HASSAN NDONGA🆚️JUMA FUNDI: TKO ya AJABU RAUNDI ya KWANZA, FUNDI Kakubali KUNA MAISHA Baada ya NGUMI!
Спорт
HASSAN NDONGA🆚️JUMA FUNDI: TKO ya AJABU RAUNDI ya KWANZA, FUNDI Kakubali KUNA MAISHA Baada ya NGUMI!
BONDIA Hassan Ndonga amefanikiwa kumtwanga mpinzani Juma Fundi wake kwa TKO Raundi ya kwanza kwenye pambano lililofanyika usiku wa kuamkia leo.
Пікірлер: 8
Jumaa achaa atakuumiza huyo 😅
Champion
Vipaji vipo vingi uyo juma fundi waachane nae mda wake ushaisha hana radha kabisa
Tyson wa bongo 💪💪
Mnafhalilisha boxing.. Anaufundi gani sasa huyo
Mabondia wengine 😂😂😂😂, badala wakauze maji kule
Ujinga mtupu ko ya ajab iko wap
@Kuminamoja1995
8 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣