MFAUME MFAUME AMVAA MWAKINYO - "ROHO MBAYA TU, ANAOGOPA WENZAKE WAKICHEZA WATAMFUNIKA"
Спорт
MFAUME MFAUME AMVAA MWAKINYO - "ROHO MBAYA TU, ANAOGOPA WENZAKE WAKICHEZA WATAMFUNIKA"
BONDIA Mfaume Mfaume amefunguka kuelekea pambano la kijana wao Oscar Richard vs Tony Rashid litakalochezwa Juni 29, 2024...
Пікірлер: 148
Yaani hayo maneno yake yoote anamlenga mtu mmoja tu na bondia mwakinyo ww mwakinyo kakuzidi hadi mazambi
Huyo mfaume Hana hadh ya kuwa bondia
Ushachoka saivi hauna kitu mfaume
Huyu bila ya kumtaja bondia mwakinyo hawezi kwenda mjini ili aingie mjini lazima amuongelee mwakinyo mbona mwenzake hana muda nae yy tu
Hunajipya unaongea sanatu vyiwangovyenyewe vimeshukawweweeee
Champion Mfaume Mfaume miaka 100 ukweli umewauma machawa wa mdigo wewe ni balaa balaaa balaaaaa wasiokupenda kwenye comment hapa kimoyoni moyoni wanakukubali GO go GO go Champion NACCOZ baba lao haipingwi hiyo
Mfaume kaa kimya imebakia ww kuwa ni mama ntilie tu, unamiaka chungu nzima hujapambana, acha roho mbaya shenzi
Unanja huna lolote boya chuki anazo yeye
Sasa hapo umehoji nn zaidi ya umbea tu na mwenzio mfaume
@MropeJr
28 күн бұрын
sasa utambui lakini umemuita na jina
Mfaume angepigana na iddy pialali pambano lile lingekuwa zuri sanaaa na lingemrudisha vizuri sana kama angeshinda.
Boxing watz kuwa wakubwa Ni ngumu maana matamanio Yao Ni kupigana wenyewe Kwa wenyewe, aliye mkubwa ashushwe . Kupigana Ni ku risk maisha wanapaswa. Wawe na msimamo wapate Hela sio kutumiwa kama tissue
Hana jipya mfaume mawiv tu Champez bab kubwa ingeezeka uy jamaa apande na Mwakinyo anaimba sana by mpenda michezo
Acha ushamba na roho mbaya Sikuzote duniani usitumie muda wako kumjadili mtu utafeli kila kitu Unatakiwa kuiga mfano wa mwakinyo anaangalia mambo yake tu
Nafasi ya mwakinyo bado ipo juuu sanaaaa wanaumia sana endelea mwakinyo tupo nyuma yako tanzania bondia ni mwakinyo pekeee
@ahmedimakope
27 күн бұрын
Nyie ndio wafirwaji mikundu nyie!
Nakukubali kinoma
Mfaume Uwe Mkweli. Tafadhali Jitahidi kupambana Mwenzako kutoka Brbr za Namba na Makorora amejijengea Mvuto kwa Wapenda Ndondi. Tunakuamini na Jiamini.
mtangazaji ufai kua mtangazaji mshamba sana
Mfaume umeshuka na bila ya kumkandia mwakinyo jina litazidi kupotea
Nazid kusoma comment wakuu
Mfaume tafuta shughuli yakufanya Mwakinyo sio level yako na kofia yako iyo ya bukujero
HUYU CHA MANENO IPO SIKU ATAUMIA ANACHONGA SANA. PUNGUZA MDOMO DOGO NINGEKUWA NA NAFASI NINGEOMBA PAMBANO NAE NAJUWA ANACHOJIVUNIA
Mfaume sio bondia Kila pambano anapigwa alafu anabebwa saizi muimba taalabu tu
Hamuwezi mwakinyo hata kidogo
Huyu majigambo tu hana lolote mbuzi tu kwa bondia mwakinyo ww hata umseme vipi bondia mwakinyo huwezi kumshusha na huwezi kumfikia😂
Kazeeka mfaume mfaume
Nilikua namkubali sana uyo mbwa lkn maneno yake yakisenge nishamkataa zamani bondia kama khadija kopa bwan
Sheikh hamad kombo utangazaji huuwez nenda kavue kaka yan ww unamchochea mtu amseme mtu mwengine
Mfaume saiz yako n Mzee wa SUKUNYO
Mfaume mshamba sn lkn kama aliongea bila kujua amuombe radhi Mwakinyo,vinginevyo nitampuuza sana
Mwenetu vp asaiv umekua ms pialali tuu anakushinda 😅😅😅 kwedraaaa unalolote mshika ufunguo tuu wa jimu ata mimi unipji
Nimesoma comment za watu humu hakina anaye kukibali bro jitafakari
Acheni kuzunguza Ushoga fungeni hizo habari
Hauwez hiyo Kaz na mmakonde fanyen mambo mengine
Umeongea point kubwa sana broh mfaume
Mshamba wewe hujui ngumi .wanaojua ngumi wamekaa kimya.ngumi sio vita kaka Wala starehe ni kazi kama kazi nyengine...
Acha usenge wew siuandaliwe pambano lako
Acheni roho mbaya, mbona mnamshambulia sana Mfaume? Lipi alilowakosea? Acheni roho za korosho
MFAUME TULIA NA UWE NA ADABU KWA KAKA YAKO MWAKINYO, HUYO NI WA LEVEL NYINGINE SIO SAIZI YAKO KABISA. YANI MWAKINYO MUONENI HIVYO HIVYO ILA HAKINA MTU MWENYE KIWANGO CHAKE BONGO. SIO KWAMBA ANAPIGANA TU ILA ANACHO KIPAJI CHA KUZALIWA.
Bondia ni mmoja tu Mwakinyo zingine nibkelele tu😂😂😂
Wewe choko wacha jealous ngumi hujui
Mabondia wadar munaroho mbya namunaftna nawatu watanga kutugombnisha wenyew kwawenyew
Acha majungu
Kwanz ukitak kumzungua mwakiny jua unazungumzia bondia bila Afrika na bunia
Mwandish ujui mchonganish
Mfaume hauwez champez ninamba nyingine
Mtangazi boya kama bondia wa hovyo ulikua una mhoji
Njaa hiyoo
Nani anakutambua wewe mfaume funga mdomo
Team nakoz kaz kaz 💪
Mfaume nakukubari mwambaa
semunyu ndo promoter pekeee TZ... ila ao wengne watapeli ty
Kwani we shida Yako nin na mwakinyo,mpigsne mwenzio apigani kwa ajili ya sifa ni biashara badiliken wabongo mnamwona alinga kwa kuwa anamaarifa kuliko nyingi km mngemwelewa nanyi mngebadilika wabongo mnapigana sifa sio biashara.promota zenu ndio wanyonyaji zenu in economics surplus goes to surplus not deficit labda bank lakin Kuna cost kubwa
mbona uyo choko wenu wakitanga maneno mengi lkn amsemi nyie mnae msema mwnye ngumi zake hote wasenge tu! yani mfaume mfaume Chama chamabibo
Mmmh mfaume amebaki mipasho2
ww hujui ngumi ww mdomo2 yupo pialali unamkimbia mwaka wangap huu
NA WE MTANGAZAJI MSENGE
wazaramo na maneno yao
Jamani huyu mfaume chizi anadata mwakinyo mme wako huna maajabu una unamdisi mwakinyo ww mdisi twaha au dula au chino mwakinyo ata kuuwa paka
Huna kitu bob.pita ivi.yaani wewe wamekufata ujiongelee unamuongelea mwakinyo.huo ni wivu kwenye misimamo ya mtu...na ndio unapotea hivo
Acha umbea
Hatariiii sana mwamba
Wewe muandishi nimbea
Choko ww acha roo mbaya uskii raha bila kumta basha wako mwakinyo
Umamuongelea mtu ambae akuongelei fanya mamb Yako we mbona unapiga vichwa
Ww.ngumi.kubwa.maajabu.huna.muache baharia.hasani
Mfaume hunalolote wivu umekujaa
HAMNA KITU HUMO KAZI YAKE MDOMO SIO KUPIGANA
Weee ngumi kazi kama kazi nyingine. Unachezea nakozi halafu unabaki huna mbele wala nyuma...hao wengine njaaa tu
Yani mashabiki mnao sema hamna kitu sahivii mfaume...hamna akiliiiii
Mfaume mfaume eti ushawahi kupigana kisa sahani ya ubwabwa?
ktk watu ambao awajui ngumi ww mfaume nambamoja naukimongelea mwakinyo muongelee kwaheshima nay adabu
Kelele nyingi mapambano tele huna nyota hata 1 😂😂😂 mbaya Zaidi nibondia anaeongoza kupigwa nje ya nchi
Fara tu huyo
Muda wako umeisha kaka pumzika uza karanga tu,Hassani kawazidi kila kitu
KUMBE MFAUME ANAOMBA KAZI.
Mfaume unafaa kuimba taarab mapaf ya kuku pumu tup
Mwakiny nikama bab ako kweny box ko punguza mudomo
Hamna bondia hapa majungu na bangi tu.
MFAUME MFAUME BOXING IN MABIBO NACOZ😂😂😂😂
We unataka acheze kikuku hacha asimamie anachokiamini.
Bondia hajaanza kuhojiwa anaongea tuuuu,,halaf mjomba wee huna kitu kingine Cha kuzungumza zaiid ya Hasan tuuu huna kaz nyingine kaka ukafanya kaka maana ww Kila dei lazm umtaje champez
Ukiona haupati game ujue uwezo wako n mdogo
Umebaki mipasho kama demu
Mfaume huyo hata mimi najipigia tu hana lolote
Mwakinyo umejuwa kuwakela wanafiki mfaume ulishapitwa nawakakati na bado hujasema mwakinyo anafanya kwa malengo🤣🤣🤣🤣 kkkk
Hii media utaishusha thamn hatakm unatak kumsema mtu bas tumia akili kuuliz maswal
Ukishaona mtu ana jinadi ujue siyo nyota pesa wala ushawishi hana😂😂😂
Mzee hujui ngumu.. huna elimu ..una majungu...mapeomota wanakuongelea vibaya Jana majungu..mabondia wa bei rahisi..eti bondia anataka kupigana Bure ili aonekane..
Kama unauwezo cbupande nae,sio kuongea ujinga
Na kwanini tangu mwakinyo alipompigavyule muingeleza nyanya kapigana pambano moja tu na kapigwa t k o ajawahi kutoka wala kupigana tena nje ya nchi championi gani huyo ni mwehu tuuu ana lolote
Mfaume ushamba unakusumbua unazidi kutupoteza mashabiki tulio kubwa tunakuelewa acha kutafuta kick Kwan champez
Leo nimeamini kweli wewe mshereheshaj na sio bundia auna unachokifanya kwenyengumi ni kheli ubaki kwenyeushereheshaj,kuhusu kuto kucheza na bondia mwengine ww ni muoga pialali mpka leou unamkimbiakimbia tu ww ndio muoga
Wewe huna lolote kwanza maneno meeeng la maana huna mwakinyo anakuwakilisha ww ni bdo kam chipukizi kila sku uko vlvl
Kwanza huyu jamaa hamna kitu kabisaa Yaani ktk mabondia ambao hamna kitu ni huyu mfaume mfaume
Uyo kuku tyu
Kaka unaongea sanaa nyiee mabondiaa njaa a tuu
Kahoj ww ambae sio mbeya
Mfaume mfaume ni bondia bora sana Tanzania,uwezo wa mfaume wanaujua ngumi na kama ubishi bas endeleeni jamani
Wacha hassad mfaume
Ganja nyingi na umbea