MAHARI _Kachara I Mwinyi Mpeku I Kitatange I Kiswabi I Naomba
Комедия
Director of Photography: Said Negro
Boom Swinger: Dinyo JF
Editors: Eddy Best/Said Negro
Ast.Director Said Negro
Director: EddyBest
Tafadhali SUBSCRIBE,LIKE,SHARE,COMMENT ili uwe wa kwanza kupata video zetu mpya.
#jufefilmproduction#Comedy#Pemba@jufefilmtz
Пікірлер: 248
Huyu kiswabi nomaa, hebu tuekeeni anavyokua maisha ya kawaida nje ya muvi, bila huyu jamaa hapanogi😂
Nimevutiwa sana na tamthilia yenu, hongera sana kiswabi na mazee mwinyi, pamoja na kachara Kwa kufanya maamuzi yalio sahihi juu ya mtoto wenu. Na kuwaelimisha wanaume wasio na maadaliizi pindi wanapohitaji kuoa.
Ila jufe mcje moaondoka kwenye hayo hayo maadili yetu kiukweli cc tunapenda maana filamu zenu zinafuata maadili yetu na hasa dini yetu ya kiislamu Hongereni jufe
assalm alayku mimi kam mim ni.ependa sna kuw pamoja mwinyi na kachara pmoja na nyote kwenye kampun ya jufe alhmdullah from khalfan mfunga vilemba konde ndinyo pmoja broo
Ilove zanzibar nawapenda ndugu zangu
Wapemba oyeeee
Me napenda nyumba za kwetu zinauhalisia wa maisha kabisaa 💕💕💕
Kitatangee hafai kuwa mume huyuu
siku zote mna kazi nzuri😊!aiseee endeleeni kutuburudisha
WALLAH KISWABI ANAJUA SANA MÃÅÑÅ NMECHEKA ADI
Mwinyi leo umekua mpole sana yaani ichi kitu ilikua nakisubir umetisha mwinyi
Nzuri sanaaa....Kiswabiiii😆😆😆😆
@adamadnan6491
Жыл бұрын
Hujmb
@muhammedyussuf8406
Жыл бұрын
❤❤❤
Hahahah kichupa kimejaa mwengo wa pweza Ila kiswabi dah unauwa sana siku zote aiseee saluti sana
Dahh kwakweli mm km kijana nmejifunza mengi kupitia hii movie 🎥
Nawapenda mnoooo Allaah awabarik sana Ila sijamuona dongo d@aaa@aa
Movie iko vyema sna wapemba tunaweza mungu amlaze mahali pema pepon bikidecha
Kaz mzur jmn😊
Allahumma ghfirlaha BIKIDECHA warhamha wamaskanaha jannat firdaus ameen Mnatuweka Sana'a jufe kutupa burudani mpeni salamu DONGO
Msalimieni sana mjomba wangu Yussuf Juju... mwambie ni mimi mtoto wa dadake marehemu Mwanahafuswa. Jina langu Abderehmani.
@JufeFilmCompany
Жыл бұрын
Salam zimefika
MZEE mwiny na kachara. Nyny ndo mababa wa jufe musiachane muzidi kuelimisha jamii n kuing'arisha Pemba yetu.
@richbird.123
Жыл бұрын
Na huyo watoto wao kitatange na kiswabi pia wako vizuri sana
😂😂😂😂mke si tope 😂mke si mkekewa😂😂
Safi Sana. JUFE FILMS tuleteeni film zetuu, maana MUKO kimya muda mrefu
😭 bikidecha pengo lake kidooogo lime zibika Allah amuondoshee adhab zaqabri mashaa Allah mchezo mzuri sana ila musikae sana jamani kutoa michezo mengine naona mashaa Allah kachara na mwinyi wamerudi
@JufeFilmCompany
Жыл бұрын
Amin, shukran
@neykweyamba2429
Жыл бұрын
Ameen thuma Ameen
@mudympemba6720
Жыл бұрын
Assalm alyqm na pia nawapongeza sana kwa filam mzri na pia mbona munakaa mdaa mrefu kutoa filam kwani hapa nilipo dar Salam wabongo wanazipenda sana kila siku wananiulizia filam mpy za jufe.allah awape wepesi
@rahmasalim5252
Жыл бұрын
Amin thuma amin
@asraoman735
Жыл бұрын
Amin
Cku zote nakubali kazi yenu
Aiseee hiii kitu kizur kweli kukurupuka so jambo zuri
Ao wanashoot cjui km hawacheki kwa vituko vya kitatange, ha kitatange ni ntu, tunapenda move zenu Maahaa Allah
@aishachambo8663
Жыл бұрын
😂😂😂
nimepende muvi kitatange is the best ✔
Asate broo full comedy
Jufe film, hii ni zaidi ya funzo piah mjitahidi kukaa pamoja na hawa watu wa2 maana wakikaa pamoja inakuwa zaidi ya furaha Kiswabi na kitatange na kachara na mwinyi
@JufeFilmCompany
Жыл бұрын
Tunashkur tuko pamoja
Kazi nzur san mashaalah
Iyo miendo yenu kama kangoloo😂😂😂
😂😂😂dah htree kitatange
@aishachambo8663
Жыл бұрын
😂😂😂😂
Tunaweza snaa❤respect kiswab and kitatange
Mngemshirikisha kidundo humu ingekua poa xna
😂😂😂hamuna machunga😂😂
Jufe msikae sana achieni move
Kitatange hata ndoa bd tayari kila siku kwenda kula kwa wakwe
@muktarkassim6647
3 ай бұрын
😂😂😂
Allah azidi kuwafanikisha ktk harak zenu nazipenda kazi zenu
A hawajamaaa hawana kazi mbovu wanajuwa sana mungu awape mda mrefu na mafanikio mazuri
Aisha tumefikwaaa 😂😂😆😆
@khadijahali4837
Жыл бұрын
😂😂
Kichupa Kishajaaa sitikomba ndi ndiii
Sjamaliza kuangalia hii tamthilia ila hapa mwanzo tu iko vzurii wallahi Maashaallah
Miye akiwemo kiswaby nainjoi sana
@muhammedyussuf8406
Жыл бұрын
❤❤❤
@seifrashid2064
Жыл бұрын
Kiswabi no fundi balaaa
Kitatange upo vizuri na kiswabi
Asanteni na hongera zake mtunzi kwa film nzr tunaomba mtuletee nyingine nzr zaid
Dah tuliwamiss sana 😊😊😊😊
Mtaka Nyingi nasaba Hupata mwingi msiba
Hahaha nawapenda sana tena sana
Km mmerudi kushirikiana itakuwa vzr umoja ni nguvu 🙏🏻
masha Allah muko vzr sn ila jitahidini kubadilisha na mavazi ili muonekane tofauti kidogo
Mchezo mzuri sana mimi nina wazo kwann kazi zenu musipeleke azam tv au kufuatlilia utaratibu
@JufeFilmCompany
Жыл бұрын
Asante wazo lako linafanyiwa kazi.
@yussufkhalifa5206
Жыл бұрын
Iko vzr sana sasa burudani zinarudi
@yussufkhalifa5206
Жыл бұрын
Nikweli kbsa
@muhammedyussuf8406
Жыл бұрын
Wazo zuri San wallah.. Kazi nzuri km hizi zinatakiwa zinapate kuonekana sehemu nyingi
@sassboy9360
Жыл бұрын
Hata wasafi pia ila andaeni series ndo zinazomata saiv
alhmdulah kiswabi amenichekesha sana
kiswabi umetisha
Alietunga stori ametisha ayo ni maisha halisi ya vijana wa leo na vijana wengi
hongeraa kiswabii kwa kuchukuw jiko kiurahiiiis😅
Sw shukra sana tunataka muwe na ushirikiano kma group la mkojani gang
Yakhee usinite kwara😂😂😂
Asanteni jufe film kwa filamu nzuri
@JufeFilmCompany
Жыл бұрын
Asante kwa sapoti zenu
Mumetukumbusha nyumban leo
Yaani ni film nzuri sana kupitiliza kukusanyika actors maarufu kama hivyo.... amebaki dongo na mau tu...tunasubiria filam nyengn karibuni inshallah
@JufeFilmCompany
Жыл бұрын
Shukran musijal kazi nyengine zinakuja InshaAllah
umetisha kitatangee😅😅 hongereni kwa kazi nzuri🎉
Upendwe nnani nawee komba weye😂😂😂😂😂
Kiswabi nampenda mnoo 😂😂
Nice movie %100 masha allah mmecheza vzr mwanzo mwisho
Mwenyezimungu amlaze bikidecha mahala pema peponi amini
Kitatange uko sahihi mana hujamuoa ,vitu aviache humo x2😅😅😅
From Bagamoyo Big up sana jufe nawafatilia sana
MashaaAllah flm nzur, ila me nataka kuuliza ktu kdg jmn, huyu kiswabi na kitatange huo ndio mwendo wao ama wanaigiza?🤔
@nouraynaasheikhunkabir3749
Жыл бұрын
Hapana ni character tyuu😂😂😂
@suleimankm2567
Жыл бұрын
Wanaigiza tu ao😂
@alimshindo4085
Жыл бұрын
Kwani uyo Kiswabi kama humjui unamuona kwenye filamu tu unadhani ukimuona live utamjua
Mwamuzi mazuri sana ya kuwarejesha na kuwaungamisha vipaji vyetu neema zilikua zimeparaganyika ahsante sana
Imetisha kinyama yan duhhh Fanyeni mlete kigongo chengn jufe
Shukran sana kwa mafunzo mazur sana haswa kwa sisi vijan vichekesho kama kawa 😂
@fahadsalum7478
Жыл бұрын
Uhakik...🤣🤣
Mko vizuri sana aisee
Jufe filamu mumetisha ila kiswabh hongera zaid kwa sb kma movie hayumo kiswab na kitatange, kiukweli hatupati kufurahi snaa, ila hongereni nyote.
😅😅kiswabi na kitatange mutaniwa😅😅😅😅😅
Kweli hatuna machunga nyumbani
Kiswabi umetisha sana
Mchawi hela tu ... Kiswabi kaopoa pisi ya kwenda 😅😅
Mnafundisha ,mnafurahisha kwakweli mko powa nawakubali mno
Napenda sana kwetu nkiyaona mandhali yetu mashaallah❤
Cool me hahahaha kiswabi
Kiswaaabiiiii😂😂😂 akwambia Call me😂 Movie hzi bila kiswabi c movie
@aishachambo8663
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@suleimankm2567
Жыл бұрын
Wallahi 😂
@khadijahali4837
Жыл бұрын
😂😂😂 nipo bize nipo bize
❤ ndani yake ina mafunzo mazuri na comedy
,😁😁😁😁😁😁kabhi Khushi kabhi ham
Ahahahaa kitatange eti jambo atalimanage😂😂😂atalimanage mpak litakaa sawa😂😂😂😂watu wazma wa skuhiz wanazeeka haraka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu biharusi nampenda sana mara anakupiga sufuria😂
@user-vj3vg9jw6u
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@SamiraameirSamira-qt9yn
10 ай бұрын
Hamwish kugonga nyumba za watu asubuh asubuh ucpate sufuria la kichwa 😂😂😂😂
Best kama kawaida mumechelwa sana by mc moo
@JufeFilmCompany
Жыл бұрын
hapana sasa kazi bandika bandua
Nawakubali sna ❤❤
Hongereni
Uchuuuuuunge😂
KHABI GHASH KHABI GHAM
NAWAPENDA JUFE FILMS ❤❤❤❤❤
😂😂😂😂 Kibao kimebadilika
Kwendako kawa kwarud kawa manayake ni nn
Kitatange bora ulivyo kosa mke 😂😂
ama mlitutenga aloo leo shukran kutukumbuka
Kachara we ni fundi wa mambo haya
Kachara umeonesha kuwa ww ni nguli umenikosha
Hodi wenyeweeeee!!! 😂😂😂 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Nacheka mpaka natoka machozi wallah
Hahahaaa kichupa kifuli kwa mwengo