🔴

Спорт

🔴#Live: 'KO' ya HASSAN MWAKINYO Akimchapa MWANAJESHI wa GHANA RAUNDI ya SABA, MTATA MTATUZI ZANZIBAR
ULE Usiku uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu wa pambano la Hassan Mwakinyo vs Elvis Ahorgah hatimaye umewahi na Bongo Boxing Safari tunakuletea matukio yote yanayoendelea kwenye pambano hili.

Пікірлер: 460

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy75594 ай бұрын

    Hongera sana Brother Mwakinyo Allah akuzidishie uwezo mkubwa katika safari yako ya boxng na uweze kuimarisha vipaji tanzania

  • @mfebricknkuna7106
    @mfebricknkuna71064 ай бұрын

    Tumeona uwezo wako, mdogo wangu. Mungu akujalie na akulinde kwenye safari yako. Wewe ni bingwa kwenye uzito wako.

  • @njilatv-pj1gq
    @njilatv-pj1gq4 ай бұрын

    Kuna wenye mamlaka..Na walio chini ya mamlaka....Ila bibi alininong'oneza..! Jua halifunikwi na ungo..! Na ukiona kwako Giza basi kwawenzio kunawaka...!! Tukiachana na hayo mwakinyo ni mtu mwingine... HONGERA SANA MWAKINYO.

  • @user-ct7qy4oy9q
    @user-ct7qy4oy9q4 ай бұрын

    Hongera sana Hassan Mwakinyo kwa kazi nzuri sana yenye uweledi wa hali ya juu, Shukrani sana Mr Hassan Mwakinyo kwa kuipeperusha vyema bendera yetu ya Tanzania.

  • @nzumbibahati2192
    @nzumbibahati21924 ай бұрын

    Hongera sana Mwakinyo, umeonyesha wewe ni Bondia na ngumi unazijua, tatizo TZ hatupendi vyetu, nashangaa pambano kubwa Azam nao wanaonyesha ngumi za kitoto...ilitakiwa hili walipromoti Kwa nguvu kuinyesha Dunia namna ngumi za kimataifa zilivyo, wao wanaonyesha sijui ngumi Gani!!! Au ulikuwa mpango wa kuvunja coverage ya Mwakinyo nn? Tuache wivu Mwakinyo anakipiga sana..❤❤

  • @janejoel2465

    @janejoel2465

    4 ай бұрын

    Watu wame umbukaaaaa ❤❤❤

  • @user-yu6zj3bw1y

    @user-yu6zj3bw1y

    4 ай бұрын

    Wanatumia nguvu kubwa kumpoteza mwakinyo

  • @reubenmajambo1270

    @reubenmajambo1270

    4 ай бұрын

    Kumbe hawajaonesha

  • @chusseboywcb2808

    @chusseboywcb2808

    4 ай бұрын

    ❤❤

  • @salumumchaga9717

    @salumumchaga9717

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂 ukweli haujifichi, tumeona ,tumegundua na tupo Benet na mwakinyo

  • @omarzinga7046
    @omarzinga70464 ай бұрын

    ZBC should be able to slow motion highlights each round

  • @user-pj8yc3zw6m
    @user-pj8yc3zw6m4 ай бұрын

    Mwakinyo mungu akujalie us❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @frankhaule8570
    @frankhaule85704 ай бұрын

    Mtangazaji na mchambuzi mlikuwa vzuri sana kutuletea radha nzuri ya matangazo na uchambuzi🔥

  • @user-pj8yc3zw6m
    @user-pj8yc3zw6m4 ай бұрын

    God bless you 🙏🙏🙏 mwakinyo

  • @user-ib9bz9ll1v
    @user-ib9bz9ll1v15 күн бұрын

    Mwakinyo best fighter katika historia ya ngumi Tz ,na mkubali sana huyu jamaa big up brother kaza buti utafika mbali zaidi

  • @universitylink
    @universitylink4 ай бұрын

    Mwakinyo yuko fit sana alikuwa anamsoma alipombadilishia mguu ili apige jab na Cross na upper cut

  • @user-ej3ho5ps4n
    @user-ej3ho5ps4n4 ай бұрын

    Oya msimfananishe Mwakinyo na Twaha kiduku ,Twaha bado mdogo sana

  • @user-gc3ec9wx6z

    @user-gc3ec9wx6z

    4 ай бұрын

    Hana lolote

  • @janejoel2465

    @janejoel2465

    4 ай бұрын

    Kweli kabisa . Kiduku anatabia ya kujitupia mwilini kwa wenzio na limwili lake ndio maana yule muafrika kusini alimshinda coz akirukia mwilini alikuwa ana mkwepa

  • @user-du6bd3no2b

    @user-du6bd3no2b

    4 ай бұрын

    Kiduku kwa mwakinyo ni kama kusukuma mlevi tu....yaani huyo kiduku asije kuyakanyaga kwa mwamba huyu

  • @sadunabdallah7303
    @sadunabdallah73034 ай бұрын

    Tumeinjoi sanaaa Crawford wa tanga umewafunga midogo wenye roho za ku2 msena wangu mungu ndo kila ki2 leo wataongea nn mana alukuwa wanasubria kuongea cwackii kmya dadek champenz oyeee❤❤❤❤

  • @FunnyChurros-hy9fe
    @FunnyChurros-hy9fe4 ай бұрын

    Kama unasema mwakinyo kapambana na mnyonge omba week pambano na mwakinyo au mlete Baba ako

  • @rogerabdallah439

    @rogerabdallah439

    4 ай бұрын

    Wewe umemleta uyo babako

  • @user-qk5gh5ns9m

    @user-qk5gh5ns9m

    4 ай бұрын

    Huelewi kiswahili ww​@@rogerabdallah439

  • @avelinpriscus6018

    @avelinpriscus6018

    4 ай бұрын

    Mletemamayako

  • @jabirkibwana1568

    @jabirkibwana1568

    19 күн бұрын

    Hongela kaka tangalahatu mawazo kando hongela mungo azidi kuku jazanguvu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤and 32:58 33:00

  • @veelmng7746
    @veelmng77464 ай бұрын

    Hizi ndio boxing ya ukweli jamaa wote fit. Hongera sana Mwakinyo. Pia waandaaji kwa kuandaa pambano zuri kama hili

  • @boniphacenkombe4868
    @boniphacenkombe48684 ай бұрын

    Champez..one more time for the king

  • @husseinmanyanga1587
    @husseinmanyanga15874 ай бұрын

    Allah azidi kukupaisha bondia wetu watanzania tuko nyuma yako.

  • @Jibambeshow254k

    @Jibambeshow254k

    4 ай бұрын

    😂😂mtu anapigwa pekeake wasema ukopamoja naye acha uongo

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂​@@Jibambeshow254k

  • @yahyambigily6031
    @yahyambigily60314 ай бұрын

    Wenye maua ya Mwakinyo njoni hapa💪

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita220616 күн бұрын

    Hongera sana Hassan kwa kupeperusha bendera ya Tanzania vema, na angalau safari hii raba sio kama zile za UK wakati ule uliposuasua kuua mtu pale Uingereza

  • @angelangaiza2274
    @angelangaiza22744 ай бұрын

    Mwakinyo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ishengomarugemarila908
    @ishengomarugemarila9084 ай бұрын

    Nakukubari mwakonyo

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika48514 ай бұрын

    The best boxer in Tanzania kwa uzito wao

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv38464 ай бұрын

    Kiduku atapigwa kipigo cha mbwa kokoooo, mpaka piko😂😂. Mwakinyo congratulations

  • @frankbai2473
    @frankbai24734 ай бұрын

    Hongera sana mwakinyo kwa mechi nzuri@najua unapitia figisu nyingi ndo TZ tulivyo mtu mwenye mafanikio anapigwa vita badala na ku suppprtiwa@MWENYEJI MUNGU akusimaie uendelee kupeperusha bendera

  • @musaamos2431
    @musaamos24314 ай бұрын

    Nakukubalj mwamba mwakinyo pamoja sana

  • @user-cu6mr4uj9q
    @user-cu6mr4uj9q4 ай бұрын

    Allwah atakusimamia mwakinyo

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve4 ай бұрын

    You is 👑 in Africa

  • @bigemagomabigemagoma6312
    @bigemagomabigemagoma63124 ай бұрын

    Ongera Sanaa kaka 🎉kumbe Azam wa ovyo mbona hawajaonesha

  • @hassanlyanga9415
    @hassanlyanga94154 ай бұрын

    Kazi nzuli wajinaa🔥

  • @user-vm1yw6yh5u
    @user-vm1yw6yh5u4 ай бұрын

    This is good my role model champezi one mo time hasaaaaaani mwakinyoookioooooooooooo,🔥👊

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto82314 ай бұрын

    Mwakinyo hongera Sana,umeonyesha maneno na vitendo kwa pamoja,watu wengi na mabondia wanakuchukia ila hawaelewi kuwa kuongea kwako kunaamsha amsha games za ngumi kuwa na ushindani,salamu kwa wapaka piko zimefika,wale walio andaa pambano Tanga ilikuwa ni gamę plan kuvuruga bambano la Zanzibar,ila mungu kawaumbua na tumeamini maneno yako kuwa ni maadui zako,kwa nini wasipange pambano lao tarehe 28?

  • @josephatmakaranga

    @josephatmakaranga

    4 ай бұрын

    Haongei kuamsha amsha tu Bali jamaa anatetea haki za mabondia pamoja na maslahi yao kwa ujumla.

  • @user-ku1ys6xf6x
    @user-ku1ys6xf6x4 ай бұрын

    Asante🎉

  • @mwananganzi
    @mwananganzi4 ай бұрын

    Congratulations to u and god bless u HASSAN Mwakinyo

  • @Izaangonyan
    @Izaangonyan4 ай бұрын

    Hongera bingwa from my country i am so proud for MWAKINYO pambono moja tu ndio uliniangusha mjin Liverpool lkn unapoamua kuifanya kaz unaifanya kisawasawa na sijaonaga kama Mwakinyo

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud90044 ай бұрын

    Huyu Mghana alikua mgumu sana. Welldone Mwakinyo

  • @user-ky3dj4tp5i

    @user-ky3dj4tp5i

    4 ай бұрын

    Pipa na mfuniko hao

  • @deogratiusyudatadei5658

    @deogratiusyudatadei5658

    19 күн бұрын

    ​@@user-ky3dj4tp5i😂😂😂😂😂 hamna kitu hapo ngumi zakuotea tu

  • @user-wv1pu4jo3k
    @user-wv1pu4jo3kАй бұрын

    Huyu soja wa Ghana kule kwao ndio kama kiduku huku Tanzania levo yake ni kiduku sio mwakinyo kwa mwakinyo atachezea sana

  • @hamzamakame-fy6yp
    @hamzamakame-fy6yp4 ай бұрын

    Maasha allah hassan hongera kwako kaka wanao bishana na ww ndy wanaokuwa chanzo cha siziki yko wako hivyo waendelee kuwa na chuki wako maana ww unaakilia ya ngumu hivyo watakuchukia tu 💪💪💪💪

  • @GiahESayi
    @GiahESayi4 ай бұрын

    Hongera Sana mwakinyo aibu yao waliokuwa wanakutafutia mzengwe ktk kazi zako mungu akizidi kukupambania mwisho wao ni aibu

  • @davidmeta8747

    @davidmeta8747

    4 ай бұрын

    Cha kushangaza wapo humu wamegeuka kumshangilia,,hii ndio tz,rafiki kinyonga,leo rafiki kesho adui keshokutwa rafiki

  • @osoovieraamigo4709
    @osoovieraamigo47094 ай бұрын

    Hongera familia hii game umeonesha umaarufu sio siri...keep it up MWAKINYO🎉

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr4 ай бұрын

    Safi sana kijana mchezo uko sawa.

  • @AdilRashid-lw9wg
    @AdilRashid-lw9wg4 ай бұрын

    Kama unajua unajua tyu mti wenye matunda ndo hupigwa mawe Yan mnatak mtudanganye kwadunia hii kwamba mwakinyo hajui ngumi?nyie mwakinyo ni bondia haswa TNG❤❤❤❤❤❤❤

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange96334 ай бұрын

    Yule jamaa ni mbavu lakini ,mwakinyo ana uzoefu mwingi, na ngumi yake haitui ovyo, hongeraaaa brother Mwakinyooo, utakuwa mnyakyusa wewe hakika , maana ni nooooomaaa! Mungu aendelee kukutia nguvu, tulikumisi ulingoni sanaaa! Sasa tafadhari sana , katupigie yule muingereza basi , naamini utaonesha maajabu !

  • @gabybulba9574
    @gabybulba957417 күн бұрын

    Hongera sana kaka

  • @user-pq2gv9wm1h
    @user-pq2gv9wm1h4 ай бұрын

    ❤❤❤ yako Ayo hasani waonyeshe maboya wataka kufafana naww

  • @user-uu5fi2zz7h
    @user-uu5fi2zz7h4 ай бұрын

    Good job champenz

  • @user-wv1pu4jo3k
    @user-wv1pu4jo3kАй бұрын

    ingetakiwa mwakinyo angeenda kule Ghana akamfue soja kule kule kwao ili heshima iwepo

  • @zaradially1666
    @zaradially16664 ай бұрын

    Keep it up mwakinyo baba ngumi unajua watazania sisi wivu ndio tatzo nakupa maua yako🎉

  • @abuuyusufamashi5459
    @abuuyusufamashi54594 ай бұрын

    Mwenyezi mungu amkinge na Mahasidi

  • @imanimwampagama8390
    @imanimwampagama83904 ай бұрын

    Nimefuatilia comment za watu hakika nyota ya mtu huwezi kuua kabisa utajitahidi kuififisha lkn mungu ana kung'arisha zaidi sema wabongo msema kweli wanaona kama mkorofi jamaa hapendi ubabaishaji!

  • @adammbarouk4379
    @adammbarouk43794 ай бұрын

    ❤🎉 hongera sana bro

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias13394 ай бұрын

    huyu jamaa kiboko hana rongorongo wenye wivu wakakojoe wakalale😂❤❤❤

  • @jabrous2057
    @jabrous20574 ай бұрын

    hayufosi KO tunacheza professional boxing,,champez one time hongera

  • @user-ib5jh9xg5q
    @user-ib5jh9xg5q4 ай бұрын

    God bless 🎉

  • @chiamberboy2394
    @chiamberboy23944 ай бұрын

    Amazing fight

  • @user-wv3dq4mx3d
    @user-wv3dq4mx3d4 ай бұрын

    Big up mwakinyo

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise45404 ай бұрын

    Mwakinyo umetisha❤❤❤❤❤

  • @faakhames
    @faakhames4 ай бұрын

    Nakukubali sana mwakinyo zidi kutangaza tz

  • @HappyGrant

    @HappyGrant

    4 ай бұрын

    Mwakinyo mtegemee Sana mungu upo viziri Sana sio makuli wanaigiza ngumi wanakumbatia

  • @user-zs4xz1vv4o
    @user-zs4xz1vv4o4 ай бұрын

    Safi sana champez Mogadishu famili

  • @jumamabu3650
    @jumamabu36504 ай бұрын

    Mwakinyo ni fundi , anajua sana Allah amjalie kijana huyu

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani86654 ай бұрын

    hongera sana

  • @hamadkipenzy6905
    @hamadkipenzy69053 ай бұрын

    Uwezo wa Hassan Mashallah Allah azidi kumpanguvu katika mikono yake Insha'Allah kingine kiherehere cha mtangazaji anamtangaza mshindi kama yeye ndiyo refa hajafuta protocol ametengeneza delay

  • @user-hi5dx1cn6b
    @user-hi5dx1cn6b4 ай бұрын

    TZ one forever and ever

  • @user-bv4gu5po4g
    @user-bv4gu5po4g4 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉kazi nzuri broo hassan❤❤ tz oyeee

  • @WebDevComputerLearning-dr8ej
    @WebDevComputerLearning-dr8ej4 ай бұрын

    Champez Mwakinyo............! The One N Only in Tanzania and Africa

  • @user-vm1yw6yh5u
    @user-vm1yw6yh5u4 ай бұрын

    Uyu ni crawford wa tz🔥👊

  • @abubakariali9848
    @abubakariali98484 ай бұрын

    Hongera mwakinyo kwa ushindi mnono Ila kwa huyu mwanajeshi hakuna bondia anapiga ngumi kama tunaangalia Slow motion sioni Jab, sioni Combination, 1 two hakuna kwa ufupi ni pambano la kawaid na hio Combat angeivua anatudhalilisha wanajeshi

  • @kellybreezytz2491

    @kellybreezytz2491

    4 ай бұрын

    Kesho tutakuita upigane wewe

  • @user-nv8oq5ep6c
    @user-nv8oq5ep6c3 ай бұрын

    hongera brother

  • @yohboy8810
    @yohboy88104 ай бұрын

    Kinyoo boy

  • @hariethmatungwa9293
    @hariethmatungwa92934 ай бұрын

    Kazi nzuri

  • @LovelyGo-Kart-so8ur
    @LovelyGo-Kart-so8ur4 ай бұрын

    Honger kaka ww nifundi wangumi unajuakk

  • @AthumanSeleman-zz3im
    @AthumanSeleman-zz3im4 ай бұрын

    Safi Sana brother

  • @eshaabdallah8253
    @eshaabdallah82534 ай бұрын

    Umeweza kaka wa Taifa🇹🇿

  • @AyubuKibengu
    @AyubuKibengu4 ай бұрын

    Hongera sanaa mwakinyo nimefurahii sanaa hinzo ndo ngumi tunataka safi sana

  • @hamadkipenzy6905
    @hamadkipenzy69053 ай бұрын

    Tanga Alihamdulillah tupo vizuri zaidi sana kuna kina bonzo na mambea sasa Mtoto wao Mwakinyo

  • @DavisMmole-yk8lo
    @DavisMmole-yk8lo4 ай бұрын

    Mwamba unajua waache wasiojielewa wakuseme vibaya ukiwa unapambambania maslai Yako ❤❤we ni mwelevu hepuka unyonge bro pigania maisha Yako Kaz iwe na maslai fanya Kaz good champion

  • @HigganadventureTanzania
    @HigganadventureTanzania19 күн бұрын

    We still need to see the fights 😮

  • @JumaKimanga
    @JumaKimanga4 ай бұрын

    Champion mwakinyo Yuko power kabisa

  • @sidebraizoy2070
    @sidebraizoy2070Ай бұрын

    Nakukubali sana champez🎉

  • @saidmagayuka4939
    @saidmagayuka49394 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯

  • @user-yo7sj8fs4h
    @user-yo7sj8fs4h4 ай бұрын

    Jamaa anajua. Wanajitahidi kumtenga na kumtengenezea chuki bure. Safi Mwakinyo

  • @JeremiaJohnsonmkane
    @JeremiaJohnsonmkane4 ай бұрын

    Onger bloo God bless you

  • @saidsam3053
    @saidsam30534 ай бұрын

    Hongera sana broo ALLAH azidi kukusimamia inshallah waloanzisha pambano jn tanga walikuwa na Nia mbaya ya kukuharibia pambano lko ila Allah kakuhifadh haiwezekani star km ww jn ilitakiw tz nzm ikuangalie ww lkn Kun wanafik tz sure

  • @user-wv1pu4jo3k
    @user-wv1pu4jo3kАй бұрын

    Namkubali mwakinyo

  • @user-ou8hr9ff8g
    @user-ou8hr9ff8g4 ай бұрын

    Dua sana kwako Kaka mwakinyo

  • @FakiBuzwhite-no6re
    @FakiBuzwhite-no6re4 ай бұрын

    Mm ni mzanzibari ila mwakinyo nakukubali sanaaa

  • @modestusndunguru7183

    @modestusndunguru7183

    4 ай бұрын

    Acha kusema mi ni mzazibar..mbona Kwan yeye kakuambia wa wap😂😂 ..hata ukiwa wa komoro...baridi tu

  • @AwadhiAlfani-bd5pj
    @AwadhiAlfani-bd5pj4 ай бұрын

    sikuzote tulikua tunangalia ugovileo tumeangalia ngumi

  • @user-lk3qc7vr2n

    @user-lk3qc7vr2n

    4 ай бұрын

    😂😂😂 Kwa hakika

  • @hamsikrasheedi1796

    @hamsikrasheedi1796

    4 ай бұрын

    😂✊🏼

  • @Ndu-wa.uroony2

    @Ndu-wa.uroony2

    4 ай бұрын

    Ugovi ni nini?

  • @wadudi2741

    @wadudi2741

    4 ай бұрын

    Hahahahahahahha

  • @SwalehSaid-mf5sg

    @SwalehSaid-mf5sg

    4 ай бұрын

    ​@@Ndu-wa.uroony2 ugomvi ni vurugu za ulingoni yani kukosekana ladha ya boxing ndicho alichomaanisha nduguyangu nahili ni kweli kabisa

  • @tahiyasaidi6532
    @tahiyasaidi65324 ай бұрын

    Salamu zmefika

  • @user-qp5vi9yt6m

    @user-qp5vi9yt6m

    4 ай бұрын

    Zishafika tayari

  • @niccollabalele
    @niccollabalele18 күн бұрын

    Nasema hivi tutawpiga sana Team mwakinyo maana tunafanya mazoezi kwa nidhamu kubwa.....msitugeze kuongea tunawalegeza kwa maneno na tunawapa hasira Team mwakinyo(Moore money more despline)

  • @abubakarially3461
    @abubakarially34614 ай бұрын

    Mashallah

  • @adampius5140
    @adampius51404 ай бұрын

    Kma hajaguswa yaan macho meupeeee Hongera sana Hassan Mwakinyo unatuwakilisha vemaaa sana

  • @rashid3562
    @rashid35622 ай бұрын

    Mwakinyo mungu amjalie nguvu zaid

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz10184 ай бұрын

    Mwakinyo Unajua ngumi, ukitoka wewe anafuata Twa kiduku anafuata Ibrahim clask Big up Tanzania 🇹🇿 my best

  • @user-dz5cy7oy2c
    @user-dz5cy7oy2c4 ай бұрын

    Azam wanatuangusha sana pambano kubwa afrika kweli. Mana mwakinyo namba moja afrika wametuangushamno mono sijapenda au kisa kagoma kucheza na Yule under dog

  • @ibraahmfw1147
    @ibraahmfw11474 ай бұрын

    Ngumi jiwe, hongera Home boy , Refa alitakiwa awashike mkono then amnyanyue mshindi juu hapa imekua tofaut😅😅

  • @user-fu6qu6dd4x
    @user-fu6qu6dd4x4 ай бұрын

    Information us who is who identifying by their trunks

  • @malkavoice2570
    @malkavoice25704 ай бұрын

    Ni mtoto sana huyu kwa mwakinyo lazima angeanguka mapema sana tu

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote20784 ай бұрын

    Safi sana mwakinyo mdogoa angu mungu akusimamie umeiheshimisha tz umetuheshimisha watanga wenzio

  • @user-fs3gt3ux1v
    @user-fs3gt3ux1v4 ай бұрын

    Hongera mwakinyo

  • @zubeirsalum4823
    @zubeirsalum48234 ай бұрын

    mghana kapipa hesabu kaona hawez toboa round ya 10, hongera hassan mwakinyo

  • @jabrous2057
    @jabrous20574 ай бұрын

    ❤❤

Келесі