MFAUME MFAUME AMVAA MWAKINYO - "ROHO MBAYA TU, ANAOGOPA WENZAKE WAKICHEZA WATAMFUNIKA"

Спорт

MFAUME MFAUME AMVAA MWAKINYO - "ROHO MBAYA TU, ANAOGOPA WENZAKE WAKICHEZA WATAMFUNIKA"
BONDIA Mfaume Mfaume amefunguka kuelekea pambano la kijana wao Oscar Richard vs Tony Rashid litakalochezwa Juni 29, 2024...

Пікірлер: 148

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z28 күн бұрын

    Yaani hayo maneno yake yoote anamlenga mtu mmoja tu na bondia mwakinyo ww mwakinyo kakuzidi hadi mazambi

  • @user-in6sv4gh5u
    @user-in6sv4gh5u28 күн бұрын

    Huyo mfaume Hana hadh ya kuwa bondia

  • @sidebraizoy2070
    @sidebraizoy207028 күн бұрын

    Ushachoka saivi hauna kitu mfaume

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z28 күн бұрын

    Huyu bila ya kumtaja bondia mwakinyo hawezi kwenda mjini ili aingie mjini lazima amuongelee mwakinyo mbona mwenzake hana muda nae yy tu

  • @mohamediabdalah7650
    @mohamediabdalah765028 күн бұрын

    Hunajipya unaongea sanatu vyiwangovyenyewe vimeshukawweweeee

  • @mosongatz4534
    @mosongatz45343 күн бұрын

    Champion Mfaume Mfaume miaka 100 ukweli umewauma machawa wa mdigo wewe ni balaa balaaa balaaaaa wasiokupenda kwenye comment hapa kimoyoni moyoni wanakukubali GO go GO go Champion NACCOZ baba lao haipingwi hiyo

  • @khamisomary7428
    @khamisomary742827 күн бұрын

    Mfaume kaa kimya imebakia ww kuwa ni mama ntilie tu, unamiaka chungu nzima hujapambana, acha roho mbaya shenzi

  • @HassaniRamso
    @HassaniRamso28 күн бұрын

    Unanja huna lolote boya chuki anazo yeye

  • @sidebraizoy2070
    @sidebraizoy207028 күн бұрын

    Sasa hapo umehoji nn zaidi ya umbea tu na mwenzio mfaume

  • @MropeJr

    @MropeJr

    28 күн бұрын

    sasa utambui lakini umemuita na jina

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy520427 күн бұрын

    Mfaume angepigana na iddy pialali pambano lile lingekuwa zuri sanaaa na lingemrudisha vizuri sana kama angeshinda.

  • @justiceshelukindo
    @justiceshelukindo26 күн бұрын

    Boxing watz kuwa wakubwa Ni ngumu maana matamanio Yao Ni kupigana wenyewe Kwa wenyewe, aliye mkubwa ashushwe . Kupigana Ni ku risk maisha wanapaswa. Wawe na msimamo wapate Hela sio kutumiwa kama tissue

  • @HassanKibindo-ti1nu
    @HassanKibindo-ti1nu19 күн бұрын

    Hana jipya mfaume mawiv tu Champez bab kubwa ingeezeka uy jamaa apande na Mwakinyo anaimba sana by mpenda michezo

  • @rajabungatanda630
    @rajabungatanda63027 күн бұрын

    Acha ushamba na roho mbaya Sikuzote duniani usitumie muda wako kumjadili mtu utafeli kila kitu Unatakiwa kuiga mfano wa mwakinyo anaangalia mambo yake tu

  • @Francis-oq6tz
    @Francis-oq6tz27 күн бұрын

    Nafasi ya mwakinyo bado ipo juuu sanaaaa wanaumia sana endelea mwakinyo tupo nyuma yako tanzania bondia ni mwakinyo pekeee

  • @ahmedimakope

    @ahmedimakope

    27 күн бұрын

    Nyie ndio wafirwaji mikundu nyie!

  • @ShabaniSadallah-uw5ey
    @ShabaniSadallah-uw5ey22 күн бұрын

    Nakukubali kinoma

  • @bakarimakalo7128
    @bakarimakalo712824 күн бұрын

    Mfaume Uwe Mkweli. Tafadhali Jitahidi kupambana Mwenzako kutoka Brbr za Namba na Makorora amejijengea Mvuto kwa Wapenda Ndondi. Tunakuamini na Jiamini.

  • @athumanbakari-hy7xb
    @athumanbakari-hy7xb27 күн бұрын

    mtangazaji ufai kua mtangazaji mshamba sana

  • @abdallahyusuf7641
    @abdallahyusuf764127 күн бұрын

    Mfaume umeshuka na bila ya kumkandia mwakinyo jina litazidi kupotea

  • @AzizSultan-fc7rn
    @AzizSultan-fc7rn23 күн бұрын

    Nazid kusoma comment wakuu

  • @mwinyihijajumaa3773
    @mwinyihijajumaa377327 күн бұрын

    Mfaume tafuta shughuli yakufanya Mwakinyo sio level yako na kofia yako iyo ya bukujero

  • @IddyDaruweshi-jv1fu
    @IddyDaruweshi-jv1fu26 күн бұрын

    HUYU CHA MANENO IPO SIKU ATAUMIA ANACHONGA SANA. PUNGUZA MDOMO DOGO NINGEKUWA NA NAFASI NINGEOMBA PAMBANO NAE NAJUWA ANACHOJIVUNIA

  • @user-zo7lf4qp6m
    @user-zo7lf4qp6m27 күн бұрын

    Mfaume sio bondia Kila pambano anapigwa alafu anabebwa saizi muimba taalabu tu

  • @RajabuGoba
    @RajabuGoba26 күн бұрын

    Hamuwezi mwakinyo hata kidogo

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z28 күн бұрын

    Huyu majigambo tu hana lolote mbuzi tu kwa bondia mwakinyo ww hata umseme vipi bondia mwakinyo huwezi kumshusha na huwezi kumfikia😂

  • @anosiata8242
    @anosiata824227 күн бұрын

    Kazeeka mfaume mfaume

  • @michanoboy8948
    @michanoboy894826 күн бұрын

    Nilikua namkubali sana uyo mbwa lkn maneno yake yakisenge nishamkataa zamani bondia kama khadija kopa bwan

  • @sports007tv4
    @sports007tv427 күн бұрын

    Sheikh hamad kombo utangazaji huuwez nenda kavue kaka yan ww unamchochea mtu amseme mtu mwengine

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika27 күн бұрын

    Mfaume saiz yako n Mzee wa SUKUNYO

  • @malkavoice2570
    @malkavoice257028 күн бұрын

    Mfaume mshamba sn lkn kama aliongea bila kujua amuombe radhi Mwakinyo,vinginevyo nitampuuza sana

  • @iamminahsalim5008
    @iamminahsalim500827 күн бұрын

    Mwenetu vp asaiv umekua ms pialali tuu anakushinda 😅😅😅 kwedraaaa unalolote mshika ufunguo tuu wa jimu ata mimi unipji

  • @bamsimkwedez6623
    @bamsimkwedez662327 күн бұрын

    Nimesoma comment za watu humu hakina anaye kukibali bro jitafakari

  • @BITEBOKHALID
    @BITEBOKHALID27 күн бұрын

    Acheni kuzunguza Ushoga fungeni hizo habari

  • @banzmozes8099
    @banzmozes809925 күн бұрын

    Hauwez hiyo Kaz na mmakonde fanyen mambo mengine

  • @user-ll6nv9ss8m
    @user-ll6nv9ss8m28 күн бұрын

    Umeongea point kubwa sana broh mfaume

  • @HamadNassor-fp6rl
    @HamadNassor-fp6rl28 күн бұрын

    Mshamba wewe hujui ngumi .wanaojua ngumi wamekaa kimya.ngumi sio vita kaka Wala starehe ni kazi kama kazi nyengine...

  • @SuleymaniBashiru-rq5hb
    @SuleymaniBashiru-rq5hb23 күн бұрын

    Acha usenge wew siuandaliwe pambano lako

  • @harissalum2887
    @harissalum288727 күн бұрын

    Acheni roho mbaya, mbona mnamshambulia sana Mfaume? Lipi alilowakosea? Acheni roho za korosho

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika27 күн бұрын

    MFAUME TULIA NA UWE NA ADABU KWA KAKA YAKO MWAKINYO, HUYO NI WA LEVEL NYINGINE SIO SAIZI YAKO KABISA. YANI MWAKINYO MUONENI HIVYO HIVYO ILA HAKINA MTU MWENYE KIWANGO CHAKE BONGO. SIO KWAMBA ANAPIGANA TU ILA ANACHO KIPAJI CHA KUZALIWA.

  • @WinifridaJonathan-cq2nw
    @WinifridaJonathan-cq2nw25 күн бұрын

    Bondia ni mmoja tu Mwakinyo zingine nibkelele tu😂😂😂

  • @UsambaraMombo
    @UsambaraMombo28 күн бұрын

    Wewe choko wacha jealous ngumi hujui

  • @iddibakari7565
    @iddibakari756521 күн бұрын

    Mabondia wadar munaroho mbya namunaftna nawatu watanga kutugombnisha wenyew kwawenyew

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot28 күн бұрын

    Acha majungu

  • @RichiSamir-ff1rg
    @RichiSamir-ff1rg25 күн бұрын

    Kwanz ukitak kumzungua mwakiny jua unazungumzia bondia bila Afrika na bunia

  • @user-ez7lv8yg9d
    @user-ez7lv8yg9d28 күн бұрын

    Mwandish ujui mchonganish

  • @banzmozes8099
    @banzmozes809925 күн бұрын

    Mfaume hauwez champez ninamba nyingine

  • @ahadjuma8356
    @ahadjuma835625 күн бұрын

    Mtangazi boya kama bondia wa hovyo ulikua una mhoji

  • @abdallahtipuka1451
    @abdallahtipuka145124 күн бұрын

    Njaa hiyoo

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb28 күн бұрын

    Nani anakutambua wewe mfaume funga mdomo

  • @barakamwandiga2327
    @barakamwandiga232726 күн бұрын

    Team nakoz kaz kaz 💪

  • @joshuakeneth9538
    @joshuakeneth953828 күн бұрын

    Mfaume nakukubari mwambaa

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx304328 күн бұрын

    semunyu ndo promoter pekeee TZ... ila ao wengne watapeli ty

  • @abbasisudi6899
    @abbasisudi689927 күн бұрын

    Kwani we shida Yako nin na mwakinyo,mpigsne mwenzio apigani kwa ajili ya sifa ni biashara badiliken wabongo mnamwona alinga kwa kuwa anamaarifa kuliko nyingi km mngemwelewa nanyi mngebadilika wabongo mnapigana sifa sio biashara.promota zenu ndio wanyonyaji zenu in economics surplus goes to surplus not deficit labda bank lakin Kuna cost kubwa

  • @user-xy5to3vw8o
    @user-xy5to3vw8o20 күн бұрын

    mbona uyo choko wenu wakitanga maneno mengi lkn amsemi nyie mnae msema mwnye ngumi zake hote wasenge tu! yani mfaume mfaume Chama chamabibo

  • @user-sd8gx1ir1w
    @user-sd8gx1ir1w28 күн бұрын

    Mmmh mfaume amebaki mipasho2

  • @ahadjuma8356
    @ahadjuma835625 күн бұрын

    ww hujui ngumi ww mdomo2 yupo pialali unamkimbia mwaka wangap huu

  • @fadhilially7357
    @fadhilially735724 күн бұрын

    NA WE MTANGAZAJI MSENGE

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba578726 күн бұрын

    wazaramo na maneno yao

  • @ImmaMahogo
    @ImmaMahogo20 күн бұрын

    Jamani huyu mfaume chizi anadata mwakinyo mme wako huna maajabu una unamdisi mwakinyo ww mdisi twaha au dula au chino mwakinyo ata kuuwa paka

  • @patrickalfred3680
    @patrickalfred368024 күн бұрын

    Huna kitu bob.pita ivi.yaani wewe wamekufata ujiongelee unamuongelea mwakinyo.huo ni wivu kwenye misimamo ya mtu...na ndio unapotea hivo

  • @allimohamed2688
    @allimohamed268827 күн бұрын

    Acha umbea

  • @TaiwanOmeg
    @TaiwanOmeg28 күн бұрын

    Hatariiii sana mwamba

  • @MahamuduIssaMbwana
    @MahamuduIssaMbwana9 күн бұрын

    Wewe muandishi nimbea

  • @IbrahimBode
    @IbrahimBode25 күн бұрын

    Choko ww acha roo mbaya uskii raha bila kumta basha wako mwakinyo

  • @DeogratiusHenry
    @DeogratiusHenry25 күн бұрын

    Umamuongelea mtu ambae akuongelei fanya mamb Yako we mbona unapiga vichwa

  • @SalimBilal-fo1uh
    @SalimBilal-fo1uh27 күн бұрын

    Ww.ngumi.kubwa.maajabu.huna.muache baharia.hasani

  • @user-ok2mk8mh4j
    @user-ok2mk8mh4j24 күн бұрын

    Mfaume hunalolote wivu umekujaa

  • @fadhilially7357
    @fadhilially735724 күн бұрын

    HAMNA KITU HUMO KAZI YAKE MDOMO SIO KUPIGANA

  • @alexkinyasi9073
    @alexkinyasi907328 күн бұрын

    Weee ngumi kazi kama kazi nyingine. Unachezea nakozi halafu unabaki huna mbele wala nyuma...hao wengine njaaa tu

  • @AslenBerdon
    @AslenBerdon26 күн бұрын

    Yani mashabiki mnao sema hamna kitu sahivii mfaume...hamna akiliiiii

  • @hassanmagari8385
    @hassanmagari838525 күн бұрын

    Mfaume mfaume eti ushawahi kupigana kisa sahani ya ubwabwa?

  • @NgareJumaa-mu2fc
    @NgareJumaa-mu2fc28 күн бұрын

    ktk watu ambao awajui ngumi ww mfaume nambamoja naukimongelea mwakinyo muongelee kwaheshima nay adabu

  • @hamisikanjwele5703
    @hamisikanjwele570327 күн бұрын

    Kelele nyingi mapambano tele huna nyota hata 1 😂😂😂 mbaya Zaidi nibondia anaeongoza kupigwa nje ya nchi

  • @alphoncejohn6308
    @alphoncejohn630827 күн бұрын

    Fara tu huyo

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu69927 күн бұрын

    Muda wako umeisha kaka pumzika uza karanga tu,Hassani kawazidi kila kitu

  • @ayubujumbe9954
    @ayubujumbe995425 күн бұрын

    KUMBE MFAUME ANAOMBA KAZI.

  • @HassanKibindo-ti1nu
    @HassanKibindo-ti1nu19 күн бұрын

    Mfaume unafaa kuimba taarab mapaf ya kuku pumu tup

  • @AmourJr-er4ur
    @AmourJr-er4ur24 күн бұрын

    Mwakiny nikama bab ako kweny box ko punguza mudomo

  • @user-tw9wu2gz4g
    @user-tw9wu2gz4g27 күн бұрын

    Hamna bondia hapa majungu na bangi tu.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l27 күн бұрын

    MFAUME MFAUME BOXING IN MABIBO NACOZ😂😂😂😂

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior27 күн бұрын

    We unataka acheze kikuku hacha asimamie anachokiamini.

  • @user-st3es5hu9f
    @user-st3es5hu9f27 күн бұрын

    Bondia hajaanza kuhojiwa anaongea tuuuu,,halaf mjomba wee huna kitu kingine Cha kuzungumza zaiid ya Hasan tuuu huna kaz nyingine kaka ukafanya kaka maana ww Kila dei lazm umtaje champez

  • @albanomgaya6122
    @albanomgaya612225 күн бұрын

    Ukiona haupati game ujue uwezo wako n mdogo

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu957028 күн бұрын

    Umebaki mipasho kama demu

  • @AzizAbdallah-nf6pd
    @AzizAbdallah-nf6pd28 күн бұрын

    Mfaume huyo hata mimi najipigia tu hana lolote

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q27 күн бұрын

    Mwakinyo umejuwa kuwakela wanafiki mfaume ulishapitwa nawakakati na bado hujasema mwakinyo anafanya kwa malengo🤣🤣🤣🤣 kkkk

  • @ramadhanomar6805
    @ramadhanomar680526 күн бұрын

    Hii media utaishusha thamn hatakm unatak kumsema mtu bas tumia akili kuuliz maswal

  • @rashowshine7849
    @rashowshine784927 күн бұрын

    Ukishaona mtu ana jinadi ujue siyo nyota pesa wala ushawishi hana😂😂😂

  • @nekashash2190
    @nekashash219028 күн бұрын

    Mzee hujui ngumu.. huna elimu ..una majungu...mapeomota wanakuongelea vibaya Jana majungu..mabondia wa bei rahisi..eti bondia anataka kupigana Bure ili aonekane..

  • @chancelorharubu2731
    @chancelorharubu273127 күн бұрын

    Kama unauwezo cbupande nae,sio kuongea ujinga

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords481927 күн бұрын

    Na kwanini tangu mwakinyo alipompigavyule muingeleza nyanya kapigana pambano moja tu na kapigwa t k o ajawahi kutoka wala kupigana tena nje ya nchi championi gani huyo ni mwehu tuuu ana lolote

  • @juliusmalecela2705
    @juliusmalecela270522 күн бұрын

    Mfaume ushamba unakusumbua unazidi kutupoteza mashabiki tulio kubwa tunakuelewa acha kutafuta kick Kwan champez

  • @khamissymtonele6418
    @khamissymtonele641825 күн бұрын

    Leo nimeamini kweli wewe mshereheshaj na sio bundia auna unachokifanya kwenyengumi ni kheli ubaki kwenyeushereheshaj,kuhusu kuto kucheza na bondia mwengine ww ni muoga pialali mpka leou unamkimbiakimbia tu ww ndio muoga

  • @RamaaBinsuh-bm7lu
    @RamaaBinsuh-bm7lu27 күн бұрын

    Wewe huna lolote kwanza maneno meeeng la maana huna mwakinyo anakuwakilisha ww ni bdo kam chipukizi kila sku uko vlvl

  • @mahamudmbukuchu5946
    @mahamudmbukuchu594627 күн бұрын

    Kwanza huyu jamaa hamna kitu kabisaa Yaani ktk mabondia ambao hamna kitu ni huyu mfaume mfaume

  • @HassaniRamso
    @HassaniRamso28 күн бұрын

    Uyo kuku tyu

  • @MicharazoCharazo
    @MicharazoCharazo18 күн бұрын

    Kaka unaongea sanaa nyiee mabondiaa njaa a tuu

  • @KukatiMussa
    @KukatiMussa27 күн бұрын

    Kahoj ww ambae sio mbeya

  • @CarolineWilsonLigungawe
    @CarolineWilsonLigungawe27 күн бұрын

    Mfaume mfaume ni bondia bora sana Tanzania,uwezo wa mfaume wanaujua ngumi na kama ubishi bas endeleeni jamani

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry27 күн бұрын

    Wacha hassad mfaume

  • @paterinishayo-ef4sx
    @paterinishayo-ef4sx26 күн бұрын

    Ganja nyingi na umbea

Келесі