UCHUMI WA BULUU ZANZIBAR NA NEEMA ZAKE | HAYA NDIO YAMEFANYIKA

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 14

  • @hashilfarahany
    @hashilfarahany Жыл бұрын

    Sema kweli japokuwa chungu kwa maendelea hayo yanaoobekana na watu wengi katika nchi yetu basi kiukweli Zanzibar ingekuwa na mamlaka kamili ya mambo yake basi hapo watu wengi wanaouchungu na Zanzibar ndio watafurahi zaidi na zaidi tumuombe Allah aijaalie Zanzibar iwe na mamlaka yake ili tupate passport zetu zilizopotezwa mda mwingi.

  • @hassanabdillah3325
    @hassanabdillah3325 Жыл бұрын

    Kuweni wakweli hali Zanzibar ningumu sana watu wengi wa

  • @mwigahaji4587
    @mwigahaji4587 Жыл бұрын

    Wapizani mko wapi jamani mbona mnatuangusha heeee hali mbaya sana

  • @ahmedomar804
    @ahmedomar804 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anatangaza Mpira au

  • @hassanabdillah3325
    @hassanabdillah3325 Жыл бұрын

    Mwananchi yupi aliyefaidika nahuo uchumi wabuluu?

  • @hassanabdillah3325
    @hassanabdillah3325 Жыл бұрын

    Bado uchumi mgumu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Жыл бұрын

    Njaa Kali na mijitu mingi

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Жыл бұрын

    Nyinyi Wapambe Wa Rais Mnapenda Sana Kusifu Kulko Uhalisia Ulivo Uku Mitaan, Embu Tuambien Ilo Soko La Samaki Na Hao Wavuvi Ambao Wananufaika Na Ilo Swala La Bahar

  • @stonetown578
    @stonetown578 Жыл бұрын

    Mnatapisha haswa

  • @someparuranga7377
    @someparuranga7377 Жыл бұрын

    Kuna mijitu inangangani kilakitu kifanyike hapo ili kwa maslahi yao binafsi mana kilakitu afanyeili apate tamaa za kidunia mcpo amua sababu ya MTU Fulani hatutofika

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 Жыл бұрын

    labda uchumi mweusi

  • @yasserahmed9420
    @yasserahmed9420 Жыл бұрын

    Uchumi wa bunuasiiii hhhhhhh

  • @salyali7807

    @salyali7807

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣 nzuri hii