Pale unapotegemea kupata ulilotegemea ukapata usilotegemea. Tafadhali. SUBSCRIBE,LIKE,SHARE,COMMENT
Жүктеу.....
Пікірлер: 497
@fatmasaid58644 жыл бұрын
Bwana harusi anangojea kitoka nyumba hahah nimecheka mpaka basi
@alikhamisali45512 жыл бұрын
Inallilah wainna Illaihi rajiuna Bikidecha anetangulia mbele ya haki leo tarehe 31may 2022.Allah amsamehe
@bbb6nnn5613 жыл бұрын
Allah atafungua njia waruhusun tuko weng wanawake
@mayjaally50264 жыл бұрын
Nice hii ndio sanaa yetu hi ndio asili ytu 😘
@khaithamrubea51094 жыл бұрын
Mashaallah nawapenda wapemba wenzangu munajua sana
@mgenifaraji7375
4 жыл бұрын
Hello
@wambaamwambaje12724 жыл бұрын
Jaman napenda sanaa Kutunza Lafudh yetu safi sana
@alexdismas7458
4 жыл бұрын
wambaa mwambaje? 1
@hamzasuleiman96052 жыл бұрын
Dongo kwa vijana wa Pemba ni nambr moja , serous anaweza , ubabe ndio kwao , Mwenye pesa ndio ohoooo , basi aigize uchale ndio balaaa , mumengwa ndio shidda Inshort Dongo uko vyema sana na hili hta Jufe nadhan wameligundua sidhan km kuna movie ya Jufe ambayo hujashiriki tena kila uliposhirik ni mhusika mkuu au msaidiz mkuu 👏👏💯✔
@salehmasoud73874 жыл бұрын
Hongera
@mbaroukmuhamed21564 жыл бұрын
Duh nawakubali sana vijana
@yahyamohammed45844 жыл бұрын
Kiswabi umenifurahisha kweli hodi na dishi la USO hy noma
@aliarkam95484 жыл бұрын
Hahahhaha hongereren sana leo mumenifuarahisha kwel Kwa madishi kitoka nyumba
@salumabdulla58574 жыл бұрын
subhanallah mbona munachoma moto nguo mpya hio ni kufuru munaekt vzr mumejistiri lkn mumechoma moto nguo mpya huu n mt han
@user-mo7iq2fd8g
Ай бұрын
ufaham kuhus "reality and imagination" sis😂😂
@gagapiano94613 жыл бұрын
Bi kidecha mung hazd kukuweka mama angu napenda San unavyoigiza pia na maneno yako.. majungu ya maneno au ya mchuz😅😅😅
@izkiwellcome554 жыл бұрын
Japokuwa kapigwa madishi lakini ameshajuwa kiasi gani anapendwa na mke wake❤❤❤
@sadamsellemni28284 жыл бұрын
Ohhhhhhhh dah so powaa iko gudiy ile mbayaaaa imetishaaaaaaa hongeren bhnaaa iko vyem sana
@makamemufadhil6274 жыл бұрын
Jaman mimi nikiangalia hii mbavu sina kwa kuchekaaa
@halimasssomar87934 жыл бұрын
Mi pia nakupiga..Choo kime jaa...waenda oa mke wa pili 😀😀😀😀😀💪💪💪💪
@saeedqaseem74234 жыл бұрын
Wenye sanaaa zao wamekuja..... Wale mafurukombe wakae chonjo.... Sanaaa inafunza na kuburudisha bila kukaa mtu uchi na kutukana mtu... Kazi nzuri. ...... Pemba nkwetu
@qassimmuhammad9634
4 жыл бұрын
Vyovyote itavyokuwa Haram tu din hairuhusu
@tausngozi7430
4 жыл бұрын
Habari samahni hao watu wa wapi kiswahili chao sikielewi
@learnonline8033
4 жыл бұрын
Saeed qaseem safi sana
@maryamjuma6463
4 жыл бұрын
Tausi Ngozi wa pemba hao😁😁😁😁
@abubahussen1486
4 жыл бұрын
Iam vc x
@salmabintuthman32434 жыл бұрын
Safi sana! Mie lugha inanimaliza kwa utamu na ufasaha!👏👏👏. Waume mukome kusema mwendaowa!
@meythuual-sharyff5172
4 жыл бұрын
Salma Bint Uthman lugha Aa'dhwimu wallah pemba raha😍😘
@hjhj62304 жыл бұрын
😃😃majungu ya nchuzi au majungu ya manenoo 😃😃😃
@JufeFilmCompany
4 жыл бұрын
Masufuria
@andiabakar7714 жыл бұрын
"Kilichomfanya Punda asiote nundu" na "sababu ya watoto kuzikwa Yao mava". I love the saying.....
@salumkhator88974 жыл бұрын
Mnatuwakilisha vizuri sana wapemba,we are proud of you
Hongereni yaani unaangalia na watoto wako huna wasi wasi wakutokea utovu wa nidham
@mxanginaxxor2185
4 жыл бұрын
Salama Khamis surutni
@swabirali12764 жыл бұрын
Napenda sinema zenu ..mimi natokea kenya
@salmasaidi2875
4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@guyoibrahim3100
4 жыл бұрын
Pamoja au sio
@JufeFilmCompany
4 жыл бұрын
Karibu tena
@alexreinson7360
4 жыл бұрын
Tuko pamoja sanaa sanaaaaaaaa ...naangalia zaidi ya maramoja....Allah awawezeshe zaidi na zaidi
@shabanhaji4790
4 жыл бұрын
Da
@sultanetmohd43354 жыл бұрын
Daa Yan na pnda sna film za nyumban hongera sna w nyumban
@ummunaaleicester43374 жыл бұрын
Kitoka nuumba nimeipendaa hongereni nyote mloshiriki mambo mazur sana👍
@allyhassan7370
4 жыл бұрын
Ono. A
@JufeFilmCompany
4 жыл бұрын
Asante, endelea kutazama channel yetu
@babayussfa3950
4 жыл бұрын
Umeonaaa eeeeeh
@mariamsaidi76254 жыл бұрын
Haaa haaa nimecheka mpo vzr
@hussainomar18494 жыл бұрын
napenda sana nikisikia munazungumza Cha nyumbani (home is home)
@meythuual-sharyff5172
4 жыл бұрын
Hussain Omar raha wallah😄
@ummulkurthumabeid29144 жыл бұрын
Htr kwel kwel jmn 😀😀😀😀😀😀
@ashalol60454 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mbavu zangu mie eti hatwishi uroho
@halimamamuma7314
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@salummbaruok94084 жыл бұрын
Leo nimecheka sana kuliko zote😂😂😂😂
@amraabdalla14024 жыл бұрын
Hongera Amina mungu akuzidishie uzidi kufika mbali
@salmajadi36954 жыл бұрын
Masufuria yamekupata kweli hahaha
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Utani hasara.ila hakuna mtu anaeoenda kushare penzi.ni hiyo badi tuu tutafanyaje na ndio sheria.ila mhh basi tena.
@zulfahhussein5054 жыл бұрын
Nakuvumilia tu sababu mwanamke hapingwi 😂😂😂😂😂😂😂yaani kazi zuri sanaa
@majuissimai35974 жыл бұрын
Hongereni muko vizuri🤓🤓🤓🤓🤓
@shafiikhamis23363 жыл бұрын
Huyu mama #Bikidecha anajua sana ku-act☑️
@hassanbinabdallah57892 жыл бұрын
Wallahy zanzibar raha...mbona raha...
@is-hakaali57574 жыл бұрын
😂😂😂😂 tizaa ile shati ama aliekugwa mbuyuu
@zuwenahamad61784 жыл бұрын
😂😂😂😂haya waume jaribun.. nvizur haswaa na maisha mmazur aongez tuu😂😂😂😂c kwa dishi hiloo .. yakhe kiswabii 😂😂😂😂😂nkpnd n poz zko z ktmbea n kusema 😂😂😂😂
@fatumaramadhanmashaallahal99664 жыл бұрын
Mapenzi shikamoooo
@yussrakhalfani70234 жыл бұрын
Mashaallah mko vizuri
@shemsahumood42624 жыл бұрын
😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣 jaman mtaniuwa mbavu zangu kila anaehodisha anachezea dishi 😆😆😆😆
@naysalnay5001
4 жыл бұрын
Shemsa Humood hahahhahaaaa hatar
@nassorkhalaf2704
3 жыл бұрын
😄😄😄😄watatuumiza mbavu vow
@shaabshashakour31114 жыл бұрын
Hapa kidogo munatufurahisha sisi tulia mbali na pemba leteni vitu
@kassimmbaruku51284 жыл бұрын
ndugu zangu wakipemba nawakuli sana kazi mzuri
@afnanidarous13164 жыл бұрын
Hahaaaa hadi najiskia kuumia mbavu kwa kucheka
@fatmaaly9686
4 жыл бұрын
Hujanishida mie
@akidahamad142 Жыл бұрын
Dongo ezeka nyumba kwanza dada asante sana
@swabirali12764 жыл бұрын
Jufe mnachelewa kutoa vipindi hivi vizuri
@dullerally20154 жыл бұрын
Hahahahaha ati kumkwenda dokea
@nuhusudi88954 жыл бұрын
Hongereni sana na hasa huyo mke jinsi anavokava vizuri sana nafasi zake
@masoudyrashidy90414 жыл бұрын
Jufe maa sha Allah
@sadakhamis12614 жыл бұрын
Hilo dishi kila ajae apigwa nalo la kichwa😂😂😂😂😂😂
@user-jz8sj5us1h
3 жыл бұрын
Chezea mitara weye😂😂😁😁😁
@fatumaramadhanmashaallahal99664 жыл бұрын
Pole sana kaka
@aliy33034 жыл бұрын
Mashallah. May Allah bless you
@mohdabdi41574 жыл бұрын
dongo nakukubali😁😁😁
@ochumpemba85574 жыл бұрын
Nikiwaona2 ndugu zangu basi huwa nakumbuka huko nyumbani #Kambini Kichokochwe kazeni buti
@khalifaali3335
4 жыл бұрын
Kwa hiyo ww wa kambini kichokochwe
@zulachama10674 жыл бұрын
Mashallah filamu nzuri kutoka pemba Muko sawa nyote.
@sabrakhamis3876
3 жыл бұрын
Snaaa tu
@lkshmykomar54723 жыл бұрын
Wataka kuzalilisha haya ndomahabuba mupepeyanayoee nikizan nihili mumewangu 😁😁😁😁😁
@zulachama10672 жыл бұрын
Elimisha jamii ipate mafunzo na maelekezo bora,hii filamu nzuri sana nazipenda.
@munirasuleiman87944 жыл бұрын
Haaaahaaaaa mbavu zangu eti ndio mahaba hayo mlokuwa mnapeana na mumeo chezea sufuria haaaaahaaaaa
@salehmasoud73874 жыл бұрын
Hongerasana
@zuwenahamad61784 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂mahaba wapeanayo ndio maan wanenepeana😂😂😂😂😂
@marafundujenzi43154 жыл бұрын
Ha ha ha ha kazi mzuri sana
@mitundafmoni76994 жыл бұрын
nipo muscat lkin kanza kazi ilibidi nistop nicheke ilove my home sweeeeet pba
@nohatredbutlove5786
4 жыл бұрын
Mitundafumoni maashallaah.
@jumakhamis6050
4 жыл бұрын
kigope
@nohatredbutlove5786
4 жыл бұрын
@@jumakhamis6050 sio Juma hamada kilevi? 😀😀
@nohatredbutlove5786
4 жыл бұрын
Au Shehe Juma?
@teefahbaby2811
4 жыл бұрын
Upo sehem gan n mm mpemba npo mascut
@alishehehamad81294 жыл бұрын
Nimefurahi sana.
@bugystar86594 жыл бұрын
shati kama alikugwa mbuyu😄😄😄
@hassanimussa57764 жыл бұрын
Mi napenda kiswahili chenu aisee
@adilhabibu7958
3 жыл бұрын
Njoo tukufunze
@amourmtungo6234 жыл бұрын
Kosa ni kutoa kitoka nyumba kabla ya mazungumzo. Somo hilo kabla ya kuoa angalia hali yako, watoto na nyumba kwa ujumla 😂. Hongera ni somo zuri.
@sadakhamis1261
3 жыл бұрын
Nikwel
@mtumwasuleiman45544 жыл бұрын
hongra sana amina nakuona mbli sana .alllah akuongoze inshalla umetendea vyema nafasi yako
@shehabakarimbarouk43054 жыл бұрын
Nipo daa ila nainjoy sana walahi
@ibrahiym_khan7984
4 жыл бұрын
Karebu pemba😄
@alexdismas7458
4 жыл бұрын
Sheha Bakari Mbarouk
@fatmakhamis10184 жыл бұрын
mvumulie tuuu mwanamke hapigwi mbavu zinaniuma kwa kucheka
@hussainomar18494 жыл бұрын
Yachunguze uyahakikishe ndio uyafikishe.
@ShuraymSuleimanSaid
4 жыл бұрын
Good message for sure
@makamemufadhil6274 жыл бұрын
Ushauri mwengine heee
@fatmajumaa10694 жыл бұрын
Jamani kiswabi ailavuuuuuuuu
@omarame4613
4 жыл бұрын
asente
@omarame4613
4 жыл бұрын
asante fatma
@moonashariff93094 жыл бұрын
Sufuria limebandikwa kila mtu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@fahadhamad6889
4 жыл бұрын
B
@is.hakaomar69004 жыл бұрын
Hhhhhh kiswabi huwishi uroho
@ladyfatush29434 жыл бұрын
Hizo kanga bora ungenipa miyee
@maryamhamed334 жыл бұрын
Ngoja nijiandae kupewa kitoka nyumba 😂😂😂😂si misufuria iyo dah eti mpaka mama apigwa sufuria🤣🤣🤣alafu shkamoo nimecheka adi mikojo
@mamensoldado2681
4 жыл бұрын
Hongera dongo unanikumbusha tulivokuwa darasan
@mamurama31424 жыл бұрын
Ila kidira na kanga vimechomwa moto 😢
@malak-lz6kx2 жыл бұрын
Jamani kweli bikidecha kafa au vp
@yalsadsaeed4 жыл бұрын
Hhhhh nimefurah San ila Nguo msingechoma nahis ingekuw nzur zayd ijapokuwa ni Sanaa ila maashaallah mmejitahid kuusimamia utamaduni wetu wa kiislam na pba
@mariabahati12644 жыл бұрын
Nzuri Ina mafunzo huyo mzee yeye mwenyewe ni maskini anatafuta mke mwengine
@kiri5807
3 жыл бұрын
wenyewe hukwambia kuwa kila ukiwa masikini uengeze mke na kweli siku hizi waume wengi huwa hawana uwezo sajitia kuoa ikisha wanawake wajichumia wenyewe almuradi ana wake 2 au 3 .
@yusramwinjuma47214 жыл бұрын
😂😂😂😂kitoka nyumba
@abrahmannassor42594 жыл бұрын
inaallah la yuhb israfah cvyo hvyo jaman
@tumtumkhan3115
4 жыл бұрын
Mtu akiwa na hasira haswa mwanamke akiambiwa ataka olelewa
@shaabanahmed62934 жыл бұрын
Uharam huo ata kama unaigiza .... pole sana ufukara unaukaribishaaa
@khamisothman99704 жыл бұрын
Dongo upo juu eti ngoja nikae mkao wa kupokelea zawadi
@mwanahawa2703
4 жыл бұрын
Mh
@hishamally4846
4 жыл бұрын
Kiswabi nakukubali sana bro
@ayoubkhamis51544 жыл бұрын
Kiswabyyy😃🍚 Ebu vaa shati itakiwavyo watoto washaanza kukuiga haha
@hamdukhamis74063 жыл бұрын
Amina saf nilikuwanakukubali toka shule
@safiayussuf9308 Жыл бұрын
Unalih wainailah rajiun. Bi kidecha. Umetuwacha tulikuwa tunakupenda sn kwa uigizaji wko. Leo hupo tena😭😭😭
@faizasaid82624 жыл бұрын
Uwii ushauri mwengine uwacheni
@musabhussein2898
3 жыл бұрын
Mungu ibarki pmba ytu pmoja wtu wetu daaah mm shbki wa dogoo baba unatishaa😀😀😀😀😀😀
@salumjuma35144 жыл бұрын
Mtatuvunja mbavu jamani
@saidali73694 жыл бұрын
Hahahahahha baad nacheka sn
@omarsheha28404 жыл бұрын
Pemba yetu oyeee
@omaridarus8847
3 жыл бұрын
Oyeee
@abdallahmdangadachi7030 Жыл бұрын
Huyo mama anajua sana
@majidshaib4614 жыл бұрын
Good job.. Mzeee kiswabi.. Big up
@sikukuuchuo30932 жыл бұрын
😅😅😅masufuri ya kichwa napenda kipemba jamani.
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Haaaaaaa usilo lijuwa ni usiku wakiza jungu lakichwa linakuhusu
@damsimuali57604 жыл бұрын
Hajuwi kanlala vip wala kanaanka vip miss you lafudhi ya kwetu
Пікірлер: 497
Bwana harusi anangojea kitoka nyumba hahah nimecheka mpaka basi
Inallilah wainna Illaihi rajiuna Bikidecha anetangulia mbele ya haki leo tarehe 31may 2022.Allah amsamehe
Allah atafungua njia waruhusun tuko weng wanawake
Nice hii ndio sanaa yetu hi ndio asili ytu 😘
Mashaallah nawapenda wapemba wenzangu munajua sana
@mgenifaraji7375
4 жыл бұрын
Hello
Jaman napenda sanaa Kutunza Lafudh yetu safi sana
@alexdismas7458
4 жыл бұрын
wambaa mwambaje? 1
Dongo kwa vijana wa Pemba ni nambr moja , serous anaweza , ubabe ndio kwao , Mwenye pesa ndio ohoooo , basi aigize uchale ndio balaaa , mumengwa ndio shidda Inshort Dongo uko vyema sana na hili hta Jufe nadhan wameligundua sidhan km kuna movie ya Jufe ambayo hujashiriki tena kila uliposhirik ni mhusika mkuu au msaidiz mkuu 👏👏💯✔
Hongera
Duh nawakubali sana vijana
Kiswabi umenifurahisha kweli hodi na dishi la USO hy noma
Hahahhaha hongereren sana leo mumenifuarahisha kwel Kwa madishi kitoka nyumba
subhanallah mbona munachoma moto nguo mpya hio ni kufuru munaekt vzr mumejistiri lkn mumechoma moto nguo mpya huu n mt han
@user-mo7iq2fd8g
Ай бұрын
ufaham kuhus "reality and imagination" sis😂😂
Bi kidecha mung hazd kukuweka mama angu napenda San unavyoigiza pia na maneno yako.. majungu ya maneno au ya mchuz😅😅😅
Japokuwa kapigwa madishi lakini ameshajuwa kiasi gani anapendwa na mke wake❤❤❤
Ohhhhhhhh dah so powaa iko gudiy ile mbayaaaa imetishaaaaaaa hongeren bhnaaa iko vyem sana
Jaman mimi nikiangalia hii mbavu sina kwa kuchekaaa
Mi pia nakupiga..Choo kime jaa...waenda oa mke wa pili 😀😀😀😀😀💪💪💪💪
Wenye sanaaa zao wamekuja..... Wale mafurukombe wakae chonjo.... Sanaaa inafunza na kuburudisha bila kukaa mtu uchi na kutukana mtu... Kazi nzuri. ...... Pemba nkwetu
@qassimmuhammad9634
4 жыл бұрын
Vyovyote itavyokuwa Haram tu din hairuhusu
@tausngozi7430
4 жыл бұрын
Habari samahni hao watu wa wapi kiswahili chao sikielewi
@learnonline8033
4 жыл бұрын
Saeed qaseem safi sana
@maryamjuma6463
4 жыл бұрын
Tausi Ngozi wa pemba hao😁😁😁😁
@abubahussen1486
4 жыл бұрын
Iam vc x
Safi sana! Mie lugha inanimaliza kwa utamu na ufasaha!👏👏👏. Waume mukome kusema mwendaowa!
@meythuual-sharyff5172
4 жыл бұрын
Salma Bint Uthman lugha Aa'dhwimu wallah pemba raha😍😘
😃😃majungu ya nchuzi au majungu ya manenoo 😃😃😃
@JufeFilmCompany
4 жыл бұрын
Masufuria
"Kilichomfanya Punda asiote nundu" na "sababu ya watoto kuzikwa Yao mava". I love the saying.....
Mnatuwakilisha vizuri sana wapemba,we are proud of you
@mamurama3142
4 жыл бұрын
Kwani kuna umiaa
@shamsahaidar3602
4 жыл бұрын
Napenda kiswahili cha Pemba na cha kijomvu
😂😂😂Haya ndomahabuba mupeanayo ndomana nkamuana anenepa😂😂😂
Hongereni yaani unaangalia na watoto wako huna wasi wasi wakutokea utovu wa nidham
@mxanginaxxor2185
4 жыл бұрын
Salama Khamis surutni
Napenda sinema zenu ..mimi natokea kenya
@salmasaidi2875
4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@guyoibrahim3100
4 жыл бұрын
Pamoja au sio
@JufeFilmCompany
4 жыл бұрын
Karibu tena
@alexreinson7360
4 жыл бұрын
Tuko pamoja sanaa sanaaaaaaaa ...naangalia zaidi ya maramoja....Allah awawezeshe zaidi na zaidi
@shabanhaji4790
4 жыл бұрын
Da
Daa Yan na pnda sna film za nyumban hongera sna w nyumban
Kitoka nuumba nimeipendaa hongereni nyote mloshiriki mambo mazur sana👍
@allyhassan7370
4 жыл бұрын
Ono. A
@JufeFilmCompany
4 жыл бұрын
Asante, endelea kutazama channel yetu
@babayussfa3950
4 жыл бұрын
Umeonaaa eeeeeh
Haaa haaa nimecheka mpo vzr
napenda sana nikisikia munazungumza Cha nyumbani (home is home)
@meythuual-sharyff5172
4 жыл бұрын
Hussain Omar raha wallah😄
Htr kwel kwel jmn 😀😀😀😀😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mbavu zangu mie eti hatwishi uroho
@halimamamuma7314
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Leo nimecheka sana kuliko zote😂😂😂😂
Hongera Amina mungu akuzidishie uzidi kufika mbali
Masufuria yamekupata kweli hahaha
Utani hasara.ila hakuna mtu anaeoenda kushare penzi.ni hiyo badi tuu tutafanyaje na ndio sheria.ila mhh basi tena.
Nakuvumilia tu sababu mwanamke hapingwi 😂😂😂😂😂😂😂yaani kazi zuri sanaa
Hongereni muko vizuri🤓🤓🤓🤓🤓
Huyu mama #Bikidecha anajua sana ku-act☑️
Wallahy zanzibar raha...mbona raha...
😂😂😂😂 tizaa ile shati ama aliekugwa mbuyuu
😂😂😂😂haya waume jaribun.. nvizur haswaa na maisha mmazur aongez tuu😂😂😂😂c kwa dishi hiloo .. yakhe kiswabii 😂😂😂😂😂nkpnd n poz zko z ktmbea n kusema 😂😂😂😂
Mapenzi shikamoooo
Mashaallah mko vizuri
😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣 jaman mtaniuwa mbavu zangu kila anaehodisha anachezea dishi 😆😆😆😆
@naysalnay5001
4 жыл бұрын
Shemsa Humood hahahhahaaaa hatar
@nassorkhalaf2704
3 жыл бұрын
😄😄😄😄watatuumiza mbavu vow
Hapa kidogo munatufurahisha sisi tulia mbali na pemba leteni vitu
ndugu zangu wakipemba nawakuli sana kazi mzuri
Hahaaaa hadi najiskia kuumia mbavu kwa kucheka
@fatmaaly9686
4 жыл бұрын
Hujanishida mie
Dongo ezeka nyumba kwanza dada asante sana
Jufe mnachelewa kutoa vipindi hivi vizuri
Hahahahaha ati kumkwenda dokea
Hongereni sana na hasa huyo mke jinsi anavokava vizuri sana nafasi zake
Jufe maa sha Allah
Hilo dishi kila ajae apigwa nalo la kichwa😂😂😂😂😂😂
@user-jz8sj5us1h
3 жыл бұрын
Chezea mitara weye😂😂😁😁😁
Pole sana kaka
Mashallah. May Allah bless you
dongo nakukubali😁😁😁
Nikiwaona2 ndugu zangu basi huwa nakumbuka huko nyumbani #Kambini Kichokochwe kazeni buti
@khalifaali3335
4 жыл бұрын
Kwa hiyo ww wa kambini kichokochwe
Mashallah filamu nzuri kutoka pemba Muko sawa nyote.
@sabrakhamis3876
3 жыл бұрын
Snaaa tu
Wataka kuzalilisha haya ndomahabuba mupepeyanayoee nikizan nihili mumewangu 😁😁😁😁😁
Elimisha jamii ipate mafunzo na maelekezo bora,hii filamu nzuri sana nazipenda.
Haaaahaaaaa mbavu zangu eti ndio mahaba hayo mlokuwa mnapeana na mumeo chezea sufuria haaaaahaaaaa
Hongerasana
😂😂😂😂😂😂mahaba wapeanayo ndio maan wanenepeana😂😂😂😂😂
Ha ha ha ha kazi mzuri sana
nipo muscat lkin kanza kazi ilibidi nistop nicheke ilove my home sweeeeet pba
@nohatredbutlove5786
4 жыл бұрын
Mitundafumoni maashallaah.
@jumakhamis6050
4 жыл бұрын
kigope
@nohatredbutlove5786
4 жыл бұрын
@@jumakhamis6050 sio Juma hamada kilevi? 😀😀
@nohatredbutlove5786
4 жыл бұрын
Au Shehe Juma?
@teefahbaby2811
4 жыл бұрын
Upo sehem gan n mm mpemba npo mascut
Nimefurahi sana.
shati kama alikugwa mbuyu😄😄😄
Mi napenda kiswahili chenu aisee
@adilhabibu7958
3 жыл бұрын
Njoo tukufunze
Kosa ni kutoa kitoka nyumba kabla ya mazungumzo. Somo hilo kabla ya kuoa angalia hali yako, watoto na nyumba kwa ujumla 😂. Hongera ni somo zuri.
@sadakhamis1261
3 жыл бұрын
Nikwel
hongra sana amina nakuona mbli sana .alllah akuongoze inshalla umetendea vyema nafasi yako
Nipo daa ila nainjoy sana walahi
@ibrahiym_khan7984
4 жыл бұрын
Karebu pemba😄
@alexdismas7458
4 жыл бұрын
Sheha Bakari Mbarouk
mvumulie tuuu mwanamke hapigwi mbavu zinaniuma kwa kucheka
Yachunguze uyahakikishe ndio uyafikishe.
@ShuraymSuleimanSaid
4 жыл бұрын
Good message for sure
Ushauri mwengine heee
Jamani kiswabi ailavuuuuuuuu
@omarame4613
4 жыл бұрын
asente
@omarame4613
4 жыл бұрын
asante fatma
Sufuria limebandikwa kila mtu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@fahadhamad6889
4 жыл бұрын
B
Hhhhhh kiswabi huwishi uroho
Hizo kanga bora ungenipa miyee
Ngoja nijiandae kupewa kitoka nyumba 😂😂😂😂si misufuria iyo dah eti mpaka mama apigwa sufuria🤣🤣🤣alafu shkamoo nimecheka adi mikojo
@mamensoldado2681
4 жыл бұрын
Hongera dongo unanikumbusha tulivokuwa darasan
Ila kidira na kanga vimechomwa moto 😢
Jamani kweli bikidecha kafa au vp
Hhhhh nimefurah San ila Nguo msingechoma nahis ingekuw nzur zayd ijapokuwa ni Sanaa ila maashaallah mmejitahid kuusimamia utamaduni wetu wa kiislam na pba
Nzuri Ina mafunzo huyo mzee yeye mwenyewe ni maskini anatafuta mke mwengine
@kiri5807
3 жыл бұрын
wenyewe hukwambia kuwa kila ukiwa masikini uengeze mke na kweli siku hizi waume wengi huwa hawana uwezo sajitia kuoa ikisha wanawake wajichumia wenyewe almuradi ana wake 2 au 3 .
😂😂😂😂kitoka nyumba
inaallah la yuhb israfah cvyo hvyo jaman
@tumtumkhan3115
4 жыл бұрын
Mtu akiwa na hasira haswa mwanamke akiambiwa ataka olelewa
Uharam huo ata kama unaigiza .... pole sana ufukara unaukaribishaaa
Dongo upo juu eti ngoja nikae mkao wa kupokelea zawadi
@mwanahawa2703
4 жыл бұрын
Mh
@hishamally4846
4 жыл бұрын
Kiswabi nakukubali sana bro
Kiswabyyy😃🍚 Ebu vaa shati itakiwavyo watoto washaanza kukuiga haha
Amina saf nilikuwanakukubali toka shule
Unalih wainailah rajiun. Bi kidecha. Umetuwacha tulikuwa tunakupenda sn kwa uigizaji wko. Leo hupo tena😭😭😭
Uwii ushauri mwengine uwacheni
@musabhussein2898
3 жыл бұрын
Mungu ibarki pmba ytu pmoja wtu wetu daaah mm shbki wa dogoo baba unatishaa😀😀😀😀😀😀
Mtatuvunja mbavu jamani
Hahahahahha baad nacheka sn
Pemba yetu oyeee
@omaridarus8847
3 жыл бұрын
Oyeee
Huyo mama anajua sana
Good job.. Mzeee kiswabi.. Big up
😅😅😅masufuri ya kichwa napenda kipemba jamani.
Haaaaaaa usilo lijuwa ni usiku wakiza jungu lakichwa linakuhusu
Hajuwi kanlala vip wala kanaanka vip miss you lafudhi ya kwetu
Ela hunkwenda dokoa😂😂😂😂