OSCAR RICHARD vs TONY RASHID WALIVYOPIMA UZITO, NACCOZ Hawana DOGO, WAINGIA kama WAFUNGWA..

Спорт

OSCAR RICHARD vs TONY RASHID WALIVYOPIMA UZITO, NACCOZ Hawana DOGO, WAINGIA kama WAFUNGWA..
MABONDIA wote watakaopigana kesho Juni 29, 2024 kwenye pambano la 'DAR BOXING DERBY' wamepima uzito na afya leo.
Pambano hilo litachezwa kwenye uwanja wa Posta jijini Dar.

Пікірлер: 17

  • @stapinuswilliam860
    @stapinuswilliam860Ай бұрын

    Patachimbika kinoma

  • @user-ze8hp1ls6t
    @user-ze8hp1ls6tАй бұрын

    Watoto wa nacozi Awana mpinzani big up nacozi

  • @gastonjustine9199
    @gastonjustine9199Ай бұрын

    Nomaa sana yaani

  • @mwlpierre
    @mwlpierreАй бұрын

    Hii Inamaana Oscar Richard ni mfungwa mwenye kosa kubwa sana kama anastahili kunyongwa halafu yuko mtaani

  • @shabanissngungi5395
    @shabanissngungi5395Ай бұрын

    Tunamaanisha kuwa Oscar Ni Mfungwa mwenye hasira zilizo pitiriza kiasi kwamba akifunguliwa tu kauwaaa😂(hii ndio naccoz team tunapiga tunaburudisha nan anakataa)

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377Ай бұрын

    kweli oscar umeua

  • @kibwanakizulege4632
    @kibwanakizulege4632Ай бұрын

    Ni kunogesha pambano, inavuta mashabiki, nimeipenda sanaaa.....mwali mwali mwaliii😂❤

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lbАй бұрын

    Oscar 😂😂😂❤❤

  • @mosongatz4534
    @mosongatz4534Ай бұрын

    SAFI SANA TEAM NACCOZ UBUNIFU MZURI HII NDIO MAANA YA KAMBI KUBWA TEAM NACCOZ MMESHASHINDA NNJE YA UWANJA NA TUNAIMANI PIA NA NDANI YA ULINGO TONY ATAPIGWA KAMA BEGI

  • @modestusmayowa-vc4gj
    @modestusmayowa-vc4gjАй бұрын

    Safi....!! 🥊

  • @twizzycannello2482
    @twizzycannello2482Ай бұрын

    Nzr sana hii

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324Ай бұрын

    hii sio powa

  • @YasreArafat-kk9en
    @YasreArafat-kk9enАй бұрын

    Kuuliza sio upumbavu Ni kutaka kujua tu Kwa mfano Hii inaongeza nini au inahamasisha nini Au ina faida gani Haya twende pale wadau😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😊😅

  • @kervinijosephu3164

    @kervinijosephu3164

    Ай бұрын

    Ni hamasa tu kwa mashabiki hakuna kingine .

  • @EmmanuelZenda-ji5gc
    @EmmanuelZenda-ji5gcАй бұрын

    Tony rashid anashinda kirahisi tu hao Nacoz saiv zimebaki mbwembwe tu.

  • @AziziAlly-xc6nm

    @AziziAlly-xc6nm

    Ай бұрын

    Kuna Naccoz alafu kuna Oscar Richard huo ni moto hatari sana💪💪💪

  • @EmmanuelZenda-ji5gc

    @EmmanuelZenda-ji5gc

    Ай бұрын

    @@AziziAlly-xc6nm Ikawaje na uo moto😂

Келесі