VITASA | Ibrahim Class vs Xiao Tau Su |
Спорт
VITASA NIGHT: Bondia Mtanzania, Ibra Class ‘Mawe’… amemshinda Xiao Tao Su kutoka China kwa pointi na kuchukua mkanda wa TPBRC, Lighter Welterweight kilo 59 katika pambano la raundi kumi lililofanyika leo PTA Sabasaba, Jijini Dar es Slaam.
Hili hapa pambano kamili kuanzia raundi ya kwanza hadi ya kumi….ngumi kutoka China zilipokutana na vitasa vya kibongo, likiwa ndilo pambano kuu la Usiku wa ‘Vitasa Ulingo wa Moto’, #RingItaongea
Пікірлер: 236
Mchina yuko vizuri sana, sema anasubiri sana. Huto mtangazaji anasifia tu Ibra
From +254 🇰🇪, Ibrahim class kashinda kihalali
Chuma Cha kazi Ibrah Classic ❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥👊
Ibra ana viwango vya hali ya juu
Nakubali sana bratha umetishaaa
Ibra pambano lake alichoshi kuangalia👏👏👏
Xiao Tau ni bondia kweli kweli,
Umepambana sana Ibra classic hongera sana
kweli Wasenge ni wengi sana wamecomment, sasa mbona mchina wenu kapigwa wazi kabisa tena kwenye raundi nyingi kasoro ya 6 , ila huyu ni mpinzani mgumu...Tuache ujinga ujinga kama hamja angalia pamano embu rudieni tena.....ACHENI UTIMU MWAKINYO....IBRA KASHINDA VIZURI TUU.
@PreygodMariki-pm1ym
7 ай бұрын
😮ibra kabebwa msenge tuuu
Ibrahim class is a promising boxer with very good boxing skills
Ibrah amepigwa mcheza kwao utunzwa
Safi sana Ibra Class umepambana mpka dakika ya mwisho 🔥
Dah huyu mtangazaji mpaka anaboa aisee.anasifia sana
Kazi nzuri sana Ibra
Umetisha home boy
Clear wining Ibrah kapiga mtu shida ya watu ni sababu kaenda kunolewa na Hamis Mwakinyo
Mim naona hili pambano ilitakiwe iwe sare, sijaona aliyepigwa😁, mchina kipigwa kwa points ila naye amescore pia, ila sema mcheza kwao hutunzwa
Ibrah ni bondia mwenye akili ya ngumi,anatumia akili sana....safi sana mnyalukolo,endelea kuwa gonga tu....
😢Ibra umepiga, nyingi sana yaani watu wanadhani ushindi ni knock out,,, we peleka moto ,, kusanya point maisha yaendelee ,Boxing siyo ugomvi ni mchezo bana we vp,,ibu kashinda🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@user-ly1sx9vg1q
7 ай бұрын
Me sikubali😮😮
@rockygappi1018
7 ай бұрын
Safi kabisa Paul...👌👌💪..wengi hawaangalii points za jabs wanadhani ushindi huwa ni KO Na kama Ibra asingekuwa anakimbia mtego wa kupunguzwa ulingo na mchina basi angepoteza pambano mapema tena kwa KO
Anaesema ibra kapigwa ni msenge we mbn unapigwa na maisha na atusem pamban na maisha yak kam kufuatilia ngumi zimekushinda
Mwanangu nyumbani ilinga.
Ibra kabebwa yeye mwenyewe pia anajua
Mimi sikuangalia ngumi. LAKINI mbona nimeona hapa ibra kapiga ngumi nyingi tu?
@user-ly1sx9vg1q
7 ай бұрын
Upo Kam Mimi bx tujuane
Nilianza kwa kusoma comments kwanza nione mnaosema Ibraa kapigwa ikoje. Mnaosema hvo sitaki kuwatukana leo jumapili ila hamjui ngumi. Usifikiri kila punch ina point zingine mazoezi tu ya ku punch of which hua zinawezaga zaa madhara mfano kupiga tumbo na mbavu mtu akikaa chini ni knock down. Pia muangalieni Mayweather match zake km hii Ibraa kabebwa basi Mayweather hajawahi shinda pambano lolote ukitoa Knock out.
@allybakari28
7 ай бұрын
Nadhani wewe ndio huelewi zaidi. Watu wanazungumzia KO 2 na refakushindwa kumuhesabia 1. Kama aliteleza mwenyewe pasipokuwa na maji wala kitu kilichomtelezesha refa anastop vipi pambano? Mbaya zaidi marudio yanaonyesha dhahiri Ibra amekula ngumi na kudondoka 2. KO ya 2, marudio yanaonyesha Ibra amepigwa ngumi live, hakuna kugongwa kichwa wala nii. Au wewe uliona kama alipigwa kichwa. Bila aibu refa wenu anapeta. To be Honest upendeleo wenu wa kijinga jinga ndio mana mabondia wetu hawafiki mbali> Na huyu Upendo Njau ni TAKA TAKA KABISA
@KiongoziMwandamizi
7 ай бұрын
@@allybakari28 Tufanye hv ili uridhike, mie sielewi ngumi, asante🙏
Daaaah classic classic kwel🎉 pongez Kwa ibra ana pgana Kwa hesabu akurupuk unaachaje kuitwa mjeda
Huyo mtangazaji yeye nikumsifu Ibrahim.
Tanzania kuingia mbinguni sijui
Ibrahim ameshinda kihalali juu mchina alikua anarushia gumi moja moja tena siraundi zote Ibrahim randizote alikua ana chapa mtu 🎉🎉❤
🎉ngumi hiyo
Refa mnamuonea kwn yey cye mweny kupnga Pwenti
refa hamna kitu,kuna kubebwa
Upigaji wake kama tinampay
Leo amepigwa ibra
@user-ly1sx9vg1q
7 ай бұрын
Kwan haend kule china
Tumepigwa
@user-ly1sx9vg1q
7 ай бұрын
Kwel tumepigwa lkn bx tu
Mwakinyo ndio baba yao
ibrah hongera jama nangumi mbaya sanaaaaaa
Ibrahimu kapigwa kwa wa amuzi hawa game la ngumi ngumu kufika tunapo hitaji kufika.
Huyu mchina kakatwa point bure maana ngumu anazorusha Ibra akiinama ndio zianampata na sio anakusudia kupiga kisogoni....
Pendo anapotea saiz nilimpenda mwanzoni hila saiz amekuwa akiwabeba mabondia wetu sana chezesha game kwa haki
@MACHOYATAI-jk6fu
7 ай бұрын
Umeona eee
Babu kubwa classic saluti
Huyu ndio bondia anaye sifiwa kuwa ndio classic
good game
Nakubali
Ibrahim anauwezo na akili kubwa sana japo pambano lilikuwa kali sana ,,one❤❤❤❤
Huyo refa matako Sana, ndiyo maana Dula mbabe hamtaki kabisa kwenye mapambano yake,
Mchina won that match period.
Champion
Jamani mchhina kaonewa iritakiwa iwe droo wote wamefanya vizuri
Mmmmh hii game kwa kweli ilikua ngumu iringa oyeeeee! Tunawakilisha nchi
Round ya 8 mmeiona?
Ibra yuko vizuri lakini leo kapotea pia alitakiwa kuhesabiwa Ile punch ilifika akiwa out of stance Sema miundo mbinu
IBRA wewe master
Hapa naweza kusema ili pambano ibrahim him kapoteza nje ya pazia kwa utawa wa elimu yangu ndani ya box
@rockygappi1018
7 ай бұрын
Kwa elimu yako tupe vigezo na usitulishe matango pori😂😂😂
mcheza kwao hutunzwa fight ilikua nzur ila refa ulileta upendeleo
Imagine kuna comment ety ibrah kabebwa,, guys,,unachekesha sana watanzania wallah,,,,, congratulations ibrah,, your always amazing boy
@GeofreyKalo-ot3we
7 ай бұрын
Maboya debasement
@GeofreyKalo-ot3we
7 ай бұрын
Hajabebwa
@GeofreyKalo-ot3we
7 ай бұрын
Mchinakapigwa halali
@barakayesaya5000
7 ай бұрын
Ibra hajabebwa. Ila wabongo pia hatujuagi kukubali uwezo wa mpinzani. Kama watangazaji jambo akilifanya mgeni wanasema haijamsumbua sana ibra, ila akifanya ibra hata kama sio ngumi ya point utasikia huyu jamaa atatoa tu gadi mwenyewe. This is boxing, wanaume wanatumia nguvu na uwezo wao. Ndomana kwenye football wanatukanyagakanyaga maana wanajua maneno yetu tukiwashinda.
@karlmarxkisofero1209
7 ай бұрын
Ili kujenga inatakiwa tuwe wakweli,Ibrah alipigwa huo ndo ukweli
Ngumi kari mnasema kichwa daahhh Bongo kila kitu bado
Wamepiga vijana maana hakuna kukumbatiana 10 rounds zote
Uhakika bro
VAR inaitajika kabondwa uyo
Clasc Team
Ety viongozi kwann ibra awekewi mkanda
Isitoshe mchina wa watu aelewi don't do that... Ndo maana analudia kupiga ngumi za kisogo😂😂
@mline77
7 ай бұрын
Hahahaa
Mara hii Pendo kazidisha mapendo na uzalendo kwa Classic. Ametumia muda mwingi kumtoa mchezoni Xiao kwa maonyo yasiyo na ulazima.
Refa amna kitu
Pendo Njau ni refa mzr sn lkn angalia uzalendo usikuharibie
@zahiruhamisi4162
7 ай бұрын
Kapendelea sn🤮
@fatinamsuya1305
7 ай бұрын
Ndio Mana dulla mbabe kamkataa
😢
Ibrahim bondia tena hana maalifa xana
zime zidii😊
Pendo njau anapenderea sana
Mchina anajiweza ndio maana hakubabaika,ibra kazoea kubebwa kama nguo za kichina zinazotundikwa madukani kariakoo vunja bei
Pambano lilipaswa kuwa sare hili
@rockygappi1018
7 ай бұрын
😂😂..si kweli hata kidogo..sare kwa mizania ipi??..simama na hoja Namba ya jabs kwa Ibra ni nyingi mno..zilizopenya na zilizopiga moja kwa moja.. tofauti na ngumi nzito na zenye nguvu za mchina zilikuwa chache..hata straight head punch za mchina zilikuwa chache japokuwa zote alipiga kwa uhakika na zilimpata Ibra
Nyumbani ni nyumbani
kama kunapambano gum kwa ibra nililo waikuagaria ni hii umepambana sana crasi
@kabichishida8137
7 ай бұрын
Mcheza kwao hutuzwa wabongo wamebebwa sana hata yule mhindi alishinda sema tu mbeleko
Safari ii tumebebwa🙄🤣🤣🤣
ibra mzuri ila utanzania umewazidi ndugu zanguu
Ibra hamna kazi hapo 😂😂😂😂😂😂
Hii mbona ni ngumi kabisa iliomdondosha😂😂😂
@twintangastone9489
7 ай бұрын
Uhakikaa..
@mropeamadeus54
7 ай бұрын
Mcheza Kwao utuzwa, sio mbaya hata wao ukiwa Kwao Wana figisu nyingi. Kwahiyo amebebwa pia kajitahidi sana, sio kinyonge
@abasmwika3432
7 ай бұрын
Ngumi ilimpata lakini alidondoka kwa kuteleza angalia mguu wake. Sikila ngumi ukipigwa unaondoka pale aliteleza
ndio njia muno tumia hiyo kumshusha mchinaa
Bila kufumba macho ibra amekalishwa hili pambano
Umenfulaisha unavo tembea ibra
Kwanza huyo refa wa kichaga akatishe mbege na dadii rombo kilimanjaro,anawabeba mabondia wa kibongo mnooo,ibra kafuliwa vizuri tuuuuu
@allybakari28
7 ай бұрын
Ndio sababu hatuendi kupigana nje, tumekuwa watu wa ndani tu
Wote mnaosema ibra kapigwa ni either mna wivu au hamjui ngumu..kwa maoni yangu,ibra ameshinda kihalali kabisa,ila ikipimwa kiwango Cha maumivu yawezekana ibra kaumia zaid
@user-ly1sx9vg1q
7 ай бұрын
Saw kaumia ila droo
@rockygappi1018
7 ай бұрын
Sio droo.. Ibra kashinda na kama unavyosema maumivu ya mwili kwa Ibra yatakuwa makubwa kwa sababu mchina ngumi zake alikuwa anatumia nguvu.. yaaani upiganaji wa mchina unafuata mtindo wa Mike Tyson kukinga uso wote na mwili kisha ana tafuta muda mwafaka wa kupiga na akipiga ni heavy punches
Shida wengi mnaongalia ngumi Amjui wengine wanadhani anavyokimbia ndio anaepigwa Ukweli ni kwamba ibra amekusanya point nying sana japo mchina nae alivyoambia score zako umepitwa akawa anatafuta jins ya kuzisawazisha
@allybakari28
7 ай бұрын
Kuna kitu ambocho hujakielewa, watu wanazungumzia kupigwa KO. Refa kazingua, ni KO za wazi kabisaaa Upendo leo huu wa kijinga ndio mana hatufiki mbali, tunakuwa wa humu humu ndani tu
Kabebwa
Jamaa amepigwa bila ubishi
mchina apendwe na nani hapo
Mue unachezesha game kwahalali mtu anapigwa kateleza mtu apingwa vichwa vimefongana chezesheni kwahalali mabondia wetu wapate kujidunza kutoka kwawageni
Ibrahim class uwezo mkubwa saana hii ni zawadi kwa watanzania
wacheni ubinapsii
ngumianazo pigamchina hawaonyeshi achenizambi mubabebana bebanatu
@damianmcba9525
7 ай бұрын
Ile right kapigwa ibra kaanguka refa anasema katereza. Ile ni knock down
Rasta kayatimba ila ajitahidi
Kwanza hata refaaa haifiiii atoke tuu
Kuna mtu kabebwa apa
@maalimseifk-gumuadui123
7 ай бұрын
Yan kuna mijitu haijui ngumi kabisa yan😂😂😂 sasa pambano km hili halihitaji majaji kabisa,yan Round zote Mchina amepigwa km punching bag,bado et unasema kuna mtu kabebwa 🤔
@DominicBwanali-xl4wj
7 ай бұрын
Kabisa mtu kabebwa
Lakin wamuzi wa bongo ni wa mchongo sana hii ni drow Kazi kuwabeba
@flova7022
7 ай бұрын
Tusiwe wajinga...waamuzi hawakuwa WA TZ alone...pia ibra kascore Sana...ni ushindi wawaz kabisa machina kascore round 2 tu 3 na 4
@leskarmeikok8956
7 ай бұрын
Mchina ameshambuliwa sana ila ana ngozi ngumu avimbi.
@user-ly1sx9vg1q
7 ай бұрын
Jamaa nakupenda bure 😍 Coca-Cola baridi kwako hata wwevumeona
Upendeleo mwiiiingi
Mh
Mkal wa tz
ni razma utembee tu ni kweli
Huyu dogo, hachukuagi watu wanao jua, wote maandazi tu. Aende huko Duniani
Ibla ngumisanatu oalekateleza acheniwivu