MALI YA BAHILI HULIWA MARA MBILI- MAU MPEMBA
Комедия
#MauMpemba #KomboKichwa #VitukoZanzibar
MALI YA BAHILI HULIWA MARA MBILI- MAU MPEMBA
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500
Пікірлер: 88
Hongereni mpo juu
Jaman mzee kombo😂😂😂
Sema makme lfdhi wajarib
Hapa znzbr hapana soko la wasanii kimbilieni dar kama hadija kopa
vichekesho vya kipemba vitamu kweli
Dah huyu kombo mnamlipa bei gn
@takuruabdalla5729
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Tunawapata vyema hakika muko vizur
Jamani raha mafundisho raha mungu awazidishiye
🇹🇿 Nawapenda sana na taifa linawapenda
Mbavu Zangu mau mpemba na kombo kichwa jamani 😂😂😂😂😂
Hahahah akishapiga waliwe na nyama
Mwambieni kombo kichwa aache kuiba kuku
Wataka ubeseko🤣🤣mau mpemba
Majani ya mkungu mekundu😂😂😂😂😂😂😂
Tatizo Bando lakin tupo pamoja
We may BWANA mambo YAKO vituko tuu
Muko vizuri
Duh nyinyi muko pw kweli
kichwa kigwaru oyeeee
@mamymamy7938
3 жыл бұрын
🙄😍😍😍🥰
Hhhhhhhh, wanakitaka icho kichwa wakafukie kaburini
Hatariii
Mau.we😂😂😂
Saf sana
Nice
Funny from Dar es salaam We are together ♥️♥️♥️
Mau akichagawa bhanaa ni hatarii
😀😀😀😀😀😀😀 kweli Mali ya bahili huliwa Mara mbili
Mbavu zangu jamani😄😄😄
Eety nampa mia mia tu
Tizama lilejichwaaa
Kumbe pesa anazo hio iko poa sana
Elf2 haikubalik
Nice kake
🤩🤩🤩🤩
eti tizama lile bichwa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mau
Ama apo mganga kapatkana jatariii
Mvujamavi🤣🤣
Mvuja mavi
@shariffaki8836
3 жыл бұрын
🤣
Misimbazi
Huo mpua wa makame sio poa 😅😅😅
Mwambie akarbu
Patasii haha
😂😂😂😂😂asante
Tizama ile jishwa🤣🤣🤣🤣
😀
🤓🤓🤓
😀😀
Majani yamkungu mekundu hhhhhhhh mbavu zangu
Watu waitaka hii patasi
watu washamba hutumia mitishamba
Kichwa kimenyambuka😂😂😂
@mamboamer4491
3 жыл бұрын
Mambo
Fundi kwa hivi unavozidi kuchafukwa huwezekitena unguja napembaye
😅😅
😀😀😀hahaaaaaa
😜😜😜😜😜😜😜😜😜
Hahahah 😂😂
Mkubebe🤣🤣🤣🤣
Hahahha
😆😆😆💪
Haaaaaaaa
😂😅
😃😃😃 hahahahaaa
😂😂😁😁
😂😂😂😂😂
😂😂😂
l
😂😂😂😂🌟
@alfanm.8221
3 жыл бұрын
Mbona kama vile unanikimbie na ninakuamkua
@ruwaidaal-ismaily9099
3 жыл бұрын
Mm ee
@ruwaidaal-ismaily9099
3 жыл бұрын
@@alfanm.8221 Safi mambo vip
@alfanm.8221
3 жыл бұрын
@@ruwaidaal-ismaily9099 safi
Hahahaha
@alfanm.8221
3 жыл бұрын
Mambo
lkn ubakhili nao ukizidi ni maradhi tosha.
Mgangaaaaa😂😂😂😂
@saadaramadhan6598
Жыл бұрын
🥲
🤣🤣🤣🤣watu wanakita hicho kishwaa
@swalehhamad7718
3 жыл бұрын
Mvuja mavi 🙄😀😂😅😅 ?
watu washamba hutumia mitishamba
Tizama ile jishwa🤣🤣🤣🤣
@khamismasoud9686
3 жыл бұрын
Hhhhhhhh🤣
Hiyo elfu 2 ni nyingi Ntampa mia tano tano tu Hahah Ila jamaa vifurushi ni ghali