VITASA | Ibrahim Class vs Xiao Tau Su |

Спорт

VITASA NIGHT: Bondia Mtanzania, Ibra Class ‘Mawe’… amemshinda Xiao Tao Su kutoka China kwa pointi na kuchukua mkanda wa TPBRC, Lighter Welterweight kilo 59 katika pambano la raundi kumi lililofanyika leo PTA Sabasaba, Jijini Dar es Slaam.
Hili hapa pambano kamili kuanzia raundi ya kwanza hadi ya kumi….ngumi kutoka China zilipokutana na vitasa vya kibongo, likiwa ndilo pambano kuu la Usiku wa ‘Vitasa Ulingo wa Moto’, #RingItaongea

Пікірлер: 236

  • @johnsonmalle1197
    @johnsonmalle11977 ай бұрын

    Mchina yuko vizuri sana, sema anasubiri sana. Huto mtangazaji anasifia tu Ibra

  • @masikaisaiah9183
    @masikaisaiah91836 ай бұрын

    From +254 🇰🇪, Ibrahim class kashinda kihalali

  • @CynthiaWillium-cy5eh
    @CynthiaWillium-cy5eh7 ай бұрын

    Chuma Cha kazi Ibrah Classic ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥👊

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu45137 ай бұрын

    Ibra ana viwango vya hali ya juu

  • @Rajabuselemani-zz2og
    @Rajabuselemani-zz2og7 ай бұрын

    Nakubali sana bratha umetishaaa

  • @StephenMundi-hv1lv
    @StephenMundi-hv1lv7 ай бұрын

    Ibra pambano lake alichoshi kuangalia👏👏👏

  • @andrew0502
    @andrew05025 ай бұрын

    Xiao Tau ni bondia kweli kweli,

  • @AGREYMWANKENJA-ye5sb
    @AGREYMWANKENJA-ye5sb7 ай бұрын

    Umepambana sana Ibra classic hongera sana

  • @geneus7vingunguti172
    @geneus7vingunguti1727 ай бұрын

    kweli Wasenge ni wengi sana wamecomment, sasa mbona mchina wenu kapigwa wazi kabisa tena kwenye raundi nyingi kasoro ya 6 , ila huyu ni mpinzani mgumu...Tuache ujinga ujinga kama hamja angalia pamano embu rudieni tena.....ACHENI UTIMU MWAKINYO....IBRA KASHINDA VIZURI TUU.

  • @PreygodMariki-pm1ym

    @PreygodMariki-pm1ym

    7 ай бұрын

    😮ibra kabebwa msenge tuuu

  • @olikipolavuna7977
    @olikipolavuna79776 ай бұрын

    Ibrahim class is a promising boxer with very good boxing skills

  • @AbdusidMohammed-hi5ib
    @AbdusidMohammed-hi5ib7 ай бұрын

    Ibrah amepigwa mcheza kwao utunzwa

  • @abdymmanga6338
    @abdymmanga63387 ай бұрын

    Safi sana Ibra Class umepambana mpka dakika ya mwisho 🔥

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena1287 ай бұрын

    Dah huyu mtangazaji mpaka anaboa aisee.anasifia sana

  • @user-em9iu3yo3p
    @user-em9iu3yo3p7 ай бұрын

    Kazi nzuri sana Ibra

  • @jamessanga2176
    @jamessanga21767 ай бұрын

    Umetisha home boy

  • @victorcephas3618
    @victorcephas36187 ай бұрын

    Clear wining Ibrah kapiga mtu shida ya watu ni sababu kaenda kunolewa na Hamis Mwakinyo

  • @munyagile
    @munyagile7 ай бұрын

    Mim naona hili pambano ilitakiwe iwe sare, sijaona aliyepigwa😁, mchina kipigwa kwa points ila naye amescore pia, ila sema mcheza kwao hutunzwa

  • @user-uc7eo3wp9o
    @user-uc7eo3wp9o7 ай бұрын

    Ibrah ni bondia mwenye akili ya ngumi,anatumia akili sana....safi sana mnyalukolo,endelea kuwa gonga tu....

  • @PaulMchopa
    @PaulMchopa7 ай бұрын

    😢Ibra umepiga, nyingi sana yaani watu wanadhani ushindi ni knock out,,, we peleka moto ,, kusanya point maisha yaendelee ,Boxing siyo ugomvi ni mchezo bana we vp,,ibu kashinda🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-ly1sx9vg1q

    @user-ly1sx9vg1q

    7 ай бұрын

    Me sikubali😮😮

  • @rockygappi1018

    @rockygappi1018

    7 ай бұрын

    Safi kabisa Paul...👌👌💪..wengi hawaangalii points za jabs wanadhani ushindi huwa ni KO Na kama Ibra asingekuwa anakimbia mtego wa kupunguzwa ulingo na mchina basi angepoteza pambano mapema tena kwa KO

  • @MlongaMawe
    @MlongaMawe7 ай бұрын

    Anaesema ibra kapigwa ni msenge we mbn unapigwa na maisha na atusem pamban na maisha yak kam kufuatilia ngumi zimekushinda

  • @isayajonh7363
    @isayajonh73637 ай бұрын

    Mwanangu nyumbani ilinga.

  • @user-tf1rz8bs1c
    @user-tf1rz8bs1c7 ай бұрын

    Ibra kabebwa yeye mwenyewe pia anajua

  • @alphoncemakigo7343
    @alphoncemakigo73437 ай бұрын

    Mimi sikuangalia ngumi. LAKINI mbona nimeona hapa ibra kapiga ngumi nyingi tu?

  • @user-ly1sx9vg1q

    @user-ly1sx9vg1q

    7 ай бұрын

    Upo Kam Mimi bx tujuane

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi7 ай бұрын

    Nilianza kwa kusoma comments kwanza nione mnaosema Ibraa kapigwa ikoje. Mnaosema hvo sitaki kuwatukana leo jumapili ila hamjui ngumi. Usifikiri kila punch ina point zingine mazoezi tu ya ku punch of which hua zinawezaga zaa madhara mfano kupiga tumbo na mbavu mtu akikaa chini ni knock down. Pia muangalieni Mayweather match zake km hii Ibraa kabebwa basi Mayweather hajawahi shinda pambano lolote ukitoa Knock out.

  • @allybakari28

    @allybakari28

    7 ай бұрын

    Nadhani wewe ndio huelewi zaidi. Watu wanazungumzia KO 2 na refakushindwa kumuhesabia 1. Kama aliteleza mwenyewe pasipokuwa na maji wala kitu kilichomtelezesha refa anastop vipi pambano? Mbaya zaidi marudio yanaonyesha dhahiri Ibra amekula ngumi na kudondoka 2. KO ya 2, marudio yanaonyesha Ibra amepigwa ngumi live, hakuna kugongwa kichwa wala nii. Au wewe uliona kama alipigwa kichwa. Bila aibu refa wenu anapeta. To be Honest upendeleo wenu wa kijinga jinga ndio mana mabondia wetu hawafiki mbali> Na huyu Upendo Njau ni TAKA TAKA KABISA

  • @KiongoziMwandamizi

    @KiongoziMwandamizi

    7 ай бұрын

    @@allybakari28 Tufanye hv ili uridhike, mie sielewi ngumi, asante🙏

  • @aishasilaji2266
    @aishasilaji22667 ай бұрын

    Daaaah classic classic kwel🎉 pongez Kwa ibra ana pgana Kwa hesabu akurupuk unaachaje kuitwa mjeda

  • @user-yv1gj2zn4z
    @user-yv1gj2zn4z7 ай бұрын

    Huyo mtangazaji yeye nikumsifu Ibrahim.

  • @dahlainismail6837
    @dahlainismail68377 ай бұрын

    Tanzania kuingia mbinguni sijui

  • @kiya0910
    @kiya09107 ай бұрын

    Ibrahim ameshinda kihalali juu mchina alikua anarushia gumi moja moja tena siraundi zote Ibrahim randizote alikua ana chapa mtu 🎉🎉❤

  • @wokovumwazembe3505
    @wokovumwazembe35057 ай бұрын

    🎉ngumi hiyo

  • @yussufmohammed9299
    @yussufmohammed92997 ай бұрын

    Refa mnamuonea kwn yey cye mweny kupnga Pwenti

  • @OmarMohamed-bp9ix
    @OmarMohamed-bp9ix7 ай бұрын

    refa hamna kitu,kuna kubebwa

  • @user-tf1rz8bs1c
    @user-tf1rz8bs1c7 ай бұрын

    Upigaji wake kama tinampay

  • @IzihakaFihirini
    @IzihakaFihirini7 ай бұрын

    Leo amepigwa ibra

  • @user-ly1sx9vg1q

    @user-ly1sx9vg1q

    7 ай бұрын

    Kwan haend kule china

  • @SaidiBwax-em9gz
    @SaidiBwax-em9gz7 ай бұрын

    Tumepigwa

  • @user-ly1sx9vg1q

    @user-ly1sx9vg1q

    7 ай бұрын

    Kwel tumepigwa lkn bx tu

  • @daudysanga8492
    @daudysanga84927 ай бұрын

    Mwakinyo ndio baba yao

  • @swaifsouq
    @swaifsouq7 ай бұрын

    ibrah hongera jama nangumi mbaya sanaaaaaa

  • @godfreynoel7802
    @godfreynoel78027 ай бұрын

    Ibrahimu kapigwa kwa wa amuzi hawa game la ngumi ngumu kufika tunapo hitaji kufika.

  • @abdukhan4718
    @abdukhan47187 ай бұрын

    Huyu mchina kakatwa point bure maana ngumu anazorusha Ibra akiinama ndio zianampata na sio anakusudia kupiga kisogoni....

  • @adamabdallah6471
    @adamabdallah64717 ай бұрын

    Pendo anapotea saiz nilimpenda mwanzoni hila saiz amekuwa akiwabeba mabondia wetu sana chezesha game kwa haki

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    7 ай бұрын

    Umeona eee

  • @user-kh2wr1lq6t
    @user-kh2wr1lq6t7 ай бұрын

    Babu kubwa classic saluti

  • @abdallhabinmkasibayyat6657
    @abdallhabinmkasibayyat66577 ай бұрын

    Huyu ndio bondia anaye sifiwa kuwa ndio classic

  • @user-zd2tv1po2j
    @user-zd2tv1po2j7 ай бұрын

    good game

  • @GeraldAgustino-fz5mn
    @GeraldAgustino-fz5mn7 ай бұрын

    Nakubali

  • @user-zj7ml3ep3c
    @user-zj7ml3ep3c7 ай бұрын

    Ibrahim anauwezo na akili kubwa sana japo pambano lilikuwa kali sana ,,one❤❤❤❤

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma74587 ай бұрын

    Huyo refa matako Sana, ndiyo maana Dula mbabe hamtaki kabisa kwenye mapambano yake,

  • @inno4953
    @inno49537 ай бұрын

    Mchina won that match period.

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj93907 ай бұрын

    Champion

  • @RichardAmosnkonje-pq9oh
    @RichardAmosnkonje-pq9oh7 ай бұрын

    Jamani mchhina kaonewa iritakiwa iwe droo wote wamefanya vizuri

  • @Alexthadey-lm3ju
    @Alexthadey-lm3ju7 ай бұрын

    Mmmmh hii game kwa kweli ilikua ngumu iringa oyeeeee! Tunawakilisha nchi

  • @alphoncemakigo7343
    @alphoncemakigo73437 ай бұрын

    Round ya 8 mmeiona?

  • @katambihamisi4130
    @katambihamisi41307 ай бұрын

    Ibra yuko vizuri lakini leo kapotea pia alitakiwa kuhesabiwa Ile punch ilifika akiwa out of stance Sema miundo mbinu

  • @anafikamugisha8834
    @anafikamugisha88347 ай бұрын

    IBRA wewe master

  • @Africa822
    @Africa8227 ай бұрын

    Hapa naweza kusema ili pambano ibrahim him kapoteza nje ya pazia kwa utawa wa elimu yangu ndani ya box

  • @rockygappi1018

    @rockygappi1018

    7 ай бұрын

    Kwa elimu yako tupe vigezo na usitulishe matango pori😂😂😂

  • @yusuphmtuga4951
    @yusuphmtuga49517 ай бұрын

    mcheza kwao hutunzwa fight ilikua nzur ila refa ulileta upendeleo

  • @messaabbas739
    @messaabbas7397 ай бұрын

    Imagine kuna comment ety ibrah kabebwa,, guys,,unachekesha sana watanzania wallah,,,,, congratulations ibrah,, your always amazing boy

  • @GeofreyKalo-ot3we

    @GeofreyKalo-ot3we

    7 ай бұрын

    Maboya debasement

  • @GeofreyKalo-ot3we

    @GeofreyKalo-ot3we

    7 ай бұрын

    Hajabebwa

  • @GeofreyKalo-ot3we

    @GeofreyKalo-ot3we

    7 ай бұрын

    Mchinakapigwa halali

  • @barakayesaya5000

    @barakayesaya5000

    7 ай бұрын

    Ibra hajabebwa. Ila wabongo pia hatujuagi kukubali uwezo wa mpinzani. Kama watangazaji jambo akilifanya mgeni wanasema haijamsumbua sana ibra, ila akifanya ibra hata kama sio ngumi ya point utasikia huyu jamaa atatoa tu gadi mwenyewe. This is boxing, wanaume wanatumia nguvu na uwezo wao. Ndomana kwenye football wanatukanyagakanyaga maana wanajua maneno yetu tukiwashinda.

  • @karlmarxkisofero1209

    @karlmarxkisofero1209

    7 ай бұрын

    Ili kujenga inatakiwa tuwe wakweli,Ibrah alipigwa huo ndo ukweli

  • @hancysadaty4799
    @hancysadaty47997 ай бұрын

    Ngumi kari mnasema kichwa daahhh Bongo kila kitu bado

  • @peterngallya4022
    @peterngallya40227 ай бұрын

    Wamepiga vijana maana hakuna kukumbatiana 10 rounds zote

  • @MsafiriErnest-gy6zv
    @MsafiriErnest-gy6zv7 ай бұрын

    Uhakika bro

  • @user-cq2xg7fr2j
    @user-cq2xg7fr2j7 ай бұрын

    VAR inaitajika kabondwa uyo

  • @DrvSungura
    @DrvSungura7 ай бұрын

    Clasc Team

  • @user-bb8ih5bp8o
    @user-bb8ih5bp8o7 ай бұрын

    Ety viongozi kwann ibra awekewi mkanda

  • @nyasijoseph-bt7xw
    @nyasijoseph-bt7xw7 ай бұрын

    Isitoshe mchina wa watu aelewi don't do that... Ndo maana analudia kupiga ngumi za kisogo😂😂

  • @mline77

    @mline77

    7 ай бұрын

    Hahahaa

  • @geoffreynghumba1029
    @geoffreynghumba10297 ай бұрын

    Mara hii Pendo kazidisha mapendo na uzalendo kwa Classic. Ametumia muda mwingi kumtoa mchezoni Xiao kwa maonyo yasiyo na ulazima.

  • @hancysadaty4799
    @hancysadaty47997 ай бұрын

    Refa amna kitu

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza59457 ай бұрын

    Pendo Njau ni refa mzr sn lkn angalia uzalendo usikuharibie

  • @zahiruhamisi4162

    @zahiruhamisi4162

    7 ай бұрын

    Kapendelea sn🤮

  • @fatinamsuya1305

    @fatinamsuya1305

    7 ай бұрын

    Ndio Mana dulla mbabe kamkataa

  • @abdulhalimali9229
    @abdulhalimali92297 ай бұрын

    😢

  • @user-dm7hm6mm3y
    @user-dm7hm6mm3y7 ай бұрын

    Ibrahim bondia tena hana maalifa xana

  • @abdulhalimali9229
    @abdulhalimali92297 ай бұрын

    zime zidii😊

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu7 ай бұрын

    Pendo njau anapenderea sana

  • @PreygodMariki-pm1ym
    @PreygodMariki-pm1ym7 ай бұрын

    Mchina anajiweza ndio maana hakubabaika,ibra kazoea kubebwa kama nguo za kichina zinazotundikwa madukani kariakoo vunja bei

  • @joelnoel2016
    @joelnoel20167 ай бұрын

    Pambano lilipaswa kuwa sare hili

  • @rockygappi1018

    @rockygappi1018

    7 ай бұрын

    😂😂..si kweli hata kidogo..sare kwa mizania ipi??..simama na hoja Namba ya jabs kwa Ibra ni nyingi mno..zilizopenya na zilizopiga moja kwa moja.. tofauti na ngumi nzito na zenye nguvu za mchina zilikuwa chache..hata straight head punch za mchina zilikuwa chache japokuwa zote alipiga kwa uhakika na zilimpata Ibra

  • @saidibaruwani5602
    @saidibaruwani56027 ай бұрын

    Nyumbani ni nyumbani

  • @WilliamGidion-cv4wm
    @WilliamGidion-cv4wm7 ай бұрын

    kama kunapambano gum kwa ibra nililo waikuagaria ni hii umepambana sana crasi

  • @kabichishida8137

    @kabichishida8137

    7 ай бұрын

    Mcheza kwao hutuzwa wabongo wamebebwa sana hata yule mhindi alishinda sema tu mbeleko

  • @mkanganails5839
    @mkanganails58397 ай бұрын

    Safari ii tumebebwa🙄🤣🤣🤣

  • @abdulhalimali9229
    @abdulhalimali92297 ай бұрын

    ibra mzuri ila utanzania umewazidi ndugu zanguu

  • @Smartofficial96
    @Smartofficial966 ай бұрын

    Ibra hamna kazi hapo 😂😂😂😂😂😂

  • @ramadhankhatwib8561
    @ramadhankhatwib85617 ай бұрын

    Hii mbona ni ngumi kabisa iliomdondosha😂😂😂

  • @twintangastone9489

    @twintangastone9489

    7 ай бұрын

    Uhakikaa..

  • @mropeamadeus54

    @mropeamadeus54

    7 ай бұрын

    Mcheza Kwao utuzwa, sio mbaya hata wao ukiwa Kwao Wana figisu nyingi. Kwahiyo amebebwa pia kajitahidi sana, sio kinyonge

  • @abasmwika3432

    @abasmwika3432

    7 ай бұрын

    Ngumi ilimpata lakini alidondoka kwa kuteleza angalia mguu wake. Sikila ngumi ukipigwa unaondoka pale aliteleza

  • @abdulhalimali9229
    @abdulhalimali92297 ай бұрын

    ndio njia muno tumia hiyo kumshusha mchinaa

  • @meddyplutonium374
    @meddyplutonium3747 ай бұрын

    Bila kufumba macho ibra amekalishwa hili pambano

  • @user-os1kd9gp1v
    @user-os1kd9gp1v7 ай бұрын

    Umenfulaisha unavo tembea ibra

  • @PreygodMariki-pm1ym
    @PreygodMariki-pm1ym7 ай бұрын

    Kwanza huyo refa wa kichaga akatishe mbege na dadii rombo kilimanjaro,anawabeba mabondia wa kibongo mnooo,ibra kafuliwa vizuri tuuuuu

  • @allybakari28

    @allybakari28

    7 ай бұрын

    Ndio sababu hatuendi kupigana nje, tumekuwa watu wa ndani tu

  • @mlokaferdinand
    @mlokaferdinand7 ай бұрын

    Wote mnaosema ibra kapigwa ni either mna wivu au hamjui ngumu..kwa maoni yangu,ibra ameshinda kihalali kabisa,ila ikipimwa kiwango Cha maumivu yawezekana ibra kaumia zaid

  • @user-ly1sx9vg1q

    @user-ly1sx9vg1q

    7 ай бұрын

    Saw kaumia ila droo

  • @rockygappi1018

    @rockygappi1018

    7 ай бұрын

    Sio droo.. Ibra kashinda na kama unavyosema maumivu ya mwili kwa Ibra yatakuwa makubwa kwa sababu mchina ngumi zake alikuwa anatumia nguvu.. yaaani upiganaji wa mchina unafuata mtindo wa Mike Tyson kukinga uso wote na mwili kisha ana tafuta muda mwafaka wa kupiga na akipiga ni heavy punches

  • @chochastar7781
    @chochastar77817 ай бұрын

    Shida wengi mnaongalia ngumi Amjui wengine wanadhani anavyokimbia ndio anaepigwa Ukweli ni kwamba ibra amekusanya point nying sana japo mchina nae alivyoambia score zako umepitwa akawa anatafuta jins ya kuzisawazisha

  • @allybakari28

    @allybakari28

    7 ай бұрын

    Kuna kitu ambocho hujakielewa, watu wanazungumzia kupigwa KO. Refa kazingua, ni KO za wazi kabisaaa Upendo leo huu wa kijinga ndio mana hatufiki mbali, tunakuwa wa humu humu ndani tu

  • @zakariamachinga151
    @zakariamachinga1517 ай бұрын

    Kabebwa

  • @chochastar7781
    @chochastar77817 ай бұрын

    Jamaa amepigwa bila ubishi

  • @abdulhalimali9229
    @abdulhalimali92297 ай бұрын

    mchina apendwe na nani hapo

  • @allyabdallah4641
    @allyabdallah46414 ай бұрын

    Mue unachezesha game kwahalali mtu anapigwa kateleza mtu apingwa vichwa vimefongana chezesheni kwahalali mabondia wetu wapate kujidunza kutoka kwawageni

  • @khalifatito6145
    @khalifatito61457 ай бұрын

    Ibrahim class uwezo mkubwa saana hii ni zawadi kwa watanzania

  • @abdulhalimali9229
    @abdulhalimali92297 ай бұрын

    wacheni ubinapsii

  • @AwadhiAlfani-bd5pj
    @AwadhiAlfani-bd5pj7 ай бұрын

    ngumianazo pigamchina hawaonyeshi achenizambi mubabebana bebanatu

  • @damianmcba9525

    @damianmcba9525

    7 ай бұрын

    Ile right kapigwa ibra kaanguka refa anasema katereza. Ile ni knock down

  • @yunussera4146
    @yunussera41467 ай бұрын

    Rasta kayatimba ila ajitahidi

  • @user-ly1sx9vg1q
    @user-ly1sx9vg1q7 ай бұрын

    Kwanza hata refaaa haifiiii atoke tuu

  • @hansmswagara2789
    @hansmswagara27897 ай бұрын

    Kuna mtu kabebwa apa

  • @maalimseifk-gumuadui123

    @maalimseifk-gumuadui123

    7 ай бұрын

    Yan kuna mijitu haijui ngumi kabisa yan😂😂😂 sasa pambano km hili halihitaji majaji kabisa,yan Round zote Mchina amepigwa km punching bag,bado et unasema kuna mtu kabebwa 🤔

  • @DominicBwanali-xl4wj

    @DominicBwanali-xl4wj

    7 ай бұрын

    Kabisa mtu kabebwa

  • @abelmwandenga3919
    @abelmwandenga39197 ай бұрын

    Lakin wamuzi wa bongo ni wa mchongo sana hii ni drow Kazi kuwabeba

  • @flova7022

    @flova7022

    7 ай бұрын

    Tusiwe wajinga...waamuzi hawakuwa WA TZ alone...pia ibra kascore Sana...ni ushindi wawaz kabisa machina kascore round 2 tu 3 na 4

  • @leskarmeikok8956

    @leskarmeikok8956

    7 ай бұрын

    Mchina ameshambuliwa sana ila ana ngozi ngumu avimbi.

  • @user-ly1sx9vg1q

    @user-ly1sx9vg1q

    7 ай бұрын

    Jamaa nakupenda bure 😍 Coca-Cola baridi kwako hata wwevumeona

  • @user-mb3nj1zc9w
    @user-mb3nj1zc9w7 ай бұрын

    Upendeleo mwiiiingi

  • @Albertmkumbira
    @Albertmkumbira7 ай бұрын

    Mh

  • @YemgaBoytz-ig9vq
    @YemgaBoytz-ig9vq7 ай бұрын

    Mkal wa tz

  • @kdpretoria780
    @kdpretoria7807 ай бұрын

    ni razma utembee tu ni kweli

  • @justinjasson7070
    @justinjasson70707 ай бұрын

    Huyu dogo, hachukuagi watu wanao jua, wote maandazi tu. Aende huko Duniani

  • @user-kq3zy3qo7s
    @user-kq3zy3qo7s7 ай бұрын

    Ibla ngumisanatu oalekateleza acheniwivu

Келесі