No video

VITASA | Twaha Kiduku alivyomtwanga Dullah Mbabe - 20/08/2021

Tazama nginjanginja, mikikimikiki ya Dullah Mbabe na Twaha Kiduku kwenye pambano lililovuta hisia za wapenda ngumi.
Twaha Kiduku alikalishwa raundi ya kwanza tu ya pambano, lakini baada ya hapo yaliyofuata ni maajabu.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 336

  • @johnbupimali5019
    @johnbupimali50192 жыл бұрын

    Twaha ni mtu mmoja yuko makini sana, kingine anapigana na mpinzani wake feya play maana alikuwa na uwezo wa kumuumiza Dulla mbabe. His bravo

  • @paulmwangi1439
    @paulmwangi14392 жыл бұрын

    Uyu bondia tuna mpenda sana. Ako na eshima sana anakuanga na eshima sana ❤️🇰🇪 ❤️

  • @wamoroboy8963

    @wamoroboy8963

    2 жыл бұрын

    💖💖

  • @benedictmsami4966
    @benedictmsami49662 жыл бұрын

    Refa man of the match, ile twaha kuanguka raund ya kwanza na kusukumiwa kumi zaidi, rwfa angemaliza

  • @giuseppegumina5576
    @giuseppegumina55766 ай бұрын

    Congratulations Is Italian Boxeur. I LOVE BOXE ❤ I LOVE AFRICA ❤ I LOVE AFRICAN CULTURE ❤ I LOVE AFRICAN PEOPLE ❤

  • @ahmedlao7273
    @ahmedlao72732 жыл бұрын

    Laa ilaha illa Allah muhammad rasul Allah. Kiduku big up bro keep it up. Allah atulinde sote mm na wewe na kila anaekupenda na atuongoze.

  • @fiderisedward2076
    @fiderisedward20762 жыл бұрын

    Mungu abarik kazi yako brodher hujabebwa ngumi zmeonekana tunakukubar miaka 💯

  • @tolepeter3538
    @tolepeter35382 жыл бұрын

    Hongera sana mabondia wote. Ila kile ningeweza kusema ni kua ,ni vyema kukubali uamuzi wa majaji, kwani huu ni mchezo wala si vita.Cha pili, kama mchezaji hakuridhika na pambano basi kuna nafasi ya kuomba pambano liregeleo tena. Tusionyeshe hasira tuwe wapole tu.Otherwise hongera sana watanzania. Salamu kutoka Kenya.

  • @ShaqueeBlackrapper
    @ShaqueeBlackrapper2 жыл бұрын

    TWAHA KIDUKU NEVER DISAPPOINTS

  • @ashrafuhussein5544

    @ashrafuhussein5544

    2 жыл бұрын

    Mwakinyo

  • @husseinkinaa9445
    @husseinkinaa94452 жыл бұрын

    Big uuuuuup twaha kidogo umemshikisha adabu mawe maweeeeni!!!

  • @aishamaulidi7425
    @aishamaulidi74252 жыл бұрын

    Hongera Twaha umecheza mchezo mzuri sana show show kaza buti tupo p1

  • @stevensimbakila5383
    @stevensimbakila53832 жыл бұрын

    Ukimtegemea mungu yetu Yana wezekana

  • @Lumegilemukata
    @Lumegilemukata2 жыл бұрын

    Nilichokiona dulla ni mvumilivu,laiti angekuwa bondia mwingine angepigwa KO,,big up Kiduku💪💪

  • @alicejames893

    @alicejames893

    2 жыл бұрын

    Gh

  • @muhamadmaulid694
    @muhamadmaulid6942 жыл бұрын

    Boy kiduku kifaru , respect kiduku nakukubali mwano .show show......

  • @roqerz
    @roqerz2 жыл бұрын

    Hapa Hakuna Mabondia,, Wote Akili Wanatumia kidogo Nguvu Nyingi Ndio Maana Wakitoka Nje ya Nchi Wanapigwa, Mwakinyo Still On Top

  • @sakayonsakihunga3496

    @sakayonsakihunga3496

    2 жыл бұрын

    Hayo nimawazoyako

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Жыл бұрын

    Twaa inatakiwa usimamizi mzuri uyu ni Tyson wa Tanzania

  • @galuyegaluye2813
    @galuyegaluye28132 жыл бұрын

    Mmmh kwa Wimbo Wa Dulla Bingwa Alikua ameshapatikana kwenye Intro Tu🤣🤣🤣🤣

  • @JuliusTasius
    @JuliusTasius2 ай бұрын

    Twaha hongera kwa kazi nzur

  • @peterjohn8405
    @peterjohn84052 жыл бұрын

    Twaha ana nguvu ,ila anatakiwa mwalimu wake amfundishe kuhifadhi pumzi na kupiga target. Anarusha ngumi na mwili mzima mzima. Akipata bondia makini anayeweza ku defend vizuri anaweza akapigika vibaya.

  • @hanashhanash535

    @hanashhanash535

    2 жыл бұрын

    jamaa ako kama Tyson 💯✍️ alafu akuwe na foot work position

  • @zuberimohammedi201

    @zuberimohammedi201

    2 жыл бұрын

    Safi,tatizo kiduku ni walimu wake in reality kiduku walimu wake si walimu wa ngumi bali wa kubeba vitu vizito

  • @themountaintv6625
    @themountaintv6625 Жыл бұрын

    Morogoro ni mji wa vipaji Hongera twaha ukae kunogo

  • @fatmarashid3629
    @fatmarashid36292 жыл бұрын

    Msiwe mnachelewesha video bhn, sio vizuri

  • @aishaalliy3131
    @aishaalliy31312 жыл бұрын

    Team kidukuuuuu oyeeeeee

  • @emmakrish2853

    @emmakrish2853

    2 жыл бұрын

    Mologor ushind ni wao

  • @hanashhanash535
    @hanashhanash5352 жыл бұрын

    Twaha uko sawa sana Ila jaribu zoezi ya kamba kuruka juu uko na nguvu Sana Ila miguu inahitaji power ✍️ anyway your champion 🏆

  • @halfahalfa9728
    @halfahalfa97282 жыл бұрын

    Mmechelewa sana kupandisha highlights za hili pambano KZread

  • @lastsimbatv1497
    @lastsimbatv1497 Жыл бұрын

    Moja sheria ya bondia.bor ni anajua ku kwepa ngumi htrahi hlo kwa kiduku kapass then antupa ngum nying san sem akipa da nguv za miguu na kumove kwenye position sahihi atakua ka win sana

  • @aminamwangile4020
    @aminamwangile40202 жыл бұрын

    Ahsante twaha kwa kutuwakilisha vyema wana morogoro

  • @shabanikamsawa181

    @shabanikamsawa181

    2 жыл бұрын

    Nimefurah sana hata mm Dada amina wa morogoro mwenzangu Moro sehemu gani my sister

  • @Hamisi-ol1nf
    @Hamisi-ol1nf2 ай бұрын

    Siwezi nikakaa mwezi kama sija angalia ii game mahana sio powa uyu twa ukowapi namkubali sana

  • @davidmajor9807
    @davidmajor98072 жыл бұрын

    Kumbe shida ilianzia kwenye nyimbo ya dura kaingia na taarabu

  • @soundjorge4468
    @soundjorge4468 Жыл бұрын

    Tanzania boxing mko vizuri Sana , 🥊🥊🥊🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri91762 жыл бұрын

    Dula hamuwezi Twaha, ajipange tena mwakani!!!

  • @issubajaji7924
    @issubajaji79242 жыл бұрын

    Twaha ww ndiyo tanzania one. karibu sana mtwara ata huku tunataka raha

  • @saidomari001
    @saidomari0012 жыл бұрын

    sijaona sababu ya Dulla kulalamika na maamuzi,akubali matokeo Twaa yuko vizuri kumliko

  • @josephclemence4441
    @josephclemence44412 жыл бұрын

    Kiduku oyeeeeeeeeeeeeeeeee🙏🙏🙏

  • @fakihassani3
    @fakihassani310 ай бұрын

    Dlla jasiri maashaallah

  • @dipletitus9967
    @dipletitus99672 жыл бұрын

    Huyo referee sio professional kabisa kwani ni lazima fighters wa touch gloves 😅 , and the craziest thing she said ety sintoruhusu pambano mpaka mtouch gloves

  • @CANNYMAN

    @CANNYMAN

    2 жыл бұрын

    We ni professional mchambuz au hater tyu

  • @aidongitau7214

    @aidongitau7214

    Жыл бұрын

    Yani wacha nkucheke tu😅😅 hii si Wrestling usiwe mbumbu katika masumbwi kazi ya referee mwanzo nkupeana General instructions 1, Obey my commands at all times 2, Protect yourself at all times 3, Any questions? Kisha utaskia referee akisema touch them up (yani touch gloves) na kila bond anarudi kwa corner yake na referee anaendelea kuwa sawia na majudge na time keeper.

  • @omarmzee758
    @omarmzee7582 жыл бұрын

    Huyu jaman ndo dula mbabe ninaemskia au dula makabila???

  • @icclcharters3389
    @icclcharters33892 жыл бұрын

    Maoni yangu Twaha bondia mzuri,nguvu anazo isipokuwa punches bado shallow lazima aongeze bidii to get maximum power from the ground to legs hips shoulders and fist must deliver it,kifupi improve stamina and techniques,atulie asipige kwa jazba:end result ya knockout zilizompata ni weak stance. dulla mbabe:Good punches but medium power,lazima aongeze nguvu, defence is weak when blocking punches anatakiwa ajifunze ku redirect force not to fight against it. Overall results:Crown wangeikata nusu(draw match)👍

  • @fatmarashid3629
    @fatmarashid36292 жыл бұрын

    Dullah ana kiburi ndo maana kadundwa

  • @yussufkansela8118
    @yussufkansela81182 жыл бұрын

    refary yuko vizuri sana

  • @abmropeamadeus7286
    @abmropeamadeus72862 жыл бұрын

    Ilo Jamaa la morogoro linanguvu Sana, kashida kwa haki kabisa

  • @anthonsylvester2400

    @anthonsylvester2400

    2 жыл бұрын

    Hyo mjamaa wa Morogoro ni noma xan

  • @francismwandia5265

    @francismwandia5265

    2 жыл бұрын

    Vgjj

  • @mbarakahmed3892
    @mbarakahmed3892 Жыл бұрын

    Twaa pia Ako sawa sana kwakweli

  • @kngshassan5202
    @kngshassan52022 жыл бұрын

    Hivi tuseme ukweli upiganaji huu kweli ndio mnataka kupigana na bondia mwakinyo tusitaniane jamani wacheni ushabik uchwara hawa bado sana wanapigana kama kuku majogoo

  • @kiya0910
    @kiya09108 ай бұрын

    Bado nacheki hii pambano dulla aliyakanyaga na Jena pia akayakanyaga Kwa katopa daah kiduku smtu poa

  • @user-gw5lb9ju5m

    @user-gw5lb9ju5m

    8 ай бұрын

    Tuko pmja

  • @plaizoboy2647
    @plaizoboy26472 жыл бұрын

    Noma

  • @alinyange8186
    @alinyange81862 жыл бұрын

    Pamoja twaha kazi tumeiona

  • @saidomari001
    @saidomari0012 жыл бұрын

    majaji wako sahihi,hupenda kuregelea kutizama hii fight kwasababu ni nzuri hii fight

  • @victorbais6215
    @victorbais62152 жыл бұрын

    Mm nilifurahishwa na mtangazaji😂😂😂😂

  • @godblessnkyale8980
    @godblessnkyale89802 жыл бұрын

    Dulla mnyonge 😂 Aliingia Amesukaa kilichochomktaaa Hadiii nyweleee zilifumkaa amaà kwerii ujanjaaa siii kuwaiiii ujanjaaa Ni kupataaaa😂😂😂😂😂👏

  • @abrahampalanjo2306
    @abrahampalanjo23062 жыл бұрын

    Naikubali sana

  • @hasanjambi9871
    @hasanjambi98712 жыл бұрын

    Mungu ndo Kila kitu

  • @ewhite2806
    @ewhite28062 жыл бұрын

    Hakuna wa kupigana na Mwakinyo hapa

  • @rizikijaha3390
    @rizikijaha33902 жыл бұрын

    Mwenye kushindwa ngumi zake nzito ako poa sana Bora awe faster atakua deontay wilder junior kwa knock out

  • @richarddabryin9126
    @richarddabryin91262 жыл бұрын

    Yaani nyimbo tuu inaonesha nani mshindi

  • @tiffahsalimsalim500
    @tiffahsalimsalim5002 жыл бұрын

    Hongera twaha kiduku

  • @abdullaothman3772
    @abdullaothman37722 жыл бұрын

    Kila nikirudia kuangalia hii clip nachukia sana ujinga wa Ushirikina wa huyu kiguru mlemavu na huyu dullah shoga, limeacha kufanya mazoezi kwa bidii limeishia Ushirikina kwenye michezo

  • @hamza.abubakarhamza.abubak997
    @hamza.abubakarhamza.abubak997 Жыл бұрын

    Hi

  • @mikebaltazar2402
    @mikebaltazar24022 жыл бұрын

    Anae jiuona mbabe akapigane na efe ajagba Nigeria

  • @sakayonsakihunga3496

    @sakayonsakihunga3496

    2 жыл бұрын

    Nenda wewe unaemjua

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Жыл бұрын

    Ila kiduku anajitaidi sana azidishe tekiniki na mazoezi

  • @yustasaid4785
    @yustasaid47852 жыл бұрын

    Ama kweli dula amechezea vitas.big up twaha

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick452 жыл бұрын

    Tanzania is doing good in Boxing nowdays

  • @ramsokundowela7134
    @ramsokundowela71342 жыл бұрын

    Twaha kiduku

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim26802 ай бұрын

    Watu wanamsifu kiduku,,,,lakini asijaribu pambano na Mwakinyo ataumbuka.

  • @hanashhanash535
    @hanashhanash5352 жыл бұрын

    huyu Twaha anakaa kama Tyson 💯✍️

  • @leticiarugakira2367
    @leticiarugakira23672 жыл бұрын

    Twaha tuna believ in u

  • @wamoroboy8963
    @wamoroboy89632 жыл бұрын

    Moro town stand up✌️

  • @BONGELANEEMA

    @BONGELANEEMA

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/f4OBr9mPmdyvkbg.html

  • @kimscharos9156
    @kimscharos91564 ай бұрын

    Tatizo lilianzia hapa!

  • @assab3167
    @assab3167 Жыл бұрын

    Kazi kazi

  • @user-fr8jp9ui8l
    @user-fr8jp9ui8l9 ай бұрын

    Dulla akiwacha kiburi basi atafanikisha ndoto zake

  • @georginaluoga731
    @georginaluoga7312 жыл бұрын

    wimbo alio ingilia dulla mbabe🤣🤣🤣🤣 ndio man alishindwa

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Жыл бұрын

    Dullah mnyonge

  • @anthonysangawe8094
    @anthonysangawe80942 жыл бұрын

    Safi

  • @user-pu9fq9cv5c
    @user-pu9fq9cv5c Жыл бұрын

    Hili pambano lilikuwa noma sana

  • @mohamedzuber3830
    @mohamedzuber38302 жыл бұрын

    Safi sana

  • @ngwanasongowelero7153
    @ngwanasongowelero71532 жыл бұрын

    Mmmh noma sana

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 Жыл бұрын

    Kila nokijaribu kutafuta kosa la refa Pendo njau hapa silioni!! Bali naona tu kosa la Dullah baada ya kumuangusha Kiduku alibakia hapohapo wakati alipaswa kwenda kwenye neutral corner ili kumpa nafasi refa aanze kumhesabia Kiduku.

  • @feisalomar-hr3hq

    @feisalomar-hr3hq

    Жыл бұрын

    Huwez kuona ila Kwa hapa nw nimeona pendo njau alileta mapenzi twaha alipo anguka na kuisabiwa nakurud Tena chini asiinuke moja Kwa moja ni mchezo umeisha na pia amepigwa ngumi nyingi bila ya kujibu mchezo ulikuwa umeisha dulla Yuko sahihi kaonewa

  • @user-dz6zq2xd5w

    @user-dz6zq2xd5w

    3 ай бұрын

    Kaonewa, wawe wanajifunza kucheki marefa WA ulaya namna wanavyo hesabu, mchezo umekuwa umeisha kwa kuwa hakujibu mashambulizi pindi alipo anguka Twaha,kaonewa Dulla

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi73772 жыл бұрын

    mwakinyo asthubut mzık wa Twaha atajamba checherr yy asubir wazungu wanakula mayaı cıo mıhogo moro n kıla kıtu ngum moro -Tz.

  • @kaismwanjonde7771
    @kaismwanjonde77712 жыл бұрын

    Dulla mbabe alijpanga

  • @kngshassan5202
    @kngshassan52022 жыл бұрын

    Hivi upiganaji huu ndio mnaweza kupanbana na mwakinyo ndio kweli ngumi hazina mwenyewe ila kwa upiganaji huu dah mwakinyo hebu muacheni kwanza yy yupo kimataifa zaidi.

  • @godytz6874

    @godytz6874

    2 жыл бұрын

    Mwakinyo ndo nani

  • @habilmeshack9462

    @habilmeshack9462

    Жыл бұрын

    Huyo mwakinyo muuza mapambano melete

  • @kambaajunior842

    @kambaajunior842

    Жыл бұрын

    Wewe ngumi zenyewe hujuw naxdhani km unajuwa Sheria zangumi

  • @faisamsaid254

    @faisamsaid254

    Жыл бұрын

    Jidanganye

  • @allyseleman7787
    @allyseleman77877 ай бұрын

    Naomba pambano na dullah

  • @user-wl8fg8ne1f

    @user-wl8fg8ne1f

    2 ай бұрын

    Unatufa😅😂

  • @samsongwambiye9704
    @samsongwambiye97042 жыл бұрын

    Mwakinyo anaweza kumuua kiduku

  • @erickmsigwa88

    @erickmsigwa88

    2 жыл бұрын

    Kabisa kiduku gut zake huyoko makini nazo mwakiinyo noma atalegeza tumbo lake ataomba poo kiduku

  • @kngshassan5202
    @kngshassan52022 жыл бұрын

    Waendelee tu kupambana huku huku chini kwanza

  • @user-oe3bu8sc4i
    @user-oe3bu8sc4i4 ай бұрын

    Twaha nihatari Sana

  • @venturejackson6357
    @venturejackson63575 ай бұрын

    Twaha unatakiwa urudi kwenye huo mfumo ☝️ ulkuwa mfumo noma xan amin brother

  • @udiabdullah5261
    @udiabdullah52612 жыл бұрын

    Kiduku uyu jamaa anapumzi mzur sana

  • @MRKp-zk7xs
    @MRKp-zk7xs18 күн бұрын

    Ningekuwa na kibunda iih dabi ingerudiwa 👊

  • @riffatsaid2256
    @riffatsaid22562 жыл бұрын

    Hata me ningekuwa mwakinyo siwez nikakubali kutia saini, maana kwa ngumi kama hizi unaweza jikuta unashushwa CV yako hiv hiv.

  • @Coronavirus-jb8ch

    @Coronavirus-jb8ch

    2 жыл бұрын

    Xxx

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 Жыл бұрын

    Ila tuache maskhara dulla mgumu kwenda chini amekula ngumi nyingi sana

  • @jumaobudo6823
    @jumaobudo68232 жыл бұрын

    Mwakinyo

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick452 жыл бұрын

    Nice game, bravo Twaha kiduku 👊 🥊🥊🥊

  • @soundjorge4468
    @soundjorge4468 Жыл бұрын

    Great fight , real warriors TANZANIA BOXING RESPECT ' 🥊🔥🔥🔥🔥

  • @rajabupetermoses7338
    @rajabupetermoses73382 жыл бұрын

    Dulla mbabe alishinda Kwa ko Kwa Sheria za ngumi

  • @twaibuiddy6851

    @twaibuiddy6851

    2 жыл бұрын

    Unazungumzia sheria ipi iyo Dullah angeshinda endapo Twah angeshindwa kuweka guard

  • @kibokoyaotz4509

    @kibokoyaotz4509

    2 жыл бұрын

    Angeua km anaweza ukiona twaha ameendelea na amempiga dulla maana yake anamuweza..

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi73772 жыл бұрын

    kweli Twaha n boxer no 1 Tz sasa mwakinyo ndıo acheze na twaha! mbona anakuga rpund ya pili

  • @ochengcollines
    @ochengcollines Жыл бұрын

    Correct score.

  • @mtv6829
    @mtv68292 жыл бұрын

    Mwenzie kaingia na wimbo wa kibabe yeye kaja na taarabu kwanini asipigwe

  • @haledimndewe9087

    @haledimndewe9087

    2 жыл бұрын

    Mmmm sijui atagiza tena

  • @thomasmapunda1772
    @thomasmapunda17722 жыл бұрын

    Vitasa

  • @cellinethomas4715
    @cellinethomas47152 жыл бұрын

    Show show 🤓🇹🇿👋

  • @JacksonFanuel
    @JacksonFanuel Жыл бұрын

    ANAJUA SANA

  • @nadhifaswai-sj5xx
    @nadhifaswai-sj5xx Жыл бұрын

    Asante sana TWAHA KIDUKU👍👍

  • @fahdihasnuu9034
    @fahdihasnuu9034 Жыл бұрын

    Dulla kaonewa ni kama vile refa alikuwa anapeta yawezekana ime muathiri dulla kisaikolojia hatimae kapoteza

  • @jichomtandaoni8281
    @jichomtandaoni8281 Жыл бұрын

    7:45 Uzoefu unahitajika sana, baada ya dulla kumdondosha twaha alitakiwa akimbilie kwenye neutral corner ili refarii aanze mapema kumhesabia twaha, matokeo yake anazunguka zunguka tu kama mwehu😀 referii katumia muda mwingi kumuelekeza yeye aende kwenye Kona anayotakiwa kwenda na huku twaha anatumia muda huo ku recover

  • @gwantahbrainhalisi3527

    @gwantahbrainhalisi3527

    Жыл бұрын

    Umechambua kitaalam sana.

  • @bernardjenga3737

    @bernardjenga3737

    Жыл бұрын

    And kengere ya kumaliza round imegongwa sekunde -10 baada ya round kuisha...so wamepigana dakika 3:10 so Dulla alipewa advantage ya kuendelea kushambulia..

  • @jichomtandaoni8281

    @jichomtandaoni8281

    Жыл бұрын

    @@bernardjenga3737 🤝uko sahihi isipokuwa unakosea kusema zile sekunde za nyongeza Dulla amepewa "advantage" aendelee kushambulia, kwenye ngumi sekunde zikiisha kengele inagongwa bila simile sio Kama kwenye mpira kwamba Kuna dakika za nyongeza, ikiwa refarii anaona kuna tukio linapoteza muda ambalo halijasababishwa na bondia kwa makusudi basi atamuelekeza mtunza muda asimamishe muda wakati huohuo sio kuja kuongeza muda mwishoni! Kwa hiyo yale yalikua ni makosa aidha ya mtunza muda kujisahau au anaye display muda tunaouona kwenye screen

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi97292 жыл бұрын

    Vizuri sana kwa la ilaha ila illah mohamed rasul allah dini yake ni uslaam bismlah arahman alrahim mimi kutoka makaa nimefurahi kwa kaka wetu twaha

Келесі