UCHUMI WA BULUU ZANZIBAR NA NEEMA ZAKE | HAYA NDIO YAMEFANYIKA
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 14
Sema kweli japokuwa chungu kwa maendelea hayo yanaoobekana na watu wengi katika nchi yetu basi kiukweli Zanzibar ingekuwa na mamlaka kamili ya mambo yake basi hapo watu wengi wanaouchungu na Zanzibar ndio watafurahi zaidi na zaidi tumuombe Allah aijaalie Zanzibar iwe na mamlaka yake ili tupate passport zetu zilizopotezwa mda mwingi.
Kuweni wakweli hali Zanzibar ningumu sana watu wengi wa
Wapizani mko wapi jamani mbona mnatuangusha heeee hali mbaya sana
Huyu jamaa anatangaza Mpira au
Mwananchi yupi aliyefaidika nahuo uchumi wabuluu?
Bado uchumi mgumu
Njaa Kali na mijitu mingi
Nyinyi Wapambe Wa Rais Mnapenda Sana Kusifu Kulko Uhalisia Ulivo Uku Mitaan, Embu Tuambien Ilo Soko La Samaki Na Hao Wavuvi Ambao Wananufaika Na Ilo Swala La Bahar
Mnatapisha haswa
Kuna mijitu inangangani kilakitu kifanyike hapo ili kwa maslahi yao binafsi mana kilakitu afanyeili apate tamaa za kidunia mcpo amua sababu ya MTU Fulani hatutofika
labda uchumi mweusi
Uchumi wa bunuasiiii hhhhhhh
@salyali7807
Жыл бұрын
🤣🤣🤣 nzuri hii