NYUMBA MOJA # Part 1 / Dongo I Naomba I Kake Simba
Комедия
Director of Photography: Said Negro
Boom Swinger: Dinyo JF
Editors: Eddy Best/Said Negro
Ass.Director EddyBest
Director: Said Majumba
Tafadhali SUBSCRIBE,LIKE,SHARE,COMMENT ili uwe wa kwanza kupata video zetu mpya.
#jufefilmproduction#Comedy#Pemba@jufefilmtz
Пікірлер: 159
Kama umeisikia Wete gando nipe like kama zote...hongera JUFE Maashaallah
Wageni ni barka kutoka kwa Allah Kila mja ana mlango wake wa rizki, Nabii Ibrahim alayhi Salam alikuwa Kila siku anamuomba Allah apate wageni
@selemohd9060
2 жыл бұрын
Kidini ugeni ni siku tatu.
Kumbe kwetu pemba kuzur sana huo mchezo unani kumbusha sana ujanani kugombaniana madishi ya makoko😀😀😀😀
uhalisia mtupu wa maisha yetu sasa hii ndio sanaa ya kuburudisha na elimu ndan yke
Mashaallah mashaallah mnajua mnajua na tena maisha yetu uhalisia wetu imependeza sna hongereni kwa kazi nzr .
Hongern sana nimefurahia sana kuona Pemba imekuwa imara namna hii
@bekaali8930
2 жыл бұрын
Tena imara kwelikweli ndugu yng
MashaAllaah tabaraAllaah yaani mafuzo tosha kwa jamiii
Manaake ncheke kwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dongo bebamzigohuwo mtihauliwi ntundazee,mtulake halimtapishi😂😂
Fantastic big app verey fun 🤣🤣🤣 wapemba nyiye muna furahisha lakini sikuhizi muna bowa hamuleti vitu marakwa mara tulokuweko bali tukionakwetu tunakuwa happy
Kazi nzuri sn Allah azidi kuwapa manufaa. Is a really Pemba culture
Waaww hii hapana mtavunja ndoa jamani ....mwanaume unafaa uwe shujaa kutafuta rizki sio kijumba hodi haiii.....maisha ya Sasa sio kama zamaniaisha magumu🙌
Mashaallah watu wa kambini kichokochwe big up kwa mzee kabakaba
Dada ajuwa pika lakini na shemegi ajuwa let's🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Safi sana yani mchezo mzuri mnooooooooooooo sana halafu mrefu una pat one na tow yani dah👍👍
Kazi mzuri sana Masha'ALLAH
Makunde basi ndoo mpaka uvae kanga ya shingo
Mm napenda hiyo rafuzi
hata sijui nikoment nini maana hakika imeakisi uhalisia wa maisha yetu good job, Lkn yuko wapi kiswabi kachara na mwinyi mpeku
Hongereni saaana Jufe kwa kazi nzuri saana.
DAAAAA DONGO YANI MOV MZUR WAPEMBA WENZANGU MUMENIKOSHA ASA
Masha Allah .... Allah awepe wepesi katika kazi ili muilimishee zaid .. amin
well done😂
Naomba nakupenda bure dadaangu yani unanifurahisha sana eti mchele mrefu🤣🤣
Ahaaa weee sio kwa kibonge hicho anakubugia huyoooo
Nchele nrefu 🤣🤣🤣🤣🤣 naomba nakukubal we mwenywe unajua🥰
Kaz nzur
Mashaallah filam nzuri nimecheka mpaka basi
Hahaha bahamad aloo msg mzur sana
Movie nzur sana jaman. Ila kwann mnakaa mda mref mpk mtoe movie nyingine hadi nyingine
Mashallah nice movie 😂😂
Hongeren sana Jufe kwa kutupa tena furaha kwa mara nyengne
Hii combination naikubali
Dada ajua pika na shemeji ajua leta🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hongereni sana kwa movie mzuru
Ndugu wa tabia hizi siwataki ng'ooooooooooooooo...
Safi sanaaaaaaaa nime furahi sanaaa Tena muendeleee
❤❤❤🎉🎉🎉
😂😂😂Huyu kake simba nihatari
mnatuacha sanaaa basi japo kwa mwezi mara 2 sie tu tayari
Naomba Masha Allah cjakujua wallah
Allah akuwekeni na wengine wafaidi
Kazi nzur sna
Shukran kwa sapot na maoni yenu tunayafanyia kazi
Hongereni sana Allah awazidishie
Hongeren San kz nzr. 🥰🥰🥰
Kazi nzr vijana
Good work....bwege ktika ubora wke..nimekubali kz
Safi sana muendelezo tafazali
Mashallah Allah s.w awabariki
Lakini Dada ajuwa pika Na shemegi ajuwa leta
Kazi nzuri Congratulation
MashaAllah ❤❤❤
Nyumba yangu mm niyaserekali atakaekuja chakula kimo kishachopikwa atakula hamuna atapika mwenyewe
Hahaha good job JUFE
Duuu, ugeni ju ya ugeni 😁😁😁
Ila nitabia yetu hii wapemba.ni kutumiana tu
Hahaha dada nampenda huyu hataki mchezo
@imranijuma6955
2 жыл бұрын
Ata mm nampenda
Mashallah tupeni sehemu ya pili
Hahahahaja ipo sawaa sana
Hahaha masha allah
Great from jufe nice
Hatare fire 🔥🔥
njadida kwa dogo dogo kushaumia wallah
Mashaalah kaz nzur
Hatuna mpango wakurudi leo walakesho .hahahaah
Maashallh kaz kaz
Hahahhaha good work jufe
Kaz nzuri
Mm mpemba lkn hii clip nimeipenda sn iwafikie ndugu zetu munaosafiri kwa makundi kwenda kwa madada zenu walioolewa mnatutia aibu wapemba
@shariffaabdalla2170
2 жыл бұрын
Awo wanaokutiaa aibu ndo wanakufungulieni riziki Msiwe na uchoyo Wageni ni barkaaa
@zulfahussein6784
2 жыл бұрын
@@shariffaabdalla2170 sio kwa staly hiii filamu hii ni fuzo
@khayraathassan9915
2 жыл бұрын
Kweli
@seifbattawy9455
2 жыл бұрын
Wewe ni mchoyo
Nakubal
Hatar mubwa sana
Sehemu ya pili inakuja kaa tayar
#mashaallah
Kwakweli nanapata vyema nikiwa Canada hakika nawapenda Sana ndugu zangu
Interesting brothers
Mzuri sana
Nangoja muendelezo in sha Allah
Nihukuuuuuuuuuu😃😃😃😃😃😃
Et wao sukar Nanaz tu
safi san naomba pt 2 yake
Hiii ni hatari wageni kwa kundi kiboko ya mwenye nyumba
Good job
Nakubali
mmeua wajuba😁
Yaaani ktk filam Kali hii imebeba nafas ila TU muendelezo jaman mpaaka tujekusahau
@JufeFilmCompany
2 жыл бұрын
Shukran,muendelezo unakuja
😂😂😂😂make kwnza ncheke apo
Mashallah
Ndo kwanza amwita na mama
Sikwaungeni huo😂😂😂
Hhhhhhhh nipo iringa tz
😂😂😂kitumbo
ramadhani ya mwaka huu mbona hatujapata kipindi kizur kama hiki 2023?
Kwan uyu nduguye maunga ndio yule aliecheza movie ya sakina au
Facts
Home sweet home
Ya cheksha na kuhuzuni nzr sn hii movie
🤣🤣🤣🤣🤣Hongereni sana Masha Allah, Good job 🤙🤙
Kiswabi yuma
Waswahili wasema "Agwae ndie anamiwayee"😷😷
Director je hakuliona hlo