DP WORLD WALIVYOWAPOKEA KIBABE WAZEE WA MINYAMA, WASINDIKIZWA NA VING'ORA
Ойын-сауық
DP WORLD WALIVYOWAPOKEA KIBABE WAZEE WA MINYAMA, WASINDIKIZWA NA VING'ORA
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 299
Hiii nchi inavituko sana ,comedian +wanahabari wa michezo ndio wanakuja kutuelimisha kuhusu mkataba duuh
Technology ni ya kuogopa sana. Muda ni mwalimu mzuri sana.
Wasafi waelimisheni watangazaji wenu kwenye mambo serious wapunguze mambo ya vijora, wawe wanatuletea taarifa wakiwa serious. Hivyo muwe na watangazaji wa vijora kama hao mliowatuma huko Dubai utafikiri ni wakina mwijako na baba levo, na muwe na watangazaji wa mambo serious ili watazamaji tusione mambo ni kama uigizaji.
@RichardJailo-pp7kj
11 ай бұрын
Zembwela sikuamin tena umevutwa mkono na kitenge
Kwenye viwango ufanisi mtaji hatuna mjadala tunaimani kubwa na hii kampuni tatizo watanzania wanataka mkataba wa win win situation mwekezaji apate bandari ipate hilo ndio tunataka uwekezaji tunataka lkn tunataka mkataba wenye afya Kwa Tanzania hilo ndio wanataka
Mmpo vzr sana nawapongeza
MMEPEWA KING'ORA ILI MTUMALIZE WATANGANYIKA. SUBIRI I MAAMUZI YA KESI YETU FHIDI YA HAO DP WORLD. NYIE WASHAMBA KWELIKWELI
Much respect 🔥🔥
Kuna taarifa ambazo sio rasmi sana wamepewa hongo kubwa sana kufanya hili tangazo
@abdifaraji2883
11 ай бұрын
Nabowe alipewa hongo na nani alipokwenda Ujarumani na akaanza kuupinga mkat aba hukohuko ili kuwafurahisha Wakoloni na mabeberu.
Mmefanya kazi nzuri sanaa hongereni tuziifazi hii video wajukuu zetu nao waziangalie kama ukumbusho baadae
Acheni ushamba mama hizo kodi juu mb juu vyakula juu machinga tafrani hajali wananchi kawatowa wachapa kazi kaweka mafisadu sisi tulioko canada tunayajuwa mimi mzaliwa wa zanzibar tatizi letu moja tu kama samia angekuwa rais zanzibar basi wengi zanzibar wangesema hafai nyie nyie hamuna fikra na maarifa sisi tulioko nje tunayajua yote angalieni maslahi ya nchi mtachelewa sana
Hii ni movie. Haiwezekani jambo la Nchi liwe hvi😢😢😢ckujua kama Hata Brother Kitenge upo kwrnye hili Kundi.
@humphreymkony8915
11 ай бұрын
Ni njaa tu inawaponza hawa.
@femidayahaya4882
11 ай бұрын
@@humphreymkony8915 Ila Mtu ukiwa ww ni Mwananchi wa TANZANIA hupaswi kuletea kejeli jambo hili..me sikuamini kumuona KITENGE ktk hili tena akichukulia Simple Issue kabisa Yeye akiwa Nguri wa Habari.
Wasafi oyeeee
Hawa dp word wapo nchi zaid yatano afrika msibishe tu
Hii inadhiirisha uozo wa serikali hawa wana nafasi gani serikalini?uhuni tu hapa waafrika kweli tunadharahuliwa kwa ujinga wetu waarabu wanatucheka upumbavu huu
Hongereni Wasafi
Ata Stivu Nyerere yupo uko Dubai tunajua agizo la kutupaka Mafuta kwa mgongo wa Chupa aitoki Badari mbaka tujue faida yake msilete maigizo kwenye maisha ya watu
Duuuuuh hizi ni hela tuuu zinazidi kuteketea Ila kutuelewesha na kutuaminisha wizi unaofanyika ili tuamini kwamba sio wizi
nimebaki mdomo wazi kama nchi inaweza kutoa pesa hawa waende Dubai ili kutushawishi na hata hatujamuona Rais wa Nchi akiongea kitu ,,,hakika ipo siku Mungu atatukumbuka hii nchi ilipofikia inafaa sasa Mungu aingilie kati.
Acheni kutumika,ndo hivi hivi ilikuwa kwa wamasai wa Ngorongoro🙌,and mind you our concern is not investors but it's all about transparency of treaty!!
@AnthonyKavishe-ns1th
Жыл бұрын
Hatujitambui,hata wakati wa utumwa tuliuzana pia
NICE ONE.WASAFI MEDIA ON TOP OF THE WORLD.
@EvanceBujiku-dc9rh
Жыл бұрын
Mnalopoka kuwaaminisha wananchi,waone,mnajuwa sheria
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
@@EvanceBujiku-dc9rh We unayejua sheria vipi
Shida siyo wao kuja hapa nchini kuwekeza tatizo mkataba ulivyo andika au makbaliano yake mbona mnatutoa nje ya reli 😢😢 kweli uchawa ni ajira
Chukulia taifa Lina vijana kama hawa milion 5 tu, Hilo taifa linakuwa taifa la wafu
Kwa uwekezaji technology na mtaji Hawa jamaa wako vizuri dp world
@adelinelyaruu3036
Жыл бұрын
Sasa wanakuja kuisuka upya bandari au???
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
@@adelinelyaruu3036 isukwe kwani inanywele
Watanganyika wana wivu na mamaa wala badoo mpaka mpasukeee
Tanzaniya siasa ishatuteka hata iweje mbele kiza tutakuwa maskini maisha kwa kufikiri visivofikirika
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Sio kweli wewe toka upate akili yako bandari imekutajirisha na nini si bora waize kabisa
Safi sanaaa
Ha!kumbe wamesha kuja na wamesha leta zanazao😭mungu simama juu ya taifaletu na vizazi vyetu
Njaa mbaya sana, huyu Maulid Kitenge huyu daah......ndugu zangu njaa mbaya.
@AnthonyKavishe-ns1th
Жыл бұрын
Maulidi wa BBC sio uyu wa Sasa
Good
Usenge tu,vaeni suti ipo siku mtalala vitandani hao Dp world walowaweka kwenye suv mnajisifu hawatakuwepo na watanzania hawahawa mnaokula rushwa kuchochea upumbavu ndio mtaowaomba msaada ,tubuni nyie watu watatu mngali nafasi mnayo kwa maana mnajionesha hapo lakin mioyoni mwenu hapan nia njema hata kidogo
Kazi tunayo
Kwa ninachokiona Tanzania bado tuna safari ndefu sana!😮
@shinipapaya846
11 ай бұрын
Huna akili wewe 😂😂
@dastandomition7665
11 ай бұрын
@@shinipapaya846 ni kweli kabisa, inaniuma sana 😭😭😭😭
Leo kwa mara ya kwanza Maulid hajavaa Earphone zake🤣🤣
@AndersonMokiwa-is5ch
Жыл бұрын
Amevaa ila ndogo
Nani kawapeleka huko?kwa maslahi gani?,Mimi naona nimkakati ambao ndani yake kunafedha chafu,Rushwa.
Hakika mtoto Nimtoto ajawai kukua Upambe wanna Kama ilo Jambo sio Baya.. Selikal nanyi mmeshindwa na nyinyi mna machawa....
Kwahiyo hizo mashine ndio kigezo cha kuuza nchi? Hata Mangungo hakuwa fala kiasi hiki
Ndg,zangu samahani naomba kujibiwa hawa wametumwa nani,na aya matangazo yanatija gani kwa Tanzania?
Poleni
Walioitwa machawa ndio hao wanazunguka nchi nzima kutetea ujinga, ama kweli chawa hawezi kugeuka kunguni atabaki kuwa chawa.
Mwonekano huo unaoshesha furaha zaidi kufurahia kitu mricho pewa rushwa kubwa msioitarajia imewarewesha mkakosa kujitambua nakujikuta mnasifia mwekezaji ? Sura zinaoneana wamefaidika na hawajari matatizo yakayoipata nchi?
Mmh nguvu kubwa sana inatumika pasipo sababu za msingi ,, issue ni mkataba uwe mzuri khaaaa
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
We mkataba unakusaidia nini 😂 kabla ya mkataba bandari ilikuwa inakusaidiaje
@asantielngowi1269
11 ай бұрын
unataka kufahamu ili ikusaidie nini ,hayo niachie mimi@@ikouwasi7644
Hawa jamaa wamesha pewa ela kuja kutu danganya watanzania wana tuona Sisi mafala 😡 😡 😡
@simonmalegesi414
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Kitenge kwenye ili la bandari umechemka umepoteza kabisa mvuto umekua kanga ni mipasho na vituko tu
Wasaf watu waliwapenda sana ila kwahiki mlicho kifanya nihovyo vipala kama mikundu yenu
Ndo mmenda kutuuza sio.mimi nimeacha laana kila alie husika na ulagai huu pesa walio pewa ita peleka laana mpaka kizazi chake cha nne na wengine watapatwa na Vifo vya ghafla
Kweli pesanoouma saana Yani unachekelea u....yandaaa mungu kamavipi kausha iyo bandali tuooona sasa
Ukweli utabaki kuwa ukweli nyie kwenda huko hakubadili ukweli,pesa mwanahalamu
Kuna mda Zembwela nilikuwa najuwa ana akil kumbe!!!!😂😂😂😂😂😂
Mnapendeza sana Ila mnakula wenyew
Yani zembwela maulid kitenge ,wanaweza kutuelimisha, ?,kwa maana hi hata matonya atatuelimisha.nikinya cha mwaka.
wenzenu hao matajiri wana visima vya mafuta vingi
Hilo apo ni GENGE LA wahuni tu sjaona mwenye akili timamu ktk wanne zimeshikwa na ccm.
Ila mondi akili kubwa
Duuuu kweli pesa ilimua yesu,kweli zembwela na kitenge kwa namnatuvokuwa tukiwakubali kwa utendaji wenu Wa kazi hapa nyumbani,siamini hats nukta moja kwa hilo mfanyalo halo,ila mjue baada ya usaliti Wa yuda pamoja na pesa alizoziona awali kuwa ni bora kuliko mtume wake mwishowe aliziona za moto,mungu ayaone haya myafanyayo kwa ukaribu zaidi na atoe haki kwa wale mnaowasaliti
@abdifaraji2883
11 ай бұрын
He! Kumbe pesa ina nguvu kuliko Bwana Yesu ?!
mnatumika kufanya wizi, watu wa hovyo sana.....vijana wasio na maana utu na utaifa, kisa matumbo yenu mnaona kila kitu ni sawa,bila kujali vijana wenzenu wanao fungwa na kukamatwa kwa kuuliza ua kudai maelezo ya kina juu ya mikataba...najua mkipata muda kila mmoja anaumia kivyake....rohoni, inaniuma sana kuwaona mnafanya haya..kama vijana, baba
@furahachuma9039
Жыл бұрын
Tunazidi kupata wasiwasi juu ya huu mkataba. Kwanini waandishi hawa wanaushadadia sana, wametumwa? Huyo Hando ndio bogas kabisa.
@jambo3751
Жыл бұрын
Hongera wasafi TV Kufatilia hii issue ili wale wapotoshaji wazidi kuumia. Wapotoshaji huku Tz na hasa wanasiasa Jinsi wanavyouzungumza mkataba utafikiri tayari huo mkataba.
@saidsuleiman1753
Жыл бұрын
Kwa hiyo utaifa ni ule wizi unaoendelea pale Bandarini, kama ulifikiri mtaendelea kuiba maisha yote basi imekula kwako mwizi mkubwa wewe umekosa hata aibu
@furahachuma9039
Жыл бұрын
@@jambo3751 Shida si kufuatilia. Nadhani jambo jema lingekuwa kujadili kipengele kwa kipengele ndani ya huo mkataba lakini kwa hivi wanavyofanya. Kinachoonekana kwa sasa hatataki kuongelea tatizo la mkataba. Kwa ujumla wamekuwa sehemu ya madalali wa DP World.
@jambo3751
Жыл бұрын
@@furahachuma9039 Huo mkataba uko wapi hata wauongelee!? Uliopelekwa bungeni sio mkataba lakini wanasiasa wamekimbilia kupotosha wananchi na kuwaambia kuwa Bandari imeuzwa.Mkataba utakuwa baina ya TPA na DP world ambao utajadiliwa kipengele kwa kipengele kwa mujibu wa maeneo ya bandari watayokubaliana namna ya kuya operate. Serikali haiwezi kubaki kimya kunyamazia upotoshaji mkubwa unaofanywa na wanasiasa. Kwahiyo Sasa kila upande utacheza karata zake.Obviously serikali itaibuka kuwa mshindi.Hata sisi tushawazoea hawa wanasiasa wetu kupinga kila kitu.walipinga kujengwa bwawa la umeme, SGR, daraja la Tanzanite walisema wanatengenezewa matajiri wa Oyster bay. Kwahiyo tushawazoea upingaji wao kwa mambo yenye tija kwa Taifa letu.
Uchawi upooooooo
Ninyi mnawawakilisha akina nani kwenye suala la bandari?
Waandishi WA Habari waTanzania mmedungwa Nyuma kuwahamassha kuipigia Debe Mauzo ya Bandarh Tanganyika. Sauti zenu ni Za Kuzimu . Please wenu... . .
ALAF HAWA BLACK WAMETUMKA TUU KAMA NI WAFANYAKAZI WA DPW ILA KIUASILIA WALA SI WAFANYAKAZI WA DP WAMETUMIKA ILI KUTUAMINISHA KUWA DP WANAAJIRI ILA DP NI MWARABU NA MWARABU ANAFAHAMIKA NI MBINAFSI SANAAA
Upgeni mwng
Kwani kulikoni wandishi wa habari kwenye mkataba huu??
We need the investment but not with stuip contract..we know the gvt putting a lot of pressure to convince the public. We are not ready for this kind of stupidity and bogus contract.
MMELIPWA KUUZA BANDARI YETU FUTENI HII COMMENT SASA
mpka apo kweli mmekunwa vzr cio bule
Nyaa mbaya
Mama yupo kazini
Nilifikiri waarabu kumbe mbongo anaelezea
Siku fulani mtatafuta kufuta siku hizi ktk history ya maisha yenu!
@BobbyMigera-wl2po
Жыл бұрын
Nikweli
PUMBAVU , mna raha gani wakati wenzenu wanahangaika kupata majibi sahihi ya mkataba ili tusipigwe
TUNATOKA MIKATABA YA KIZUNGU SASA TUNAINGIA YA KIARABU TUONE NANI ZAIDI!!!
Ilaaaaa 😂😂😂😂😂 yaani wanashangaa kama masai kuona bahari wakati wametoka Dsm ambapo kuna TPA na hawajawahi kuitangaza ila wanaenda kuitangaza bandari ya wengine huu ni uzwazwa wa kisasa wa kutaftia hela za dhuruma za watanzania
Hapa mpaka Wabunge wanawategemea hawa watoe elimu kwenye mambo nyeti kama haya 🤦🤦
Acheni hayo mambo, shughulikieni suala la kufutwa limkataba.
NI MATUTUSA TU NDIYO WANAIAMINI MNACHO TUAMINI NI SEE JESSESHA!!!
Kumbe walipokuwa wanasemwa ni hawa bwana!! waliopewa magari kwaajili ya kupotosha😂😂😂😂tumejua watanzania
Majizi hayo mmewaona watanzania
Kama vile mijikuku ya Broillers.
Masikini poleni sana, ndivyo mlivyo?
Aliyeandaa hii kitu,nilikua napita
😂waarabu walijua hawa ndio mawazir mambo yashakuwa poa kumbe wazee wa minyama uzembe😅
Wamepewa mpaka miwani ya jua. Hawa ndiyo wanauza Tanganyika
Jiulize upumbavu kama huu lazima tuwe masikini poor thinker ndo wanaenda kwa ajili ya Taifa kweli
mmmh cio kwa prooomo iliukalim walifanywa cio poah mpak unaac nchi yko ambpo vitvu vyao vilpo angkia eeh mung txaidie
ujinga mwingi time Wiltel
Tuone KAMA MTAMSAIDI MAMA KITANZINI.SAMIA ANAFIKIRI KUPAMBAPAMBWA NDO ITAMSAIDIA. KESI IPO MAHAKAMANI . TUNASUBIRI MBIVU NA M BICHI. WATANGANYIKA HATUUZIKI
Munakela sana ila hatuna cha kuwafanya.
Wasomii mazuzu wasio jitambua badara ya kuiga kilicho fanyika wanapigia chapuo wamkabidhi na Mali yao ili wao wabaki watazamaji pumbavu zenu
Yaa tuache hata kusikiliza media hii
Duh nomakweli
Aiseee! Ipo siku hukumu itatolewa
Hivi hawa walienda huko kufanya nn?
Nyie ni hewa kweli
Kawaida ya waafrika huwa hatuamini kama kumpigia Mbuzi Gitaa
Hamna aibu hata chembe ?
Wauza nchi pumbavu sana kero sana
Mnatua,nguvu,kubwa,,hanashaka,na,wawekezaji,Ila,mikataba,unasemaje
Wapuuzi wakubwaaa
SIO KING'ORA TU, HATA POMBE NA SUTI MTAPEWA ILI MSIWAZE KWA UPEO MKUBWA NA KUONA MANUFAA YA MIAKA MIA NA ZAIDI IJAYO.
HAWA TUNAISHI NAO MTAANI SIKU TUKIINGIA MSITUNI HAWA NDO WA KWANZA KUWACHINJA
Kumbe ninyi vibarua wa Wasafi ndio mliopiga mkwanja wa RUSHWA ya DP World? Loo mmetuumiza na hamuoni hata AIBU!!!