VITASA | Mfaume Mfaume vs Idd Pialali | Tazama kilichovunja pambano | Usiku wa Mabingwa 26/12/2022

Спорт

KILICHOVUNJA PAMBANO: Pambano kati ya Mfaume Mfaume limevunjika raundi ya kwanza baada ya kutokea majeraha kwa Idd Pialali yaliyosababishwa na mgongano wa vichwa usiokuwa wa makusudi.
Hili ndilo lilikuwa pambano kuu katika Usiku wa Mabingwa 2022 (#DisciplineNight ) katika ukumbi wa AICC Arusha.
Tazama kilichotokea usikie walichokisema mabondia wenyewe baada ya pambano kuvunjwa kwa mujibu wa tangazo la uongozi wa TPBC.
#Vitasa #VitasaArusha #AchaInyeshe #VitasaNight #Vitasa #UsikuWaMabingwa #AchaInyeshee #MfaumeMfaume #IddPialali

Пікірлер: 144

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 Жыл бұрын

    Tatizo la Mfaume sifa nyingi,,,,refa keshasema stop wakati kila mmoja hakuwa katika ulazima wa kurusha ngumi, ila unaona Mfaume shauri ya kupenda sifa yeye anaendelea kupigana. Namshauri aache sifa maana ili kuwa bondia mzuri inahitajika nidhamu ya hali ya juu,,,umemuona analumbana na refa huku, kule analumbana na kocha wa pialali,,,bondia unatakiwa kujielewa na si kujaa sifa,,,,Mfaume aache sifa na atafika mbali.

  • @chayomgonja3131

    @chayomgonja3131

    Жыл бұрын

    Upuuzi mtupu anaonekana kama alichanganyikiwa the way mpinzani alivyoanza pambano...

  • @kambiassokukuzumbi3812

    @kambiassokukuzumbi3812

    Жыл бұрын

    Mfaume mfaume bondia acheni mamb ya ajabu uwezo aliokuwa nao mfaume pialali hajaufikia hata nusu yake

  • @zubeiramlanzi2480

    @zubeiramlanzi2480

    Жыл бұрын

    Bondia mandonga mfaume Hamna kitu

  • @raymondmunis3553

    @raymondmunis3553

    Жыл бұрын

    Refa aliruhusu fuatilia

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Жыл бұрын

    Bondia bora ni yule mwenye nidhamu wakati wote,, sasa mwanetu refa kashasema stop bado unamshambulia mwenzio hii imenihuzunisha mno

  • @G29mussa
    @G29mussa Жыл бұрын

    Mfaume 🔥🔥🔥nakoz family vyovyote sawa tu akatoe sadaka ya shukran

  • @wakembetajaphary6006
    @wakembetajaphary6006 Жыл бұрын

    Bila kupepesa macho hili pambano mfaume angepgwa , nko paleee nasubr mapovu

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Жыл бұрын

    Huyu jamaa yuko vizuri mno Mfaume Mfaume angekaa tu kasaidiwa na rafu aliyomfanyia mwamba.

  • @nasracorea1283

    @nasracorea1283

    Жыл бұрын

    Rafu gani bwege wewe unaambiwa wamegongana bahati mbaya mfaume mashine nyengine msiishi kwa kukariri sasa kwa cutting gani pale yakushindwa kuendelea pialali kayakanyaga na asingetoka hata kidogo na tunamtaka tena

  • @wilbertchaula5441
    @wilbertchaula5441 Жыл бұрын

    Pialali 💪 mfalume mtoto mdogo amuwez

  • @wakembetajaphary6006
    @wakembetajaphary6006 Жыл бұрын

    Rudishen pesa za watu nn sasa hii khaaaa😂😂😂😂

  • @mosongatz4534
    @mosongatz4534 Жыл бұрын

    UKIANGALIA MPAKA MWISHO PIALALY ANAPOHOJIWA UTAGUNDUA KIASI GANI ALISHAOGOPA HII GAME ILA NI SWALA LA MUDA TU ATAYAKANYAGA TENA

  • @mack_vita_onyango8409
    @mack_vita_onyango8409 Жыл бұрын

    🤔.....Anavuja damu kichwani ana fanyiwa dressing na ngumi zina paswa kuendelea acheni kuharibu ngumi bwana hamuoni nchi zilizo endelea watu wakipasuana wana fugwa vizuri na pambano lina endelea.

  • @adambaloziwayesunzagule
    @adambaloziwayesunzagule Жыл бұрын

    Yaan Kuna wakat Napenda Mchezo wa Ngumi lakini Changamoto Mchezo haujaanza sawa sawa Ngoma Ishaahirishwa Daaahh

  • @faridaali8638
    @faridaali8638 Жыл бұрын

    Mfaume nakupongeza sana

  • @aminayafat6706
    @aminayafat6706 Жыл бұрын

    Mfaume awezi ngumi uyo mashauzi mengi kama muomba taharabu

  • @joasbaraka_gardener
    @joasbaraka_gardener9 ай бұрын

    Wew mwakinyo si'aweza kukupeleka kuzimu unaongeeee utumbo tu

  • @theresialumato3211
    @theresialumato3211 Жыл бұрын

    Ila promota amezingua maana alikuwa ana wapendelea timu naccoz kila idara pia lazima mtambue kua mfaume sio bondia ila ni mchambuzi wa ngumi ndomana watangazaji wana mtetea mwenzao

  • @nasracorea1283

    @nasracorea1283

    Жыл бұрын

    Unajua sheria ya ngumi wewe

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Жыл бұрын

    Kwa tunafuatilia boxing hii siyo mara ya kwanza kutokea kwenye mchezo ilitokea Kwa M Tyson vs Evernder lakini pambano liliendelea na Evernder alishinda.

  • @nasracorea1283

    @nasracorea1283

    Жыл бұрын

    Umeona eeee uyu pialali kazingua kajua kabisa kwa mfaume asingetoboa mbwa uyu katukosea sana ye so kidume angepambana kama yule mmalawi kapasuka midamu inatoka mbona hawakuacha yani majaji na rais wa ngumi wamezingua ile sio cutting ya kifanya pambano lisitishwe kwangu Mimi mfaume ni mahindi

  • @mgazaabeid5873
    @mgazaabeid5873 Жыл бұрын

    Jab inauma right inatoa damu, Big. Up Mfaume Mfaume!

  • @khatibissa3560
    @khatibissa3560 Жыл бұрын

    Bahati mbaya tu na walikuwa na kasi

  • @kimwelingole6090
    @kimwelingole60905 ай бұрын

    Kwenda zako mshamba tu hajui ngumi mfaume

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 Жыл бұрын

    Kwa upiganaji huu et ndo umtake mwakinyo wewe hapana bado kabisa hata robo hauingii bila cut ungepigwa faume

  • @davidoscooper237

    @davidoscooper237

    Жыл бұрын

    🤛

  • @kalistitarimo5555
    @kalistitarimo5555 Жыл бұрын

    Kuna highlight mmeirusha acheni iyo mnayoichambua acheni janjajanja hamjiulizi kaumia ju ya paji la uso kushoto lakini iyo highlight mnayoichambia hausiani ata na alipoumia kichwa kilipigwa nyuma kidogo ya ilo tukio mnaloliangalia

  • @fredrickipembe8188

    @fredrickipembe8188

    Жыл бұрын

    Safi sana tarimo

  • @rashidsaid1726
    @rashidsaid1726 Жыл бұрын

    Mbona mech zilizotangulia watu wameumizanahapo kwakugongana vichwa na pambano limeendelea.

  • @daudjr235

    @daudjr235

    Жыл бұрын

    Kwa mfano pambano lipi,,, hukuliona la seleman vidunda na yule jamaa?

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu659410 ай бұрын

    Mfaume alikua anapigwa alafu kachza lafu

  • @mengiuswege3654
    @mengiuswege3654 Жыл бұрын

    Michezo ni amani siyo vita bahati mbaya ipo

  • @alymansury
    @alymansury Жыл бұрын

    Binafsi wahusika wamefanya busra kusitisha pambano coz hii haikuwa boxing Bali ilikuwa na kisasi

  • @kruger3166
    @kruger3166 Жыл бұрын

    Kwenye ukweri tuseme kweri kiukweri mfaume mfaume pialali humuwezi kabisa kwanza point zote kwa pialali kiboko ya masugu unabaati kweri round 5 usingemaliza pialAli 💪anajua teache ubishani

  • @erasmibonfasi8123

    @erasmibonfasi8123

    Жыл бұрын

    Upo sawa

  • @jofuprince2294

    @jofuprince2294

    Жыл бұрын

    Nikweli mkuu

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 Жыл бұрын

    Ni kichwa cha bahati mbaya Idd Pialari huna haja ya kupanic

  • @yassinkupaza440
    @yassinkupaza440 Жыл бұрын

    Ukiangalia vizuri Mfaume amempiga kichwa Pialali...baada ya hapo akaendelea kushambulia wakat refa kashasema STOP. Kiongoz nae kuja akaogopa lawama, hakutoa fair decision.

  • @calvincletus5233

    @calvincletus5233

    Жыл бұрын

    Ajapigwa kichwa wap kapigwa kichwa apo

  • @wazirisaid8326

    @wazirisaid8326

    Жыл бұрын

    Upo sahihi Sana!!

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 Жыл бұрын

    Bahati. Mbayaaa. Imejiingiza

  • @kisaujibabou9436
    @kisaujibabou9436 Жыл бұрын

    Mfaume hajampiga kichwa kosa lake ilipigwa stop ndipo alipomshambuliya nakumuumiza

  • @michaelmwamanda8418
    @michaelmwamanda84188 ай бұрын

    Sikuti remechi itakuwa lini?

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 Жыл бұрын

    Binafsi,cjaona kama Mfaume kacheza faulo kwa kudhamilia.

  • @wazirisaid8326

    @wazirisaid8326

    Жыл бұрын

    Ila amecheza bila ya kudhamiria, si ndiyo eeeh?

  • @jomwenomkal
    @jomwenomkal Жыл бұрын

    Ajali kazin wakubwa

  • @ramadhanhaji55
    @ramadhanhaji55 Жыл бұрын

    Mbona upande waliokuta vichwa sio aliowekwa bandeji pialali

  • @nasracorea1283

    @nasracorea1283

    Жыл бұрын

    Umeona

  • @majaliwamsigwa6206

    @majaliwamsigwa6206

    Жыл бұрын

    Ngumi jiwe,mfaume ni noma

  • @chidymagoly5105
    @chidymagoly5105 Жыл бұрын

    Pialali kapata sababu tuuu ila Ile ni ajali ya kukutana SI rafu ya kuchezewa

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196 Жыл бұрын

    Hadi walipogongana mfaume alikuwa ajapiga hata ngumi moja

  • @jumamahamoud2022

    @jumamahamoud2022

    11 ай бұрын

    Sahihi

  • @rashidsaid1726
    @rashidsaid1726 Жыл бұрын

    Kama niajali2 kwanni wasiendelee.

  • @salubrown4013
    @salubrown4013 Жыл бұрын

    Wa me Aribu pambano viongozi matukio kama Ayo yana tokeA Ana tibiwa Bondia Ana rudi pia lari kaona pambano gum kiu kweli mfaume Ana uwezo

  • @omanwoman6713
    @omanwoman6713 Жыл бұрын

    Majangaaaa hayoooo

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Жыл бұрын

    Mfaume wanamuonea kweli kabisa

  • @lastonyanga1283
    @lastonyanga1283 Жыл бұрын

    Mfaume kacheza rafu

  • @mkanulamajid500

    @mkanulamajid500

    Жыл бұрын

    Levo za mandong,,,,,

  • @luseshelomwangole2408
    @luseshelomwangole2408 Жыл бұрын

    Kichwa gani sasa hapo

  • @mr.content266
    @mr.content266 Жыл бұрын

    hio TKO

  • @faridaali8638
    @faridaali8638 Жыл бұрын

    Mfaume mfaume nakukubali sana uko juu

  • @user-dl8wt7tn7x
    @user-dl8wt7tn7x11 ай бұрын

    Pialali amepigwa

  • @blacktoytv9861
    @blacktoytv9861 Жыл бұрын

    😄😄😄

  • @zeydanbakari3279
    @zeydanbakari3279 Жыл бұрын

    Duuuuuu

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 Жыл бұрын

    Mfaume kacheza rafu wote tumeona

  • @ecostats51

    @ecostats51

    Жыл бұрын

    Yaani Pialali ako na akili ya ngumi kuliko Mfaume.

  • @salimliemba3458

    @salimliemba3458

    Жыл бұрын

    Wamegongana kichwa upande wa kushoto kaumia upande wa kulia 😂😂😂

  • @eddykatamba1008
    @eddykatamba10082 ай бұрын

    msizalau maneno yangu msouth welem mpeni piaral

  • @hassanmwandaro5090
    @hassanmwandaro5090 Жыл бұрын

    Mfaume uwa wanamuonea Sana kichwa kikowapi jamaniii

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb20 күн бұрын

    Kampiga mwenzake kishwa

  • @jofuprince2294
    @jofuprince2294 Жыл бұрын

    Mfaume mwakinyo ukiwekwa nae utoki walai

  • @NorascoKipeto

    @NorascoKipeto

    Жыл бұрын

    mwez wa tis nasubiri kwa hamu unipigie nasema iddi, idd, umupasue mfaume sawa hii ni amri sio ombi, hii salamu toka kwa shabik wako wa ngumi, maana napenda ngumi balaa, ila wwe idd nataka unipgie huyu bondia

  • @mosongatz4534
    @mosongatz4534 Жыл бұрын

    WASIMAMIZI WA HIKI CHAMA WAMEFELI KAMA MABONDIA WAPO TAYARI KUENDELEA NA NGUMI KWA NINI WAO WASITISHE NA PIALALY AACHE UONGO NA UOGA PALE HAKUNA KICHWA ALICHOPIGWA AACHE UBABAISHAJI HUYU SIMBA JIKE MFAUMEMFAUME NI MOTO WA KUOTEA MBALI ARUDI AKAJIPANGE UPYA

  • @wazirisaid8326

    @wazirisaid8326

    Жыл бұрын

    Sasa Mfaume hajarusha ngumi hata moja zaidi ya like kichwa, tuambie Basi Ile cut imetokana na Nini?

  • @mosongatz4534

    @mosongatz4534

    Жыл бұрын

    @@wazirisaid8326 fungua macho yako vizuri acha makasiriko

  • @ibrahim10chimah64
    @ibrahim10chimah646 ай бұрын

    yn hili pambano mfaume asingemchezea rafu pialali angepigika sana

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 Жыл бұрын

    Yale Yale ya katompa na kidunda mwisho wa siku mapema tu janja ilibainika

  • @nasracorea1283

    @nasracorea1283

    Жыл бұрын

    Bora umeona sasa cutting gani ile ya kuahindwa kuwndelea mmalawi kapata cutting na kapigana mpaka mwisho pialali kamuogopa mfame na asingemaliza mpumbavu tuna mtaka tena pili alali

  • @chayomgonja3131
    @chayomgonja3131 Жыл бұрын

    Ref alishasema stop mfaume kachemsha

  • @simpleritiuspius
    @simpleritiuspius Жыл бұрын

    Kichwa hamna hapo

  • @wilbertchaula5441
    @wilbertchaula5441 Жыл бұрын

    Mtangazaji vp mfarume mfaleme ndugu yako nn mbona unampakulia sana manyama anakitu huyo

  • @ikramzamando810

    @ikramzamando810

    Жыл бұрын

    Watangazaj Kuna mengine ayawausu acheni unafki mafala nyingi mna mtetea mfaume mume wenu nn?

  • @raymondmunis3553
    @raymondmunis3553 Жыл бұрын

    Hamna kichwa pale

  • @zeydanbakari3279
    @zeydanbakari3279 Жыл бұрын

    Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

  • @nassorombaruku7639
    @nassorombaruku7639 Жыл бұрын

    Hyo anapigana kwamaneno,

  • @aryanchuumu362
    @aryanchuumu362 Жыл бұрын

    Hii ni ajali ...uyu idd ndio wale ma bondia wanaoenda nchi za njee... kupigana wanasema wakesahau begi la viatu ..cy kichwa Cha kudhamilia ni bht mbya

  • @mwebembezimutalemwa5633
    @mwebembezimutalemwa5633 Жыл бұрын

    Mbona aligongwa kulia Ila kapasuka kushoto

  • @traptizpubgnoob1811

    @traptizpubgnoob1811

    Жыл бұрын

    Icho kitu nimeona. Kumbe na wew umeona. Mbona mauza ni mengi

  • @hansmkumba3774

    @hansmkumba3774

    Жыл бұрын

    Kampiga kichwa walivyo ambiwa stop jamaa akastop ila Mfaume akaendelea kushusha ngumi ndipo alimpompasua kwengine

  • @raymondmunis3553

    @raymondmunis3553

    Жыл бұрын

    Hamna kichwa pale

  • @majaliwamsigwa6206

    @majaliwamsigwa6206

    Жыл бұрын

    Hakuna kichwa,ile ni ngumi jiwe

  • @wazirisaid8326

    @wazirisaid8326

    Жыл бұрын

    Aha Kumbe uliona alivyogongwa eeeh?

  • @rehemakudra868
    @rehemakudra868 Жыл бұрын

    Mfaume umechemka alafu unaleta mdomo mwingi unahisi umeomewa refa kasema stop wewe unamshambulia mwezio bondia usiofata kanuni za mchezo

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale2968 Жыл бұрын

    Hiyo ni ajali ya kawaida sana n bahati mbaya ila ulikua uumie sana humuwezi mfaume Bora tu imeisha hivyo

  • @kambiassokukuzumbi3812

    @kambiassokukuzumbi3812

    Жыл бұрын

    Sikupingi kaka

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb20 күн бұрын

    Mfaume hajui ngumi akaimbe taarabi

  • @ibrahimibra4164
    @ibrahimibra4164 Жыл бұрын

    Mfaume wewe nikiboko ya mabondia wanao chonga sana pialali amekua nabahat sana raund 5 asinge maliza

  • @barakaothumani6421
    @barakaothumani6421 Жыл бұрын

    huyu mfaume mumpeleke kwa kwa kiduku akamnyooshe

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Жыл бұрын

    Nyinyi acheni ushabiki mtu kacheza lafu mbaya mnamtetea mfaume mpumbavu tu aliona mpinzani wake yupo moto akaona bora acheza lafu

  • @jeofreymsomba7200
    @jeofreymsomba7200Күн бұрын

    Mfaume hhujui ngumi akikutana na mwakinyo. Utakkunya

  • @joelpaul8701
    @joelpaul8701 Жыл бұрын

    Mfaume na mwakinyo uwa n mabondia wa mchongo mandonga mtu kazn tyu

  • @jofuprince2294

    @jofuprince2294

    Жыл бұрын

    Nikweli ila mfaume na mwakinyo mfaume atoki

  • @davidoscooper237
    @davidoscooper237 Жыл бұрын

    Iddi ange shinda bila ubishi

  • @mjukuuwamuuzatogwa6512
    @mjukuuwamuuzatogwa6512 Жыл бұрын

    #Mfaume una Profile kubwa shame on you....Play fair visasi vya mtaani usilete kwa Ring

  • @allyshaaban1738

    @allyshaaban1738

    Жыл бұрын

    Mfaume sio bondia,usela mwingi

  • @fredrickipembe8188

    @fredrickipembe8188

    Жыл бұрын

    Aibu kwa mfaume usela haufai ulingoni

  • @kambiassokukuzumbi3812

    @kambiassokukuzumbi3812

    Жыл бұрын

    Akina kisasi kaka ila ule ni mchezo sawa lakin upande mwingine ile ni kazi kazi nyengine sasa basi leo hii mfano mfupi ukipangwa ngumi na rafiki yako uwezi kucheza kumi za kirafiki lazima urafiki uwekwe pembeni mufany kazi

  • @Akili6heri

    @Akili6heri

    Жыл бұрын

    Mfaume, Mfaume, Mfaume nimekuita mara tatu wew ngumi haujui.

  • @dearmkasi1953

    @dearmkasi1953

    Жыл бұрын

    Mfaume kaziea tabia hizi, ususani akiona anashindwa, DEO samweli kamfanyia makusudi mtoto wa matumla ivyo ivyo, IDD pialali au Simba nae bahati mbaya tumemchoka, pale alishachungulia akaona atoki na hatimae kaaribu, hongera Sana IDD pialali kwakunionyesha nidhamu ya hali ya juu na uyo refa hatuna Imani nae

  • @shabanisheka5973
    @shabanisheka5973 Жыл бұрын

    Inshort Mfaume hajui ngumi anapigana kisela Sana mbwa huyu..Pialali anajua

  • @ecostats51

    @ecostats51

    Жыл бұрын

    Kabsa mkali, mwenyewe niliwaza hivyo baada ya kuahirishwa kwa pambano ile jana. Yaani Mfaume,alienda kwa kukamia mnoo (nadhani apanikishwa na mashabiki zake,makocha wake na pia wale wachambuzi wote ni kwa kiasi kikubwa walikuwa upande wake,hivyo basi alitaka afanye kitu kikubwa ilimradi awafurahishe. Sasa matokeo yake ameharibu). Lakini pia nadhani alijiona kuwa yeye ni bora kuli mpinzani wake (Pialali),

  • @nasracorea1283

    @nasracorea1283

    Жыл бұрын

    Acheni usenge sa mfaume kaaribu nini mumlaum bondia wenu alieshindwa kuvumilia cutting kidogo anajilefeza kwa ma doctor mbona mmalawi kapasuka midamu kibao na bado kaendelea acheni zenu pialali alijua kabisa kwa mfaume atoboi kwakuwa anajua anachofanyaga kwa mabondia wengine ila kwa mfaume aliahindwa aendelee kumaliza paka weusi manzese nzima wizadi yulw mamae

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Жыл бұрын

    Wapumbavu watupu

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb20 күн бұрын

    Hujui ngumi wewe

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Жыл бұрын

    Refa kasema stop mfaume bado anashambulia ,mfaume muhuni tuu Hana ngumi,tangu raundi inaanza hajashambulia kaona mwenzie kaacha kupigana ndio anashambulia,mpumbavu tuu hajui ngumi,pialali angepewa ushindi na video ziko wazi Tu uhuni tuu..

  • @wazirisaid8326

    @wazirisaid8326

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa bro. Kile kichwa ni Cha Makusudi Mfaume sio bondia ni muhuni tu mwenye maneno mengi. Alisha jijua kuwa anapoteza

  • @mosongatz4534

    @mosongatz4534

    Жыл бұрын

    apewe ushindi wakati kasusa kupigana mnafikiri ushindi unapatikana kiboya boya

  • @ukuvukiland2387

    @ukuvukiland2387

    Жыл бұрын

    @@mosongatz4534 muhuni wenu kacheza faul doctor kasimamisha pambano,Acha ushabiki maandazi kawaida naangalia ngumi za duniani uhuni Kama huo siangaliagi,ni uhuni Tu Hadi watangazaji walikua wanamtetea muhuni wenu ,na vitu Viko wazi..

  • @mosongatz4534

    @mosongatz4534

    Жыл бұрын

    @@ukuvukiland2387 sasa kwani cc hatupo duniani na kama huangaliagi mbona una makasiriko au ndio mti wenye matunda

  • @allymsega5639
    @allymsega5639 Жыл бұрын

    Mfaume muhuni anapigana kisela Sela

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 Жыл бұрын

    Yaan mtamchukia mwakinyo kila siku tz achen ushabiki me ndio maan alivotoka mandonga tu na mimi nikaondoka kwenye tv

  • @kambiassokukuzumbi3812

    @kambiassokukuzumbi3812

    Жыл бұрын

    Hahaha kaka una2akikishia timu mandonga

  • @salubrown4013
    @salubrown4013 Жыл бұрын

    Kiu kweli nme ona wa mengu sana kawa lda sanna pia larii umu wezi mfaume Ana uwezo mkubwa sana lpo sku mfaume Ata uwa MTU uringoni

  • @shabanisheka5973

    @shabanisheka5973

    Жыл бұрын

    Mwanangu acha ushabiki wa kiwaki

  • @farajithabiti8359
    @farajithabiti8359 Жыл бұрын

    Hiyo ngumi kabisa sijaona kichwa hapo

  • @daudjr235

    @daudjr235

    Жыл бұрын

    Mbona pia hakuna ngumi ya uso aliyopigwa

  • @othmanmohamed5188

    @othmanmohamed5188

    Жыл бұрын

    Hajarudha ngumi hata moja mfaume acha ushabiki

  • @kambiassokukuzumbi3812

    @kambiassokukuzumbi3812

    Жыл бұрын

    Kabisa kaka up sahihi

  • @sudistar4985
    @sudistar4985 Жыл бұрын

    Nisapot kutizama video yagu bonyeza link iyo 👉👉kzread.info/dash/bejne/a3uXqZKCdbGTmNY.html

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Жыл бұрын

    Mfaume mpuuzi tu mwenziokasimana wewe unapiga ngumi na ndio sababu ya kutoka damu puani

  • @traptizpubgnoob1811

    @traptizpubgnoob1811

    Жыл бұрын

    Ni puani kumbe🤣

  • @MwikaElias-il5xd
    @MwikaElias-il5xd6 ай бұрын

    Aahh siyo fare refa kasema stop mfaume Bado anapiga ngumi

Келесі