VITASA | Mfaume Mfaume vs Idd Pialali | Tazama kilichovunja pambano | Usiku wa Mabingwa 26/12/2022
Спорт
KILICHOVUNJA PAMBANO: Pambano kati ya Mfaume Mfaume limevunjika raundi ya kwanza baada ya kutokea majeraha kwa Idd Pialali yaliyosababishwa na mgongano wa vichwa usiokuwa wa makusudi.
Hili ndilo lilikuwa pambano kuu katika Usiku wa Mabingwa 2022 (#DisciplineNight ) katika ukumbi wa AICC Arusha.
Tazama kilichotokea usikie walichokisema mabondia wenyewe baada ya pambano kuvunjwa kwa mujibu wa tangazo la uongozi wa TPBC.
#Vitasa #VitasaArusha #AchaInyeshe #VitasaNight #Vitasa #UsikuWaMabingwa #AchaInyeshee #MfaumeMfaume #IddPialali
Пікірлер: 144
Tatizo la Mfaume sifa nyingi,,,,refa keshasema stop wakati kila mmoja hakuwa katika ulazima wa kurusha ngumi, ila unaona Mfaume shauri ya kupenda sifa yeye anaendelea kupigana. Namshauri aache sifa maana ili kuwa bondia mzuri inahitajika nidhamu ya hali ya juu,,,umemuona analumbana na refa huku, kule analumbana na kocha wa pialali,,,bondia unatakiwa kujielewa na si kujaa sifa,,,,Mfaume aache sifa na atafika mbali.
@chayomgonja3131
Жыл бұрын
Upuuzi mtupu anaonekana kama alichanganyikiwa the way mpinzani alivyoanza pambano...
@kambiassokukuzumbi3812
Жыл бұрын
Mfaume mfaume bondia acheni mamb ya ajabu uwezo aliokuwa nao mfaume pialali hajaufikia hata nusu yake
@zubeiramlanzi2480
Жыл бұрын
Bondia mandonga mfaume Hamna kitu
@raymondmunis3553
Жыл бұрын
Refa aliruhusu fuatilia
Bondia bora ni yule mwenye nidhamu wakati wote,, sasa mwanetu refa kashasema stop bado unamshambulia mwenzio hii imenihuzunisha mno
Mfaume 🔥🔥🔥nakoz family vyovyote sawa tu akatoe sadaka ya shukran
Bila kupepesa macho hili pambano mfaume angepgwa , nko paleee nasubr mapovu
Huyu jamaa yuko vizuri mno Mfaume Mfaume angekaa tu kasaidiwa na rafu aliyomfanyia mwamba.
@nasracorea1283
Жыл бұрын
Rafu gani bwege wewe unaambiwa wamegongana bahati mbaya mfaume mashine nyengine msiishi kwa kukariri sasa kwa cutting gani pale yakushindwa kuendelea pialali kayakanyaga na asingetoka hata kidogo na tunamtaka tena
Pialali 💪 mfalume mtoto mdogo amuwez
Rudishen pesa za watu nn sasa hii khaaaa😂😂😂😂
UKIANGALIA MPAKA MWISHO PIALALY ANAPOHOJIWA UTAGUNDUA KIASI GANI ALISHAOGOPA HII GAME ILA NI SWALA LA MUDA TU ATAYAKANYAGA TENA
🤔.....Anavuja damu kichwani ana fanyiwa dressing na ngumi zina paswa kuendelea acheni kuharibu ngumi bwana hamuoni nchi zilizo endelea watu wakipasuana wana fugwa vizuri na pambano lina endelea.
Yaan Kuna wakat Napenda Mchezo wa Ngumi lakini Changamoto Mchezo haujaanza sawa sawa Ngoma Ishaahirishwa Daaahh
Mfaume nakupongeza sana
Mfaume awezi ngumi uyo mashauzi mengi kama muomba taharabu
Wew mwakinyo si'aweza kukupeleka kuzimu unaongeeee utumbo tu
Ila promota amezingua maana alikuwa ana wapendelea timu naccoz kila idara pia lazima mtambue kua mfaume sio bondia ila ni mchambuzi wa ngumi ndomana watangazaji wana mtetea mwenzao
@nasracorea1283
Жыл бұрын
Unajua sheria ya ngumi wewe
Kwa tunafuatilia boxing hii siyo mara ya kwanza kutokea kwenye mchezo ilitokea Kwa M Tyson vs Evernder lakini pambano liliendelea na Evernder alishinda.
@nasracorea1283
Жыл бұрын
Umeona eeee uyu pialali kazingua kajua kabisa kwa mfaume asingetoboa mbwa uyu katukosea sana ye so kidume angepambana kama yule mmalawi kapasuka midamu inatoka mbona hawakuacha yani majaji na rais wa ngumi wamezingua ile sio cutting ya kifanya pambano lisitishwe kwangu Mimi mfaume ni mahindi
Jab inauma right inatoa damu, Big. Up Mfaume Mfaume!
Bahati mbaya tu na walikuwa na kasi
Kwenda zako mshamba tu hajui ngumi mfaume
Kwa upiganaji huu et ndo umtake mwakinyo wewe hapana bado kabisa hata robo hauingii bila cut ungepigwa faume
@davidoscooper237
Жыл бұрын
🤛
Kuna highlight mmeirusha acheni iyo mnayoichambua acheni janjajanja hamjiulizi kaumia ju ya paji la uso kushoto lakini iyo highlight mnayoichambia hausiani ata na alipoumia kichwa kilipigwa nyuma kidogo ya ilo tukio mnaloliangalia
@fredrickipembe8188
Жыл бұрын
Safi sana tarimo
Mbona mech zilizotangulia watu wameumizanahapo kwakugongana vichwa na pambano limeendelea.
@daudjr235
Жыл бұрын
Kwa mfano pambano lipi,,, hukuliona la seleman vidunda na yule jamaa?
Mfaume alikua anapigwa alafu kachza lafu
Michezo ni amani siyo vita bahati mbaya ipo
Binafsi wahusika wamefanya busra kusitisha pambano coz hii haikuwa boxing Bali ilikuwa na kisasi
Kwenye ukweri tuseme kweri kiukweri mfaume mfaume pialali humuwezi kabisa kwanza point zote kwa pialali kiboko ya masugu unabaati kweri round 5 usingemaliza pialAli 💪anajua teache ubishani
@erasmibonfasi8123
Жыл бұрын
Upo sawa
@jofuprince2294
Жыл бұрын
Nikweli mkuu
Ni kichwa cha bahati mbaya Idd Pialari huna haja ya kupanic
Ukiangalia vizuri Mfaume amempiga kichwa Pialali...baada ya hapo akaendelea kushambulia wakat refa kashasema STOP. Kiongoz nae kuja akaogopa lawama, hakutoa fair decision.
@calvincletus5233
Жыл бұрын
Ajapigwa kichwa wap kapigwa kichwa apo
@wazirisaid8326
Жыл бұрын
Upo sahihi Sana!!
Bahati. Mbayaaa. Imejiingiza
Mfaume hajampiga kichwa kosa lake ilipigwa stop ndipo alipomshambuliya nakumuumiza
Sikuti remechi itakuwa lini?
Binafsi,cjaona kama Mfaume kacheza faulo kwa kudhamilia.
@wazirisaid8326
Жыл бұрын
Ila amecheza bila ya kudhamiria, si ndiyo eeeh?
Ajali kazin wakubwa
Mbona upande waliokuta vichwa sio aliowekwa bandeji pialali
@nasracorea1283
Жыл бұрын
Umeona
@majaliwamsigwa6206
Жыл бұрын
Ngumi jiwe,mfaume ni noma
Pialali kapata sababu tuuu ila Ile ni ajali ya kukutana SI rafu ya kuchezewa
Hadi walipogongana mfaume alikuwa ajapiga hata ngumi moja
@jumamahamoud2022
11 ай бұрын
Sahihi
Kama niajali2 kwanni wasiendelee.
Wa me Aribu pambano viongozi matukio kama Ayo yana tokeA Ana tibiwa Bondia Ana rudi pia lari kaona pambano gum kiu kweli mfaume Ana uwezo
Majangaaaa hayoooo
Mfaume wanamuonea kweli kabisa
Mfaume kacheza rafu
@mkanulamajid500
Жыл бұрын
Levo za mandong,,,,,
Kichwa gani sasa hapo
hio TKO
Mfaume mfaume nakukubali sana uko juu
Pialali amepigwa
😄😄😄
Duuuuuu
Mfaume kacheza rafu wote tumeona
@ecostats51
Жыл бұрын
Yaani Pialali ako na akili ya ngumi kuliko Mfaume.
@salimliemba3458
Жыл бұрын
Wamegongana kichwa upande wa kushoto kaumia upande wa kulia 😂😂😂
msizalau maneno yangu msouth welem mpeni piaral
Mfaume uwa wanamuonea Sana kichwa kikowapi jamaniii
Kampiga mwenzake kishwa
Mfaume mwakinyo ukiwekwa nae utoki walai
@NorascoKipeto
Жыл бұрын
mwez wa tis nasubiri kwa hamu unipigie nasema iddi, idd, umupasue mfaume sawa hii ni amri sio ombi, hii salamu toka kwa shabik wako wa ngumi, maana napenda ngumi balaa, ila wwe idd nataka unipgie huyu bondia
WASIMAMIZI WA HIKI CHAMA WAMEFELI KAMA MABONDIA WAPO TAYARI KUENDELEA NA NGUMI KWA NINI WAO WASITISHE NA PIALALY AACHE UONGO NA UOGA PALE HAKUNA KICHWA ALICHOPIGWA AACHE UBABAISHAJI HUYU SIMBA JIKE MFAUMEMFAUME NI MOTO WA KUOTEA MBALI ARUDI AKAJIPANGE UPYA
@wazirisaid8326
Жыл бұрын
Sasa Mfaume hajarusha ngumi hata moja zaidi ya like kichwa, tuambie Basi Ile cut imetokana na Nini?
@mosongatz4534
Жыл бұрын
@@wazirisaid8326 fungua macho yako vizuri acha makasiriko
yn hili pambano mfaume asingemchezea rafu pialali angepigika sana
Yale Yale ya katompa na kidunda mwisho wa siku mapema tu janja ilibainika
@nasracorea1283
Жыл бұрын
Bora umeona sasa cutting gani ile ya kuahindwa kuwndelea mmalawi kapata cutting na kapigana mpaka mwisho pialali kamuogopa mfame na asingemaliza mpumbavu tuna mtaka tena pili alali
Ref alishasema stop mfaume kachemsha
Kichwa hamna hapo
Mtangazaji vp mfarume mfaleme ndugu yako nn mbona unampakulia sana manyama anakitu huyo
@ikramzamando810
Жыл бұрын
Watangazaj Kuna mengine ayawausu acheni unafki mafala nyingi mna mtetea mfaume mume wenu nn?
Hamna kichwa pale
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Hyo anapigana kwamaneno,
Hii ni ajali ...uyu idd ndio wale ma bondia wanaoenda nchi za njee... kupigana wanasema wakesahau begi la viatu ..cy kichwa Cha kudhamilia ni bht mbya
Mbona aligongwa kulia Ila kapasuka kushoto
@traptizpubgnoob1811
Жыл бұрын
Icho kitu nimeona. Kumbe na wew umeona. Mbona mauza ni mengi
@hansmkumba3774
Жыл бұрын
Kampiga kichwa walivyo ambiwa stop jamaa akastop ila Mfaume akaendelea kushusha ngumi ndipo alimpompasua kwengine
@raymondmunis3553
Жыл бұрын
Hamna kichwa pale
@majaliwamsigwa6206
Жыл бұрын
Hakuna kichwa,ile ni ngumi jiwe
@wazirisaid8326
Жыл бұрын
Aha Kumbe uliona alivyogongwa eeeh?
Mfaume umechemka alafu unaleta mdomo mwingi unahisi umeomewa refa kasema stop wewe unamshambulia mwezio bondia usiofata kanuni za mchezo
Hiyo ni ajali ya kawaida sana n bahati mbaya ila ulikua uumie sana humuwezi mfaume Bora tu imeisha hivyo
@kambiassokukuzumbi3812
Жыл бұрын
Sikupingi kaka
Mfaume hajui ngumi akaimbe taarabi
Mfaume wewe nikiboko ya mabondia wanao chonga sana pialali amekua nabahat sana raund 5 asinge maliza
huyu mfaume mumpeleke kwa kwa kiduku akamnyooshe
Nyinyi acheni ushabiki mtu kacheza lafu mbaya mnamtetea mfaume mpumbavu tu aliona mpinzani wake yupo moto akaona bora acheza lafu
Mfaume hhujui ngumi akikutana na mwakinyo. Utakkunya
Mfaume na mwakinyo uwa n mabondia wa mchongo mandonga mtu kazn tyu
@jofuprince2294
Жыл бұрын
Nikweli ila mfaume na mwakinyo mfaume atoki
Iddi ange shinda bila ubishi
#Mfaume una Profile kubwa shame on you....Play fair visasi vya mtaani usilete kwa Ring
@allyshaaban1738
Жыл бұрын
Mfaume sio bondia,usela mwingi
@fredrickipembe8188
Жыл бұрын
Aibu kwa mfaume usela haufai ulingoni
@kambiassokukuzumbi3812
Жыл бұрын
Akina kisasi kaka ila ule ni mchezo sawa lakin upande mwingine ile ni kazi kazi nyengine sasa basi leo hii mfano mfupi ukipangwa ngumi na rafiki yako uwezi kucheza kumi za kirafiki lazima urafiki uwekwe pembeni mufany kazi
@Akili6heri
Жыл бұрын
Mfaume, Mfaume, Mfaume nimekuita mara tatu wew ngumi haujui.
@dearmkasi1953
Жыл бұрын
Mfaume kaziea tabia hizi, ususani akiona anashindwa, DEO samweli kamfanyia makusudi mtoto wa matumla ivyo ivyo, IDD pialali au Simba nae bahati mbaya tumemchoka, pale alishachungulia akaona atoki na hatimae kaaribu, hongera Sana IDD pialali kwakunionyesha nidhamu ya hali ya juu na uyo refa hatuna Imani nae
Inshort Mfaume hajui ngumi anapigana kisela Sana mbwa huyu..Pialali anajua
@ecostats51
Жыл бұрын
Kabsa mkali, mwenyewe niliwaza hivyo baada ya kuahirishwa kwa pambano ile jana. Yaani Mfaume,alienda kwa kukamia mnoo (nadhani apanikishwa na mashabiki zake,makocha wake na pia wale wachambuzi wote ni kwa kiasi kikubwa walikuwa upande wake,hivyo basi alitaka afanye kitu kikubwa ilimradi awafurahishe. Sasa matokeo yake ameharibu). Lakini pia nadhani alijiona kuwa yeye ni bora kuli mpinzani wake (Pialali),
@nasracorea1283
Жыл бұрын
Acheni usenge sa mfaume kaaribu nini mumlaum bondia wenu alieshindwa kuvumilia cutting kidogo anajilefeza kwa ma doctor mbona mmalawi kapasuka midamu kibao na bado kaendelea acheni zenu pialali alijua kabisa kwa mfaume atoboi kwakuwa anajua anachofanyaga kwa mabondia wengine ila kwa mfaume aliahindwa aendelee kumaliza paka weusi manzese nzima wizadi yulw mamae
Wapumbavu watupu
Hujui ngumi wewe
Refa kasema stop mfaume bado anashambulia ,mfaume muhuni tuu Hana ngumi,tangu raundi inaanza hajashambulia kaona mwenzie kaacha kupigana ndio anashambulia,mpumbavu tuu hajui ngumi,pialali angepewa ushindi na video ziko wazi Tu uhuni tuu..
@wazirisaid8326
Жыл бұрын
Kweli kabisa bro. Kile kichwa ni Cha Makusudi Mfaume sio bondia ni muhuni tu mwenye maneno mengi. Alisha jijua kuwa anapoteza
@mosongatz4534
Жыл бұрын
apewe ushindi wakati kasusa kupigana mnafikiri ushindi unapatikana kiboya boya
@ukuvukiland2387
Жыл бұрын
@@mosongatz4534 muhuni wenu kacheza faul doctor kasimamisha pambano,Acha ushabiki maandazi kawaida naangalia ngumi za duniani uhuni Kama huo siangaliagi,ni uhuni Tu Hadi watangazaji walikua wanamtetea muhuni wenu ,na vitu Viko wazi..
@mosongatz4534
Жыл бұрын
@@ukuvukiland2387 sasa kwani cc hatupo duniani na kama huangaliagi mbona una makasiriko au ndio mti wenye matunda
Mfaume muhuni anapigana kisela Sela
Yaan mtamchukia mwakinyo kila siku tz achen ushabiki me ndio maan alivotoka mandonga tu na mimi nikaondoka kwenye tv
@kambiassokukuzumbi3812
Жыл бұрын
Hahaha kaka una2akikishia timu mandonga
Kiu kweli nme ona wa mengu sana kawa lda sanna pia larii umu wezi mfaume Ana uwezo mkubwa sana lpo sku mfaume Ata uwa MTU uringoni
@shabanisheka5973
Жыл бұрын
Mwanangu acha ushabiki wa kiwaki
Hiyo ngumi kabisa sijaona kichwa hapo
@daudjr235
Жыл бұрын
Mbona pia hakuna ngumi ya uso aliyopigwa
@othmanmohamed5188
Жыл бұрын
Hajarudha ngumi hata moja mfaume acha ushabiki
@kambiassokukuzumbi3812
Жыл бұрын
Kabisa kaka up sahihi
Nisapot kutizama video yagu bonyeza link iyo 👉👉kzread.info/dash/bejne/a3uXqZKCdbGTmNY.html
Mfaume mpuuzi tu mwenziokasimana wewe unapiga ngumi na ndio sababu ya kutoka damu puani
@traptizpubgnoob1811
Жыл бұрын
Ni puani kumbe🤣
Aahh siyo fare refa kasema stop mfaume Bado anapiga ngumi