DP WORLD WALIVYOWAPOKEA KIBABE WAZEE WA MINYAMA, WASINDIKIZWA NA VING'ORA

Ойын-сауық

DP WORLD WALIVYOWAPOKEA KIBABE WAZEE WA MINYAMA, WASINDIKIZWA NA VING'ORA
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 299

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi131911 ай бұрын

    Hiii nchi inavituko sana ,comedian +wanahabari wa michezo ndio wanakuja kutuelimisha kuhusu mkataba duuh

  • @stn4873
    @stn4873 Жыл бұрын

    Technology ni ya kuogopa sana. Muda ni mwalimu mzuri sana.

  • @peterdismas7480
    @peterdismas7480 Жыл бұрын

    Wasafi waelimisheni watangazaji wenu kwenye mambo serious wapunguze mambo ya vijora, wawe wanatuletea taarifa wakiwa serious. Hivyo muwe na watangazaji wa vijora kama hao mliowatuma huko Dubai utafikiri ni wakina mwijako na baba levo, na muwe na watangazaji wa mambo serious ili watazamaji tusione mambo ni kama uigizaji.

  • @RichardJailo-pp7kj

    @RichardJailo-pp7kj

    11 ай бұрын

    Zembwela sikuamin tena umevutwa mkono na kitenge

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Жыл бұрын

    Kwenye viwango ufanisi mtaji hatuna mjadala tunaimani kubwa na hii kampuni tatizo watanzania wanataka mkataba wa win win situation mwekezaji apate bandari ipate hilo ndio tunataka uwekezaji tunataka lkn tunataka mkataba wenye afya Kwa Tanzania hilo ndio wanataka

  • @grantmwakalambile2808
    @grantmwakalambile2808 Жыл бұрын

    Mmpo vzr sana nawapongeza

  • @blessedsuccess2462
    @blessedsuccess246211 ай бұрын

    MMEPEWA KING'ORA ILI MTUMALIZE WATANGANYIKA. SUBIRI I MAAMUZI YA KESI YETU FHIDI YA HAO DP WORLD. NYIE WASHAMBA KWELIKWELI

  • @muwezahasani4017
    @muwezahasani4017 Жыл бұрын

    Much respect 🔥🔥

  • @zayyedsuleiman6432
    @zayyedsuleiman6432 Жыл бұрын

    Kuna taarifa ambazo sio rasmi sana wamepewa hongo kubwa sana kufanya hili tangazo

  • @abdifaraji2883

    @abdifaraji2883

    11 ай бұрын

    Nabowe alipewa hongo na nani alipokwenda Ujarumani na akaanza kuupinga mkat aba hukohuko ili kuwafurahisha Wakoloni na mabeberu.

  • @mashakamapate7846
    @mashakamapate784611 ай бұрын

    Mmefanya kazi nzuri sanaa hongereni tuziifazi hii video wajukuu zetu nao waziangalie kama ukumbusho baadae

  • @saeedally268
    @saeedally268 Жыл бұрын

    Acheni ushamba mama hizo kodi juu mb juu vyakula juu machinga tafrani hajali wananchi kawatowa wachapa kazi kaweka mafisadu sisi tulioko canada tunayajuwa mimi mzaliwa wa zanzibar tatizi letu moja tu kama samia angekuwa rais zanzibar basi wengi zanzibar wangesema hafai nyie nyie hamuna fikra na maarifa sisi tulioko nje tunayajua yote angalieni maslahi ya nchi mtachelewa sana

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya488211 ай бұрын

    Hii ni movie. Haiwezekani jambo la Nchi liwe hvi😢😢😢ckujua kama Hata Brother Kitenge upo kwrnye hili Kundi.

  • @humphreymkony8915

    @humphreymkony8915

    11 ай бұрын

    Ni njaa tu inawaponza hawa.

  • @femidayahaya4882

    @femidayahaya4882

    11 ай бұрын

    @@humphreymkony8915 Ila Mtu ukiwa ww ni Mwananchi wa TANZANIA hupaswi kuletea kejeli jambo hili..me sikuamini kumuona KITENGE ktk hili tena akichukulia Simple Issue kabisa Yeye akiwa Nguri wa Habari.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Жыл бұрын

    Wasafi oyeeee

  • @JumanneMkiu-um3tw
    @JumanneMkiu-um3tw Жыл бұрын

    Hawa dp word wapo nchi zaid yatano afrika msibishe tu

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k11 ай бұрын

    Hii inadhiirisha uozo wa serikali hawa wana nafasi gani serikalini?uhuni tu hapa waafrika kweli tunadharahuliwa kwa ujinga wetu waarabu wanatucheka upumbavu huu

  • @i.ftvonline
    @i.ftvonline Жыл бұрын

    Hongereni Wasafi

  • @ghottaman2570
    @ghottaman2570 Жыл бұрын

    Ata Stivu Nyerere yupo uko Dubai tunajua agizo la kutupaka Mafuta kwa mgongo wa Chupa aitoki Badari mbaka tujue faida yake msilete maigizo kwenye maisha ya watu

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa475911 ай бұрын

    Duuuuuh hizi ni hela tuuu zinazidi kuteketea Ila kutuelewesha na kutuaminisha wizi unaofanyika ili tuamini kwamba sio wizi

  • @Ufalme_
    @Ufalme_11 ай бұрын

    nimebaki mdomo wazi kama nchi inaweza kutoa pesa hawa waende Dubai ili kutushawishi na hata hatujamuona Rais wa Nchi akiongea kitu ,,,hakika ipo siku Mungu atatukumbuka hii nchi ilipofikia inafaa sasa Mungu aingilie kati.

  • @ManaseJubilate-kk2gz
    @ManaseJubilate-kk2gz Жыл бұрын

    Acheni kutumika,ndo hivi hivi ilikuwa kwa wamasai wa Ngorongoro🙌,and mind you our concern is not investors but it's all about transparency of treaty!!

  • @AnthonyKavishe-ns1th

    @AnthonyKavishe-ns1th

    Жыл бұрын

    Hatujitambui,hata wakati wa utumwa tuliuzana pia

  • @chizashungu1236
    @chizashungu1236 Жыл бұрын

    NICE ONE.WASAFI MEDIA ON TOP OF THE WORLD.

  • @EvanceBujiku-dc9rh

    @EvanceBujiku-dc9rh

    Жыл бұрын

    Mnalopoka kuwaaminisha wananchi,waone,mnajuwa sheria

  • @ikouwasi7644

    @ikouwasi7644

    Жыл бұрын

    @@EvanceBujiku-dc9rh We unayejua sheria vipi

  • @domingonyanupata4495
    @domingonyanupata449511 ай бұрын

    Shida siyo wao kuja hapa nchini kuwekeza tatizo mkataba ulivyo andika au makbaliano yake mbona mnatutoa nje ya reli 😢😢 kweli uchawa ni ajira

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Жыл бұрын

    Chukulia taifa Lina vijana kama hawa milion 5 tu, Hilo taifa linakuwa taifa la wafu

  • @nacetsiringa1334
    @nacetsiringa1334 Жыл бұрын

    Kwa uwekezaji technology na mtaji Hawa jamaa wako vizuri dp world

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Жыл бұрын

    Sasa wanakuja kuisuka upya bandari au???

  • @ikouwasi7644

    @ikouwasi7644

    Жыл бұрын

    @@adelinelyaruu3036 isukwe kwani inanywele

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 Жыл бұрын

    Watanganyika wana wivu na mamaa wala badoo mpaka mpasukeee

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Жыл бұрын

    Tanzaniya siasa ishatuteka hata iweje mbele kiza tutakuwa maskini maisha kwa kufikiri visivofikirika

  • @hajjiomary2383

    @hajjiomary2383

    Жыл бұрын

    Sio kweli wewe toka upate akili yako bandari imekutajirisha na nini si bora waize kabisa

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 Жыл бұрын

    Safi sanaaa

  • @kitomariKitomari-ge9pr
    @kitomariKitomari-ge9pr11 ай бұрын

    Ha!kumbe wamesha kuja na wamesha leta zanazao😭mungu simama juu ya taifaletu na vizazi vyetu

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Жыл бұрын

    Njaa mbaya sana, huyu Maulid Kitenge huyu daah......ndugu zangu njaa mbaya.

  • @AnthonyKavishe-ns1th

    @AnthonyKavishe-ns1th

    Жыл бұрын

    Maulidi wa BBC sio uyu wa Sasa

  • @VascoMasebo-jw3ev
    @VascoMasebo-jw3ev Жыл бұрын

    Good

  • @Eddie-ez6we
    @Eddie-ez6we11 ай бұрын

    Usenge tu,vaeni suti ipo siku mtalala vitandani hao Dp world walowaweka kwenye suv mnajisifu hawatakuwepo na watanzania hawahawa mnaokula rushwa kuchochea upumbavu ndio mtaowaomba msaada ,tubuni nyie watu watatu mngali nafasi mnayo kwa maana mnajionesha hapo lakin mioyoni mwenu hapan nia njema hata kidogo

  • @jacobsevetu8622
    @jacobsevetu862211 ай бұрын

    Kazi tunayo

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu11 ай бұрын

    Kwa ninachokiona Tanzania bado tuna safari ndefu sana!😮

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    11 ай бұрын

    Huna akili wewe 😂😂

  • @dastandomition7665

    @dastandomition7665

    11 ай бұрын

    @@shinipapaya846 ni kweli kabisa, inaniuma sana 😭😭😭😭

  • @mayombotz
    @mayombotz Жыл бұрын

    Leo kwa mara ya kwanza Maulid hajavaa Earphone zake🤣🤣

  • @AndersonMokiwa-is5ch

    @AndersonMokiwa-is5ch

    Жыл бұрын

    Amevaa ila ndogo

  • @user-tu3ki6ph5s
    @user-tu3ki6ph5s Жыл бұрын

    Nani kawapeleka huko?kwa maslahi gani?,Mimi naona nimkakati ambao ndani yake kunafedha chafu,Rushwa.

  • @nenolauzimakweliitakuwekahuru
    @nenolauzimakweliitakuwekahuru Жыл бұрын

    Hakika mtoto Nimtoto ajawai kukua Upambe wanna Kama ilo Jambo sio Baya.. Selikal nanyi mmeshindwa na nyinyi mna machawa....

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup923611 ай бұрын

    Kwahiyo hizo mashine ndio kigezo cha kuuza nchi? Hata Mangungo hakuwa fala kiasi hiki

  • @oscarmtazangira6561
    @oscarmtazangira656111 ай бұрын

    Ndg,zangu samahani naomba kujibiwa hawa wametumwa nani,na aya matangazo yanatija gani kwa Tanzania?

  • @TaitasBang-qi5lh
    @TaitasBang-qi5lh11 ай бұрын

    Poleni

  • @masalumaduhu4029
    @masalumaduhu402911 ай бұрын

    Walioitwa machawa ndio hao wanazunguka nchi nzima kutetea ujinga, ama kweli chawa hawezi kugeuka kunguni atabaki kuwa chawa.

  • @DeusiSetivin-ls9uz
    @DeusiSetivin-ls9uz11 ай бұрын

    Mwonekano huo unaoshesha furaha zaidi kufurahia kitu mricho pewa rushwa kubwa msioitarajia imewarewesha mkakosa kujitambua nakujikuta mnasifia mwekezaji ? Sura zinaoneana wamefaidika na hawajari matatizo yakayoipata nchi?

  • @asantielngowi1269
    @asantielngowi1269 Жыл бұрын

    Mmh nguvu kubwa sana inatumika pasipo sababu za msingi ,, issue ni mkataba uwe mzuri khaaaa

  • @ikouwasi7644

    @ikouwasi7644

    Жыл бұрын

    We mkataba unakusaidia nini 😂 kabla ya mkataba bandari ilikuwa inakusaidiaje

  • @asantielngowi1269

    @asantielngowi1269

    11 ай бұрын

    unataka kufahamu ili ikusaidie nini ,hayo niachie mimi@@ikouwasi7644

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Hawa jamaa wamesha pewa ela kuja kutu danganya watanzania wana tuona Sisi mafala 😡 😡 😡

  • @simonmalegesi414

    @simonmalegesi414

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @kisangageorgethomasi2830
    @kisangageorgethomasi283011 ай бұрын

    Kitenge kwenye ili la bandari umechemka umepoteza kabisa mvuto umekua kanga ni mipasho na vituko tu

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Жыл бұрын

    Wasaf watu waliwapenda sana ila kwahiki mlicho kifanya nihovyo vipala kama mikundu yenu

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Жыл бұрын

    Ndo mmenda kutuuza sio.mimi nimeacha laana kila alie husika na ulagai huu pesa walio pewa ita peleka laana mpaka kizazi chake cha nne na wengine watapatwa na Vifo vya ghafla

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Жыл бұрын

    Kweli pesanoouma saana Yani unachekelea u....yandaaa mungu kamavipi kausha iyo bandali tuooona sasa

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Жыл бұрын

    Ukweli utabaki kuwa ukweli nyie kwenda huko hakubadili ukweli,pesa mwanahalamu

  • @user-zj1ep6hn4p
    @user-zj1ep6hn4p Жыл бұрын

    Kuna mda Zembwela nilikuwa najuwa ana akil kumbe!!!!😂😂😂😂😂😂

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 Жыл бұрын

    Mnapendeza sana Ila mnakula wenyew

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z11 ай бұрын

    Yani zembwela maulid kitenge ,wanaweza kutuelimisha, ?,kwa maana hi hata matonya atatuelimisha.nikinya cha mwaka.

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Жыл бұрын

    wenzenu hao matajiri wana visima vya mafuta vingi

  • @frankezakayo4447
    @frankezakayo444711 ай бұрын

    Hilo apo ni GENGE LA wahuni tu sjaona mwenye akili timamu ktk wanne zimeshikwa na ccm.

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Жыл бұрын

    Ila mondi akili kubwa

  • @philimonkajigili-hx6ph
    @philimonkajigili-hx6ph Жыл бұрын

    Duuuu kweli pesa ilimua yesu,kweli zembwela na kitenge kwa namnatuvokuwa tukiwakubali kwa utendaji wenu Wa kazi hapa nyumbani,siamini hats nukta moja kwa hilo mfanyalo halo,ila mjue baada ya usaliti Wa yuda pamoja na pesa alizoziona awali kuwa ni bora kuliko mtume wake mwishowe aliziona za moto,mungu ayaone haya myafanyayo kwa ukaribu zaidi na atoe haki kwa wale mnaowasaliti

  • @abdifaraji2883

    @abdifaraji2883

    11 ай бұрын

    He! Kumbe pesa ina nguvu kuliko Bwana Yesu ?!

  • @g-ibbstv6398
    @g-ibbstv6398 Жыл бұрын

    mnatumika kufanya wizi, watu wa hovyo sana.....vijana wasio na maana utu na utaifa, kisa matumbo yenu mnaona kila kitu ni sawa,bila kujali vijana wenzenu wanao fungwa na kukamatwa kwa kuuliza ua kudai maelezo ya kina juu ya mikataba...najua mkipata muda kila mmoja anaumia kivyake....rohoni, inaniuma sana kuwaona mnafanya haya..kama vijana, baba

  • @furahachuma9039

    @furahachuma9039

    Жыл бұрын

    Tunazidi kupata wasiwasi juu ya huu mkataba. Kwanini waandishi hawa wanaushadadia sana, wametumwa? Huyo Hando ndio bogas kabisa.

  • @jambo3751

    @jambo3751

    Жыл бұрын

    Hongera wasafi TV Kufatilia hii issue ili wale wapotoshaji wazidi kuumia. Wapotoshaji huku Tz na hasa wanasiasa Jinsi wanavyouzungumza mkataba utafikiri tayari huo mkataba.

  • @saidsuleiman1753

    @saidsuleiman1753

    Жыл бұрын

    Kwa hiyo utaifa ni ule wizi unaoendelea pale Bandarini, kama ulifikiri mtaendelea kuiba maisha yote basi imekula kwako mwizi mkubwa wewe umekosa hata aibu

  • @furahachuma9039

    @furahachuma9039

    Жыл бұрын

    @@jambo3751 Shida si kufuatilia. Nadhani jambo jema lingekuwa kujadili kipengele kwa kipengele ndani ya huo mkataba lakini kwa hivi wanavyofanya. Kinachoonekana kwa sasa hatataki kuongelea tatizo la mkataba. Kwa ujumla wamekuwa sehemu ya madalali wa DP World.

  • @jambo3751

    @jambo3751

    Жыл бұрын

    @@furahachuma9039 Huo mkataba uko wapi hata wauongelee!? Uliopelekwa bungeni sio mkataba lakini wanasiasa wamekimbilia kupotosha wananchi na kuwaambia kuwa Bandari imeuzwa.Mkataba utakuwa baina ya TPA na DP world ambao utajadiliwa kipengele kwa kipengele kwa mujibu wa maeneo ya bandari watayokubaliana namna ya kuya operate. Serikali haiwezi kubaki kimya kunyamazia upotoshaji mkubwa unaofanywa na wanasiasa. Kwahiyo Sasa kila upande utacheza karata zake.Obviously serikali itaibuka kuwa mshindi.Hata sisi tushawazoea hawa wanasiasa wetu kupinga kila kitu.walipinga kujengwa bwawa la umeme, SGR, daraja la Tanzanite walisema wanatengenezewa matajiri wa Oyster bay. Kwahiyo tushawazoea upingaji wao kwa mambo yenye tija kwa Taifa letu.

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 Жыл бұрын

    Uchawi upooooooo

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle11 ай бұрын

    Ninyi mnawawakilisha akina nani kwenye suala la bandari?

  • @user-ez1cq8fv5y
    @user-ez1cq8fv5y11 ай бұрын

    Waandishi WA Habari waTanzania mmedungwa Nyuma kuwahamassha kuipigia Debe Mauzo ya Bandarh Tanganyika. Sauti zenu ni Za Kuzimu . Please wenu... . .

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia41611 ай бұрын

    ALAF HAWA BLACK WAMETUMKA TUU KAMA NI WAFANYAKAZI WA DPW ILA KIUASILIA WALA SI WAFANYAKAZI WA DP WAMETUMIKA ILI KUTUAMINISHA KUWA DP WANAAJIRI ILA DP NI MWARABU NA MWARABU ANAFAHAMIKA NI MBINAFSI SANAAA

  • @NarmeenHarith-tt4ui
    @NarmeenHarith-tt4ui11 ай бұрын

    Upgeni mwng

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 Жыл бұрын

    Kwani kulikoni wandishi wa habari kwenye mkataba huu??

  • @MathewPetro
    @MathewPetro Жыл бұрын

    We need the investment but not with stuip contract..we know the gvt putting a lot of pressure to convince the public. We are not ready for this kind of stupidity and bogus contract.

  • @erickbabu4404
    @erickbabu4404 Жыл бұрын

    MMELIPWA KUUZA BANDARI YETU FUTENI HII COMMENT SASA

  • @ProsperNgeniuko
    @ProsperNgeniuko Жыл бұрын

    mpka apo kweli mmekunwa vzr cio bule

  • @twarikmuditwarikmudi7091
    @twarikmuditwarikmudi709111 ай бұрын

    Nyaa mbaya

  • @TwahaSaidiLigoola-kr1rt
    @TwahaSaidiLigoola-kr1rt Жыл бұрын

    Mama yupo kazini

  • @everlightngowi1126
    @everlightngowi112611 ай бұрын

    Nilifikiri waarabu kumbe mbongo anaelezea

  • @ednalugano2906
    @ednalugano2906 Жыл бұрын

    Siku fulani mtatafuta kufuta siku hizi ktk history ya maisha yenu!

  • @BobbyMigera-wl2po

    @BobbyMigera-wl2po

    Жыл бұрын

    Nikweli

  • @nurumligo4862
    @nurumligo486211 ай бұрын

    PUMBAVU , mna raha gani wakati wenzenu wanahangaika kupata majibi sahihi ya mkataba ili tusipigwe

  • @mbeguofficial6646
    @mbeguofficial6646 Жыл бұрын

    TUNATOKA MIKATABA YA KIZUNGU SASA TUNAINGIA YA KIARABU TUONE NANI ZAIDI!!!

  • @basiribonga689
    @basiribonga68911 ай бұрын

    Ilaaaaa 😂😂😂😂😂 yaani wanashangaa kama masai kuona bahari wakati wametoka Dsm ambapo kuna TPA na hawajawahi kuitangaza ila wanaenda kuitangaza bandari ya wengine huu ni uzwazwa wa kisasa wa kutaftia hela za dhuruma za watanzania

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu148511 ай бұрын

    Hapa mpaka Wabunge wanawategemea hawa watoe elimu kwenye mambo nyeti kama haya 🤦🤦

  • @amosepimacknyanda639
    @amosepimacknyanda639 Жыл бұрын

    Acheni hayo mambo, shughulikieni suala la kufutwa limkataba.

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd11 ай бұрын

    NI MATUTUSA TU NDIYO WANAIAMINI MNACHO TUAMINI NI SEE JESSESHA!!!

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle11 ай бұрын

    Kumbe walipokuwa wanasemwa ni hawa bwana!! waliopewa magari kwaajili ya kupotosha😂😂😂😂tumejua watanzania

  • @ibrahimngitu6072
    @ibrahimngitu607211 ай бұрын

    Majizi hayo mmewaona watanzania

  • @piusphiniastycs.malagarassec
    @piusphiniastycs.malagarassec Жыл бұрын

    Kama vile mijikuku ya Broillers.

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah369111 ай бұрын

    Masikini poleni sana, ndivyo mlivyo?

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba805311 ай бұрын

    Aliyeandaa hii kitu,nilikua napita

  • @user-ss2hz9zs9n
    @user-ss2hz9zs9n Жыл бұрын

    😂waarabu walijua hawa ndio mawazir mambo yashakuwa poa kumbe wazee wa minyama uzembe😅

  • @gracemima5234
    @gracemima523411 ай бұрын

    Wamepewa mpaka miwani ya jua. Hawa ndiyo wanauza Tanganyika

  • @tumaininyari4100
    @tumaininyari410011 ай бұрын

    Jiulize upumbavu kama huu lazima tuwe masikini poor thinker ndo wanaenda kwa ajili ya Taifa kweli

  • @ProsperNgeniuko
    @ProsperNgeniuko Жыл бұрын

    mmmh cio kwa prooomo iliukalim walifanywa cio poah mpak unaac nchi yko ambpo vitvu vyao vilpo angkia eeh mung txaidie

  • @jacobmgumiro156
    @jacobmgumiro156 Жыл бұрын

    ujinga mwingi time Wiltel

  • @blessedsuccess2462
    @blessedsuccess246211 ай бұрын

    Tuone KAMA MTAMSAIDI MAMA KITANZINI.SAMIA ANAFIKIRI KUPAMBAPAMBWA NDO ITAMSAIDIA. KESI IPO MAHAKAMANI . TUNASUBIRI MBIVU NA M BICHI. WATANGANYIKA HATUUZIKI

  • @josephmgale4914
    @josephmgale4914 Жыл бұрын

    Munakela sana ila hatuna cha kuwafanya.

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale541311 ай бұрын

    Wasomii mazuzu wasio jitambua badara ya kuiga kilicho fanyika wanapigia chapuo wamkabidhi na Mali yao ili wao wabaki watazamaji pumbavu zenu

  • @ikungetamwakamele
    @ikungetamwakamele11 ай бұрын

    Yaa tuache hata kusikiliza media hii

  • @hassankaka
    @hassankaka Жыл бұрын

    Duh nomakweli

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo870411 ай бұрын

    Aiseee! Ipo siku hukumu itatolewa

  • @godwinmbwambo3316
    @godwinmbwambo331611 ай бұрын

    Hivi hawa walienda huko kufanya nn?

  • @MboyiWamboyi
    @MboyiWamboyi11 ай бұрын

    Nyie ni hewa kweli

  • @mohamedkhalifa5764
    @mohamedkhalifa5764 Жыл бұрын

    Kawaida ya waafrika huwa hatuamini kama kumpigia Mbuzi Gitaa

  • @augustinechitemo8207
    @augustinechitemo820711 ай бұрын

    Hamna aibu hata chembe ?

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k11 ай бұрын

    Wauza nchi pumbavu sana kero sana

  • @rajabukitego1662
    @rajabukitego166211 ай бұрын

    Mnatua,nguvu,kubwa,,hanashaka,na,wawekezaji,Ila,mikataba,unasemaje

  • @everlightngowi1126
    @everlightngowi1126 Жыл бұрын

    Wapuuzi wakubwaaa

  • @mmarandu2417
    @mmarandu241711 ай бұрын

    SIO KING'ORA TU, HATA POMBE NA SUTI MTAPEWA ILI MSIWAZE KWA UPEO MKUBWA NA KUONA MANUFAA YA MIAKA MIA NA ZAIDI IJAYO.

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda199111 ай бұрын

    HAWA TUNAISHI NAO MTAANI SIKU TUKIINGIA MSITUNI HAWA NDO WA KWANZA KUWACHINJA

  • @obeidkimilike9337
    @obeidkimilike933710 ай бұрын

    Kumbe ninyi vibarua wa Wasafi ndio mliopiga mkwanja wa RUSHWA ya DP World? Loo mmetuumiza na hamuoni hata AIBU!!!

Келесі