SAKINA_Mwinyi/Kiswabi/Dongo

Фильм және анимация

Tafadhali SUBSCRIBE,LIKE,SHARE,COMMENT ili uwe wa kwanza kutazama video zetu mpya ahsante

Пікірлер: 211

  • @khamikhan4805
    @khamikhan48053 жыл бұрын

    wapemba wenzangu tutambuane kwa like

  • @aishanatamaniningekuepoktk5062

    @aishanatamaniningekuepoktk5062

    3 жыл бұрын

    👍

  • @aishanatamaniningekuepoktk5062

    @aishanatamaniningekuepoktk5062

    3 жыл бұрын

    Huyu sakina aharibu alikua aongee kipemba fyokoo

  • @nassirmohamed8492

    @nassirmohamed8492

    3 жыл бұрын

    @@aishanatamaniningekuepoktk5062 hehe

  • @nassirmohamed8492

    @nassirmohamed8492

    3 жыл бұрын

    Labda ni mtu wawete ndio yuaongea hivyo

  • @ayoubabass5404

    @ayoubabass5404

    3 жыл бұрын

    Kilicho mkimbiza morson yanga ni nini

  • @halimanasihu1200
    @halimanasihu12003 жыл бұрын

    😀😃😃kiswabiii elimu ufunguo wa maisha lkn kufuli sinayo

  • @hamadseiph6602
    @hamadseiph66023 жыл бұрын

    Wapemba saiv tupo juu ni tishio big up kwa wote

  • @salumft661
    @salumft6613 жыл бұрын

    we kiswabi wewe.. ungekuwa mwanamkke dah.. apo umenimaliza

  • @pbaallymwinyitv8527
    @pbaallymwinyitv85273 жыл бұрын

    nimeipenda kweli kweli hasa nikiona mazingira ya huko kwetu

  • @becksh3132
    @becksh31323 жыл бұрын

    Mwinyi mtoto anandoto za kufika mbali acha asome

  • @zuleikhamohd8014
    @zuleikhamohd80143 жыл бұрын

    chefule kifule fule kupewa nguo usiifule ukaifulia majani ya mtule. Mbavu zangu jamaniii wiiiii

  • @robertlewandowski8610
    @robertlewandowski86103 жыл бұрын

    Kiswabi we mkataji mbavu za watu😂uko juu sana👊

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma36923 жыл бұрын

    Kama umesikia napwaza muhogo mboga tayari gonga like

  • @mamuzimamuztu9456

    @mamuzimamuztu9456

    3 жыл бұрын

    Mimi nimepitia kula muhogo na mboga ya muhogo

  • @ismailjuma3692

    @ismailjuma3692

    3 жыл бұрын

    @@mamuzimamuztu9456 wengi mbona

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    @@mamuzimamuztu9456 mbona poa tu ?

  • @sampart2669
    @sampart26693 жыл бұрын

    Ilaa dongoo umependezaa kinyamaaa big up broo😍😍😍😍😍

  • @mtizman_salimridhwan187

    @mtizman_salimridhwan187

    3 жыл бұрын

    Nice kazi kali sana short and clear

  • @yasodishonest9792

    @yasodishonest9792

    3 жыл бұрын

    Nikweli dongo kapendeza mashaallah

  • @zakariaali6870
    @zakariaali68703 жыл бұрын

    Kiswabi weye hasaa unaweza

  • @eddimalon6051
    @eddimalon60513 жыл бұрын

    Nilijua tu Mwinyi lazima atatoka na shoka.

  • @khamikhan4805

    @khamikhan4805

    3 жыл бұрын

    mamae

  • @Oman-tt1hn
    @Oman-tt1hn3 жыл бұрын

    Chefule kifule fule Daaa yaani jufe muko vizuri munajitahidi kweli

  • @issaability6447
    @issaability64473 жыл бұрын

    Ngoja niwachie huyu bilisi museme naee hhhhhhhhhhhhhhh

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest97923 жыл бұрын

    Muhogo namboga ya muhogo.aliesikia Jamani 😂😂😂😂

  • @ssmithsaid3483
    @ssmithsaid34833 жыл бұрын

    Muliowafanya Hawana akili ndio wenyeakili

  • @a.856
    @a.8563 жыл бұрын

    😅😅😅... kiswabi upo nyonyo

  • @ahadiahadi1724
    @ahadiahadi17243 жыл бұрын

    Mrembo mi si mrembo

  • @hidayabakar6222
    @hidayabakar62223 жыл бұрын

    Najivunia nyinyi wapemba wenzangu

  • @tumababy1449
    @tumababy14493 жыл бұрын

    Elimu ni ufunguo wa maisha lkn mm. Kufuli cn

  • @nassorsaid9359
    @nassorsaid93593 жыл бұрын

    Jamaa nawakubali sana

  • @eddimalon6051
    @eddimalon60513 жыл бұрын

    Safi sana, home sweet home.

  • @rayambarouk9972
    @rayambarouk99723 жыл бұрын

    Elim ni ufunguo wa maisha lkn mie kufuli sinayo 😂 😂 😂

  • @jafarsuleiman3302

    @jafarsuleiman3302

    3 жыл бұрын

    mie nepoteza fungua majini

  • @biubwaabdalla4293
    @biubwaabdalla42933 жыл бұрын

    Pesa kweli bilisi

  • @nuhumaalim9338
    @nuhumaalim93383 жыл бұрын

    🙈😁😁😁🤣🤣eti hilo lataka mwenge!!!

  • @saniakhalfan1325
    @saniakhalfan13253 жыл бұрын

    Bilisi aseme naye😛😇

  • @yussufsuleiman5843
    @yussufsuleiman58433 жыл бұрын

    Kilichomkimbiza morson tanga😂😂

  • @thamrasalum1286
    @thamrasalum12863 жыл бұрын

    Jamani mnakaa muda mkubwaa tunawapenda

  • @robertlewandowski8610
    @robertlewandowski86103 жыл бұрын

    Dah! Kiswabi hasa ananikatisha mbavu!!

  • @gyeong5972

    @gyeong5972

    2 жыл бұрын

    Mshikaji fundiiiii

  • @zakariaali6870
    @zakariaali68703 жыл бұрын

    Kiswabi uko juu sana

  • @salumamour932
    @salumamour9323 жыл бұрын

    Hahaha kiswabi kufuli hana kwa hyo hana haja na ufunguo

  • @hamidkabwehedu4911

    @hamidkabwehedu4911

    3 жыл бұрын

    5

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid36193 жыл бұрын

    kilicho mkimbiza Morrison yanga hahaaaa

  • @omarsheha2840
    @omarsheha28403 жыл бұрын

    Iko Poa sana wapemba wenzangu ila mwachelewa sana kutoa vitu kama hv

  • @mohammedalnabahan.4127
    @mohammedalnabahan.41273 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂Kiswabi jamani upo Nyonyo.

  • @jumasharif7146
    @jumasharif71463 жыл бұрын

    Pemba kuna watoto wazuri jamaniiii dah hatari , tena wametulia.

  • @saleheayubu5568
    @saleheayubu55683 жыл бұрын

    Dongo "wee jiulize kilichomkimbiza Morrison pale Yanga nnini "😁😁😁😂

  • @daudmziray4700

    @daudmziray4700

    3 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar54723 жыл бұрын

    Hongeren wote nawapenda sana kswa ww hayo macho upo nyonyo nmefurah sana leyo nmewamiss sana

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction53552 жыл бұрын

    Kweli amewaachia ibilisi 😁😁😁😁

  • @biyamsaleh4615
    @biyamsaleh46153 жыл бұрын

    Bilisi kapata shetan

  • @JufeFilmCompany

    @JufeFilmCompany

    3 жыл бұрын

    Na shetan kapata kiti sasa....

  • @salymking1892
    @salymking18923 жыл бұрын

    Kiswabi akuja shule rises t

  • @abubakarabdallah3136
    @abubakarabdallah31363 жыл бұрын

    Sakina yuko vizur

  • @kiri5807
    @kiri58073 жыл бұрын

    hii kwenda kuposa ukajiproud ni mbaya sana .

  • @fahdialiy8170
    @fahdialiy81703 жыл бұрын

    Aaaa ami mwinyi

  • @khairatsuleiman4917
    @khairatsuleiman49173 жыл бұрын

    Hahahahaaaaaaaa kakimbia nini yanga Morison

  • @sherrybuda9248
    @sherrybuda92483 жыл бұрын

    Ilo lataka mwenge😅😅😅😅

  • @nuhumaalim9338

    @nuhumaalim9338

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest97923 жыл бұрын

    Kwiswabi ww unanini Jamani 😊😂😂😂😂

  • @zuleikhamohd8014
    @zuleikhamohd80143 жыл бұрын

    Ata akafaulu kimwiko cha juu

  • @chunaamina8719
    @chunaamina87193 жыл бұрын

    Kiswabi hapa umejitahidi uzezeta umeondoka leo😁😁

  • @albassambakili3757
    @albassambakili37573 жыл бұрын

    Muache ibilisi uyoo

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil6273 жыл бұрын

    Kiswabi bwana

  • @sherrybuda9248
    @sherrybuda92483 жыл бұрын

    Maasha Allah wapemba wenzangu Allah atuzidishie vipaji

  • @ahmmadaaly5112

    @ahmmadaaly5112

    3 жыл бұрын

    Mpemba wa wap ww

  • @sherrybuda9248

    @sherrybuda9248

    3 жыл бұрын

    Ole jonwe

  • @idarusbakar3168

    @idarusbakar3168

    3 жыл бұрын

    Kumbe nawe ni mpemba mwenzangu, maasha allah

  • @sherrybuda9248

    @sherrybuda9248

    3 жыл бұрын

    @@idarusbakar3168 ehee

  • @idarusbakar3168

    @idarusbakar3168

    3 жыл бұрын

    Ok vzr karibu kwetu kisiwani kjn

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim45903 жыл бұрын

    Nimewahi😍

  • @gyeong5972
    @gyeong59722 жыл бұрын

    Kiswabi aloooooo🤣🤣🤣😀😀😀

  • @yasinali4377
    @yasinali43773 жыл бұрын

    Hkuna kishindkanacho kwenye pesa mulize morison kilichompeleka simba huyu ndo mkta umeme hahahaha like jmn

  • @skeneali6125
    @skeneali61253 жыл бұрын

    Mesimateke🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hajiomar7026
    @hajiomar70263 жыл бұрын

    Nmeipenda sana hongereni

  • @othmanabdallah8943
    @othmanabdallah89433 жыл бұрын

    Mwalimu kisigino😂😂😂

  • @justinamichael5934
    @justinamichael59343 жыл бұрын

    Nilikumisi mzee mwinyi from mwanza

  • @massoudjr6146
    @massoudjr61462 жыл бұрын

    Duuuu ilaa Mtot yko vzr Aiseee

  • @abdallakhamiss2951
    @abdallakhamiss29513 жыл бұрын

    Naomba munijulishe jufeee kuhusu uyo mschana mwanafunzi

  • @fatimaalhabsii1728
    @fatimaalhabsii1728 Жыл бұрын

    Mwinyi wapenda pesa😊

  • @mribafomoi1311
    @mribafomoi13113 жыл бұрын

    sasa wazee wangu huku mkishauriana wacha niwaachie bilisi mseme nae

  • @shafyjuma5653
    @shafyjuma56533 жыл бұрын

    Kiswabiii

  • @salamawahassan8858
    @salamawahassan88583 жыл бұрын

    hongereni by mayugwa

  • @JufeFilmCompany

    @JufeFilmCompany

    3 жыл бұрын

    Sante Mayugwa tko pm1

  • @binhamad3053
    @binhamad30533 жыл бұрын

    Sakina yuko vzuri

  • @jamilasalim1872
    @jamilasalim18722 жыл бұрын

    Ufunguo wa maisha lkn kufuli sina

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali71923 жыл бұрын

    Bilisi hee 😀😀

  • @ismailsaid4228
    @ismailsaid42283 жыл бұрын

    Musicheleweshe kushoot move jaman huge flm Allah Kareem

  • @user-mo3ui9xq4r
    @user-mo3ui9xq4r10 ай бұрын

    Nikiona hiz movi namemic kwet walah 😢

  • @khamikhan4805
    @khamikhan48053 жыл бұрын

    Alooo huyu mwinyi anikata mbavu mie

  • @khamisame1919
    @khamisame19193 жыл бұрын

    Mtihani utaenda kufanya kwa dongo sakina eeeee

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya83843 жыл бұрын

    Aki hiki kipindi nime penda sana 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🕺🕺🕺🕺👍👍👍👍👍

  • @aliykhamis2038
    @aliykhamis20383 жыл бұрын

    Mwinyi anapenda utajir

  • @abdallakhamiss2951
    @abdallakhamiss29513 жыл бұрын

    Jaman uyo mwanafunz ameshaolewa natka nine nikuombe munhu

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia23363 жыл бұрын

    Swabi waswabiina

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman35253 жыл бұрын

    Hongereni wahusika nyote Allah awape wepes ktk kazi zenu amin

  • @JufeFilmCompany

    @JufeFilmCompany

    3 жыл бұрын

    Amin ..shukran sana

  • @abuualban5639
    @abuualban56393 жыл бұрын

    Kiswabi chizi sana, yani sio mwanafunzi mwenzake, angekuwa mwanamke sasa anakula raha tu! 😀

  • @habibahabiba7556
    @habibahabiba75563 жыл бұрын

    Nimecheka mpk bas

  • @kassimaliyy5490
    @kassimaliyy54903 жыл бұрын

    Niandikalo utalitambua😂😂

  • @engineerkhamis9275
    @engineerkhamis92753 жыл бұрын

    Lakini nami ni Mwanafunzi voo, Kiswabi Bhana!

  • @ayshaalsahafi5714
    @ayshaalsahafi57142 жыл бұрын

    Huyo Mwalimu amefanana na Dongo

  • @sajhghksk6147
    @sajhghksk61473 жыл бұрын

    Nice naangalia kutok oman

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim45903 жыл бұрын

    Ibilis-

  • @halimanasihu1200
    @halimanasihu12003 жыл бұрын

    😀😃😃niwaachie huyu ibilisi mushauriane nae

  • @khamisame1919

    @khamisame1919

    3 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @abdullahhassan.6368
    @abdullahhassan.63682 жыл бұрын

    Amakwel wa home mnatisha duh

  • @mamafaiza2651
    @mamafaiza26513 жыл бұрын

    Asiolewe kwnn na huyu mama mpumbavu km kusoma kutoa ujinga tayari na lengo mazumuni y mtoto kusoma ni kusaidia familiaa

  • @lidriclidric4247
    @lidriclidric42473 жыл бұрын

    niwachie bilisi museme nao 🤩🤩🤩🤩

  • @mtumwajuma3906
    @mtumwajuma39063 жыл бұрын

    Alosikia kibooloji agoge like haha 😄 😆

  • @mariyammariya3265
    @mariyammariya32653 жыл бұрын

    Raaaaha upo nyonyooo

  • @mussayusuph8661
    @mussayusuph8661 Жыл бұрын

    Nampenda sakina

  • @jokhaally2933
    @jokhaally29333 жыл бұрын

    Love u all👌

  • @abdulfirst_pilot6479
    @abdulfirst_pilot64793 жыл бұрын

    Wakati mwaendelea kushauriana ngoja niwachie bilisi museme naye wee jiulize kilicho mkimboza morisoni pale yanga nini huyu ndo mkata umeme

  • @ismailsaid2038
    @ismailsaid20382 жыл бұрын

    mwalim kisigino

  • @badogobarrido1962
    @badogobarrido19622 жыл бұрын

    swale said

  • @shixeoshxs7276
    @shixeoshxs72763 жыл бұрын

    Heheee kwanza kaoge mwinyi

  • @mubaraknassor4272
    @mubaraknassor42723 жыл бұрын

    Pemba ni moto nakubali kazi

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma36923 жыл бұрын

    Mjakazi.

  • @mussakhamis4175

    @mussakhamis4175

    3 жыл бұрын

    Kiswabi Una nifurahisha kwl

  • @salymking1892
    @salymking18923 жыл бұрын

    Wakenya tunacomment wapi

  • @iddijumaali7192

    @iddijumaali7192

    3 жыл бұрын

    Niaje

  • @salehali4saleh19

    @salehali4saleh19

    3 жыл бұрын

    Kwenye WhatsApp

  • @iddihamad6868

    @iddihamad6868

    3 жыл бұрын

    Hapa in box

  • @kabyjxjrd9874
    @kabyjxjrd98743 жыл бұрын

    Mambo ni 🤣🤭

  • @bekaali8930
    @bekaali89303 жыл бұрын

    Bikidecha ana mbio kumbeeee

  • @omanomqn4345

    @omanomqn4345

    3 жыл бұрын

    Mashaallah bikidecha anajua kuigiza hasaa,, uasilia wa kweli, wote wako vizuri Sana,,, ujumbe mzuri Sana,, na elimu ndio jambo la msingi

Келесі