OSCAR RICHARD vs TONY RASHID WALIVYOPIMA UZITO, NACCOZ Hawana DOGO, WAINGIA kama WAFUNGWA..
Спорт
OSCAR RICHARD vs TONY RASHID WALIVYOPIMA UZITO, NACCOZ Hawana DOGO, WAINGIA kama WAFUNGWA..
MABONDIA wote watakaopigana kesho Juni 29, 2024 kwenye pambano la 'DAR BOXING DERBY' wamepima uzito na afya leo.
Pambano hilo litachezwa kwenye uwanja wa Posta jijini Dar.
Пікірлер: 17
Patachimbika kinoma
Watoto wa nacozi Awana mpinzani big up nacozi
Nomaa sana yaani
Hii Inamaana Oscar Richard ni mfungwa mwenye kosa kubwa sana kama anastahili kunyongwa halafu yuko mtaani
Tunamaanisha kuwa Oscar Ni Mfungwa mwenye hasira zilizo pitiriza kiasi kwamba akifunguliwa tu kauwaaa😂(hii ndio naccoz team tunapiga tunaburudisha nan anakataa)
kweli oscar umeua
Ni kunogesha pambano, inavuta mashabiki, nimeipenda sanaaa.....mwali mwali mwaliii😂❤
Oscar 😂😂😂❤❤
SAFI SANA TEAM NACCOZ UBUNIFU MZURI HII NDIO MAANA YA KAMBI KUBWA TEAM NACCOZ MMESHASHINDA NNJE YA UWANJA NA TUNAIMANI PIA NA NDANI YA ULINGO TONY ATAPIGWA KAMA BEGI
Safi....!! 🥊
Nzr sana hii
hii sio powa
Kuuliza sio upumbavu Ni kutaka kujua tu Kwa mfano Hii inaongeza nini au inahamasisha nini Au ina faida gani Haya twende pale wadau😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😊😅
@kervinijosephu3164
Ай бұрын
Ni hamasa tu kwa mashabiki hakuna kingine .
Tony rashid anashinda kirahisi tu hao Nacoz saiv zimebaki mbwembwe tu.
@AziziAlly-xc6nm
Ай бұрын
Kuna Naccoz alafu kuna Oscar Richard huo ni moto hatari sana💪💪💪
@EmmanuelZenda-ji5gc
Ай бұрын
@@AziziAlly-xc6nm Ikawaje na uo moto😂