Baba joan usimuachilie huyu mtoto karobo kuna kipaji kikubwa ndani yake 💐 🌹 🌸... kazi nzuri hongereni nyote 👏
@petermauta578921 күн бұрын
Huyu karombo mtoto anashikisha hii filamu mzuri
@AdijaWashuma21 күн бұрын
Alaf nyie mnaomba omba like acheni usenhe mnashindwa kutoa maoni kazi kuomba omba like tyu acheni hizo toen maoni😢😢😢😢
@karembo7082
21 күн бұрын
😂😂😂😂ama kweli umesema ukweli
@user-ff4zw7oj8i
21 күн бұрын
Waache TU mbona kawaida tuu
@user-rg5ft5ye8d
21 күн бұрын
Kapiza
@user-gz9oq7ey4h
21 күн бұрын
Wanaomba likes mpaka wanakera utadhani wame-act wao
@EmmyMo
21 күн бұрын
Yanakela bana😂😂😂
@Duma70021 күн бұрын
Leo macho yana uhalisia
@franciscassian
21 күн бұрын
Kwani mwanzo yalikuwa vipi
@kondebouy130821 күн бұрын
Baba Joan hongera kaka kazi nzuri nifinyie like hapa wenye wivu wakajue muhimu wa hiyo like
@elvinakalu699121 күн бұрын
Hii move iko namafunzo mazuri,wanaume kuweni makini na wake zenu duh
@user-hu5qw6tk7c21 күн бұрын
Wow hii emekuwa tamu kweli nangoja nomber 3
@CollinsMiheso-qn1ul21 күн бұрын
Napenda Sana ❤❤mwalimu mngeni
@EmilykuvunaKonzi21 күн бұрын
Jamani toeni maoni kama movie iko sawa ama la nyinyi ni like tuuuu pumbavu zenu😏
@JaynoMkupa-ew3qo21 күн бұрын
Watoto muhimu cna yatupasa kuzali sha mapema nakuwatunza watoto mapema
@Soweto12421 күн бұрын
Leo wa kwanza 🎉
@danielkambanga679021 күн бұрын
Safi Sana,awamu hii kwenye macho umeyarekebisha yamekaa sawa.
@nabiielishanabiielisha48921 күн бұрын
Jaman Tamthilia Hii Ni Kari Sana
@SilviaDirecto.21 күн бұрын
wa kwanza nipeeni likes
@saalumunyoha114021 күн бұрын
Hii Kali sana.ila wanawake wengine ni afadhali hata mnyama
@user-fe8ju5vd9z21 күн бұрын
Baba Joan nimekukubali wewe na timu Yako yote ila tangu nilianza kufata movie zenu amjawai kunipa ata like moja
@user-rz9uf2xx1x
20 күн бұрын
😂😂😂endelea kubambika ndugu 😅😅😅😅acha na like zitakuuwa bule😂nakupenda bure❤
@user-fe8ju5vd9z
18 күн бұрын
Ah bon c'est vrai ça ok que dieu te pardonne
@rehemafema21 күн бұрын
Hii nzr lakni hofu sijaitazama kwasabu hizo move za kichawi imekuwa too much mzipunguze
@user-zm8wo1ue7e21 күн бұрын
Bro mungu akubarki kaz nzur
@MagdaleneKilifi21 күн бұрын
Jaman nmeangalia hii movie nkilia Hadi mwixho, pole sana baba karobo😢
@mwalisuleih1164
9 күн бұрын
❤❤❤❤❤ Mie pia 😢😢😢😢😢😢😢ak movie nzur jamani nyie uyu baba joan anafunza xn hongereni nyote mlioshiriki katik hii
@WakizazikipyaBolole
6 күн бұрын
Hizo majina wametowa wapi😂😂 Karobo 😢
@StephenOdhiambo-kn4md
4 күн бұрын
Ati karobo
@user-lv6xv6nf5j21 күн бұрын
Dah baba Joan kazi nzuri inahuzunisha sana
@aminakenyaa933721 күн бұрын
Funzo katika jamii kazi nzuri baba Joan ❤❤❤❤
@user-zb2wx8ws6g21 күн бұрын
Mumenifanya Nikalia mm jamani 😢😢
@YvonneWangeci-oe8uf21 күн бұрын
wanne hapa likes zangu
@OmanOman-ru4eu21 күн бұрын
Kwan like mnalipwa yaani mnakera jmn toeni maoni azidi kuboresha kazi na ss tuzidi kujifunza na kuenjoy pia
@IslamPeto-fd6wr
21 күн бұрын
Umeona eeh mi pia nawashangaa,,, wote ni like sijui uwaga awazingatii kuangalia
@ProtasdidasMushi
17 күн бұрын
Mim naona kama vile kuna chochote wanapewaga wakifikisha like 10000 labda
@RizikiZiki21 күн бұрын
😂😂😂ayo maco ya bb karobo sasa pole sana karobo kwa magumu unayo pitiya we na bb yako 😢😢😢
@WinifridaKisinga21 күн бұрын
Hii move wanaume wanaume wakiifatilia nakuiweka moyoni kwa hofu wanawake tunaweza tukaishia kuzalishwa tu ila tusiwekwe ndani😭
@user-de7sv3rc3n21 күн бұрын
Naitwa Espoir salumu kutoka Congo 🇨🇩 jamani Nîmechelewa ila nipeni likes zangu
@ChrisNini-ot3bl
21 күн бұрын
Vp Kijana Ya Congo
@user-vr1ji2py7l
21 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉@@ChrisNini-ot3bl
@user-vr1ji2py7l
21 күн бұрын
nimewahi nimechelewa wa 100
@user-co9bx4pf2q21 күн бұрын
Baba umepigwa namakariyo yawhatuu😂😂😂 rakin wee ukinana nabakobwa bafise inyooooo nini😅😅😅😅😅 Baba joyiiii
@user-by4ju5ce3x
16 күн бұрын
Nakirundi tena kwa watanzania brother
@user-yt1qw8bm9p20 күн бұрын
Nani amegundua kuwa uyu kalobo simama yake mzazi uyu mama
@TantineZuzu21 күн бұрын
Hadi huruma jamani kosa vyote rakini usikose kuona 😢😢😢
@SofiyaKazungu.Kaviha9 күн бұрын
baba karobo pole Sana wanawake wabaya Sana wanakupenda ukiwa na pesa lakini ukiwa uko na shida ana kudharau
@davidyaa388521 күн бұрын
Nawasihi kiukwel hii tamthilia muitembeze kwa wakat bana hii ni tamu sana angalau mbili kwa siku
@EmmanuelSaruni-lh8cl4 күн бұрын
Mungu lepapalai saidia wana ndoa wengine maana ndoa isha kua ndowano sasa oi mungu yangu
@BandibaboneMoninga-jo3tq
3 күн бұрын
Bonjour
@PostineYesare9 күн бұрын
Kazi nzuri baba joan na wenzako nawapenda bure🎉🎉🤗🤗🥰
@nurafedrick37821 күн бұрын
Wallah huo mkatee na sodaa siungekunyonga ufilie mbali 😥😥😥😥😃😃😃upofuu oneday ukurudie .yan mpaka mtoto anaibaa aise
@Faarjarsowako2 күн бұрын
Baba joan keep up mimi nina kufuata from Ethiopia🇪🇹🇪🇹ninakupenda sana ume fanya kazi vizuri endela mbele mungu ata kuzadia san
@mokilihategeka13033 күн бұрын
Hii move naipenda sana na wapongeza nyote ambao mumetuchezeya hii
@EmmyMo21 күн бұрын
God bless you my brother na team yako kazi nzuri sanaa🎉🎉🎉
@ShafiiAbdallah-sg4lk9 күн бұрын
Da haka his kazi zako zamaana nazinatoa fundisho hongera sana
@HappyMonarchButterfly-oe3rz21 күн бұрын
Waaaa baba Joan kidogo nilie 😢ila Mola awajaalie mzidi kusonga mbele zaidi
@user-bt3lm4nm4t21 күн бұрын
🎉❤❤❤❤❤jamani simkue mnatoa bada ya siku mbili Nikiwakilisha machakos county kenya🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@user-zf3lv6vo9y21 күн бұрын
Kazi nzurii Sana karobo anajaribu Sanaa pamoja Na baba joan
@ntezealoyce704321 күн бұрын
Karobo unakitu utafika mbali kaza buti
@GaudenciaMadirisha21 күн бұрын
Karobo safiiii 🌹🌹🌹🌹
@user-on7in9tz6e21 күн бұрын
Kazi njema
@godlovekyela780711 күн бұрын
Baba Joan kazinzur wote mko vyema zaid mwimbaji wetj na katobo keep them
@HildaChelagat-dy7ey20 күн бұрын
Karombo unafaaa ww n mtoto mzuri play anathor movie I like it....
@FranciscoRomao-pc7xl21 күн бұрын
Cazi nzuri sana😅
@GelwadaNchimbi21 күн бұрын
Muwaishe Cha tatu jamani nitam hatari
@suleimankipyego514317 күн бұрын
Hii movie inaliza jamani 😢😢😢😢 mtoto hapenda kuiba ila kumtafutia babake chakula
@user-fq6vh5ks9z21 күн бұрын
Yani ayo macho ya papa Joani misitaki kuangalia lakini uyo mama kalobo analoho mbaya tunaapenda san kutoka Burundi 🇧🇮 ❤❤❤
@mohammedgedow345621 күн бұрын
Hongera Baba joan we need brains like you.thumbs up once again
@user-vt3dp2st5e21 күн бұрын
Jamani kama kweli kipofu hayo macho hongera baba Joani
@RukiaDzombo-uf7wp21 күн бұрын
Karobo uko moto,,,yuashobokea mamake🤣🤣🤣🤣🤣
@mubaonemubaone32499 күн бұрын
Naomba karobo mumbadilishie Gauni Nyinyi mshabadilisha nguo mara nyingi
@user-pp3vo8rw5j21 күн бұрын
❤❤❤❤much love from ❤❤❤
@hemedynyuki438910 күн бұрын
Walaih inasikitisha mno story nzur big up bro
@suzanaedson108010 күн бұрын
Hongera sana baba joan kaz nzur
@lameckisayagospel748115 күн бұрын
Leo nilipo ingia Facebook ndo nimeona kipande cha kwanza kisha nikaanza fuatilia vipande vingine.mara tunashindwa kufuatilia filamu za kibongo Na kwenda Nigeria sababu Mara mnacheza vitu ambavyo visivyo kweli wala havipo kwenye oraza za légend.kwenye movie hiyi,upole wa baba unazidi sana.
@user-kx9jk6uc9o20 күн бұрын
Nakubali baba Joan mungu akuzidishie
@JuliusChacha-qr3tk8 күн бұрын
Ni igizo ila kuna uhalisia ndani yke yaan ndo maisha yanayotendeka every day as reflected in these movie
@SamyBoudan19 күн бұрын
Kazi nzuri one love from +243
@johnmamati53217 сағат бұрын
Lo! Nafwatilia sana huu mchezo. Una mafunzo na burdani kwelikweli
@user-de7pb4du2h4 күн бұрын
Hii ya pili mmerekebisha macho.. Yako sawa Sasa 😂❤❤❤
@AnuniOmmy7 күн бұрын
Ivi uyo baba john ni kipofu kweli au alikua ana ekt
@user-rs1pf1zi9d21 күн бұрын
Kazi nzuri Wahusika kabambe❤❤
@SumaiyaWambui350013 күн бұрын
karobo she is having a beautiful talent she can do better thn this,,baba joan shikilia karobo till the gift she has igrow❤❤❤
@sofiakinyia273421 күн бұрын
Karobo chukua maua yako🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@user-yi6ub2uq2i21 күн бұрын
Kazi nzuri xna nawapenda xna guys
@NicodemusKithi-xe7mg15 күн бұрын
Hongera sana baba Joan 🎉🎉🎉
@HamisiKatana-rt2yj20 күн бұрын
hiiiii movie aky inasikitisha hongera kwa kazi nzuri
@MaulidAmri-zt2gv21 күн бұрын
Kazi nzuri sana 🎉🎉🎉❤❤❤
@AmbrosiAmbrosi18 күн бұрын
Wangapi wana mkubali babajoani gonga like kama wamkubali
@RoselineMulwa-qg4bn21 күн бұрын
Wenye tumejipata huku toka Facebook karibuni💖💖💖
@elisanteKombe21 күн бұрын
Hongera sana kwa kazi nzur❤🎉
@user-yu9qn4oi3g16 күн бұрын
❤❤❤kazi nzuri sana 👍
@stevensilungwe4113 күн бұрын
This is really amazing,it's emotional nalia sana.
@JosephJeremia-mf3nl10 күн бұрын
Kazi nzuri sana nimejifunza jambo hapa hongera sana
@AnaAna-rc7mh21 күн бұрын
Hii filamu mimi inaniliza jaman bila kupenda good job nipeni like zangu
@karembo708221 күн бұрын
Mama karobo yatakurudia hayo marambili yake
@user-hc5no2bj4z21 күн бұрын
Jamani ❤❤❤❤❤❤❤ kaka Yang pole San mungu akulinde
@user-ff4zw7oj8i21 күн бұрын
#Teambabajoan Gonga likes❤❤❤
@user-ge3tn7zs8r21 күн бұрын
Baba Joan waniacha machozi yanitoka
@YvonneWangeci-oe8uf21 күн бұрын
tamu sana nangoja part 4
@mandalejonathan7342
14 күн бұрын
Ipo
@Tatiatoofficial21 күн бұрын
😂😂😂😂
@rosemichael526816 күн бұрын
Dada ameigiza vizuri kumtetea mtoto baba yangu kipofu
Пікірлер: 336
Kazi njema unayoifanya kakangu Baba Joan Endelea hivohivo nakufuatilia sana nikiwa hapa nchi jirani Kenya.
Babajoan never dissapoint ❤❤❤ Keep it up Una kazi nzuri sana❤❤❤
Daaaah yan hii move inanifanyaa nitoe machozii ❣️❣️
Very good development. Hongera baba Karobo. Mama Karobo ACHA uovu, hao unawatesa utaja kuwatamani hapo usoni
Mauchungu sana❤❤❤❤ watu tuangalie movie nautoe maoni sikukimbilia kuomba like
Wa kwanza jamani like zangu from 254🎉🎉
@hassankenga5787
21 күн бұрын
Like zitakupeleka wap ww toa maoni yko acha kuitisha likes
@Simon-kangethe
21 күн бұрын
@@hassankenga5787 haikuhusu brooo 😏
Kazi nzuri sana baba Joan Ila huyu mwanamke roho mbaya yaani roho us chuma🎉🎉🎉❤
nimewahi nimekuwa wa6 ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hhhhhhhh iyo fimbo ilikua inaenda kuinglia wap hhhhhhh
@user-vr1ji2py7l
21 күн бұрын
wewe ulivyo ona ilikuwa inaenda wapi jaman?
@kibaniotv
21 күн бұрын
@@user-vr1ji2py7l hhhhhhhhhhh🤗🤗
@user-de7pb4du2h
4 күн бұрын
😂
Baba joan usimuachilie huyu mtoto karobo kuna kipaji kikubwa ndani yake 💐 🌹 🌸... kazi nzuri hongereni nyote 👏
Huyu karombo mtoto anashikisha hii filamu mzuri
Alaf nyie mnaomba omba like acheni usenhe mnashindwa kutoa maoni kazi kuomba omba like tyu acheni hizo toen maoni😢😢😢😢
@karembo7082
21 күн бұрын
😂😂😂😂ama kweli umesema ukweli
@user-ff4zw7oj8i
21 күн бұрын
Waache TU mbona kawaida tuu
@user-rg5ft5ye8d
21 күн бұрын
Kapiza
@user-gz9oq7ey4h
21 күн бұрын
Wanaomba likes mpaka wanakera utadhani wame-act wao
@EmmyMo
21 күн бұрын
Yanakela bana😂😂😂
Leo macho yana uhalisia
@franciscassian
21 күн бұрын
Kwani mwanzo yalikuwa vipi
Baba Joan hongera kaka kazi nzuri nifinyie like hapa wenye wivu wakajue muhimu wa hiyo like
Hii move iko namafunzo mazuri,wanaume kuweni makini na wake zenu duh
Wow hii emekuwa tamu kweli nangoja nomber 3
Napenda Sana ❤❤mwalimu mngeni
Jamani toeni maoni kama movie iko sawa ama la nyinyi ni like tuuuu pumbavu zenu😏
Watoto muhimu cna yatupasa kuzali sha mapema nakuwatunza watoto mapema
Leo wa kwanza 🎉
Safi Sana,awamu hii kwenye macho umeyarekebisha yamekaa sawa.
Jaman Tamthilia Hii Ni Kari Sana
wa kwanza nipeeni likes
Hii Kali sana.ila wanawake wengine ni afadhali hata mnyama
Baba Joan nimekukubali wewe na timu Yako yote ila tangu nilianza kufata movie zenu amjawai kunipa ata like moja
@user-rz9uf2xx1x
20 күн бұрын
😂😂😂endelea kubambika ndugu 😅😅😅😅acha na like zitakuuwa bule😂nakupenda bure❤
@user-fe8ju5vd9z
18 күн бұрын
Ah bon c'est vrai ça ok que dieu te pardonne
Hii nzr lakni hofu sijaitazama kwasabu hizo move za kichawi imekuwa too much mzipunguze
Bro mungu akubarki kaz nzur
Jaman nmeangalia hii movie nkilia Hadi mwixho, pole sana baba karobo😢
@mwalisuleih1164
9 күн бұрын
❤❤❤❤❤ Mie pia 😢😢😢😢😢😢😢ak movie nzur jamani nyie uyu baba joan anafunza xn hongereni nyote mlioshiriki katik hii
@WakizazikipyaBolole
6 күн бұрын
Hizo majina wametowa wapi😂😂 Karobo 😢
@StephenOdhiambo-kn4md
4 күн бұрын
Ati karobo
Dah baba Joan kazi nzuri inahuzunisha sana
Funzo katika jamii kazi nzuri baba Joan ❤❤❤❤
Mumenifanya Nikalia mm jamani 😢😢
wanne hapa likes zangu
Kwan like mnalipwa yaani mnakera jmn toeni maoni azidi kuboresha kazi na ss tuzidi kujifunza na kuenjoy pia
@IslamPeto-fd6wr
21 күн бұрын
Umeona eeh mi pia nawashangaa,,, wote ni like sijui uwaga awazingatii kuangalia
@ProtasdidasMushi
17 күн бұрын
Mim naona kama vile kuna chochote wanapewaga wakifikisha like 10000 labda
😂😂😂ayo maco ya bb karobo sasa pole sana karobo kwa magumu unayo pitiya we na bb yako 😢😢😢
Hii move wanaume wanaume wakiifatilia nakuiweka moyoni kwa hofu wanawake tunaweza tukaishia kuzalishwa tu ila tusiwekwe ndani😭
Naitwa Espoir salumu kutoka Congo 🇨🇩 jamani Nîmechelewa ila nipeni likes zangu
@ChrisNini-ot3bl
21 күн бұрын
Vp Kijana Ya Congo
@user-vr1ji2py7l
21 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉@@ChrisNini-ot3bl
@user-vr1ji2py7l
21 күн бұрын
nimewahi nimechelewa wa 100
Baba umepigwa namakariyo yawhatuu😂😂😂 rakin wee ukinana nabakobwa bafise inyooooo nini😅😅😅😅😅 Baba joyiiii
@user-by4ju5ce3x
16 күн бұрын
Nakirundi tena kwa watanzania brother
Nani amegundua kuwa uyu kalobo simama yake mzazi uyu mama
Hadi huruma jamani kosa vyote rakini usikose kuona 😢😢😢
baba karobo pole Sana wanawake wabaya Sana wanakupenda ukiwa na pesa lakini ukiwa uko na shida ana kudharau
Nawasihi kiukwel hii tamthilia muitembeze kwa wakat bana hii ni tamu sana angalau mbili kwa siku
Mungu lepapalai saidia wana ndoa wengine maana ndoa isha kua ndowano sasa oi mungu yangu
@BandibaboneMoninga-jo3tq
3 күн бұрын
Bonjour
Kazi nzuri baba joan na wenzako nawapenda bure🎉🎉🤗🤗🥰
Wallah huo mkatee na sodaa siungekunyonga ufilie mbali 😥😥😥😥😃😃😃upofuu oneday ukurudie .yan mpaka mtoto anaibaa aise
Baba joan keep up mimi nina kufuata from Ethiopia🇪🇹🇪🇹ninakupenda sana ume fanya kazi vizuri endela mbele mungu ata kuzadia san
Hii move naipenda sana na wapongeza nyote ambao mumetuchezeya hii
God bless you my brother na team yako kazi nzuri sanaa🎉🎉🎉
Da haka his kazi zako zamaana nazinatoa fundisho hongera sana
Waaaa baba Joan kidogo nilie 😢ila Mola awajaalie mzidi kusonga mbele zaidi
🎉❤❤❤❤❤jamani simkue mnatoa bada ya siku mbili Nikiwakilisha machakos county kenya🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Kazi nzurii Sana karobo anajaribu Sanaa pamoja Na baba joan
Karobo unakitu utafika mbali kaza buti
Karobo safiiii 🌹🌹🌹🌹
Kazi njema
Baba Joan kazinzur wote mko vyema zaid mwimbaji wetj na katobo keep them
Karombo unafaaa ww n mtoto mzuri play anathor movie I like it....
Cazi nzuri sana😅
Muwaishe Cha tatu jamani nitam hatari
Hii movie inaliza jamani 😢😢😢😢 mtoto hapenda kuiba ila kumtafutia babake chakula
Yani ayo macho ya papa Joani misitaki kuangalia lakini uyo mama kalobo analoho mbaya tunaapenda san kutoka Burundi 🇧🇮 ❤❤❤
Hongera Baba joan we need brains like you.thumbs up once again
Jamani kama kweli kipofu hayo macho hongera baba Joani
Karobo uko moto,,,yuashobokea mamake🤣🤣🤣🤣🤣
Naomba karobo mumbadilishie Gauni Nyinyi mshabadilisha nguo mara nyingi
❤❤❤❤much love from ❤❤❤
Walaih inasikitisha mno story nzur big up bro
Hongera sana baba joan kaz nzur
Leo nilipo ingia Facebook ndo nimeona kipande cha kwanza kisha nikaanza fuatilia vipande vingine.mara tunashindwa kufuatilia filamu za kibongo Na kwenda Nigeria sababu Mara mnacheza vitu ambavyo visivyo kweli wala havipo kwenye oraza za légend.kwenye movie hiyi,upole wa baba unazidi sana.
Nakubali baba Joan mungu akuzidishie
Ni igizo ila kuna uhalisia ndani yke yaan ndo maisha yanayotendeka every day as reflected in these movie
Kazi nzuri one love from +243
Lo! Nafwatilia sana huu mchezo. Una mafunzo na burdani kwelikweli
Hii ya pili mmerekebisha macho.. Yako sawa Sasa 😂❤❤❤
Ivi uyo baba john ni kipofu kweli au alikua ana ekt
Kazi nzuri Wahusika kabambe❤❤
karobo she is having a beautiful talent she can do better thn this,,baba joan shikilia karobo till the gift she has igrow❤❤❤
Karobo chukua maua yako🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Kazi nzuri xna nawapenda xna guys
Hongera sana baba Joan 🎉🎉🎉
hiiiii movie aky inasikitisha hongera kwa kazi nzuri
Kazi nzuri sana 🎉🎉🎉❤❤❤
Wangapi wana mkubali babajoani gonga like kama wamkubali
Wenye tumejipata huku toka Facebook karibuni💖💖💖
Hongera sana kwa kazi nzur❤🎉
❤❤❤kazi nzuri sana 👍
This is really amazing,it's emotional nalia sana.
Kazi nzuri sana nimejifunza jambo hapa hongera sana
Hii filamu mimi inaniliza jaman bila kupenda good job nipeni like zangu
Mama karobo yatakurudia hayo marambili yake
Jamani ❤❤❤❤❤❤❤ kaka Yang pole San mungu akulinde
#Teambabajoan Gonga likes❤❤❤
Baba Joan waniacha machozi yanitoka
tamu sana nangoja part 4
@mandalejonathan7342
14 күн бұрын
Ipo
😂😂😂😂
Dada ameigiza vizuri kumtetea mtoto baba yangu kipofu
Baba joan mnajitahid sana kwenye move zenu
Kazi nzuri baba joan🎉
BABA JOAN KAZI NZULI, MUNGU HAKUBALIKI SANA ❤❤❤❤
Napenda sana iyi muvi asante saba❤
Mwanamke unaroh mbaya hatakama duuh we ni 🎉🎉🎉🎉🎉