"ONA" UJIO WA NDEGE NYENGINE KUBWA ZANZIBAR.

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 20

  • @jumabinkassim3793
    @jumabinkassim37932 жыл бұрын

    Mmmmh jmn watu wanapiga hatua kwa maendeleo sisi wazanzibar tunahesabu ndege kweli tutafika jmn

  • @maryamalli9090

    @maryamalli9090

    Жыл бұрын

    Hao walioendelea walihesabu ndege kwanza

  • @wahidsalum8495
    @wahidsalum84952 жыл бұрын

    Hongera serekali kwa kujenga kiwanja cha ndege Faida yke tunaelekea kuiyona

  • @saumjumamohamedi7298
    @saumjumamohamedi72982 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @nak3477
    @nak34772 жыл бұрын

    Tumepigwa sana yaan watalii ni mafanikio

  • @tamimtours6934
    @tamimtours69342 жыл бұрын

    WAGENI KUKU HASWA HAWAJI SAAAHV...HAWO WAOKUJA WNG KWAKPND HICHI NIVSHUKATUU

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa16972 жыл бұрын

    Ni bora waje wageni maana sisi wengine tunategemea kupata pesa kupitia utalii nijambo la kushkur

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez93962 жыл бұрын

    Uwanja mpaka leo haujaisha kazi kukaa mkajisifia miundo mbinu mibovu vibarabara vyembamba nendeni moreishal mkaangali wako mbali na wao ni utalii na bandari ndio uchumi wao mkubwa ma highway kwa usafirishaji znz niziro

  • @hafidhmussa7887
    @hafidhmussa78872 жыл бұрын

    Madege makubwa yaingia nchini sawa lakini haliyanchi haieleweki maisha yazidikua tafuuu,kitonge kimekimbia njaatupu wallah.

  • @hilalalismaili2933
    @hilalalismaili29332 жыл бұрын

    Mnapokea wageni je Kuna usalama gani wa kiafya mana huko nchi za Scandinavia maradhi Corona bado yapo ikiwemo Russia na izo nchi zengne

  • @abdulnassir7836
    @abdulnassir78362 жыл бұрын

    Polo la mchele Mapemba ni elfu 80 halaf mnatuambia habar za ndege.

  • @binsaid6945
    @binsaid69452 жыл бұрын

    tupo nyuma sana ktk maendeleo ttz tunataka wagen waje Ila miundo mbinu mibovu nchi isiojitambua km kwetu Zanzibar kila kitu tutakisherekea had kuna siku ya choo ujuwe viongoz bado sana kuleta maendeleo rais mwaka1 Ss Ila porojo tu

  • @maryamalli9090

    @maryamalli9090

    Жыл бұрын

    Tatizo Zanzibar tumefeli kwenye mabarabara hasa barabara za mji wetu ni mbovu kabisa wangalizitengeneza zikawa imara kwanza

  • @youngbob9761
    @youngbob97612 жыл бұрын

    Nice

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga54002 жыл бұрын

    Mna subiri kuajiliwa mtaota mizizi tafuteni unga mkande mpike maandazi mtembeze barabarani muuze acheni ujinga

  • @muzneali387

    @muzneali387

    2 жыл бұрын

    Zuhura Muhanga nakuunga mkono tena waache ujinga kweli kweli baada ya kufikiria namna ya kuvutia hao watalii Kwa mapishi wamekazana wanataka wakae ofisini uvivu Tu

  • @muhmahahmshaibrahim3109
    @muhmahahmshaibrahim31092 жыл бұрын

    Sio AZURA AIR,ni AZUR AIR

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis82982 жыл бұрын

    midege yaja lakini chachi ziki yazidi

  • @kwetukisiwanitv2981
    @kwetukisiwanitv29812 жыл бұрын

    Babukubwa