MUME WA MJINI _ Mwinyi /Kiswabi/Dongo

Фильм және анимация

Kinachomfika Kiswabi baada ya kutaka mambo kama mtu fulani.
SUBSCRIBE,LIKE,SHARE,COMMENT

Пікірлер: 404

  • @husnaali8840
    @husnaali88404 жыл бұрын

    kama weye ni mpemba km mimi na wamkubali kiswabi gonga like apa🥰

  • @salumsosa2256

    @salumsosa2256

    4 жыл бұрын

    Husna

  • @alimakame3529

    @alimakame3529

    3 жыл бұрын

    Kwaiyo mwataka juana kwa vilembaaa

  • @seifrashid2064

    @seifrashid2064

    Жыл бұрын

    Kiswabi fundi mmoja

  • @saidshariff7875
    @saidshariff78754 жыл бұрын

    Sanaa si mpaka ukae uchi na kuvaa heren salamu ziwafikie ray na wakina wema sepetu

  • @fahadmohammed6100
    @fahadmohammed61004 жыл бұрын

    Hahahahahahhaa wapemba watanivunja mbavu hawaa yakheeeeeeeh

  • @mtizman_salimridhwan187
    @mtizman_salimridhwan1874 жыл бұрын

    Japo nimepunywa dah mb zangu nimeweka kwa hii kazi tu pamoja sana

  • @aliyrhymes9729
    @aliyrhymes97294 жыл бұрын

    Kiswabi bwana kaza tu kazi unaiweza

  • @maryamhamdan5353
    @maryamhamdan53534 жыл бұрын

    duh, hii kweli comedy😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sampart2669
    @sampart26694 жыл бұрын

    Good job, dahh yaani mii mbavu sinaa

  • @mariamsaidi7625
    @mariamsaidi76254 жыл бұрын

    Kiswabi nakupenda kwa ajilia ya allah mungu akuweke kiswabi wangu

  • @ramlasaleh5016

    @ramlasaleh5016

    3 жыл бұрын

    Kiswabi

  • @35kmvv92

    @35kmvv92

    3 жыл бұрын

    @@ramlasaleh5016 I

  • @35kmvv92

    @35kmvv92

    3 жыл бұрын

    @@ramlasaleh5016 I I I I I

  • @hugoburuda7334
    @hugoburuda73344 жыл бұрын

    Nawakubali sana...kinyumbani zaidi

  • @sulymansalymaly3859
    @sulymansalymaly38594 жыл бұрын

    Dahhh!!!!!Jamaniiii eti nilikuona na gari ya ng'ombe Kiswabi kumbe ana mbio kweli dahhh nimecheka kweli Big up sana Pemba home sweet home one day nitakapokuja Pemba lazma nimuone Kiswabi dahhh hatar 🤣🤣😂😂🤣🤣😊😂🤣🤣🤣🤣

  • @muntadhiralzaqwan4316
    @muntadhiralzaqwan43164 жыл бұрын

    Jufe imekusudia kukuza sanaa n wasanii pia kua namanufaaa💖kw moyo m1

  • @omarjuma2988
    @omarjuma29884 жыл бұрын

    Kiswab huna adabu wew wamuangusah mkwe wako utanjimwa mke shauliyako🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂kaz nzur

  • @ahmedsunilshetty4601
    @ahmedsunilshetty46014 жыл бұрын

    Hongereni jufe kw kaz mzur

  • @kingayo4272
    @kingayo42724 жыл бұрын

    Jufe muko juu kuliko mau jitahidini tu

  • @omarsheha2840
    @omarsheha28404 жыл бұрын

    Wako vizuri sana zidisheni Allah awajaalie mzidi kupendana

  • @eddybest5216

    @eddybest5216

    4 жыл бұрын

    Amin. Shukran

  • @ahmedsule1520
    @ahmedsule15204 жыл бұрын

    Hahhahaahahhahahhahah daaah huyuu kiswaswadi hamnaa kituu humuu yaaani chizi kwisha kaziii 😅😅😅👏✌

  • @zeyanamuhammed396

    @zeyanamuhammed396

    3 жыл бұрын

    Hahaha kiswaswabi yani apo kwenye Vespa umeuwa kabisa yani Nimecheka mpaka naliya kwa furaha Kazi nzuri

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike75684 жыл бұрын

    Kiswabi stile yako naipendaga kweli yakuvaa na kuongea kwako.dongo mwinyi mko vizur pia

  • @sharifmuhidin1605

    @sharifmuhidin1605

    4 жыл бұрын

    Assalaam alykum

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    @@sharifmuhidin1605 Waalaikum salam

  • @othmanally7552
    @othmanally75524 жыл бұрын

    Kiswabi asante umeuwa hiyo siyo kama yakwako

  • @mtizman_salimridhwan187
    @mtizman_salimridhwan1874 жыл бұрын

    Ahsante shemeg umevimba sana

  • @shamimkingazi8925
    @shamimkingazi89254 жыл бұрын

    Sijangalia bado ila natumai mfanifanya nicheke Inshaallah

  • @jamilasalim1872
    @jamilasalim18722 жыл бұрын

    Ninavompenda ktk kichochoro changu cha moyo hhhhh

  • @halimanasihu1200
    @halimanasihu12004 жыл бұрын

    Hahaha utaniuwa mzee mwiyi

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid58644 жыл бұрын

    Eti simueki hapa michepu hahahaha nimecheka mpaka basi

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa10694 жыл бұрын

    Jamani nimekosa la kukoment leo nacheka tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣kiswabi upo juu 👊🤛

  • @saidshariff7875
    @saidshariff78754 жыл бұрын

    Mashaallah hongeren mja asili haachi asili akiacha asili ujue hana akili

  • @ibrahimmassare175
    @ibrahimmassare1754 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂Yani nyinyi balaaa asanten

  • @user-eg1dr6so4c
    @user-eg1dr6so4c4 жыл бұрын

    Anaye mkubali kiswab ngonga like hapa tujuwane

  • @jumaabdalla9676

    @jumaabdalla9676

    4 жыл бұрын

    Poa mkuu

  • @tunichtusha2953

    @tunichtusha2953

    4 жыл бұрын

    hahahaha

  • @swalehothman8251

    @swalehothman8251

    4 жыл бұрын

    Mm kwetu unguja lakin namkubali sana

  • @nachumhajji7057

    @nachumhajji7057

    4 жыл бұрын

    hongera

  • @swalehothman8251

    @swalehothman8251

    4 жыл бұрын

    Nachum Hajji kwann

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi56384 жыл бұрын

    Ya Pemba rahatuuu karibuni.Pemba wadau

  • @uweismohammed6959

    @uweismohammed6959

    4 жыл бұрын

    Tutakuja in shaa Allah

  • @amourmohd3032

    @amourmohd3032

    4 жыл бұрын

    mh hadinimekukumbuka kwetu love you Pemba😗

  • @salmasalim6055
    @salmasalim60554 жыл бұрын

    🤣🤣 kiswabi waniumiza mbavu

  • @mohamedel-mindhir7990
    @mohamedel-mindhir79904 жыл бұрын

    Wallah kuwaangalia awa waja kama unamawazo finyu yanakutoka😂😂😂😂😂😂 Hongeren san wapemba wenzetu kwan hatuwa muloifika inapaswa kupew tunzo 🇴🇲🙏🇴🇲

  • @asiaseif7229

    @asiaseif7229

    4 жыл бұрын

    Yaani hawa wafurahisha sana😀😀

  • @mohammadabeid3733

    @mohammadabeid3733

    4 жыл бұрын

    daah unajua nn aloharib dili ni yule alokuja na gar hhhhh ila kiswab alikua anafuzu tuu ila man of the match n dongo

  • @asiaseif7229

    @asiaseif7229

    4 жыл бұрын

    @@mohammadabeid3733 kweli😀😀😀

  • @hafidhabeid7952

    @hafidhabeid7952

    4 жыл бұрын

    Hujambo

  • @mohammadabeid3733

    @mohammadabeid3733

    4 жыл бұрын

    @@hafidhabeid7952 Alhamdulillah sjui t ww naww bro

  • @hajjism
    @hajjism4 жыл бұрын

    Hongereni Jufe kwa kazi nzuri, waigizaji wanastahiki sifa nao. Inachekesha sana.

  • @johnmbafu2882
    @johnmbafu28824 жыл бұрын

    Kiswabi,mwinyi dongo big up sana 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mtizman_salimridhwan187
    @mtizman_salimridhwan1874 жыл бұрын

    Duh kila siku zikienda mbele mnakuwa na kazi nzur 🔥🔥🔥🔥🔥 much respect jufe 100%hatutaki mkae sana kiivyo

  • @eddybest5216

    @eddybest5216

    4 жыл бұрын

    Nimekusoma Mtiz 🙏

  • @nelsonrafaelmandumbwemandu1721

    @nelsonrafaelmandumbwemandu1721

    4 жыл бұрын

    Mtiz 187

  • @lyympemba

    @lyympemba

    4 жыл бұрын

    Mtiz 187 mtizi holla beibe 😀😀 catch ya asshole 🥂

  • @zubeidamohd9432
    @zubeidamohd94324 жыл бұрын

    Hhhha mbavu zangu mm 😀😀😀😀😀

  • @feisalmohamed3198
    @feisalmohamed31984 жыл бұрын

    Jufe film kazi zenu zimekua ni nzuri na zenye kufurahisha zaidi sasa ni fursa yenu kutuandikia namba ya simu kwa ajili ya kuwachangia mtu alicho nacho kuanzia tsh 500, tunajua ugumu wa maisha ya pemba.

  • @vuaisulei2803
    @vuaisulei28034 жыл бұрын

    Hahaah guu bovu kichinjirii

  • @ummunaaleicester4337
    @ummunaaleicester43374 жыл бұрын

    Asanteni sanaaa mambo mazur mko vizuri

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82624 жыл бұрын

    😁😁😁😁kiswabi kushaumia

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis23364 жыл бұрын

    kiswabi hata ufanye nin Mwinyi mpeku hakupi mwanawee....unakumbuka siku alokuj kumchukuw mwanawe katika filam ya 'MUME WA MWANANGU' ingali bdo n mke wako.....tafuta pengn kakaaaa......hhhhhhhhhhhhhh

  • @allykhamis6132
    @allykhamis61324 жыл бұрын

    Aisées munatufurahisha kweli ahsanteni

  • @Chombezaflava
    @Chombezaflava4 жыл бұрын

    Nimecheka mpaka nimepata na kifua 😂😂😂

  • @mohdally2233

    @mohdally2233

    4 жыл бұрын

    Duuh

  • @salumseif1005
    @salumseif10054 жыл бұрын

    Dongo ,kiswabi nawakubali sana

  • @yussufnassor1652
    @yussufnassor16524 жыл бұрын

    Hahahahahahah mbavu Zangu jamn *yuwapi yule*

  • @mamaamina8707

    @mamaamina8707

    3 жыл бұрын

    50th in a.. 🔝👟🏠👞🐩🏢🏢🏢

  • @siriyangu4724
    @siriyangu47244 жыл бұрын

    😁hadi raha

  • @OmarMuhammed-wt5di
    @OmarMuhammed-wt5di2 ай бұрын

    Salu m bumbu na mudi hamisi mwanangwa wa kifagio hahaha umetisha ndugu

  • @mpunahamisi8510
    @mpunahamisi85104 жыл бұрын

    Napenda lafudhi

  • @sidratybinkhamis2837

    @sidratybinkhamis2837

    3 жыл бұрын

    Hunishindi mie

  • @sidratybinkhamis2837

    @sidratybinkhamis2837

    3 жыл бұрын

    Hunishindi mie

  • @user-eg1dr6so4c
    @user-eg1dr6so4c4 жыл бұрын

    Aaaaa mbavu zangu mie

  • @bittybitty2712
    @bittybitty27124 жыл бұрын

    Mtatuumiza mbavu😂😂😂😂😂😂😂

  • @axa29
    @axa294 жыл бұрын

    Heeee mtatuumiza mbavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salimkhamis3638

    @salimkhamis3638

    4 жыл бұрын

    Nakwambia hatari vooo😂😂😂

  • @tonysolomon2841

    @tonysolomon2841

    4 жыл бұрын

    Nakusalimia kama una nafasi

  • @axa29

    @axa29

    4 жыл бұрын

    Salim Khamis 🤣

  • @abuumo9637

    @abuumo9637

    4 жыл бұрын

    Uko ndio nyumbani

  • @khadijahkhdoo6387
    @khadijahkhdoo63874 жыл бұрын

    Nawapenda sana sanaaaa😘😘😘🥰

  • @naifatsleman5033
    @naifatsleman50334 жыл бұрын

    Zanzibar ni moto haaaaaaaah

  • @yussufsuleiman5843
    @yussufsuleiman58434 жыл бұрын

    Kiswabi :Ndani ya kichochoro cha moyo wangu nnavompenda naomba kichinchiri Wapemba tuonane na tujuane

  • @salehhamadi6070

    @salehhamadi6070

    4 жыл бұрын

    Tupo

  • @hamzaomar9731

    @hamzaomar9731

    4 жыл бұрын

    Tupo

  • @yussufsuleiman5843

    @yussufsuleiman5843

    4 жыл бұрын

    Yakhe uwawapi nawe

  • @ummunaaleicester4337

    @ummunaaleicester4337

    4 жыл бұрын

    @@yussufsuleiman5843 tupooo

  • @zuleikhakhamis3303

    @zuleikhakhamis3303

    4 жыл бұрын

    hamvipiii mwabesa

  • @atfatnassor4393
    @atfatnassor43934 жыл бұрын

    Mbavu zangu Mir😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆

  • @najmasalimsalim2741
    @najmasalimsalim27414 жыл бұрын

    Hahahahaha hawa watu jamani nishida

  • @salimkhamis3638

    @salimkhamis3638

    4 жыл бұрын

    Nakwambia wana balaa voo😂😂

  • @ayoubkhamis5154
    @ayoubkhamis51544 жыл бұрын

    Kiswabi asema kama wapiga jino moja , yeye apiga 30😀🏃‍♂️

  • @fauzia6072

    @fauzia6072

    4 жыл бұрын

    Wanawapenda sana Hawa jamaa hata nikinuna nikiangali picha zao huwa bafurahi sana sana sana

  • @ayoubkhamis5154

    @ayoubkhamis5154

    4 жыл бұрын

    @@fauzia6072 safi🍌

  • @issafatjoe2300
    @issafatjoe23004 жыл бұрын

    hahaha.kiswab uko saw kutuburudisha

  • @mohammadabeid3733
    @mohammadabeid37334 жыл бұрын

    Ala nkate wagole hhhhh😆😆

  • @leylaaliy9852
    @leylaaliy98524 жыл бұрын

    Hhhhhhhhh....wallah stress zimeondoka hhh

  • @tonysolomon2841

    @tonysolomon2841

    4 жыл бұрын

    Mwanamke anakuwaje na stresses hata umenishangaza

  • @adillhabib2006
    @adillhabib20064 жыл бұрын

    Kama umemuona pacha wangu akitoa misimbaz gonga

  • @hidayayussufu8683
    @hidayayussufu86834 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dhaaah nimecheka Sana asanteni

  • @hamzaomar9731
    @hamzaomar97314 жыл бұрын

    Kiswabiiii 🤣🤣

  • @asahdkhaled5041
    @asahdkhaled50414 жыл бұрын

    Najaribu jaribu lakn cmwanga

  • @khamisfaki2902
    @khamisfaki29024 жыл бұрын

    😀😀 kiswabi anaburudisha sana hongera

  • @macheteboy9024
    @macheteboy90244 жыл бұрын

    Kazi mzur ,big up Dinho pmja na member wote wa jufe.viva Wete Viva

  • @sylviaquentin9724
    @sylviaquentin97243 жыл бұрын

    Hahahahaaaaaa aiseeee dereva anafungua mlango wa nyuma

  • @totoshiroomar6949
    @totoshiroomar69494 жыл бұрын

    Lakn kiswabi acha kujipandisha kumpe huwezi gari wala fesha ila poa

  • @hemed4064
    @hemed40644 жыл бұрын

    hongeren mpo vizuri sana jaman

  • @khadijahkhdoo6387
    @khadijahkhdoo63874 жыл бұрын

    Asanteni wallahi mungu awazidishie kipaji 😂😂😂😂😂🙏,nilikua namaudhiko lkn nimefurai kutizam video zenu

  • @sideboy1299

    @sideboy1299

    4 жыл бұрын

    Pole jmn sory naomba tuwasiliane Kama utajali 0715288620

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman933411 ай бұрын

    Nimecheka km mwehu haichoshi kurudia kuangalia inafurahisha sana hongereni sana 😂😂😂😂😂😂

  • @hajiyahya8380
    @hajiyahya83804 жыл бұрын

    Habari za uwawako!! Hahahaha mwinyi bhana..

  • @nasratyaqram4799
    @nasratyaqram47994 жыл бұрын

    Mbavu zangu uwiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-el8bw2qe7h
    @user-el8bw2qe7h Жыл бұрын

    Kiswabi ni fundi kwa kweli😅😅😅

  • @mohamedothman248
    @mohamedothman2484 жыл бұрын

    from zenj👏👏👏

  • @robertlewandowski8610
    @robertlewandowski86103 жыл бұрын

    Dah!!Staili za kiswabi noma sana!!! Fans wa kiswabi tujuane hapa!!!! Funguo ya nyumba ataka fungulia gari adiraivu😂😂😁😀😂😁

  • @shemsahumood4262
    @shemsahumood42624 жыл бұрын

    😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu mieeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @alirashid8514
    @alirashid85144 жыл бұрын

    Hongereni sana.. Kazi nzuri

  • @subiraabudal9972

    @subiraabudal9972

    4 жыл бұрын

    Vpi

  • @alirashid8514

    @alirashid8514

    4 жыл бұрын

    Poa@@subiraabudal9972

  • @user-lr4jj9pn1g
    @user-lr4jj9pn1g6 ай бұрын

    Nawakubali kwa asilimia 💯

  • @omaralihamad3785
    @omaralihamad37854 жыл бұрын

    Hahahahahahaha ety yuwap yule!!😁😁😁😁

  • @hhuzuni2265

    @hhuzuni2265

    4 жыл бұрын

    Hahahahaa jamaniii

  • @AhmedAly-h8w
    @AhmedAly-h8w5 күн бұрын

    Kiswbi nakukubali xana boc wang

  • @danadana6450
    @danadana64504 жыл бұрын

    Kwaapo wabongo hawaoni ndani

  • @swalehsepti6140

    @swalehsepti6140

    4 жыл бұрын

    Nakubal kaz kitatnge

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82624 жыл бұрын

    Jamnani uwiii

  • @matolahtellah6997
    @matolahtellah69974 жыл бұрын

    Nzur sana

  • @qurankareem582
    @qurankareem5824 жыл бұрын

    hahahhaaa #ok mpo vizuri sana

  • @ysherahmad652
    @ysherahmad6524 жыл бұрын

    Hhhhhh eti najaribu jaribu lkn si mwanga 😂😂

  • @dogopepeforrealy7344

    @dogopepeforrealy7344

    4 жыл бұрын

    MZm

  • @azizakombo376
    @azizakombo3762 жыл бұрын

    Mko vizur Mashaallah 🤣🤣

  • @bibasule7266
    @bibasule72664 жыл бұрын

    mashaallah nimecheka sana

  • @mudrkothman4871
    @mudrkothman48714 жыл бұрын

    Ngoja,ustake,uka,😂😂😂

  • @khamisfaki2902
    @khamisfaki29024 жыл бұрын

    Kiswabi umeshadunda huna lako jambo

  • @zulfahhussein505
    @zulfahhussein5054 жыл бұрын

    Jaamani mbavu zangu mieeeee😂😂😂😂😂😂😂😂 washangaa mie kukuwita baa mkwee

  • @fathimbarak644

    @fathimbarak644

    4 жыл бұрын

    Hio lungha wanayozungumza hatuelewi

  • @zulfahhussein505

    @zulfahhussein505

    4 жыл бұрын

    @@fathimbarak644 lugha ipi huelewi yaani

  • @zulfahhussein505

    @zulfahhussein505

    4 жыл бұрын

    Bona luhga yaeleweka mwazo hadi mwisho

  • @manosharif8404
    @manosharif84043 жыл бұрын

    Nimewamis wa pemba wenzangu ninapenda mnavyoongea iwapo nimesahau kuongea hicho kiswahili one day I will back inshaallah naongea kutoka 🇳🇱

  • @adillhabib2006
    @adillhabib20064 жыл бұрын

    Yathrib umetisha mdgo wangu

  • @faahusali4689
    @faahusali46894 жыл бұрын

    Mungu wangu miye mbavu zangu

  • @Ngoniboy0623

    @Ngoniboy0623

    4 жыл бұрын

    Sorry naomba nickek kupitia namb ang 0627714797 nnashida naww

  • @salmabintuthman3243
    @salmabintuthman32434 жыл бұрын

    Mbona wazunguka kama pepo wa kidadaa 🤣🤣🤣🤣

  • @harithzaidu9671

    @harithzaidu9671

    4 жыл бұрын

    Salma Bint Uthman mambo

  • @brunokk4554
    @brunokk45548 ай бұрын

    Natokea Kenya na naipenda lahaja ya pemba

  • @suleimanirashid8184
    @suleimanirashid81843 жыл бұрын

    Uyu kiswabiii hahah powa t

  • @salmaelhinai833
    @salmaelhinai8334 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣kiswabi katafute nke saiziyo

  • @Oman-tt1hn
    @Oman-tt1hn4 жыл бұрын

    Jamani mbavu zangu😂😂😂😂

  • @musaally1447
    @musaally14474 жыл бұрын

    Ng'ombe anaitwa staki bakora ala wali anywa uji ala mkate wa gole halua jamn huyo ni ng'ombe au nn

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa10694 жыл бұрын

    Jamani leo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @alexreinson7360
    @alexreinson73604 жыл бұрын

    Hahhahahahaha.....imeweza sanaas

Келесі