UONGO WA KALE PART 3 MAU MPEMBA NA DONGO
Комедия
#MauMpemba #KomboKichwa #VitukoZanzibar
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500
Пікірлер: 99
Najivunia PEMBA yetu....❤❤❤
Muko vizuri tatizo leni mnakaa kimya sana
Wapemba oyeeeeeeeeeeeee😂🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🌹😂
@nassirmohamed8492
Жыл бұрын
Oyee from kenya
Mwaka mzima eeeee umetisha
Bwana weye zamani tu iyo
Ih aidia tyl mumeipatia Munatakiwa muwe na story Zakutosha muweze kufika dakika 15 Maana tupo na sehem ya 3 leten sehem Ya 4 nakuendelea
Hatari kubwa sana
Jamani nimefurahi kwa kweli asanteni sana mana mbavu zinaniuma kwa kucheka
Huu sio urongo ni zaidi ya CCM 😀😃😄😁😆😅🤣😂
Dongo umetisha
Hahahahaha mau we uongo wako wa embe .hiiiiiii 😂😂😂😂😍😍
Mmmh wazee punguzeni chumvi loooh
😄😄😄😄 duh dongo tumach salute
Ila dong hiiii umuongo yaheeeeee kaaa icho nkisu au nktu gani
Aaaaaa mauuu umuongo haaa ni mbilingani
Hahahahhahah nlimau ngeuko
Safi sana
dah hatri sana
Kweli huu ni uongo wa kale aloo mmetisha
Eti e ba hatoro kashakufawe 😀😃😄😁😆😅🤣😂
Hahahahaha mpini upemba kisu kipo unguja ..😂😂😂😂😂😂😂
😄😄😄😄😄😄 dah Yan nyie watu mnanifurahisha sana Pemba for life
Weweeeeeeeeee mmmh mmmnhhhh
😂😂😂😂😂Waong nyieee but Big Up Saba😆😆🤜🤛
Mnapata dhambi mnasema uongo 😊😊
@AbdallaAssaa-we3vi
Жыл бұрын
Hao wanafanya comed tu
@ObligeeNdoni-pb4vs
Жыл бұрын
Usiwajaji&hii wanasema kabisa uongo wa kale.
Du nyinyi majiongo htr mnafurahisha htr
Hahahahaahha akaukweleza
Mzingan home 🏡mau uwo muwembe hadi leo upo
@mfuu9160
Жыл бұрын
🤣🤣 mm mwenyew naujua
@nassirmeddy9715
Жыл бұрын
Mvutuo😂
@sleymankassim4332
Жыл бұрын
🤣🤣
@hemedjackson2261
Жыл бұрын
Hhhhhh
@mohammedhussein6748
Жыл бұрын
Mzingani
Dongo umetisha 😂😂
Nkongwe tawire hem lete nyengine zakale ami mai
Fundi wazidi kuchafukwa
Mau weweeee punguzaaaaa uwongo
Uongo wa tbs kabisaa
jaman tawiree lkn tuleteeni sehemu ya 4
Hhhhh hatari
Mnafurahisha mno
Hizi tunaomb muendelez 😀😀😀😀
Hhhhh mie hizi nazipend ,,hhhhhh eti pemba mzima
Asante sana kaka
Dongo nakunyanyulia mikono 🖖🖑
Hatari
🤣🤣🤣🤣 hahahhh aloo
Hahahahaha too much uongo 😂😂
Hahaaaa imenibidi nicheke tu
Mau big up
Nataka kuja kuoa pemba kuna binti yuko tayar mana ckwa mmbo haya😅
ilove u pemba
Duh mau tuache tooomuch hhhhhhhh
Pemba nkwetu 🥰
Limao n kiungo...cyo kiungqa
Mbangano kweli
Htar
Kweli uongo ni kipaji na kipaji mnacho 🤣🤣🤣🙌
Duuuh🤣🤣🤣🤣
Njia ya Wambaa pale
eti walikua wakaa Makangale 😅😅😅😅
Mbangano
Jamani niwasaidie maana ya neno KAMANGE ni UTUNDU
@mememe5689
Жыл бұрын
Kamange ni Mtu mkaidi. Tena sana
Dongoo umeuwah yaani mpini tu huo kisu ki unguja
🤭🤭 così divertente
Pemba raha kama zote
😂😂😂We
🤯
Jivuniye
Uongo huo ni hatari
Mfanye kila wiki episode 1
💯💪💪💪💪
mau mpemba unatisha
Heeeee kiungwa c kidgo jaman
😂😂😅
❤❤❤😂😂😂😂
Dongo apo saluti yako
Mbegu fupi na mlimau
Hhhh
😂😂
😄 😄 🤣 😂 😆
😂😂😂😂
😷🙄😛😋
Lol
😅😅😅😅
Hii kali
@hassanjuma5058
Жыл бұрын
Mau uwogo upatiya
@hassanjuma5058
Жыл бұрын
Duu😁😁
Mhhhh
Iyo ya mpini , 😬😬😬😬😬😬😬😬
Mbanganu mbanganu
😂😂😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂😂