BADILIKA _ Mwinyi Mpeku I Dongo I Naomba
Комедия
Director of Photography: Eddy Best
Boom Swinger: Dinyo JF
Editor: Eddy Best
Ass.Director EddyBest
Director: Said Majumba
Tafadhali SUBSCRIBE,LIKE,SHARE,COMMENT ili uwe wa kwanza kupata video zetu mpya.
#jufefilmproduction#Comedy#Pemba@jufefilmtz
Пікірлер: 198
wazanzibar wengi wakitoa filam sio kwamba wanategemea iwatoe kimaisha au kibiashara. hapana. wanafanya hivo kuburudisha watu na kuelimisha jamii na kuendeleza utamaduni wetu tofauti na wabongo wapo kimaslahi Zaidi na ukiangalia michezo ya kibongo haina stara hata kuangalia na wazee wako huwezi jinsi wanavo kaa uchi wanapotosha jamii
@nassorhaji2637
2 жыл бұрын
Fantastic kabisa uko sahihi kabisa ndugu yangu
@mwanaishakhamis8069
2 жыл бұрын
Swadakta 👌🇰🇪 county mambasa 001
@user-zu4vs4jo8c
Жыл бұрын
Kabis sis wazanzbar hatuna tamaa za ovyo ovyo
@alisalum8073
Жыл бұрын
Upo sahihi bro
🤣🤣 Naomba unavisa nakupenda bure
Aliye sikiya kustiriyana ni huku huku agonge👍
Nakukubali wangu naomba
Hahahaha eti sijui kama wafagia au wachora😁😁😁nawakubali 💯💯💯
kazi mzuri sana... ila makunde yumo...? namkubali sana dogo... Zaid ya kingwendu 😃🤣🤣
😂😂😂😂😂 weee naomba unavituko et mbona huninyamazish
duh jmn wazaz mutunyamzishe tukija na vilio muctupige 🤣😀😃
Hongera naomba
🤣 🤣 🤣 🤣 Wagalagalaa weeee arafu mbona uniuliziiiii Kuuliza hiyo Kwioooo🤣🤐😆😆😆😆👌👌👌nawapenda mie❤️❤️❤️😘😘😘
Dongo umeupiga mwingi mashallah. Goro na makunde pia. Mzee Mwinyi nimependa hekima zako uko vzuri hongera pia.
kumbe dongo Quran anaijua mashallah
wallahy filamu nzuri sanaah Ma Shaa Allah
Naona wataja mayai tu vitu vyengine hutaji😂😂😂😂😂
Jamani naomba anajua mugu atamlipa kwa elimu yake ya kuelimisha jamii yetu
Mashaallah filam nzr sna nyie mnaelimisha jamii kwa Africa yote.
Mapezi ndiyo hayaa jamani
Hahahahahhahaaa asnaten wanyumbani mimenitoa mawazo huku niliko wallah
Filamu yenye mafunzo makubwa sana,big up from 254
Hahahahhhahahahahahahahahahhah acha nicheke tu
Naomba weee umenifurahisha 💕💕💕
Mzee mwinyi inaonesha mtt wake kweli maana anajua kumuumbua
Daaaah move za naomba hakuna mbaya yuko vizuri kweli
Hahaha, hongeren sana. Dongo mzgo huuwezi uo acha nije kukusaidy
Hahah😆😆Bwana akilala hamkiii
@habibhamza9766
2 жыл бұрын
Shuka lina sumu
Naomba ameicheza nafasi yake kiuwezo mkubwa, mbarikiwe nyote katika utafutaji wa riziki👍👍👍
Mzee mwiny upo vzr nakukubal sn
Hongera sana dongo safi sana
Salam ziwafikie wenye tabia hii
@issaofficialvideo6375
2 жыл бұрын
Ameen 😂
@saidally8051
2 жыл бұрын
Risasi Kambuki
Jufe film mnajitahidi sana. Kazi zenu nzuri sana. Musichoke ipo siku mtafanikiwa
Bebeyy be eeee 😅😅😅😅ni
Kunikumbusha mbali ninamtoto wa ami yangu akilia husema mbanahuninyamazishi basi na cheka haaaaaaaaa
Wake wa siku hizi Hawa mpaka Pemba kumebadilika siku hizi
Mwinyi heshima kwako baba kaz ni poa japo nahisi kuna pande hamzitazami zaidi
Ujumbe uwafikie wote unao wahusu🤣🤣🤣🤣
Mnafundisha voo
Mashaallah mafunzo mazuri sana ndoa zinahitaji subra ndugu zangu ila kwa sasa ndio haipo na huu mchezo ndio yaliyopo matupu
Dah Dongo yupo vxur sana kwa kweli.Naomba nae dah namkubal sana.hababaishwi na Camera.Mxee mwinyi nae ndo ohoo usiseme.yuko poa ssnaaaa
Dah!! Jufe uko sawa.. Hii inafundisha haaaaswa
Hahhahhaha Naomba nakupenda mama yang mieeee kwa kukopa ni hatari ila unajua mmy uko mwee 💋💋💋❤❤❤
Safi sana Maashaallah Baaraka llahu feeq . .
Mashaallaah shukuran ujumbe umeshatufika great sana
MashaAllaah tabaraAllaah kweli kazi zuri sana Shukran kwa mafuzo mazuri yaani
Nzuri, ila picha haina ubora
Etii bebe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sina mbavu
@yayeissa4128
2 жыл бұрын
Hhhh mimi kwanza nimeskia bibi...kumbe bebe
Hhhhh mashalalh, nimepitwa kdg kuitazama
Mchezo akiigiza dongo na akawa mkewe huyu mwanamke unanoga mmooooo kwa7bu wanaendana sana Mchezo mzuri na unafunzaaa
Hatari kwl kwl 😂😂 mwanamke usikione kitu tyr umekitamani, alaf eti sy kuishi hapa tumepapenda tuu
Nakuuliza weye mijicho 🤣🤣🤣 hapo pamenimaliza
I love my pemba good job 👏 👍 ❤ 🙌 💓 ♥
Shukran wapemba wenzanguuu fantastic 😊😊😊😊
Masha Allah napenda sana movies zenu
Bebe la too 😃😃😃😃😃🙃😃
Kazi nzuri
Mashaallah inamafundisho👌
🤣🤣🤣 naomba bwan 🤣🤣🤣🤣
Hhhhhhhhh 😀😀😀 bebeeeeee bybeeee
Hahaahaa Bebe kaingia mitini😁
@salumkhator8897
2 жыл бұрын
Hapo hakukuwa na option nyengine zaidi ya hiyo
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Ingekuwa ww ungefanyaj😂😂
Nyotee nawakubali Ila makunde hatari
🤣🤣 Masha Allah,, kazi nzuri Hongera Mwinyi na vijana wako wote mulioshiriki kuiandaa hii kazi .. Na pia nimpongeze "Edi best kwa story yake bomba kabisa.. Allah awape kila la kheri....Ipo cku Allah(s.w) atawafikisha pale munapo taka mufike..Insha Allah.... Mm napenda kuwapa saport kila mnapo towa new job kwasababu hii kazi naikubali vbaya na naitaka sana.. Lakini Insha Allah Kwa kila alie na lengo zuri nao hii kazi Allah atamnyanyuwa, INSHA ALLAH ''SAY AMEEN'"
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Ameen
Nakuuliza wewe mijicho 😀😀Manake kwanza ncheke
Muko vizuri san ila mwakaa sana
Hongera
Fantastic, mi nimeona jambo moja hapa... #MwinyiMpeku bila shaka alienda kwa mtoto wake kumchunguza Mume kama hakidhi vigezo alivyokua akivifikira yeye...kile cha uhuni, bangi, na mengine... Hile scene ya malumbano kati ya #DongavsNaomba... Haikukaa poa sana....soon baad ya Mzee Mwinyi kufungua mlango, Naomba alimpiga jicho baba yake tjen ndo akaanza malumbano na mume wake...nae Dongo pia alikua akihusiha malumbano kwa kumuangalia mzee Mwinyi...haikupendez kias fulani Basi kungekua na option mbili 1. Wangeanza malumbano kabla ya mzee kuingia (wakat yupo nje), then yey ayakute tu malumbano 2. Basi hata hiyo baada ya kuingia....wngechukua walau dakika 2 kwa wstan nd wakaanza kugombana pasi na kumtupia jicho mzee...hata kama kila mmoja akilin mwake inampitikia kua kila akifanyacho mmoja wetu kipo kweny "Script' na tunakielewa Nadhani alicho akitafut #Mwinyi ni ushahid tu kutoka kwa mkwe wake #Dongo jinsi anavyoish na mkewe... Nawasilisha...
@archidukeofficial501
2 жыл бұрын
🙈..🙉...🙊..
@mohammedibimkubwa4947
Жыл бұрын
Mawazo yako ni mazuri, ila nahisi hukuelewa. Walichomaanisha. Ni kwamba mke alifanya vile Ili kusudi kumuadhirisha Kwa mzazi wake Ili aonekano kuwa mwanaume hamshuhulikii.
@mohammedibimkubwa4947
Жыл бұрын
Unakumbuka alienda kuongea uogo wa baba yake
Muko vizuri jufe hongereni kwa elimu km hii nzuri
Mda wote mnajadir ndoa2 watoto je
😂😂😂😂😂😂😂 Mbona huninyamazishi
@rehemaseif1785
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣kanichekesha
Jufe mupo juu sana films zenu zinafundisha sana MashaAllah,wallah ndugu zangu mnajuwa sanaaa big up jufe
@JufeFilmCompany
2 жыл бұрын
Ahsante kaka..
Nzuri sana pia ina maadili
😂😂😂😂😂❤️❤️❤️Aaa
Nawafatilia nikiwa pande za Sikonge Tabora mmenikumbusha nilipotoka nimefrai sana.
Bebe 😂😂😂😂😂dawa yaaako
Safiiiii
😂😂😂😂❤🎉🎉🎉😮😮😮
Naomba mijicho kama dume wa gari
Umejua kumpata anajua kulia hyo dada
From Mombasa 🇰🇪 napenda sana movies zenu bravo👏
Weleeeeooo 🤣🤣
Hahahahahahahahaha mbavu zangu
@jimj8285
2 жыл бұрын
Wee Aisha Abdi unacheka nini sasa? Wee kalia Kula bariis na hiliib! Basi! Nyooo!!!! Weee no harkaaa!!! Tu!!! Khumayadhaa!!!
Wa fayagia au wachoraa
muko vizur ila tu tatizo mnacherewa kutoa filam tunataka vitu karaka haraka
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Tatizo pesa na udhamini michezo inahitaji pesa ndugu
Masha Allah
Kiswabi mbona hamumshirikishi sikubizi Yule jamaa fundi
Bebe🤣🤣🤣🤣
Dongo fundiii, Kiswabi fundiii, Mwinyi Mpiku Fundii, Kachara fundiiii, Makame Nuhusi Fundiii, Mau Mpemba Fundiii na nyoteee mafundii hongeren sanaaa❤️❤️❤️❤️🧡🤍🤍
Mung atawasaidia nyote
Tutaeleweka tu
😂😂😂🤣🤣👏👏
Dongo my brother
Bebe beibeeee
Dongo umeshika mashaf.jee umetia udhuu?
1st
@jumarisasi7160
2 жыл бұрын
Salamu ziwafikie
Asante mwinyi!!!!
Move za apa Zanzibar yaan unguja na Pemba kaz bure t naon hawana wa kuwasaport wakatoka kimaisha mfano mdgo wale waliokuwa wakiigiza mchezo wa bitelee mpk leo hawana Moja la maan mmoja yupo namuona asa kw macho yangu huwa anapanda dal Dala kwnda mjini kuchku samaki akauza yaan hawana ile saport ya sanaaaa
@ahmadjuma7420
2 жыл бұрын
Usikatishe watu tamaa mwanzo mgumu kwahy waache kabisa
@hamidmweusiii35
2 жыл бұрын
@@ahmadjuma7420 ah so kukatisha tamaa uo ndo uhalisia uliopo
@sephania8085
2 жыл бұрын
Kwaiyo kuuza samak Sio Kaz au
@hamidmweusiii35
2 жыл бұрын
@@sephania8085 kazi pia ila kw muigizaji noma kaz izo tufny sie pangu pakavu tia mchuzi
@sephania8085
2 жыл бұрын
@@hamidmweusiii35 ao bongo movie wenyewe sio wote wenye maisha mazur
Kiswabi hatujamuon muda tena
Mashallah
Asanteni sana Jufe tunaemdelea kufurahi kwa kazi mzuri na tutazidi kuwapa support🥰🥰💞💞
@saidally8051
2 жыл бұрын
Shukran...
@saidally8051
2 жыл бұрын
Shukran...
Mupiga mwinyi hatari
Babe Kaingia mitini laki na 50 hanayo unachukua vitu vya watu bila pesa
Huyo ni bebe ama beberu