No video
VITASA | Twaha Kiduku alivyomtwanga Dullah Mbabe - 20/08/2021
Tazama nginjanginja, mikikimikiki ya Dullah Mbabe na Twaha Kiduku kwenye pambano lililovuta hisia za wapenda ngumi.
Twaha Kiduku alikalishwa raundi ya kwanza tu ya pambano, lakini baada ya hapo yaliyofuata ni maajabu.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Пікірлер: 336
Twaha ni mtu mmoja yuko makini sana, kingine anapigana na mpinzani wake feya play maana alikuwa na uwezo wa kumuumiza Dulla mbabe. His bravo
Uyu bondia tuna mpenda sana. Ako na eshima sana anakuanga na eshima sana ❤️🇰🇪 ❤️
@wamoroboy8963
2 жыл бұрын
💖💖
Refa man of the match, ile twaha kuanguka raund ya kwanza na kusukumiwa kumi zaidi, rwfa angemaliza
Congratulations Is Italian Boxeur. I LOVE BOXE ❤ I LOVE AFRICA ❤ I LOVE AFRICAN CULTURE ❤ I LOVE AFRICAN PEOPLE ❤
Laa ilaha illa Allah muhammad rasul Allah. Kiduku big up bro keep it up. Allah atulinde sote mm na wewe na kila anaekupenda na atuongoze.
Mungu abarik kazi yako brodher hujabebwa ngumi zmeonekana tunakukubar miaka 💯
Hongera sana mabondia wote. Ila kile ningeweza kusema ni kua ,ni vyema kukubali uamuzi wa majaji, kwani huu ni mchezo wala si vita.Cha pili, kama mchezaji hakuridhika na pambano basi kuna nafasi ya kuomba pambano liregeleo tena. Tusionyeshe hasira tuwe wapole tu.Otherwise hongera sana watanzania. Salamu kutoka Kenya.
TWAHA KIDUKU NEVER DISAPPOINTS
@ashrafuhussein5544
2 жыл бұрын
Mwakinyo
Big uuuuuup twaha kidogo umemshikisha adabu mawe maweeeeni!!!
Hongera Twaha umecheza mchezo mzuri sana show show kaza buti tupo p1
Ukimtegemea mungu yetu Yana wezekana
Nilichokiona dulla ni mvumilivu,laiti angekuwa bondia mwingine angepigwa KO,,big up Kiduku💪💪
@alicejames893
2 жыл бұрын
Gh
Boy kiduku kifaru , respect kiduku nakukubali mwano .show show......
Hapa Hakuna Mabondia,, Wote Akili Wanatumia kidogo Nguvu Nyingi Ndio Maana Wakitoka Nje ya Nchi Wanapigwa, Mwakinyo Still On Top
@sakayonsakihunga3496
2 жыл бұрын
Hayo nimawazoyako
Twaa inatakiwa usimamizi mzuri uyu ni Tyson wa Tanzania
Mmmh kwa Wimbo Wa Dulla Bingwa Alikua ameshapatikana kwenye Intro Tu🤣🤣🤣🤣
Twaha hongera kwa kazi nzur
Twaha ana nguvu ,ila anatakiwa mwalimu wake amfundishe kuhifadhi pumzi na kupiga target. Anarusha ngumi na mwili mzima mzima. Akipata bondia makini anayeweza ku defend vizuri anaweza akapigika vibaya.
@hanashhanash535
2 жыл бұрын
jamaa ako kama Tyson 💯✍️ alafu akuwe na foot work position
@zuberimohammedi201
2 жыл бұрын
Safi,tatizo kiduku ni walimu wake in reality kiduku walimu wake si walimu wa ngumi bali wa kubeba vitu vizito
Morogoro ni mji wa vipaji Hongera twaha ukae kunogo
Msiwe mnachelewesha video bhn, sio vizuri
Team kidukuuuuu oyeeeeee
@emmakrish2853
2 жыл бұрын
Mologor ushind ni wao
Twaha uko sawa sana Ila jaribu zoezi ya kamba kuruka juu uko na nguvu Sana Ila miguu inahitaji power ✍️ anyway your champion 🏆
Mmechelewa sana kupandisha highlights za hili pambano KZread
Moja sheria ya bondia.bor ni anajua ku kwepa ngumi htrahi hlo kwa kiduku kapass then antupa ngum nying san sem akipa da nguv za miguu na kumove kwenye position sahihi atakua ka win sana
Ahsante twaha kwa kutuwakilisha vyema wana morogoro
@shabanikamsawa181
2 жыл бұрын
Nimefurah sana hata mm Dada amina wa morogoro mwenzangu Moro sehemu gani my sister
Siwezi nikakaa mwezi kama sija angalia ii game mahana sio powa uyu twa ukowapi namkubali sana
Kumbe shida ilianzia kwenye nyimbo ya dura kaingia na taarabu
Tanzania boxing mko vizuri Sana , 🥊🥊🥊🔥🔥🔥🔥🔥
Dula hamuwezi Twaha, ajipange tena mwakani!!!
Twaha ww ndiyo tanzania one. karibu sana mtwara ata huku tunataka raha
sijaona sababu ya Dulla kulalamika na maamuzi,akubali matokeo Twaa yuko vizuri kumliko
Kiduku oyeeeeeeeeeeeeeeeee🙏🙏🙏
Dlla jasiri maashaallah
Huyo referee sio professional kabisa kwani ni lazima fighters wa touch gloves 😅 , and the craziest thing she said ety sintoruhusu pambano mpaka mtouch gloves
@CANNYMAN
2 жыл бұрын
We ni professional mchambuz au hater tyu
@aidongitau7214
Жыл бұрын
Yani wacha nkucheke tu😅😅 hii si Wrestling usiwe mbumbu katika masumbwi kazi ya referee mwanzo nkupeana General instructions 1, Obey my commands at all times 2, Protect yourself at all times 3, Any questions? Kisha utaskia referee akisema touch them up (yani touch gloves) na kila bond anarudi kwa corner yake na referee anaendelea kuwa sawia na majudge na time keeper.
Huyu jaman ndo dula mbabe ninaemskia au dula makabila???
Maoni yangu Twaha bondia mzuri,nguvu anazo isipokuwa punches bado shallow lazima aongeze bidii to get maximum power from the ground to legs hips shoulders and fist must deliver it,kifupi improve stamina and techniques,atulie asipige kwa jazba:end result ya knockout zilizompata ni weak stance. dulla mbabe:Good punches but medium power,lazima aongeze nguvu, defence is weak when blocking punches anatakiwa ajifunze ku redirect force not to fight against it. Overall results:Crown wangeikata nusu(draw match)👍
Dullah ana kiburi ndo maana kadundwa
refary yuko vizuri sana
Ilo Jamaa la morogoro linanguvu Sana, kashida kwa haki kabisa
@anthonsylvester2400
2 жыл бұрын
Hyo mjamaa wa Morogoro ni noma xan
@francismwandia5265
2 жыл бұрын
Vgjj
Twaa pia Ako sawa sana kwakweli
Hivi tuseme ukweli upiganaji huu kweli ndio mnataka kupigana na bondia mwakinyo tusitaniane jamani wacheni ushabik uchwara hawa bado sana wanapigana kama kuku majogoo
Bado nacheki hii pambano dulla aliyakanyaga na Jena pia akayakanyaga Kwa katopa daah kiduku smtu poa
@user-gw5lb9ju5m
8 ай бұрын
Tuko pmja
Noma
Pamoja twaha kazi tumeiona
majaji wako sahihi,hupenda kuregelea kutizama hii fight kwasababu ni nzuri hii fight
Mm nilifurahishwa na mtangazaji😂😂😂😂
Dulla mnyonge 😂 Aliingia Amesukaa kilichochomktaaa Hadiii nyweleee zilifumkaa amaà kwerii ujanjaaa siii kuwaiiii ujanjaaa Ni kupataaaa😂😂😂😂😂👏
Naikubali sana
Mungu ndo Kila kitu
Hakuna wa kupigana na Mwakinyo hapa
Mwenye kushindwa ngumi zake nzito ako poa sana Bora awe faster atakua deontay wilder junior kwa knock out
Yaani nyimbo tuu inaonesha nani mshindi
Hongera twaha kiduku
Kila nikirudia kuangalia hii clip nachukia sana ujinga wa Ushirikina wa huyu kiguru mlemavu na huyu dullah shoga, limeacha kufanya mazoezi kwa bidii limeishia Ushirikina kwenye michezo
Hi
Anae jiuona mbabe akapigane na efe ajagba Nigeria
@sakayonsakihunga3496
2 жыл бұрын
Nenda wewe unaemjua
Ila kiduku anajitaidi sana azidishe tekiniki na mazoezi
Ama kweli dula amechezea vitas.big up twaha
Tanzania is doing good in Boxing nowdays
Twaha kiduku
Watu wanamsifu kiduku,,,,lakini asijaribu pambano na Mwakinyo ataumbuka.
huyu Twaha anakaa kama Tyson 💯✍️
Twaha tuna believ in u
Moro town stand up✌️
@BONGELANEEMA
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/f4OBr9mPmdyvkbg.html
Tatizo lilianzia hapa!
Kazi kazi
Dulla akiwacha kiburi basi atafanikisha ndoto zake
wimbo alio ingilia dulla mbabe🤣🤣🤣🤣 ndio man alishindwa
Dullah mnyonge
Safi
Hili pambano lilikuwa noma sana
Safi sana
Mmmh noma sana
Kila nokijaribu kutafuta kosa la refa Pendo njau hapa silioni!! Bali naona tu kosa la Dullah baada ya kumuangusha Kiduku alibakia hapohapo wakati alipaswa kwenda kwenye neutral corner ili kumpa nafasi refa aanze kumhesabia Kiduku.
@feisalomar-hr3hq
Жыл бұрын
Huwez kuona ila Kwa hapa nw nimeona pendo njau alileta mapenzi twaha alipo anguka na kuisabiwa nakurud Tena chini asiinuke moja Kwa moja ni mchezo umeisha na pia amepigwa ngumi nyingi bila ya kujibu mchezo ulikuwa umeisha dulla Yuko sahihi kaonewa
@user-dz6zq2xd5w
3 ай бұрын
Kaonewa, wawe wanajifunza kucheki marefa WA ulaya namna wanavyo hesabu, mchezo umekuwa umeisha kwa kuwa hakujibu mashambulizi pindi alipo anguka Twaha,kaonewa Dulla
mwakinyo asthubut mzık wa Twaha atajamba checherr yy asubir wazungu wanakula mayaı cıo mıhogo moro n kıla kıtu ngum moro -Tz.
Dulla mbabe alijpanga
Hivi upiganaji huu ndio mnaweza kupanbana na mwakinyo ndio kweli ngumi hazina mwenyewe ila kwa upiganaji huu dah mwakinyo hebu muacheni kwanza yy yupo kimataifa zaidi.
@godytz6874
2 жыл бұрын
Mwakinyo ndo nani
@habilmeshack9462
Жыл бұрын
Huyo mwakinyo muuza mapambano melete
@kambaajunior842
Жыл бұрын
Wewe ngumi zenyewe hujuw naxdhani km unajuwa Sheria zangumi
@faisamsaid254
Жыл бұрын
Jidanganye
Naomba pambano na dullah
@user-wl8fg8ne1f
2 ай бұрын
Unatufa😅😂
Mwakinyo anaweza kumuua kiduku
@erickmsigwa88
2 жыл бұрын
Kabisa kiduku gut zake huyoko makini nazo mwakiinyo noma atalegeza tumbo lake ataomba poo kiduku
Waendelee tu kupambana huku huku chini kwanza
Twaha nihatari Sana
Twaha unatakiwa urudi kwenye huo mfumo ☝️ ulkuwa mfumo noma xan amin brother
Kiduku uyu jamaa anapumzi mzur sana
Ningekuwa na kibunda iih dabi ingerudiwa 👊
Hata me ningekuwa mwakinyo siwez nikakubali kutia saini, maana kwa ngumi kama hizi unaweza jikuta unashushwa CV yako hiv hiv.
@Coronavirus-jb8ch
2 жыл бұрын
Xxx
Ila tuache maskhara dulla mgumu kwenda chini amekula ngumi nyingi sana
Mwakinyo
Nice game, bravo Twaha kiduku 👊 🥊🥊🥊
Great fight , real warriors TANZANIA BOXING RESPECT ' 🥊🔥🔥🔥🔥
Dulla mbabe alishinda Kwa ko Kwa Sheria za ngumi
@twaibuiddy6851
2 жыл бұрын
Unazungumzia sheria ipi iyo Dullah angeshinda endapo Twah angeshindwa kuweka guard
@kibokoyaotz4509
2 жыл бұрын
Angeua km anaweza ukiona twaha ameendelea na amempiga dulla maana yake anamuweza..
kweli Twaha n boxer no 1 Tz sasa mwakinyo ndıo acheze na twaha! mbona anakuga rpund ya pili
Correct score.
Mwenzie kaingia na wimbo wa kibabe yeye kaja na taarabu kwanini asipigwe
@haledimndewe9087
2 жыл бұрын
Mmmm sijui atagiza tena
Vitasa
Show show 🤓🇹🇿👋
ANAJUA SANA
Asante sana TWAHA KIDUKU👍👍
Dulla kaonewa ni kama vile refa alikuwa anapeta yawezekana ime muathiri dulla kisaikolojia hatimae kapoteza
7:45 Uzoefu unahitajika sana, baada ya dulla kumdondosha twaha alitakiwa akimbilie kwenye neutral corner ili refarii aanze mapema kumhesabia twaha, matokeo yake anazunguka zunguka tu kama mwehu😀 referii katumia muda mwingi kumuelekeza yeye aende kwenye Kona anayotakiwa kwenda na huku twaha anatumia muda huo ku recover
@gwantahbrainhalisi3527
Жыл бұрын
Umechambua kitaalam sana.
@bernardjenga3737
Жыл бұрын
And kengere ya kumaliza round imegongwa sekunde -10 baada ya round kuisha...so wamepigana dakika 3:10 so Dulla alipewa advantage ya kuendelea kushambulia..
@jichomtandaoni8281
Жыл бұрын
@@bernardjenga3737 🤝uko sahihi isipokuwa unakosea kusema zile sekunde za nyongeza Dulla amepewa "advantage" aendelee kushambulia, kwenye ngumi sekunde zikiisha kengele inagongwa bila simile sio Kama kwenye mpira kwamba Kuna dakika za nyongeza, ikiwa refarii anaona kuna tukio linapoteza muda ambalo halijasababishwa na bondia kwa makusudi basi atamuelekeza mtunza muda asimamishe muda wakati huohuo sio kuja kuongeza muda mwishoni! Kwa hiyo yale yalikua ni makosa aidha ya mtunza muda kujisahau au anaye display muda tunaouona kwenye screen
Vizuri sana kwa la ilaha ila illah mohamed rasul allah dini yake ni uslaam bismlah arahman alrahim mimi kutoka makaa nimefurahi kwa kaka wetu twaha