VITASA | Emmanuel Mwakyembe vs Said Bwanga | Pambano kali | NGOMA NZITO 24/02/2023

Спорт

USIKU WA VITASA: Bonge moja la pambano likimkutanisha mkongwe Emmanuel Mwakyembe dhidi ya kijana mgeni kwenye ngumui za kulipwa… Said Bwanga. Zilikuwa ni raundi sita tamu, vitasa vikitembea kikamilifu lakini shughuli ikamalizika kwa sare.
Ni #VitasaNight #NgumiImenyooka ndani ya #UbungoPlaza kuelekea pambano kuu kati ya Tony Rashid vs Sabelo Ngabinyana LIVE #AzamSports1HD

Пікірлер: 49

  • @josephmanyama9012
    @josephmanyama9012 Жыл бұрын

    Yani mie sina cha kumdai BWANGA aiseeee tuna mabondia wazuri sana bado hawajapata promo jamaaaa ni mkali sana yani ngumi zake zinahamasisha kuangalia yuko vizuri sana well-done BWANGA

  • @abduryjumbe7447
    @abduryjumbe7447 Жыл бұрын

    Champion Side bwanga umeshinda game kabisa umeonesha mashabiki zako ngumi zinachezwaje utafika mbali sana Kwa uwezo wa mwenyezimungu 💪

  • @mengiuswege3654
    @mengiuswege3654 Жыл бұрын

    HII FIGHT IWE MAIN CARD KTK MARUDIANO ITAPENDEZA

  • @dramadravany7251
    @dramadravany7251 Жыл бұрын

    ❤ boy anajua kazi umetisha mwamba anacheza kwa hakili sana

  • @rickiefisher1085
    @rickiefisher1085 Жыл бұрын

    tangu nimeanza kucheq ngumi sijawahi ona ngumi ambazo zimepigwa kimpangilio kama hizi

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 Жыл бұрын

    Said bwanga ww ni boxer mzuri saana 👏

  • @collinndabi1914
    @collinndabi1914 Жыл бұрын

    Bonge ya game bwanga uko vizuri sana

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Жыл бұрын

    huyu dogo angejiandaa kwa hili pambana mwakyembe alikuwa anakaa mapema sana

  • @emmanuelmnyambugha4512
    @emmanuelmnyambugha4512 Жыл бұрын

    Bwanga yupo vizuri sana

  • @tentwice9291
    @tentwice9291 Жыл бұрын

    TOKA NIANZE KUANGALIA VITASA ILI PAMBANO SIJAWAI ONA UYU BWANGA ATARI

  • @nuruworldinsight2957

    @nuruworldinsight2957

    Жыл бұрын

    Ana pambano lake lingn kamgonga kichizi Mchanjo. Mtafute HANA kazi mbaya DOGO anajua

  • @nicodemusmsemwa2040
    @nicodemusmsemwa2040 Жыл бұрын

    Good fighter.. Emmanuel mwakyembe.. keep it up

  • @kidunapoletano3118
    @kidunapoletano3118 Жыл бұрын

    Bwanga ni 🔥

  • @neemamangushi8187
    @neemamangushi818711 ай бұрын

    Naomba serikali imlinde Hyu Bwanga ni🔥🔥

  • @gwantadibusta
    @gwantadibusta Жыл бұрын

    Said noma

  • @dominicrobert266
    @dominicrobert266 Жыл бұрын

    Saidi atafika mbali ameonyesha ana uwezo,ujuzi,uvumilivu na mbinu, keep it up Saidi Bwanga.

  • @kamagaissa4561
    @kamagaissa4561 Жыл бұрын

    Huyo dogo mpinzani W Mwakiembe yupo vzr sanaaa Kama inawezekana awezeshwe afikie ndoto Zake kwny ngumi na kutangaza Taifa pia

  • @adolphdamas3189
    @adolphdamas3189 Жыл бұрын

    Bonge la fight...

  • @samsonhenry3871
    @samsonhenry3871 Жыл бұрын

    Oyaaa Uyu Bwanga ni Hazina Ya Taifa

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 Жыл бұрын

    Ukiacha Mbwana Matumla na Rashidi enzi zao,,,Bwanga anapiga ngumi za kiwango, pambano bora la mwezi ni hili

  • @medsonmligo-vx9gk
    @medsonmligo-vx9gk Жыл бұрын

    Bwanga the champion

  • @EvalistTokwa-lw8hf
    @EvalistTokwa-lw8hf8 ай бұрын

    Dogo bwanga nimoto naona atawapa changamoto kubwa sana mabondia watz dogo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪

  • @denisimria3109
    @denisimria3109 Жыл бұрын

    bwangaa🔥🔥

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Жыл бұрын

    Sideee maweee👊👊

  • @dorineenock-by1ni
    @dorineenock-by1ni Жыл бұрын

    Bwanga the king

  • @tysonking9675
    @tysonking9675 Жыл бұрын

    Said kaza njanja we2 nakubali ipaishe mbangala mponda

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 Жыл бұрын

    Huyo dogo BWANGA kama akiwa AMATEUR naziona MEDALI 🏅 Za DHAHABU MIKONONI MWAKE akiziletea TAIFA la TANZANIA (umri unamruhusu)

  • @ogenylaurent7961

    @ogenylaurent7961

    10 күн бұрын

    AMACHA KULE SIO KWA KUUZA SURA

  • @jastinmsigwa4154
    @jastinmsigwa4154 Жыл бұрын

    Ukiwekeza kwabwanga inabaki tuu kuvuna faida. Bonge labondia

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Жыл бұрын

    Huyu bwanga ni professional boxer hatari sn

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 Жыл бұрын

    Kwa sisi tulio bahatika kumuona Rashidi Matumla eke SNAKE BOY wakati wa enzi zake Basi huyu mtoto Saidi Bwanga eke RING MASTER ni Snake boy 99 per cent. Na kama anatokea Mbagala bila shaka kapitia mikono ya gym ya Matumla . Mungu ampe mwendelezo mwema wa mwanzo wake.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Жыл бұрын

    Fight bora usiku huu

  • @yudaaraphati9673
    @yudaaraphati9673 Жыл бұрын

    Said bwanga💪🖤

  • @thobiasluanda224
    @thobiasluanda224 Жыл бұрын

    Tanzania kuna mabindia wazuri sana hao kina kiduku sijui mwakinyo wamebakia majina tu

  • @mikimkele9726
    @mikimkele9726 Жыл бұрын

    Saf dogo

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Жыл бұрын

    Yeah, hawa vijana wanacheza na kupigana ngumi za ushindani. Wakiendelezwa watafika mbali.

  • @veronikamacklini1907

    @veronikamacklini1907

    Жыл бұрын

    Vitasa kweli kweli

  • @eddykatamba1008
    @eddykatamba10086 ай бұрын

    bwanga yuko vizr lakin kwa mwakyembe ajipange

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Жыл бұрын

    Draw vipi tena wakati huyu alimwangusha mwenzie kwa konde zito. Hapo ndipo judges wa Bongo mnakoseaga.

  • @jumajumanne4997
    @jumajumanne4997 Жыл бұрын

    Ongera mwakiembe zidisha mazoezi ila uyu dogo said bwanga akiwezeshwa atafka mbali mvumilivu sana

  • @lamerckmsuya5513
    @lamerckmsuya5513 Жыл бұрын

    Sema kitu nimeona,watangazaji wanafanya promo

  • @agronomistamanikingu7340
    @agronomistamanikingu7340 Жыл бұрын

    Bwanga ni hatari sana... Kiufupi wapate wafadhili watafika mbali sana

  • @Abbasbakarsth
    @Abbasbakarsth Жыл бұрын

    Azam jaribuni kuongea na hao majaji wenu wanazngua .. mchezo mzuri lakini mshindi kaonekana ni mwakyembe .. kila siku mapambano ushindi unatolewa kwa mikelele ya watu na si kanuni za boxing

  • @allymwachipanga2486

    @allymwachipanga2486

    Жыл бұрын

    nisawa lkn huenda wameangalia kummotisha bondia Mchanga ambaye wengi hawakumjua wala kumuona

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    Жыл бұрын

    SAIDI BWANGA MSHINDI WAMEMUONEA DOGO.

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 Жыл бұрын

    Ngumi Burudani

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz34229 ай бұрын

    Bwanga ni hatari

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 Жыл бұрын

    Mwakywembe alishinda Hill pambano ngumi nyingi zilifika usoni kwa mpinzani wake hakuna dro hapo

Келесі