FULL: PAMBANO LA MWAKINYO NA BONDIA KUTOKA GHANA LAFANYIKA USK WA MANANE

Спорт

FULL: PAMBANO LA MWAKINYO NA BONDIA KUTOKA GHANA LAFANYIKA USK WA MANANE
#modewji #diamondplatnumz #ccm #tundulissu #simbasc #yanga #modewji #mwijaku #feisalsalum #ahmedally #zuchu #wasafi #harmonize #wcb #mbosso #modewji #fistonmayele #yangabingwa #simbasc #ahmedally #alikamwe #ahmedally #modewji #fistonmayele #yangasc #manara #simba #diamondplatnumz #harmonize #yanga #harmonize #mwakinyo #diamondplatnumz #modewji #simba #ahmedally #simba #fistonmayele #yanga #ahmedally #kibudenis #modewji #simba #diamondplatnumz #harmonize simba #fistonmayele #modewji #modewji #yanga #ahmedally #raissamiasuluhuhassan #mafuriko #kimbungahidaya #modewji #wifewadunia #harmonize #simba #fistonmayele #yanga #modewji #ahmedally #raissamiasuluhuhassan #simba #fistonmayele #diamondplatnumz #simba #yanga #ihefu #ahmedally #alikamwe #manara #modewji #hd
#harmonize #diamondplatnumz #alikiba #kingkiba #wifewadunia #kondeboy #YangaSC #simba #fistonmayele #azamtv #bahatibukuku #paulmakonda #raissamiasuluhuhassan

Пікірлер: 252

  • @edsonipaulo
    @edsonipaulo24 күн бұрын

    Tunachukia kwa mihemko yetu tunakukubali Mwakinyo Mungu ajalie mambo yakuendee tunakuelewa hoja zako Zina mashiko Pambania Ndoto Yako Mungu akubariki unajuhudi nakukubali hujali kulaumiwa utafika mbali zaidi🎉🎉

  • @user-gz2or2ui9n

    @user-gz2or2ui9n

    24 күн бұрын

    Unatia aibu tu bora ungeacha tu kupigana unazingua sana mwamba

  • @Madanstars

    @Madanstars

    20 күн бұрын

    Akufirahishe wewe wakat Hela zake hajapata sema chombo Cha ngumi kiwe makini na ma present

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles23 күн бұрын

    Mashabiki wanatia hamasa hadi raha, bonge moja la support

  • @johnmarco8252
    @johnmarco825224 күн бұрын

    Bongo wakikuona unamsimamo nia yao wakupoteze ila kaka pambana mungu yuko nawe champez wanataka kutuangusha hawataweza time mwakinyoo❤❤

  • @user-tc9vi3ow3n

    @user-tc9vi3ow3n

    24 күн бұрын

    Abongo wengi wanafanya vitu kwa sifa,mwisho wa siku wanakuja kulaumu na kuwa omba omba,huyo mwakinyo yupo kuangalia madirahi ya habadae ukipigwa ufe aki yako utahioata wapi?

  • @yusufsong7993
    @yusufsong799324 күн бұрын

    Leteni bondia yoyote ata mlete figisu zenu atapigwa tu safi Mwakinyo bondia mwenye msimamo

  • @FaniaHassani
    @FaniaHassani24 күн бұрын

    Weunaesema huelewi kipi ukielewi au ndio nyie mnaotaka kumpongeza mwakinyo? Kwa hilo mmeshafeli na mkanda keshachukua,hongera sana hassan mwakinyo

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika485123 күн бұрын

    Mwakinyo ni bondia anayejuelewa sana. Mabondia wote waliobaki ni wapuuzi tu na njaa zinaweza kuwapoteza kabisa

  • @AbdullyCharles
    @AbdullyCharles24 күн бұрын

    Mwakinyooo fighter

  • @user-fb8ju1nv2j
    @user-fb8ju1nv2j25 күн бұрын

    Mwakinyo ndo bodia anayejielewa yeye haangalii watu watasemaje ila anaangalia masirahi yake yazigatiwe safi mwakinyo

  • @denishaule6314

    @denishaule6314

    24 күн бұрын

    Ndio masirahi mko vizur na mwakinyo

  • @SalimuHassani-xt3og

    @SalimuHassani-xt3og

    23 күн бұрын

    Sawa ila tunachokua tunaomba kwenye huu ujinga wake anaotufanyia ni kuturudishia viingilio vyetu tu bas mengne ayatuusu

  • @kutokakutoka8730
    @kutokakutoka873024 күн бұрын

    Jamani nimechelewa ila ijayo iwe ya konde boy na mwakinyo ju ameiomba sana harmonaze nitakata basi kutoka kwetu Kenya Hadi bongo

  • @hidayajuma7946
    @hidayajuma794618 күн бұрын

    Mungu akubaliki mwakingo championi watanzania

  • @sidebraizoy2070
    @sidebraizoy207024 күн бұрын

    ❤❤❤tu no pamoja champez

  • @user-ee8kx1lp6y
    @user-ee8kx1lp6y24 күн бұрын

    Si mashabiki wa mwakinyo tunaamin uwezo wako

  • @user-ui2bs8ti9p
    @user-ui2bs8ti9p24 күн бұрын

    Braza wangu weni brucelee wakubali wakataeee dua nyingi nili kupigia

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen729923 күн бұрын

    Hongera sana Brother Mwakinyo

  • @PeterBaton
    @PeterBaton25 күн бұрын

    Sasa hapo Ndio Mwakinyo kashinda Au 🤣🤣Yani kama Picha la kihindi🤣🤣

  • @mbatiakessy2420

    @mbatiakessy2420

    12 күн бұрын

    Kiukweli picha la kihindi

  • @hassanmuhamad6311
    @hassanmuhamad631124 күн бұрын

    Pamoja kaka mwakinyo

  • @HusseinOmbeni
    @HusseinOmbeni14 күн бұрын

    Mnacho shindwa kujua kwamba mwakinyo hana kosa ira kuna viongozi ndio wanataka kumwalibia Aliomba rathi uringon na kupiiga simu lkn bado watu mnamlaumu mwakinyo yupo nasi jamani tumuombe min kam Mike nakupenda nakueshimu pia shabiki yako sana

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba787423 күн бұрын

    Hongera sana broo mafanikio ayaji tu lazima upitie mapito utafika mbali broo

  • @RashidiMsangi
    @RashidiMsangi23 күн бұрын

    Mbana mwakinyo usisikilize Hao simamia hakiyako bro

  • @user-jd9if6ny1t
    @user-jd9if6ny1t23 күн бұрын

    Safi mwokinyo nimefulai

  • @BakariMussa-to2me
    @BakariMussa-to2me24 күн бұрын

    Mungu akusimamie Kaka ufike malengo Kama unavojikubali endelea kujikubali

  • @selemanisozi936
    @selemanisozi93621 күн бұрын

    🎉 dua sana mwakinyo kwa mkanda kubaki ata kama wapinzani hawataki

  • @user-vn8qo4ff9j
    @user-vn8qo4ff9j21 күн бұрын

    Namkubali sana Mwakinyo Misimamo yake Itampa mafanikio sana

  • @steveprosper4084
    @steveprosper40844 күн бұрын

    Lingeuza michungwa pale chalinze lisipotezee mda humu

  • @maxmia100
    @maxmia10024 күн бұрын

    Mwakinyo makalio tu huyo anajiona mjanja kumbe fala tu kwanza anaogopa mabondia

  • @hezekiamhapa7395
    @hezekiamhapa739524 күн бұрын

    Huu wizi Tu mwisho wa siku ngumi zitapoteza mvuto kuweni makini na mwakinyo lakini kama ni maslahi wapate inavyostahiki alafu ngumi za hivi mtu hajapigwa ngumi yeyote ya maana mnamaliza pambano sio vizuri mnaharibu mchezi wa ngumi

  • @Kombs-cr2mj
    @Kombs-cr2mj23 күн бұрын

    Mwakinyo ni pro sana, anaangalia stats zake kidunia sio ushabik wa kibongobongo tu kama bongo movie

  • @emilysanga7662
    @emilysanga766223 күн бұрын

    Kwa hali hiyo Mwakinyo ndio mwenyewe final say kwakua kila atakachoongea wanamsikiliza management nzima

  • @DigaBoyTz
    @DigaBoyTz24 күн бұрын

    Nakubali Sana kiba me naimba natumia jina diga boy TZ Song RAHA KZread please please naombo surpot KZread

  • @RahimHassan-bh3mm
    @RahimHassan-bh3mm25 күн бұрын

    Mwakinyo anajielewa sana to me naamin yupo sahihi maisha sio lazima uyaendeshe ukiwa na kaka au dada simama ww kama ww acha kulialia ww

  • @minahismail9515
    @minahismail951523 күн бұрын

    Jamani walihama ukumbi wakawaita marefa wao na mc wao na waandishi wa habari za mtandaoni. Ndo maana hujaona azam tv'wala mc wasiwasi mwablambo. Yaani huyu mwakinyo mungu anamuona katuchezea mashabiki wa ngumi cheus na chekundu.

  • @StevenMwaweza
    @StevenMwaweza23 күн бұрын

    😮😮

  • @gman3245
    @gman324524 күн бұрын

    South African boxer by the name 'Wellem" ndie dawa ya mwankiyo 😊😊

  • @user-wz9mh7it3y
    @user-wz9mh7it3y24 күн бұрын

    Hiz ni sawa na ugomvi wa mtu na mkewe kitandani. Hatimae hiishia kupeana tu

  • @barnabassassiyo4741
    @barnabassassiyo474117 күн бұрын

    Mwakinyo kuna siri kubwa anaijua TPBRC Maisha na Mafanikio ya mtu ni Siri yake!

  • @hassankindamba6633
    @hassankindamba663323 күн бұрын

    Huyu wajina wangu kuna kamchezo hucheza ili kupiga pesa. Bondia Gani yeye ndo anachagua wakupigana nae na anamoanga kabisa mpaka malipo achukue kiasi Gani. Na kama bondia akikataa lazima litokee jambo aidha agome au atafute kisingizio ili tu kuharibu cv za watu

  • @YusuphChigwe
    @YusuphChigwe25 күн бұрын

    Duh

  • @bukavusongs6012
    @bukavusongs601222 күн бұрын

    Harmoniz vipi

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica744322 күн бұрын

    T.K.O iko wapi hapo???!!! Acheni ujinga basi! Mwakinyo ahamie kwenye uigizaji wa filamu za vichekesho maana pambano hapo hakuna, ni vitimbi vitupu!!!!

  • @hidayajuma7946
    @hidayajuma794618 күн бұрын

    Matako mwenyewe matako unasema mashabiki tunaona wanamferisha mwakinyo viongoziwangumi halafu unasema mashabiki kiufupi ukimponda mwakinyo ww tako

  • @mtazycomedy
    @mtazycomedy24 күн бұрын

    Atar sana

  • @timetravellor5367
    @timetravellor536725 күн бұрын

    Aibu

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu21 күн бұрын

    shabik unalipa kiingilio alafu mabondia wanatokea wote hawana matatizo yakiafya yaani wakofiti " et unaambiwa kunamtu mkubwa haonekani na ana ishu zote za mkanda ndiotunamtafuta kwenye cm lakn hatujafanikiwa kumpata " sasa unajiuliza maandalizi ya pambano kipindi chote hicho yako wapi? Kama sio uhuni? alaf unaenda kulala unapata taarifa pambano lilichezwa na wazamin wa matangazo ni tofaut na MC naye ni mwingine😂 " sasa unajiuliza tena inamaana huyo anasubiriwa aliona pesa zetu hazina maana ? anakuja mda anao utaka na uongozi wa ngumi unataka et kuwepo na mashabiki wa ngumi " nani atapenda ujinga huo

  • @JumaMkose
    @JumaMkose25 күн бұрын

    Dah kwa hili kuna cha kujiuliza kwakweli kwann ligailishwe aya apo apo licheZwe bila nembo ya mzamin hata mmoja dah bongo ni hatari

  • @user-jc2vy3yf6v
    @user-jc2vy3yf6v25 күн бұрын

    Wemechagua sikuyao sio

  • @francismussa5690
    @francismussa569024 күн бұрын

    Waandaji wa kulaumiwa, hakika kuna shida katika mapambano ya mwakinyo, nadhani atetee huyo mkanda na bondia bora ili tujue uwezo wake mwakinyo

  • @minahismail9515
    @minahismail951523 күн бұрын

    Jamani mwakinyo kama umerizika na kiwango chako na mashabiki zako wanakukubali tia saini. Kwenye bendera chuma tukupige hadi mashabiki wakukatae. Maana hao ndo mashoga zako wanakupamba uzidishe naneno. Timu kidugu hatunaga maneno ni kudunda tu.

  • @user-sm8tz6xb1c
    @user-sm8tz6xb1c24 күн бұрын

    Anachaguwa mabondia kwanini asiletewe bondia kweli

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w23 күн бұрын

    Makamera Wa Bongo Bana! Et Video imechukuliwa kwa Mbaaali😅😅😅

  • @AllyMswahili
    @AllyMswahili23 күн бұрын

    Ndio inavy takiwa bondia uweh naa msimam

  • @user-ih4kw5eb3d
    @user-ih4kw5eb3d24 күн бұрын

    Jama ako sawa lkn shoulder imembwaga ame tupa ngumi akashituka bega

  • @MwanaNgurumo
    @MwanaNgurumo24 күн бұрын

    Mtan wangu mwakinyo ninakuamini songa mbele kamanda wenye vijicho wakajinyonge

  • @FestusJchunya-hc3hv
    @FestusJchunya-hc3hv24 күн бұрын

    mapambano ya mwakinyo ni maigizo TU hamna cha maana sasa hapo kashinda nini? au ni uchawi anatumia maama namuona mwepesi ngumi zake hazina power yaani ni michezo ya shule za msingi!!

  • @hendricksjohn6201

    @hendricksjohn6201

    24 күн бұрын

    Vituko TU hapa hakuna kitu huyo mwakinyo watu wa kupigana nao anawachagua yeye mwenyewe

  • @minahismail9515
    @minahismail951523 күн бұрын

    Mashabiki wa mwaninyo nao ni matako bondia kawazalilisha kutocheza kwa wakati anakuja kuhonga na kununua marefa wachezeshe uchochoroni. Ili apewe mkanda. Wao wanafrahia. Haya. Kama sio uchochoroni mzamini azam tv'yupo wapi??

  • @EmmanuelKishiwa
    @EmmanuelKishiwa24 күн бұрын

    Hiii Nini hiiiiiiiiiiiiiiiii Sasa hivi ni VITU VIPYA katika ubovu wake ulio wa VIWANGO VYA juu katika mazingira mabovu kabisa hiiii ni so sad and great shampoo if not shameful

  • @alikhamic4177
    @alikhamic417725 күн бұрын

    mbona watu hakuna

  • @joycekaishozi1177
    @joycekaishozi117724 күн бұрын

    ukisimamia hhaki yako ni bora sana

  • @minahismail9515
    @minahismail951523 күн бұрын

    Jamani mwakinyo ni ki hekesho bora nilienda kulala

  • @MICHAELLEONTH
    @MICHAELLEONTH21 күн бұрын

    Mwakinyo naye hiyo style yake jaman Sio usanii

  • @dismaspascal6198
    @dismaspascal619823 күн бұрын

    Daah,pambano la mchongo

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu972823 күн бұрын

    Mwakinyo hataki janja janja kama wale wengine wakipewa ata lack 3 wanapigana😅

  • @babanaso6743
    @babanaso674324 күн бұрын

    Kinacho chaguliwa na mungu hata uweke chuki vipi kitaendelea kusimama ila ndugu zangu wa tz tuache roho mbaya

  • @fintanifelix1680
    @fintanifelix168019 күн бұрын

    Mwakinyo alivaa sket au macho yangu jamani

  • @HajiJumaHaji-to3ld
    @HajiJumaHaji-to3ld24 күн бұрын

    Hamonaizi kama umechoka kuimba basi kama unavipesa vyako nenda kwenu kanunuwe heka ya mikorosho ulime usije kumtefutiya kesi hasani mwakinyo kwa wazazi wako nenda kalime korosho

  • @AthanasiMichael
    @AthanasiMichael23 күн бұрын

    Champenz 🏆

  • @user-xh2rn1sp7i
    @user-xh2rn1sp7i20 күн бұрын

    Iv tatizo inalofanya hadi iwe hivi

  • @MtumishiMwaisaka-lb3qs
    @MtumishiMwaisaka-lb3qs24 күн бұрын

    Poorly video shooting,too far "hii ni bangi na njaa,Hamna ngumi hapa

  • @lucasmombo-di4zr
    @lucasmombo-di4zr24 күн бұрын

    Mwakinyo afungiwe bonding gani mbabaishaji !

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn620124 күн бұрын

    Mwakinyo siyo Bondoia wanamletea mabondia viazi tu

  • @MicharazoCharazo
    @MicharazoCharazo16 күн бұрын

    Tanzania chikii ndoo zinatusumbuwa

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani198925 күн бұрын

    Bado harmonize

  • @HusseinChai
    @HusseinChai24 күн бұрын

    Mwambaaaa nakukubalii😂😂

  • @komboadata4323
    @komboadata432324 күн бұрын

    KUWENI WAKWELI MWAKINYO MWENYEWE PIA AJUI KAMA KASHINDA HILI PAMBANO

  • @JumaIsmail-dt4il
    @JumaIsmail-dt4il15 күн бұрын

    Tz 1

  • @WinifridaJonathan-cq2nw
    @WinifridaJonathan-cq2nw23 күн бұрын

    Mkanda lazima tuubebe hao wanao mrudisha nyuma nangoja wageuke😅

  • @chiddybwax7749
    @chiddybwax774923 күн бұрын

    Watu inabidi waelewe mwakinyo hana makosa bali mabosi zetu wa hovyo

  • @user-wz9mh7it3y
    @user-wz9mh7it3y24 күн бұрын

    Kwani kulikua na ngumi au kulikua na makubaliano tu hapa. Mbona km ibabaishaji. Maana cjaona ngumi apo walopigana. Imekua sawa na mtu na dem wake. Wakat dem anajarib kukataa kudo kisha akaachia nyama

  • @selemanajali6336

    @selemanajali6336

    23 күн бұрын

    Kabisa hamna ngumi hapo

  • @josephlorri431
    @josephlorri43124 күн бұрын

    Pambano zuri,ni ubora wa picha ndo tatizo

  • @dstaroficial
    @dstaroficial24 күн бұрын

    Dug haya bana

  • @AmonOdo
    @AmonOdo24 күн бұрын

    Abali ndo hiyo kikubwa mkanda kubaki tz

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya407724 күн бұрын

    Limefanyikia wapi hilo!

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos263525 күн бұрын

    Leo mm nime shika number one

  • @KassimSaid-vp4zz

    @KassimSaid-vp4zz

    25 күн бұрын

    Number one ya nyoko upumbavu nao unataka 2upongeze

  • @onesmothimos2635

    @onesmothimos2635

    24 күн бұрын

    @@KassimSaid-vp4zzunamtafuta mtu wa kukufila basi Pele lime pata kucha

  • @user-nm9kv3vl9n
    @user-nm9kv3vl9n24 күн бұрын

    mwakinyoo watu ka hawa ndo wakuchapa chap unaondoka kujifanya ka jogoo inaleta madharau bongoo

  • @yusufsong7993
    @yusufsong799324 күн бұрын

    Pumbavu nani afungiwe Ulizani Mwakinyo kama mabondia wenu labda wafungiwe chama cha ngumi

  • @issahpronto1945
    @issahpronto194521 күн бұрын

    Yaasn kama ni ivooo atafika anakotaka ila iyooo siyooo boxing ninayoijua mimi

  • @adilhabib8988
    @adilhabib898822 күн бұрын

    Hiii ni regesha watu hapana ngumi hapa mwakinyo kaachia mpunga ili jamaa achie pambano

  • @EMMANUELR.MASSAWE
    @EMMANUELR.MASSAWE22 күн бұрын

    Mapambano ya jamaa yanaishaga kimaajab ajabu. Unashangaa tu refa ananyoosha mikono pambano limekwisha.

  • @minahismail9515
    @minahismail951523 күн бұрын

    Profesheno wa mashabiki mchwara.

  • @frankmollel8510
    @frankmollel851025 күн бұрын

    Hawa waandaaji niwasenge yaani waliamua kutafuta muda wao wakati pesa zetu tulilipa nahawakupigana siku iyo

  • @oswadisanga2636
    @oswadisanga263624 күн бұрын

    Hv ilipambano la lini??

  • @MamboKiluwa
    @MamboKiluwa24 күн бұрын

    Mwakiny anajua ana mpinzan xix wat watanga ndo tunamjua

  • @user-fq6xx4ww4c
    @user-fq6xx4ww4c24 күн бұрын

    Pambano la mchongo msituwekee Sasa ndio ngum gani iliyochezwa nawauliza nyie timu mwakinyo

  • @DaviVicent-eh6ev
    @DaviVicent-eh6ev24 күн бұрын

    Usiishi kwa kufurahisha watu kaka

  • @MchJacobKassim
    @MchJacobKassim24 күн бұрын

    Mimi naelewa hili halikuwa pambano lilikuwa movie ya kichina

  • @JosephuSwai

    @JosephuSwai

    24 күн бұрын

    Karibu wewe

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    23 күн бұрын

    Nae anashangilia eti daah

  • @minahismail9515
    @minahismail951523 күн бұрын

    Jamani asqin kwa kiduku tumuuwe

  • @user-uk4cy1ot6r
    @user-uk4cy1ot6r23 күн бұрын

    Hapigani kwa mihemko ya watu anaangalia sheria ina semaje sio boya kama mabondia wenu mbuzi nyie

  • @bongo39
    @bongo3925 күн бұрын

    Very poor watu wamesimama hamna nidhamu ninaibu kwa kweli hawa waandaji bado kabisa yani hapo ni ujanja ni mwingi kuliko upangaji na hashi ya hilo shindano

  • @AldoNziku-mk2nd
    @AldoNziku-mk2nd24 күн бұрын

    Pambano LA mchongo

  • @HusseinHassain-ry9qb
    @HusseinHassain-ry9qb20 күн бұрын

    Ngumi unajua ilaa mabondia wako bdo cjawaelewa baba hassain Soo kwel weee champion of the national Tz half mapmbn yko ayakosi vikwazo vp kaka

  • @JacksnLupatu
    @JacksnLupatu21 күн бұрын

    Ww kwel una roho mbay ambae unaomba mwakinyo afungie

Келесі