ASKOFU MWAMAKULA AINGILIA KATI SAKATA LA UKODISHWAJI BANDARI

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 263

  • @bonifacemorro6153
    @bonifacemorro6153 Жыл бұрын

    Askofu pamoja na kuwa mtumishi wa Mungu. Wewe ni mzalendo mwenye uchungu wa nchi ya kondoo ulizopewa na Yesu kuchunga. Ubarikiwe sana tuko pamoja Yoshua wa TZ

  • @mohamedrajab6652
    @mohamedrajab6652 Жыл бұрын

    Sijaona nchi duniani inakodisha kitega uchumi viongozi nawao wamechoka kuongoza,kwahito wanaleta siasa za ubabaishaji kwa mwenye Enzi Mungu sio mbali.

  • @maarufusalum5251

    @maarufusalum5251

    Жыл бұрын

    Misri Angola south Africa Southampton

  • @goodluckkombe994
    @goodluckkombe994 Жыл бұрын

    Kunapokuwa na Goliath Mungu huwa amekwisha kumuandaa Daudi. Big Up Askofu........

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 Жыл бұрын

    Nimekuelewa sana Baba Askofu Mungu akupe maisha marefu zaidi.. pia kwakua shabiki mwenzangu wa mnyama mkali simba na man.. Hahaha eti mama kawazodoa utopolo..

  • @ChristinaBoaz-ny9pl
    @ChristinaBoaz-ny9pl Жыл бұрын

    Askofu mwamakula,, Mungu na awatangulie kuliokoa Taifa hili ambalo ni kimbilio la wakimbizi toka nchi mbali mbali , bado ninaimani kuwa Mungu wetu hatatuacha sisi na vizazi vyetu tuwe watumwa ktk ardhi yetu,, ooh Yeova yawe,, tuokoe mikononi mwa hawa wajanja wachache wanaotaka kutupeleka sisi na watoto wetu utumwani tena, kwani nimeomba ktk jina kuu la mwana wa Mungu alie hai, Yesu Kristo, Amen,,

  • @user-oz1pp1ck2m

    @user-oz1pp1ck2m

    Жыл бұрын

    Amen ❤

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Жыл бұрын

    Nimeipenda taarifa yako uko vizuri

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Жыл бұрын

    Mbowe yuko. Sahihi. Kama kweli samia ana nia nzuri na tanganyika kwanini bandari zao hajaziweka kwenye mkataba Huo. why bandari za tanganyika peke . Manayake Samia anatapanya ya mali za tanganyika kwa masilahi yake na wanzimbar wake. Hatutakubali watanganyika tuamuke.. Hatutakubali . Bandari zetu kuchuliwa na warabu.

  • @mboneamsuya
    @mboneamsuya Жыл бұрын

    Ndugai aliona nchi ikiuzwa lakini mama akalijua Hilo limeonekana. Ikabidi ang, atuke. MAANDAMANO NI MUHIMU Kama limishindikana. NDIO NDIO NDIO

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Жыл бұрын

    Mkataba ambao una mwanzo lakini hauna mwisho, na unakabidhi yote yaliyomo ndani yake kwa ufalme wa DPW, ni hatari sana,utahitaji mjadala mrefu wa kina kati ya watu wa nchi hizi bila kificho! Asante sana Baba Askofu Mwamakula kwa kuisimamia kweli na haki za watu wa Mungu unayemtumikia. Mungu akubariki,akulinde uingiapo na utokapo.

  • @matukutajuma156

    @matukutajuma156

    Жыл бұрын

    NI KAMA KITUMBUWA KIMEINGIA MCHANGA BUSARA KUBWA ZINAHITAJIKA!

  • @mayaally2512

    @mayaally2512

    Жыл бұрын

    SIO KWELI HAWA WAZEE WANAPOTOSHA HEBU TUTUMIE AKILI ZETU TUSOME

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Жыл бұрын

    Askofu msomi asante sana! unachambua mambo vizuri sana!

  • @educationchannel-zs7fr
    @educationchannel-zs7fr Жыл бұрын

    My school colleague, you really said it. That's reality.

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Жыл бұрын

    Iv nikwer kabisa watanzania zaid ya milioni30 wasomi wameshindwa kwendesha Bandali Kwer jpm umelala Baba

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    Жыл бұрын

    Ehe Watanzania milioni 60 na kujitawala miaka 62 bado hatuna watu wa kuendesha vitu vyetu, nakumbuka Net Group Solution na City water

  • @severinkinunda5269

    @severinkinunda5269

    Жыл бұрын

    Kama watanzania Tanzania tumeshindwa kuendesha bandari ni sawa na kusema kuwa hatuna uwezo wa kuongoza nchi.Pia viongozi wetu wa kisiasa na taasisi za serikali ni dhaifu

  • @user-le1mo8ru7u

    @user-le1mo8ru7u

    Жыл бұрын

    Tuzidi kuomba

  • @mufundegemwakalonge3987
    @mufundegemwakalonge3987 Жыл бұрын

    Mungu akubariki asikofu Mwamakula Kwa kutetea uhai na Uhuru WA taifa la Tanzania. Hapa serikali iliyopo madarakani inaliuza Taifa la Tanzania biala hata aibu na kumega Taifa kuwa liwe Tanganyika iwe utumwani milele na Zanzibar iwe huru na wanaohusika hapa ( Raisi na waziri ) wanatoka Zanzibar, aibu kubwa!!!

  • @user-le1mo8ru7u

    @user-le1mo8ru7u

    Жыл бұрын

    Loliondo ni United Republic of arab

  • @user-ek6wo5jr8k
    @user-ek6wo5jr8k Жыл бұрын

    Asikofu yuko sahihi. Hongera sana unawafumbua akili watu wasio fahamu miktaba. Na mikataba mingi ya unyonyaji.

  • @mwamakaassely2260
    @mwamakaassely2260 Жыл бұрын

    Askofu umesoma sana, sana, UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 Жыл бұрын

    Hongera sana kwa maelezo ya ufafanuzi wa mambo magumu kwa lugha rahisi kueleweka.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Жыл бұрын

    Well said our Bishop

  • @zawadsamba7027
    @zawadsamba7027 Жыл бұрын

    Hakika baba askofu uko vzr watanzani tunakuombea upate kutuongoza kiroho na kitaifa endelea kutupa elimu kwan leo naelewa kitu hapo

  • @ramadhanmsonge9960
    @ramadhanmsonge9960 Жыл бұрын

    Barikiwa sana Askofu mwenye kufikiri kwa kina atakuelewa.

  • @loitushulyamat2738
    @loitushulyamat2738 Жыл бұрын

    Askofu hongera sana kwa jinsi unavyojipambanua katika majukumu yako ya kiaskofu. Kwa kweli kuna la kujifunza kwako hasa vijana wenye malengo ya kuwa viongozi wa nchi hii.

  • @lubangompyalimi8922
    @lubangompyalimi8922 Жыл бұрын

    Viva Askofu mwamakula Uko vizuri

  • @makalasamweli9570
    @makalasamweli9570 Жыл бұрын

    Mwamakula mungu akubaliki sana

  • @kennedykaduma9104
    @kennedykaduma9104 Жыл бұрын

    Mwandishi umejitahidi sana kuhoji.

  • @henrymyinga9295
    @henrymyinga9295 Жыл бұрын

    kweli mjadala mkubwa unahitajika mambo yasifanyike haraka haraka hivyo

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Жыл бұрын

    Nashangaa sana watanzania wanaotetea kuuzwa bandari za nchi yetu serkali ina nia mbaya katika hili jaman watu wesoma lakini wanafanya mambo ya ajabu

  • @daudimazengo7772
    @daudimazengo7772 Жыл бұрын

    Sina lakusema kwa interview hii. Mmetisha. Mungu awabarikini nyote. Salute .

  • @mnerostationeries1113
    @mnerostationeries1113 Жыл бұрын

    Big up mtangazaji.Uko vizur sana

  • @ysmasalu
    @ysmasalu Жыл бұрын

    Excellent explanations.

  • @beddaathanas3150
    @beddaathanas3150 Жыл бұрын

    Wisdom mungu amewapa viongozi wa dini,be blessed always

  • @dynamicmwakibinga4371
    @dynamicmwakibinga4371 Жыл бұрын

    International pure pastor!!!!!!!

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 Жыл бұрын

    🎉Kwa mwanahabari huyo

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 Жыл бұрын

    Mama yetu samia kua makini na jambo ili linakwenda kuligawa taifa tena kwa kiasi kikubwa ilijambo liachwe kabisa bora wateja waondoke wasishushie mizigo kwetu lakini muda ukifika tutaboresha watarudi.

  • @sidengole2067
    @sidengole2067 Жыл бұрын

    Upo vzr pastor

  • @pastorybahinyuye4876
    @pastorybahinyuye4876 Жыл бұрын

    Mtumishi ubarikiwe na Mungu kwa maelekezo yako mazuri kiukweli tumesikia hata tumesikia wabunge wakisema hatuwezi kupinga mipanga ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wenyekiti wa Ccm. Chochote anacholeta Rais wao ni kupitisha tu.Shida kubwa mno.

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 Жыл бұрын

    🎉🎉Kwa mwamakula❤

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын

    Hayo anayo yasema Baba askofu ni kweli waafrica walikuwa wanauza ndugu zao Kwa Pasig vikombe na shanga nk ndilo tujue mtu.mweusi akili huwa hatuna fikra nzuri mwisho utakuta tumepigwa kila mara na wapo mbele kueleza kuwa ni Sawa hiyo ndio akili.

  • @deomajiji1789
    @deomajiji1789 Жыл бұрын

    Askofu Mwamaluka ni Mwungwana kweli; hakika Askofu huyu ni Mtu wa Mungu, Nabii wetu leo. Tumpokee hasa. Tumpokee ..

  • @innocentedmund3105

    @innocentedmund3105

    Жыл бұрын

    Ahsante Askofu wahasio sikia hili hawajui tuendaka jambo hili linaitaji busara sana na maono ya juu sana naomba waTanzania kutafakali na kujua mambo na kuona mifano iliyopo na iliyopita

  • @user-hh4lb6nj2d
    @user-hh4lb6nj2d Жыл бұрын

    Daaa mungu aingile jambo hili Yan wabunge mnapewa hongo kupitisha jAmbo zito la kitaifa

  • @loitushulyamat2738
    @loitushulyamat2738 Жыл бұрын

    Kwa uzito wa jambo hili na jinsi lilivyopokelewa na wananchi kwa hisia hasi na kwa kuwa unalazimisha hata serikali zijazo kuridhi mkataba huu, basi kuna haja na umhimu mkubwa serikali kupanuwa mjadala kiasi cha kutosha na muda wa kutosha ili kuondoa sintofahamu ambao tayari umeukumba taifa kwa sasa.

  • @chrispinedward6356
    @chrispinedward6356 Жыл бұрын

    Askofu upo vizuri,wew ni mzalendo wa kweli tupo nyuma yenu mtuokoe tusirudi utumwani

  • @philimonndinadyo2120
    @philimonndinadyo2120 Жыл бұрын

    Maaskofu wengine mko wapi mmeficha vichwa mchangani wakati nchi inauzwa mtakuja kumwambia Nini Mungu chakula Cha watoto watanganyika kinauzwa namgeni kwa wageni

  • @severinmagwaya6453

    @severinmagwaya6453

    Жыл бұрын

    wanaogopa kukosa sadaka maana kondoo wengi ni manyumbu wa ccm

  • @user-fj7rz6fw3x
    @user-fj7rz6fw3x Жыл бұрын

    Nashukuru sana

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Жыл бұрын

    Amina Baba

  • @raidhanimohamedi2709
    @raidhanimohamedi2709 Жыл бұрын

    Baba Askofu Mwamakula 'mtu' saana aisee...

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 Жыл бұрын

    Ndomaana wamewang'ang'ania akina halima mdee ili ionekane vyama vyote vilihusika kupitisha mkataba.

  • @helencyprian8745

    @helencyprian8745

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @user-uq7rm4uk3q
    @user-uq7rm4uk3q Жыл бұрын

    Nilikuwa sijaelewa Sasa nimeelewa mtumishi Mhimu Tuombe Mungu atusaidie taifa letu lisirudi utumwani tuwe na mwafaka mwema

  • @user-cz7bd9tc5k

    @user-cz7bd9tc5k

    Жыл бұрын

    MUNGU Ametupa akili za kujetetea Wenyewe Amka chukua silaha Upiganie haki yako uliyo pewa na MUNGU

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 Жыл бұрын

    PONGEZI SANA KWAKO,ASKOFU EMMAUS MWAMAKULA....KWA UFAFANUZI....MZURI SANA. -TUMEKUELEWA...

  • @ulayaz
    @ulayaz Жыл бұрын

    Tungeomba mungu akupe nguvu ujadili mambo ya kiroho zaidi. Kwa sababu sio fani yako na ndo maana, huwezi kueleza kudumaa kwa bandari zetu

  • @godfreymwamaso2424

    @godfreymwamaso2424

    Жыл бұрын

    Kumbuka huyo ni raia wa Tz anayo haki ya kutoa ushauri hakuna kosa kisheria

  • @peterkirway276
    @peterkirway276 Жыл бұрын

    Hogera sana baba Askofu uiombee na uishauri serikali kuhushu haya yanayoendelea

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 Жыл бұрын

    Suala hili liwe ni mjadala wa kitaifa.Kwa mtanzania yeyote mwenye akili timamu should never accept this at all.Hata one single moment.

  • @user-oz1pp1ck2m

    @user-oz1pp1ck2m

    Жыл бұрын

    Hili halikubariki ni wabunge ccm waliowengi ndio wanakubali

  • @lilianvitus2488
    @lilianvitus2488 Жыл бұрын

    Hongera askofu barikiwa sana sana

  • @majidukalugendo4738
    @majidukalugendo4738 Жыл бұрын

    Askofu wewe ni Mzalendo wa kweli na Muungwana sana lakini pia una mapenzi ya kweli kwa watanzania. Mjadala wako ni nuru kwa watanzania. Mwandishi wewe umeiva kwa sababu maswali yako yamegusa maeneo yote ambayo yatawaongoza Watanzania katika kupanua mijadala yao!!!

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 Жыл бұрын

    Nakuelewa Askof

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Жыл бұрын

    Huo mkataba haujakaa vizuri utatuumiza watanzania kizazi na kizazi,vitu vingine tungeendelea kuvisimamia sisi wenyewe watanzania,please please watanzania hilo jambo linaonekana ni jepesi kwa watu wanaokubali huo mkataba lakini baada ya kuanza kufanya kazi hao ndipo tutakapo anza kuona tofauti,kabla ya maamuzi tufikili maratatu tatu.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Жыл бұрын

    Huyu mama nadhani aliingia ktk siasa kwa.nia hovu na Tanganyika.

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 Жыл бұрын

    Mtangazaji yupo smart sana kuunganisha content ya kuuliza maswali! Kwangu mm ni mtangazaji bora!!

  • @user-rg6kr2vj8f
    @user-rg6kr2vj8f Жыл бұрын

    🎉🎉 safiiii

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Жыл бұрын

    Ni kweli linagawa watanzania maana hili halijasumbua Zanzibar mkataba huu unaiuza Tanganyika kabisaaa

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын

    Mwafrica sio kabisa Sisi mpaka leo bado hatujabadiluka wazungu wakifanya mkutano wa Belin Germany mpaka leo wakiungali hawajakosea Sisi vulu vulu

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Жыл бұрын

    Hiyo nchi inamaliziwa kuuzwa tu maana ishauzwa zaman..hata tuseme vip madamu wachumia tumbo washakodolea macho manoti hawawez kubadli msimamo wao..tushauza tunasubir manoti tule bataaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Жыл бұрын

    Askofu Uko vizuri.

  • @dazinaagust5231
    @dazinaagust5231 Жыл бұрын

    NDUGU RAIDHANI UPO VIZURI SANA KEEP UP .... SONGESHA

  • @jeremiatitus4414
    @jeremiatitus4414 Жыл бұрын

    Askofu nakuelewa kuhusu raisi na wazir kutoka Zanzibar sio tatizo lkn nikionacho mm ni huu mpango sio wa Leo ni wa miaka kadhaa iliopita ilikuwa inatafuta upenyo wa kuingilia, Hawa watu huwa hawakurupuki hata huyu mama mnamuonea tu yeye kalikuta Ila wametumia udhaifu uliopo kujipengeza , weka akilin hlo utaniambia miaka 10 ijayo inshallah

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Жыл бұрын

    Wewe ndoo kiongozi wa dini ambaye umesema ukweli,na si wengine waliolisagia jambo hiloo maana uccm unawasumbua.

  • @jumayussuf6786
    @jumayussuf6786 Жыл бұрын

    Apriciate poster mamakula

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Жыл бұрын

    Hasante sana Askofu kwa kutuelimisha kuhusu mikatabs tangu enzi za Biblia mwika karibu 2000 iliyopita.

  • @dicksonkilupa2258

    @dicksonkilupa2258

    Жыл бұрын

    Sulwiman na Lebanon ni zaidi ya miaka elfu mbili iliyopita yaani kabla hata Yesu kristo hajaja duniani. Mikataba ni vifungo ukikosea umeumia.

  • @barakamwamasage-hy2jo
    @barakamwamasage-hy2jo Жыл бұрын

    Tanzania tuamke usngizini tunapigwa ccm hawana jema hatakidogo

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 Жыл бұрын

    KWA MAMBO HAYA NI BORA MUUNGANO UVUNJIKE ILI KILA UPANDE UJADILI MALI ZAKE KULIKO WAZANZIBAR KUFANYA MAAMUZI MAKUBWA JUU YA TANGANYIKA..

  • @bosslilyg4390

    @bosslilyg4390

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @festohaule9716

    @festohaule9716

    Жыл бұрын

    Ni kweli tuwatimue Hawa wanatuuza mchana kabisa.. hawatufai...

  • @isakhamisi8923

    @isakhamisi8923

    Жыл бұрын

    Hao Marais waliopita kutoka bara waliokuwa wakifanya maamuzi makubwa kuhusu Zanzibar mlikuwa wapi mpaka Nyerere alifikia kumfukuza KAZI rais aliyechaguliwa kihalali na wazanzibari.

  • @festohaule9716

    @festohaule9716

    Жыл бұрын

    @@isakhamisi8923 mlikuwa wapi nyie?? Mpaka Raisi wenu anafutwa kazi??? Acheni kulala..

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    Жыл бұрын

    @@isakhamisi8923 Isa Khamis,asante kwa kuupiga msumari pahala pake

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Жыл бұрын

    Hayo ni maneno ya Kiongozi wa Dini tunayotaka kuyasikia sisi Watanzania hasa katika wakati huu mgumu. Tungependa pia kusikia kauli kama hizi kutoka TEC, CCT na BAKWATA. Haina maana kuwa na Viongozi wa Dini waoga ambao hata yanapotokea mambo mazito kama haya, wao wanajificha uvunguni.

  • @bsmonline8482

    @bsmonline8482

    Жыл бұрын

    TEC hawataki Charles kitima alishasema ye hakubarian nalo na ndio kiongozi wa dini wa kwanza kuuukataa huo mkataba

  • @RobertGwelela
    @RobertGwelela Жыл бұрын

    Askofu nimekuelewa sana.umeongea point muhimu sana.kwanini bunge limepewa siku moja tu? Wkt wao walianza mwaka Jana mwezi wa pili wakaja mwaka Jana mwezi wa kumi.Lkn wabunge wanaambiwa walijadili kwa siku moja tu.Lkn kwanini tunaambiwa mkataba hautavunjika hata tukitofautiana? Yote hiyo inatosha kutupa wasi wasi mwingi.

  • @Fingolee
    @Fingolee Жыл бұрын

    Miaka 1800 kabla ya Kristu Askofu ikae sawa hapo

  • @charlesgasper-wo9hc
    @charlesgasper-wo9hc Жыл бұрын

    Askofu watoe usingizini ndiyo bandari inaondoka hivyo nakwanini harakaharaka hivyo? sinchi niyetuwote navizazi vyeti...

  • @CremenceKavishe-rv1xg
    @CremenceKavishe-rv1xg Жыл бұрын

    Ni kweli uwezi kujirusha kwenye kisima usicho weza kutoka.

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Жыл бұрын

    Viongozi.wa.dini.wajanja.wanajua.kuhubili.sadaka.aka.matoleo.fungu.kumi.mambo.makubwa.ya.nchi.kimya.mungu.anasubili.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Жыл бұрын

    Mimi nashangaa sana bunge linakubaliana harakaharaka kuuza Inchi kirahisi hivi. Sisi wanainchi hatuna makubarianona warabu ila tunauzwa tu.

  • @jeremiatitus4414
    @jeremiatitus4414 Жыл бұрын

    Jaman tuwe Makin tunakuja kuwapa Kaz kubwa watoto wetu kizaz kijacho, tunaandaa kuja kutawaliwa , ninyi mtaona sawa kwa Sasa lkn watu Hawa zipo agenda za Siri kutawala nchi maskin ,

  • @ephraimkalanje7105
    @ephraimkalanje7105 Жыл бұрын

    .......na huku kwetu mikataba ya chifu Mangungo wa Msowero na Wajerumani....na mingeneyo iliyoleta tutawaliwe na wageni....!!!

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Жыл бұрын

    Ila kwenye kumshauri Maalim seif kujiunga na CCM kwenye serikali ya umoja wa kitaifa hapo ulifeli.

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 Жыл бұрын

    Acha uongo wewe Padri

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Жыл бұрын

    Nyie si mlisema hamuezi kuwacha Wazanzibar kujitawala wenyewe kwasababu wataleta waarabu kurudisha utumwa ..nahao mnao wauzia bandar sio waarabu naona mnakula matapishi yenu wenyewe..achen utapeli wa kisiasa semen ukweli kwann hamtaki kuwaachia Wazanzibar wajitawale wenye walaf yie..

  • @kassimjigge4727
    @kassimjigge4727 Жыл бұрын

    Nionavyo Mimi kukodisha siyo vibaya kwani ni biashara ya kutuingizia mapato,mapato ambayo yamekuwa yakipotea kutokana na wizi.ubadhirifu na ufisadi pale bandarini wizi ukiendeshwa na watanzania wenzetu tuliowaamini kukusanya mapato kwa manufaa ya wengi, jamani kuna SGR na miradi mingine itakamilika vipi?

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Жыл бұрын

    Nchi.hii.kiongozi.wa.dini.wewe.tu.askofu.mwamkula.wengine.mna.mnaongozwa.na.matumbo.yenu.subilini.mfe.mtamjua.mungu.hataki.utapeli

  • @benson20301

    @benson20301

    Жыл бұрын

    You are just afool juma magoma tatzo elimu Yako itakua chini sana

  • @benson20301

    @benson20301

    Жыл бұрын

    Tunataka tuungane tuitoe ccm madarakani

  • @donathtarimo7221
    @donathtarimo7221 Жыл бұрын

    Its very sad & shameful too

  • @pamelamauki4209
    @pamelamauki4209 Жыл бұрын

    Mngemsikiliza vizuri muelewe

  • @joshualaitei1633
    @joshualaitei1633 Жыл бұрын

    Legitimacy Legitimacy Legitimacy

  • @fadhilikavindi4998
    @fadhilikavindi4998 Жыл бұрын

    Kwakweli leo nimekuelewa

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 Жыл бұрын

    hawa waarabu washenz kweli yani wanataka mkataba wa kupewa bandari miaka isio julikana hata miaka elfu 20

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 Жыл бұрын

    Huyu Mzee anaakili nyingi sana

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 Жыл бұрын

    Naisi waalabu watareta ulinzi wao jameni naogopa sana mimi

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Жыл бұрын

    Kwanza ninawasiwasi wabunge wengi wamepewa Chao au wanatafuta ubunge wa kupewa

  • @helencyprian8745

    @helencyprian8745

    Жыл бұрын

    Yamezoea kupewa ubunge bure majizi haya

  • @meshasjaguar6136
    @meshasjaguar6136 Жыл бұрын

    Tulikushauri kuwa JPM nimzalendo ulimpinga Sasa unasemaje Tena Ask

  • @soudia9084
    @soudia9084 Жыл бұрын

    Mbona hamsemi mkataba wa makanisa usokuwa na mwisho

  • @kiwiacasmir6141
    @kiwiacasmir6141 Жыл бұрын

    Baba askofu ebu tuweke vizuri kwenye hili swala la bandari.Bandari zipo kwenye muungano au laa?..na kama ipo kwenye muungano ni kwann ikawa ni za bara tu ndiyo zimeingizwa kwenye mkataba huu?..Na alicho ongea Mwenyekiti mbowe nazani si hisia ndivyo ilvyo tuache kuzunguka mb'uyu.

  • @willydugilo3258
    @willydugilo3258 Жыл бұрын

    Nimemsikia Dr slaa akisema!! Haojamaa wa dp world ndio walio chukua loliondo na waliahidi mambo mengi na manufaa Kwa Wana nchi!! Lakini Hadi Leo hakuna Cha maama!! Watu wanateseka tu!! Mnajua Hilo!!

  • @timothymoshi5800

    @timothymoshi5800

    Жыл бұрын

    Hivi aliyeuza loliondo, alikuwa nani ??

  • @TaitasBang-qi5lh
    @TaitasBang-qi5lh Жыл бұрын

    Akili kubwa

  • @mboneamsuya
    @mboneamsuya Жыл бұрын

    Waarabu sio washenzi, wala hawana ubaya wowote, tatizo ni viongozi wetu. HAWA WAMETUTOSA.

  • @dismasmtui965
    @dismasmtui965 Жыл бұрын

    Waandishi wa habari mkoje? Mnataja mpaka sehemu anapoisho huyu mtumishi mnamtakia nn?

  • @josephrutta6834

    @josephrutta6834

    Жыл бұрын

    Unadhani hapajulikani? Ondoa shaka, panajulikana sana. Ila ujue tu, huwezi jificha mwenyewe, ILA MWENYEZI MUNGU AWEZA KUMFICHA MTU WAKE dhidi ya madhara ya MAADUI.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Жыл бұрын

    Tumeuzwa kweli kweli. Na hayo makubaliano yataleta mapigano kudai uhuru wa Tanzania. Kwani tumekuwa enslaved kabisa.

  • @latipharamadhani7576
    @latipharamadhani7576 Жыл бұрын

    Kwanini mambo yaanze kufanyika kabla ya kusaini mkataba, kwa maana iyo kinacho fanyika nikitaka kusafisha njia ya mkataba wakati tayari wamesha saini wanatafuta namna ya kuwaingiza hao watu

  • @salamathiastz274
    @salamathiastz274 Жыл бұрын

    Alieshauri kubi nafsisha bandari ni nani ?

Келесі