UWONGO WA KALE PAT 6 MAU MPEMBA DONGO NA MAKUNDE
Комедия
#MauMpemba #KomboKichwa #VitukoZanzibar
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500
Пікірлер: 64
Uongo ni Haram japo kua matani . Mtume Saw anasema katika Hadith ole wake Yule ambae anahadithia uongo ( anasema uongo) ili awachekeshe watu ole wake ole wake.
@omarmakame3027
Жыл бұрын
Umesema kwelii kabisaaa Asante Kwa ujumbe mzurii wenye faidaaa
Dongo alsema kanzu yke imennuliwa tangu 1962😂😂😂 lkn mashallaah imeishi
Mauu wee kipaji bhn 👏👏
Hhhh nakubali kazi, ila dongo anajua bwana⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️, yuko vizuri zaidi napenda sana anavoongea 😂
Htr sna😮😮😮😮
Duh awa jamaa hatari sana nawakubali kinoma
Daaaah ww makundeee umezid
Dagaa tonge kala waya wa umeme daaah hii kali
@sassboy9360
Жыл бұрын
Tena wa chini ya bahari kutoka pemba hadi tanga 😂😂😂
Nawakubali sana wadau 😂😂😂😂
Fundi weye huwezeki tenaaa
Namkubali sana Dongo😅😊😊😂😅😂😅😂😅
Mmh meli intumiy mipira mmh we nkupa mji dahh
Hatari lkn salama
Khatari hii baba si mchezo
Uongo wa dongo kidg unaelekea
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌ila nyie uwongoo umepitiliza
Uhakika
Niceeee
😀😀😀Tairee taireee
😂😂khatarii
Heheheheheh kila kitu na mfano
Uongo huo ni hatari Watu mpaka leo wanaongopa Kama hivi
Iendelee kila siku heheheheheh dah
Uongo wa makunde sasaa😂😂😂
Camera mnayo tumia mzuri sn yan nzuri sn
Jamani nipeni namba za dango nimempenda
Heeee anakubwa gan jamn huyo
Dongo weeee
Dongo taire😮
😂😂😂😂Kweli zamani nyumbani kwetu kulikuwa na kunguni wakubwa kama kasa😅😅
@user-bg2yc4kw9k
11 ай бұрын
Hahahahaaaa
Hatar san makame 🤣🤣
Mau ww muongo Pamoja na dongoo
Kumbe yupohuyu 😂😂😂😂😂😂😂
Uongo wa kale jamani muuzidii😂😂😂😂
Mmmm
😂😂😂 munziidiii😂😂
Watu niwaongo hawa😂😂😂😂
Jamaa yangu zamani majabu kweli mana kuna siku pale malindi tunataka kusafiri kwenda pemba ilikuwa mv mapinduzi 2 sasa wakati wa kuondoka sasa kila meli ikiwashwa haiwaki kila meli ikiwashwa haiwaki kumbe jamaa yagu kulikuwa na mmbu 6 baba wameishikilia pale ukutani siisahau iyo siku
@mememe5689
Жыл бұрын
😂😂😂
😀😀😀
Ya zamani ni ya zamani t skuzote
Hahahaaa
Dango mpaa nambayoo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jaman jaman mbavu zanguu duuuh aiseee dagaa tonge tena😅😅😅 aaaaaaah
😂😂😂
Makunde umetisha dagaa tonge😅
😂😂😂😂😂
Wakenda mojakwamoja mpaka nkondoni 😂😂😂😂😂😂
Huyu wa dagaa tonge noma😂😂
🤣🤣🤣 khatar
😂😂😂😂😂😂😂😂 napenda uongo huu jmn
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Lol 😄
Mh
😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂