BADILIKA _ Mwinyi Mpeku I Dongo I Naomba

Комедия

Director of Photography: Eddy Best
Boom Swinger: Dinyo JF
Editor: Eddy Best
Ass.Director EddyBest
Director: Said Majumba
Tafadhali SUBSCRIBE,LIKE,SHARE,COMMENT ili uwe wa kwanza kupata video zetu mpya.
#jufefilmproduction#Comedy#Pemba@jufefilmtz

Пікірлер: 198

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis86532 жыл бұрын

    wazanzibar wengi wakitoa filam sio kwamba wanategemea iwatoe kimaisha au kibiashara. hapana. wanafanya hivo kuburudisha watu na kuelimisha jamii na kuendeleza utamaduni wetu tofauti na wabongo wapo kimaslahi Zaidi na ukiangalia michezo ya kibongo haina stara hata kuangalia na wazee wako huwezi jinsi wanavo kaa uchi wanapotosha jamii

  • @nassorhaji2637

    @nassorhaji2637

    2 жыл бұрын

    Fantastic kabisa uko sahihi kabisa ndugu yangu

  • @mwanaishakhamis8069

    @mwanaishakhamis8069

    2 жыл бұрын

    Swadakta 👌🇰🇪 county mambasa 001

  • @user-zu4vs4jo8c

    @user-zu4vs4jo8c

    Жыл бұрын

    Kabis sis wazanzbar hatuna tamaa za ovyo ovyo

  • @alisalum8073

    @alisalum8073

    Жыл бұрын

    Upo sahihi bro

  • @zuleikhaissa684
    @zuleikhaissa6842 жыл бұрын

    🤣🤣 Naomba unavisa nakupenda bure

  • @salimsaleh6423
    @salimsaleh64232 жыл бұрын

    Aliye sikiya kustiriyana ni huku huku agonge👍

  • @AlliSuleiman
    @AlliSuleiman2 ай бұрын

    Nakukubali wangu naomba

  • @thuwaybah5679
    @thuwaybah56792 жыл бұрын

    Hahahaha eti sijui kama wafagia au wachora😁😁😁nawakubali 💯💯💯

  • @vumawimbibeachtv4712
    @vumawimbibeachtv47122 жыл бұрын

    kazi mzuri sana... ila makunde yumo...? namkubali sana dogo... Zaid ya kingwendu 😃🤣🤣

  • @SalumZakia-vy1lt
    @SalumZakia-vy1lt11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 weee naomba unavituko et mbona huninyamazish

  • @maryamnassoornassoor3336
    @maryamnassoornassoor3336 Жыл бұрын

    duh jmn wazaz mutunyamzishe tukija na vilio muctupige 🤣😀😃

  • @AlliSuleiman
    @AlliSuleiman2 ай бұрын

    Hongera naomba

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan62372 жыл бұрын

    🤣 🤣 🤣 🤣 Wagalagalaa weeee arafu mbona uniuliziiiii Kuuliza hiyo Kwioooo🤣🤐😆😆😆😆👌👌👌nawapenda mie❤️❤️❤️😘😘😘

  • @casnayharuni7022
    @casnayharuni70222 жыл бұрын

    Dongo umeupiga mwingi mashallah. Goro na makunde pia. Mzee Mwinyi nimependa hekima zako uko vzuri hongera pia.

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid36192 жыл бұрын

    kumbe dongo Quran anaijua mashallah

  • @omarabdallah372
    @omarabdallah3722 жыл бұрын

    wallahy filamu nzuri sanaah Ma Shaa Allah

  • @mwanajumakomar3831
    @mwanajumakomar38312 жыл бұрын

    Naona wataja mayai tu vitu vyengine hutaji😂😂😂😂😂

  • @mussashamis3301
    @mussashamis33019 ай бұрын

    Jamani naomba anajua mugu atamlipa kwa elimu yake ya kuelimisha jamii yetu

  • @malak-lz6kx
    @malak-lz6kx2 жыл бұрын

    Mashaallah filam nzr sna nyie mnaelimisha jamii kwa Africa yote.

  • @KHADIJA-l6f
    @KHADIJA-l6f23 күн бұрын

    Mapezi ndiyo hayaa jamani

  • @hadharaalli5201
    @hadharaalli52012 жыл бұрын

    Hahahahahhahaaa asnaten wanyumbani mimenitoa mawazo huku niliko wallah

  • @kassimcassidy
    @kassimcassidy2 жыл бұрын

    Filamu yenye mafunzo makubwa sana,big up from 254

  • @ahmedmikidadi4962
    @ahmedmikidadi49622 жыл бұрын

    Hahahahhhahahahahahahahahahhah acha nicheke tu

  • @sadabkari5532
    @sadabkari55322 жыл бұрын

    Naomba weee umenifurahisha 💕💕💕

  • @mustafamohd8503
    @mustafamohd85032 жыл бұрын

    Mzee mwinyi inaonesha mtt wake kweli maana anajua kumuumbua

  • @salumkhamis305
    @salumkhamis305 Жыл бұрын

    Daaaah move za naomba hakuna mbaya yuko vizuri kweli

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif72412 жыл бұрын

    Hahaha, hongeren sana. Dongo mzgo huuwezi uo acha nije kukusaidy

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed8292 жыл бұрын

    Hahah😆😆Bwana akilala hamkiii

  • @habibhamza9766

    @habibhamza9766

    2 жыл бұрын

    Shuka lina sumu

  • @salummkubwa
    @salummkubwa2 жыл бұрын

    Naomba ameicheza nafasi yake kiuwezo mkubwa, mbarikiwe nyote katika utafutaji wa riziki👍👍👍

  • @rashidsaid-sy1nr
    @rashidsaid-sy1nr8 ай бұрын

    Mzee mwiny upo vzr nakukubal sn

  • @mustafamohd8503
    @mustafamohd85032 жыл бұрын

    Hongera sana dongo safi sana

  • @jumarisasi7160
    @jumarisasi71602 жыл бұрын

    Salam ziwafikie wenye tabia hii

  • @issaofficialvideo6375

    @issaofficialvideo6375

    2 жыл бұрын

    Ameen 😂

  • @saidally8051

    @saidally8051

    2 жыл бұрын

    Risasi Kambuki

  • @yassirmunir7512
    @yassirmunir7512 Жыл бұрын

    Jufe film mnajitahidi sana. Kazi zenu nzuri sana. Musichoke ipo siku mtafanikiwa

  • @aminamasoud6127
    @aminamasoud6127 Жыл бұрын

    Bebeyy be eeee 😅😅😅😅ni

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi22872 жыл бұрын

    Kunikumbusha mbali ninamtoto wa ami yangu akilia husema mbanahuninyamazishi basi na cheka haaaaaaaaa

  • @maryamalli9090
    @maryamalli90902 жыл бұрын

    Wake wa siku hizi Hawa mpaka Pemba kumebadilika siku hizi

  • @zerotv-ds9xg
    @zerotv-ds9xg Жыл бұрын

    Mwinyi heshima kwako baba kaz ni poa japo nahisi kuna pande hamzitazami zaidi

  • @rashidmohammed9875
    @rashidmohammed98752 жыл бұрын

    Ujumbe uwafikie wote unao wahusu🤣🤣🤣🤣

  • @rahmaabdulrahman5592
    @rahmaabdulrahman55922 жыл бұрын

    Mnafundisha voo

  • @sabraabdilnasir8826
    @sabraabdilnasir88262 жыл бұрын

    Mashaallah mafunzo mazuri sana ndoa zinahitaji subra ndugu zangu ila kwa sasa ndio haipo na huu mchezo ndio yaliyopo matupu

  • @samiramohamed5925
    @samiramohamed592510 ай бұрын

    Dah Dongo yupo vxur sana kwa kweli.Naomba nae dah namkubal sana.hababaishwi na Camera.Mxee mwinyi nae ndo ohoo usiseme.yuko poa ssnaaaa

  • @Alikidu
    @Alikidu2 жыл бұрын

    Dah!! Jufe uko sawa.. Hii inafundisha haaaaswa

  • @mulhatmassoud6034
    @mulhatmassoud60342 жыл бұрын

    Hahhahhaha Naomba nakupenda mama yang mieeee kwa kukopa ni hatari ila unajua mmy uko mwee 💋💋💋❤❤❤

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji26372 жыл бұрын

    Safi sana Maashaallah Baaraka llahu feeq . .

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko2 жыл бұрын

    Mashaallaah shukuran ujumbe umeshatufika great sana

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein67842 жыл бұрын

    MashaAllaah tabaraAllaah kweli kazi zuri sana Shukran kwa mafuzo mazuri yaani

  • @rambazojournalist666
    @rambazojournalist6662 жыл бұрын

    Nzuri, ila picha haina ubora

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah48762 жыл бұрын

    Etii bebe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sina mbavu

  • @yayeissa4128

    @yayeissa4128

    2 жыл бұрын

    Hhhh mimi kwanza nimeskia bibi...kumbe bebe

  • @ibrahiym_khan7984
    @ibrahiym_khan79842 жыл бұрын

    Hhhhh mashalalh, nimepitwa kdg kuitazama

  • @saidmwinyi7062
    @saidmwinyi70622 жыл бұрын

    Mchezo akiigiza dongo na akawa mkewe huyu mwanamke unanoga mmooooo kwa7bu wanaendana sana Mchezo mzuri na unafunzaaa

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48372 жыл бұрын

    Hatari kwl kwl 😂😂 mwanamke usikione kitu tyr umekitamani, alaf eti sy kuishi hapa tumepapenda tuu

  • @ghostlion1999
    @ghostlion19992 жыл бұрын

    Nakuuliza weye mijicho 🤣🤣🤣 hapo pamenimaliza

  • @mohdabdallah5195
    @mohdabdallah51952 жыл бұрын

    I love my pemba good job 👏 👍 ❤ 🙌 💓 ♥

  • @mohdhakim8216
    @mohdhakim82162 жыл бұрын

    Shukran wapemba wenzanguuu fantastic 😊😊😊😊

  • @latifahasani8929
    @latifahasani8929 Жыл бұрын

    Masha Allah napenda sana movies zenu

  • @aliabdallahali6995
    @aliabdallahali69952 жыл бұрын

    Bebe la too 😃😃😃😃😃🙃😃

  • @habibhamza9766
    @habibhamza97662 жыл бұрын

    Kazi nzuri

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo2 жыл бұрын

    Mashaallah inamafundisho👌

  • @mfuu9160
    @mfuu91602 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 naomba bwan 🤣🤣🤣🤣

  • @sadabkari5532
    @sadabkari55322 жыл бұрын

    Hhhhhhhhh 😀😀😀 bebeeeeee bybeeee

  • @leilaalii3109
    @leilaalii31092 жыл бұрын

    Hahaahaa Bebe kaingia mitini😁

  • @salumkhator8897

    @salumkhator8897

    2 жыл бұрын

    Hapo hakukuwa na option nyengine zaidi ya hiyo

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    2 жыл бұрын

    Ingekuwa ww ungefanyaj😂😂

  • @allymohammed7323
    @allymohammed73232 жыл бұрын

    Nyotee nawakubali Ila makunde hatari

  • @issaofficialvideo6375
    @issaofficialvideo63752 жыл бұрын

    🤣🤣 Masha Allah,, kazi nzuri Hongera Mwinyi na vijana wako wote mulioshiriki kuiandaa hii kazi .. Na pia nimpongeze "Edi best kwa story yake bomba kabisa.. Allah awape kila la kheri....Ipo cku Allah(s.w) atawafikisha pale munapo taka mufike..Insha Allah.... Mm napenda kuwapa saport kila mnapo towa new job kwasababu hii kazi naikubali vbaya na naitaka sana.. Lakini Insha Allah Kwa kila alie na lengo zuri nao hii kazi Allah atamnyanyuwa, INSHA ALLAH ''SAY AMEEN'"

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @aishaseif7852
    @aishaseif78522 жыл бұрын

    Nakuuliza wewe mijicho 😀😀Manake kwanza ncheke

  • @hsali4082
    @hsali40822 жыл бұрын

    Muko vizuri san ila mwakaa sana

  • @abdallaaboud3818
    @abdallaaboud38182 жыл бұрын

    Hongera

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis23362 жыл бұрын

    Fantastic, mi nimeona jambo moja hapa... #MwinyiMpeku bila shaka alienda kwa mtoto wake kumchunguza Mume kama hakidhi vigezo alivyokua akivifikira yeye...kile cha uhuni, bangi, na mengine... Hile scene ya malumbano kati ya #DongavsNaomba... Haikukaa poa sana....soon baad ya Mzee Mwinyi kufungua mlango, Naomba alimpiga jicho baba yake tjen ndo akaanza malumbano na mume wake...nae Dongo pia alikua akihusiha malumbano kwa kumuangalia mzee Mwinyi...haikupendez kias fulani Basi kungekua na option mbili 1. Wangeanza malumbano kabla ya mzee kuingia (wakat yupo nje), then yey ayakute tu malumbano 2. Basi hata hiyo baada ya kuingia....wngechukua walau dakika 2 kwa wstan nd wakaanza kugombana pasi na kumtupia jicho mzee...hata kama kila mmoja akilin mwake inampitikia kua kila akifanyacho mmoja wetu kipo kweny "Script' na tunakielewa Nadhani alicho akitafut #Mwinyi ni ushahid tu kutoka kwa mkwe wake #Dongo jinsi anavyoish na mkewe... Nawasilisha...

  • @archidukeofficial501

    @archidukeofficial501

    2 жыл бұрын

    🙈..🙉...🙊..

  • @mohammedibimkubwa4947

    @mohammedibimkubwa4947

    Жыл бұрын

    Mawazo yako ni mazuri, ila nahisi hukuelewa. Walichomaanisha. Ni kwamba mke alifanya vile Ili kusudi kumuadhirisha Kwa mzazi wake Ili aonekano kuwa mwanaume hamshuhulikii.

  • @mohammedibimkubwa4947

    @mohammedibimkubwa4947

    Жыл бұрын

    Unakumbuka alienda kuongea uogo wa baba yake

  • @jumakhalid2219
    @jumakhalid22192 жыл бұрын

    Muko vizuri jufe hongereni kwa elimu km hii nzuri

  • @zerotv-ds9xg
    @zerotv-ds9xg Жыл бұрын

    Mda wote mnajadir ndoa2 watoto je

  • @abdulkadirally8569
    @abdulkadirally85692 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 Mbona huninyamazishi

  • @rehemaseif1785

    @rehemaseif1785

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣kanichekesha

  • @kpryezy8161
    @kpryezy81612 жыл бұрын

    Jufe mupo juu sana films zenu zinafundisha sana MashaAllah,wallah ndugu zangu mnajuwa sanaaa big up jufe

  • @JufeFilmCompany

    @JufeFilmCompany

    2 жыл бұрын

    Ahsante kaka..

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha36982 жыл бұрын

    Nzuri sana pia ina maadili

  • @shamsaalrahbi5573
    @shamsaalrahbi55732 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂❤️❤️❤️Aaa

  • @mohdmaalim8452
    @mohdmaalim84522 жыл бұрын

    Nawafatilia nikiwa pande za Sikonge Tabora mmenikumbusha nilipotoka nimefrai sana.

  • @imansaid8020
    @imansaid80202 жыл бұрын

    Bebe 😂😂😂😂😂dawa yaaako

  • @salymking1892
    @salymking18922 жыл бұрын

    Safiiiii

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs4 күн бұрын

    😂😂😂😂❤🎉🎉🎉😮😮😮

  • @ajuahaoowbw3230
    @ajuahaoowbw32302 жыл бұрын

    Naomba mijicho kama dume wa gari

  • @mustafamohd8503
    @mustafamohd85032 жыл бұрын

    Umejua kumpata anajua kulia hyo dada

  • @jillokomora
    @jillokomora2 жыл бұрын

    From Mombasa 🇰🇪 napenda sana movies zenu bravo👏

  • @salmasalim6055
    @salmasalim60552 жыл бұрын

    Weleeeeooo 🤣🤣

  • @aishaabdi2059
    @aishaabdi20592 жыл бұрын

    Hahahahahahahahaha mbavu zangu

  • @jimj8285

    @jimj8285

    2 жыл бұрын

    Wee Aisha Abdi unacheka nini sasa? Wee kalia Kula bariis na hiliib! Basi! Nyooo!!!! Weee no harkaaa!!! Tu!!! Khumayadhaa!!!

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75892 жыл бұрын

    Wa fayagia au wachoraa

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis86532 жыл бұрын

    muko vizur ila tu tatizo mnacherewa kutoa filam tunataka vitu karaka haraka

  • @maryamalli9090

    @maryamalli9090

    2 жыл бұрын

    Tatizo pesa na udhamini michezo inahitaji pesa ndugu

  • @zuberkhamis1369
    @zuberkhamis13692 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @muharramkassim5716
    @muharramkassim57162 жыл бұрын

    Kiswabi mbona hamumshirikishi sikubizi Yule jamaa fundi

  • @sumaiyasalim9966
    @sumaiyasalim99662 жыл бұрын

    Bebe🤣🤣🤣🤣

  • @gyeong5972
    @gyeong59722 жыл бұрын

    Dongo fundiii, Kiswabi fundiii, Mwinyi Mpiku Fundii, Kachara fundiiii, Makame Nuhusi Fundiii, Mau Mpemba Fundiii na nyoteee mafundii hongeren sanaaa❤️❤️❤️❤️🧡🤍🤍

  • @halimahamad8780
    @halimahamad87802 жыл бұрын

    Mung atawasaidia nyote

  • @allykhamis1677
    @allykhamis16772 жыл бұрын

    Tutaeleweka tu

  • @sistajoy1
    @sistajoy12 жыл бұрын

    😂😂😂🤣🤣👏👏

  • @mohamedfakii4524
    @mohamedfakii45242 жыл бұрын

    Dongo my brother

  • @abdulfirstzanzibar4599
    @abdulfirstzanzibar45992 жыл бұрын

    Bebe beibeeee

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut Жыл бұрын

    Dongo umeshika mashaf.jee umetia udhuu?

  • @hamxik0096
    @hamxik00962 жыл бұрын

    1st

  • @jumarisasi7160

    @jumarisasi7160

    2 жыл бұрын

    Salamu ziwafikie

  • @mohamedfakii4524
    @mohamedfakii45242 жыл бұрын

    Asante mwinyi!!!!

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii352 жыл бұрын

    Move za apa Zanzibar yaan unguja na Pemba kaz bure t naon hawana wa kuwasaport wakatoka kimaisha mfano mdgo wale waliokuwa wakiigiza mchezo wa bitelee mpk leo hawana Moja la maan mmoja yupo namuona asa kw macho yangu huwa anapanda dal Dala kwnda mjini kuchku samaki akauza yaan hawana ile saport ya sanaaaa

  • @ahmadjuma7420

    @ahmadjuma7420

    2 жыл бұрын

    Usikatishe watu tamaa mwanzo mgumu kwahy waache kabisa

  • @hamidmweusiii35

    @hamidmweusiii35

    2 жыл бұрын

    @@ahmadjuma7420 ah so kukatisha tamaa uo ndo uhalisia uliopo

  • @sephania8085

    @sephania8085

    2 жыл бұрын

    Kwaiyo kuuza samak Sio Kaz au

  • @hamidmweusiii35

    @hamidmweusiii35

    2 жыл бұрын

    @@sephania8085 kazi pia ila kw muigizaji noma kaz izo tufny sie pangu pakavu tia mchuzi

  • @sephania8085

    @sephania8085

    2 жыл бұрын

    @@hamidmweusiii35 ao bongo movie wenyewe sio wote wenye maisha mazur

  • @nasseiral-wardy9579
    @nasseiral-wardy95792 жыл бұрын

    Kiswabi hatujamuon muda tena

  • @muharramkassim5716
    @muharramkassim57162 жыл бұрын

    Mashallah

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad27362 жыл бұрын

    Asanteni sana Jufe tunaemdelea kufurahi kwa kazi mzuri na tutazidi kuwapa support🥰🥰💞💞

  • @saidally8051

    @saidally8051

    2 жыл бұрын

    Shukran...

  • @saidally8051

    @saidally8051

    2 жыл бұрын

    Shukran...

  • @auroxenterprises8003
    @auroxenterprises80032 жыл бұрын

    Mupiga mwinyi hatari

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah91692 жыл бұрын

    Babe Kaingia mitini laki na 50 hanayo unachukua vitu vya watu bila pesa

  • @jamaljmoh8115
    @jamaljmoh81152 жыл бұрын

    Huyo ni bebe ama beberu

Келесі