Vita ya maneno ya vigogo wa siasa Zanzibar haya ndo makavu waliyopeana
Жүктеу.....
Пікірлер: 114
@ashirafali11172 жыл бұрын
Mwinyi tatizo wewe manene mengi vitendo huna 😍 ubaguzi bado upo ila tunamtegemea mungu ndie atakae saidia inshaalah
@mohdkhatib223
2 жыл бұрын
Swadakta
@ashirafali1117
2 жыл бұрын
@@mohdkhatib223 ndio
@jinalangu93482 жыл бұрын
HAYO HAYAJIBIKI NA HUWEZI KUYAJIBU .. COZ WEWE HUPO KWA AJILI YA WAZANZIBARI UPO TU KWA TANGANYIKA YAKO NA NDIO MANA UATEUWA TU WATANGANYIKA
@mwalimuali18502 жыл бұрын
Kweli maisha magumu sana nimewaona rafiki zangu wawili wana akili timamu wanaokota chupa kwa ajili ya kupata chejio cha family zao dah wakati zamani chumba walikuwa wanaokota machizi na watoto wadogo dah Allah atuhifadhi hichi kisiwa hakuna liwalo .kuna umimi mwingi hapa.
@sabihamakami37202 жыл бұрын
Wao ccm niwatu wadhulma daima watadhulumu nakichaka Chao Aman amani nanjaaa kweli huyu mwinyi kazid ushez kla ktu kipojuuu
@fantsonmpango75022 жыл бұрын
Kichaka cha ccm kujifichia ni neno amani, haki hawaizungumzii kabisaaa
@najashrk37382 жыл бұрын
Zanzibar kunanjaa hatari nchi hii imekuwa ningumusana maisha niyashida sana yaani yaani niafadhali ya jana. kwamwendo huu iposiku watu wataingy barabarani maana hii haijawahi kutokeya hii nikonganyoyo Wallahi
@sabihamakami37202 жыл бұрын
Maneno navitendo mwinyi ndio tunataka Waznz munatuuua sana kw maslahi yenu ccm
@ibugharib3892 жыл бұрын
Duuuhhh hii kubwa Rais kipovu kinamtoka kuambiwa ukweli Dhulma mkubwa madaraka mpaka muuwe watu Ndio mukae ndugu yangu Rais muogope MOLLA wako kama kweli wewe ni muumini ni NASAHA tu mm napita, bega kwa bega mpaka Zanzibar huru
@sulimanmasoud9337
2 жыл бұрын
Ikiwa una jesus ya wa Zanzibari kwanini umeletwa wabuge kutoka bara hata ha C C m waki Zanzibar I ume wadharau.
@yusufushabani87482 жыл бұрын
Hapendi kuyaona lakini yataendelea kwa sababu ccm ili ishinde lazima ifanye hivyo
@lilianmakwati52282 жыл бұрын
Mwinyihaji sio mzanzibar
@yunusjuma43402 жыл бұрын
Yule maalim mungu amrehemu na uadui wenu lakini alikuchukulieni poa ila kwa hawa walobakia muheshimiwa jitarishe kufanya haki au kuturudisha kwenye uadui na chuki
@sasha-ri7tf2 жыл бұрын
Mwinyi huwezi kutunyamazisha sisi wa "Zanzibari" wewe mwenyewe umeingia madaraka kwa njia za (kihaini) na ndio sababu unawarudisha washenzi wezako madarakani waliosema hawataki serikali ya (GNU) nia yako hapo ni kutaka kuendeleza uharamia, Acha kupita msikitini Mwenyezi Mungu hazihakiwi.
@delasdiego6537
2 жыл бұрын
Ww ndio mmoja Kati ya wasema kweli Waambie tukutane pale 2025👍 Saluti
@husnamohamed92452 жыл бұрын
Mwinyi usiwachukulie walivyosema angalia amani na nini wanavyotaka mueke wazi lirekebishwe muwe pamoja. Kwani sote wazanzibary na sote ni wamoja .maneno maneno yanaharibu na sio ungwana kujibidhana mwisho unakuwa mbaya amani inapotea. Sasa kaeni chini muongee wapi limekosewa. Napenda kujiuliza kwanini wazanziary haweshi maneno na chokochoko .nchi yetu nzuri mashallah hakuna nchi nzuri kama zanzibar nchi zote ukilinganisha bwana wao zanzibar why?kwasababu watu wake wakarimu. Amani utulivu. Mandhar nzuri shuwari hali ya hewa dhahabu. Asikwambie mtu zanzibar is the best island like zanzibar is a paradise. Kwahiyo amani ikuwepo.
@suleimanseif32902 жыл бұрын
Safi sana act safi jusa safi omo
@mzanzibariwakweli13122 жыл бұрын
Amani hilikuepo pindi malimu seif ndio alikua anaieka Aman ya zanzibar ssa tukutane 2025 Bora kufa kuliko kukubali kuishi kwa kupiga magot liwaroho na liwe 2025
@sudaissaid84282 жыл бұрын
bwwna toka bwana watu hawakutaki
@fatmaali20502 жыл бұрын
Mwinyi cc tunataka Zanzibar huru yenye mamlaka kamili hatutaki bobo na hili huwezi kulifanya hadi kiama chama chako na itikadi yko yakufunga huliwezi huliwezi
@saidhassan77792 жыл бұрын
Sisi TUMECHOKA na Maneno tunataka vitendo kwa kweli ,Maisha magumu sana kwa Upande wa Zanziber ,Ajira Hamna naona mtihani sana,kwa kweli
@hajiabdalla5772
2 жыл бұрын
Zama za sheni.na Amani karume kipindi hicho njaa kali pia. Sasa huyo Mwinyi.kwani yupo pekee yake au na jamaa zenu wamo
@saidhassan7779
2 жыл бұрын
@@hajiabdalla5772 Kila mmoja nimchunga na kila Mchunga ataulizwa kwa Kile ambacho anakichunga ,Sisi twamjaua yy kama alikuwa haweza alikua akae NJEEE,ampe Maalim Seiff
@mohdkhatib223
2 жыл бұрын
Tatizo kila anaekuja inakuwa afadhali ya aliyepita. Tatizo la rais wetu ana maneno mazuri lakini katika matendo afadhali ya waliomtangulia
@saidhassan77792 жыл бұрын
Jitahidi Sana,kwa kweli kaka tukoo paamoja na wewe kwa kweli Jitahidi sana tatizo la Raisi Mwinyi ni maneno tuu na sio vitendo ,
@ramadhantahila9131
2 жыл бұрын
Na subra hamna mnataka likisemwa Leo kesho lionekanee hata akae nanii rushwa ipotuu na atajipendelea kwakweee hamna lolote , yoyote atakae kaaa ndo hayohayo. Pisha mieeeee
@milango7channel762 жыл бұрын
Yaraab atupe kher ya pande zote kuepo na Hali ya waislam wote kurizik kwa pande zote Amin kwa Allah akuna kubwa
@aishaaisharagp93812 жыл бұрын
We we ujibu hoja kamaunazo umoja ukowapi naumekaa kwanjia yaharamu hakunaanae kutamani hukozenji wslasnaekutaka
@MohamedAli-en9xh2 жыл бұрын
Mbona na cc ni bina damu na hatuja kamilika pia lkn mbona hatuja kupigeni mawe wala vigongo au nyiet ndo binadam msio kamilika Mna tuumiza halafu mnajidai amani amani Hamna mariziano yakweli ccm
@HassanAli-eq8ko2 жыл бұрын
Dr mwiny ukweli uliyongea ila viongoz wa Act wazalendo wako sahihi ni wakat wa kukimbia zanzibar acha ubnaf na u ccm
@zaidybakar6865 Жыл бұрын
Ss shida yetu ni maendeleo tu ila maisha magumu Hadi wanatuua bure achen tuchague tunae mtaka sio kinguvu
@sudaissaid84282 жыл бұрын
Fanya haki basi hutakiwi ondoka hapo.....
@jumamustapha8254 Жыл бұрын
Wazanzibar mna mapungufu mengi, ham angalii tofauti kati yao huyuanafanya nyinyi na yule alifanya nini. Mnachonganishwa sana na wapenda madaraka.
@user-et9vf2ro2k2 ай бұрын
Rai yangu Rai yangu nikua tuitatue shida za zanzibar kwa kuitafutia mamlaka kamili tue wakweli tuimarishe muungano kwa kuitisha kura ya maoni
@V24hrs2 жыл бұрын
Mwinyi anaogopa nguvu ya umma. Pia nafsi inamsuta huku akijua kiti alichokalia kimejaa Damu za watu,Amekikalia kwa kumwaga damu za Wazanzibar.
@mohamedturanardan88712 жыл бұрын
Mwinyi Unajibu kwa vitendo ndio pale unapotuletea mijitu kutoka bara sehemu za maana ukawaondoa wazanzibari. Huwezi kutunyamazisha hata kama mtatuuwa sote
@alijuma11892 жыл бұрын
Mimi naomba wafe hamza na haji Omar kheri
@abdallasaid93482 жыл бұрын
Allah ajalie wepesi haya maneno ya Rais yawe ya kweli, lakini chuki zipo kwa Ccm pia na wengineo, haya maneno yachukuliwe kwa wote ccm, Act, na wengineo.
@seifabdulwahid4579
2 жыл бұрын
CCM tunataka Zbar yetu iwe na Mamlaka kamili co tukitaka Misaada mpk tuombe kwa watanganyika
@chamyluna8030
2 жыл бұрын
Hana ukweli mmoja Ni mnafiki tu
@sabrysleiman5115
Жыл бұрын
Huyu mnafiki mkubwaa Ila wanasahau hawa kwamba ukifa huendi na cheo wala na pesa amali zako ndo zikuzamishe au zikuenue kumbukeni nyinyi ma CCM mbele kuna kifoo
@mohamedturanardan88712 жыл бұрын
Mshatuuwa na kutudhalilisha halafu tukawapa ridhaa halafu ututafunie maneno? CCM wote motoni
@khalilrahmaansalim38332 жыл бұрын
Kukaaaa mbeleeee c kukaaaa kweny uwongoziiiiiiiii✌✌✌✌iko vzri iyooooooo
@ngwanafabian46122 жыл бұрын
Samia aondoke Tanganyika haraka.
@namsifubwana21522 жыл бұрын
Act bora mmepata akili sasa......💪💪💪💪
@kassidpandu8662 жыл бұрын
Kwa case ya uchaguzi Dunia Nzima huwa wanaiba Kura Tudanganyana
@fatmaali2050
2 жыл бұрын
Hii vita na ya zanzibar shughulikia mambo yako ww mtu wa bara
@salummohd49712 жыл бұрын
Go on Mr. Prses
@fatmaali2050
2 жыл бұрын
Mwambie aje huko kwako lkn huku hatakikani zanzibar ndo mana hakushinda
@namsifubwana21522 жыл бұрын
Act mlidanganywaaaaaaa
@hasbunakhamis4872 жыл бұрын
Safisn Othman massoud
@ConfusedBalkhHound-on2mx2 ай бұрын
Mwinyi ww ni mnafiki
@abasamwame65832 жыл бұрын
Viongozi wengi wako madarakani kwa njia ya kharamu ,haramu huzaa haramu haki huzaa amani
@kassim1262Ай бұрын
Mimi naamini maneno yamakamo huezi kuingia madarakani kwakumwaga damu hlfu muungu alete neema namaendeleo kwenye nchi
@muradiseifhumoud78802 жыл бұрын
CCM hawawezi kufanya Uchaguzi huru kwa sababu hawashindi
@salamajuma2931
Жыл бұрын
Jamani. Pemba hakuna. Asilimia hata moja. Kuonesha wazi pemba tumechoka Laiti yanayotokea pemba wakati wa uchaguzi. Yangetokea na Unguja bac na wao wangechoka. Wajineemesha wao na familia zao wanahubiri. Amani amani tunatishika amani na njaa wao kukaa majukwaani. Vijana wajiajiri wakati wao wakiwa mad arak I wakikaribia kumaliza muda wanawaandaa watoto wao wawarithi.haoni haya . Chochote ni Alllah hata vikija vita navije kwani wenzetu wanaopigana. Wamekosa nini kwa Allah. Ya Rabbi. Type njia
@AbdullAlly-jk8kk15 күн бұрын
No coment uwwii
@sudaissaid84282 жыл бұрын
wacha maneno mengi wewe Mwinyi maneno mengi huna vitendo...kz mauaji2
@ibrahimally75542 жыл бұрын
Mh Rais, ushahidi gani unaohitajika?
@sudaissaid84282 жыл бұрын
mwembie huyoooo hatumtaki
@bekaashbai17812 жыл бұрын
Mikwaju inarudi tena
@aishaaisharagp9381
2 жыл бұрын
Wachairudi kwani nani anaigopa mikwaju kwamikwaju ya Mungu hio we we mjinga nn
@bekaashbai1781
2 жыл бұрын
Ucinune hata kipande cha kura huna
@AbdallahJuma-wb8lq3 ай бұрын
Huna,mmangapwanii
@shaabanmohammed26112 жыл бұрын
Wazanzibari wanataka Wazanzibari wenye uwezo ndio wapewe nafasi ya kuongoza Taasisi zao. Unapomleta ambae si Mzanzibari kuongoza Taasisi ambayo si ya Muungano hilo Wazanzibari hawalipendi na hawalitaki. Na ndio maana wanakwambia. Wanakwambia kwasababu ukifanya hivo inajenga taswira kuwa huwaamini Wazanzibari kama wana uwezo. VP1 anakwambia Bara wenzetu wana Nyumba lakini sisi hata nyumba hatuna. Kama Kiongozi una Dhima ya kupigania tupate Nyumba yetu na haki zetu. Hii ndio Dhima kubwa kama Kiongozi. Haki itazaa Amani ya kweli. Masheha wanawasumbua Wazanzibari kila kukicha wanawanyima Vitambulisho. Kama Kiongozi muumin wa Haki na Amani unaesimama mbele ya Qibla basi lisimamie hilo. Hii ni Haki. Usitegemee pasipo Haki pakawa na Amani
@rashidsalum4885
2 жыл бұрын
Raisi mwinyi mungu akupe subira hivo hivo maana watuwengiene wanataka kutiA fitina kuvunja amani zanzibari ww raisi unatenda haki usijali endelea kuhubiri amani usijali maneno Ya wanasiyasa
@shaabanmohammed2611
2 жыл бұрын
@@rashidsalum4885 Tuoneshe Sheikh Rashid iko wapi hiyo fitna hapa? 1 - Masheha wanawazungusha Wanawasumbua Wazanzibari hawawapi vitambulisho 2 - Suala la ZRB na PBZ....wakuu wake si Wazanzibari 3 - Waziri anaejulikana na kila mtu kama akipinga hadharani tena kwa kejeli na dharau kubwa uwepo wa GNU. FITNA IKO WAPI?
@jumamohamed3168
2 жыл бұрын
@@rashidsalum4885 Rashid watu wanasema kweli ili matatizo yafanyiwe kazi yaondoke na mambo yawe kama inavyopaswa kuwa kwa mtu yeyote mwenye akili timamu.
@mohdkhatib223
2 жыл бұрын
@@rashidsalum4885 watu tunaangalia matendo na si maneno. Kivitendo rais wetu amefeli na inaonyesha hana dhamira nzuri na Zanzibar
@abdalaomarsaid14656 ай бұрын
Kwahtuba.RAS.
@zuwenasaid97072 жыл бұрын
Nyinyi wapinzani mlipokubali umoja wa kitaifa kwani mlitegemea nini? Hata bado miaka hii minne mtaona rangi zao mazimwi mwaka mmoja kabla ya uchaguzi hayo mazimwi hugeuka mbwa na mkia Mungu a tuweke hai mtayaona.
@jumamustapha8254
Жыл бұрын
Uislam haujatufunza lugha chafu Kama tunazo zitumia hivi sasa, watu wenyewe hapo mpo 50ndiyo kukubalika
@zaidybakar6865 Жыл бұрын
Tunasubir muendelezo wakutuua
@solomonadams63372 жыл бұрын
kumekuwa na maneno ya nini ?wakati umetoka kwenu Tanganyika umekuja kuwaibia Wazanzibar haki yao!Watanganyika hamuwezi kushinda Zanzibar...sawa¿thanks
@husnamohamed92452 жыл бұрын
Jamani amani amani msiichezeeee kaeni kitako muongeee wapi limeharibika sio kila mtu atukane anavyotaka.
@pongwebeachhotel2806
2 жыл бұрын
Ni maneno mazuri na ya hekma dada ila Fonda bichi maumivu yake ni makali ndio mana watu wanabwekaaa.
@pongwebeachhotel2806
2 жыл бұрын
Donda bichi
@sabrysleiman5115
Жыл бұрын
Amani iko wapi hapa ww bi husna
@sabrysleiman5115
Жыл бұрын
Kipindi cha mtume walivokuwa wanadhulumiwa nakuteswa Allah akawaonea huruma nakushusha Aya ya Amri ya kutetea haki zao jee hili unasubir Aya ishuke tena ,
@milango7channel762 жыл бұрын
Sisi ni wa Allah na kwake ndo marejeo kama ulichokitend ndicho wendachokikuta mwisho wa maji ni tope Allah atupe uhai ili tuuwone mwisho
@hamoudbadrualbusaid27222 жыл бұрын
hayajibiki muheshimiwa
@jameslyimo6622 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe...
@rushydahmed91792 жыл бұрын
naomba kuuliza kwa watu wanaomjuwa huyu Hussein ni mtoto wa Bi Sitti na Ali Hassan Mwinyi?
@yussuphshilingi32582 жыл бұрын
Mh jusa ukovizuri Sana
@suleimanbakar34292 жыл бұрын
mwinyi utaisoma namba mwaka huu huna lolotea wewe waangalia hilo ungeuwa watu iliad ukae madarakani?hatukusamehe mpaka kiama nab tutakuapiza mpaka Allah apokee dual yetu
Swadakta omo umesema kwl kazi nzr Act wazalendo safari iendelee
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Yote njaa
@abdulfattaahnassir8266 Жыл бұрын
HUWEZI KUJIBU MWINYI KWASABABU YANAYO SEMWA SIYAUONGO NA TUNAJIONEA SS WENYEWE WALA SIKUHADITHIWA ILA NASAHA ZANGU BABA IKIWA UONGOZI HUO UMEUPATA KWA HALALI KABISA ALLAH AWE NAW LA IKIWA UMEUPATA KWADHULMA JIEKE MBALI SNA NA DHULMA RUDISHA HAKI ZAWATU MAANA MBELE YA ALLAH UTAKUA WW NALAKO2 HAUNA YYOTE ATAEWEZA KUSIMAMIA ZAMBI ZAKO UTAKUA WW KAMA WW BABA MAMA WOTE WATAKUKIMBIA USIONE HAPA DUNIANI UPO NA W2 MBELE YA YAALLAH UTAKUA WW PEKEAKO ISIKUDANGANYE DUNIA ITAFIKA SIKU UTAIYACHA DUNIA TENDA HAKI USIWE MGANO MBAYA KAMA WALIO PITA KUA KIGEZO KIZURI NDUGUYANGU MWINYI NASAHA ZANGU NDIO HIZO UGOPA SNA DHULMA NA MOLA ANAKUA HANA HARAKA KUJIBU DUA ZA WENYE KUDHULUMIWA
@rayazibe6572 жыл бұрын
Ya kuficha au
@saidhassan77792 жыл бұрын
Kwani ulikuwepo wewe?
@ibrahimallymohd36452 жыл бұрын
Kama huwezi kujibu basi unayoyafanya yote ni kweli wewe ni dhalimu wa Zanzibar
@jumakilinja63412 жыл бұрын
Uliingia kwa mtutu wa bunduki wewe dikteta wazanzibar hawakutambui
@sabihamakami37202 жыл бұрын
Nandio nana nyuso zao hazina ruru kwazulma we mwinyi nimshenzi umeekwa nababayako kizeee kile kinadhima mbele yamungu kwadhum zenu unanifanya hujibu hadharani huna lakuwaambia waznz ww fasik mkubwa
@mohdkhatib223
2 жыл бұрын
Diliti hayo maneno, ujue huyo ni rais wetu tutake tusitake
@sabihamakami3720
2 жыл бұрын
@@mohdkhatib223 tena ikawa rais asiambiwe ataambiwa naurais wake
@sabihamakami37202 жыл бұрын
Unajificha gongo njee ww mwinyi mpuuz mkubwa mrudie mola wako uttaulizwa kwamungu ww KILA kitu kipo juuu mnataka wananchi wale udongo
@abrahamabdala12072 жыл бұрын
Kwakwweli mwinyi na Samia msimu huuu Kaz wanayo maana xxm watu washaichoka tokea tuzaliwe tunawaona wao tu hembu waachien nawengine waongoze nchi sio yenu pekeenu hii
@khamishemedsaid21342 жыл бұрын
Jamani yalipita si ndwele tugange yajoyo wazee wamesema hebu . Mtoto akinyiya kiganja wakikatwi kama kuna kitu mmoja japenda kaeni njini muongee sisi raiya tuapata tabu . One love one get together we can
@w4058
2 жыл бұрын
Huna la kujibu wala hutolipata endelea na ufusadi wako tuu
@khalefaly2517
2 жыл бұрын
Jamani tangia lini Mnazi ukazaa papai husen ni mtoto wa Mwinyi na aliyoyanya baba yake mnayasahau hao ni wasaniii tuuu,hawana lhsani haooo,tuvumilie mpaka Allah atakapo turudishia nchi yetu iliyovamiwa na Tanganyika
@salimsaid97
2 жыл бұрын
Mimi naelewa kwamba yaliopita si ndwele, ila ni muhimu kujua historia ya yale yaliokukwaza na yaliokurudisha nyuma ni muhimu kufanya hivyo ili ujikinge nayo na uweze kuweka mikakati ya hiyo iitwayo ganga ijayo
@specialcuty6522 жыл бұрын
CCM hawatabadilika milele kwasababu ni wanafiki na wapo kwaajili ya maslahi yao binafsi na si Zanzibar
@mohdkhatib223
2 жыл бұрын
Kubadilika kwa ccm ni kuondoka madarakani tu
@user-et9vf2ro2k2 ай бұрын
Sasa mbona wazanzibari wanaeendelea kushuhudia kupigwa kunyanganywa haki zao kuporwa bidhaa zao wanashuhudia kuporwa ushindi wao wa chaguzi
Пікірлер: 114
Mwinyi tatizo wewe manene mengi vitendo huna 😍 ubaguzi bado upo ila tunamtegemea mungu ndie atakae saidia inshaalah
@mohdkhatib223
2 жыл бұрын
Swadakta
@ashirafali1117
2 жыл бұрын
@@mohdkhatib223 ndio
HAYO HAYAJIBIKI NA HUWEZI KUYAJIBU .. COZ WEWE HUPO KWA AJILI YA WAZANZIBARI UPO TU KWA TANGANYIKA YAKO NA NDIO MANA UATEUWA TU WATANGANYIKA
Kweli maisha magumu sana nimewaona rafiki zangu wawili wana akili timamu wanaokota chupa kwa ajili ya kupata chejio cha family zao dah wakati zamani chumba walikuwa wanaokota machizi na watoto wadogo dah Allah atuhifadhi hichi kisiwa hakuna liwalo .kuna umimi mwingi hapa.
Wao ccm niwatu wadhulma daima watadhulumu nakichaka Chao Aman amani nanjaaa kweli huyu mwinyi kazid ushez kla ktu kipojuuu
Kichaka cha ccm kujifichia ni neno amani, haki hawaizungumzii kabisaaa
Zanzibar kunanjaa hatari nchi hii imekuwa ningumusana maisha niyashida sana yaani yaani niafadhali ya jana. kwamwendo huu iposiku watu wataingy barabarani maana hii haijawahi kutokeya hii nikonganyoyo Wallahi
Maneno navitendo mwinyi ndio tunataka Waznz munatuuua sana kw maslahi yenu ccm
Duuuhhh hii kubwa Rais kipovu kinamtoka kuambiwa ukweli Dhulma mkubwa madaraka mpaka muuwe watu Ndio mukae ndugu yangu Rais muogope MOLLA wako kama kweli wewe ni muumini ni NASAHA tu mm napita, bega kwa bega mpaka Zanzibar huru
@sulimanmasoud9337
2 жыл бұрын
Ikiwa una jesus ya wa Zanzibari kwanini umeletwa wabuge kutoka bara hata ha C C m waki Zanzibar I ume wadharau.
Hapendi kuyaona lakini yataendelea kwa sababu ccm ili ishinde lazima ifanye hivyo
Mwinyihaji sio mzanzibar
Yule maalim mungu amrehemu na uadui wenu lakini alikuchukulieni poa ila kwa hawa walobakia muheshimiwa jitarishe kufanya haki au kuturudisha kwenye uadui na chuki
Mwinyi huwezi kutunyamazisha sisi wa "Zanzibari" wewe mwenyewe umeingia madaraka kwa njia za (kihaini) na ndio sababu unawarudisha washenzi wezako madarakani waliosema hawataki serikali ya (GNU) nia yako hapo ni kutaka kuendeleza uharamia, Acha kupita msikitini Mwenyezi Mungu hazihakiwi.
@delasdiego6537
2 жыл бұрын
Ww ndio mmoja Kati ya wasema kweli Waambie tukutane pale 2025👍 Saluti
Mwinyi usiwachukulie walivyosema angalia amani na nini wanavyotaka mueke wazi lirekebishwe muwe pamoja. Kwani sote wazanzibary na sote ni wamoja .maneno maneno yanaharibu na sio ungwana kujibidhana mwisho unakuwa mbaya amani inapotea. Sasa kaeni chini muongee wapi limekosewa. Napenda kujiuliza kwanini wazanziary haweshi maneno na chokochoko .nchi yetu nzuri mashallah hakuna nchi nzuri kama zanzibar nchi zote ukilinganisha bwana wao zanzibar why?kwasababu watu wake wakarimu. Amani utulivu. Mandhar nzuri shuwari hali ya hewa dhahabu. Asikwambie mtu zanzibar is the best island like zanzibar is a paradise. Kwahiyo amani ikuwepo.
Safi sana act safi jusa safi omo
Amani hilikuepo pindi malimu seif ndio alikua anaieka Aman ya zanzibar ssa tukutane 2025 Bora kufa kuliko kukubali kuishi kwa kupiga magot liwaroho na liwe 2025
bwwna toka bwana watu hawakutaki
Mwinyi cc tunataka Zanzibar huru yenye mamlaka kamili hatutaki bobo na hili huwezi kulifanya hadi kiama chama chako na itikadi yko yakufunga huliwezi huliwezi
Sisi TUMECHOKA na Maneno tunataka vitendo kwa kweli ,Maisha magumu sana kwa Upande wa Zanziber ,Ajira Hamna naona mtihani sana,kwa kweli
@hajiabdalla5772
2 жыл бұрын
Zama za sheni.na Amani karume kipindi hicho njaa kali pia. Sasa huyo Mwinyi.kwani yupo pekee yake au na jamaa zenu wamo
@saidhassan7779
2 жыл бұрын
@@hajiabdalla5772 Kila mmoja nimchunga na kila Mchunga ataulizwa kwa Kile ambacho anakichunga ,Sisi twamjaua yy kama alikuwa haweza alikua akae NJEEE,ampe Maalim Seiff
@mohdkhatib223
2 жыл бұрын
Tatizo kila anaekuja inakuwa afadhali ya aliyepita. Tatizo la rais wetu ana maneno mazuri lakini katika matendo afadhali ya waliomtangulia
Jitahidi Sana,kwa kweli kaka tukoo paamoja na wewe kwa kweli Jitahidi sana tatizo la Raisi Mwinyi ni maneno tuu na sio vitendo ,
@ramadhantahila9131
2 жыл бұрын
Na subra hamna mnataka likisemwa Leo kesho lionekanee hata akae nanii rushwa ipotuu na atajipendelea kwakweee hamna lolote , yoyote atakae kaaa ndo hayohayo. Pisha mieeeee
Yaraab atupe kher ya pande zote kuepo na Hali ya waislam wote kurizik kwa pande zote Amin kwa Allah akuna kubwa
We we ujibu hoja kamaunazo umoja ukowapi naumekaa kwanjia yaharamu hakunaanae kutamani hukozenji wslasnaekutaka
Mbona na cc ni bina damu na hatuja kamilika pia lkn mbona hatuja kupigeni mawe wala vigongo au nyiet ndo binadam msio kamilika Mna tuumiza halafu mnajidai amani amani Hamna mariziano yakweli ccm
Dr mwiny ukweli uliyongea ila viongoz wa Act wazalendo wako sahihi ni wakat wa kukimbia zanzibar acha ubnaf na u ccm
Ss shida yetu ni maendeleo tu ila maisha magumu Hadi wanatuua bure achen tuchague tunae mtaka sio kinguvu
Fanya haki basi hutakiwi ondoka hapo.....
Wazanzibar mna mapungufu mengi, ham angalii tofauti kati yao huyuanafanya nyinyi na yule alifanya nini. Mnachonganishwa sana na wapenda madaraka.
Rai yangu Rai yangu nikua tuitatue shida za zanzibar kwa kuitafutia mamlaka kamili tue wakweli tuimarishe muungano kwa kuitisha kura ya maoni
Mwinyi anaogopa nguvu ya umma. Pia nafsi inamsuta huku akijua kiti alichokalia kimejaa Damu za watu,Amekikalia kwa kumwaga damu za Wazanzibar.
Mwinyi Unajibu kwa vitendo ndio pale unapotuletea mijitu kutoka bara sehemu za maana ukawaondoa wazanzibari. Huwezi kutunyamazisha hata kama mtatuuwa sote
Mimi naomba wafe hamza na haji Omar kheri
Allah ajalie wepesi haya maneno ya Rais yawe ya kweli, lakini chuki zipo kwa Ccm pia na wengineo, haya maneno yachukuliwe kwa wote ccm, Act, na wengineo.
@seifabdulwahid4579
2 жыл бұрын
CCM tunataka Zbar yetu iwe na Mamlaka kamili co tukitaka Misaada mpk tuombe kwa watanganyika
@chamyluna8030
2 жыл бұрын
Hana ukweli mmoja Ni mnafiki tu
@sabrysleiman5115
Жыл бұрын
Huyu mnafiki mkubwaa Ila wanasahau hawa kwamba ukifa huendi na cheo wala na pesa amali zako ndo zikuzamishe au zikuenue kumbukeni nyinyi ma CCM mbele kuna kifoo
Mshatuuwa na kutudhalilisha halafu tukawapa ridhaa halafu ututafunie maneno? CCM wote motoni
Kukaaaa mbeleeee c kukaaaa kweny uwongoziiiiiiiii✌✌✌✌iko vzri iyooooooo
Samia aondoke Tanganyika haraka.
Act bora mmepata akili sasa......💪💪💪💪
Kwa case ya uchaguzi Dunia Nzima huwa wanaiba Kura Tudanganyana
@fatmaali2050
2 жыл бұрын
Hii vita na ya zanzibar shughulikia mambo yako ww mtu wa bara
Go on Mr. Prses
@fatmaali2050
2 жыл бұрын
Mwambie aje huko kwako lkn huku hatakikani zanzibar ndo mana hakushinda
Act mlidanganywaaaaaaa
Safisn Othman massoud
Mwinyi ww ni mnafiki
Viongozi wengi wako madarakani kwa njia ya kharamu ,haramu huzaa haramu haki huzaa amani
Mimi naamini maneno yamakamo huezi kuingia madarakani kwakumwaga damu hlfu muungu alete neema namaendeleo kwenye nchi
CCM hawawezi kufanya Uchaguzi huru kwa sababu hawashindi
@salamajuma2931
Жыл бұрын
Jamani. Pemba hakuna. Asilimia hata moja. Kuonesha wazi pemba tumechoka Laiti yanayotokea pemba wakati wa uchaguzi. Yangetokea na Unguja bac na wao wangechoka. Wajineemesha wao na familia zao wanahubiri. Amani amani tunatishika amani na njaa wao kukaa majukwaani. Vijana wajiajiri wakati wao wakiwa mad arak I wakikaribia kumaliza muda wanawaandaa watoto wao wawarithi.haoni haya . Chochote ni Alllah hata vikija vita navije kwani wenzetu wanaopigana. Wamekosa nini kwa Allah. Ya Rabbi. Type njia
No coment uwwii
wacha maneno mengi wewe Mwinyi maneno mengi huna vitendo...kz mauaji2
Mh Rais, ushahidi gani unaohitajika?
mwembie huyoooo hatumtaki
Mikwaju inarudi tena
@aishaaisharagp9381
2 жыл бұрын
Wachairudi kwani nani anaigopa mikwaju kwamikwaju ya Mungu hio we we mjinga nn
@bekaashbai1781
2 жыл бұрын
Ucinune hata kipande cha kura huna
Huna,mmangapwanii
Wazanzibari wanataka Wazanzibari wenye uwezo ndio wapewe nafasi ya kuongoza Taasisi zao. Unapomleta ambae si Mzanzibari kuongoza Taasisi ambayo si ya Muungano hilo Wazanzibari hawalipendi na hawalitaki. Na ndio maana wanakwambia. Wanakwambia kwasababu ukifanya hivo inajenga taswira kuwa huwaamini Wazanzibari kama wana uwezo. VP1 anakwambia Bara wenzetu wana Nyumba lakini sisi hata nyumba hatuna. Kama Kiongozi una Dhima ya kupigania tupate Nyumba yetu na haki zetu. Hii ndio Dhima kubwa kama Kiongozi. Haki itazaa Amani ya kweli. Masheha wanawasumbua Wazanzibari kila kukicha wanawanyima Vitambulisho. Kama Kiongozi muumin wa Haki na Amani unaesimama mbele ya Qibla basi lisimamie hilo. Hii ni Haki. Usitegemee pasipo Haki pakawa na Amani
@rashidsalum4885
2 жыл бұрын
Raisi mwinyi mungu akupe subira hivo hivo maana watuwengiene wanataka kutiA fitina kuvunja amani zanzibari ww raisi unatenda haki usijali endelea kuhubiri amani usijali maneno Ya wanasiyasa
@shaabanmohammed2611
2 жыл бұрын
@@rashidsalum4885 Tuoneshe Sheikh Rashid iko wapi hiyo fitna hapa? 1 - Masheha wanawazungusha Wanawasumbua Wazanzibari hawawapi vitambulisho 2 - Suala la ZRB na PBZ....wakuu wake si Wazanzibari 3 - Waziri anaejulikana na kila mtu kama akipinga hadharani tena kwa kejeli na dharau kubwa uwepo wa GNU. FITNA IKO WAPI?
@jumamohamed3168
2 жыл бұрын
@@rashidsalum4885 Rashid watu wanasema kweli ili matatizo yafanyiwe kazi yaondoke na mambo yawe kama inavyopaswa kuwa kwa mtu yeyote mwenye akili timamu.
@mohdkhatib223
2 жыл бұрын
@@rashidsalum4885 watu tunaangalia matendo na si maneno. Kivitendo rais wetu amefeli na inaonyesha hana dhamira nzuri na Zanzibar
Kwahtuba.RAS.
Nyinyi wapinzani mlipokubali umoja wa kitaifa kwani mlitegemea nini? Hata bado miaka hii minne mtaona rangi zao mazimwi mwaka mmoja kabla ya uchaguzi hayo mazimwi hugeuka mbwa na mkia Mungu a tuweke hai mtayaona.
@jumamustapha8254
Жыл бұрын
Uislam haujatufunza lugha chafu Kama tunazo zitumia hivi sasa, watu wenyewe hapo mpo 50ndiyo kukubalika
Tunasubir muendelezo wakutuua
kumekuwa na maneno ya nini ?wakati umetoka kwenu Tanganyika umekuja kuwaibia Wazanzibar haki yao!Watanganyika hamuwezi kushinda Zanzibar...sawa¿thanks
Jamani amani amani msiichezeeee kaeni kitako muongeee wapi limeharibika sio kila mtu atukane anavyotaka.
@pongwebeachhotel2806
2 жыл бұрын
Ni maneno mazuri na ya hekma dada ila Fonda bichi maumivu yake ni makali ndio mana watu wanabwekaaa.
@pongwebeachhotel2806
2 жыл бұрын
Donda bichi
@sabrysleiman5115
Жыл бұрын
Amani iko wapi hapa ww bi husna
@sabrysleiman5115
Жыл бұрын
Kipindi cha mtume walivokuwa wanadhulumiwa nakuteswa Allah akawaonea huruma nakushusha Aya ya Amri ya kutetea haki zao jee hili unasubir Aya ishuke tena ,
Sisi ni wa Allah na kwake ndo marejeo kama ulichokitend ndicho wendachokikuta mwisho wa maji ni tope Allah atupe uhai ili tuuwone mwisho
hayajibiki muheshimiwa
Nakubaliana na wewe...
naomba kuuliza kwa watu wanaomjuwa huyu Hussein ni mtoto wa Bi Sitti na Ali Hassan Mwinyi?
Mh jusa ukovizuri Sana
mwinyi utaisoma namba mwaka huu huna lolotea wewe waangalia hilo ungeuwa watu iliad ukae madarakani?hatukusamehe mpaka kiama nab tutakuapiza mpaka Allah apokee dual yetu
Mnadhani uyo mwinyi ndo mnamshughulisha kuongea hivoo 🤣🤣🤣
Kelele za Mlango,,,,,
Hakika,wamangapwani,analake
Hahahha et fisadi 😃😃😃😃😃
Swadakta omo umesema kwl kazi nzr Act wazalendo safari iendelee
Yote njaa
HUWEZI KUJIBU MWINYI KWASABABU YANAYO SEMWA SIYAUONGO NA TUNAJIONEA SS WENYEWE WALA SIKUHADITHIWA ILA NASAHA ZANGU BABA IKIWA UONGOZI HUO UMEUPATA KWA HALALI KABISA ALLAH AWE NAW LA IKIWA UMEUPATA KWADHULMA JIEKE MBALI SNA NA DHULMA RUDISHA HAKI ZAWATU MAANA MBELE YA ALLAH UTAKUA WW NALAKO2 HAUNA YYOTE ATAEWEZA KUSIMAMIA ZAMBI ZAKO UTAKUA WW KAMA WW BABA MAMA WOTE WATAKUKIMBIA USIONE HAPA DUNIANI UPO NA W2 MBELE YA YAALLAH UTAKUA WW PEKEAKO ISIKUDANGANYE DUNIA ITAFIKA SIKU UTAIYACHA DUNIA TENDA HAKI USIWE MGANO MBAYA KAMA WALIO PITA KUA KIGEZO KIZURI NDUGUYANGU MWINYI NASAHA ZANGU NDIO HIZO UGOPA SNA DHULMA NA MOLA ANAKUA HANA HARAKA KUJIBU DUA ZA WENYE KUDHULUMIWA
Ya kuficha au
Kwani ulikuwepo wewe?
Kama huwezi kujibu basi unayoyafanya yote ni kweli wewe ni dhalimu wa Zanzibar
Uliingia kwa mtutu wa bunduki wewe dikteta wazanzibar hawakutambui
Nandio nana nyuso zao hazina ruru kwazulma we mwinyi nimshenzi umeekwa nababayako kizeee kile kinadhima mbele yamungu kwadhum zenu unanifanya hujibu hadharani huna lakuwaambia waznz ww fasik mkubwa
@mohdkhatib223
2 жыл бұрын
Diliti hayo maneno, ujue huyo ni rais wetu tutake tusitake
@sabihamakami3720
2 жыл бұрын
@@mohdkhatib223 tena ikawa rais asiambiwe ataambiwa naurais wake
Unajificha gongo njee ww mwinyi mpuuz mkubwa mrudie mola wako uttaulizwa kwamungu ww KILA kitu kipo juuu mnataka wananchi wale udongo
Kwakwweli mwinyi na Samia msimu huuu Kaz wanayo maana xxm watu washaichoka tokea tuzaliwe tunawaona wao tu hembu waachien nawengine waongoze nchi sio yenu pekeenu hii
Jamani yalipita si ndwele tugange yajoyo wazee wamesema hebu . Mtoto akinyiya kiganja wakikatwi kama kuna kitu mmoja japenda kaeni njini muongee sisi raiya tuapata tabu . One love one get together we can
@w4058
2 жыл бұрын
Huna la kujibu wala hutolipata endelea na ufusadi wako tuu
@khalefaly2517
2 жыл бұрын
Jamani tangia lini Mnazi ukazaa papai husen ni mtoto wa Mwinyi na aliyoyanya baba yake mnayasahau hao ni wasaniii tuuu,hawana lhsani haooo,tuvumilie mpaka Allah atakapo turudishia nchi yetu iliyovamiwa na Tanganyika
@salimsaid97
2 жыл бұрын
Mimi naelewa kwamba yaliopita si ndwele, ila ni muhimu kujua historia ya yale yaliokukwaza na yaliokurudisha nyuma ni muhimu kufanya hivyo ili ujikinge nayo na uweze kuweka mikakati ya hiyo iitwayo ganga ijayo
CCM hawatabadilika milele kwasababu ni wanafiki na wapo kwaajili ya maslahi yao binafsi na si Zanzibar
@mohdkhatib223
2 жыл бұрын
Kubadilika kwa ccm ni kuondoka madarakani tu
Sasa mbona wazanzibari wanaeendelea kushuhudia kupigwa kunyanganywa haki zao kuporwa bidhaa zao wanashuhudia kuporwa ushindi wao wa chaguzi