KUMBAKUMBA EPISODE 3
Комедия
KUMBAKUMBA ni igizo lenye muendelezo ambalo linaakisi tabia za wanaume waroho. Kama tunavyomfahamu KIDUNDO akijikita kutenda tabia fulani huitenda kwa kiwango chakutisha. Fuatilia kwa karibu igizo hili uone tabia ya uroho na udokozi. COMMENTS ZAKO NIMUHIMU SANA KATIKA KUBORESHA KAZI ZETU
Пікірлер: 42
Jomba mwakitahidi sana kiwango kizuri na shooting safi
Napenda comedian za kwetu pemba 😄😅😀😁😂🤣😃🥰😍☺️😚😋😊
Asanteni sana nikiangalia nakumbuka mbali sana muko poa
MashaAllah Mnaweza sana mfanye ndefu bhas tunainjoi wallah
Kidundo Asa mroho😂😂
Ng’onda weee ng’awaaa wee
Kidundo pua unaipenda
Nipo oman NA furahi sanaaa kuona kazi zenu
@abdullatifhassan9399
2 жыл бұрын
Tecno
@MAPETEE
2 жыл бұрын
Yeee
Wewe ndie star wa new star record pemba
Nimecheka mpaka kidundo kapiga mbio nyingi kwenda kutafuta maziwa hahahahah
Dah jamaa ajua kuupanga uongo
😃😃😂😂😂😂😂😂nimecheka alhamdulillah
Heeeeee kidundo wanauliwa ukome kudokowa
Mbona vipande ni vifupi sana
Sallaaala he
Ma Sha Allah
Napenda sana
Uwache uroho
Ama uyu kumbakumba heee
good movie
Mbona mnatuonjesha robo robo
Hatari
😃😃😃
Etii Gonda ww ndo nn From Kenya
@hamudseif
2 жыл бұрын
Sio Gonda, ni Ng’onda..ni mnyama nadhani anaharufu mbaya sana km mzoga vile, kiswahili cha kipemba iko broo
Good
Unakula ubuku
Zero ndugu yng Salut my blood Never give up 💪💪
@azizaaziza7996
2 жыл бұрын
Tunataka muendelezo
Hhhhhhhh
Dah hatar
@mudrikkhatib2780
2 жыл бұрын
Kidundo noma sn
A.alkum nafarajika nikiangalia movie u zenu,ila ushauriwangu natowa kidg hzi movie zinangaliwa na wtu wengi na tafauti tafauti mgepunza sna maneno ya kikabila(kipemb) kama vle ubuku,ngawa, ngo'nda, nk mm hpo cjaelewa chochety hajalishii lafudhi hmna kila mja anaongea na ladhi zke mungu alizomjalia ila engependeza sna tna sna kuongea kiswali fasaha bila kuweka maneno flank iv ambayo kwa wengine yatakuwa nivigumu kuyalewa smhni kwa pale nilipo wakosea ktka wazo langu mm cjikamilika ninamapungufu ansanteni wpmba kwa burudani na madili
@newstarrecords-pemba
2 жыл бұрын
Tunakushukuru kwa kufuatilia kazi zetu. Nikweli kabisa tumekua tukitumia lugha ya kipemba cha asili jambo ambalo linaweza kupelekea watazamaji wetu kushindwa kuyafahamu. Lakini ikumbukwe pia kwamba moja kati ya madhumuni ya kazi za sanaa hii ya maigizo nikuhifadhi lugha. Hivyo basi tunaibua misamiati ambayo ilitumika katika kiswahili cha pemba cha asili. Nijukumu la mtazamaji kutafuta maana ili lengo la kuhifadhi lugha liweze kufikiwa. Ahsante na tunakushukuru sana kwa maoni yako
@hashimsalim1621
2 жыл бұрын
@@newstarrecords-pemba asanteni nimemuelewa vzr shukrini Mungu akubarijin mufike mbali
@hamadmshenga797
2 жыл бұрын
Ubuku maana yake ni uroho - ngawa ni mnyama mfano wa paka na ngo'nda ni samaki w kuanika au kukausha kwa jua sijui umeelewa kidg
@hashimsalim1621
2 жыл бұрын
@@hamadmshenga797 eh shukrni kaka hpo nimekulewa
@hamadmshenga797
2 жыл бұрын
@@hashimsalim1621 shkrn na ww
Dj Mpembaa episode 2 kzread.info/dash/bejne/aHp-3JSHacrMfbA.html
Safi sanaaaaa