana.Hao form iv hawakuelewi nchi yenye uhuru hawezi kwenda kuriport kwa nchi nyingine juu ya fursa zake huko ni kutawaliwa
Kwanini watangazaji mnauliza maswali mara mbili mbili mbona mama anaeleza vizuri tu ,,,,duhhhh ila watangazaji hebu kwenye kipindi km hiki wekeni watangazaji wenye uelewa mzuri ili kipindi tukielewi na wawe wenye kuuliza maswali ipasavyo na sio kurudia rudia
@titokwareh1852
Жыл бұрын
Tz hakuna waandishi, hao wote hapo uelewa mdogo Sana.
@aisharamadhani1948
Жыл бұрын
@@titokwareh1852 sahihi yani huyo mama ana madini ila kakutana na watu wasioweza kwenye kazi yao
@user-oz1pp1ck2m
Жыл бұрын
Akili hamb
@user-oz1pp1ck2m
Жыл бұрын
Hawana akili watangazaji
Maneno hayasifiwi kwa wingi wake yanasifiwa kwa uzito wake.✔✔✔
@adelinelyaruu3036
Жыл бұрын
BIG UP PROF. TIBAIJUKA
Huyu mama yuko vzr, anaongea kitu muhimu sanaaaa
Tibaijuka 👍
Asante kwa kututoa tongotongo bibi yetu. Wewe Kweli ni profesa wa ukweli. Usichoke endelea kusaidia taifa lako
Hongera sana mama tafadhali waelimishe ndugu zetu kama wamekosea pia kwanini mfafanuzi mkuu amekaa kimya? Vile vile Jamhuri ni pande mbili sasa jamani wasomi wetu waliojazana kwenye serekali hawaoni haya mambo mpk utoke wewe mstaafu ? Anyway sijui lkn meseji yako imefika hio na wewe tu nakuombea mama akuchukue kama mshauri wa uchumi maana unaweza kuliko hao wanaume. Mungu akubariki inshaallah na akulinde kwa kutoa ufafanuzi uliofichwa. Amiin
@nyakatongongo4292
Жыл бұрын
Asante sana mama kweli si wingi wa maneno bali uzito wa maneno.mama kaa karibu na mama Samia umshauri kuhusu hili jambo mama fanya hivyo kwa ajili vizazi vya kesho ❤mama
Madam Tibaijuka,always a scholar per excellence.I remember you in Nairobi,UNEP/UNDP etc.
Asante mama, umeitendea haki elimu Yako. NATAMAN wanawake wanisaidie mama Samia. Mama Samia ni Rais mzur sana na ana Nia nzuri sana ya kufungua nchi hii... Ila wasaidizi na washauri wawe makini. Pia idara za habari za serikali zimepwaya sanaaaa.... Hatujaskia afsa habar wa wizara ya ujenzi, wizara ya biashara walisema kitu,, Gerson na mwenyewe alichelewa pia.... NA MUHIMU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YUPO WAPI?? AMEKAA KIMYA SANA
Blessed Tibaijuka🙏🙏🙏🙏🙏
ASANTE Prof kwa tafsiri yako nzuri kuhusu Mkataraba. Vijana hao hapo studio hawaelewi somo zima la kuachia nchi kirahisi hivyo. Rais samia amefanya mazuri meeeengi sana. Lakini wabunge wooote eti hakuna mwenye kuonyesha hofu kuhusu Uwekezaji wa Bandari na anga letu? Binafsi nina miaka zaidi ya 60 sasa.! Inauma sana sana wabunge wetu kuingizwa ndani ya zwengwe hili. Kusiwe na vitisho kwa sisi wachangiaji wszalendo. Mkataba huu urudiwe wawakilishi wetu yaani wabunge wetu sifuate mkumbo yaa wawe upande wa CCM ni Mh. Mpina tu ndiye ameonekana kuhoji na kujenga hofu ya mkataba wa Dp world na wapinzani wa chadema.? Hakika, katika hili wawakilishi wetu mhhhh? Sikieni sauti za wananchi wenye hofu badala ya kusema atakaepinga tupo nae. Kumbe ni lasilimali ya maeneo ya bahari,maziwa badari na anga? Alafu kweli mna kaa harakaharaka mnaupitisha?Jamani jamani,.mbana SGR na BWAWA LA NYERERE NA BOMBA LA MAFUTA hawashiki maeneo mengi ya nchi yetu wanahusika na maeneo ya mradi ulipo tuu? DP WORLD ni BANDARI MAZIWA eti na ANGA?.MKATABA HUU UBORESHWE. WATAALA NA WAZALENDO MPO?
Asanteee sana mama kwa maelezo yako mzuri bila kuangalia uliyoyafanya huko nyuma kama wasemavyo watu
Wasomi kama huyu MAMA ndiyo wanafaa kuwa viongozi wakubwa katika inchi zetu,siyo huyu kiazi tulienaye.MUNGU wetu wa mbinguni akutunze mama Tibaijuka.
@geey7893
Жыл бұрын
Haha😂😂kweli ni kiazi
@hajihassan5433
Жыл бұрын
Alipewa huo Uongozi akaupiga mwingi na kujizolea maua kwenye Richmond, ulisahau au hutaki?
@neemakrekamoo4789
Жыл бұрын
@@hajihassan5433😅😅😅hawamjuiii watafute clip za bungeni kuhusu escrow Maza alivyozoa mpunga, akasema bilioni Moja ni Hela aliwekewa ya mboga😂😂😂sshv inamuuma sana maana wenzie wanakula za mwarabu na yy ni mtazamaji km sisi....lazima iumee....that time alitu let down sana. mpigaji sn huyuu
@neemakrekamoo4789
Жыл бұрын
Alishapewa uwaziri wa ardhi akapita na hela za Bush kidogo atuuze Wana kigamboni,,,na Kuna mabilioni ya escrow aliyazoa halafu Kwa dharau akasema ni Hela kidogo TU ya mboga😅😅😅Lol ....sshv lazima atoboe Siri maana migao ya mwarabu haijamkuta, anaangalia àkiwa nje nchi inavyotafunwa....sshv ndio anaelewa uchungu wananchi wanaoupata...hata yy hafaiiii🙌
@wilbertmombo9834
Жыл бұрын
Watu wamesahau kwamba kina Ruge na Singasinga walikula pamoja na huyu mama wa visent vya mboga
Mama uko sahihi kabisa mama Samia anatakiwa kusaidiwa sana Warabu wasimuingize mkenge
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Samia keshaingizwa chaka na wabunge
daaah we mama ujengwewe Sanam kwakweli daaah nilikuwa sikujuwi Kama kichwa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante Mama Anana huenda Mama samia atapata nafasi ya kukuskliza...
Nishajua tatizo uyu mama interview aloingia sio ya mambo ya siasa so mama kaelezea vizuri sna bali wasafi washazoea mpira na umbea so hamna mtu mwenye mawazo ya siasa
Prof. umeeleweka vzr. ✊✊✊
Nikiwa na akili timamu kuanzia Leo nimekusamehe makosa yako yakutumia pesa ya escrow kama vijisenti well said mama simamia Taifa lako na watu wako
Prof.Asante umetufungua, kweli tunahitaji wasomi kama nyie, urithi wetu na vizazi vyetu tuulinde .Mungu akulinde.
Si kuwapa taarifa tu. Ni kuwapa taarifa na mpaka wakubali. Nawashangaa sana hao vijana nao ati hawana macho ya kuona ubaya wa mkataba huo. Kwa maneno mengine chochote tutakachotaka kufanya hapa nchini ni lazima tuwajulishe kwanza. Wakisema watafanya wao mambo yanaishia hapo. Kuweni wazalendo. Leo Raisi wetu Samia yupo hai, watu wanamwonea haya kumshauri vizuri kesho atakuwa hayupo ndipo utakujakukuta watu wanakula matapishi yao. Ooooh mimi sikuelezwa vizuri, Ohoo sikuusoma niliambiwa tu; too late. Raisi ana nia njema sana na yeye siyo Mwanasheria anstakiwa ashauriwe vizuri ili mkataba uboreshwe vizuri kazi zianze. Huo mkataba umeandikwa Dubai kuna ubaya gani na sisi Watanzania tukaweka mawazo yetu humo kwa manufaa ya vizazi vyetu vijavyo? Hapa hakuna siasa, hakuna udini, hakuna ukabila ni maslahi ya nchi yetu. Hakuna anayepinga mkataba huo ysiwepo bali watu wanaoelewa hasa Wanasheria wanatoa ushauri ili mkataba urekebishwe usitubane sisi kama nchi na kwamba uwe na kikomo na ikiwezekana utsje asilimia tutakayopata. Wanaosema tusubiri mikataba inayokuja wanakosea sana. Mikataba ijayo inaandikwa na wao kulingana na matakwa ya huu mkataba mama na hatutakuwa na nafasi ya kupinga lolote ili mradi tumeshasaini mkataba mama. Pa kuwa makini na kujiridhisha kabla ya kusaini makubaliano hayo ni sasa. Mwenyezi Mungu awaongoze Viongozi wetu tusije kujuta au hasa wajukuu zetu na vitukuu visije kutulaani. Nia ya kuwa na Mwekezaji ni njema sana na tunaipokea kwa mikono miwili. Lakini tusiingie kichwa kichwa.
@bernardnyangena9564
Жыл бұрын
vijana wanafanaya vile ili mama afunguke inaitwa reverse psychology in media
@kilimohub580
Жыл бұрын
Ni sawa , ila kuna jopo la waandishi 40 walienda Dubai. Waliporudi wamekua influencers wa dp world. Nchi hii tatizo ni moja, umaskini wa fikra tu
@lusajomwaipopo5042
Жыл бұрын
@@kilimohub580 na kuendekeza njaa
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
Mwanangu umenena
@othumanomari1589
Жыл бұрын
Innalillah wainnaillaihi Raajiun😪😪😭😭🇹🇿
Kumbe oscar Oscar Hana akili kweli 😅😅Sasa nimemuelewaa
Mama Tibaijuka umeongea kwa hekima kubwa na ufahamu mkubwa.. Tumekuelewa sana spka akusikie na afanye wajibu wake haraka kwa maslahi ya taifa letu.
Mama nimekupenda sana, your words of wisdom it's such in higher level
AMEN at least someone elder with wisdom and respect of Our Country has spoken about this stupid and deadly contract of Dubai and Tanzania
What an amazing smart women❤
@johnmlay8366
Жыл бұрын
She is very smart
@demicratia4071
Жыл бұрын
This is reality show😂
@KassimAlly-xp4dz
Жыл бұрын
Smart are u sure
@ibrahimngulungu
Жыл бұрын
@@KassimAlly-xp4dz mwamba acha roho ya kichawi kama una hoja ya kusema huyu mama siyo smart toa evidence zako za kupinga ila usituletee siasa za kimbuzi hapa kama hii inchi haikuhusu kuwa mtazamaji broo maana nimeona unapinga kila mahala ambapo mama anasifiwa halafu hutoi hoja acha chuki za kise.....
@kefajoseph158
Жыл бұрын
@@KassimAlly-xp4dz kamlambe basi samia mkundu maana Naona unang'ang'ana kumsifia samia mashetani mtu anauza nchi yetu we unang'ang'ania ujinga