No video
VITASA | Hussein Itaba alivyopigwa 'KO' ya hatari na Joseph Maigwisa |
VITASA NIGHT: Hussein Itaba ‘amechakazwa….’, Tazama mwenyewe vitasa alivyochezea kutoka kwa Joseph Maigwisa akikubali ‘KO’ raundi ya tano.
Je, kwa ngumi hizi, unatoa ushauri gani kwa mabondia?
Ni Usiku wa Vitasa ‘Sio Kinyonge’, kwenye Dimba la Kinesi Dar es Salaam na hili ni moja kati ya mapambano ya utangulizi kuelekea pambano kuu kati ya Nassibu Ramadhan vs Loren Japhet LIVE #AzamSports1HD
Пікірлер: 39
shukran sana Azam tv kwa burudani tutimieni pambano linalo fuata
Huyu jamaa nakumbuka aliahidiwa na Azam sports tv kuwa akıshnda ataslikwa sasa kılıchomkuta duhh!
Congratulations my boy from our home Songwe !🎉 🎉 🎉 🎉
Sio kwa ubaya jamaa wangu Itaba muda tu ni bondia asiye na skills kwa kweli.
@barakajpilly6900
Жыл бұрын
😃
raund ya kukamiana huwa ni ya kwanza tu ukiona mabondia hadi raundi ya nne wote bado wana mentality ya kukamiana hizo ni dalili za kuwa wote hawakuwa na mazoezi kitu kinachowafanya kukosa ujasiri wa ku box isipokuwa kitu wanacho kifikiria wao ni kumaliza fight. WALIVYOTULIA TULIENJOY NA WALITUSHAWISHI KUONA SOME SKILLS INDIVIDUAL ILA WAKISHA ANZA KURUSHA MANGUMI ILI WAPATE KO NI MBAYAAA KWA WOTE. Hata aliyeshinda atafurahi ni sahihi ila ajaonyesha mchezo mzuri
MAIGWISA NI FIRE...SEMA NN TEAM NACOZ NYIE NI MANENO MENGI MNAPIGWA KAMA WATOTO...MFAUME NAE NI WALEWALE TU SEMA ANATAFTIWA MABONDIA WA MCHONGO..OVER
Hongera sana home boy TDM 💪💪
MABONDIA WETU JITAHIDINI MUONGEZE SKILLS NGUMI MNARUSHA TU OVYO OVYO BILA YA MIPANGO MTAKUJA KUKUTANA NA BONDIA MWENYE SKILLS ZA KUTOSHA MKALITIA AIBU TAIFA.
Noma sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hahaha dah unaweza kata moto
Hongera home boy..... TUNDUMA STAND UP 🌞
Protect yourself all time
Utakufa mjomba Acha ngumi
Ngumi ajui uyo itaba
Makocha mnadundisha nini ، knuckles jamaa hatumii akili kabisa anafumba macho anategemea minguvu tu paspo akili kiukweli game ilikuwa yake kabisa lakini amepoteza ni aiibu kubwa kabisa kwa jim kubwa kama knucles، msipoangalia itajirudia kwa mfaume na pialali
hamna skills kwa mabondia wote, hamna mpango wa pambano. wanapigana kimtaa tu
Next fight after this ,Asara roooo pesa makatatasi 😎🤠🥊🥊🥊🥊
please msiandike discliption ya what happened inapoteza radha ya kutazama video coz unajua what will happen at the end
Itaba body nzur jab nzur,Ila nguvu za miguu na pumz hamna kitu
Itaba nikiazi naweza sema mandonga anajua kuliko hilo jamaa
💪💪💪💪
Umetia aibu kubwa jinga limepihwa😅
Mm nipo kilombero namuomba bondia yoyote kat ya hao wanao cheza
Ngumi gani hizi, miguu Haina hata stamina, wanarukaruka kama videm😂😂😂😂😂
Akiwa anashambuliwa anafumba macho ajiongeze eneo ilo ila nibondia mzuri
Huyo bondia ka mimi bwana hana lolote 😂😂😂
Nacoz fanyeni mazoez punguzeni mitandao mnaona madhara yake sasa
@zumbeshauri8114
Жыл бұрын
Hahhahahaaa kabisa bana wana maneno sana
Uyu itaba boxing hajui
Mh ila ngumu kha cio poa
Ngumi za kitaa HIZI
Itaba mzito sana ila mvumilivu..
Ngumi mchezo hatariii kwa wa shabiki burudaniii😂😂
Fight ya hovyo Sana hii, Hakuna mabondia hapo
@hassanhussein-ow7qh
9 ай бұрын
Hakuna mabondia hapo
Ni uzembe bondia hajilindi, mtu anaachia uso ivo
Comedy boxer