MWINYI MPEKU + KISWABI + DONGO_Mbuzi wa Magavi
Kiswabi na Dongo wanagombana baada ya kudhulumiana ugawaji wa mbuzi ,Mwinyi anatokea na kuanza kusuluhisha ugomvi wao,Je Mwinyi atafanikiwa kusuluhisha ugomvi huo
USISAHAU KU SUBSCRIBE,SHARE,COMMET,LIKE
Kiswabi na Dongo wanagombana baada ya kudhulumiana ugawaji wa mbuzi ,Mwinyi anatokea na kuanza kusuluhisha ugomvi wao,Je Mwinyi atafanikiwa kusuluhisha ugomvi huo
USISAHAU KU SUBSCRIBE,SHARE,COMMET,LIKE
Пікірлер: 145
Jamani na cheka hatakama nimeksirika naangali muvi hiiii tu basi nafurahi
Jamaa wako vzuri Sana Asante dongo uko vizuri na kiswabi
wapemba wenzangu mashallah mnaweza kweli hongereni.......... nawaangalia kutoka DUBLIN IRELAND
@kabaisahaji100
3 жыл бұрын
Waooo
Hahahahahaha chini ya mkia hapataki kiswabi
dongo ukiwa na kiswabi hasa munafanya vizuri!!!
Kiswabi hahahaha huyu anaweza ucheshi sema nyotaaa badooo
Dah,,kiswabi khatar Sana😂😂
Dah nilikuwa nimenuna ila nimenunuka baada ya kwaangalia awa vijana wamenivunja mbavu kazi nzuri nimependa big up sana..kiswabi amepata mgao mkubwa kwenye meno 🤣🤣
Kiswabi duu! Uko poa kk hongela
Hahaha nimecheka kweli yan wanapiga tathmini wakat kitu sio chao
Mashallah mpo juu wazeee😂😂😂 kiswabiiiiii
@ayshaalsahafi5714
3 жыл бұрын
Amependeza kuwa zezeta kweli
Hahaha kiswabi unaniachaga hoi aisee
Ninawakubali sana family comedy 😄😄❤️
mashallh jamani kiswabi utatoa mbavu za watu😂😂😂😂🙂
Hahaha, kapatkana mwinyi,, uyooooo..
"Nichukue mijino koya tupu" hhhhhhh hatar wallah
hahahahaaa huyo mbuzi angekuwa wao...msuluhishaji angepata tabu sanaaaa
Chini ya mkia 😂😂😂😂
Nipo canada naipend xan pemb yetu
@issamuhsin4308
3 жыл бұрын
Aunt khabiba upo lkn
kiswabiiii😂😂😂😂😂
😅😅😅mwenyi katiwa maji ilaa hii mi jamaa iko vizur sana
Wallahi kiswabi n hatari
dongo uyo chizi maarifa humshindi kwa akili hahahahaha kitatange yupo wapi
Hhahhh kilicho chini ya mkia
Haahaaaaaaaaaaaaaaa! Mbavu zangu azifai
kaka zangu nyote muko sawa
nacheka jmn nawapenda😃😃😃😃😃😃😃😃😃🙃🙃
Hahaha nichukuwe mijino umenichekesha San kiswah
😆😆😆😆ayise noma kabisa atareee
duuh😂 bana mko fiti....
Hahahahah mwiny mpeku ajifany mjanja
Dah! respect
Mijino mikoya mitup hahahaaahaeee
Muko vizur sana
Mpo vzr Sanaaaaaa
Safi sana mupo vizur
ulimi nachukua mm ww chukua meno lkn mhhhh koya tupu hahahahha
Haha noma from saudi Arabia
@zainabukhajizainabu6599
5 жыл бұрын
Muko juu wapemba wenzang
Mbavu zamgu mieeeee 😂😂😂😂
Hii kaaa kugawa wajuwa sana kaa
Hahahaha ipo poa vijana wenzang mnafurahashisha mnatupunguza stress sisi tulio nje kwetu pemba kiswabi hatari
@dazuuhmd819
5 жыл бұрын
Uwapi hashim said
Mashallaah
mkubali uyo mchanga bora
Ha ha ha ha 😂😂😂😂 kumbe ulikua mfano tu
Nipo omani napenda sana
@abkarymkojani518
5 жыл бұрын
Naima Ali hali naima
@wizzoally8354
5 жыл бұрын
p
Nawakubali sana
haaahaaahaa jaman kazi kweli kweli
❤❤❤❤❤
uwe mwendo tu kiswabi unachekesha🤣
Hahaaa safi sana
👍✨✨✨ 🎉😊👏😁👏😃🎉 Congratulations!
Taratib nzeee wang sie hapa huyu ckama auzwa uyu jmn mwiny akifanya ana akili sn 😃😃alf 10 10
Jamani kitatange yupo wapi
Hahahaha atembea vipi huyu kaka
sasa mie nchukue mijino koya tupu hahahahaha kiswabi🤣🤣
Kiswabi very good
kiswabiiii uko sawa
Noma napita njia tu ety
hahahaha😂🤣mijino🙈
kiliopo chini ya mkia,itakuwa hapo twazini😂😁😀😀
nacheka nikiwa omni Asnten san
kiswabi uko vzr
Nafyetukaaaa
Nawaangalia kutoka isiolo kenya
Nimecheka sana kwenye mijino
Hahhaha ert mijino koya tupu
hawa wtu hatari jamani
chini ya mkia 😃
Ety ww unachukua kilichopo chin ya mkia 😂 inamana vutu a.k.a mkundu 😂
Chini ya nkia hasaaa😃😃
Mashallah
Atak mpa mwenziw mijino
safi sana
Kiswabi akicheka duh....
nomaaaa
🤣🤣🤣🤣chin ya nkia
Ghahahha chini ya nkia
nimewapata nikiwa south Africa
Jani mwanichekesha kwetu rahaha
Nimecheka
Chinii ya mkiaa
cha chini ya mkia hahahaha
H h h jmn nacheka sin mbav jamaakagawa pesa sawa sawa 😂😂😂
@MasoudKhamisAlBimani
5 жыл бұрын
Bint Salim Al Bimany Dada wambaje
@bintsalimalbimany9373
5 жыл бұрын
@@MasoudKhamisAlBimani cjmb mamy vip na wewe???mzima naona bimani mwezang samahan unatokea wapi wewe
Mashallah😍😍
mh nichukuwe mijino koya tu mh a-ah
pembe kiwabi hatri
kiswambi sikuhizi kitatange umemuacha benchi , unakwenda na gongo.
eti wwe utachukuwa kilichopo chini ya mkiy
Kiswabi chini ya mkia hapataki duh
hhhh mutatuuwa
Mkaten katikati
duh kiswabi noma...et anakichungulia cha chini ya nkia duh
@rashidally2935
4 жыл бұрын
H
@rashidally2935
4 жыл бұрын
dongo hongera sn
Eti kilicho chini ya mkia
Asanten
Eti utachukua meno yalio mengi
eti meno utachukuwa wwe
Saf san
😂😂😂😂😂achukuwe kilicho chini yamkia?
Ati ataka nikwapua mkono
chizi mjanja